Amen... Amen.... Amen 🙏🙏🙏wimbo mzur san huu jmn. Mbarkiwe san
@geofreynyangoro500810 ай бұрын
Hongera sana sana kwa kazi ya kitume
@LocalProfАй бұрын
The best song so far in 2024...Kongole sana
@Michaellyimo-z9u11 ай бұрын
Kweli ni meukubali
@AlfredMuna-x2d5 күн бұрын
Mangu awabariki tuache kiburi cha uzima
@MaryNgosse10 ай бұрын
Hakika huu wimbo ni mzuri sana unanibariki mno hongera sana mtunzi umefanya kazi kubwa Mungu akubariki
@alexanderchacha8585 Жыл бұрын
Kijana Isack Mwita umekuwa Sasa baba hongera Pokea Maua yako kaka❤❤❤❤ hongera waimbaji mmefanya vyema maneno na ujumbe umesikika vyema sauti nyororo Kama za Malaika keep going on ❤❤
@NeemaWillison-tn2oy2 ай бұрын
Bwana awabariki sana kwa wimbo mzuli
@amundalakolomoni2 ай бұрын
Muzuri ya ajabu sana wimbo uyu na mafundisho makubwa sana. Baba Mungu awabariki katika vipaji yenu na Roho yake Baba Mtakatifu iwajaze kwa uwingi. Alphonse Marie.
@JOHNMAGEZI-er6pl10 ай бұрын
Nimeipenda
@deokessy6596 Жыл бұрын
Evangelical voice
@HabibuFaidha Жыл бұрын
❤❤❤ isac wewe ni kiboko hongera sana despiner na washiliki wote
@januarius-js2xl Жыл бұрын
Naomba namba za simu ya mtunzi isack mwita 🔥🔥🔥🔥🔥... waimbaji wako 🔥🔥🔥🔥🔥
@jennifernjenga5355Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@norbertsungu3922 Жыл бұрын
Hongera dada despina na wanakwaya wote Hongera kwa mwalimu organist
@kelvinmulingei1600 Жыл бұрын
Good message. Hongereni😊 Ubarikiwe sana Mwita
@TheopisterAlfledy8 ай бұрын
❤ Safi san
@ericluminator11 ай бұрын
Nice message
@MaryNgosse9 ай бұрын
Jamani cjui nisemeje huu wimbo unatukumbusha maisha tunayoishi kwa sasa hebu tubadilike Mungu peke yake anatosha katika maisha yetu asante mtunzi kwa kutukumbusha
@julianamaganga48034 ай бұрын
Hongereni wanakwaya ya parokia yangu Sasa si teule tena
@antiamagambo83522 ай бұрын
nautafuta wimbo wako wa pamoja na idhaifu wa kibinadamu kwa Mungu una thamani siupati naomba unisaidie @ mwita Izack
@AlisenNtalwila2 ай бұрын
Siyo tu kwa mavazi hata kujibadilisha rangi . Lakini namuomba Mungu azidi kuwaongoza katika utume wao hawa.
@AnnaNicodemus-h5k3 ай бұрын
Amazing song 🎉 hongereni sana
@immaculataroeser90944 ай бұрын
Wanawake kama tungezingatia maneno haya mazito msingemsahihisha Mungu uumbaji wake kwa kuvaa nwele za bandia.
@Justin-c5k6 ай бұрын
Wimbo mzur Sanaa...hongeren waimbaj ...Mungu awatie nguv
@christinaraymond19284 ай бұрын
Hongeraa sana Mwl mwita Mungu akutunzee
@christinaraymond1928 Жыл бұрын
Yaaani kila nyimbo yako Mwl ni nzurii hutamani kukosa barikiwa Mtumishi Mungu akutunze
@johackimmbeyale905 ай бұрын
Despina ni mmoja tu hongereni sana wanakwaya kwa nyimbo yenye ujumbe ujumbe mnzuri
@lilianalara8007 Жыл бұрын
Sauti nzuri God bless you for Good job🎉
@JustinMalipanga-wg6we Жыл бұрын
KAZI nzuri kila kitu ni bora hongereni sana
@fabiansululi7511 Жыл бұрын
Aloo ❤
@baremaleonard9980 Жыл бұрын
Huu wimbo mzuri Sana,maneno, melody yake vimetufikishia ujumbe huu mzuri.Kinanda saaaafiiiiíi,free organ ingekua fupi kidogo
@shadrackkilonzo56283 ай бұрын
Hongera sana isack...surely your a blessed...kip up with more good inspiring compositions❤❤
@FredrickWilliam-p2z6 ай бұрын
A❤❤❤
@rosewanjiku267 Жыл бұрын
❤kazi nzuri sana God bless you all
@johndgurty9011 Жыл бұрын
Ah ah!!! Hongera sana wakubwa afu the Galaxy mbon mmekuwa hivyo?? Mungu azidi kuwakirimia mara mia
@SabinaCleophace Жыл бұрын
Hongereni Sana Kwa uinjilishaji Mungu aendelee kuwabariki❤
@justinekereri74456 ай бұрын
MUNGU WA HURUMA AWATUNZE SANA.MNA UJUMBE KIKWELIKWELI.
