Amen barikiwa umenifundisha kitu mtumishi wa Mungu
@graceb23984 күн бұрын
Amen pastor nabarikiwa nafundisho hii👍💐
@sarahezekiel3301 Жыл бұрын
Ikimpendeza Bwana I pray this servant of the most high weds me when my time comes 🙌🏿🙏🙏one of my favourite teacher .
@malikauli467011 ай бұрын
Mungu akuongoze
@user-pn2ob4vd4j6 ай бұрын
God bless you pastor. Thanks for your nice sermon
@mildredkhavayi6033 Жыл бұрын
Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏
@mokombapomobisaop69467 ай бұрын
Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.
@Faith-zc1hs Жыл бұрын
Wooh thanks for the teaching nimejifunza mengi
@EliaSimoni-ye6lv Жыл бұрын
Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@FainesKitinusa5 күн бұрын
Ubarikiwe kwa neno lenye kuponya ndoa zetu
@osorosamuel2023 Жыл бұрын
Powerful sermon but poor dressing, very unfortunate for our church
@rachelissa115 Жыл бұрын
Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰
@ibrahimmalabeja369211 ай бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@ibrahimmalabeja369211 ай бұрын
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
@user-go1zz5ml7j8 ай бұрын
Ahsante saana Pastor kwa ujumbe huu ❤
@alice-sd1sv6 ай бұрын
Wow I'm being blessed with your advice and preaching,be blessed
@denisrukangula22276 ай бұрын
Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili. Kama hautavielezea kibiblia Msingi wa ndoa kibiblia Ni Moja kwa mwanamke 1-utii Mbili kwa mwanaume 2-upendo kwa mwanaume Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema Sasa utakuja Kufundisha Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...
@user-ye7jv7sy3t9 ай бұрын
Uvaaji uo siomzuuri kwa mabest
@JusterKendi-si9wo7 ай бұрын
Amen pastor, umeniguza sana hpo kwa kila ndoa iko na siri yake
@JohnJohn-ql2kf7 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@IRENEMasisi-hm1cb21 күн бұрын
asante mungu Kwa ajili ya plaster unaponya ndoa zetu
@HarrisonMuriithi-bd2jo Жыл бұрын
Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.
@kasokihortense73132 ай бұрын
unarikiwe sana umenijenga Sanaa pokea salamu zangu kutoka Congo DRC n'a kushukuru
@ernestmhilya960 Жыл бұрын
Great massage
@user-ni3nw6mt8y8 ай бұрын
Endelea hivohivo mnekuelewa mngu akupe maisha malefu❤
@timothymuthomi1618 Жыл бұрын
It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.
@FfFf-yb9cp7 ай бұрын
Amina paster mungu akubariki sana na huu ujumbe .nasikia nimebarikiwa .mungu akufunulie zaidi ya hivi❤❤❤🎉
@treziambukwa89787 ай бұрын
Be blessed pastor
@cerealisfelician3807 Жыл бұрын
Nashukuru Sana pastor kwa mafunzo haya
@moniquenimbabazi4528 Жыл бұрын
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
@sauud2some471 Жыл бұрын
Mungu alibariki mutumishi wa Mungu ❤❤❤
@cosmaskabila3058 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@RachealMndambi-kv9sd8 ай бұрын
Pr. Mungu akubarik sana.Songa Mbele Mungu Akutie Nguvu
@zubedamae-ro1jx6 ай бұрын
Be blessed mtumishi umenifunze na nimejua mengi na kukumbuka mengi Mungu azidi kukupa hekma zaidi
@dicksonkarithi56377 ай бұрын
You are so interesting sir. Thank you for your teaching. My family will prosper. Dicken from Kenya
@JusterKendi-si9wo7 ай бұрын
Very true darling
@matildamwakatuma12067 ай бұрын
Amen Pastor Mmbaga kwa somo zuri tumesoma vema
@user-pp5lm7cr5r6 ай бұрын
Amina Sana mungu akubariki
@user-ef2om7ep1z9 ай бұрын
Yani wewe mtumishi pastor ufike mbali....nakuelewa sana na unaeleweka sana...barikiwa sana unatubariki sana...
