UNATHAMANI Mwita Isack. MWITA ISACK & FRIENDS

  Рет қаралды 274,107

The Galaxy Pro

The Galaxy Pro

Күн бұрын

Пікірлер: 271
@tapindatapinda5043
@tapindatapinda5043 10 ай бұрын
Mr Isaac this is hilarious, we are being blessed by your Melodies. Glory to our Lord and Saviour Yeshua 🎉
@johnpaul-c7u8m
@johnpaul-c7u8m Ай бұрын
nafarijika sana na wimbo huu kwa mungu unathamani nashuru walio andaa mungu awaongezee ujuzi zaidi
@JosephatNziku
@JosephatNziku 23 күн бұрын
Wooow wimbo mzuri mubarikiwe sana
@vennerandadonald2592
@vennerandadonald2592 2 ай бұрын
Huu wimbo umekua favorite yangu, usiku kucha naweka uimbe na asubuhi naamka nao, kazini baada ya Rozari lazima nisikilize. Nani mwingine anafarijika na anapata ma tumaini akisikia wimbo huu. Let’s gather here.
@Dann-m8d
@Dann-m8d 2 ай бұрын
✋✋❤❤
@SimoniSalim-s4n
@SimoniSalim-s4n 16 күн бұрын
Nisadie kuupata yotubu siwez danilod
@monicakaranja268
@monicakaranja268 Жыл бұрын
"Ingawa nanguka dhambini kwa Mungu ninadhamani" huu wimbo unaniongelesha❤
@EusilahRutto-h4q
@EusilahRutto-h4q 10 ай бұрын
Congratulations a beautiful song, indeed we precious before God amen.
@christina40mwangosi97
@christina40mwangosi97 Жыл бұрын
Hakika kwa Mungu Una Thamani. Mmetutafakarisha sana Wapendwa.
@MegaAbby1010
@MegaAbby1010 2 ай бұрын
Wimbo wenye ujumbe mzuri wenye kujenga imani.
@pascalmsilombo6728
@pascalmsilombo6728 17 күн бұрын
Safi safi
@EliasMethod-t7n
@EliasMethod-t7n 2 ай бұрын
Nawapenda sana elias method kutoka kwaya ya familia takatifu shinyanga mjini niwatakie utume mwema
@FeliciaMbonabucha
@FeliciaMbonabucha Жыл бұрын
Nikisikia wimbo huu huwa nafarijika sana,pia unanifanya nijitabue kuwa nami kwa mungu ninathamani
@thrillingpoint2132
@thrillingpoint2132 2 ай бұрын
Kwa Mungu nina thamani🙏🙏🙏🙏
@ernesthaonga7640
@ernesthaonga7640 Жыл бұрын
❤❤❤❤tumeupiga mwingi
@PendoMakyao
@PendoMakyao 11 ай бұрын
Amina..wimbo unabariki sana
@WITNESSJAMES-lr6jz
@WITNESSJAMES-lr6jz 4 ай бұрын
Much love❤🎉
@PeacefulDaisies-jk2xq
@PeacefulDaisies-jk2xq Жыл бұрын
Hakika kwa Mungu nina thamani
@EinothMollel-vb1tc
@EinothMollel-vb1tc Жыл бұрын
Ujumbe mzuri
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 2 жыл бұрын
Usijishushe Dhamani yako kwa Mungu haiwezi kushushwa na Mwanadamu ...na wala hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...Asante sana kwa Zawadi ya Upendo.
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 2 жыл бұрын
INADHAMANI.
