"HAPA HAMNA KITU, TUMELIWA"- RAIS MAGUFULI

  Рет қаралды 355,110

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 515
@oscarkasalile8442
@oscarkasalile8442 3 жыл бұрын
Mimi hata kama umekufa naangalia video zako nakupenda rais wangu na mungu anajua nakupenda sana.
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 ай бұрын
Yn mm siachagi kuangalia
@nyangimarwa3448
@nyangimarwa3448 3 ай бұрын
Hata Mimi Rafiki yangu kati hotuba zake ninazozipitia sana
@Ress114
@Ress114 3 жыл бұрын
Daah! He is no more😭😭 I can't measure the pain am feeling!! This was only president I admired in Africa!!!
@saidimazengo9934
@saidimazengo9934 4 жыл бұрын
Hotuba za rais Magufuli zinafariji ,zinanifanya niipende nchi yangu Sana ,Asante Mungu kwa kumleta huyu mtu.
@enocksichone6112
@enocksichone6112 4 жыл бұрын
Magufuri mimi nakupenda sana unanikosha sana na maneno yako ya ujasiri hakika huogopi mtu kabisa. Mungu akupe maisha marefu ktk utumishi wako.
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 4 жыл бұрын
Baba Magufuli ungekuwapo tangu 1961 ungekuta Tz Kama ulaya.
@ericklaura7511
@ericklaura7511 4 жыл бұрын
Engineering President 🏅🙏 when I listened to opposition parties policies in the year 2015 during campaign I knew it was difficult to implement but now my eyes is big as his excellence Magufuli doing things with no delay and by Tanzanian taxes, this is wonderful God bless you Mr President my vote u had already got 🏅🙏💥
@dinnahpraygod7860
@dinnahpraygod7860 4 жыл бұрын
My almighty God bless you Mr President Magufuli
@protasmangu6418
@protasmangu6418 3 жыл бұрын
magu ni mwalimu professionally kaka.sio engineer. Ndio maana anatumia taaluma ya ualimu za masomo ya philosophy & psychology, experience ya kazi na competence kuwaambua watu.
@japhetalex971
@japhetalex971 4 жыл бұрын
Nampenda rais maguful atar japo nachukia neno ccm ila me magu namchagua tena kutoka moyon we love you dady
@claudiangowi9585
@claudiangowi9585 4 жыл бұрын
Wataelewa tu baba Magu. Mungu akuweke baba angu
@pcazzo22
@pcazzo22 3 жыл бұрын
Haukusema Mungu amuweke wapi...😜😜😜
@amlannikatta7893
@amlannikatta7893 4 жыл бұрын
Very proud being with such kind of president magu ur no1 in this world 🇹🇿🇹🇿
@happynakuzimiammassi8074
@happynakuzimiammassi8074 4 жыл бұрын
Rais upo vizuri 👍 simple mathematics hakika 🙆🏽‍♀️
@AWD_Tz
@AWD_Tz 4 жыл бұрын
Rais wa Nchi yangu, Rais wa Moyo wangu. Tanzania Tanzania, Nakupenda Tanzania.
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 4 жыл бұрын
Mungu akulinde sana Rais wetu yaani najivunia Rais wetu
@mufush
@mufush 3 жыл бұрын
I miss this person
@zamukahemele1505
@zamukahemele1505 4 жыл бұрын
Watendaji mnamchosha rais wetu alishakuwa waziri Wa ujenzi. Hadanganywi
@salvinamkomba4526
@salvinamkomba4526 4 жыл бұрын
Kura yangu umeipata baba una hofu ya Mungu baba hamna ukibaka hapa safiii Magufuli wangu
@gibsonntamamilo490
@gibsonntamamilo490 4 жыл бұрын
Huyu mzee hatari! 28 Oktoba 2020 ☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️☑️100%
@zakiamsafiri123zakiamsafir7
@zakiamsafiri123zakiamsafir7 4 жыл бұрын
Rais wetu ALLAH akulinde miaka 2000
@mpesmail1834
@mpesmail1834 2 жыл бұрын
President teaching the engineer to do their BOQ...hehe...jamaani. JPM is my hero. Hats off. RIP
@hylinenyakweba3435
@hylinenyakweba3435 4 жыл бұрын
Baba magufuli msema kweli mpenzi wa Mungu nakupenda baba magu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@rajabusungi5050
@rajabusungi5050 4 жыл бұрын
Mheshimiwa wewe ni nomaa sana..!! Hakika nakupa pongezi jinsi unavyo dhibiti mambo ambayo yalidhindikana
@omarykilimtalitv546
@omarykilimtalitv546 4 жыл бұрын
Magufulification Mathematics calculated
@edwardguguyu7546
@edwardguguyu7546 3 жыл бұрын
It means (ma ma can).