@zamalisaide32098 ай бұрын
Asanteee kw somo mungu akujalie pastor
@alundalubuku9021 Жыл бұрын
Barikiwe mchunga kwa some mzuri ya ndoa.
@DrChief-xw8ei11 ай бұрын
Mch.Mbaga unanibariki Sana Mungu akutumie vema
@fredrickasoya7987 Жыл бұрын
Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa
@RAHELIDARABE10 ай бұрын
Nimeipenda pastor unanibariki sana ila wanaume hawapendi criticism na wakikataa tunawaachia afu yakiharibika ndo wanajirudi
@virginianduhia6919 ай бұрын
Rafiki mpendwa hii ni arusi ,so Kila mtu ni msabato
@user-iz8vi4ty9d6 ай бұрын
Your sermon is very encouraging paster
@innocentkabeya2498 Жыл бұрын
You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.
@user-pe3cc3oq2i6 ай бұрын
Ahsante Sanaa pastor nimebarikiwa sanaa🎉
@matireke556 Жыл бұрын
Amina pastor mmbaga
@elizabethyaadzomboelizabeth Жыл бұрын
Ubarikiwee mchungaji
@RehemaMuhagama-es3bj Жыл бұрын
Mungu akubarik sana mchungaj
@mercykassile36327 күн бұрын
Somo zuri sana limenijenga
@user-jq6on6pw3c5 ай бұрын
Asante pastor
@RehemaEmanueli-so2kv6 ай бұрын
Mungu akubark pasta Kwa ujumbe mzuri sana nimebarikiwa sana
@magrethclement5008 ай бұрын
Amen MUNGU akubariki
@graceakech18266 ай бұрын
Powerful message
@florencekanze6 ай бұрын
Asante Sana pastor kunakitunimepokea kwakweli🎁
@evoski310 ай бұрын
Thank you Pastor Mmbaga. Beautiful sermon. Needed this. Shukran.
@nyancheraann497611 ай бұрын
Amina 🙏🙏🙏
@tumaininestory4037 Жыл бұрын
Aminaa Asante sana kwa ujumbe mzuri
@user-ys5ux2fr6v10 ай бұрын
Mungu akubariki san baba mungu azidi kuku2mia kadri awezavyo
@user-xl8nb4we4s11 ай бұрын
Amen mtumish❤❤❤ 3:36
@user-wl9bz1pt9c5 ай бұрын
Pastor Barikiwa sana
@christinapeter7131 Жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji maana hayo usemayo ni laivu bila chenga
@ScolaMujaki2 ай бұрын
Barikiwa Pastor
@anzurunimmj94628 ай бұрын
Amina ❤❤
@shaniachanceline2751 Жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
@florencebosire1352 Жыл бұрын
Amen 🙏
@user-ws6ws7md7b2 ай бұрын
Pastar mungu akubariki kwa ushauri wako
@sindanosamson5144 Жыл бұрын
Mahubiri mazur Ahsante
@THERESIANDIMI-te6rm Жыл бұрын
Maubili yako mchungajiNimebalikiwa sana nimejifunza kitu
@mawandayalughatv11 ай бұрын
Asantemtumishi
@elienew3788 Жыл бұрын
Amina mra hii nimejifunza kitu hapa
@samuelkusina375510 ай бұрын
Pastor uko vizuri
@anzurunimmj94628 ай бұрын
❤❤ Mungu atubariki na kutuzidishia hekima na maarifa kweli.❤❤
@PhionaAbdallah-uv5fl9 ай бұрын
Pr ubarikiwe sana mafundisho mazuri
@rhodalameck5722 Жыл бұрын
Sasa mnaomwambia pastor wamevaa ovyo yeye awafanyaje kama watu wazima wameamua kuvaa vibayaaa,awachape?au awafukuze wakavae vizuri?acha magugu na ngano vikue pamoja mvunaji ndio atachagua coz am sure wanajua wapasavyo kuvaa
@lilianrichard616411 ай бұрын
Wakavae vizuri ndipo waje wafunge ndoa. Tunatakiwa kukemea dhambi kwa jina, co kuacha tu, kumbuka huo mvuto mbaya unaharibu kanisa.
