Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
Barikiwa sana 🙏
@ashrafmohamed79669 ай бұрын
Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani
@KMTKIONGERA8 ай бұрын
Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa kzbin.info/www/bejne/kJzUlnZol82tqc0
@duobledrittedeoritte27872 ай бұрын
Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz
@GasperTarimo-j2w2 ай бұрын
Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi
@ElvisNacham-eg8ep2 ай бұрын
Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu
@Musadaniel-l7y2 ай бұрын
A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏
@monicakaranja26811 ай бұрын
"Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤
@christina40mwangosi978 ай бұрын
Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
INADHAMANI.
@user-mt7to9wj7u5 ай бұрын
Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.
@tapindatapinda50435 ай бұрын
Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉
Nimejazwa na roho mtakatifu baada yakusikiza wimbo huu hongera kwa mtunzi.
@thobiasluanda-mg4qf Жыл бұрын
Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏
@user-xq9fw5rl5h9 ай бұрын
Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani
@bobrobert3374 Жыл бұрын
Hongera kwa tunzo na sauti nzuri
@user-le8cu1lz3y10 ай бұрын
Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤
@mwitaisack958210 ай бұрын
Amina 🙏 sana
@patricktuseko79 Жыл бұрын
Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed
@carolineflueckiger7457Ай бұрын
Yesu nakupenda
@HappyGoodluck-v3p7 күн бұрын
Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu
@PendoMakyao6 ай бұрын
Amina..wimbo unabariki sana
@aidandidace8207 Жыл бұрын
Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥
@logasiabaltazary94243 ай бұрын
Naona uwepo wa Mungu kwangu mpaka Sasa hivi.
@alphoncembassa640116 күн бұрын
Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa
@janemusyoki521810 ай бұрын
Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.
@despinae.mdende Жыл бұрын
Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.
@benardlameck7340 Жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰
@norberttwamba8467 Жыл бұрын
Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu
@jamesmwita2995 Жыл бұрын
Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana
@EinothMollel-vb1tc8 ай бұрын
Ujumbe mzuri
@robertkyanzue99943 ай бұрын
kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@dianamseka123315 күн бұрын
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
@ernesthaonga76408 ай бұрын
❤❤❤❤tumeupiga mwingi
@DariaJosephat17 күн бұрын
Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu
@estherwanjiru60016 ай бұрын
Wow ❤ I love your song
@gabrielsino2316 ай бұрын
Keep it up
@lilianwillium838111 ай бұрын
Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana
@PeacefulDaisies-jk2xq7 ай бұрын
Hakika kwa Mungu nina thamani
@waromokello3 ай бұрын
The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet
@kwayamalaikagabrielparokia506 Жыл бұрын
So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Mungu anaijua dhamani yako.
@AndreaAberyАй бұрын
Mungu abariki kazi ya mikono yenu
@peterhaki38536 ай бұрын
Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana
@user-ci6xt6ru3x4 ай бұрын
Mungu ni mwema kila wakati kwa Mungu kila mtu ana thamani kwake
@DennisDara-i4iКүн бұрын
Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha
@daudimhoha320Ай бұрын
Mungu.aliyetuumba.sote.niorijino
@daudimhoha320Ай бұрын
Hakika.mungu.ainuliwe.milele.yote
@janerosezanzibar5372 Жыл бұрын
Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏
@ilingolefredrick20705 ай бұрын
Ninasikilisa wimbo huu tamu kutoka parokia ya Augostino jimbo kuu la lodwar,,turkana county, Kenya❤❤
@restyammo-df2um Жыл бұрын
Asante kwa wimbo mzur,,, Zaid Sana ashukuriwe aliye juu kwa sabb pamoja na mapungufu yetu lakini bado tunathamani ni wimbo ambao unatupa faraja kwa mapito tunayopitia katika ulimwengu huu nasema Tena Asante Mungu kwa thamani uliyotupa sisi binadamu sifa na utukufu zikurudie
@menancemhombwe2267 Жыл бұрын
Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki
@jonaskweyamba9747 Жыл бұрын
Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.
@user-ks5it6uq9r2 ай бұрын
Ni mungu pekee,hakuna zaid mungu baba,,
@dignakayombo749 ай бұрын
Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia
@IGNASMBILINYI-tl3mp Жыл бұрын
Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta
@user-yg2yy2es8d9 ай бұрын
Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana
@LudvicNgugi-kx5xb9 ай бұрын
Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.
