JUMBA LA KIFAHARI LA DR SULLE "NDANI YA NYUMBA KUNA JINI LINAMUENDESHA

  Рет қаралды 304,498

Bongo Touch

Bongo Touch

2 ай бұрын

Пікірлер: 1 100
@ramadhanimussa2625
@ramadhanimussa2625 2 ай бұрын
UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah
@issakobakimanga7738
@issakobakimanga7738 Ай бұрын
Ewaaa watu wengi ndio fikra zao
@SuzyMarroch
@SuzyMarroch Ай бұрын
Amen
@ismailabdallah7853
@ismailabdallah7853 Ай бұрын
Binadam mawazo yao mabovu sana majin viumbe kama viumbe vingine kuna majini wapotovu kama binadamu kunawema wanaomumcha mwenyezi mungu
@user-qe3fs1xc3b
@user-qe3fs1xc3b 2 ай бұрын
MashaALLAH mwenyezmungu azidi kukufanyia wepec kwenye na kheri nyingi za Dunia na akhera mm nakukubali Sana sheikh. Doctor SULE.
@UwayezuJosee
@UwayezuJosee Ай бұрын
Mambo! Naomba namba ake please!!!
@abasssuleiman6149
@abasssuleiman6149 2 ай бұрын
Nilianza kumkubali huyu bwana tokea miaka ya 2003 nikiwa Mbeya, alisilimisha watu wengi pale, Allah ampe wepesi
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Ай бұрын
Kawaunganisha Kwa majini majini wote wamemuasi Mungu
@maciaali3698
@maciaali3698 26 күн бұрын
Doctor Sule unadunisha dini pia unatukana dini,Allah mpenda haki atakudhalalisha mbele ya watu InshaAllah
@niyongiraidi7242
@niyongiraidi7242 Ай бұрын
Allah akuzidishie kira raheri kwa kuokoa nafsi za wajawake Allah kwa kuamrisha heri na kukataza mabaya
@IbrahimShan-qu3um
@IbrahimShan-qu3um 2 ай бұрын
Interview nzurii sana big up...MTANGAZAJI UNAJUA
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 ай бұрын
Kichwa cha stori ulicho andika hapo ni tofauti na alivyo ongea Dr Sulle. Sio vizuri kupotosha watu muogepeni Mwenyezi Mungu.
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Huyu muandishi sio mwislamu
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Ай бұрын
Umekosea maana ya haram na halali Kasome tena maana hiyo ya halali na haramu
@user-dl4mr4bu8w
@user-dl4mr4bu8w 11 күн бұрын
Kweli kabisa
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 2 ай бұрын
Nnachompendea dr sele.ni mfasaha wa mazungumzo kupita kiasi.humshiki kirahisi kwenye mazungumzo.huyu mtu Allah kampa kipaji kikubwa.mashallah
@MisheckSiame-si1yo
@MisheckSiame-si1yo 2 ай бұрын
Mungu anisaidie kupata jini mwema
@YamunguMuha
@YamunguMuha 2 ай бұрын
Allah gani wewe,hakuna Cha Allah Wala nn,mshirikina mtupu
@Famao-dg3ul
@Famao-dg3ul 2 ай бұрын
​@@YamunguMuhasiku ukimjua Allah ndio utajua makosa yako
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 2 ай бұрын
Nyie wabongo si mnapenda watu wanaongea sanaaa ndy marole model wenu
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 2 ай бұрын
@@Famao-dg3ul kabisa yani.👍👍.hajamjua Allah Nani mpaka siku ya Kufa ndo atamjua.Allah ajaalie aslkm kabla ya mauti yake.hajitambui bado
@aminabdalla7824
@aminabdalla7824 2 ай бұрын
Allah anajua zaidi ..... Allah tupe mwisho mwema waislam wote tulioko kwenye mgongo wa ardhi... Allah humma ameen🤲🤲
@user-yo4qu1pt7h
@user-yo4qu1pt7h 2 ай бұрын
Amiin
@MusaCleophac-bs9fk
@MusaCleophac-bs9fk Ай бұрын
Uoj kisomi zaid nimependa uko vzr xan allah akujalie ❤
@maryamkombo2039
@maryamkombo2039 Ай бұрын
Dr. Sule, Nakuombea kwa Allah(SWT) akulinde, na akupe Maisha Marefu yenye Afya Kamili, Ili uzidi kuelimisha Umma. Shukran.
