Asante MCH .NDACHA kwa mafindisho. Pia MATENDO YA MITUME 20:28
@DanielBihuri-d7eАй бұрын
BWANA YESU ASIFIWE < doctor sule < hizo abari za mtini unazozijibu haviendani kabisa na unavyosema kwakweli waislam hamtauona ufalme maana ninyi ni wa ulimwengu huu .
@AshaNtiruhungwa3 ай бұрын
Subhanallah ila Hawa wakristo. Allah Awaongoze lnshaallah
@mbenamdudu78567 ай бұрын
Mashaa allah Dr sule mwalimu mungu akuweke sana
@BonfaceWawire-k6p7 ай бұрын
nikweli ndio azidi kufumbua ujanja wawaislamu na majini yao
@SaidChilaza3 ай бұрын
@@BonfaceWawire-k6p karbu katka himaya ya majini
@BenardKivuva-t1w5 ай бұрын
Asanteni sana waislam pamoja na wakristo kazi jema kwa kuwakuza waislam pamoja na wakristo
@HamzaAkilimali4 ай бұрын
Dr. SULE, Hilo Jibu lilikuwa rahisi:-Ungemsomea 7:55 MATENDO YA MITUME: Yesu akiwa huko mbinguni, upande wa kulia wa Mungu, anaitwa:-"Mwana wa Adamu" au Soma 7:24 MATHAYO Angesikia kauli ya Yesu😂😂😂(Siyo Mungu wala Mwana wa Mungu) *JAMANI WAKRISTO, YESU SIYO MUNGU, NA SI MWANA WA MUNGU. BALI NI NABII (MTUME Aliyetumwa kwa Wana wa Israel tu)
@agripinaagape11367 ай бұрын
Yesu ni mungu, kutokana na midahalo yote waislamu na mwalimu ndacha wamefanya popote na kokote wamekuwa wakristo hawajawai geuka kuwa waislamu bali waislamu wengiii wameokoka na kuongeza kanisa la mungu, tunaona vile wale wakuu wa wakiislamu wanavyo babaika kujibu maswali nahata kugeuza mada, tafadhali tumng'ang'anie mungu wa kweli, ndacha kazi nzuri
@ismailmakumbi-t1o7 ай бұрын
Yesu nae anamungu wake na hamsemi 😢😢
@IddiKimolo-uz8mx6 ай бұрын
umepotea kwl
@AdamMbwana-p6n3 ай бұрын
Sasa mungu yupo mbingun halfu arud mungu anazaliwa hemu kuna mambo jiulize wee mwenyew kwanz
@dulividuli523723 күн бұрын
Mungu anatahiriwa?
@yasluhumilemohammed74615 ай бұрын
Swali ni wapi yesu kasema mwenyew yeye ni mungu jamaa wameshindwa hawa wakristo
@LEMIJAMLAHAGWAАй бұрын
Yesu atakapo rudi ndiye atakaye hukumu kwahaki ninyi nibinadamu tu mwenyezi Mungu haturuhusu kubishana nawa sio amini
@JohnOuya-w7j3 ай бұрын
Viongozi wa kiislamu wanashindwa kujibu maswali ya wakristo,bwana yesu asifiwe wakristo,tunashukuru mungu maana tunaona waislamu wanaokoka,😅😅😅🙌
@DoctorBondia6 ай бұрын
Maashallah jazakallahu Dr Sule
@salimchimwaga83847 ай бұрын
wakrist sijui wanatatizo gani vichwani,hivi Yesu akiwa Mungu aliyemtuma Yesu atakuwa nani??
