JUMA LOKOLE AMUWASHIA MOTO BABA LEVO KISA NYUMBA YA MWIJAKU / ANAMUONEA WIVU / NYUMBA YAKE NZURI

  Рет қаралды 34,810

Manara TV

Manara TV

6 ай бұрын

MTANGAZAJI WA WASAFI FM NA WASAFI TV JUMA LOKOLE AMUWASHIA MOTO BABA LEVO KISA NYUMBA YA MWIJAKU NA KUMTETEA MWIJAKU / ANAMUONEA WIVU NYUMBA YAKE NZURI TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #jumalokole #diamondplatnumz #mwijaku #babalevo

Пікірлер: 46
@meereggfd5574
@meereggfd5574 6 ай бұрын
Leo juma kaongea ukweri kbx❤❤❤❤
@elizamapunda6043
@elizamapunda6043 6 ай бұрын
Umeongea ukweli juma kwako ni kwako atapaweje
@baoussenesombair8007
@baoussenesombair8007 6 ай бұрын
Juma 2024 vou a sistir suas intervista . Gud big juma na mwaka u wew jumy.
@agriparose3942
@agriparose3942 6 ай бұрын
Nimejikuta nampenda juma leo
@caissemalatinho252
@caissemalatinho252 6 ай бұрын
Leo Juma uko sahi
@abuumkumbalu9123
@abuumkumbalu9123 6 ай бұрын
Akuna baba mwenye gari ila siku zote kuna baba mwenye nyumba kwa mtu mwenye akili timamu lazima aanze na nyumba kwanza then after unaweza nunua gari
@fatimahants1526
@fatimahants1526 6 ай бұрын
Mawazo yko binafsi nayakubali
@kelvsss3824
@kelvsss3824 6 ай бұрын
Baba mwenye nyumba kama unapangisha mzee kama unakaa na familia yako n baba tu
@belak999
@belak999 6 ай бұрын
Hela ya gari haijengi, hayo ni mawazo ya asie na nyumba wala gari
@Asumanidiedonne-cy7bk
@Asumanidiedonne-cy7bk 6 ай бұрын
😂😂 labda gari za kibongo 😅😅​@@belak999
@fatimahants1526
@fatimahants1526 6 ай бұрын
@@kelvsss3824 ukihitaji gari ya dhamani gharama yk yawezekana kujenga nyumbani ni mtazamo na pendekezo lako
@songakulwajames642
@songakulwajames642 6 ай бұрын
Leo juma umeongea vizuri sana
@ednaJF1028
@ednaJF1028 6 ай бұрын
Hapo juma umeongea ukweli mwenye chake tumupe hongera hata kama ni kidogo
@abelnegomakata-vf2qb
@abelnegomakata-vf2qb 6 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 6 ай бұрын
Juma umenifurahisha mno Leo
@TaarabChannel
@TaarabChannel 6 ай бұрын
Wah mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤
@fatimahants1526
@fatimahants1526 6 ай бұрын
Juma umeongeya point kubwa sana una uelewa mapana sana
@harrishussein6992
@harrishussein6992 6 ай бұрын
Kwa mara yakwanza juma nimekukubali umeongea fact akili kubwa sana
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 6 ай бұрын
Nyumba inategemea ni ya sh ngapi?Je gari unayoendesha inaendana na gharama ya nyumba unayotamani kumiliki?unaweza kumiliki gari kurahisisha mambo yako the ukawa unajenga.
@Alli-ol3lv
@Alli-ol3lv 6 ай бұрын
❤❤
@Lanihsarumu
@Lanihsarumu 6 ай бұрын
Juma umenena ukweli 🎉
@goodluckSanga-
@goodluckSanga- 6 ай бұрын
Kuna mda juma kama unaongeaga vitu vya msingi ivi
@bukuruhassan9751
@bukuruhassan9751 6 ай бұрын
Uyu jamaa juma lokole nimekuwa simkubali Ata kidogo ila leo ameongeya kama mwanaume
@user-bp7nb7yp2o
@user-bp7nb7yp2o 6 ай бұрын
Kijana umeongea vizuri sana.kijana mwijaku kafanya vizuri sana hata kama ni kibanda cha wakala.wanaoongea waonyeshe vya kwao.
@halimaoman8726
@halimaoman8726 6 ай бұрын
Juma umependa ulivyosema maswala ya jumba ya mwijaku kweli unachokisema alicho nacho anacho ata kama kidogo ni chake