@mickeymabula8957 Жыл бұрын
Mmeupiga mwingi, hongera kwa mtunzi, tungo iko njema na waimbaji pia mmeutendea haki
@user-xw4eb4ew9j6 ай бұрын
congratulate to a good song
@martinsherembi2586 Жыл бұрын
Dah, me Huwa ni mgumu sana kusifia kitu lakini hapa uzalendo umenishinda! Ndg hauimbwi sana Kwa watunzi lakin sijawahi ona kitu Cha bla bla Toka kwakotoka nianze kusikia nyimbo zako! Hii ni zawadi muhimu sana kwangu Kwa kipindi hiki Cha kuuaga mwaka 2022, hongereni sana Kwa kazi nzr, soprano mmeuaaaa, no comment
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
Thanks broo na Mungu atukuzwe
@edithamakanzo6023 Жыл бұрын
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa hongereni kwa kazi njema
@benomahema3011 Жыл бұрын
Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.
@raymondmvula540711 ай бұрын
Tafakari kubwa sana, Hongera mtunzi kwa utunzi bora! Nackiliza kutokea Parokia ya Mt. Benedicto Peramiho, kigango cha Nguvumoja! Jimbo kuu katoliki la SONGEA
@mwitaisack958211 ай бұрын
Amina 🙏
@user-ci6xt6ru3x4 ай бұрын
Nasikiliza kutoka kigango Cha Mt Petro ibulyu parokia ya Mt john Bariadi
@user-ci6xt6ru3x4 ай бұрын
Mtunzi hongera sana sana
@geofreydawa4399 Жыл бұрын
Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji
@timothychombo9489 Жыл бұрын
Kwa Kweli ukisikiliza vizuri wimbo huu, mambo 10 yanaweza kutokea: 1. Machozi 2. Tiba ya stress 3. Dawa ya anaekaribia kujinyonga. Atapona 4. Utaiona huruma ya Mungu 5. Utajuta dhambi 6. Utakusudia kuacha dhambi 7. Utaungama dhambi zako 8. Utaenda kanisani kila wakati 9. Utajiona mwenye thamani kubwa 10. Utarudia kuusikiliza.
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
Barikiwa sana kaka
@geraldkishenyi5786 Жыл бұрын
@@mwitaisack9582 nimefulahia nikiwa zanzibar asante sana
@jacklinebarthazary6278 Жыл бұрын
Kwel kabisa nimejikuta nipenda no 9 najiona wa thaman Sana hasa nikiskiliza ubeti wa pili 🙏🙏
@annadominic2242 Жыл бұрын
Toka nimeufahamu nasikiliza kila siku
@Nekesapam2022 Жыл бұрын
Very true
@user-qv6jm6zp3n Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana
@ephraimkashusha3987 Жыл бұрын
Kazi Safi sana #Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..
@shepherdhermas6763 Жыл бұрын
Beautiful song and voices🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AnethLebwanga11 ай бұрын
Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi
@michaelmaige9300 Жыл бұрын
Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo
@SirJames065 Жыл бұрын
Kaka, wimbo nzuri sana na utunzi mahiri kweli..
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
Asante sana mkuu
@pollejilala8903 Жыл бұрын
Safi sana wapendwa,wimbo mzuri na mmeutendea haki
@benardettemuthama6046 Жыл бұрын
Ninayo dhamani Kwa kweli mbele yako ewe mungu...hutachoka kuniongoza mungu wangu Kwa kuwa upendo wako hauna masharti.Amina
@yesunimwema4497 Жыл бұрын
Pamoja na udhaifu wa kininadamu, kwa mungu unathani,ingawa wa angular dhambini kwa mungu unathamani❤my favorite song ❤❤
@eliudlucas5342 Жыл бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri
@dainesrhobi7172 Жыл бұрын
Hongeren kazi nzuri Sana Mefurah Kukuona Dada yang Jenerose Zanzibar Sauti kinanda Umetiachia pengo Huku
@nellyogwang6320 Жыл бұрын
Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu
@stevennymichael48332 ай бұрын
huu wimbo jamani mbona ukitaka kudownload aupatikani
@stephanomacomputerstatione5204 ай бұрын
Nyimbo ni nzuri sana kupita kiasi waimbaji wameimba vizuri sauti IPO standard na HD video. KWA MUNGU UNATHAMANI
@LucyNyeura-op6mg Жыл бұрын
Mungu awabariki mno, kazi nzuri
@joeljustas3935 Жыл бұрын
Mda mwingine mwanadam huonekana kama hastahiki kuwa mwanadam na wanadamu wenzake lakini Mungu aijuae tahamani ya mwanae hajawahi ithamanisha thamani ya mwanadamu na chochote kile alichokiumba, nizaidi ya dhahabu iliyoopolewa tanuruni thamani ya mwanadamu kwa Mungu wetu................
