Mimi hata kama umekufa naangalia video zako nakupenda rais wangu na mungu anajua nakupenda sana.
@nishaabdula50155 ай бұрын
Yn mm siachagi kuangalia
@nyangimarwa34483 ай бұрын
Hata Mimi Rafiki yangu kati hotuba zake ninazozipitia sana
@Ress1143 жыл бұрын
Daah! He is no more😭😭 I can't measure the pain am feeling!! This was only president I admired in Africa!!!
@saidimazengo99344 жыл бұрын
Hotuba za rais Magufuli zinafariji ,zinanifanya niipende nchi yangu Sana ,Asante Mungu kwa kumleta huyu mtu.
@enocksichone61124 жыл бұрын
Magufuri mimi nakupenda sana unanikosha sana na maneno yako ya ujasiri hakika huogopi mtu kabisa. Mungu akupe maisha marefu ktk utumishi wako.
@neemamasimba29814 жыл бұрын
Baba Magufuli ungekuwapo tangu 1961 ungekuta Tz Kama ulaya.
@ericklaura75114 жыл бұрын
Engineering President 🏅🙏 when I listened to opposition parties policies in the year 2015 during campaign I knew it was difficult to implement but now my eyes is big as his excellence Magufuli doing things with no delay and by Tanzanian taxes, this is wonderful God bless you Mr President my vote u had already got 🏅🙏💥
@dinnahpraygod78604 жыл бұрын
My almighty God bless you Mr President Magufuli
@protasmangu64183 жыл бұрын
magu ni mwalimu professionally kaka.sio engineer. Ndio maana anatumia taaluma ya ualimu za masomo ya philosophy & psychology, experience ya kazi na competence kuwaambua watu.
@japhetalex9714 жыл бұрын
Nampenda rais maguful atar japo nachukia neno ccm ila me magu namchagua tena kutoka moyon we love you dady
@claudiangowi95854 жыл бұрын
Wataelewa tu baba Magu. Mungu akuweke baba angu
@pcazzo223 жыл бұрын
Haukusema Mungu amuweke wapi...😜😜😜
@amlannikatta78934 жыл бұрын
Very proud being with such kind of president magu ur no1 in this world 🇹🇿🇹🇿
@happynakuzimiammassi80744 жыл бұрын
Rais upo vizuri 👍 simple mathematics hakika 🙆🏽♀️
@AWD_Tz4 жыл бұрын
Rais wa Nchi yangu, Rais wa Moyo wangu. Tanzania Tanzania, Nakupenda Tanzania.
@sistertrashid24884 жыл бұрын
Mungu akulinde sana Rais wetu yaani najivunia Rais wetu
@mufush3 жыл бұрын
I miss this person
@zamukahemele15054 жыл бұрын
Watendaji mnamchosha rais wetu alishakuwa waziri Wa ujenzi. Hadanganywi
@salvinamkomba45264 жыл бұрын
Kura yangu umeipata baba una hofu ya Mungu baba hamna ukibaka hapa safiii Magufuli wangu
Mpe hii kazi Mh Agrey Mwanry akusaidie anaweza sana hakika hatutaibiwa tena.
@saidwilsonnyabikwi.82424 жыл бұрын
God bless you, Kura yangu chukua💝💝💝💝💝💖💖💖
@chido_wa_south21714 жыл бұрын
Rais Tunae jamani, 2020 Kura yangu ushaichukua Tayari. 👏👏
@issathomas45394 жыл бұрын
Kwann rais magufuli usiongoze mwisho wa uhai wako na igewezekana ukawa rais wa duniya ukawaongoza mpka wazungu kule yani daah nahuku kwetu zanzibar tngelimpata rais kama ww tungelfurahi sana mungu akuweke 😍😍😍😍😍😍
@malegesinyeura68974 жыл бұрын
Hata kwa nguvu, utake usitake, ata kama viboko utachapwa. LAZIMA UONGOZE MPAKA UFIE MADARAKAN NDO TUMUCHAGUE RAIS MWINGINE. hatuwezi kukubali ujinga wa kukuachia tu kizembe na kipumbavu eti utoke 2025. NOOOOOO,ww ni wetu ck zote
@malegesinyeura68974 жыл бұрын
Nakupenda mpaka naumwa tata mag u😍😝
@abdallahrunwa18864 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa rais bado watendaji wako hawajatafasiri neno hapa kazi warudi darasani awatafasirie msamiati ili wasizidi kukoroga wanajiondolea heshima utumishi bora haiwezikani watu wazima na elimu zenu mkawa mnakaripiwa kila wakati razima nanyi musome nyakati hii nifedheha kubwa kutozingatia dhamana mliyopewa nakiongozi mkuu wa nchi jamaani mbele ya hadhala hua mnajisikiaje...?