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 2 ай бұрын
Allah akupe afya,Siha,na kila hitajiko lako na Allah aweke barka ktk harakati zako Dr sule Allah amekujaalia hakika.
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 2 ай бұрын
Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 2 ай бұрын
@@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 Ай бұрын
No coment bro🙏
@omariaman7818
@omariaman7818 2 ай бұрын
Huyu mtangazaji nimemkubali sana anajua sana kutengeneza maswali
@muhammadally393
@muhammadally393 2 ай бұрын
Dr Sule mimi nakuombea kila la kheri duniani na akhera
@user-hu3sc4kg1f
@user-hu3sc4kg1f Ай бұрын
Mashaallah tabarika allah mungu akubariki zaidi sheikh
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 2 ай бұрын
Huyu ni Mganga tu wa Kienyeji aliyechangamka, mkiambiwa Waislam mnafuga majini mnakasilika.
@solissereeh7913
@solissereeh7913 Ай бұрын
na nyie hamuabudu mpka muonyeshwe miujiza😮
@IbrahimNtirenganya
@IbrahimNtirenganya 2 ай бұрын
Allahu Akibar Allah akupe hidayat kama unataka kufaidi nakujuwa mengi kuhusu ilimu ya dini watafute Wana ilimu ya dini
@IbrahimMahmoud-em1np
@IbrahimMahmoud-em1np 2 ай бұрын
Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah
@fatumaomary6110
@fatumaomary6110 2 ай бұрын
Soma ujue kama una muweza mfate ilala ustake kiki
@IbrahimMahmoud-em1np
@IbrahimMahmoud-em1np 2 ай бұрын
Kwahio mtu akikomenti anatafuta kiki sindio? Hahahahaha ضعف الطالب والمبطلوب
@VukaRails-jp6mf
@VukaRails-jp6mf 2 ай бұрын
Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa
@heriabudu3207
@heriabudu3207 2 ай бұрын
Kweli bro naanza kuwa na tashwishi naye
@IbrahimMahmoud-em1np
@IbrahimMahmoud-em1np 2 ай бұрын
Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja? قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ. Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين
@ShomaryGango
@ShomaryGango 2 ай бұрын
I like this interview, you did bro.
@saiddigogogo8218
@saiddigogogo8218 Ай бұрын
Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu
@imanimakishe8632
@imanimakishe8632 Ай бұрын
Kwanini ulozani kakuzarau au dawa ilikua ya ajabu
@MakondaPaul-uq7cm
@MakondaPaul-uq7cm Ай бұрын
Ndugu naomba namba yake
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008 Ай бұрын
Ilikua daw gn hyo jamn
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008 Ай бұрын
Daw gn alikupa
@UwayezuJosee
@UwayezuJosee Ай бұрын
Naomba namba ake
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 2 ай бұрын
Mtangazaji big Up sana
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o Ай бұрын
Docteur Sule nakukubali sana Sheikh wangu
@RamadhanKarim-el6tv
@RamadhanKarim-el6tv Ай бұрын
Dr Sule Allah akupe umri ugekuwa Rai's ugedelesha Ichi Sana vizuri Sana mashaallah
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 28 күн бұрын
We unauliza swali moja.mwamba anakujibu majibu kumi.aaa weee.asante Allah kwa kutupa huyu mtu.dr.sule nchini tz.alhmdulillah
@ArafaSuleiman-db9pw
@ArafaSuleiman-db9pw 2 ай бұрын
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 Ай бұрын
Ameen
@saloom4902
@saloom4902 2 ай бұрын
Bro una maswali critical sna umefit kabisa kuwa presenter Allah akufanye bora zaid ufikie ndoto zako❤
@MavisMunyiva
@MavisMunyiva 2 ай бұрын
Very true Daktari Kindly pray for my sons Brian and Raymond to excell in life .Thank you
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 2 ай бұрын
Are they islamic?? How can he pray for non Muslim??