@edwardguguyu7546
@edwardguguyu7546 3 жыл бұрын
Ma ma ca
@nurumanyota416
@nurumanyota416 4 жыл бұрын
Raisi pendwa, na kupenda Rais wangu, Mungu azidi kukulinda
@tz7976
@tz7976 4 жыл бұрын
Ndiyo rais pendwa dunia nzima MAGUFULI wetu MUNGU ajuzidishie
@sophiakatogoro2234
@sophiakatogoro2234 4 жыл бұрын
Amiin
@kibadensalehe1562
@kibadensalehe1562 4 жыл бұрын
@@sophiakatogoro2234 ap
@tizilamassaga6756
@tizilamassaga6756 3 жыл бұрын
Munguakuzidishie maisha marefu rais Magufuli
@akilihabibu4203
@akilihabibu4203 4 жыл бұрын
TUNAOMBA MUNGU KATBA IBADILISHWE HUYU RAIS MUNGU NDIO KATUTUNUKU AFIE MADALAKANI MAGUFULI OYEEEEÉÉEEÉEEEEEEEÉEEEEE
@eveswai5501
@eveswai5501 3 жыл бұрын
Yes
@glorykarim1570
@glorykarim1570 3 жыл бұрын
Masikin pole ndg yangu na kafariki ajamaliza MUDA wake nimeumia Sana nimelia sanaaa kumpoteza baba yetu😭😭😭
@triplesitati2688
@triplesitati2688 3 жыл бұрын
@@glorykarim1570 may his soul rest in peace 😪😪
@triplesitati2688
@triplesitati2688 3 жыл бұрын
😪😪 R.I.P bulldozer
@evasaimon2101
@evasaimon2101 4 жыл бұрын
Jamani uyo aibiwi mnajizaliliisha buree na kujiweka kwenye wakati mgumu
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 4 жыл бұрын
Yani watumishi wa umma sijui wana matatizo gani yani wao wizi tu ndio wana jua wao wakifukuzwa kazi wana lalamika
@deeruta9894
@deeruta9894 4 жыл бұрын
True
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Wakifukuzwa wanaanza kulalamika Rais dikteta hana Democrasia mwee
@letshikuku39
@letshikuku39 4 жыл бұрын
Mweeee hivi unaiba pesa za Magufuli unataka nn wewe kama siyo kuumbuka 😂😂😂😂
@esthernyaboke1764
@esthernyaboke1764 4 жыл бұрын
Ghai 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tutapate wapi kaa magu jamani tz Kyra kwa magu magu magufuli
@egideniyonkuru9705
@egideniyonkuru9705 3 жыл бұрын
Hata huku🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮tunatamani kuwa na raisi kama magu
@linkreuben5804
@linkreuben5804 4 жыл бұрын
Asante Yesu, hakuna Raisi kama Magufuli duniani!
@philemondanford3260
@philemondanford3260 2 жыл бұрын
Nothing to add I would like to say RIP magufuli
@venancephilbert9397
@venancephilbert9397 4 жыл бұрын
asee big up....takukuru ng'ata "nimeipenda sana"
@lilianjosephat9151
@lilianjosephat9151 4 жыл бұрын
Yupo makini sana mungu ametupa rais
@claudiangowi9585
@claudiangowi9585 4 жыл бұрын
Acha tu jamani natamani aongoze milele
@elizabethbaba8425
@elizabethbaba8425 4 жыл бұрын
Kabisa
@victoruswazi3593
@victoruswazi3593 4 жыл бұрын
Jamaa Nmeanza kumuelewa vyemaaaa ..... Sikupanga kupga kula lakini Ntakupgia Mzee wangu
@aminasaif7274
@aminasaif7274 4 жыл бұрын
Ilove uuuuuu so mch 😍😍😍😍
@leonidaskalumuna8350
@leonidaskalumuna8350 4 жыл бұрын
Mpe hii kazi Mh Agrey Mwanry akusaidie anaweza sana hakika hatutaibiwa tena.