@hemedrashid29212 жыл бұрын
Hatutapona madonda ya maumivu ya kutuacha pekee yetu kweliiii mungu umetuumiza Sana juu ya baba yetu huyuuu
@mohamedwarsame30734 жыл бұрын
Duh. Hongera sana magufuli. Takukuru wameng'atwa
@joxevictus37204 жыл бұрын
Hii Tanzania yetu sio ya awamu zilizo pita hakika tunae jemedari JPM 🙏🙏
@aliabmugh23624 жыл бұрын
Eti munataka nikaongelee wapi oficeni😁😁😁
@zablonnyanda60954 жыл бұрын
Aisee kweli hiki ni chuma! Mnh?? Ningekuwa najua hesabu kamahuyu jamaa??
@restkalemile52744 жыл бұрын
daah kweli hili ni jembe , sijapata ona rais km huyu africa,
@stelakiula9173 жыл бұрын
We lost 😭
@nelsonzakayo4964 жыл бұрын
The true son of Africa
@husnamohamed92454 жыл бұрын
Ndio makufuli sawasawa mie ndio nikakutilia kura yangu kabisa mungu akuweke makufuli oyeeeee
@frolencejovenary6673 жыл бұрын
Natamani Baba yangu na Mwalimu Nyerere wangekuwepo wakakushudia. Mungu akupe Nguvu zaidi. Pia naendelea kutangaz nchi yangu hapa Nchini Ubeligiji watalii waje na wanasema kuja Tanzania kabisa maana imekuwa mfano. Raisi umenigusa moyo wangu hakika Mungu akubariki. Akulinde uendelee ivyo. Unanifundisha kazi bila kuwa kazini unanifundisha Experiences bil kuwa kazini mpaka CV yangu naandika kuwa nilisikiliza speech zako na kuona kazi zako ivyo na mimi naweza kufanya kazi @millard Keep showing him to the people.
@mohamedmiraj31174 жыл бұрын
That's my president Mr number(mathematics) best president ever
@allyfaraji16974 жыл бұрын
Et kuzungusha ukuta au fens Bilioni moja hawajamaa mungu anawaona
@collinsgabriel30904 жыл бұрын
Raisi wa east Africa unastahili
@naiskaurrai24643 жыл бұрын
Meanwhile, the Kenyan President and Governors and the Vice President pride themselves in officiating the opening of toilets and mud classrooms for billions of KSH. I pray to God our nation gets a Magufuli also.
@betsonkikoti8794 жыл бұрын
Hakika tunaye Rais anayemjua Mungu hongera mheshimiwa Magufuli
Utabaki kua rais wangu mzee Magufuli hata kama umelala
@jeffmburu65684 жыл бұрын
Love your job Magufuli
@malugukushaha67644 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akubariki sana rais wetu JPM kwani we ni mzalendo namba moja.