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o Ай бұрын
Asante sana Sheikh wangu , WE mkweli kabisa
@benjaminlisi6097
@benjaminlisi6097 2 ай бұрын
Mtangazaji ana maswali mazuri sana.. watching from Kenya
@allymwinja2693
@allymwinja2693 Ай бұрын
Dr. Sule ni MTU NA NUSU. Allah akulinde Sana🤝🙏
@SeifHamad-vn6bo
@SeifHamad-vn6bo Ай бұрын
Allah akulinde kwa Kila Shari uzidi kutangaza elimu ya dini❤
@chancekambale3498
@chancekambale3498 Ай бұрын
Mtangazaji uko vizuri unauliza ukijitoa big up for that kwasababu uislamu unauchawi wingi 😢😢😢😢 Bali ulipotea sana kwenye mada
@mwashumkigoda
@mwashumkigoda Ай бұрын
Uisilam hakuna uchawi were punda mtu
@bashirmahero7021
@bashirmahero7021 2 ай бұрын
Sule nakupenda bro
@PaulMsema
@PaulMsema 2 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu pia mvumilivu sana,siku moja maji na mavuta yatajitenga kuhusu Imani zetu
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo
@Rmkh88
@Rmkh88 2 ай бұрын
Yameshajitenga tayari, Uislamu ni haki na ukristo ambao Mungu ameuliwa na akasulubiwa ni batili. Mungu amezaliwa na binadamu? Lol
@saidbakari2408
@saidbakari2408 Ай бұрын
Hizi dini tumeletewa watu wengi sasaivi wamerudi kwenye asili zao, jamani turudi kwenye asili zetu 😂😂😂 jamani hivyo vyote vyawezekana
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc Ай бұрын
@@Rmkh88 dini za majini na mapepo na mizimu zimekuwa haki. Ama kweli hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 Ай бұрын
Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 Ай бұрын
MashaAllah shkh Allah bless you
@user-wf4vp6zu2y
@user-wf4vp6zu2y 2 ай бұрын
Nakupenda shekh kwaajil ya allah
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 2 ай бұрын
Sjui unanielewa❤❤❤❤
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 2 ай бұрын
Dr. sulle nakukubali unajua kunyoosha maneno adi raha
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 2 ай бұрын
Dini yenu hiyo ya mashetani
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 2 ай бұрын
@@samwelmatemu8873 Kwa maono yako
@IbrahimMwinyi
@IbrahimMwinyi 2 ай бұрын
​@@samwelmatemu8873kwa nn
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 ай бұрын
​@@samwelmatemu8873yenu yakishoga sio
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 Ай бұрын
Kwa kufuga mashetani sio
@user-ci1hf6fm7t
@user-ci1hf6fm7t 2 ай бұрын
Nimekupendaaaaa
@DhaharaniJongo-gt2un
@DhaharaniJongo-gt2un Ай бұрын
Namkubali sna sheikh doctor sule
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 2 ай бұрын
Mungu Tusaidie sana Hizi zama ni Hatar Sana
@user-sh3tr8cm1v
@user-sh3tr8cm1v 2 ай бұрын
Sana walai...
