#KANUNI

  Рет қаралды 371,776

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Жыл бұрын

Пікірлер: 222
@CHRISTINEONESMO
@CHRISTINEONESMO 7 күн бұрын
Amen barikiwa umenifundisha kitu mtumishi wa Mungu
@graceb2398
@graceb2398 4 күн бұрын
Amen pastor nabarikiwa nafundisho hii👍💐
@sarahezekiel3301
@sarahezekiel3301 Жыл бұрын
Ikimpendeza Bwana I pray this servant of the most high weds me when my time comes 🙌🏿🙏🙏one of my favourite teacher .
@malikauli4670
@malikauli4670 11 ай бұрын
Mungu akuongoze
@user-pn2ob4vd4j
@user-pn2ob4vd4j 6 ай бұрын
God bless you pastor. Thanks for your nice sermon
@mildredkhavayi6033
@mildredkhavayi6033 Жыл бұрын
Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏
@mokombapomobisaop6946
@mokombapomobisaop6946 7 ай бұрын
Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.
@Faith-zc1hs
@Faith-zc1hs Жыл бұрын
Wooh thanks for the teaching nimejifunza mengi
@EliaSimoni-ye6lv
@EliaSimoni-ye6lv Жыл бұрын
Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@FainesKitinusa
@FainesKitinusa 5 күн бұрын
Ubarikiwe kwa neno lenye kuponya ndoa zetu
@osorosamuel2023
@osorosamuel2023 Жыл бұрын
Powerful sermon but poor dressing, very unfortunate for our church
@rachelissa115
@rachelissa115 Жыл бұрын
Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰
@ibrahimmalabeja3692
@ibrahimmalabeja3692 11 ай бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@ibrahimmalabeja3692
@ibrahimmalabeja3692 11 ай бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@user-go1zz5ml7j
@user-go1zz5ml7j 8 ай бұрын
Ahsante saana Pastor kwa ujumbe huu ❤
@alice-sd1sv
@alice-sd1sv 6 ай бұрын
Wow I'm being blessed with your advice and preaching,be blessed
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 6 ай бұрын
Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili. Kama hautavielezea kibiblia Msingi wa ndoa kibiblia Ni Moja kwa mwanamke 1-utii Mbili kwa mwanaume 2-upendo kwa mwanaume Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema Sasa utakuja Kufundisha Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...
@user-ye7jv7sy3t
@user-ye7jv7sy3t 9 ай бұрын
Uvaaji uo siomzuuri kwa mabest
@JusterKendi-si9wo
@JusterKendi-si9wo 7 ай бұрын
Amen pastor, umeniguza sana hpo kwa kila ndoa iko na siri yake
@JohnJohn-ql2kf
@JohnJohn-ql2kf 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@IRENEMasisi-hm1cb
@IRENEMasisi-hm1cb 21 күн бұрын
asante mungu Kwa ajili ya plaster unaponya ndoa zetu
@HarrisonMuriithi-bd2jo
@HarrisonMuriithi-bd2jo Жыл бұрын
Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.
@kasokihortense7313
@kasokihortense7313 2 ай бұрын
unarikiwe sana umenijenga Sanaa pokea salamu zangu kutoka Congo DRC n'a kushukuru
@ernestmhilya960
@ernestmhilya960 Жыл бұрын
Great massage
@user-ni3nw6mt8y
@user-ni3nw6mt8y 8 ай бұрын
Endelea hivohivo mnekuelewa mngu akupe maisha malefu❤
@timothymuthomi1618
@timothymuthomi1618 Жыл бұрын
It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.
