No video

MCHUNGAJI ALIVYO KABWA KOO NA DK SULLE, VURUGU ZA HOJA ZALINDIMA KWENYE MDAALO

  Рет қаралды 55,765

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 246
@mbenamdudu7856
@mbenamdudu7856 2 ай бұрын
Mashaa allah Dr sule mwalimu mungu akuweke sana
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
nikweli ndio azidi kufumbua ujanja wawaislamu na majini yao
@BenardKivuva-t1w
@BenardKivuva-t1w 3 күн бұрын
Asanteni sana waislam pamoja na wakristo kazi jema kwa kuwakuza waislam pamoja na wakristo
@taifaramadhan8684
@taifaramadhan8684 Ай бұрын
Alhamdulilah kwa Neema hii ya Uislamu.
@user-vr5fy7hb7w
@user-vr5fy7hb7w 2 ай бұрын
Mashaalllah dr sule❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@salimchimwaga8384
@salimchimwaga8384 Ай бұрын
wakrist sijui wanatatizo gani vichwani,hivi Yesu akiwa Mungu aliyemtuma Yesu atakuwa nani??
@taifaramadhan8684
@taifaramadhan8684 Ай бұрын
ndo hapo sasa
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
@@salimchimwaga8384 wewwe aja kuelewa kimskitimsikiti kakangu
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 Ай бұрын
Hawa makafiri nikuwaacha tu
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
@@salimchimwaga8384 nyinyi mukaaje kusoma bibilia na kuelewa kimsikitimiskiti bro , mngekuwa na roho wa mungu aliye hai mungeelewa vizuri huyu yesu
@user-bd3me7fz7v
@user-bd3me7fz7v Ай бұрын
Bibiliya sio yakwenu muyiaciye wakristo
@HuzaimaOmar-p3z
@HuzaimaOmar-p3z 2 күн бұрын
Yaa Allah wahifadhi viongozi wote wa dini na waislam wote amin
@agripinaagape1136
@agripinaagape1136 2 ай бұрын
Yesu ni mungu, kutokana na midahalo yote waislamu na mwalimu ndacha wamefanya popote na kokote wamekuwa wakristo hawajawai geuka kuwa waislamu bali waislamu wengiii wameokoka na kuongeza kanisa la mungu, tunaona vile wale wakuu wa wakiislamu wanavyo babaika kujibu maswali nahata kugeuza mada, tafadhali tumng'ang'anie mungu wa kweli, ndacha kazi nzuri
@ismailmakumbi-t1o
@ismailmakumbi-t1o Ай бұрын
Yesu nae anamungu wake na hamsemi 😢😢
@IddiKimolo-uz8mx
@IddiKimolo-uz8mx 21 күн бұрын
umepotea kwl
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 2 ай бұрын
Kwa hiyo mungu Yesu alikuja kuuliwa na aliowaumba....?!