@estherwanjiru6001
@estherwanjiru6001 11 ай бұрын
Wow ❤ I love your song
@gabrielsino231
@gabrielsino231 11 ай бұрын
Keep it up
@aikabernard
@aikabernard Жыл бұрын
Nimesikiliza huu wimbo more than 10 times. Ujue katika ujana kuna mambo unapitia mpk unajiona huwez ata ingia malangoni mwa nyumba ya Bwana yani unajiona kama ata ukiomba Mungu hawezi kukusikia ila baada ya kusikiliza huu wimbo aloooh am so blessed na napata nguvu sana ya kumwambia shetani mm sio wa kwako kweli niliteleza ila mm nina baba yangu na anasubiri nirud kwake
@Mwita_Isack
@Mwita_Isack Жыл бұрын
Barikiwa sana 🙏
@ashrafmohamed7966
@ashrafmohamed7966 Жыл бұрын
Nimeutafuta sana huu wimbo hatimaye nimeupata,,,,, wimbo mzuri sichoki kuusikiliza unanitia moyo na kujiona wa Thamani
@PAULGATTI_21PG
@PAULGATTI_21PG Жыл бұрын
Barikiwa zaidi na utunzi wa mwita isack hapa kzbin.info/www/bejne/kJzUlnZol82tqc0
@duobledrittedeoritte2787
@duobledrittedeoritte2787 7 ай бұрын
Wimbo unanitiaga moyo sana jaman mbarikiwe sana waimbaji pamoja na mtunz
@erastorichard8290
@erastorichard8290 4 ай бұрын
Hakika ndgu
@peterhaki3853
@peterhaki3853 11 ай бұрын
Waimbaji wote hongoreni sana sauti pia Zina farijinsana
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 2 жыл бұрын
Moja Kati ya tungo bora uliotunga ni hii ,, hongera sana mtunzi na waimbaji pia mpiga kinanda ,mmefanya kazi nzuri sana
@okumuobudho5495
@okumuobudho5495 3 ай бұрын
Properly composed be blessed.
@EmmanuelAndrew-e1p
@EmmanuelAndrew-e1p 11 ай бұрын
congratulate to a good song
@bobrobert3374
@bobrobert3374 2 жыл бұрын
Hongera kwa tunzo na sauti nzuri
@NazarKaduri
@NazarKaduri 2 ай бұрын
Wimbo huu jaman unanifariji mnooo hakika me niwathamani
@KizaSango-g6v
@KizaSango-g6v 3 ай бұрын
Ongera sana kwa aliyetunga hii wimbo,pia waimbaji ongrereni kwa kuimba wimbo huu vizuri sana MUNGU awabariki kwa kazi ya uhimbaji
@rahabkuria1064
@rahabkuria1064 3 ай бұрын
This is My favorite Marian hymn, thanks ms Bhakita
@ElvisNacham-eg8ep
@ElvisNacham-eg8ep 7 ай бұрын
Huu wimbo mzuri wakati upo chini kabisa unahisi mungu yupo karibu. Asanteni kwa wale walioimba mungu awabariki mguze nyoyo za watu
@thobiasluanda-mg4qf
@thobiasluanda-mg4qf Жыл бұрын
Ni Mungu pekee aijuae thamani yako🙏🙏🙏
@anataliangalowoka3906
@anataliangalowoka3906 Жыл бұрын
Mbarikiwe sana. Kazi ni nzuri mno
@aidandidace8207
@aidandidace8207 2 жыл бұрын
Ujumbe mzuri unatia Sana Moyo, hata video nzuri, Kazi nzuri Sana🔥🔥🔥
@LadislausmzibaMhasa
@LadislausmzibaMhasa 3 ай бұрын
Kwa kweli kazi ni nzuri kinoma nimekubali mungu awazidishie afya njema
@baremaleonard9980
@baremaleonard9980 7 ай бұрын
Isack Mwita nimekuelewa,nyimbo zako zinagusa sana,M/Mungu akutunze,
@johnrikanga3953
@johnrikanga3953 2 ай бұрын
Hii ni tungo Bora sana za Mtunzi Mwita
@patricktuseko79
@patricktuseko79 2 жыл бұрын
Nauona uwepo wa Mungu kila Napo sikia Nyimbo hii. Hakika Mungu awabariki sana. Hio sauti ya tatu hapo mliniweza sanaaa. Be blessed
@SteveWakaba-ke7iz
@SteveWakaba-ke7iz 3 ай бұрын
I listen to the song every day. Pls nisaidie na notes ikiwezekana.