@marsfouad7224
@marsfouad7224 6 ай бұрын
Kwenye gari mwanzo umefeli, lakini kwenye mwijaku kujitahidi ni jambo na kukubali hapo ume ongea point, hata kama ni ni 50 by 50 plot but ni chako na ni lazma kujivunia
@zamzanimakundi2546
@zamzanimakundi2546 6 ай бұрын
Tukisha kuona na gari ufahamu wako ni mkubwa?huna akili jinga ww!
@Zainab_salat
@Zainab_salat 6 ай бұрын
Mimi bora nijenge kwanza usafiri nitapanda daladala😂😂😂😂 mpaka nipate gari inshaallah
@johasaeed391
@johasaeed391 6 ай бұрын
Jumaa umeongea kweli kabisa ila gari isiwe ya kutembelea tu iwe ya kukuingizia pèsa
@mohamedally5225
@mohamedally5225 6 ай бұрын
Wabongo wengi hawana akili uwe na gar kwanza Kisha ndo nyumba hizo akili matope nyumba ndo muhim kuliko gar
@johasaeed391
@johasaeed391 6 ай бұрын
@@mohamedally5225 alafu gari alilo nalo la kutembelea kaongea vitu vingine vya maana ila nyumba mwanangu aisee mimi ndo inanitesa mpaka sasa ningrkilia gari zamani sana ningekuwa nalo niliwaza ntaishi kwa nani nyumba ya kupanga 😄🤣 nikakakataa lol nalizia kajumba kangu kisha gari itafuaata tena ya kuniingizia pesa kila siku
@majidfrolian4904
@majidfrolian4904 6 ай бұрын
Kumbe Juma una watoto na walitoka ndani yako😮😮😮
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 6 ай бұрын
Tena watot wa ndoa
@armandoleonardo6966
@armandoleonardo6966 6 ай бұрын
Hoje Juma deixou de ser gay e falou a verdade. Congratulação pra juma🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@peterdavid4230
@peterdavid4230 6 ай бұрын
Shoga promax😂
@user-nm4yt1of7t
@user-nm4yt1of7t 6 ай бұрын
Ujamaa mjinga sana we unaweza kulala kwenye ngari 😂😂😂
@kingkendrickk
@kingkendrickk 6 ай бұрын
Maimatha anakaa kisemvule
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 6 ай бұрын
Uyu dogo bwege Sana, hasa we una kazi gani ambayo itakufanya upumzike
@violethbosha1666
@violethbosha1666 6 ай бұрын
Juma kumbe wakati mwingine zimo
@zainabuhamisi576
@zainabuhamisi576 6 ай бұрын
Kuna muda kichwa chako kinachaji
@user-zi9zt5dj8n
@user-zi9zt5dj8n 6 ай бұрын
kumbe huyu jamaa anakuaga anakilii cku mojamoja
@mbanga6759
@mbanga6759 6 ай бұрын
Namwijaku aliambiwa hivo kumbe anaakili
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 6 ай бұрын
Huwa akikosaga uboo tuu ndo huwa mwehuu
@baoussenesombair8007
@baoussenesombair8007 6 ай бұрын
Juma 2024 vou a sistir suas intervista . Gud big juma na mwaka u wew jumy.
@IddyKaminja
@IddyKaminja 6 ай бұрын
Bonjur😂
MWIJAKU ALIVYO PEWA PESA NA CHIEF GODLOVE, ONA VURUGU ZAKE
9:31
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 5 МЛН
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 35 МЛН
BIG SUNDAY LIVE | VURUGU ZA BABA LEVO & MWIJAKU
29:33
Wasafi Media
Рет қаралды 352 М.
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 206 М.
Нажимай выше ☝️☝️☝️ #а4 #глент #риви #viral
0:25
Как меняются люди
Рет қаралды 1,7 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
0:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 6 МЛН
Smart thief😳 لص ذكي…
0:19
MARYA & AMINE
Рет қаралды 45 МЛН
Как котики ложатся спать, до конца!
0:31
🌀 Вирусные видео
Рет қаралды 6 МЛН
Тигра в команде Вафельки! А ты? 🐯#симбочка #тигра #симба
0:42