@taifaramadhan86847 ай бұрын
ndo hapo sasa
@BonfaceWawire-k6p6 ай бұрын
@@salimchimwaga8384 wewwe aja kuelewa kimskitimsikiti kakangu
@h.alshidhani89716 ай бұрын
Hawa makafiri nikuwaacha tu
@BonfaceWawire-k6p6 ай бұрын
@@salimchimwaga8384 nyinyi mukaaje kusoma bibilia na kuelewa kimsikitimiskiti bro , mngekuwa na roho wa mungu aliye hai mungeelewa vizuri huyu yesu
@TonaAlbert6 ай бұрын
Bibiliya sio yakwenu muyiaciye wakristo
@benardnjoka53597 ай бұрын
Onyango is a good teacher too
@OmaryKikwembe-v1s3 ай бұрын
Shida nacha hana uwelewa kukifanya na kiwa tofauti kua mungu na kujifanya mungu
@HuzaimaOmar-p3z5 ай бұрын
Yaa Allah wahifadhi viongozi wote wa dini na waislam wote amin
@ChiefRamso-k4d19 күн бұрын
Doctor Sule endelea kufundisha watakuelewa tu Insha Alla
@LEMIJAMLAHAGWAАй бұрын
Waislamu Mungu awasamehe Sana
@RehemaRehemaJosephbarakaАй бұрын
wa kristo hakuna wa kutushinda hata shetani analijua hilo 😂😂😂😂
@jacksonngusi41228 ай бұрын
14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli. Yohana 1:14 Sure anakubali kuwa neno ni Mungu anakubali pasipo yeye kujua
@SAMUELMUTHUKA7 ай бұрын
Nashindwa,,bona hampatii sure hili andiko,,,how I wish wataona hii comment yako
@ChikuMmanywa-ut8oz7 ай бұрын
Jamani kama mmetiwa upofu,unasema akakaa kwetu tukaona utukufu wake,maneno ya Mungu hayo! Sasa Mungu yesu hapo yupo Kwa nafasi gani? Eh kila mtu aabudu anachokiabudu
@HusseiniSemvua6 ай бұрын
Huyo neno katoka kwa baba hatukatai ila sisi tunamtaka huyo baba ndiye Mungu
@AllyMsafiri-kw2ne8 ай бұрын
Sule kiboko hasa pia nimtamu hata kumsikiliza
@Nily-kz3db7 ай бұрын
Inna lillah Wainna Lillah,Tatzo kubwa Yesu kuitwa mungu,Paulo Kaitwa mungu Naee Mungu wenu wakristo,Yaan Umeulzwa mungu wa Yesu n Mungu wetu,fahamun Yesu ana mungu wake
@AshaNtiruhungwa3 ай бұрын
Alhamdulillah namshukuru Allah subhanah wataala, kwa kunipa Ne'ema yakuzaliwa ktk Uisilamu. Alhamdulillah
@BertinBahati-p5v4 ай бұрын
Apewe sifa mungu wetu baba wa bwana wetu yesu kristo
@AyubuIkaku6 ай бұрын
Yesu sio Mungu, Mungu gani anauwawa na watu msalabani kwa mujibu wa biblia. Je Mungu anashindwaje akili na wanadamu mpaka wamuue?
@alfanfddgfd16627 ай бұрын
Ndacha huna ata akili eti yesu ni Mungu tokea lini hiyo
@TonaAlbert6 ай бұрын
Musipo kuwa na loho mitakatifu hamujaelewa😂😂
@MeshackRutto-j3mАй бұрын
@@TonaAlbertuislamu ni dini ya majini.Majini watapata aje roho mtakatifu
@HgJjj-r5m6 ай бұрын
Yesu sio mungu mungu hakuzaa wala hakuzaliwa
@JohnOuya-w7j6 күн бұрын
@@HgJjj-r5m yesu ni mungu kwa sababu ni mwana wa mungu,mwana wa mungu anastasia kuabudiwa bila 🤙
@ZuramuinamoАй бұрын
La illaha illa llah muhamdun rasulullah
@SaidSaigor8 ай бұрын
Uislamu ndio dini ya kweli,,takbiiir
@CaltonMallya-zj6cp5 ай бұрын
Ya kweli ya kuwapeleka wapi?😢
@CaltonMallya-zj6cp5 ай бұрын
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe
@istambulahmed66643 ай бұрын
Allah akbar
@kaoretosha66687 ай бұрын
Kwa hiyo mungu Yesu alikuja kuuliwa na aliowaumba....?!
@taifaramadhan86847 ай бұрын
ajabu sasa hiyo
@husseinbakromar58656 ай бұрын
I say ebu rudia hilo swali wakusikie vzuri Safi sana
@monifrank347Ай бұрын
Alivouliwa n waliomuumba alifufuka au akufufuka
@YussufOthman-g2zАй бұрын
Allah tubariki waisilamu wote.