@DariaJosephat
@DariaJosephat 5 ай бұрын
Nahisi mtunzi alipokuwa akitunga huu wimbo alikuwa ameshukiwa na roho Mtakatifu hakika unanipa amani ya moyo na najiona Nina nafasi nyingine kwa mungu
@GasperTarimo-j2w
@GasperTarimo-j2w 5 ай бұрын
Samahani kwani ww ulianza kujifunza mwaka gani
@robertkyanzue9994
@robertkyanzue9994 8 ай бұрын
kwa Mungu una thamani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@EdwardWankyo
@EdwardWankyo 4 ай бұрын
Walimu kama wewe ni wachache sana mungu azidi kukupa uwezo wa kufikiria na maisha marefu mwalimu wangu
@martensnshimi3613
@martensnshimi3613 4 ай бұрын
Ooh Mtukanji na waimbaji Yesu tunaejivunia awazidishie vipaji na si tuzidi kufarijiwa na nyimbo zakumtukuza Mungu
@MathiasJohn-m6n
@MathiasJohn-m6n Жыл бұрын
Mungu akuzidishie kipawa mzee mwita ,,,Mimi na kwaya yangu tunakupenda bure❤❤❤❤
@Mwita_Isack
@Mwita_Isack Жыл бұрын
Amina 🙏 sana
@tempochoir
@tempochoir Жыл бұрын
Blessings.
@sarikasluvanga7780
@sarikasluvanga7780 3 ай бұрын
Wimbo huu hunipa hisia nyingi zenye kugusa maisha yangu mbele za Mungu kupitia kwa matendo yatupasayo. Hongereni sana waimbaji na Mtunzi. Baraka ziwe nanyi.
@jonaskweyamba9747
@jonaskweyamba9747 Жыл бұрын
Binafsi nawapenda kwa utume wenu mwema napenda pia utume wangu wa uimbaji.
@martinabel3896
@martinabel3896 3 ай бұрын
Daah nimeurudia huu wimbo zaidi ya mara 100 lkn hamu haiishi kuusikiliza, barikiwa sana mtunzi na waimbaji wote
@aquenthony6199
@aquenthony6199 5 ай бұрын
mi nilikua wapi jmn😢
@Kiza-m1l
@Kiza-m1l 3 ай бұрын
Yaani huu wimbo unanitia moyo sana
@margaretwanjau2607
@margaretwanjau2607 3 ай бұрын
Oh what a wonderful song! What a powerful message here! Asanteni sana Mwita and friends. I play this song everyday. It is so encouraging. ❤❤
@DennisDara-i4i
@DennisDara-i4i 5 ай бұрын
Huu ndio wimbo unanipa nguvu kwa maana unamafundisho ya kutosha
@carolineflueckiger7457
@carolineflueckiger7457 6 ай бұрын
Yesu nakupenda
@GasperTarimo-j2w
@GasperTarimo-j2w 7 ай бұрын
Hii ndio zawadi pekee aliyonipa mungu kusikiliza nyimbo Kama hizi
@christinaraymond1928
@christinaraymond1928 Жыл бұрын
Asante kwa nyimbo nzuri zinautukufu mnoo barikiwa sana Mwl
@Mwita_Isack
@Mwita_Isack Жыл бұрын
Amina 🙏
@josephmuthusi9055
@josephmuthusi9055 4 ай бұрын
Una thamani. On endless auto-repeat this morning. I feel this is how music will be in heaven.
@AnethLebwanga
@AnethLebwanga Жыл бұрын
Jamni mnaimba vizuri naomba kuimba pamoja nanyi
@MaryNdondu
@MaryNdondu Жыл бұрын
Hakika kwa mungu ninathamani kubwa ,hili tungo limenipa moyo sana
@EmmanuelMarco-v1q
@EmmanuelMarco-v1q 9 ай бұрын
Ok very nice
@antonymumo1976
@antonymumo1976 2 күн бұрын
Woow.....very nice song ❤
@JohnMasondole-u9m
@JohnMasondole-u9m 4 ай бұрын
Wimbo mzuri sana Hadi nimependa jaman eee hongereeeni sema sasa unapatikana KZbin pekee ake mediaa nyingine hapana
@LudvicNgugi-kx5xb
@LudvicNgugi-kx5xb Жыл бұрын
Ahsanteni kwa wimbo huu wenye kutibu mioyo iliyovunjika.
@NicholasMutuku-rh6fz
@NicholasMutuku-rh6fz 6 ай бұрын
Alleluia,"amina.