@helenajoseph95934 жыл бұрын
Ndio maana Mungu amekuteua utuongoze kwa haki safi sana
@amlannikatta78934 жыл бұрын
Haaaaa this is magu bana🇹🇿🇹🇿💪💪🔥🔥🔥🔥
@januarymwingwa29624 жыл бұрын
Wewe ni Raisi ambaye Mungu baba ametupatia asee haijawahi toke tangu mwalim baba wa taifa aondoke
@hasanally68934 жыл бұрын
Huyu ndio Rais anaetufaa Tanzania mungu amlinde na watu wasioitakia mema tanzania
@aminanamoyo834 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 hapa tumeliwa, muwe makini na huyu mtu jamani haibiwi,takukuru ng'ata 🤣🤣🤣🤣🤣
@king-size81144 жыл бұрын
Kwli kabisa
@stevenmaketa80513 жыл бұрын
Ngataa
@aminanamoyo833 жыл бұрын
@@stevenmaketa8051 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@blingkingsa31024 жыл бұрын
Aiseee uyu ndo RAISI WANGU KTK JAMUHURI NAYOIAMINI 🇹🇿💪
@MegaAlexison4 жыл бұрын
Hahahaha Bwana ni kiboko yao we love u jp u are very geniuses
@iddikibwana91854 жыл бұрын
mungu akupe maisha rais wetu
@zikirination67694 жыл бұрын
Magu Alisha sema mapema kuwa hata uloge vp atajua tu ukwel Sasa mheshimiwa mbuge apo umeumbuka uyo mzee Ni mjanja kuliko nyie hahah
@stevenmaketa80513 жыл бұрын
Daa kweli aisee
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
Baba Magufuli, mbona macho mekundu hivi? hakikisha unapata usingizi wakutosha baba yetu maana hizi kazi zisijekukuchosha sana ukaanguka...uso umejaa alafu macho kidogo mekundu alafu nguzi kama imekuwa wekundu flani..jemedari wetu jmni anachoka sana,,halali..eh Mungu wetu Tunakushukuru kwa yote unyotufanyizia pia tunaomba Uwakumbuke viongozi wetu nakuwalinda Amen
@elisantej55124 жыл бұрын
Kama ulikuwa kwenye akili yangu. Niliwaza hivyo. Apate muda wa kupumzika amekuwa bize sana
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
@@elisantej5512 yaani kaka yangu adi huruma...kumbe nawe umeona boss wangu? hatari kweli. Mungu Amtie nguvu tuu
@elizabethbaba84254 жыл бұрын
Mungu amlinde Raisi wetu. Kajitolea kwa watanzania
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
@@elizabethbaba8425 Kwa kweli
@annalubango98994 жыл бұрын
Mungu akutunze jpm
@jassonejasper8174 жыл бұрын
Mungu akubariki Rais wangu nakupenda saana
@paulamani39364 жыл бұрын
Wow! Total change
@mdogod35314 жыл бұрын
Baba tunanyoooka baba endelea kutunyooxhaa
@nguyamtwartz54134 жыл бұрын
Aisee rais tunae😆😆
@lidyamathayo83434 жыл бұрын
Sio Rais Ni shidaaa Rais,dunia nzima hakuna km JPM,na hakuna kwenda kwa wazungu wasituulie bure RAIS WETU JPM💪💪💪💪💪💪
@saidnassoro95624 жыл бұрын
Ila kama thamni inajumuisha na faniture.Sio mbaya sana.Isitoshe taratibu zote za ununuzi na vifaa huwa tofauti kidogo na ukijenga personally.
@nguyamtwartz54134 жыл бұрын
@@saidnassoro9562 sikiliza thamani ya jengo,, , fanya tathmini ya jengo, , na tathmini ya furniture, bado upigaji upo kama tathmini ya pili italetwa utajionea
@sankybadeetz45124 жыл бұрын
Magufuli mungu akubariki sana baba kweli wewe ni jembe chapa kazi kura yangu kwako
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
"Hapa tumeliwa"😆😆😆😆😆😆
@salambalukali2164 жыл бұрын
Takukuru ng'ataaaa!!!!
@pigapesa36224 жыл бұрын
Rais Bora bara Africa na duniani kote hongera mh:JPM
@mangegervas96514 жыл бұрын
Gud saana mzee jpm na rais wangu bora
@godfreymekion1534 жыл бұрын
Wee mzee nomaaaaaa ulikuwaga wapi hivyo tukikupa miaka 50 utawalale tz c Kama new york
@azizamohamed6544 жыл бұрын
Anko ww ni noma nakupenda sana natamani nikuone tuu kwa ukalibu mjombaa
@aludomakori42304 жыл бұрын
Magu we nomaaaaaa!!!