@FrankDeo-f2e4 ай бұрын
Amen 🙏 🙌
@jacksonngusi41228 ай бұрын
18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua. Yohana 1:18 Biblia iko wazi inamtaja Mungu mwana
@legendaction2028 ай бұрын
Na ww n mwana wa nan
@jacksonngusi41228 ай бұрын
@@legendaction202 mwana wa adamu
@ElsonAsimwe8 ай бұрын
Mnazunguka sana, Yesu ni Mungu mwanadamu. Ndio maana kuna wakati unaona utu kwake na kuna wakati unaona uungu kwake
@ElsonAsimwe8 ай бұрын
Mtabishana hadi mwisho wa dunia lakini Yesu ana uungu ndani yake na utu ndani yake" ukimuita mwanadamu sawa, ukimuita Mungu ni sahihi
@ElsonAsimwe8 ай бұрын
Ana uungu Kwa sababu aliumba, na utu Kwa vile alitwaa mwili akawa mwanadamu. Hiyo ni elimu ya Imani
@Onlyforfun1992tube8 ай бұрын
Mungu baba anamuitaje bikira maria mke wangu au
@harshimissah-wn3cc8 ай бұрын
Kumbe Kuna Mungu binadamu na siku zote mmekaa kimy hamsemi 🥱🥱🥱
@AmityRajabu8 ай бұрын
Sasa mungu binadamu hatumtakii
@sunrishmussan69588 ай бұрын
😂😂Mi mkristo ila Sulel ni kichwa kwelikweli yuko very technical ila huyu mkenya anaruka ruka tu. 😢😢
@kondeboishukuru8 ай бұрын
Wewe sio bana acha kuja ku ji brand
@bonifasiemanueli218 ай бұрын
We we si mtu wA Nuru Bali mtu wA gizani
@barackamosi41168 ай бұрын
Huna ukristo wowote wewe nimbwa 2 mfuga majini mdogo
@gunkidKenya8 ай бұрын
😂😂😂
@OmarysabatoMchele4 ай бұрын
Umepotea ndugu stuka
@sarahmana26638 ай бұрын
Asante Dr Sure
@danielmwakimi24168 ай бұрын
Ndacha kiboko ya majini
@BonfaceWawire-k6p7 ай бұрын
Muisilamu pure lazima awe na majini hiyo si dini hata huyu sule nimshirikina mkuuu sana nilimuogopa siku moja tukiswali nikaabba kutokuwa muisilamu tena
@ismailmakumbi-t1o7 ай бұрын
Acheni kukimbilia majini majini ni viumbe kama ww ila tu tofauti wao wanaishi kwenye maji hoja je yesu ni mungu?? Mbona hamjibu
@BonfaceWawire-k6p7 ай бұрын
@@ismailmakumbi-t1o viumbe kaa wewe nimewaogopa walisilimu wakawa waisilamu wanawaletea hela Hutu mkitoa wenzenu kafara juu chakula Cha jini ni damu awe jini mzuri au mbaya lazima anywe damu
@aminaabdulghanim82566 ай бұрын
Uzushi, Mungu akulaani hapa dunia mpaka kesho akhera. Ameen
@BonfaceWawire-k6p6 ай бұрын
@@aminaabdulghanim8256 kando na majini ni yamagaidi wakubwa sana
@aminaabdulghanim82566 ай бұрын
@@ismailmakumbi-t1o😂 hawaezi jibu waruka ruka kama chura hupati jibu. Wakiristo wanaoza kwa udevo wa freemason na hawatasema hili ni Siri kwao.