@monicakimario2910
@monicakimario2910 4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ni Baba yetu hata katika madhaifu yetu. Tu kweli wa thamani machoni pake
@lilianwillium8381
@lilianwillium8381 Жыл бұрын
Kiukweli ubarikiwe mtunzi na waimbaji wote nimefarijika mno hongera sana
@KulabaStephen
@KulabaStephen 4 ай бұрын
Huu wimbo ingekuwa utoaji wa tuzo for my deeply heart ungeongoza kuwa na tuzo kwanza inafundishwa,unaburudisha na unakufundisha kuwa mtu mwenye subira ambay hupaswi kukata tamaa amina sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@menancemhombwe2267
@menancemhombwe2267 Жыл бұрын
Bonge moja la song. Mwita weee unajua aisee. Hizi ndio nyimbo sasa za kikatoliki
@kwayamalaikagabrielparokia506
@kwayamalaikagabrielparokia506 2 жыл бұрын
So Nice...Hatukuumbwa kwa Bahati Mbaya...
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 2 жыл бұрын
Mungu anaijua dhamani yako.
@Musadaniel-l7y
@Musadaniel-l7y 7 ай бұрын
A very nice song, and it makes us feel God's endless mercy🙏
@IGNASMBILINYI-tl3mp
@IGNASMBILINYI-tl3mp Жыл бұрын
Kwa kweli hongera sana mtunzi nimebarikiwa sana na huu wimbo🙏🙏🙏
@Mwita_Isack
@Mwita_Isack Жыл бұрын
Amina sifa na utukufu vimrudie aliyetupatia hizi talanta
@despinae.mdende
@despinae.mdende 2 жыл бұрын
Asante Mungu Kwa wimbo huu mzuri. Unatukumbusha thamani yetu wanadamu.
@benardlameck7340
@benardlameck7340 2 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🎙️🥰
@norberttwamba8467
@norberttwamba8467 2 жыл бұрын
Despina, hatuwaoni siku hizi, nini changamoto. Tumezimis kazi zenu takatifu
@nellyogwang6320
@nellyogwang6320 Жыл бұрын
Asante kwa wimbo huu ina nipa nguvu
@dignakayombo74
@dignakayombo74 Жыл бұрын
Hakika wimbo ni mzuri tena ubarikiwe sana mtunzi,kupitia wimbo huu nimefarijika sana kwa mapito ninayopitia
@Arati3
@Arati3 9 ай бұрын
Nice😊
@benomahema3011
@benomahema3011 Жыл бұрын
Kongole kwao kazi nzuri inatutia matumaini.
@janerosezanzibar5372
@janerosezanzibar5372 2 жыл бұрын
Shukrani sana mwl nimekuelewa maana nilikuwa najua kama mchezo." Hakika unathamani"🙏🙏
@alphoncembassa6401
@alphoncembassa6401 5 ай бұрын
Wimbo ni bora kabisa unatuamsha hautukatishi tamaa
@geofreydawa4399
@geofreydawa4399 Жыл бұрын
Daaaaaaa hongera sana mtunzi pamoja na waimbaji
@dianamseka1233
@dianamseka1233 5 ай бұрын
Nilianza kusikiliza wimbo huu mwka 2022 nilikuwa kwenye mateso makali sana ya kimaisha na watu wa watumishi wa kazini kwangu,kila siku nikitoka kazini nilikuwa nasikiliza huu wimbo hadi leo hii.Nilipata faraja kubwa kupitia huu wimbo huu.
@waromokello
@waromokello 8 ай бұрын
The greatest hit from Mwita....the harmony is so sweet
@CeciliaBeatus-i3t
@CeciliaBeatus-i3t 3 ай бұрын
Mungu awabariki ukweli nimepata Tumaini jipya kupitia huu mungu awabariki
@janemwangi605
@janemwangi605 4 ай бұрын
Kweri wanakwaya wetu kwa mungu wetu tunathamani. Mungu awambaliki kupita kwa HUO wimbo una badili watu wengi sana. ASANTENI.