@user-rq9hb7hl3g
@user-rq9hb7hl3g 2 ай бұрын
Fitna kila kona, Allah atujaalie uongofu na tufe ilhali tupo katika uongofu
@fatmahussein1238
@fatmahussein1238 2 ай бұрын
Allah azidi kukubariki Dr Sulle ama kweli neema za Allah zitangazwe
@user-nu4qn4ep4z
@user-nu4qn4ep4z 2 ай бұрын
Sulle yuko vizuri...
@MustaphaKiluke
@MustaphaKiluke Ай бұрын
MashaAllah,wanyumbani wazee walikunyima ubunge wa CCM,kule kwetu Rufiji,umetoboa kwa njia nyengine
@MatildeBjelland
@MatildeBjelland 2 ай бұрын
Jini ni jini Tu hapaswi kuishi na binadamu
@VukaRails-jp6mf
@VukaRails-jp6mf 2 ай бұрын
Mbona kuna watu wanaishi na simba?
@user-gt8fw9vk4c
@user-gt8fw9vk4c Ай бұрын
😂😂😂😂acha uoga,mbona Paka Mbwa tunaishi nao ndani
@oklahommy9838
@oklahommy9838 2 ай бұрын
Audhu Billah huyu Dr sule ...Allah ndio ajuaye
@user-gi2jv4kl7s
@user-gi2jv4kl7s 2 ай бұрын
Nipe ya ndani
@abduljabbarmohammed4188
@abduljabbarmohammed4188 Ай бұрын
Upo vizuri hujakosea.
@user-dp8hr7ex5p
@user-dp8hr7ex5p Ай бұрын
Dr mungu akubariki sana
@hajikomora703
@hajikomora703 Ай бұрын
Mungu akuhidha sheikh.
@abdullahmsuya665
@abdullahmsuya665 Ай бұрын
Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi
@hajihaji123-lp5lx
@hajihaji123-lp5lx Ай бұрын
kweli kabisa huyu ni dr wa nguvu za kiume sasa ukimfanya ni sheikh unapotea
@jayabdy7273
@jayabdy7273 26 күн бұрын
Baarakallah fiyk.
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 2 ай бұрын
Daah hapo kazi kweli kweli, Masheikh wanatakiwa wasome tawd sana wanapotosha watu haswa wale ambao wanataka kuingia kwenye uislam
@DOCTORYKAGUFA
@DOCTORYKAGUFA 2 ай бұрын
kwann unasem ivo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Ай бұрын
ndo ukweli huo wa Doctor Sule ndugu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Ай бұрын
​@@DOCTORYKAGUFAAnaogopa tumejua ukweli ndani ya Uislamu
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 Ай бұрын
Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 Ай бұрын
Misunderstandings tupu
@muktarikwangaika1857
@muktarikwangaika1857 Ай бұрын
Mungu akubariki sana shekhe
@uwimanajustine7313
@uwimanajustine7313 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu aki kubariki ,jivunie na utangaze,mbone wenye watatoa kwa jina zengine wanatangaza!?
@kayumbasosthenes3596
@kayumbasosthenes3596 2 ай бұрын
Mungu ni mmoja tu na asili yake niyeye mwenyewe,Ametuumba kwa mfanano wake
@salimsaleh9354
@salimsaleh9354 Ай бұрын
Unaposema mungu katuumba kwa mfano wake hayo ni mawazo potofu mungu hafanani na chocho wala hana mfano
@godfreydavid6847
@godfreydavid6847 21 күн бұрын
Kwa hiyo yupoje? ​@@salimsaleh9354
@CKMO
@CKMO 2 ай бұрын
Doctor tuzidi kutuelimisha na tuna zidi kukupenda sana ❤
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
waaa waisilamu mnakupaliana na xhekhe wenu mimi yesu ananitosha
@mbondelotv8380
@mbondelotv8380 2 ай бұрын
Shekh upo sawa najua unajua kuwa nivigumu kumshawi mtu kupata kitu ambacho (mhamasishaji,) huna.uko sawa tujifunze kwako
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc Ай бұрын
Mungu akuhurumie Sheikh!