@kasalakasala741711 ай бұрын
Hakika nimebarikiwa kupitia wimbo huu mzuri. Hongera sana mtunzi
@paulinaluambano9150 Жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki,Asante ndugu zangu wa Msongola kwa wimbo mzuri,tujiepushe na kiburi Cha uzima
@ElizabethBeny5 ай бұрын
Catholic forever
@mussaananiasmyonga7278 ай бұрын
Hongera Sana kwa utume wa uinjilishaji. Dada Despina na wanakwaya kwa ubora wenu, na mtunzi pia ni hatari!!
@FaridHashim Жыл бұрын
Wimbi mzur sna unatugusa san
@JosephKanoute-i6m3 ай бұрын
Jamani hongeleni sana
@KWAYAYAMTCESILIAMANGOLACHINI6 ай бұрын
Hongerenisana kwawimbo mzuri mmno Hongera kwa mtunzi pia
@geraldnyangai43764 ай бұрын
Destination you made it continue
@marypirian42366 ай бұрын
Daaaah...! Baba yetu aliye Mtakatifu sana aturehemu 🙏🙏🙏
@mathayolameck646110 ай бұрын
Kazi nzuri sana kaka Mungu aendelee kukuinua zaid na zaidi lakini naomba namba yako mtunzi wa huu wimbo
@NiccaSaua8 ай бұрын
Najivunia ukatoliki wangu mpaka kufa❤
@veronicangota3532 Жыл бұрын
Kazi njema ✔️
@FelisterKazimili-lk3qo Жыл бұрын
Kwakweli tukiacha kiburi Cha uzima tutaishi maisha Yale yampendezayo mungu na mwanadam
@BeatriceKimario-l7c Жыл бұрын
Hakika wimbo mzuri sana na unaotafakisha, mbarikiwe wote
@norbertsungu3922 Жыл бұрын
Nzuri mno kiburi cha uzima ni Nyimbo ya. Tafakari kweli kweli Hongereni kwa uinjilishaji 🙏
@graysonmkeya2562 Жыл бұрын
Wahoooo bonge la kz mungu awabariki waimbaji wote.
@ManyandaMalashi-uw3me Жыл бұрын
congratulations imekaa vema naomba number za mtunzi mwita isack
@georgemhindi9961 Жыл бұрын
Hongereni kwa wimbo mzuri na sauti tamu,pia organist punguza muda wa free organ,unakuwa mrefu
@menancemhombwe2267 Жыл бұрын
Naweza changiaje kazi nzuri kama hii. Dah Despina kama kawaida yako
@waromokello3 ай бұрын
Absolutely beautiful song. Well harmonised
@jonaskweyamba9747 Жыл бұрын
Nawapenda kwa utume huo mwema na mzuri Sister Daspina hakika napenda uimbaji wako nyote kwa ujumla
@BethinaLeonardy8 ай бұрын
Nabalikiwa na huu wimbo barikiwa sanaaa
@runyankolecatholictv8227 Жыл бұрын
nice...my favourite Despina love you
@martinmhando83518 ай бұрын
Hongereni sana kwa uimbaji mzuri. Despina na Mwl Mwita pamoja na organist Baraka haunaga kazi mbovu
@juliusdanson225 Жыл бұрын
Jamani nafarijika sana kwa wimbo huu unanikumbusha kumrudia mungu nakujitahidi kutenda mwema, hongereni mungu awabariki❤❤
@juliusdanson225 Жыл бұрын
Bravo,bravo,bravo❤❤❤
@NdikuriyoAdelin4 ай бұрын
Asante sana iyo nyimbo ninzuri sana
@richardmally20404 ай бұрын
Safi sana
@JOHNMAGEZI-er6pl10 ай бұрын
Mwimb huh umenifanya nifikirie mamb meng xana
@sheilajepkorir2386 Жыл бұрын
Finally despina ♥️
@theodorycharles Жыл бұрын
Jaman mbona nyimbo tamu Sana huyumtunzi sijui Alifikilia nini maana Mimi naisikia inaoigia ndani ya moyo Wangu Hakika Mwenyezi Mungu Nimwema Sana
@theodorycharles Жыл бұрын
❤
@Mwita_Isack Жыл бұрын
Amina dadangu Mungu ni mwema
@antiamagambo83522 ай бұрын
@@Mwita_Isack nisaidie wimbo wako ule wa pamoja na udhaifu wa kibinadamu kwa Mungu una thamani siupati nikiutafuta
@lameckmeshack3881Ай бұрын
Hakika ni mzuri sana
@blandinabugomba9226 Жыл бұрын
Hongera sana ❤❤❤
@revaniakataga8070 Жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya kwa kazi nzuri sana Mungu awabariki sana
@januarius-js2xl Жыл бұрын
Hongera sana...Kama kawaida Dada despina Huwa haniangushi... nawapenda sana..sauti 🔥🔥🔥🔥🔥
@edwinotieno9189 Жыл бұрын
Mwenye alifanya utafsiri alikosea pakubwa. Wimbo tamu sana
@immaoyugi1286 Жыл бұрын
Wimbo mzuri wa kutafakari🙏
@jamesmwita2995 Жыл бұрын
Tafakari nzui sana hongren waimbaji na mtunzi pia
@cathywalwit5437 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwategemeza hakika mmeutendea haki wimbo huu sauti zenye utulivu hakika tumrudie Mungu tuachane na kiburi cha uzima mbarikiwe
@TanasBall9 ай бұрын
Kazi nzuriii mbarikiwe sanaaa❤❤❤❤
@adelinusacleus4237 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtunzi/mtani Mwita na waimbaji Kwa ujumla mmenitafakarisha kukumbuka na kutenda yaliyo mema hongera sana
@ErickMchopaКүн бұрын
Woow!nabarikiwa sana na huu wimbo,keep it up jamani.