@peterhaki3853 Жыл бұрын
Hongera sana mwalimu
@user-jx9mt6gm8h10 ай бұрын
Kabisa!! kwa Mungu ndio kimbilio pekee
@user-jx9mt6gm8h10 ай бұрын
Nisikiapo wimbo huku nafarijika sana.
@user-po5ll5iu9b Жыл бұрын
Hongereni sana waimbaji 👏👏👏
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Kamwe ulisilie na Usikate Tamaa..Mungu anaijua Dhamani yako..
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Tujinasua kuanguka dhambini
@monikapaulo3452 Жыл бұрын
Bless song much i love it
@mgonasipapune1383 Жыл бұрын
sichoki kusikiliza huu wimbo
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
Barikiwa sana
@williamlucas434 Жыл бұрын
i never get tired to listen this beautiful song & its tone
@ngeikyalaani Жыл бұрын
Nimeipenda Sana hii wimbo mungu azidi kukuzidishia katika utunzi wako🎉
@annanyaguthii4325 Жыл бұрын
True. Kwa Mungu kila mtu anathamani. Asante Mungu.
@christinetushemereirwe8468 Жыл бұрын
Daaah brother mmeupiga mwing all the Best kwa KAZI zingingine
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
🙏
@christinaraymond192811 ай бұрын
Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl
@mwitaisack958210 ай бұрын
Amina 🙏
@MHOZYAKILIGI3 ай бұрын
Hakika kwa MUNGU Kuna thamani 🙏🙏🙏🙏
@julianprubavu4069 Жыл бұрын
Hongereni sana kuanzia utunzi, ala, uimbaji na muonekano. Mungu awabariki sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jacklinebarthazary6278 Жыл бұрын
Kiukwel mwimbo mtam Sana narudia kila Mara 🙏🙏🙏
@yohanambano872 Жыл бұрын
Amiiiina hongereni sana
@user-mm4bd1cj7d Жыл бұрын
Mnao enda kwa mwamposa kutafuta upako nendeni hata kwa mwalim wetu mwita mpate upako check wimbo huu una thamani zaidi yaupako wa mwamposa
@mwitaisack9582 Жыл бұрын
Aisee umenifanya nicheke ndugu yangu..yote kwa yote Mungu atukuzwe 🙏
@estaodasi-bg6om Жыл бұрын
Najisikia amani kubwa sana moyoni wimbo huu unanifariji
@NicholasMutuku-rh6fzАй бұрын
Alleluia,"amina.
@reginaabuya3411 Жыл бұрын
Feeling so blessed with this song We were all created with a purpose..
@duobledrittedeoritte2787 Жыл бұрын
Jamani hongereni sana waimbaj wezangu mmeimba mpaka mnasisimua duuuu
@vumiliamwangaya11 ай бұрын
Uuu .nio
@fridaernestmkedege900 Жыл бұрын
Amina Amina Amina!!!
@NazaGoefrey-pr5il Жыл бұрын
Wimbo mnzur Sana.... hongereni
@richardcharles-xt5xo Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana una ujumbe mzuri sana
@bomjidiana1975 Жыл бұрын
I feel touched....wimbo wa kupendeza na wa kutia moyo 🙏🙏🙏be blessed for the good work 🌹♥️🌹👌
@user-hg1bb4my1h Жыл бұрын
Nice song
@essykemmy99979 ай бұрын
This song has really blessed me alot
@lilianalara8007 Жыл бұрын
Mungu nasema asante kwa zawadi kwa ya upendo wa khali ya juu🙌🏻🤲🏼