UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah
@issakobakimanga7738Ай бұрын
Ewaaa watu wengi ndio fikra zao
@SuzyMarrochАй бұрын
Amen
@ismailabdallah7853Ай бұрын
Binadam mawazo yao mabovu sana majin viumbe kama viumbe vingine kuna majini wapotovu kama binadamu kunawema wanaomumcha mwenyezi mungu
@user-qe3fs1xc3b2 ай бұрын
MashaALLAH mwenyezmungu azidi kukufanyia wepec kwenye na kheri nyingi za Dunia na akhera mm nakukubali Sana sheikh. Doctor SULE.
@UwayezuJoseeАй бұрын
Mambo! Naomba namba ake please!!!
@abasssuleiman61492 ай бұрын
Nilianza kumkubali huyu bwana tokea miaka ya 2003 nikiwa Mbeya, alisilimisha watu wengi pale, Allah ampe wepesi
@audifansisafari5587Ай бұрын
Kawaunganisha Kwa majini majini wote wamemuasi Mungu
@maciaali369826 күн бұрын
Doctor Sule unadunisha dini pia unatukana dini,Allah mpenda haki atakudhalalisha mbele ya watu InshaAllah
@niyongiraidi7242Ай бұрын
Allah akuzidishie kira raheri kwa kuokoa nafsi za wajawake Allah kwa kuamrisha heri na kukataza mabaya
@IbrahimShan-qu3um2 ай бұрын
Interview nzurii sana big up...MTANGAZAJI UNAJUA
@nakundwamkubwe78232 ай бұрын
Kichwa cha stori ulicho andika hapo ni tofauti na alivyo ongea Dr Sulle. Sio vizuri kupotosha watu muogepeni Mwenyezi Mungu.
@aishathabit3732Ай бұрын
Huyu muandishi sio mwislamu
@aishathabit3732Ай бұрын
Umekosea maana ya haram na halali Kasome tena maana hiyo ya halali na haramu
@user-dl4mr4bu8w11 күн бұрын
Kweli kabisa
@mwanaikaomar86282 ай бұрын
Nnachompendea dr sele.ni mfasaha wa mazungumzo kupita kiasi.humshiki kirahisi kwenye mazungumzo.huyu mtu Allah kampa kipaji kikubwa.mashallah
@MisheckSiame-si1yo2 ай бұрын
Mungu anisaidie kupata jini mwema
@YamunguMuha2 ай бұрын
Allah gani wewe,hakuna Cha Allah Wala nn,mshirikina mtupu
@Famao-dg3ul2 ай бұрын
@@YamunguMuhasiku ukimjua Allah ndio utajua makosa yako
@kennethbenjamin2752 ай бұрын
Nyie wabongo si mnapenda watu wanaongea sanaaa ndy marole model wenu
@mwanaikaomar86282 ай бұрын
@@Famao-dg3ul kabisa yani.👍👍.hajamjua Allah Nani mpaka siku ya Kufa ndo atamjua.Allah ajaalie aslkm kabla ya mauti yake.hajitambui bado
@aminabdalla78242 ай бұрын
Allah anajua zaidi ..... Allah tupe mwisho mwema waislam wote tulioko kwenye mgongo wa ardhi... Allah humma ameen🤲🤲
@user-yo4qu1pt7h2 ай бұрын
Amiin
@MusaCleophac-bs9fkАй бұрын
Uoj kisomi zaid nimependa uko vzr xan allah akujalie ❤
@maryamkombo2039Ай бұрын
Dr. Sule, Nakuombea kwa Allah(SWT) akulinde, na akupe Maisha Marefu yenye Afya Kamili, Ili uzidi kuelimisha Umma. Shukran.
@muhidinsultan20492 ай бұрын
Allah akupe afya,Siha,na kila hitajiko lako na Allah aweke barka ktk harakati zako Dr sule Allah amekujaalia hakika.