@saidwilsonnyabikwi.8242
@saidwilsonnyabikwi.8242 4 жыл бұрын
God bless you, Kura yangu chukua💝💝💝💝💝💖💖💖
@chido_wa_south2171
@chido_wa_south2171 4 жыл бұрын
Rais Tunae jamani, 2020 Kura yangu ushaichukua Tayari. 👏👏
@issathomas4539
@issathomas4539 4 жыл бұрын
Kwann rais magufuli usiongoze mwisho wa uhai wako na igewezekana ukawa rais wa duniya ukawaongoza mpka wazungu kule yani daah nahuku kwetu zanzibar tngelimpata rais kama ww tungelfurahi sana mungu akuweke 😍😍😍😍😍😍
@malegesinyeura6897
@malegesinyeura6897 4 жыл бұрын
Hata kwa nguvu, utake usitake, ata kama viboko utachapwa. LAZIMA UONGOZE MPAKA UFIE MADARAKAN NDO TUMUCHAGUE RAIS MWINGINE. hatuwezi kukubali ujinga wa kukuachia tu kizembe na kipumbavu eti utoke 2025. NOOOOOO,ww ni wetu ck zote
@malegesinyeura6897
@malegesinyeura6897 4 жыл бұрын
Nakupenda mpaka naumwa tata mag u😍😝
@abdallahrunwa1886
@abdallahrunwa1886 4 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa rais bado watendaji wako hawajatafasiri neno hapa kazi warudi darasani awatafasirie msamiati ili wasizidi kukoroga wanajiondolea heshima utumishi bora haiwezikani watu wazima na elimu zenu mkawa mnakaripiwa kila wakati razima nanyi musome nyakati hii nifedheha kubwa kutozingatia dhamana mliyopewa nakiongozi mkuu wa nchi jamaani mbele ya hadhala hua mnajisikiaje...?
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 2 жыл бұрын
Hatutapona madonda ya maumivu ya kutuacha pekee yetu kweliiii mungu umetuumiza Sana juu ya baba yetu huyuuu
@mohamedwarsame3073
@mohamedwarsame3073 4 жыл бұрын
Duh. Hongera sana magufuli. Takukuru wameng'atwa
@joxevictus3720
@joxevictus3720 4 жыл бұрын
Hii Tanzania yetu sio ya awamu zilizo pita hakika tunae jemedari JPM 🙏🙏
@aliabmugh2362
@aliabmugh2362 4 жыл бұрын
Eti munataka nikaongelee wapi oficeni😁😁😁
@zablonnyanda6095
@zablonnyanda6095 4 жыл бұрын
Aisee kweli hiki ni chuma! Mnh?? Ningekuwa najua hesabu kamahuyu jamaa??
@restkalemile5274
@restkalemile5274 4 жыл бұрын
daah kweli hili ni jembe , sijapata ona rais km huyu africa,
@stelakiula917
@stelakiula917 3 жыл бұрын
We lost 😭
@nelsonzakayo496
@nelsonzakayo496 4 жыл бұрын
The true son of Africa
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 4 жыл бұрын
Ndio makufuli sawasawa mie ndio nikakutilia kura yangu kabisa mungu akuweke makufuli oyeeeee
@frolencejovenary667
@frolencejovenary667 3 жыл бұрын
Natamani Baba yangu na Mwalimu Nyerere wangekuwepo wakakushudia. Mungu akupe Nguvu zaidi. Pia naendelea kutangaz nchi yangu hapa Nchini Ubeligiji watalii waje na wanasema kuja Tanzania kabisa maana imekuwa mfano. Raisi umenigusa moyo wangu hakika Mungu akubariki. Akulinde uendelee ivyo. Unanifundisha kazi bila kuwa kazini unanifundisha Experiences bil kuwa kazini mpaka CV yangu naandika kuwa nilisikiliza speech zako na kuona kazi zako ivyo na mimi naweza kufanya kazi @millard Keep showing him to the people.