@janelebayo616110 ай бұрын
@@lilianrichard6164 are you holly enough to judge? Vipi dhambi zako umeshaziacha au unaona wengine ndo wanafanya dhambi
@lilianrichard616410 ай бұрын
@@janelebayo6161 Mimi co mtakatifu na hakuna sehemu nimeandika hivyo, rudia kusoma uelewe nini namaanisha.
@jamesmelkiadesmpinika633710 ай бұрын
@@janelebayo6161kukemea na kuzuia vitu vinavyoleta makwazo sio dhambi wala sio kosa......!!!! Nadhan ingekuwa Heri wazee wa Kanisa wakawapanga kabla ya Much. Kuanza mahubiri😢
@naomisimion170210 ай бұрын
Amen pr, lakin Hawa wanawake wamevaa vibaya Sana, and they are comfortable kuingia kanisani hivyo .
@user-up6yf7vy4c10 ай бұрын
Hakika mtumishi umefungua ufahamu wa akili yangu barikiwa pr Mbaga
@user-bd9dv7mj9m10 ай бұрын
Mungu awabark
@user-cl3gq1xp8r9 ай бұрын
Ubarikiwe Sana pastor ...lakini washauri kuhusu mavazi ya kikristo
@esthersimuli9952 Жыл бұрын
Amina
@modesterstephanokusekwa14326 ай бұрын
Aminaa
@TammyNickolas2 ай бұрын
Unanibariki sana paster
@taizcitynam-nu8hk Жыл бұрын
powerful message
@Allan-rg2bp10 ай бұрын
Powerful message.thanks
@betrs528510 ай бұрын
Nimejifunza God bless you , japo sina ndoa😭😭😭
@user-xk4wf2xp4d9 ай бұрын
Barikiwa sana pr
@user-hw5yr5wb2s10 ай бұрын
Hakika mchungaji uko vizuri saana
@stephenmpembwa662711 ай бұрын
Ahsante sana kwa somo zuri pastor
@jackmasiko25838 ай бұрын
Mwenye namba ya cm ya hyu mchungaji jaman naiomba naitafta Sana jaman
@pastmutokabijiramungu9513 Жыл бұрын
Barikiwa sana
@stivenmika592110 ай бұрын
Amina sana kwa somo
@user-kn7sr9sm6i8 ай бұрын
Nimejifunza mengi. Sana ubarikiwe pasta
@AmiriJuma-xd6xb Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@josephinesanita4904 Жыл бұрын
Mm ombi langu ni utakuja unifungishe ndoa panapo majaliwa ya mungu nmependa ushauri wako pr
@shedomumbere20444 ай бұрын
Whouah 👊
@lucasshirima2880 Жыл бұрын
Amina sana ...Show off...Ndoa ni Siri na Ndoa ni Fumbo la Mwenyezi Mungu
@estherkisamo13515 ай бұрын
Amen..
@Kanoni-kv8wd Жыл бұрын
Amen
@liliankeyabaraka8195 Жыл бұрын
True
@stellahznamga239510 ай бұрын
🙏🙏
@BarakaLatoi8 ай бұрын
Stay blessed pastor
@charlessumuni91128 ай бұрын
Uk sawa
@RhodaLucas-by9nh7 ай бұрын
Ameen
@Makeresstv4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana Mungu akubariki Mchungaji
@charitymutiso-jz4ec8 ай бұрын
❤❤❤
@mujumbemtiifu1908 Жыл бұрын
Pastor nimebarikiwa sana namahubiri hayo,ila nimevunjwa miguu nahào cjajua ni washiriki au laah
@RAHELIDARABE10 ай бұрын
Wachungaji washachoka maana waumimi wa siku hizi hawaambiliki kuhusu kujipodoa yaacheni magugu na ngano vikue pamoja Bwana wa mavuno mwenyewe atashughulikia