@erastoshedrackhaule9211
@erastoshedrackhaule9211 Ай бұрын
Uhurumiwe wewe ambaye huna akili
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc Ай бұрын
@@erastoshedrackhaule9211 huna akili wewe unayetaka kumiliki Hela za majini!
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 Ай бұрын
Mungu wako katailiwa na binadamu wake, biblia inasema.
@azizabuyonde8368
@azizabuyonde8368 Ай бұрын
Asante Yesu kunifiliya, ni hatari viongozi wa ma dini
@SangaleSugume
@SangaleSugume 2 ай бұрын
Ndy Majin walijenga
@PtransJulius
@PtransJulius Ай бұрын
Mtangazaji big up sana unajua
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 2 ай бұрын
Huyo Dr sule ni mganga wa Kienyeji
@user-MRTSLONLINE
@user-MRTSLONLINE 2 ай бұрын
Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 2 ай бұрын
Doctor sule amemutapeli babangu mukwe alimudanganya atamutumia dawa akadanganya hadi akafa hadi mbele akateroho akaomba wakutane kiama
@bas2823
@bas2823 2 ай бұрын
ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!
@bas2823
@bas2823 2 ай бұрын
WEYE SIO SHEKHEE! ABADAN!
@JumOnyancha
@JumOnyancha 2 ай бұрын
@@hanifamasudi9732 huyu ni mganga wa majini ya Muhammad ndiye mnayemsifu ....
@stevensosipita
@stevensosipita 2 ай бұрын
KUMKUBALI KWA LIPI?KWA UCHAWI AMA KWA LIPI?HAWO WOTE MOTO WA JEHANNAM UNAWASUBIRI
@FatumaMpokwa
@FatumaMpokwa 25 күн бұрын
Alhamdulillah Allah akutengenezee mambo yako
@user-ou2og1ze9d
@user-ou2og1ze9d Ай бұрын
Hongereni sana hakuna mkamilifu
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 2 ай бұрын
Watumishi wa Mungu wamebarikiwa bhana wanadamu sisi tuache maneno
@nassoroyahaya821
@nassoroyahaya821 2 ай бұрын
Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe
@vesper2548
@vesper2548 Ай бұрын
​@@nassoroyahaya821 mwenyezi mungu anawarehemu wema na waovu hapa duniani, ata uwe kafiri vipi mwenyezi mungu anakubariki2
@Blessedboi8019
@Blessedboi8019 2 ай бұрын
Sule ni mchawi anachificha kwa dini
@diagfinamix1861
@diagfinamix1861 2 ай бұрын
Fanya taratibu sasa umuhangushe akiruka hewani kwenye ungo tumshangile ndo tujuwe ni mcawi ama laa.
@heriabudu3207
@heriabudu3207 2 ай бұрын
😮😮
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 2 ай бұрын
Dah bro sio fresh jamaa ana familia na ana watoto na ana wafuasi pia kwaio samahan usimtusi bana mzee
@rajabually8894
@rajabually8894 4 күн бұрын
Nikweli selle mungu amempa kipaji cha haliajuu...
@RamadhanMohamed-jz6xm
@RamadhanMohamed-jz6xm 2 ай бұрын
Tatizo la makafiri wakisikia jini tu wao wanawaza vitisho uchawi Habari na mambo mabaya tu
@bassambashirou4604
@bassambashirou4604 Ай бұрын
Ndio walivyokarorishwa kuwa hakuna jini mwema na wanashindwa kujua nini shetani na nini jini
@user-sp7cm8pm4w
@user-sp7cm8pm4w Ай бұрын
Hao ni malaika walio mias Mungu,wakatupwa hata pande za chin za nch,, lakin unyakuo ndio utatoa majibu ya muabudu wa kwel ni yupi.