@FfFf-yb9cp
@FfFf-yb9cp 7 ай бұрын
Amina paster mungu akubariki sana na huu ujumbe .nasikia nimebarikiwa .mungu akufunulie zaidi ya hivi❤❤❤🎉
@treziambukwa8978
@treziambukwa8978 7 ай бұрын
Be blessed pastor
@cerealisfelician3807
@cerealisfelician3807 Жыл бұрын
Nashukuru Sana pastor kwa mafunzo haya
@moniquenimbabazi4528
@moniquenimbabazi4528 Жыл бұрын
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
@sauud2some471
@sauud2some471 Жыл бұрын
Mungu alibariki mutumishi wa Mungu ❤❤❤
@cosmaskabila3058
@cosmaskabila3058 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@RachealMndambi-kv9sd
@RachealMndambi-kv9sd 8 ай бұрын
Pr. Mungu akubarik sana.Songa Mbele Mungu Akutie Nguvu
@zubedamae-ro1jx
@zubedamae-ro1jx 6 ай бұрын
Be blessed mtumishi umenifunze na nimejua mengi na kukumbuka mengi Mungu azidi kukupa hekma zaidi
@dicksonkarithi5637
@dicksonkarithi5637 7 ай бұрын
You are so interesting sir. Thank you for your teaching. My family will prosper. Dicken from Kenya
@JusterKendi-si9wo
@JusterKendi-si9wo 7 ай бұрын
Very true darling
@matildamwakatuma1206
@matildamwakatuma1206 7 ай бұрын
Amen Pastor Mmbaga kwa somo zuri tumesoma vema
@user-pp5lm7cr5r
@user-pp5lm7cr5r 6 ай бұрын
Amina Sana mungu akubariki
@user-ef2om7ep1z
@user-ef2om7ep1z 9 ай бұрын
Yani wewe mtumishi pastor ufike mbali....nakuelewa sana na unaeleweka sana...barikiwa sana unatubariki sana...
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 8 ай бұрын
Asanteee kw somo mungu akujalie pastor
@alundalubuku9021
@alundalubuku9021 Жыл бұрын
Barikiwe mchunga kwa some mzuri ya ndoa.
@DrChief-xw8ei
@DrChief-xw8ei 11 ай бұрын
Mch.Mbaga unanibariki Sana Mungu akutumie vema
@fredrickasoya7987
@fredrickasoya7987 Жыл бұрын
Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa
@RAHELIDARABE
@RAHELIDARABE 10 ай бұрын
Nimeipenda pastor unanibariki sana ila wanaume hawapendi criticism na wakikataa tunawaachia afu yakiharibika ndo wanajirudi
@virginianduhia691
@virginianduhia691 9 ай бұрын
Rafiki mpendwa hii ni arusi ,so Kila mtu ni msabato
@user-iz8vi4ty9d
@user-iz8vi4ty9d 6 ай бұрын
Your sermon is very encouraging paster
@innocentkabeya2498
@innocentkabeya2498 Жыл бұрын
You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.
@user-pe3cc3oq2i
@user-pe3cc3oq2i 6 ай бұрын
Ahsante Sanaa pastor nimebarikiwa sanaa🎉
@matireke556
@matireke556 Жыл бұрын
Amina pastor mmbaga
@elizabethyaadzomboelizabeth
@elizabethyaadzomboelizabeth Жыл бұрын
Ubarikiwee mchungaji
@RehemaMuhagama-es3bj
@RehemaMuhagama-es3bj Жыл бұрын
Mungu akubarik sana mchungaj
@mercykassile363
@mercykassile363 27 күн бұрын
Somo zuri sana limenijenga
@user-jq6on6pw3c
@user-jq6on6pw3c 5 ай бұрын
Asante pastor
@RehemaEmanueli-so2kv
@RehemaEmanueli-so2kv 6 ай бұрын
Mungu akubark pasta Kwa ujumbe mzuri sana nimebarikiwa sana
@magrethclement500
@magrethclement500 8 ай бұрын
Amen MUNGU akubariki
@graceakech1826
@graceakech1826 6 ай бұрын
Powerful message
@florencekanze
@florencekanze 6 ай бұрын
Asante Sana pastor kunakitunimepokea kwakweli🎁
@evoski3
@evoski3 10 ай бұрын
Thank you Pastor Mmbaga. Beautiful sermon. Needed this. Shukran.