@taifaramadhan8684
@taifaramadhan8684 Ай бұрын
ajabu sasa hiyo
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 Ай бұрын
I say ebu rudia hilo swali wakusikie vzuri Safi sana
@HgJjj-r5m
@HgJjj-r5m Ай бұрын
Yesu sio mungu mungu hakuzaa wala hakuzaliwa
@AbbyKomba
@AbbyKomba 24 күн бұрын
Awa wakrist au oya kun m2 wanamdai. Mbn awajib maswal wanapig kelel. Elewen mada.😂😂
@AllyMsafiri-kw2ne
@AllyMsafiri-kw2ne 2 ай бұрын
Sule kiboko hasa pia nimtamu hata kumsikiliza
@user-we7dz8tz9y
@user-we7dz8tz9y 2 ай бұрын
Yesu sio mungu bana
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 2 ай бұрын
Ni Mungu imeisha iyo❤
@isahbarasa
@isahbarasa 2 ай бұрын
​@@user-qy7he6cl8w😅😅😅tubu ww kwa hio maneno yako
@user-bd3me7fz7v
@user-bd3me7fz7v Ай бұрын
Alafu asikuwe Mungu weye Mungu sasa?acha ujinga
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
shida waisilamu hawa roho wamungu kuelewa mambo yakiungu ni shida kwao kubishana nao nikaa kubishana nawatu wenye akili finyu
@NurdinBihame-oh4zx
@NurdinBihame-oh4zx Ай бұрын
Matayo 26:36,imeeleza vizuri kuhusu yesu ni dini ipi na ni mtume wa mungu soma hiyo
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
@@NurdinBihame-oh4zx usisome bibilia kimsikitimsikiti jaribu kusoma kikanisakikanisa utaelewa kaka
@user-kz7nx8xe4e
@user-kz7nx8xe4e Ай бұрын
Wakiristo mmejua kutengenezwa eti roho wa mungu ,kwahiyo wewe ukijiangalia unajiona una roho ya mungu wewe
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
@@user-kz7nx8xe4e kaka nilikuwa muisilamu lakini tangu niujue ukweli nilihama hiyo dini ju niyakupotosha watu walai
@husha6372
@husha6372 27 күн бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu NDACHA AMEKUBALI KUWA MAYAHUDI NDIO WALIOLETEA IMANI
@alfanfddgfd1662
@alfanfddgfd1662 2 ай бұрын
Ndacha huna ata akili eti yesu ni Mungu tokea lini hiyo
@user-bd3me7fz7v
@user-bd3me7fz7v Ай бұрын
Musipo kuwa na loho mitakatifu hamujaelewa😂😂
@user-sp5vr7uo4w
@user-sp5vr7uo4w Ай бұрын
Katika mungu kunanafsi tatu Mungu moja, Mungu mwana, mungu Rohoo mtakatifu
@user-sp5vr7uo4w
@user-sp5vr7uo4w Ай бұрын
Nice
@Nily-kz3db
@Nily-kz3db 2 ай бұрын
Inna lillah Wainna Lillah,Tatzo kubwa Yesu kuitwa mungu,Paulo Kaitwa mungu Naee Mungu wenu wakristo,Yaan Umeulzwa mungu wa Yesu n Mungu wetu,fahamun Yesu ana mungu wake
@user-rn2fs5jg6n
@user-rn2fs5jg6n Ай бұрын
Yesu sio Mungu, Mungu gani anauwawa na watu msalabani kwa mujibu wa biblia. Je Mungu anashindwaje akili na wanadamu mpaka wamuue?
@mercymjunior9684
@mercymjunior9684 2 ай бұрын
Ndacha na Onyango na msomaji wenyu paulo Mungu awajalie umri mrefu nyinyi ni msaada mkubwa sana kwa walimwengu
@user-xr5lf6pe1n
@user-xr5lf6pe1n 2 ай бұрын
Jaman wakiristo eleweni kuwa mungu haonekan kama ulivokuwz ulivokuwa huxioni akili zako sasa inakuwaj mungu aonekane yesu alikuwa kama uyo ndacha sasa inakuwaje awe mungu jaman elewen na mudome pia mungu ni mmoja na si mwengibe ni Allah sw ndio mungu wa mashariki xote Yesu ni mjumbe wa Allah sw
@DieudonneKambale-ep4tx
@DieudonneKambale-ep4tx 2 ай бұрын
Yesu nimungu nimekubali