@mohamedmiraj3117
@mohamedmiraj3117 4 жыл бұрын
That's my president Mr number(mathematics) best president ever
@allyfaraji1697
@allyfaraji1697 4 жыл бұрын
Et kuzungusha ukuta au fens Bilioni moja hawajamaa mungu anawaona
@collinsgabriel3090
@collinsgabriel3090 4 жыл бұрын
Raisi wa east Africa unastahili
@naiskaurrai2464
@naiskaurrai2464 3 жыл бұрын
Meanwhile, the Kenyan President and Governors and the Vice President pride themselves in officiating the opening of toilets and mud classrooms for billions of KSH. I pray to God our nation gets a Magufuli also.
@betsonkikoti879
@betsonkikoti879 4 жыл бұрын
Hakika tunaye Rais anayemjua Mungu hongera mheshimiwa Magufuli
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
Kwel kiongoz tunaye 😂 mtaisoma namba,,,,,,Hatanganyw ktu, Asantee Sanaaa baba Magufuri 🙏
@ElardMlawa
@ElardMlawa 24 күн бұрын
Utabaki kua rais wangu mzee Magufuli hata kama umelala
@jeffmburu6568
@jeffmburu6568 4 жыл бұрын
Love your job Magufuli
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akubariki sana rais wetu JPM kwani we ni mzalendo namba moja.
@helenajoseph9593
@helenajoseph9593 4 жыл бұрын
Ndio maana Mungu amekuteua utuongoze kwa haki safi sana
@amlannikatta7893
@amlannikatta7893 4 жыл бұрын
Haaaaa this is magu bana🇹🇿🇹🇿💪💪🔥🔥🔥🔥
@januarymwingwa2962
@januarymwingwa2962 4 жыл бұрын
Wewe ni Raisi ambaye Mungu baba ametupatia asee haijawahi toke tangu mwalim baba wa taifa aondoke
@hasanally6893
@hasanally6893 4 жыл бұрын
Huyu ndio Rais anaetufaa Tanzania mungu amlinde na watu wasioitakia mema tanzania
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 hapa tumeliwa, muwe makini na huyu mtu jamani haibiwi,takukuru ng'ata 🤣🤣🤣🤣🤣
@king-size8114
@king-size8114 4 жыл бұрын
Kwli kabisa
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 3 жыл бұрын
Ngataa
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 жыл бұрын
@@stevenmaketa8051 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@blingkingsa3102
@blingkingsa3102 4 жыл бұрын
Aiseee uyu ndo RAISI WANGU KTK JAMUHURI NAYOIAMINI 🇹🇿💪
@MegaAlexison
@MegaAlexison 4 жыл бұрын
Hahahaha Bwana ni kiboko yao we love u jp u are very geniuses
@iddikibwana9185
@iddikibwana9185 4 жыл бұрын
mungu akupe maisha rais wetu
@zikirination6769
@zikirination6769 4 жыл бұрын
Magu Alisha sema mapema kuwa hata uloge vp atajua tu ukwel Sasa mheshimiwa mbuge apo umeumbuka uyo mzee Ni mjanja kuliko nyie hahah
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 3 жыл бұрын
Daa kweli aisee
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
Baba Magufuli, mbona macho mekundu hivi? hakikisha unapata usingizi wakutosha baba yetu maana hizi kazi zisijekukuchosha sana ukaanguka...uso umejaa alafu macho kidogo mekundu alafu nguzi kama imekuwa wekundu flani..jemedari wetu jmni anachoka sana,,halali..eh Mungu wetu Tunakushukuru kwa yote unyotufanyizia pia tunaomba Uwakumbuke viongozi wetu nakuwalinda Amen
@elisantej5512
@elisantej5512 4 жыл бұрын
Kama ulikuwa kwenye akili yangu. Niliwaza hivyo. Apate muda wa kupumzika amekuwa bize sana
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
@@elisantej5512 yaani kaka yangu adi huruma...kumbe nawe umeona boss wangu? hatari kweli. Mungu Amtie nguvu tuu
@elizabethbaba8425
@elizabethbaba8425 4 жыл бұрын
Mungu amlinde Raisi wetu. Kajitolea kwa watanzania
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
@@elizabethbaba8425 Kwa kweli
@annalubango9899
@annalubango9899 4 жыл бұрын
Mungu akutunze jpm
@jassonejasper817
@jassonejasper817 4 жыл бұрын
Mungu akubariki Rais wangu nakupenda saana
@paulamani3936
@paulamani3936 4 жыл бұрын
Wow! Total change
@mdogod3531
@mdogod3531 4 жыл бұрын
Baba tunanyoooka baba endelea kutunyooxhaa
@nguyamtwartz5413
@nguyamtwartz5413 4 жыл бұрын
Aisee rais tunae😆😆
@lidyamathayo8343
@lidyamathayo8343 4 жыл бұрын
Sio Rais Ni shidaaa Rais,dunia nzima hakuna km JPM,na hakuna kwenda kwa wazungu wasituulie bure RAIS WETU JPM💪💪💪💪💪💪
@saidnassoro9562
@saidnassoro9562 4 жыл бұрын
Ila kama thamni inajumuisha na faniture.Sio mbaya sana.Isitoshe taratibu zote za ununuzi na vifaa huwa tofauti kidogo na ukijenga personally.