@BonfaceWawire-k6p7 ай бұрын
shida waisilamu hawa roho wamungu kuelewa mambo yakiungu ni shida kwao kubishana nao nikaa kubishana nawatu wenye akili finyu
@Chagie7 ай бұрын
Matayo 26:36,imeeleza vizuri kuhusu yesu ni dini ipi na ni mtume wa mungu soma hiyo
Yaan awa makafiri sitakuja kuwaelewa kamwe.kuhusu hii MADA wanapoteza mda tu
@MesaIdd-dn3vt5 ай бұрын
Achen kudanganya watu wakristo jtambueni
@FaustineJustus7 ай бұрын
Ipo siku mtakubali Kua ndie ila mtakua mmechelewa
@edithbrandom30116 ай бұрын
Kweri
@HamzaAkilimali4 ай бұрын
Wakiristo, Lisemwalo na Wazungu, ni dhahiri kila kitu Mtakikubali tu:- KUOANA WANAUME KWA WANAUME: Mnasemaje hapo⁉️😂😂😂Papa mtakatifu wenu, ameisha ridhia na Anglican walianza kitambo. Sasa huwenda, Biblia inaandaliwa kubadilishwa tena. Je, ULISHA SIKIA QURANI IMEBADILISHWA ❓
@AbbyKomba6 ай бұрын
Awa wakrist au oya kun m2 wanamdai. Mbn awajib maswal wanapig kelel. Elewen mada.😂😂
@IbrahMhumble-py6iy4 ай бұрын
Dr sule🔥🔥🔥
@MaryNyaki-j6n6 ай бұрын
Katika mungu kunanafsi tatu Mungu moja, Mungu mwana, mungu Rohoo mtakatifu
@MaryNyaki-j6n6 ай бұрын
Nice
@ImanNjogolo4 ай бұрын
Ukiamini sana uislamu utavunjika kiimani.mbona mnamwona sule tu,mnajua waislam mambo mengi wanashindwaga kuyaelezea.polen
@AdamMbwana-p6n3 ай бұрын
Uisalam hautk kuwelezew maan ushajirleza kitabu chke haibadilik
@CelestinoCasimiro7 ай бұрын
Dokta soma iyo Bíblia 44:24
@SaidSaigor8 ай бұрын
Mtu sio mungu,,Jesus never be God
@ElsonAsimwe8 ай бұрын
Yehoshua Amesiah, Yesu ni Mungu kweli na ni mwanadamu kweli. Ndio maana anaitwa EMANUEL
@TonaAlbert6 ай бұрын
Munamujua Muhammed .hammujuwi masiya EMMANUEL JESUS KRISTO.
@EliazaruMuchuikairithia6 ай бұрын
sawa kabisa mwalimu
@OmarysabatoMchele4 ай бұрын
Jaman saiz sio kusali kwakumtegea binadam akuongoze jiongoze mwenyewe
@IkramShaban-c4f5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@Chrishenryson-beats8 ай бұрын
Waislam akili zao ndogo sana juu ya imani. Alaf kumbe wamepotoka ivo🥹
@abeidrashid25748 ай бұрын
Kamulize mchungaji wako akuoneshe sehemu iliyoandikwa yesu ni mungu arufu utaona kiwango cha akili yako kina uwezo wa kias gani kunganuwa mambo
@Chrishenryson-beats8 ай бұрын
@@abeidrashid2574 Tatizo unakaza kichwa. Skiliza hii clip toka mwanzo majibu unapewa tena sio moja unapewa kwa vifungu. Saiv unataka nirudie tena. Nyie mmeulizwa maswali mnaruka ruka tu kama maharage yanachemka😀
@saudaumar33548 ай бұрын
wee ndio ndogo mlapanya soma bweha
@Zulkamhaji7 ай бұрын
Jaman wakiristo eleweni kuwa mungu haonekan kama ulivokuwz ulivokuwa huxioni akili zako sasa inakuwaj mungu aonekane yesu alikuwa kama uyo ndacha sasa inakuwaje awe mungu jaman elewen na mudome pia mungu ni mmoja na si mwengibe ni Allah sw ndio mungu wa mashariki xote Yesu ni mjumbe wa Allah sw
@SofiaKhamis-t2l8 ай бұрын
Yesu sio mungu bana
@MarkoWMichael8 ай бұрын
Ni Mungu imeisha iyo❤
@isahbarasa8 ай бұрын
@@MarkoWMichael😅😅😅tubu ww kwa hio maneno yako
@TonaAlbert6 ай бұрын
Alafu asikuwe Mungu weye Mungu sasa?acha ujinga
@Mathieusinzinkayo5 ай бұрын
Jiulize nawewe mungu nini?Jijibusasa.Mfano mungu nisaa pepo.Anapatikana kila mahala.Anajaa univers .Sasa nikiti gani wewe umemutengenezeya awezaye kuikalaeko?
@KatanaKariss5 ай бұрын
@@MarkoWMichael nkuulize swali mtoto ww ni mwanadamu mtoto wako atakua mwanadamu ama mnyama... Na kama ww waitwa Rashid mtoto wako aweza itwa Rashid ama hawezi itwa
@AimeBishora27 күн бұрын
❤❤❤
@Mathieusinzinkayo5 ай бұрын
Nawapenda sana kwa vile mzungumzavyo.Sasa nauliza.Uyu mungu mnasihi ambaye anaikala ku kiti uyu ni mutu au entity?