@user-xp3bj7qo6b
@user-xp3bj7qo6b Ай бұрын
sawa kabisa mwalimu
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 2 ай бұрын
YESU oyeeeee
@danielmwakimi2416
@danielmwakimi2416 2 ай бұрын
Ndacha kiboko ya majini
@benardnjoka5359
@benardnjoka5359 Ай бұрын
Onyango is a good teacher too
@FaustineJustus
@FaustineJustus Ай бұрын
Ipo siku mtakubali Kua ndie ila mtakua mmechelewa
@edithbrandom3011
@edithbrandom3011 Ай бұрын
Kweri
@JacksoniZidoli
@JacksoniZidoli Ай бұрын
Waislam mnatumarizia mb bure tu hamna ukwer wowote
@SaidSaigor
@SaidSaigor 2 ай бұрын
Takbiiiiiir wakenya wanasilimu majority
@BarakaZabron-py2fz
@BarakaZabron-py2fz 2 ай бұрын
Wewe una matatizo ya akili
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 Ай бұрын
​@@BarakaZabron-py2fz chuki binafusi kweli umeoza roho😂
@sarahmana2663
@sarahmana2663 2 ай бұрын
Uyo pastor anawapiteza sana watu, yesu siyo mungu, muache wujinga
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
Muisilamu pure lazima awe na majini hiyo si dini hata huyu sule nimshirikina mkuuu sana nilimuogopa siku moja tukiswali nikaabba kutokuwa muisilamu tena
@ismailmakumbi-t1o
@ismailmakumbi-t1o Ай бұрын
Acheni kukimbilia majini majini ni viumbe kama ww ila tu tofauti wao wanaishi kwenye maji hoja je yesu ni mungu?? Mbona hamjibu
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
@@ismailmakumbi-t1o viumbe kaa wewe nimewaogopa walisilimu wakawa waisilamu wanawaletea hela Hutu mkitoa wenzenu kafara juu chakula Cha jini ni damu awe jini mzuri au mbaya lazima anywe damu
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 Ай бұрын
Uzushi, Mungu akulaani hapa dunia mpaka kesho akhera. Ameen
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
@@aminaabdulghanim8256 kando na majini ni yamagaidi wakubwa sana
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 Ай бұрын
​@@ismailmakumbi-t1o😂 hawaezi jibu waruka ruka kama chura hupati jibu. Wakiristo wanaoza kwa udevo wa freemason na hawatasema hili ni Siri kwao.
@SaidSaigor
@SaidSaigor 2 ай бұрын
Uislamu ndio dini ya kweli,,takbiiir
@CaltonMallya-zj6cp
@CaltonMallya-zj6cp 6 күн бұрын
Ya kweli ya kuwapeleka wapi?😢
@CaltonMallya-zj6cp
@CaltonMallya-zj6cp 6 күн бұрын
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 2 ай бұрын
14 Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli. Yohana 1:14 Sure anakubali kuwa neno ni Mungu anakubali pasipo yeye kujua
@SAMUELMUTHUKA
@SAMUELMUTHUKA 2 ай бұрын
Nashindwa,,bona hampatii sure hili andiko,,,how I wish wataona hii comment yako
@ChikuMmanywa-ut8oz
@ChikuMmanywa-ut8oz 2 ай бұрын
Jamani kama mmetiwa upofu,unasema akakaa kwetu tukaona utukufu wake,maneno ya Mungu hayo! Sasa Mungu yesu hapo yupo Kwa nafasi gani? Eh kila mtu aabudu anachokiabudu
@HusseiniSemvua
@HusseiniSemvua Ай бұрын
Huyo neno katoka kwa baba hatukatai ila sisi tunamtaka huyo baba ndiye Mungu
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 2 ай бұрын
Sule wee unaespotosha nduguzo, were unamjua Yeah viziri sana ilaunajizingizia
@ndayishimiyejaphet4927
@ndayishimiyejaphet4927 12 күн бұрын