@ndogoroedson1992 ай бұрын
Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake
@muhidinsultan20492 ай бұрын
@@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏
@muhidinsultan2049Ай бұрын
No coment bro🙏
@omariaman78182 ай бұрын
Huyu mtangazaji nimemkubali sana anajua sana kutengeneza maswali
@muhammadally3932 ай бұрын
Dr Sule mimi nakuombea kila la kheri duniani na akhera
@user-hu3sc4kg1fАй бұрын
Mashaallah tabarika allah mungu akubariki zaidi sheikh
@thomasgogomoka64042 ай бұрын
Huyu ni Mganga tu wa Kienyeji aliyechangamka, mkiambiwa Waislam mnafuga majini mnakasilika.
@solissereeh7913Ай бұрын
na nyie hamuabudu mpka muonyeshwe miujiza😮
@IbrahimNtirenganya2 ай бұрын
Allahu Akibar Allah akupe hidayat kama unataka kufaidi nakujuwa mengi kuhusu ilimu ya dini watafute Wana ilimu ya dini
@IbrahimMahmoud-em1np2 ай бұрын
Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah
@fatumaomary61102 ай бұрын
Soma ujue kama una muweza mfate ilala ustake kiki
@IbrahimMahmoud-em1np2 ай бұрын
Kwahio mtu akikomenti anatafuta kiki sindio? Hahahahaha ضعف الطالب والمبطلوب
@VukaRails-jp6mf2 ай бұрын
Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa
@heriabudu32072 ай бұрын
Kweli bro naanza kuwa na tashwishi naye
@IbrahimMahmoud-em1np2 ай бұрын
Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja? قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ. Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين
@ShomaryGango2 ай бұрын
I like this interview, you did bro.
@saiddigogogo8218Ай бұрын
Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu
@imanimakishe8632Ай бұрын
Kwanini ulozani kakuzarau au dawa ilikua ya ajabu
@MakondaPaul-uq7cmАй бұрын
Ndugu naomba namba yake
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008Ай бұрын
Ilikua daw gn hyo jamn
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008Ай бұрын
Daw gn alikupa
@UwayezuJoseeАй бұрын
Naomba namba ake
@kennethjunior60712 ай бұрын
Mtangazaji big Up sana
@user-jd6vr9xw1oАй бұрын
Docteur Sule nakukubali sana Sheikh wangu
@RamadhanKarim-el6tvАй бұрын
Dr Sule Allah akupe umri ugekuwa Rai's ugedelesha Ichi Sana vizuri Sana mashaallah
@mwanaikaomar862828 күн бұрын
We unauliza swali moja.mwamba anakujibu majibu kumi.aaa weee.asante Allah kwa kutupa huyu mtu.dr.sule nchini tz.alhmdulillah
@ArafaSuleiman-db9pw2 ай бұрын
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin
@zahraalbaloochi2841Ай бұрын
Ameen
@saloom49022 ай бұрын
Bro una maswali critical sna umefit kabisa kuwa presenter Allah akufanye bora zaid ufikie ndoto zako❤
@MavisMunyiva2 ай бұрын
Very true Daktari Kindly pray for my sons Brian and Raymond to excell in life .Thank you
@MansourKabuhaya2 ай бұрын
Are they islamic?? How can he pray for non Muslim??
@user-jd6vr9xw1oАй бұрын
Asante sana Sheikh wangu , WE mkweli kabisa
@benjaminlisi60972 ай бұрын
Mtangazaji ana maswali mazuri sana.. watching from Kenya
@allymwinja2693Ай бұрын
Dr. Sule ni MTU NA NUSU. Allah akulinde Sana🤝🙏
@SeifHamad-vn6boАй бұрын
Allah akulinde kwa Kila Shari uzidi kutangaza elimu ya dini❤
@chancekambale3498Ай бұрын
Mtangazaji uko vizuri unauliza ukijitoa big up for that kwasababu uislamu unauchawi wingi 😢😢😢😢 Bali ulipotea sana kwenye mada
@mwashumkigodaАй бұрын
Uisilam hakuna uchawi were punda mtu
@bashirmahero70212 ай бұрын
Sule nakupenda bro
@PaulMsema2 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu pia mvumilivu sana,siku moja maji na mavuta yatajitenga kuhusu Imani zetu
@mwanaikaomar86282 ай бұрын
Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo
@Rmkh882 ай бұрын
Yameshajitenga tayari, Uislamu ni haki na ukristo ambao Mungu ameuliwa na akasulubiwa ni batili. Mungu amezaliwa na binadamu? Lol
@saidbakari2408Ай бұрын
Hizi dini tumeletewa watu wengi sasaivi wamerudi kwenye asili zao, jamani turudi kwenye asili zetu 😂😂😂 jamani hivyo vyote vyawezekana
@ELIASFELIX-bq2ncАй бұрын
@@Rmkh88 dini za majini na mapepo na mizimu zimekuwa haki. Ama kweli hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.