@Nily-kz3db7 ай бұрын
Jaman eehh,kat ya Adam ,Nouh,ibrahim,daud ,mussa na Yesu nan katangulwa kuumbwa,hemu achane uongo Wakristo,Yesu alkua yupo kabla kuumbwa wat2 wte Kuumbwa sasaa ,ucwe msahaulvu,mama ake yesu jee alkua ypo kabla ya nan,mbn mnajchanganya nyie ,Mariam kamzaa yesu lkn mnatwambia yesu alkuwepo kbla ya viumbe vyte,jmaan,wakristo n Mbumbumbu kwel ,huyu mchungaj Daud ndio matope hsaaa
@mariaanthoniangowi93768 ай бұрын
Sule wee unaespotosha nduguzo, were unamjua Yeah viziri sana ilaunajizingizia
@Jaydanny_ChawaboyАй бұрын
Kwani bibilia ilitokea wapi😢?????????
@LatifaHussein-c9c5 ай бұрын
Yesu mwenyewe alisema muabuduni mwenyezi mungu mola wangu mlezi na mola wenu mlezi Lakini wakristo ni wagumu kukubali ukweli mnafata waliokufuru zaman
@Mussabyadunia7 ай бұрын
Yesu ni mungu wadungu
@salimchimwaga83847 ай бұрын
Na aliyemtuma Yesu atakuwa nani?
@TonaAlbert6 ай бұрын
Mtoto wa Mungu ni mungu
@Abubakarychacha4 ай бұрын
ndacha nimuongo huyu mungu wangu sijawahi ona nimtu anaejua kuchota akili za watu wasio na uelewa leo ndio nimegundua. mungu afanyie neema na wepes kwakweli
@Zuwenamachela6 ай бұрын
Wew ni mwehu uungu haujadiliwi maana uungu uko waz mtu akishazaliwa hicho nikiumbe na Kila kiumbe kimeumbwa Issaya 44:24
@omarjumaan30614 ай бұрын
Mungu haingi chooni ela ni binadamu😂
@BanzeGolf4 ай бұрын
Mwalimu ndacha WE na batu yako mkubali kwamba yesu ni mungu!
@luselose99448 ай бұрын
Usifanye mambo kwa kushindana inshort Muslim na Mkristo we are all equal mbele za Mungu
@abeidrashid25748 ай бұрын
Usawa upo wap na nawakati kuna watu wanamin yesu ni mungu na wanaokataa yesu sio mungu ni mtume wa ngumu kama umeona ukweli fanya maamuz yesu hana sifa ya uungu yesu ana sifa utume
@MarkoWMichael8 ай бұрын
Hatuwezi kua Sawa imeandikwa Wasiomwamini Yesu wamehukumiwa
@@JoanessAdoloph pia NAMI namkubali sana kutuelewesha kuwa majini na waisilamu nikitu kimoja
@aminaabdulghanim82566 ай бұрын
@@BonfaceWawire-k6p hivi hamuongei hili la ufreemason 😂 ukiristo unaongoza sana
@Ireen-e6r3 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏⭐⭐⭐
@RAZALOCHUMA7 ай бұрын
Mdahala muzur laknis waislam hoja zenu sijaelewa
@jamilaomari24448 ай бұрын
Bi maana Yesu ni Mungu mdogo? 😂Msiba!