@asnterabisaimon96734 жыл бұрын
safi sana
@yohannesshaudo58524 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde
@francismwangi18854 жыл бұрын
Mkenya na napenda Jpm...but sincerely speaking that house could cost that amount. It has a nice finishing plus we don't know the quantity of interior. It's unfair to do such kind of evaluation without considering the quantity of interior finishing
@jamalyl4 жыл бұрын
Magufuli 🔥🔥🔥(love you Mr President)
@kiariedavid83704 жыл бұрын
takukuru leo wamejingata wenyewe
@eddyhongeramaalimseifulipo66124 жыл бұрын
yaaani rais wa jamhuri yupo sawa kabisa wapigie hesabu za mabati na matufali hao wamezoea kuumiza wenzao
@victorsanga22294 жыл бұрын
Si kweli hata kidogo, gharama ni zaidi ya milion 70, nje hapo ujenge kwa tofali mbichi
@salimugambe37124 жыл бұрын
@@victorsanga2229 lkn ml 140 sasa inakuwaje
@kanukanute15144 жыл бұрын
Muheshimiwa rais ni lini darasa la 7 tutapata kz selikarin ???lianglie hili muheshm Kuna taalama km udereva sizan km utaitj elim y from four
@samwelndiletelevisionc33854 жыл бұрын
Can you imagine mtu anaiibia takukuru yaaan jengo la kupambana na rushwa limejengwa Kwa rushwa tz sihami
@ommyrevocatus57654 жыл бұрын
Kwa mnyumbulisho Huo Wazee temeni ela ya ankoooo
@kahroogall56954 жыл бұрын
Yes baba
@stewarthymakabila69824 жыл бұрын
mungu akuongeze raisi wetu
@prospermushi61684 жыл бұрын
This guy he didn't skip classes, hakufanyiwa mitihani huyo, wala hakufanyiwa assignments, leo kuna vibonde wengi wana degrees za kudanganya, aibu kabisa
@user-ui1qs9yl1n2 ай бұрын
huyu mzee ni noma usimchanganye kibwege hesabu ni noma kemistri ni noma
@catherinegewe41834 жыл бұрын
Love you my prezo
@salumnassor38454 жыл бұрын
Maguuuuuuuufuuuuuuuliiiiiiiiiii kura yangu chukua aiseee ww ni kiongozi bora kabisa
@salukabunda40494 жыл бұрын
@milard ayo tufikishie salam zetu mueshimiwa tunamuitaj sana asiondoke
@joicmartin70124 жыл бұрын
Best ever president in Africa..
@walterchilumba41414 жыл бұрын
Unastaili mh kugombea Tena 👍👍👍👍👍👍
@anzurunjr67474 жыл бұрын
mungu akulinde mzee
@joxevictus37204 жыл бұрын
Mbuge chunga nyota zako mkuu😂😂
@jafaringomeni34714 жыл бұрын
naidwa masoud magufuri ww top nimekukumbar baba angu
@mujahidmujahidin55044 жыл бұрын
Kenyatta wa Kenya hako wapi askiye kiongozi kamili sio ufisadi
@paulinemideva35914 жыл бұрын
Mimi nipo Kenya ila natamani sana kurudi nyumbani nchi mla watu wake hii.yani hamna serikali inatafuna wananchi kama Kenya aisay
@macksonjuma51804 жыл бұрын
@@paulinemideva3591 Haujalazimishwa kukaa hapa
@mammyyassie73224 жыл бұрын
Kenyata nae Ng'ata....
@bonnybonny83374 жыл бұрын
Kwetu Kenya wanakunywa chai ya millioni nne pesa za Kenya. Hehehehe. Wezi tupu.
@mujahidmujahidin55044 жыл бұрын
Rais wa kweli ndio atakikana hivyo
@super8shop8314 жыл бұрын
Takukuru ng'ataaa nimeipenda hii
@najmabozz29983 жыл бұрын
Ulifaa uwe rais wa dunia ,tzd 🔥🔥🔥
@geneouscravery3428 Жыл бұрын
Exallent
@yaletbweye55654 жыл бұрын
Rais wa Tanzania
@felixochungo56564 жыл бұрын
I wish angekuwa my prezzo
@patrickKitambo4 жыл бұрын
Wishes don't exists
@felixochungo56564 жыл бұрын
@@patrickKitambo does it heart you nkt
@patrickKitambo4 жыл бұрын
@@felixochungo5656 Kenyas always wish beautiful and good things of Tanzanians to be theirs, rather focus on building your country, your there wishing our president was yours🤣🤣🤣🤣🤣funy Kenyas