@nyancheraann4976
@nyancheraann4976 11 ай бұрын
Amina 🙏🙏🙏
@tumaininestory4037
@tumaininestory4037 Жыл бұрын
Aminaa Asante sana kwa ujumbe mzuri
@user-ys5ux2fr6v
@user-ys5ux2fr6v 10 ай бұрын
Mungu akubariki san baba mungu azidi kuku2mia kadri awezavyo
@user-xl8nb4we4s
@user-xl8nb4we4s 11 ай бұрын
Amen mtumish❤❤❤ 3:36
@user-wl9bz1pt9c
@user-wl9bz1pt9c 5 ай бұрын
Pastor Barikiwa sana
@christinapeter7131
@christinapeter7131 Жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji maana hayo usemayo ni laivu bila chenga
@ScolaMujaki
@ScolaMujaki 2 ай бұрын
Barikiwa Pastor
@anzurunimmj9462
@anzurunimmj9462 8 ай бұрын
Amina ❤❤
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 Жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
@florencebosire1352
@florencebosire1352 Жыл бұрын
Amen 🙏
@user-ws6ws7md7b
@user-ws6ws7md7b 2 ай бұрын
Pastar mungu akubariki kwa ushauri wako
@sindanosamson5144
@sindanosamson5144 Жыл бұрын
Mahubiri mazur Ahsante
@THERESIANDIMI-te6rm
@THERESIANDIMI-te6rm Жыл бұрын
Maubili yako mchungajiNimebalikiwa sana nimejifunza kitu
@mawandayalughatv
@mawandayalughatv 11 ай бұрын
Asantemtumishi
@elienew3788
@elienew3788 Жыл бұрын
Amina mra hii nimejifunza kitu hapa
@samuelkusina3755
@samuelkusina3755 10 ай бұрын
Pastor uko vizuri
@anzurunimmj9462
@anzurunimmj9462 8 ай бұрын
❤❤ Mungu atubariki na kutuzidishia hekima na maarifa kweli.❤❤
@PhionaAbdallah-uv5fl
@PhionaAbdallah-uv5fl 9 ай бұрын
Pr ubarikiwe sana mafundisho mazuri
@rhodalameck5722
@rhodalameck5722 Жыл бұрын
Sasa mnaomwambia pastor wamevaa ovyo yeye awafanyaje kama watu wazima wameamua kuvaa vibayaaa,awachape?au awafukuze wakavae vizuri?acha magugu na ngano vikue pamoja mvunaji ndio atachagua coz am sure wanajua wapasavyo kuvaa
@lilianrichard6164
@lilianrichard6164 11 ай бұрын
Wakavae vizuri ndipo waje wafunge ndoa. Tunatakiwa kukemea dhambi kwa jina, co kuacha tu, kumbuka huo mvuto mbaya unaharibu kanisa.
@janelebayo6161
@janelebayo6161 10 ай бұрын
@@lilianrichard6164 are you holly enough to judge? Vipi dhambi zako umeshaziacha au unaona wengine ndo wanafanya dhambi
@lilianrichard6164
@lilianrichard6164 10 ай бұрын
@@janelebayo6161 Mimi co mtakatifu na hakuna sehemu nimeandika hivyo, rudia kusoma uelewe nini namaanisha.
@jamesmelkiadesmpinika6337
@jamesmelkiadesmpinika6337 10 ай бұрын
​@@janelebayo6161kukemea na kuzuia vitu vinavyoleta makwazo sio dhambi wala sio kosa......!!!! Nadhan ingekuwa Heri wazee wa Kanisa wakawapanga kabla ya Much. Kuanza mahubiri😢
@naomisimion1702
@naomisimion1702 10 ай бұрын
Amen pr, lakin Hawa wanawake wamevaa vibaya Sana, and they are comfortable kuingia kanisani hivyo .