Yesu ni mungu wa islam muache kupinga
@ChidiSalum-f6p
@ChidiSalum-f6p 10 күн бұрын
Ndacha unawapoteza watu ww mungu hakuzaa wala hakuzaliwa yesu amezaliwa bana
@mohamedyeslam5194
@mohamedyeslam5194 Күн бұрын
Msomaji WA kiislamu mbona wachemsha? Mwaga vitu haraka
@user-wu6dx3ho4e
@user-wu6dx3ho4e 2 ай бұрын
Mnazunguka sana, Yesu ni Mungu mwanadamu. Ndio maana kuna wakati unaona utu kwake na kuna wakati unaona uungu kwake
@user-wu6dx3ho4e
@user-wu6dx3ho4e 2 ай бұрын
Mtabishana hadi mwisho wa dunia lakini Yesu ana uungu ndani yake na utu ndani yake" ukimuita mwanadamu sawa, ukimuita Mungu ni sahihi
@user-wu6dx3ho4e
@user-wu6dx3ho4e 2 ай бұрын
Ana uungu Kwa sababu aliumba, na utu Kwa vile alitwaa mwili akawa mwanadamu. Hiyo ni elimu ya Imani
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 2 ай бұрын
Mungu baba anamuitaje bikira maria mke wangu au
@harshimissah-wn3cc
@harshimissah-wn3cc 2 ай бұрын
Kumbe Kuna Mungu binadamu na siku zote mmekaa kimy hamsemi 🥱🥱🥱
@user-sv3em3hm8u
@user-sv3em3hm8u 2 ай бұрын
Sasa mungu binadamu hatumtakii
@user-vm4bg7ov9h
@user-vm4bg7ov9h 10 күн бұрын
Daxa mimi nacuomba sana axa cua ncrisito, inguia din ia haqi cua muenhe nsimungu, wewe utaqi cu inguia peponi? Pepo ya anla?
@DoctorBondia
@DoctorBondia Ай бұрын
Maashallah jazakallahu Dr Sule
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 2 ай бұрын
Wenzake wote ni boa ndiyo maana wanakusukumia ww unayecheza na Maneno ,ila ww uukweli unaujuwa; maana tumesikia hotuba Zaki Mara nyingi ukimsifia Yesu
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
Tangu niujue ukweli nihama kupotoshwa na mafunzo mapotofu ya uisilamu kwa sasa waisilamu zaidi ya hamsini wamemwamini yesu nakuajana kuamini muhammad mfu ,lakini yesu alifufuka maandiko yanadhibitisha ,nilipatizwa yesu ni Bwana wamajeshi
@Nily-kz3db
@Nily-kz3db 2 ай бұрын
Lait ungejua Ndugu wallah ucngeuwacha Uislam,Nasema hv,Anae Kubal kfo Cha Yesu ,Yesu Amelaaniwa ,kw Mana Anae tundkwa juu ya Mtu akafaa mzoga wake ukamtundka Cku kuchaa nzma,Mtu Amelaaniwa na Mungu pole kijanakusema Yesu Kafa akafufuka
@ChikuMmanywa-ut8oz
@ChikuMmanywa-ut8oz 2 ай бұрын
Yesu alifufuka baada ya kifo sio!angalia watu wanaosilimu globally,sio hao wadhaifu wabongo wenzio 50! Pole wee
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
@@Nily-kz3db waa nilipokundua kuwa shehe wangu alikuwa mshirikina ndio nikaikataa hiyo dini
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
@@Nily-kz3db akili Ako nifinyu wewe c muisilamu kamili Wala hujui Siri kwa hiyo dini shehe wangu alikuwa na majini na akawa ananifundisha jinsi yakuyatumia hicho kitendo kilinichukiza mno nikakimbilia kwa yesu aliye hai
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 Ай бұрын
😂haukuwa muislamu toka awali, muislamu msoma QUR'AN na kuelewa maana yake hawezi ritadi. Wewe ni mnafiki tu 😂
@juniormembe688
@juniormembe688 28 күн бұрын
Kumbe Sule ana bodyguard
@luselose9944
@luselose9944 2 ай бұрын
Usifanye mambo kwa kushindana inshort Muslim na Mkristo we are all equal mbele za Mungu
@abeidrashid2574
@abeidrashid2574 2 ай бұрын
Usawa upo wap na nawakati kuna watu wanamin yesu ni mungu na wanaokataa yesu sio mungu ni mtume wa ngumu kama umeona ukweli fanya maamuz yesu hana sifa ya uungu yesu ana sifa utume
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w 2 ай бұрын
Hatuwezi kua Sawa imeandikwa Wasiomwamini Yesu wamehukumiwa
@mustafamsati9599
@mustafamsati9599 2 ай бұрын
Timoteo 2.5
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 Ай бұрын
Wee bengo mpuuzi Sana mbona inajirudia
@user-ic9hq2ut3r
@user-ic9hq2ut3r 22 күн бұрын
Huyu yesu km ni mungu aliumba nini mnijibi niokoke leo mm
@sunrishmussan6958
@sunrishmussan6958 2 ай бұрын
😂😂Mi mkristo ila Sulel ni kichwa kwelikweli yuko very technical ila huyu mkenya anaruka ruka tu. 😢😢
@kondeboishukuru
@kondeboishukuru 2 ай бұрын
Wewe sio bana acha kuja ku ji brand
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 2 ай бұрын
We we si mtu wA Nuru Bali mtu wA gizani
@barackamosi4116
@barackamosi4116 2 ай бұрын
Huna ukristo wowote wewe nimbwa 2 mfuga majini mdogo
@gunkidKenya
@gunkidKenya 2 ай бұрын
😂😂😂
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 2 ай бұрын
Waislam akili zao ndogo sana juu ya imani. Alaf kumbe wamepotoka ivo🥹
@abeidrashid2574
@abeidrashid2574 2 ай бұрын
Kamulize mchungaji wako akuoneshe sehemu iliyoandikwa yesu ni mungu arufu utaona kiwango cha akili yako kina uwezo wa kias gani kunganuwa mambo
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 2 ай бұрын
@@abeidrashid2574 Tatizo unakaza kichwa. Skiliza hii clip toka mwanzo majibu unapewa tena sio moja unapewa kwa vifungu. Saiv unataka nirudie tena. Nyie mmeulizwa maswali mnaruka ruka tu kama maharage yanachemka😀
@saudaumar3354
@saudaumar3354 2 ай бұрын
wee ndio ndogo mlapanya soma bweha
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 2 ай бұрын
18 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua. Yohana 1:18 Biblia iko wazi inamtaja Mungu mwana
@legendaction202
@legendaction202 2 ай бұрын
Na ww n mwana wa nan
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 2 ай бұрын
@@legendaction202 mwana wa adamu
@Nkwimb
@Nkwimb Ай бұрын
Jee naweza kuipata hii please.
@user-bn1qg7iq6l
@user-bn1qg7iq6l 2 ай бұрын
Yaan awa makafiri sitakuja kuwaelewa kamwe.kuhusu hii MADA wanapoteza mda tu
@RAZALOCHUMA
@RAZALOCHUMA 2 ай бұрын
Mdahala muzur laknis waislam hoja zenu sijaelewa
@HalimaPaskal
@HalimaPaskal 10 күн бұрын
Kweli yesu ni mungu
@JoanessAdoloph
@JoanessAdoloph 2 ай бұрын
Dokita sulel nakukubaii sana
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Ай бұрын
@@JoanessAdoloph pia NAMI namkubali sana kutuelewesha kuwa majini na waisilamu nikitu kimoja
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 Ай бұрын
​@@user-tz8zu2gt6u hivi hamuongei hili la ufreemason 😂 ukiristo unaongoza sana
@Khalifaathumani-cy5om
@Khalifaathumani-cy5om Ай бұрын
Uislamu kweli ni dini. Allahu akbar
@Kevworx
@Kevworx 2 ай бұрын
Onyango kamaliza labda kama huna D mbili ndio utapata shida kumuelewa
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 2 ай бұрын
Delutional....
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 Ай бұрын
Yesu na Adam Nani mzaliwa wa kwanza
@omanbarka1588
@omanbarka1588 Ай бұрын
Kwa mimi nilivyo elewa waislamu wapo.kimwili na kibinadamu na sio kiroho wakristo wapo kiroho zaidi ndomana wanashindwa kuelewana
@Silay1034
@Silay1034 Ай бұрын
Ndo mnakinbiliaga et kiroho mkibanwa kwenye maandiko yesu mwenyewe anamwabudu mungu wapi yesu alisema niabuduni au niombeni Bali aliomba yeye kumuomba mungu wakristo hawana akili akili zenu zimedhikiliwa mnachoambiwa na huo uongo wa biblia munasema amee Soma yeremia 8:8
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 2 ай бұрын
Ukristo na uislamu sio shida ila uyahudi ndio shida,
@sarahmana2663
@sarahmana2663 2 ай бұрын
Asante Dr Sure
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g Ай бұрын
Ushaona jini lakikiristo ila majini yote niwaisilm hata majina yao ndomaa muganga ijuma majin hayafanyi kazi we huogopi
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 Ай бұрын
Kama yesu ni mungu na injil aliwepa na Nani? Na injil ziko ngapi maana hata yahaya ana Yake?
@ismailkasim9060
@ismailkasim9060 24 күн бұрын
Akajifanya sawa na baba yake
@AngelinaAkuyen
@AngelinaAkuyen Ай бұрын
Dacha turiya wannafuzi tuko wangi sule atakunyorosha mutafutetu
@RashidCharo-ug1hz
@RashidCharo-ug1hz 28 күн бұрын
Mudahalo kuntu dkt Sule
@ShabaniBaibai
@ShabaniBaibai 25 күн бұрын
Wafungue akili shekhe hao wasabato
@KizaIbrahim-h6f
@KizaIbrahim-h6f Ай бұрын
Neno alifanyika mwili tukauona utukufu wake Yaani tamko lá Mungu Lililo umba vitu vyote limefanyika mwili tukauona utukufu wake Huyo tamko aliye fanyika mwilli akaonekana tukauona utukufu wake nini Nani jamani? Ta
@yohana1242
@yohana1242 2 ай бұрын
Mkiristo motoni VIP
@saudaumar3354
@saudaumar3354 2 ай бұрын
mimi ni mkenya hao wote wakenya kina ndata watafuta kula tuu na kupoteza watu wajuwa usawa uko wapi lakini wajinga sana kwa kula panya na nguruwe.
@user-ni8eg7zg3y
@user-ni8eg7zg3y 26 күн бұрын
Masha Allah Allah akbar
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g Ай бұрын
Ukitaka kujua yesu nimungu nirahisi tu mwanadam neno lipi lilitumika mpaka akatokea neno tumufanye mtu kwamufano wetu ndomaana hata raisi anamakam wake huwezi kufika kwaraisi mojakwamoja lazima uanze chini
@soccertv293
@soccertv293 2 ай бұрын
Wakristo wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 2 ай бұрын
Bi maana Yesu ni Mungu mdogo? 😂Msiba!
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 2 ай бұрын
Sule aende kwa Mbarikiwe ambaye si vuguvugu
@silvamoz6299
@silvamoz6299 Ай бұрын
Watu wa Moha.
@Silay1034
@Silay1034 Ай бұрын
Sarakas ndo nn we chizi yaan wewe unaamini yesu ni mungu halfu Tena ni mwana wa mungu Sasa Kama yesu ni mwana wa mungu huyo ni mungu gani Tena wakat yeye ndo mungu wakristo hawana akili
@Mussabyadunia
@Mussabyadunia Ай бұрын
Yesu ni mungu wadungu
@salimchimwaga8384
@salimchimwaga8384 Ай бұрын
Na aliyemtuma Yesu atakuwa nani?
@user-bd3me7fz7v
@user-bd3me7fz7v Ай бұрын
Mtoto wa Mungu ni mungu
@IddiKimolo-uz8mx
@IddiKimolo-uz8mx 21 күн бұрын
akili awana hawa wakrsto
@SaidSaigor
@SaidSaigor 2 ай бұрын
Mtu sio mungu,,Jesus never be God
@user-wu6dx3ho4e
@user-wu6dx3ho4e 2 ай бұрын
Yehoshua Amesiah, Yesu ni Mungu kweli na ni mwanadamu kweli. Ndio maana anaitwa EMANUEL
@user-bd3me7fz7v
@user-bd3me7fz7v Ай бұрын
Munamujua Muhammed .hammujuwi masiya EMMANUEL JESUS KRISTO.
@ismailkasim9060
@ismailkasim9060 24 күн бұрын
Paulo mungu
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 2 ай бұрын
Kiukweli Yesu ni Mungu ndacha amepiga pabaya
@legendaction202
@legendaction202 2 ай бұрын
Ww uliumbwa na yesu???mjinga sana mungu amekupa pumzi akulete duniani uje umfananishe na yesu
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 2 ай бұрын
Duh ila sule bible anaijua bana
@user-cz7yn8ct5r
@user-cz7yn8ct5r 2 ай бұрын
Kweli Ndacha hawamuwezi...
@ramadhanimandoa716
@ramadhanimandoa716 2 ай бұрын
Niny wakristo kweli akili zenu zina kinyesi
@IRFAN-je4dd
@IRFAN-je4dd 2 ай бұрын
Kwaiyo mungu alizaliwa. Kwaiyo Kuna ukoo wa mungu Kwa mujibu wa wakristo
@josephmwabange9633
@josephmwabange9633 2 ай бұрын
Mungu awasaidie waislamu wapate kujua kweli , maana wanajitahidi sana lakini wanaishia machafuko na ushirikina , kulingana na njia waliochagua
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
wamepotoshwa na majini kwa kuwa na akili finyu
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 Ай бұрын
😂 wakiristo freemason hivi hamuongei hilo au unaona aibu?
@user-wu6dx3ho4e
@user-wu6dx3ho4e 2 ай бұрын
Ndio maana katika Yohana kawaambia watu kuwa Yeye si wa dunia hii, ni habari ya kuelewa neno" Yesu alitwaa mwili, akaonekana mwanadamu ila hakuzaliwa kwa baba kukutana na mama"
@AdamMnyambwa
@AdamMnyambwa 2 ай бұрын
Yesu ni Mungu ni Mungu yoana 1,18 ujue Yesu ni Mungu
@NurdinBihame-oh4zx
@NurdinBihame-oh4zx Ай бұрын
Matayo 26:36,39.Soma hiyo😂😂😂
@IssaMbaru-qw6ug
@IssaMbaru-qw6ug 2 ай бұрын
Hastaghafirullah jaman mnamfananisha mungu na bina dam innallilah wa innallillah rajihun
@user-wu6dx3ho4e
@user-wu6dx3ho4e 2 ай бұрын
Huelewi maandiko, Mungu ni roho, na alipokuja duniani alitwaa mwili Ili aonekane nasi" Yohana.1:14
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 Ай бұрын
Washirikina hawa hivi mungu ataendaje chooni?
@Silay1034
@Silay1034 Ай бұрын
Wew ni mwehu uungu haujadiliwi maana uungu uko waz mtu akishazaliwa hicho nikiumbe na Kila kiumbe kimeumbwa Issaya 44:24
@user-zc6og4wt7s
@user-zc6og4wt7s 2 ай бұрын
Huyo naye ameropoka tu kinachozingumzwa ni UUNGU WA YESU
@benardnjoka5359
@benardnjoka5359 Ай бұрын
Yesu kaeda na mawingu na atarudi na mawingu nani mwingine atarudi kwa mawingu
@Nily-kz3db
@Nily-kz3db 2 ай бұрын
Jaman eehh,kat ya Adam ,Nouh,ibrahim,daud ,mussa na Yesu nan katangulwa kuumbwa,hemu achane uongo Wakristo,Yesu alkua yupo kabla kuumbwa wat2 wte Kuumbwa sasaa ,ucwe msahaulvu,mama ake yesu jee alkua ypo kabla ya nan,mbn mnajchanganya nyie ,Mariam kamzaa yesu lkn mnatwambia yesu alkuwepo kbla ya viumbe vyte,jmaan,wakristo n Mbumbumbu kwel ,huyu mchungaj Daud ndio matope hsaaa
@Nily-kz3db
@Nily-kz3db 2 ай бұрын
Mariam kamzaa yesu ,na ww unatwambia bnaadam wa kwnza kuumbwa yesu ,sasa Mariam kaja wangap ht amzae mungu yesu,Astaghfru Allah,We mchungaj Daud N matope hsaa sw na Akl zko,hemu achen ushbk somen maandko muelewe
@MTUMEADAM1
@MTUMEADAM1 2 ай бұрын
Jibu la yesu mtalipata kwa picha si maneno pekee kama ni neno ama la hivi karibuni
@soccertv293
@soccertv293 2 ай бұрын
NASIKITIKA Sana mmemuacha wapi kinyogori jamani mwamba kweli KWELI
@user-il6rm7cj1g
@user-il6rm7cj1g Ай бұрын
Muisilam og lazima awe najin wanayatuliza ila wanaishinayo we huogopi tu
@damarisnjerichege100
@damarisnjerichege100 2 ай бұрын
Yesu ni Mungu
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p 2 ай бұрын
Mungu angufunguwe upeo
@user-ws1ro3eh6j
@user-ws1ro3eh6j 2 ай бұрын
Wapendwa wamungu tuombe Sana mungu tuzidi kuokoka kweli kweli! Kubishana nawa islam nikujisumbuwa Tu maana hata wenyewe wanajuwa kama wanapoeleke sisahihi wengi wawo ni wafrimason wanatumia majini ,wanafanya umalaya Yani kila zambi wanafanya wameshakubaliyana nadhetani
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 Ай бұрын
Unajitaja wenyewe nyinyi ndio mnaongoza kwa freemason. Bishop wenu popu 😂sindio nyinyi mashetani.
@JoakimUrassa
@JoakimUrassa Ай бұрын
Wakubali TU waache kua na moyo mngumu
@benardnjoka5359
@benardnjoka5359 Ай бұрын
Shule atapatizwa
@Mchungajimalaki
@Mchungajimalaki Ай бұрын
Shida hawamjui roho wamungu hao 54:32 54:32 waisilam
@HusseiniSemvua
@HusseiniSemvua Ай бұрын
Ww uko na ulemavu wa akili mbuzi ww
@ismailkasim9060
@ismailkasim9060 24 күн бұрын
Thomasi si chizi
@profs.a5412
@profs.a5412 2 ай бұрын
Kwaiyo Leo sule amekubali kuwa neno ndiee Mungu, na huyo neno ni tamko la Mungu😂😂😂 daaaa
@paskalilameki9568
@paskalilameki9568 2 ай бұрын
Bwanasesuasifiwe
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 2 ай бұрын
Ww ni mwislami usijdanhanye kuwa ni mkristo m ya ww
Malema addresses Gauteng EFF members
1:25:51
SABC News
Рет қаралды 220 М.
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 90 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 72 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
00:31
МишАня
Рет қаралды 3,4 МЛН
Best moments, speeches from Night 2 of the DNC
1:45:09
CBS News
Рет қаралды 73 М.
"MUNGU HANA MKE." PASTOR NDACHA AKIELEZEA YESU NI NANI.
1:25:25
Straight Path Dawah
Рет қаралды 39 М.
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 90 МЛН