@zahraalbaloochi2841Ай бұрын
MashaAllah shkh Allah bless you
@user-wf4vp6zu2y2 ай бұрын
Nakupenda shekh kwaajil ya allah
@kambiyusufu27762 ай бұрын
Sjui unanielewa❤❤❤❤
@faudhiasaidi36692 ай бұрын
Dr. sulle nakukubali unajua kunyoosha maneno adi raha
@samwelmatemu88732 ай бұрын
Dini yenu hiyo ya mashetani
@faudhiasaidi36692 ай бұрын
@@samwelmatemu8873 Kwa maono yako
@IbrahimMwinyi2 ай бұрын
@@samwelmatemu8873kwa nn
@chusseboywcb28082 ай бұрын
@@samwelmatemu8873yenu yakishoga sio
@samwelmatemu8873Ай бұрын
Kwa kufuga mashetani sio
@user-ci1hf6fm7t2 ай бұрын
Nimekupendaaaaa
@DhaharaniJongo-gt2unАй бұрын
Namkubali sna sheikh doctor sule
@rasheedabby28712 ай бұрын
Mungu Tusaidie sana Hizi zama ni Hatar Sana
@user-sh3tr8cm1v2 ай бұрын
Sana walai...
@user-rq9hb7hl3g2 ай бұрын
Fitna kila kona, Allah atujaalie uongofu na tufe ilhali tupo katika uongofu
@fatmahussein12382 ай бұрын
Allah azidi kukubariki Dr Sulle ama kweli neema za Allah zitangazwe
@user-nu4qn4ep4z2 ай бұрын
Sulle yuko vizuri...
@MustaphaKilukeАй бұрын
MashaAllah,wanyumbani wazee walikunyima ubunge wa CCM,kule kwetu Rufiji,umetoboa kwa njia nyengine
@MatildeBjelland2 ай бұрын
Jini ni jini Tu hapaswi kuishi na binadamu
@VukaRails-jp6mf2 ай бұрын
Mbona kuna watu wanaishi na simba?
@user-gt8fw9vk4cАй бұрын
😂😂😂😂acha uoga,mbona Paka Mbwa tunaishi nao ndani
@oklahommy98382 ай бұрын
Audhu Billah huyu Dr sule ...Allah ndio ajuaye
@user-gi2jv4kl7s2 ай бұрын
Nipe ya ndani
@abduljabbarmohammed4188Ай бұрын
Upo vizuri hujakosea.
@user-dp8hr7ex5pАй бұрын
Dr mungu akubariki sana
@hajikomora703Ай бұрын
Mungu akuhidha sheikh.
@abdullahmsuya665Ай бұрын
Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi
@hajihaji123-lp5lxАй бұрын
kweli kabisa huyu ni dr wa nguvu za kiume sasa ukimfanya ni sheikh unapotea
@jayabdy727326 күн бұрын
Baarakallah fiyk.
@anthonymgina38932 ай бұрын
Daah hapo kazi kweli kweli, Masheikh wanatakiwa wasome tawd sana wanapotosha watu haswa wale ambao wanataka kuingia kwenye uislam
@DOCTORYKAGUFA2 ай бұрын
kwann unasem ivo
@trophywilson7211Ай бұрын
ndo ukweli huo wa Doctor Sule ndugu
@trophywilson7211Ай бұрын
@@DOCTORYKAGUFAAnaogopa tumejua ukweli ndani ya Uislamu
@anthonymgina3893Ай бұрын
Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Misunderstandings tupu
@muktarikwangaika1857Ай бұрын
Mungu akubariki sana shekhe
@uwimanajustine7313Ай бұрын
Mwenyezi Mungu aki kubariki ,jivunie na utangaze,mbone wenye watatoa kwa jina zengine wanatangaza!?