@user-up6yf7vy4c
@user-up6yf7vy4c 10 ай бұрын
Hakika mtumishi umefungua ufahamu wa akili yangu barikiwa pr Mbaga
@user-bd9dv7mj9m
@user-bd9dv7mj9m 10 ай бұрын
Mungu awabark
@user-cl3gq1xp8r
@user-cl3gq1xp8r 9 ай бұрын
Ubarikiwe Sana pastor ...lakini washauri kuhusu mavazi ya kikristo
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 Жыл бұрын
Amina
@modesterstephanokusekwa1432
@modesterstephanokusekwa1432 6 ай бұрын
Aminaa
@TammyNickolas
@TammyNickolas 2 ай бұрын
Unanibariki sana paster
@taizcitynam-nu8hk
@taizcitynam-nu8hk Жыл бұрын
powerful message
@Allan-rg2bp
@Allan-rg2bp 10 ай бұрын
Powerful message.thanks
@betrs5285
@betrs5285 10 ай бұрын
Nimejifunza God bless you , japo sina ndoa😭😭😭
@user-xk4wf2xp4d
@user-xk4wf2xp4d 9 ай бұрын
Barikiwa sana pr
@user-hw5yr5wb2s
@user-hw5yr5wb2s 10 ай бұрын
Hakika mchungaji uko vizuri saana
@stephenmpembwa6627
@stephenmpembwa6627 11 ай бұрын
Ahsante sana kwa somo zuri pastor
@jackmasiko2583
@jackmasiko2583 8 ай бұрын
Mwenye namba ya cm ya hyu mchungaji jaman naiomba naitafta Sana jaman
@pastmutokabijiramungu9513
@pastmutokabijiramungu9513 Жыл бұрын
Barikiwa sana
@stivenmika5921
@stivenmika5921 10 ай бұрын
Amina sana kwa somo
@user-kn7sr9sm6i
@user-kn7sr9sm6i 8 ай бұрын
Nimejifunza mengi. Sana ubarikiwe pasta
@AmiriJuma-xd6xb
@AmiriJuma-xd6xb Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@josephinesanita4904
@josephinesanita4904 Жыл бұрын
Mm ombi langu ni utakuja unifungishe ndoa panapo majaliwa ya mungu nmependa ushauri wako pr
@shedomumbere2044
@shedomumbere2044 4 ай бұрын
Whouah 👊
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Amina sana ...Show off...Ndoa ni Siri na Ndoa ni Fumbo la Mwenyezi Mungu
@estherkisamo1351
@estherkisamo1351 5 ай бұрын
Amen..
@Kanoni-kv8wd
@Kanoni-kv8wd Жыл бұрын
Amen
@liliankeyabaraka8195
@liliankeyabaraka8195 Жыл бұрын
True
@stellahznamga2395
@stellahznamga2395 10 ай бұрын
🙏🙏
@BarakaLatoi
@BarakaLatoi 8 ай бұрын
Stay blessed pastor
@charlessumuni9112
@charlessumuni9112 8 ай бұрын
Uk sawa
@RhodaLucas-by9nh
@RhodaLucas-by9nh 7 ай бұрын
Ameen
@Makeresstv
@Makeresstv 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana Mungu akubariki Mchungaji
@charitymutiso-jz4ec
@charitymutiso-jz4ec 8 ай бұрын
❤❤❤
@mujumbemtiifu1908
@mujumbemtiifu1908 Жыл бұрын
Pastor nimebarikiwa sana namahubiri hayo,ila nimevunjwa miguu nahào cjajua ni washiriki au laah
@RAHELIDARABE
@RAHELIDARABE 10 ай бұрын
Wachungaji washachoka maana waumimi wa siku hizi hawaambiliki kuhusu kujipodoa yaacheni magugu na ngano vikue pamoja Bwana wa mavuno mwenyewe atashughulikia
@grassgrace6898
@grassgrace6898 7 ай бұрын
Ameeeeeeeen
#mahubiri MAISHA YA ANAYE BEBA AGANO |PR.DAVID MMBAGA | SIKU YA 4
1:12:11
Makosa kumi (10) wanawake ufanya katika ndoa
13:33
Chris Mauki
Рет қаралды 247 М.
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 8 МЛН
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 8 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 17 МЛН
USIWE MLEVI WA MAPENZI SIKU YA 6 PR.MMBAGA
15:41
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 90 М.
DEBATE. Prof. Mazinge azima mbwembwe za Mch. Ndacha kutoka Kenya.
28:25
KORA IBIBINTU MWISI UZABAHO NEZA CYANE KANDI UKUNZWE NABENCI /PASTOR DESIRE
16:41
HARUFU MBAYA INAHARIBU UJASIRI WA MWANAUME KATIKA NDOA "PASTOR MGOGO
22:40
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 214 М.
VIZUIZI VIKUBWA VYA BARAKA MAISHANI MWAKO
47:46
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 193 М.
KAZI AU MKE ? | Pr. Peter John
20:06
Hope Channel Tanzania
Рет қаралды 23 М.
Hizi hapa dakika 15 tu! za Kufurahi na Mch. Hananja. UDSM CCT.
15:29
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 878 М.
HUWEZI KUFANIKIWA KIMAISHA BILA  MATATU HAYA....
50:09
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 1 МЛН
🔴#LIVE! MITIHANI MITATU ILI KUFIKIA MAFANIKIO YAKO II Mch. David A. Mmbaga
52:55
Dodoma Central SDA online TV
Рет қаралды 52 М.
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 8 МЛН