@omariSaidmoon5 ай бұрын
Hawa wakenya hawajui kiswahili amefanyikamwili amejifanya mwili yesu siyo mungu
@BonfaceWawire-k6p7 ай бұрын
Tangu niujue ukweli nihama kupotoshwa na mafunzo mapotofu ya uisilamu kwa sasa waisilamu zaidi ya hamsini wamemwamini yesu nakuajana kuamini muhammad mfu ,lakini yesu alifufuka maandiko yanadhibitisha ,nilipatizwa yesu ni Bwana wamajeshi
@Nily-kz3db7 ай бұрын
Lait ungejua Ndugu wallah ucngeuwacha Uislam,Nasema hv,Anae Kubal kfo Cha Yesu ,Yesu Amelaaniwa ,kw Mana Anae tundkwa juu ya Mtu akafaa mzoga wake ukamtundka Cku kuchaa nzma,Mtu Amelaaniwa na Mungu pole kijanakusema Yesu Kafa akafufuka
@ChikuMmanywa-ut8oz7 ай бұрын
Yesu alifufuka baada ya kifo sio!angalia watu wanaosilimu globally,sio hao wadhaifu wabongo wenzio 50! Pole wee
@BonfaceWawire-k6p7 ай бұрын
@@Nily-kz3db waa nilipokundua kuwa shehe wangu alikuwa mshirikina ndio nikaikataa hiyo dini
@BonfaceWawire-k6p7 ай бұрын
@@Nily-kz3db akili Ako nifinyu wewe c muisilamu kamili Wala hujui Siri kwa hiyo dini shehe wangu alikuwa na majini na akawa ananifundisha jinsi yakuyatumia hicho kitendo kilinichukiza mno nikakimbilia kwa yesu aliye hai
@aminaabdulghanim82566 ай бұрын
😂haukuwa muislamu toka awali, muislamu msoma QUR'AN na kuelewa maana yake hawezi ritadi. Wewe ni mnafiki tu 😂
@JacksoniZidoli7 ай бұрын
Waislam mnatumarizia mb bure tu hamna ukwer wowote
@ChidiSalum-f6p5 ай бұрын
Ndacha unawapoteza watu ww mungu hakuzaa wala hakuzaliwa yesu amezaliwa bana
@mariaanthoniangowi93768 ай бұрын
Wenzake wote ni boa ndiyo maana wanakusukumia ww unayecheza na Maneno ,ila ww uukweli unaujuwa; maana tumesikia hotuba Zaki Mara nyingi ukimsifia Yesu
@Kevworx8 ай бұрын
Onyango kamaliza labda kama huna D mbili ndio utapata shida kumuelewa
@kaoretosha66687 ай бұрын
Delutional....
@nourlaboratory3 ай бұрын
Mbona hapo ndacha anajibu saaa tuu au hii broadcast ni ya waislam😂😂😂
@johnweres95665 ай бұрын
Watu wanetandika vitabu 😂😂😂
@MesaIdd-dn3vt5 ай бұрын
Ndacha huna jipya kwan elimu yko bado haijafikia ya wahadhiri walioko mbele yko
@CelestinoCasimiro7 ай бұрын
Wakristo yeso no muislamo kasema mwenyewe 11:29 mathayo
@edithbrandom30116 ай бұрын
Naitwa yesu sio yeso
@cosmasdaudgwemela604629 күн бұрын
Ukristo ndiyo dini ya haki pekee ila uislamu ni hadithi za mitume2 wa zama sema Bwana yesu asifiwe
@OmaryKikwembe-v1s3 ай бұрын
Ni vigumu sana kwa mtu asiejielewa kujitabua nacha hajitambui atatambuaje kujifanya na asiejifanya
@IssaMbaru-qw6ug8 ай бұрын
Hastaghafirullah jaman mnamfananisha mungu na bina dam innallilah wa innallillah rajihun
@ElsonAsimwe8 ай бұрын
Huelewi maandiko, Mungu ni roho, na alipokuja duniani alitwaa mwili Ili aonekane nasi" Yohana.1:14
@aminaabdulghanim82566 ай бұрын
Washirikina hawa hivi mungu ataendaje chooni?
@ImanNjogolo4 ай бұрын
Nyeeeee.haya bwana yesu.tu
@profs.a54128 ай бұрын
Kwaiyo Leo sule amekubali kuwa neno ndiee Mungu, na huyo neno ni tamko la Mungu😂😂😂 daaaa
@Onlyforfun1992tube8 ай бұрын
Ukristo na uislamu sio shida ila uyahudi ndio shida,
@jacksonngusi41228 ай бұрын
Kiukweli Yesu ni Mungu ndacha amepiga pabaya
@legendaction2028 ай бұрын
Ww uliumbwa na yesu???mjinga sana mungu amekupa pumzi akulete duniani uje umfananishe na yesu
@Onlyforfun1992tube8 ай бұрын
Duh ila sule bible anaijua bana
@EnockKibona-x9z8 ай бұрын
Kweli Ndacha hawamuwezi...
@ramadhanimandoa7168 ай бұрын
Niny wakristo kweli akili zenu zina kinyesi
@IRFAN-je4dd7 ай бұрын
Kwaiyo mungu alizaliwa. Kwaiyo Kuna ukoo wa mungu Kwa mujibu wa wakristo