@nguyamtwartz5413
@nguyamtwartz5413 4 жыл бұрын
@@saidnassoro9562 sikiliza thamani ya jengo,, , fanya tathmini ya jengo, , na tathmini ya furniture, bado upigaji upo kama tathmini ya pili italetwa utajionea
@sankybadeetz4512
@sankybadeetz4512 4 жыл бұрын
Magufuli mungu akubariki sana baba kweli wewe ni jembe chapa kazi kura yangu kwako
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 4 жыл бұрын
"Hapa tumeliwa"😆😆😆😆😆😆
@salambalukali216
@salambalukali216 4 жыл бұрын
Takukuru ng'ataaaa!!!!
@pigapesa3622
@pigapesa3622 4 жыл бұрын
Rais Bora bara Africa na duniani kote hongera mh:JPM
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Gud saana mzee jpm na rais wangu bora
@godfreymekion153
@godfreymekion153 4 жыл бұрын
Wee mzee nomaaaaaa ulikuwaga wapi hivyo tukikupa miaka 50 utawalale tz c Kama new york
@azizamohamed654
@azizamohamed654 4 жыл бұрын
Anko ww ni noma nakupenda sana natamani nikuone tuu kwa ukalibu mjombaa
@aludomakori4230
@aludomakori4230 4 жыл бұрын
Magu we nomaaaaaa!!!
@asnterabisaimon9673
@asnterabisaimon9673 4 жыл бұрын
safi sana
@yohannesshaudo5852
@yohannesshaudo5852 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde
@francismwangi1885
@francismwangi1885 4 жыл бұрын
Mkenya na napenda Jpm...but sincerely speaking that house could cost that amount. It has a nice finishing plus we don't know the quantity of interior. It's unfair to do such kind of evaluation without considering the quantity of interior finishing
@jamalyl
@jamalyl 4 жыл бұрын
Magufuli 🔥🔥🔥(love you Mr President)
@kiariedavid8370
@kiariedavid8370 4 жыл бұрын
takukuru leo wamejingata wenyewe
@eddyhongeramaalimseifulipo6612
@eddyhongeramaalimseifulipo6612 4 жыл бұрын
yaaani rais wa jamhuri yupo sawa kabisa wapigie hesabu za mabati na matufali hao wamezoea kuumiza wenzao
@victorsanga2229
@victorsanga2229 4 жыл бұрын
Si kweli hata kidogo, gharama ni zaidi ya milion 70, nje hapo ujenge kwa tofali mbichi
@salimugambe3712
@salimugambe3712 4 жыл бұрын
@@victorsanga2229 lkn ml 140 sasa inakuwaje
@kanukanute1514
@kanukanute1514 4 жыл бұрын
Muheshimiwa rais ni lini darasa la 7 tutapata kz selikarin ???lianglie hili muheshm Kuna taalama km udereva sizan km utaitj elim y from four
@samwelndiletelevisionc3385
@samwelndiletelevisionc3385 4 жыл бұрын
Can you imagine mtu anaiibia takukuru yaaan jengo la kupambana na rushwa limejengwa Kwa rushwa tz sihami
@ommyrevocatus5765
@ommyrevocatus5765 4 жыл бұрын
Kwa mnyumbulisho Huo Wazee temeni ela ya ankoooo
@kahroogall5695
@kahroogall5695 4 жыл бұрын
Yes baba
@stewarthymakabila6982
@stewarthymakabila6982 4 жыл бұрын
mungu akuongeze raisi wetu
@prospermushi6168
@prospermushi6168 4 жыл бұрын
This guy he didn't skip classes, hakufanyiwa mitihani huyo, wala hakufanyiwa assignments, leo kuna vibonde wengi wana degrees za kudanganya, aibu kabisa
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n 2 ай бұрын
huyu mzee ni noma usimchanganye kibwege hesabu ni noma kemistri ni noma
@catherinegewe4183
@catherinegewe4183 4 жыл бұрын
Love you my prezo
@salumnassor3845
@salumnassor3845 4 жыл бұрын
Maguuuuuuuufuuuuuuuliiiiiiiiiii kura yangu chukua aiseee ww ni kiongozi bora kabisa
@salukabunda4049
@salukabunda4049 4 жыл бұрын
@milard ayo tufikishie salam zetu mueshimiwa tunamuitaj sana asiondoke
@joicmartin7012
@joicmartin7012 4 жыл бұрын
Best ever president in Africa..