@kayumbasosthenes35962 ай бұрын
Mungu ni mmoja tu na asili yake niyeye mwenyewe,Ametuumba kwa mfanano wake
@salimsaleh9354Ай бұрын
Unaposema mungu katuumba kwa mfano wake hayo ni mawazo potofu mungu hafanani na chocho wala hana mfano
@godfreydavid684721 күн бұрын
Kwa hiyo yupoje? @@salimsaleh9354
@CKMO2 ай бұрын
Doctor tuzidi kutuelimisha na tuna zidi kukupenda sana ❤
@user-tz8zu2gt6uАй бұрын
waaa waisilamu mnakupaliana na xhekhe wenu mimi yesu ananitosha
@mbondelotv83802 ай бұрын
Shekh upo sawa najua unajua kuwa nivigumu kumshawi mtu kupata kitu ambacho (mhamasishaji,) huna.uko sawa tujifunze kwako
@ELIASFELIX-bq2ncАй бұрын
Mungu akuhurumie Sheikh!
@erastoshedrackhaule9211Ай бұрын
Uhurumiwe wewe ambaye huna akili
@ELIASFELIX-bq2ncАй бұрын
@@erastoshedrackhaule9211 huna akili wewe unayetaka kumiliki Hela za majini!
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Mungu wako katailiwa na binadamu wake, biblia inasema.
@azizabuyonde8368Ай бұрын
Asante Yesu kunifiliya, ni hatari viongozi wa ma dini
@SangaleSugume2 ай бұрын
Ndy Majin walijenga
@PtransJuliusАй бұрын
Mtangazaji big up sana unajua
@patsonkyando17322 ай бұрын
Huyo Dr sule ni mganga wa Kienyeji
@user-MRTSLONLINE2 ай бұрын
Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa
@hanifamasudi97322 ай бұрын
Doctor sule amemutapeli babangu mukwe alimudanganya atamutumia dawa akadanganya hadi akafa hadi mbele akateroho akaomba wakutane kiama
@bas28232 ай бұрын
ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!
@bas28232 ай бұрын
WEYE SIO SHEKHEE! ABADAN!
@JumOnyancha2 ай бұрын
@@hanifamasudi9732 huyu ni mganga wa majini ya Muhammad ndiye mnayemsifu ....
@stevensosipita2 ай бұрын
KUMKUBALI KWA LIPI?KWA UCHAWI AMA KWA LIPI?HAWO WOTE MOTO WA JEHANNAM UNAWASUBIRI
@FatumaMpokwa25 күн бұрын
Alhamdulillah Allah akutengenezee mambo yako
@user-ou2og1ze9dАй бұрын
Hongereni sana hakuna mkamilifu
@ashurakodd15892 ай бұрын
Watumishi wa Mungu wamebarikiwa bhana wanadamu sisi tuache maneno
@nassoroyahaya8212 ай бұрын
Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe
@vesper2548Ай бұрын
@@nassoroyahaya821 mwenyezi mungu anawarehemu wema na waovu hapa duniani, ata uwe kafiri vipi mwenyezi mungu anakubariki2
@Blessedboi80192 ай бұрын
Sule ni mchawi anachificha kwa dini
@diagfinamix18612 ай бұрын
Fanya taratibu sasa umuhangushe akiruka hewani kwenye ungo tumshangile ndo tujuwe ni mcawi ama laa.
@heriabudu32072 ай бұрын
😮😮
@Onlyforfun1992tube2 ай бұрын
Dah bro sio fresh jamaa ana familia na ana watoto na ana wafuasi pia kwaio samahan usimtusi bana mzee
@rajabually88944 күн бұрын
Nikweli selle mungu amempa kipaji cha haliajuu...