@HOLYTRINITYSTUDIOS Жыл бұрын
Hongera Galaxy Pro
@andrewngatunga7837 Жыл бұрын
Ukatoliki imara mbarikiwa sana🎉🎉🎉🎉
@cosmasbarnabas4927 Жыл бұрын
Wimbo flani hivi wenye mguso wa tofauti.Hongera kwa mtunzi, mpiga kinanda, Waimbaji na timu nzima ya production kwa ujumla
@rahmapanga8845 Жыл бұрын
Mungu tuondolee kiburi Cha uzima, tujalie kukutambua na kukupenda na tuufuate yenye kukupendezeza, hongera sana Regina na wote mloshiriki, God bless you all
@magrethmdemu3985 Жыл бұрын
Umenigusa sana .Mungu Akubariki Mtunzi 🎉
@Mwita_Isack Жыл бұрын
Amina 🙏
@shayobeatuscasmiri2981 Жыл бұрын
Good message. Mbarikiwe
@tempochoir Жыл бұрын
Awesome ❤
@Valerie365 Жыл бұрын
Achana kabisa na kiburi cha uzima. 🔥🔥🔥
@DanesiCharsel Жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya wetu
@AloyceMdollo Жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@irenekibaho4549 Жыл бұрын
Dada mungu awabarikiri
@richardtiganya9559 Жыл бұрын
Wapendwa Wanakwaya kwa wimbo huu mnaingia vizuri katika maisha yetu ambayo wakati fulani yanagubikwa na kiburi kitokacho katika tukiwazacho au tulichonacho na hivi kumweka kando Muumbaji. Heko shime songa mbele ktk kutangaza Injili. Wimbo tafakarisha Sana!
@JosephLuvunduka Жыл бұрын
Mungu azidi kuinua kipaji chako,, nyimbo nzuri sana,,,#unadhaman na huu wimbo huu nk. Nsiku nikija Dr nitakutafuta. Mungu akubariki sana
@Mwita_Isack Жыл бұрын
Amina sana
@PeterMunyao-x7e Жыл бұрын
Nice piece with good message and creativity ❤❤
@herrykifikilo7821 Жыл бұрын
hakikaa ujumbee mzitoo
@despinae.mdende Жыл бұрын
Hongeren sana Wana kwaya,hongera Sana Mwalimu Mwita Kwa wimbo huu Mzuri .Hongera The Galaxy pro Kwa kazi Bora zaid.
@plannerkasina488 Жыл бұрын
Wimbo una ujumbe mzito kweli. Asanteni sana
@cosmasbarnabas4927 Жыл бұрын
Naamini Mungu anamimina baraka tele kwako Mwita Isack kwa tungo hizi.Tangu ule wimbo wa ''Una thamani...'' hakika umeonesha kuwa una utulivu wa nafsi kila unapotunga wimbo
@Mwita_Isack Жыл бұрын
Amina kaka Mungu ni mwema.
@pirminmbawala845411 ай бұрын
Hakika huu wimbo umetungwa na kutungika. Hongera walimu na waimbaji wa wimbo huu. Umeimba kwa hisia kubwa Kama malaika. Hakika Mungu awainue. Pia tumejifunza kuuimba huu wimbo ni wiki Sasa. Yani huu wimbo unaleta muamsho mkubwa Sana wa kuishi Mbinguni.
@pirminmbawala845411 ай бұрын
Mtunzi wewe kiwango chako sitaki hata kukizungumzia, maana sijui umeutoa wapi huu utamu hebu ona "namaagiiiizo yako hataki" sauti ya 4 umetupa Raha Sana. Naomba namba yako. Sio kwa kuupiga mwingi huko
@olivernyakiage954 Жыл бұрын
Hongera wanakwaya, Mwita hukosei hata big up bro.
@simonthongori8586 Жыл бұрын
Kiburi kwa kweli ni adui kwa roho zetu Mungu tipe ujasiri wa kutenda mema. Barikiweni sana , Wimbo unao nena na nyoyo zetu kweli .