@walterchilumba4141
@walterchilumba4141 4 жыл бұрын
Unastaili mh kugombea Tena 👍👍👍👍👍👍
@anzurunjr6747
@anzurunjr6747 4 жыл бұрын
mungu akulinde mzee
@joxevictus3720
@joxevictus3720 4 жыл бұрын
Mbuge chunga nyota zako mkuu😂😂
@jafaringomeni3471
@jafaringomeni3471 4 жыл бұрын
naidwa masoud magufuri ww top nimekukumbar baba angu
@mujahidmujahidin5504
@mujahidmujahidin5504 4 жыл бұрын
Kenyatta wa Kenya hako wapi askiye kiongozi kamili sio ufisadi
@paulinemideva3591
@paulinemideva3591 4 жыл бұрын
Mimi nipo Kenya ila natamani sana kurudi nyumbani nchi mla watu wake hii.yani hamna serikali inatafuna wananchi kama Kenya aisay
@macksonjuma5180
@macksonjuma5180 4 жыл бұрын
@@paulinemideva3591 Haujalazimishwa kukaa hapa
@mammyyassie7322
@mammyyassie7322 4 жыл бұрын
Kenyata nae Ng'ata....
@bonnybonny8337
@bonnybonny8337 4 жыл бұрын
Kwetu Kenya wanakunywa chai ya millioni nne pesa za Kenya. Hehehehe. Wezi tupu.
@mujahidmujahidin5504
@mujahidmujahidin5504 4 жыл бұрын
Rais wa kweli ndio atakikana hivyo
@super8shop831
@super8shop831 4 жыл бұрын
Takukuru ng'ataaa nimeipenda hii
@najmabozz2998
@najmabozz2998 3 жыл бұрын
Ulifaa uwe rais wa dunia ,tzd 🔥🔥🔥
@geneouscravery3428
@geneouscravery3428 Жыл бұрын
Exallent
@yaletbweye5565
@yaletbweye5565 4 жыл бұрын
Rais wa Tanzania
@felixochungo5656
@felixochungo5656 4 жыл бұрын
I wish angekuwa my prezzo
@patrickKitambo
@patrickKitambo 4 жыл бұрын
Wishes don't exists
@felixochungo5656
@felixochungo5656 4 жыл бұрын
@@patrickKitambo does it heart you nkt
@patrickKitambo
@patrickKitambo 4 жыл бұрын
@@felixochungo5656 Kenyas always wish beautiful and good things of Tanzanians to be theirs, rather focus on building your country, your there wishing our president was yours🤣🤣🤣🤣🤣funy Kenyas
@veeJesus
@veeJesus 4 жыл бұрын
@@patrickKitambo 😂😂😂😂😂😂😂
@amiltonmichael5377
@amiltonmichael5377 3 жыл бұрын
We had a president See u in groly🙏
@raysonsadik9562
@raysonsadik9562 4 жыл бұрын
Boss weka ndani wote
@masundelwa
@masundelwa 4 жыл бұрын
Jembe la MATHEMATICS hudanganyi kitu hapo.
@hassanmugire1497
@hassanmugire1497 4 жыл бұрын
Kura yangu chukua
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 123 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3 МЛН
Rais Magufuli ametaja mshahara wake leo
12:08
Millard Ayo
Рет қаралды 438 М.
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 582 М.
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 123 МЛН