@HappyGoodluck-v3p
@HappyGoodluck-v3p 5 ай бұрын
Mungu awalinde mwendelee kueneza injili ya mungu
@monicakimario2910
@monicakimario2910 4 ай бұрын
Mungu akubariki mno Isack kwa hiki kipaji alichokupa
@Mwita_Isack
@Mwita_Isack 4 ай бұрын
Amina sana
@PaulBulolo
@PaulBulolo Жыл бұрын
Hongereni sana waimbaji 👏👏👏
@LucyNyeura-op6mg
@LucyNyeura-op6mg Жыл бұрын
Mungu awabariki mno, kazi nzuri
@AlphoncinaCharles
@AlphoncinaCharles 9 ай бұрын
Ongereni
@AndreaAbery
@AndreaAbery 6 ай бұрын
Mungu abariki kazi ya mikono yenu
@ephraimkashusha3987
@ephraimkashusha3987 2 жыл бұрын
Kazi Safi sana #Hongera sana Kaka Mwita Kwa Utunzi Mzurii..
@michaelmaige9300
@michaelmaige9300 2 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana barikiwa kwa hilo
@norbertsungu3922
@norbertsungu3922 Жыл бұрын
🙏
@janemusyoki5218
@janemusyoki5218 Жыл бұрын
Have been blessed. Kwa Mungu nina dhamani .Barikiweni sana . I love 😍 this song.
@edithamakanzo6023
@edithamakanzo6023 Жыл бұрын
nikijihisi kukata tamaa nasikiliza huu wimbo unanitia moyo sanaa na kunifanya nipate nguvu mpya. sijaja duniani kuzurula ni kusudi maalum la Mungu niwepo hapa hongereni kwa kazi njema
@EmmanuelMarco-v1q
@EmmanuelMarco-v1q 9 ай бұрын
Mungu ni mwema kila wakati kwa Mungu kila mtu ana thamani kwake
@SirJames065
@SirJames065 2 жыл бұрын
Kaka, wimbo nzuri sana na utunzi mahiri kweli..
@Mwita_Isack
@Mwita_Isack 2 жыл бұрын
Asante sana mkuu
@fiderisbahebe
@fiderisbahebe 4 ай бұрын
Kunanjia gan yakpata huu wimbo Jaman?
@MHOZYAKILIGI
@MHOZYAKILIGI 8 ай бұрын
Hakika kwa MUNGU Kuna thamani 🙏🙏🙏🙏
@REBECAMMUSA
@REBECAMMUSA Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana
@peterhaki3853
@peterhaki3853 Жыл бұрын
Hongera sana mwalimu
@AnithaModest-b5t
@AnithaModest-b5t Жыл бұрын
Kabisa!! kwa Mungu ndio kimbilio pekee
@AnithaModest-b5t
@AnithaModest-b5t Жыл бұрын
Nisikiapo wimbo huku nafarijika sana.
@dainesrhobi7172
@dainesrhobi7172 2 жыл бұрын
Hongeren kazi nzuri Sana Mefurah Kukuona Dada yang Jenerose Zanzibar Sauti kinanda Umetiachia pengo Huku
TAZAMA MUNGU NDIYE ANAYENISAIDIA || J.MGANDU (Official HD Video)
4:17
The Galaxy Pro
Рет қаралды 1,5 МЛН
SLIDE #shortssprintbrasil
0:31
Natan por Aí
Рет қаралды 49 МЛН
УНО Реверс в Амонг Ас : игра на выбывание
0:19
Фани Хани
Рет қаралды 1,3 МЛН
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН
진짜✅ 아님 가짜❌???
0:21
승비니 Seungbini
Рет қаралды 10 МЛН
Niimbe vipi? Na: Ibra & Ben Nturama
6:21
Kwaya ya Mt.Joseph Mfanyakazi - Chunya
Рет қаралды 27 М.
MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI   J  MGANDU ( Official Video HD )
5:53
The Galaxy Pro
Рет қаралды 487 М.
ASANTE MAMA WA YESU -  MTUNZI:  P. F MWARABU
6:01
The Galaxy Pro
Рет қаралды 155 М.
NAKUMBUKA -  MWITA ISACK II THE MAIN VOICE
7:04
The Galaxy Pro
Рет қаралды 57 М.
TWENDE MEZANI KWAKE BWANA II  John Mgandu II
5:51
The Galaxy Pro
Рет қаралды 175 М.
MKATOLIKI (Official video) - Kwaya ya Mt. Secilia Makuburi
6:31
Mt. Secilia Makuburi
Рет қаралды 1,7 МЛН
SLIDE #shortssprintbrasil
0:31
Natan por Aí
Рет қаралды 49 МЛН