Kwenye pitapita zangu ndani ya Mwanza wakati naisubiria FIESTA 2017 Jumamosi ya September 23, nimeendelea kujionea vingine ambavyo sikuviona mara ya mwisho nimekuja Mwanza.... mojawapo ni hili daraja jipya la wavuka kwa miguu.
Пікірлер: 74
@LucasHaile-dy9kd2 ай бұрын
Tunaipenda Mwanza yetu, nipo Lusaka Zambia ila siku moja nitarejea nyumbani.
@anisiamedard37757 жыл бұрын
Waoo my home switi Mwanza oyee. Asante Millard Ayo mi ni mmoja wao wa miaka hiyo kweli pamependeza
@saidkaoneka26486 жыл бұрын
Hakukosewa kuwekwa kwenye kiti mungu ibariki Tanzania na viongozi wa chapa kazi na watafuta kiki safari hii watapata tabu sana kufuli likisha funga
@damianocostantine90422 жыл бұрын
Najivunia kuwa msukuma wa mwanza
@FaaidaTVtz3 жыл бұрын
Hiyo ndiyo Mwanza ninayoijua mimi, jiji tamu, jiji tulivu, jiji yenye ukarimu, ahahah hahaha. Mwaaaaanzaaaaaaaaaa, I love you so much. #SoShoTV #SoShoFitness
@emjay10167 жыл бұрын
aki mwanza ni nzuri sana pia kwa usafi wako vzuri tz nzima
@sabrinaali88106 жыл бұрын
Niko Nairobi Kenya lkn siwez pasahau nyumbani home swety one day nitarejea
@kakapascal50907 жыл бұрын
Rutubisha akili kwa kutumia sangara,utajiri wa nchi toka rock city Mwanza. Ni wapi kombolela ikachezwa na mtu mmoja, basi,umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Mwanza yangu jiji la utulivu,ustaarabu na ukarimu teule.go east go far west Mwanza "the stone forest city" is the best of all living dates arround the 🌍. asante ndugu Millad Ayo nafurahia ubora wa picha za video zako,na wakati natazama video hii nilikuwa mezani nikila wali na sangara mnono. naam Mwanza stay in devine blessing as you are.
@neemaissa45467 жыл бұрын
mwaza oeeee mkoa wangu naupenda
@aligmohammed37387 жыл бұрын
even cmb prezo the farther is from mwanza. am proud from mwanza.rocky city
@AbnerKuo6 жыл бұрын
Volunteered in this beautiful and authentic African town 3 yrs ago and I’m missing life back there so much right now.
@aishaaisha40926 жыл бұрын
Safi sana mwanza naona mambandiliko muko juu San kama malekani vile
@kingkasuku97037 жыл бұрын
Wakuja wanapaita Rock city na wazawa tunapaita mwanza karibuni mwanza ❤
@weremakururya46466 жыл бұрын
attractive city mwanza is shining! !
@marrykamome41857 жыл бұрын
Karibu ni Mwanza kwetu#Mwanzaaaa oyeeee...!
@mudathiralarakyamiyanji90927 жыл бұрын
milard huko mwanzaa kuna nini maana naonaa kama leo umewasifiaaaa sana wa mwanza hit like bttn
@upendorobert72986 жыл бұрын
Mudathir alarakya miyanji acha wivu, ayo nimpasha habari tena exclusive, jua maana ya reporter siyo unakurupuka tu kudonoa
@yangoshatv53276 жыл бұрын
Mwanza all star 🙌🙌🙌🙌
@gabrielibrahim58423 жыл бұрын
Hakuna lolote tunaongea kisukumaa mpaka town wako benki wnachat kisukumaa wako stendi wanaongea kisukumaa wako mahamani wao wanaongea kisukumaa tutupo jembe Nini ire bahaa Basi utasikia lugha tu mwaveja Sanaa tupo kwenye Kosta Ni kisukumaa kwakwenda mbereee Sasa mgeni najiuliza ivi Hawa wanajitambuwa ama ukabila Sana au ndoo wanatambulisha lughaaaa huwa siwasomii uko the kiss unakura vyombo kisukumaa ukoo ile bas ya karibu vila packy yanagonga kisukumaa tu huwa wananikeraaa iraa mwalimu Alina mbali sanaaaa Yani kwamwanza hataa wasome vpi utamjuwa tu huyu was kiree ziwa Victoria
@godfreyhiza10757 жыл бұрын
Proud to be in Mwanza
@ashminaabdullah56267 жыл бұрын
Mm nimezaliwa Znz ila nikenda Mwanza nafurahi usafi wako vzur sana
@iamzillahx69016 жыл бұрын
karibu sana mda wwt!! kama vp tubadlshane we ubaki mwanza namm nibaki Fumba
@irenewile4 жыл бұрын
Rudi nyumbani kumenoga
@aligmohammed37387 жыл бұрын
cheas ayo nc job.big love mwanza
@geofleyshiuga24876 жыл бұрын
Daah ulaya b Ipo Mwanza
@FrolaMwita-j9v6 ай бұрын
Mwanza yetu nipanzi san jaman kalibun
@jackyluns82244 жыл бұрын
Home sweet home😍😍
@saidayusuph18527 жыл бұрын
woow . mwanz kwanza rock city ndo hm
@millardayoTZA7 жыл бұрын
Yeeees mtu wa nguvu, nyumbani kwenu Mwanza napakubali sana
@aligmohammed37387 жыл бұрын
Saida Yusuph am also from mwanza
@2nukhamis4474 жыл бұрын
Mashaa Allah ❤
@Elijahkha5 жыл бұрын
Lingekuwa dar kigamboni lingeibiwa taa za kuwaka waka uck kama la kigamboni
@aligmohammed37387 жыл бұрын
ccm kirumba &furahisha is ma home town
@irenewile4 жыл бұрын
Me niliondoka 2011
@geofleyshiuga24876 жыл бұрын
Daah lazima ni rudi Mwanza
@elizabethcosmas25546 жыл бұрын
I love my home place Mwanza city
@razaqabdoul83427 жыл бұрын
Aiseeeeee saf xanaaa
@johnmatambi62326 жыл бұрын
Kwanza home bana.