@ChoiceSportstv
@ChoiceSportstv Ай бұрын
​@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 2 ай бұрын
Tapeli Tu huyu anatuma dini kuibia watu
@hamzarangi7989
@hamzarangi7989 2 ай бұрын
Natamani nisome kwako na nifanye kazi ya Allah unaniispare sana
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 2 ай бұрын
Mkweli mungu tu ata wewe tapeli
@sulleymanselenge4975
@sulleymanselenge4975 2 ай бұрын
Kweli au unamdharirisha2 kaka
@user-sn2wz8zs8y
@user-sn2wz8zs8y 2 ай бұрын
Kwan naww umeibiwa
@DuliBrillant-mr8er
@DuliBrillant-mr8er Ай бұрын
Dr sule i'm proud of you 4rever❤❤❤
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 2 ай бұрын
Interview nzur sana
@amanimanase8799
@amanimanase8799 2 ай бұрын
Sawa mganga wa kienyeji tumesikia
@ClementinaHabineza
@ClementinaHabineza 2 ай бұрын
Mnapenda sana waisiraamu majini Sisi tunashamga
@uwimana6533
@uwimana6533 2 ай бұрын
Na mwamposa ni mwislam anaetapeli watu kuwaombea ?
@RemyDuma-db5fd
@RemyDuma-db5fd 2 ай бұрын
​@@uwimana6533Mwamposa ndio kiboko yenu nyinyi na Majini yenu kuiba Pesa, kuloga,maradhi n.k
@susanejd7775
@susanejd7775 2 ай бұрын
Waisiraamu ndo kina nani. Inaonyesha ww zuzu mmoja usojijua
@RemyDuma-db5fd
@RemyDuma-db5fd 2 ай бұрын
@@uwimana6533 Mwamposa ndio kiboko yenu Wafuga Majini na Majini yenu
@KSJ6569
@KSJ6569 2 ай бұрын
Haya nyie mnae sema mlimoona Mungu amuoni kuwa mnamkufuru Mungu sikiliza maneno mjielew mlipoteya kiasi gani nyie
@usrahismail3196
@usrahismail3196 Ай бұрын
Nilimuheshimu sana Sulle kwa maswali ya elimu ya Biblia ukilinganisha na Qur'an ila sikujua ana udaktari wa kishirikina,Allah amuongoze
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Ай бұрын
Kufuga majini
@user-og6qz2ht6e
@user-og6qz2ht6e Ай бұрын
❤mungu akubariki
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 2 ай бұрын
Muongo wewe Suleiman mungu alimuongoza sio jin
@heriabudu3207
@heriabudu3207 2 ай бұрын
Huyu shehe namwonea mbali Kwa maneno yake
@3leggedbird222
@3leggedbird222 2 ай бұрын
Ohoo hapo kwa suleiman ni kweli unajua lile hekalu ni kweli lilijengwa nq majini tena wakubwa wenye nguvu hapo amepatia
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 2 ай бұрын
Huyu magumashi si ndio allkiuwa anatoa hukumu juzi juzi kwa msanii
@khamisyahya7703
@khamisyahya7703 2 ай бұрын
Bwanaweeh
@omariaman7818
@omariaman7818 2 ай бұрын
Uzuri doctor sule anaongeaga na kutoa ushahidi kama kuna kitu kakosea mkanushe kwa ushahidi sio kwa kubwabwaja
@SumaiaIssa-px4pl
@SumaiaIssa-px4pl Ай бұрын
Wew una sapoti ujinga tu basi
@HubertMaleko86
@HubertMaleko86 2 ай бұрын
Sema mdaa mwingine Sule Biblia anaiamini vizuri tu.. Nabii hakubaliki kwao ni maneno ya kwenye Biblia sema mdaa mwingine anaiponda