@RamadhanMohamed-jz6xm2 ай бұрын
Tatizo la makafiri wakisikia jini tu wao wanawaza vitisho uchawi Habari na mambo mabaya tu
@bassambashirou4604Ай бұрын
Ndio walivyokarorishwa kuwa hakuna jini mwema na wanashindwa kujua nini shetani na nini jini
@user-sp7cm8pm4wАй бұрын
Hao ni malaika walio mias Mungu,wakatupwa hata pande za chin za nch,, lakin unyakuo ndio utatoa majibu ya muabudu wa kwel ni yupi.
@ChoiceSportstvАй бұрын
@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa
@AhmedHassan-vl5zf2 ай бұрын
Tapeli Tu huyu anatuma dini kuibia watu
@hamzarangi79892 ай бұрын
Natamani nisome kwako na nifanye kazi ya Allah unaniispare sana
@rogerabdallah4392 ай бұрын
Mkweli mungu tu ata wewe tapeli
@sulleymanselenge49752 ай бұрын
Kweli au unamdharirisha2 kaka
@user-sn2wz8zs8y2 ай бұрын
Kwan naww umeibiwa
@DuliBrillant-mr8erАй бұрын
Dr sule i'm proud of you 4rever❤❤❤
@sturbbornvideoz85472 ай бұрын
Interview nzur sana
@amanimanase87992 ай бұрын
Sawa mganga wa kienyeji tumesikia
@ClementinaHabineza2 ай бұрын
Mnapenda sana waisiraamu majini Sisi tunashamga
@uwimana65332 ай бұрын
Na mwamposa ni mwislam anaetapeli watu kuwaombea ?
@RemyDuma-db5fd2 ай бұрын
@@uwimana6533Mwamposa ndio kiboko yenu nyinyi na Majini yenu kuiba Pesa, kuloga,maradhi n.k
@susanejd77752 ай бұрын
Waisiraamu ndo kina nani. Inaonyesha ww zuzu mmoja usojijua
@RemyDuma-db5fd2 ай бұрын
@@uwimana6533 Mwamposa ndio kiboko yenu Wafuga Majini na Majini yenu
@KSJ65692 ай бұрын
Haya nyie mnae sema mlimoona Mungu amuoni kuwa mnamkufuru Mungu sikiliza maneno mjielew mlipoteya kiasi gani nyie
@usrahismail3196Ай бұрын
Nilimuheshimu sana Sulle kwa maswali ya elimu ya Biblia ukilinganisha na Qur'an ila sikujua ana udaktari wa kishirikina,Allah amuongoze
@audifansisafari5587Ай бұрын
Kufuga majini
@user-og6qz2ht6eАй бұрын
❤mungu akubariki
@donaldmwahalende48412 ай бұрын
Muongo wewe Suleiman mungu alimuongoza sio jin
@heriabudu32072 ай бұрын
Huyu shehe namwonea mbali Kwa maneno yake
@3leggedbird2222 ай бұрын
Ohoo hapo kwa suleiman ni kweli unajua lile hekalu ni kweli lilijengwa nq majini tena wakubwa wenye nguvu hapo amepatia
@ahmadifataha66772 ай бұрын
Huyu magumashi si ndio allkiuwa anatoa hukumu juzi juzi kwa msanii
@khamisyahya77032 ай бұрын
Bwanaweeh
@omariaman78182 ай бұрын
Uzuri doctor sule anaongeaga na kutoa ushahidi kama kuna kitu kakosea mkanushe kwa ushahidi sio kwa kubwabwaja
@SumaiaIssa-px4plАй бұрын
Wew una sapoti ujinga tu basi
@HubertMaleko862 ай бұрын
Sema mdaa mwingine Sule Biblia anaiamini vizuri tu.. Nabii hakubaliki kwao ni maneno ya kwenye Biblia sema mdaa mwingine anaiponda
@OmaryIssa-uk4zh2 ай бұрын
Exactly doctor sulle
@ramadhanimussa26252 ай бұрын
Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah
@abdurahfaris8438Ай бұрын
Haahaahaahahhahha
@audifansisafari5587Ай бұрын
Ya majini
@stevensosipita2 ай бұрын
MAZINGE ,SULLE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI NK WOTE NI JEHANNAM INAWASUBIRI MATAPELI NA WANAPOTOSHA UMMA