@asiaissa9764 жыл бұрын
Maahallah
@mohammedsalim63987 жыл бұрын
kazi ya Dr pombe hiyo
@josephmorinho65736 жыл бұрын
Zuri xanaaa nimelikubal
@kingswebe32515 жыл бұрын
Lazima ibadilike mana si ndo katoka magufuli
@jaystar10047 жыл бұрын
Yan nimeenda mwaka Jana mwez wa 8 kulikua hakuna daraja....miez kadhaa tu imepta daraja tayar😳.....asee 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
@hidayasomariomari46507 жыл бұрын
mwanza kwetuuuuu
@chiefkong84727 жыл бұрын
Rocky city home city...
@kasimukipingu94337 жыл бұрын
Kwakua maendeleo yanaongezeka hilo daraja wangeweka kila upande njia tano hata kama ni kipande cha daraja tuu
@d.a.nicholaus7 жыл бұрын
Mwanza inapendeza sana 👍
@gabrielibrahim58423 жыл бұрын
Sawaaaa Sasa wabadilike na was lughaa mpaka town ujuwe wasukuma wanabowa mji Ni bomba Sanaa iraa swaga zaoo Ni karaha kila mtu Ana kabira bana Sasa wanakuwa Kama wanatangaza biashara ya lughaa hata rais hawamuonei aibuu rais anafanya Mambo makubwAa bas nasisi tubadilishe kulingana jiogorafi na taswira ya mini yetuuu haipendezi banaaa ndan ya vira pack yanagonga lugha the kiss lugha jamani wageni tunakosa poooz na mji was mwanza na ikiwa tunapapendaa udaga na dagaaa pow Sanaa IRA mibadilike haaaaaaa sio pow Gaby magomeni bongo
@gegomnete41997 жыл бұрын
Rock city
@aligmohammed37387 жыл бұрын
MA CITY MA HOME
@musaabubakary77117 жыл бұрын
Mwanza pazuri xn
@lastseen68156 жыл бұрын
Mambo ya kawaida huku kwetu
@stanleynombwe4865 Жыл бұрын
Siasa tu hizo ili wabaki madarakani
@mohammedsalim63987 жыл бұрын
msigwa umesahau na daraja la furahisha? kesho lalamikia daraja kujengwa mwanza badala ya IRINGA kwenye muelekeo wa watalii?? 😂 😂 😂 😂 MWANZAaaaaa
@mkwandagaspar70987 жыл бұрын
Yap liko poa
@kayukayu64687 жыл бұрын
Mwanza mwanzaa
@ipyananjiro22417 жыл бұрын
Sisi Mbeya wanatuonea sana kodi zetu zinajenga kwingine yaani mwanza ndo irivo daa tunaonewa Anna uiano kabisa
@rollupfashion.6 жыл бұрын
My home
@adamfundikira7422 жыл бұрын
Magufuli huyo
@meshackngereja44446 жыл бұрын
Hakika panacea deza
@oswaldmrema89642 жыл бұрын
7
@balysonemmanuel45277 жыл бұрын
#mwanzakwetu
@saidayusuph18527 жыл бұрын
karb
@millardayoTZA7 жыл бұрын
shukrani sana Saida
@davidkilolelo82126 жыл бұрын
Wazawa walisha likimbia jiji
@samiahazali20276 жыл бұрын
Kazi ya mweshimiwa magu wengine wangeenda ulaya kula stalehe