@OmaryIssa-uk4zh
@OmaryIssa-uk4zh 2 ай бұрын
Exactly doctor sulle
@ramadhanimussa2625
@ramadhanimussa2625 2 ай бұрын
Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah
@abdurahfaris8438
@abdurahfaris8438 Ай бұрын
Haahaahaahahhahha
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 Ай бұрын
Ya majini
@stevensosipita
@stevensosipita 2 ай бұрын
MAZINGE ,SULLE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI NK WOTE NI JEHANNAM INAWASUBIRI MATAPELI NA WANAPOTOSHA UMMA
@Rmkh88
@Rmkh88 2 ай бұрын
Kwa chuki zako tu
@user-tg5ru7cb9b
@user-tg5ru7cb9b 2 ай бұрын
Duuh Mungu ndiye anaehukumu
@princessmakwega2444
@princessmakwega2444 2 ай бұрын
Kwaiyo wewe una pepo na una moto wa kuwapa watu duu Pole sana tubia mda bado unao
@muhsinihassani2805
@muhsinihassani2805 2 ай бұрын
We kama nani mpaka umuhukumu mwanadam mwenzio kua ni wa motoni acha habari zako bwn hiyo ni kazi ya mungu mwenyewe si binadam
@stevensosipita
@stevensosipita 2 ай бұрын
@@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni
@hassanmohamedigo9021
@hassanmohamedigo9021 Ай бұрын
Mungu amuongoze selemani
@cbyekwaso
@cbyekwaso Ай бұрын
Great interview
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 2 ай бұрын
Mmi nakukubali sana Dr sure, even though am a Christian
@Itsblackghost
@Itsblackghost Ай бұрын
Unasubur nn😂
@rogersiddy
@rogersiddy 2 ай бұрын
Simu yako alete nani sasa Dr.Sule wakati simu unayo mwenyewe?😂😂🙌
@frankmichael411
@frankmichael411 2 ай бұрын
😅
@rogersiddy
@rogersiddy 2 ай бұрын
@@frankmichael411 Bhana weeee watu tunambwembwe kwenye mgongo wa ardhi hatari sana😂😂
@abdallahsalem8499
@abdallahsalem8499 Ай бұрын
Salaam Aleikum Dr. Sule, Nakuomba unipatiye number ya Clinic yako Mombasa, jazakallahul kheir
@mmeagroup-TV
@mmeagroup-TV Ай бұрын
Allah akuongoze kaka ,wew una elimu nzuri ila hapa hatupo pamoja mche allah , hakuna mfungano wa muislam na majini kufanya hvyo ni kujiingiza katika ushirikiano.
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 2 ай бұрын
Anakera uyu baba😢😢😢
@user-nr3uw7bq1r
@user-nr3uw7bq1r 2 ай бұрын
Anakera aje, nafasi ya kutongozwa na yeye uliikosa, hahahaaaa
@sadihashimu4664
@sadihashimu4664 2 ай бұрын
Kakukera kw lipi au wew ndo jini mbaya roho mbaya tu😅😅😅😅😅😅
@user-lc3ho9uy5h
@user-lc3ho9uy5h 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@omariaman7818
@omariaman7818 2 ай бұрын
​@@sadihashimu4664😂😂
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 Ай бұрын
Nampenda sana YESUKRISTO mimi jamani nampenda kuliko maelezo
@znaqmumeja2678
@znaqmumeja2678 Ай бұрын
Muongo wewe , unampenda mtu usimuona, na hakujui, eti kuliko maelezo,🤣🤣🤣🤣🤣
@user-nb2ql7zw3i
@user-nb2ql7zw3i Ай бұрын
Sasa tukusaidiaje na huyo ndiyo bwana yako uliyomchagua.