@Rmkh882 ай бұрын
Kwa chuki zako tu
@user-tg5ru7cb9b2 ай бұрын
Duuh Mungu ndiye anaehukumu
@princessmakwega24442 ай бұрын
Kwaiyo wewe una pepo na una moto wa kuwapa watu duu Pole sana tubia mda bado unao
@muhsinihassani28052 ай бұрын
We kama nani mpaka umuhukumu mwanadam mwenzio kua ni wa motoni acha habari zako bwn hiyo ni kazi ya mungu mwenyewe si binadam
@stevensosipita2 ай бұрын
@@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni
@hassanmohamedigo9021Ай бұрын
Mungu amuongoze selemani
@cbyekwasoАй бұрын
Great interview
@kennethjunior60712 ай бұрын
Mmi nakukubali sana Dr sure, even though am a Christian
@ItsblackghostАй бұрын
Unasubur nn😂
@rogersiddy2 ай бұрын
Simu yako alete nani sasa Dr.Sule wakati simu unayo mwenyewe?😂😂🙌
@frankmichael4112 ай бұрын
😅
@rogersiddy2 ай бұрын
@@frankmichael411 Bhana weeee watu tunambwembwe kwenye mgongo wa ardhi hatari sana😂😂
@abdallahsalem8499Ай бұрын
Salaam Aleikum Dr. Sule, Nakuomba unipatiye number ya Clinic yako Mombasa, jazakallahul kheir
@mmeagroup-TVАй бұрын
Allah akuongoze kaka ,wew una elimu nzuri ila hapa hatupo pamoja mche allah , hakuna mfungano wa muislam na majini kufanya hvyo ni kujiingiza katika ushirikiano.
@HadijaZabroni-pu1lt2 ай бұрын
Anakera uyu baba😢😢😢
@user-nr3uw7bq1r2 ай бұрын
Anakera aje, nafasi ya kutongozwa na yeye uliikosa, hahahaaaa
Nampenda sana YESUKRISTO mimi jamani nampenda kuliko maelezo
@znaqmumeja2678Ай бұрын
Muongo wewe , unampenda mtu usimuona, na hakujui, eti kuliko maelezo,🤣🤣🤣🤣🤣
@user-nb2ql7zw3iАй бұрын
Sasa tukusaidiaje na huyo ndiyo bwana yako uliyomchagua.
@jabirkasunzu6841Ай бұрын
Kuna siku utang'ata kidole
@user-yu1zo9pf4oАй бұрын
Endelea kumpenda ila elimu haina mwixho soma ujiue njia sahihi❤
@jumamwacharodzikowa523Ай бұрын
Kumpenda ni huko kumwita mwana wa Mungu ndio Kumpenda
@Jabaman207-ue6skАй бұрын
MashaAllah suleee
@user-te5ps3xd2d2 ай бұрын
Doctor su anajua anachokifanya mwenyezi Mungu amlinde inshaallah
@salimkocha73962 ай бұрын
Salam aleykum shekhe napataje no ya sule ninataka nimpe zawadi atakayo itumia kwenye mizunguko yake nipo urambo
@laurentsichalwe2862 ай бұрын
Naomba pia hiyo zawadi nami inisaidie,,,,,nipo Dodoma
@123228792 ай бұрын
Unataka umuongeze jini au
@ahmedalfan80752 ай бұрын
Hamna shee umo
@Omaryactor012 ай бұрын
We mwislam gani hawa ni warith wa mtuma acha upuuzi
@ahmedalfan80752 ай бұрын
@@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza
@user-kd6xn7ux4v2 ай бұрын
@@ahmedalfan8075kuwa nahaya ww we unaona raha gn kuona masheikh wanakuwa maskini yaan sheikh akiwa napesa wee unachukizwa!
@silvanusjeremiah82562 ай бұрын
You're talking too much nonsense.... idiot
@safarsafari682 ай бұрын
Shekhe ni Baba ako2
@annakattoa7502Ай бұрын
Mm napenda tu huyu mtangqzaji anamasqali mafupi ya hekima yenye point yaani hajakutupuka amejipanga hongera sana
@bashirbaruan3969Ай бұрын
Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia