No video

Jux: "Show Yangu Ya Kwanza Nilikuwa Na Diamond, Nilipewa Elfu Hamsini" | SALAMA NA JUX PART I

  Рет қаралды 100,879

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Juma Jux ni mtanashati haswa hicho ndicho cha kwanza na suala la yeye pia kuwa muimbaji mzuri (na anayeendelea kujengeka) kunamfanya pia awe wa kipekee, anajua maana halisi ya kufanya kazi kwa bidii ili uweze kutimiza malengo ambayo wewe unakua umejiwekea. Ana aibu pia sana ila hili unaweza ukalitilia shaka kwasababu ya kazi aliyoamua kuichagua. Kwa nilivyo muelewa mimi yeye aliamua kufanya muziki kwasababu rafiki zake walikua wanafanya muziki na zaidi akiamini yeye ni Rapper kuliko hata kuwa muimbaji.
Kwa mujibu wake kwenye kundi lao hilo la shule yeye ndo alikua sio mkali na wala hakua na neno juu ya hilo, zaidi yeye alikua anataka ku fit in zaidi. Lakini leo hii yeye ndo mwenye mafaniko zaidi kwenye fani yake kuliko wale walokua ndo wakali wa kazi hizo wakati bado wako shuleni. Jux ananiambia mpaka leo wanaendelea kuwa marafiki na rafiki zake wa shule, zaidi Cyrill Kamikaze ambaye amekua kama ndugu yake. Pia anakumbuka mara ya kwanza wimbo wake ulipoenda redioni bila ya matarajio yake na wakati anaambia B12 ameupenda na angependa akutane nae anasema baridi na uwoga na aibu aliyokua anasikia ni Mungu pekee ndo anajua.
Uzuri pia Jux ana muonekano mzuri na utanashati wake umekua ukimfanya ajikusanyie mashabiki wengi haswa wanawake na ku inspire vijana wengi watake kupita kwenye nyendo zake ili nao waweze kuja kuwa kama yeye siku moja. Combination yake na Bob Maneke nayo ni kitu ambacho kimemfanya Jux aendelee kuwa pale. Wanafahamiana vizuri na kazi ambayo wamekua wakiifanya pamoja imekua ikijieleza yenyewe.
Jux anakumbuka utanashati na kujituma kwa Marehemu Baba yake ambaye kwa maelezo yake anasema alikua Baba BORA sana, kwanza hakuwahi hata siku moja kumuona Mzee wake na Mama yake wanagombana na siku zote alikua anahakikisha watoto wake wanaishi na kusoma vizuri, nadhani nia yake ilikua kutaka kuwaona watoto wake wakiwa wasomi labda na kufanya kazi za maana zaidi au kuishi maisha mazuri zaidi kuliko yeye wakati anakua. Jux ana kumbuka Mzee wake kama mtu wa kujituma sana ambaye alijichanga kumfikisha mkewe mjini baada ya kupata kazi, yeye alikua tu fundi wa magari ila baada ya mke wake kupata kazi mjini, alihakikisha anafika na mambo mengine yaende kwa uzuri kama ambavyo alikua akiyataka kwa wanawe.
Mama yake pia humuambia zaidi siku hizi za karibuni baada ya Jux kuanza kung’ara kwenye muziki na biashara zake, Mama yake anamuambia anamkumbusha mno Marehemu mume wake na anajua fika kama angekua hai basi angekua anajivunia yeye kupita kiasi. Uvaaji wake na utanashati na jinsi ambavyo anajituma hivyo vyote Juma Jux amerithi kutoka kwa Marehemu Mzee wake. Mwenyezi Mungu Aendelee Kumpumzisha kwa Amani.
Mapenzi yake ya dhati ambayo huyaonyesha kwa watu ambao amekua nao katika mahusiano nae pia kwa kiasi kikubwa amechukua kutoka kwa wazazi wake, jinsi ambavyo Baba yake alivyokua anampenda Mama yake, ni kitu ambacho Juma amekua akikikubali sana. Na yoyote ambaye anakua nae amekua akifanya analoweza ili waendelee kudumu. Mwenzetu amekua na mwalimu mzuri sana.
Kwa akili ya muziki na biashara nadhani tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa kijana huyu hodari wa ki Tanzania. Hivi karibuni brand yake ya African Boy imetia makubaliano na kampuni moja kutoka China ambayo wamekua wakimuona Juma anafanya biashara hiyo tokea akiwa mwanafunzi na kwa jinsi ambayo amekua akifanya kwa muda mrefu na brand na yeye kama mwanamuziki kuzidi kukua nadhani na wao pia waliona fursa ya kufanya nae ushirikiano ili waweze kumuwezesha zaidi ili waweze kushinda WOTE.
Yangu matumaini kama ada uta enjoy episode hii na kujifunza zaidi.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 83
@noelbernard6390
@noelbernard6390 2 жыл бұрын
Salama naomba umlete masoud masoud, yule Mzee ana vitu vikubwa Sana.
@ilhamsalum6815
@ilhamsalum6815 2 жыл бұрын
Hiki kipindi kishajaza dayari yng salama, thanks so much najifunz mengi 💞
@chillahthomas3265
@chillahthomas3265 2 жыл бұрын
Salama is Africa's Ellen Degeneres
@thebeneficialknowledge3399
@thebeneficialknowledge3399 2 жыл бұрын
Kudos to you and your whole team “Salama” you are indeed amazing at what you do, tunasoma mengi kupitia interviews zako, keep up the good work my Zanzibari sis… love from the UK.
@SalamaAJabir
@SalamaAJabir 2 жыл бұрын
Thank you, from all of us. x
@uzungupoint
@uzungupoint 2 жыл бұрын
You're so cute Salama, narudia kuangalia tabasamu lako muda wote najikuta nasmile mwenyewe jamani ♥️😊
@tantinebettynduwimana380
@tantinebettynduwimana380 2 жыл бұрын
Salama umependeza ulipo jistiri mashallah
@wairimu9113
@wairimu9113 2 жыл бұрын
jux is a fine man,God did take his time on him😍😍
@naisaria5872
@naisaria5872 Жыл бұрын
Kwahiyo
@barnabasmafuru6735
@barnabasmafuru6735 2 жыл бұрын
Dada Salama unajuaa sanaa na unanifundisha kufanya jambo kwa ufanisi na ufasaha wahari ya juu maana kufanya tuu haitoshi kila mtu anaeza fanya.
@fredyjuma1121
@fredyjuma1121 2 жыл бұрын
Shangazi Fanya bdozen afike Apo ! 🏌️‍♂️ 🔥🔥🔥
@fralex_1276
@fralex_1276 2 жыл бұрын
Nice sema jux mdomo kapaka sukari itakuwa maan sio kwa kuulamba huko
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 2 жыл бұрын
Cyril kamikaze is a GEM
@sankybadee7894
@sankybadee7894 2 жыл бұрын
Salama my sister umekua bibi now Sasa duh bigup sana
@sweetie6934
@sweetie6934 2 жыл бұрын
Iko wapi interview ya binti Zuhura Othman Soud @ Salama
@ramakadege7448
@ramakadege7448 2 жыл бұрын
Big up salama j
@danielafelix9856
@danielafelix9856 2 жыл бұрын
I’ve Never missed an episode 🙈😍
@saidabdulkadirmjahid8255
@saidabdulkadirmjahid8255 2 жыл бұрын
Chemistry ya #Manecky and #jux is always 🔥🔥🔥
@user-kk8ck5bt2k
@user-kk8ck5bt2k Ай бұрын
Naangalia hapa
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 2 жыл бұрын
Cjawah miss hta kdg salam nakukubar san mlete mondi
@zejuchaztips353
@zejuchaztips353 2 жыл бұрын
Jux is the best
@salimbazmul5806
@salimbazmul5806 2 жыл бұрын
Big Up Sis Salama....✊Shabiki Sugu Huajawahi nifelisha
@nasmasalimu9508
@nasmasalimu9508 2 жыл бұрын
Wow big up sis love you 😍
@flavianchuwa4370
@flavianchuwa4370 2 жыл бұрын
Kipindi Bora Sana Asante Salama Allah azidi kukulinda
@emojimakopakopa
@emojimakopakopa 3 ай бұрын
Bro nakubali sana
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 2 жыл бұрын
6:13Kujiskia studio mara ya kwanza ni magical 17:40
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 2 жыл бұрын
your mom she is here or she’s alive 😁🥰🥰🥰
@edwardmachaku1661
@edwardmachaku1661 2 жыл бұрын
Salama, Congratulations 🎉
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 2 жыл бұрын
Kama we ni fun w hipop tujuane hapa 😆 salama atami hua nasikiliza aren b ila c vile sana bt jux namtambua nimnyamwezi sn, please pitieni kw Chanel yngu pia kuna mazuri
@AmCool_
@AmCool_ 2 жыл бұрын
Ramba ramba lips sana mzee 🥲🥲🥲
@BBrown_vevo
@BBrown_vevo 2 жыл бұрын
Big interview
@leejames1536
@leejames1536 2 жыл бұрын
my mom she's proud of me✋😂...sawa kaka
@zuwenazuwena7764
@zuwenazuwena7764 2 жыл бұрын
Nimekomaa 🤣🤣🙌🏾🙌🏾
@nicksonchesco233
@nicksonchesco233 2 жыл бұрын
Hii ndio nilikuwa naisubir
@witnaofficial
@witnaofficial Ай бұрын
Naweza tumika Na jux pia,nikipata bahati
@adamjoseph9370
@adamjoseph9370 2 жыл бұрын
#AsohiliAnaLile
@khamisimtame7848
@khamisimtame7848 2 жыл бұрын
🔥🔥
@queenmaa30
@queenmaa30 2 жыл бұрын
My mom she's proud of me....jomon kidhungu....
@nasiekutarishi3292
@nasiekutarishi3292 2 жыл бұрын
Sasa amekosea wapi
@sophiasilayo7648
@sophiasilayo7648 2 жыл бұрын
amekosea kashasema my mom and then she
@queenmaa30
@queenmaa30 2 жыл бұрын
@@sophiasilayo7648 mdhungu umenielewa 😃
@sophiasilayo7648
@sophiasilayo7648 2 жыл бұрын
😆😆mlete mzungu
@queenmaa30
@queenmaa30 2 жыл бұрын
@@sophiasilayo7648 🤣🤣🤣🤣
@samwelisaid5013
@samwelisaid5013 2 жыл бұрын
👍👍👍
@papaamayux-paps7883
@papaamayux-paps7883 2 жыл бұрын
mbona hii interview haipo Podcast
@daudisaidi2267
@daudisaidi2267 Жыл бұрын
🚀🚀
@gsmartcreation5655
@gsmartcreation5655 2 жыл бұрын
Salama Aliwahi kumsaidia Godzilla Katika kuhakikisha anatumia “La na Ra” kwa usahihi. Hili swala hata kaka yetu Juma linamsumbua. Je, kuna msaada wowote anaweza pata hata akiwa studio? Maana inakuta anaimba vizuri Ila unasikia “Nipo Sarama ….” Msaada please
@josephstephen1079
@josephstephen1079 2 жыл бұрын
Hiyo inategemea na asili ya mtu pia mahali alipokulia
@lizaeli6732
@lizaeli6732 2 жыл бұрын
Jamani mtuletee Vicent Kigosi
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 2 жыл бұрын
mwanamuziki ninae mpenda
@officialaftab8760
@officialaftab8760 2 жыл бұрын
GOOD JOB ...,
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 2 жыл бұрын
Wakishua hawatumii nguvu nyingi kutoka
@salumpagae1757
@salumpagae1757 2 жыл бұрын
Misosi akuna😆😆
@deograsiaomary62
@deograsiaomary62 Жыл бұрын
Salama mbona interview zako nyingi unavaa nguo nyeusi
@MARTIN_M9.
@MARTIN_M9. 2 жыл бұрын
hii mbona kama imerudiwa🙄
@Soft_Touch7
@Soft_Touch7 2 жыл бұрын
@salama hii interview Na Jux ni ile ile tu mlofanya nae kwny MKASI…badilika kidogo dada no hard feelings
@__thereal_unclechibo_7953
@__thereal_unclechibo_7953 Жыл бұрын
Msanii gn unaitwa juma😂😂😂😂😂
@mshangaf1726
@mshangaf1726 2 жыл бұрын
kwa hiyo yale majina flani ya vinywaji vya hapo huwa kuna baadhi ya watu huwaambii ???😁😁😁
@Memphisblue22822
@Memphisblue22822 2 жыл бұрын
Kwamba diamond yup out of reach au?
@johannahakim8470
@johannahakim8470 2 жыл бұрын
Sasa iyo midomo inakuwasha bro,ata miye nakupendaga mpaka Na nyimbo zako, Ila sipendagi mukiwaga mu ma Interview mukivala izo ma RAYBAN yani Ama mko bipofu mjikeribishi,acha nikamtizama kipenzi changu DIMPOZ
@vincentmchau5903
@vincentmchau5903 2 жыл бұрын
Salama kwann usiwe na watazamaji live ?
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 2 жыл бұрын
salama umenichekesha, eti ulishwai kuiba? ili swali limekea la ghafla..hahaha
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 2 жыл бұрын
Jux kutoka google unamiaka 32/33 12 yrs ago ulikuwa 20/21 sio 13/14 bro 😎
@masungajonath8339
@masungajonath8339 2 жыл бұрын
AFB
@abdallahkhamis7663
@abdallahkhamis7663 2 жыл бұрын
Show huwa inarushwa chanel gani, siku na muda gani pia tafadhali kwa anayefahamu naomba msaada?
@khadijamisayo7476
@khadijamisayo7476 2 жыл бұрын
DSTV , MAMBO POA
@nasralema749
@nasralema749 2 жыл бұрын
Ankal katoweka
@kelvinduper
@kelvinduper 2 жыл бұрын
Daradara😤
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 2 жыл бұрын
Sorry awant knw sister Salama long time people iknw why you don’t bring your husband to do interview
@Ibra_Canaan
@Ibra_Canaan 2 жыл бұрын
Bro hiki ni kingereza au?
@bekatiptop8910
@bekatiptop8910 2 жыл бұрын
First go and interview your English😂
@SalamaAJabir
@SalamaAJabir 2 жыл бұрын
Mi I wait fo your husband fast
@manfredmanda5388
@manfredmanda5388 2 жыл бұрын
@@SalamaAJabir 😅😅😅😅
@anwaralimuhammed1481
@anwaralimuhammed1481 2 жыл бұрын
Tunaitaji aje tena king Kiba
@marietakomenkesha8803
@marietakomenkesha8803 2 жыл бұрын
Kiba alishawahi kuja
@priscaalphonce1662
@priscaalphonce1662 2 жыл бұрын
@@marietakomenkesha8803 ndio maana kasema aje Tena means alishakuja
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 2 жыл бұрын
Onasasa unakuta jama sio tena mtuu wako
@omarymhomakilo7215
@omarymhomakilo7215 2 жыл бұрын
Maisha yanatakiwa kuendelea unatakiwa kuwaheshimu tu hata Kama hampo pamoja
@noelbernard6390
@noelbernard6390 2 жыл бұрын
Salama naomba umlete masoud masoud, yule Mzee ana vitu vikubwa Sana.
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 24 МЛН
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Wian
Рет қаралды 14 МЛН
Mkasi - SO4E01 with Diamond Platnumz
27:57
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 26 М.
SNAKE BOY | ep 35 | SEASON TWO
30:48
CLAM VEVO
Рет қаралды 40 М.
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 24 МЛН