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 Ай бұрын
Kuna siku utang'ata kidole
@user-yu1zo9pf4o
@user-yu1zo9pf4o Ай бұрын
Endelea kumpenda ila elimu haina mwixho soma ujiue njia sahihi❤
@jumamwacharodzikowa523
@jumamwacharodzikowa523 Ай бұрын
Kumpenda ni huko kumwita mwana wa Mungu ndio Kumpenda
@Jabaman207-ue6sk
@Jabaman207-ue6sk Ай бұрын
MashaAllah suleee
@user-te5ps3xd2d
@user-te5ps3xd2d 2 ай бұрын
Doctor su anajua anachokifanya mwenyezi Mungu amlinde inshaallah
@salimkocha7396
@salimkocha7396 2 ай бұрын
Salam aleykum shekhe napataje no ya sule ninataka nimpe zawadi atakayo itumia kwenye mizunguko yake nipo urambo
@laurentsichalwe286
@laurentsichalwe286 2 ай бұрын
Naomba pia hiyo zawadi nami inisaidie,,,,,nipo Dodoma
@12322879
@12322879 2 ай бұрын
Unataka umuongeze jini au
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 2 ай бұрын
Hamna shee umo
@Omaryactor01
@Omaryactor01 2 ай бұрын
We mwislam gani hawa ni warith wa mtuma acha upuuzi
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 2 ай бұрын
@@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza
@user-kd6xn7ux4v
@user-kd6xn7ux4v 2 ай бұрын
​@@ahmedalfan8075kuwa nahaya ww we unaona raha gn kuona masheikh wanakuwa maskini yaan sheikh akiwa napesa wee unachukizwa!
@silvanusjeremiah8256
@silvanusjeremiah8256 2 ай бұрын
You're talking too much nonsense.... idiot
@safarsafari68
@safarsafari68 2 ай бұрын
Shekhe ni Baba ako2
@annakattoa7502
@annakattoa7502 Ай бұрын
Mm napenda tu huyu mtangqzaji anamasqali mafupi ya hekima yenye point yaani hajakutupuka amejipanga hongera sana
@bashirbaruan3969
@bashirbaruan3969 Ай бұрын
Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia
@nickbrown8350
@nickbrown8350 2 ай бұрын
Nnacho jua mimi jini Mzuri amtokei Binaadam Abadani
@user-uj2nv2ns1t
@user-uj2nv2ns1t 2 ай бұрын
Ndio bado hujui sasa soma ujuwe
@ugazosimba7581
@ugazosimba7581 2 ай бұрын
Anamtokea Kwa sura ya kibinadamu na hakuonyeshi tofauti Wala vitimbi
@muhammadally393
@muhammadally393 2 ай бұрын
Elimu huna na hujataka kujua tafuta Elimu utajua ulimwengu
@Magemria
@Magemria 2 ай бұрын
Na wanaokusapoti ni wenzio
@ismailabdallah7853
@ismailabdallah7853 Ай бұрын
Hira namkubari sana Dr Suleman
@user-ie3eh4nn3f
@user-ie3eh4nn3f 2 ай бұрын
Naomba namba za doctor sule
@nestarnestar4520
@nestarnestar4520 2 ай бұрын
Haya huyo apo shehe wenu anasema kuna majini mazuri na mabaya, yan unaeza kuyatumia yakuletee pesa, tukisema uislam ni dini ya majini mnakataa
@bobsalim4285
@bobsalim4285 2 ай бұрын
Anaongelea majini na sio uislamu.
@savesadgeneration
@savesadgeneration 2 ай бұрын
Njoo nikufunze bilbilia
@swahililyrics4635
@swahililyrics4635 2 ай бұрын
Nabii Suleiman kwenye ukristo hayupo!?
@hassanmitayo1875
@hassanmitayo1875 2 ай бұрын
Soma na utafiti kwa kina, inavyoonekana una imani ya kukaririshwa
@yassinwafula692
@yassinwafula692 2 ай бұрын
Kuna majini waristo
UFC Vegas 93 : Алмабаев VS Джонсон
02:01
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 207 М.
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 93 МЛН
ONA MAHABA YA DK SULLE KWA WAKE ZAKE WANNE, NAWAPENDA WOTE
13:54