Magufuli tutakukumbuka daima ungekuepo hivi vitu nakwetu tungevipata.mungu ailaze roho yako mahali pema namwanga wamilele ukuangaze amina.
@user-gg9wi7oi8h2 ай бұрын
We ukowap
@NicholausKikoti2 ай бұрын
🎉
@JohariMatawaАй бұрын
johar matawa
@IsackyCharsАй бұрын
Mungu akuangazie mwanga wa milele baba yetu
@pinchesmbuche43542 ай бұрын
As a Kenyan this is the best in East and Central Africa.
@user-cm8jx5qf3w2 ай бұрын
Ila Mimi naona Mungu tumpe nafasi ila kama Kuna mkono wa mtu wa kishetani Na Mungu ampe adhabu inayo staili Haina kutubu mana ametuferisha Watanzania wengi AMINA.
@user-bj4yo9nu3i12 күн бұрын
Well done
@SophiaSalumu-j5t25 күн бұрын
Mungu akulaze mahali pema baba yetu Kwan hatutapata raisi kama ww tena mpk Dunia insisha
@user-rp1lt1oi4e2 ай бұрын
zote nnzuli sana mungu akulaze mahala pema mzee wetu joni pombe magufuli tutalukumbuka daima mzee wawanyonge
@aminaabdallah7702 Жыл бұрын
Makatili na wampambe wawo wamezulumu taifa la TZ na watz lakini Siku yakiama ambao inakaribia kila aliosika namauaji wa Hayati Magufuli atajitetea mbele yamungu yalale Salama hapo alipo jembe la watz amen
@MARIAMYANGOLE-lu6xjАй бұрын
Magufuli mungu akubariki baba angu huko uliko inaniuma sana nitakukumbuka daima mirere😢
@josephattindi93332 ай бұрын
Mwenye ndoto alilala na ndoto yake pengine angekuwepo tungekaribia kufika Ile nchi aliyokuwa akiota sikuzote endelea kupumnzika kwa amani jembe 😢😢
@fatmasalim8293 Жыл бұрын
Ya dar na mwanza mashallah ❤🥰🥰🇴🇲👌
@HeryethAleckАй бұрын
We si wa mwanza kama mm
@khadijayusuph2634 Жыл бұрын
Magufili juu"ungelikuepo Tz ingekuwa ulaya" pumzika kwa Amani baba"sifa zikufikie huko uliko"
@micamathew2595 Жыл бұрын
Magufuli hakika alifanya kazi!!
@daurdwambuto1877 Жыл бұрын
Alikuwa raisi wa afrika mzee wetu magufuli lala salama tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya
@user-gr9px4pi2w Жыл бұрын
Hakika hayati Rais Magufuli ameibadilisha sana nchi yetu , ameitendea haki Tanzania, wananchi tulio wengi tulimpenda sana Rais wetu Magufuli, hakika bado Tunalia sana , alimpenda Mungu, aliipenda nchi yake na alitupenda sana wananchi wake, nani kama Magufuli? Moyo unauma sana. Ndani ya miaka 5 tu ya uongozi wake maendeleo ya nchi ni kama miaka 20. Je angefika miaka 10 hakika tungefika mbali,
@niyongabojonas4760 Жыл бұрын
Mungu akutunukie vizuri DJP MAGUFURI
@wilsonelijah Жыл бұрын
1.stand ya magufuli mbezi 2.stand ya nane Dodoma 3.stand ya nyegezi mwanza 4.stand ya morogoro 5.standi ya nyamhongoro then katavi inafata mwisho
@WilliamManyelezi2 ай бұрын
Sitendi ya dodoma ni ya pili ya kwanza ya mbezi
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
waooh kazi iendelee zote zuri mashallha
@hajiyakara8301 Жыл бұрын
2mpoteza mtu mzima kabisa afrika nzima
@malikzafarani172 Жыл бұрын
Daaah magufuli tutamkumbuka milele sie wananchi katutendea mengi mengi saana 🇹🇿
@DisimasAresi23 күн бұрын
Magufuli alifanya mambo mazuri sana hakika 2takukumbuka daima
@JEMCITHOMASUO6 күн бұрын
Mungu akupunguziee adhabu
@Maalim_Samatta Жыл бұрын
Magufuli bus terminal ni baba lao in Tz
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
Miaka michache Mambo makubwa
@deusisindwa616 Жыл бұрын
Tutampata wp mtu kama huyu? RIP JPM😭😭😭
@NURUMASIMA21 күн бұрын
Stendi ya dodoma iko mwake❤
@winniecharles8883 Жыл бұрын
Respect JPM pumzika kw amani baba
@georgedaudi4600 Жыл бұрын
1,mbezi maguful. 2,nyengez mwanza zinatish San
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
Huyu baba kweli tutamkumbukaa
@neemahabibu-p3i20 күн бұрын
Ndio mungu akupunguzie adhabu
@shadymbuki87 Жыл бұрын
JPM 🙏🏽
@salimalaquimane3077 Жыл бұрын
JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM forever
@mbarukumakakala4895 Жыл бұрын
Jpm mbez namba moja msamvu namba mbil
@SabunNgalaba-oi6ml2 ай бұрын
Wewe urie Andra tarifa hii umetukumbusha mbali sana
@AbelAnthony-sw8si14 күн бұрын
Alikaa madarakani kwa mda mchache sana lakini aliyoyafanya niyamiaka zaid ya 50
@lidyacharles1201 Жыл бұрын
Huyo ndio anko magu r I p
@sashoright8213 Жыл бұрын
Zote kalii Sana Sana ya dar lkn muonekano zote nzuri mnoo na nmependa Sanaa kuwpo Kama Moll kila stand inajitosheleza na kila kitu mtu akifika anawza kubook hotel akalala akanunua anaxhotaka apo apo yan iko powa😍😍the kila mwaka ilikua kinatoka kitu naimani In Sha Allah tutajenga vingi zaid kwa muda mchache na imara
@petromartini7349 Жыл бұрын
Kizuri kweli hakidumu ,,Sasa hv Hela imerudi ilikotoka ,,,ila hata mama anapambana sana tumpe mda ,,,maana walianzisha wote na yeye anamalizia ujenzi uliokuwa bado haukukamilika ,,tuna viongoz wazuri sema tunataka matokeo ya haraka sana
@mariamlucas9054 Жыл бұрын
@@petromartini7349 mjnga huyo
@user-wu7vz8ot5i24 күн бұрын
Kwa kweli Jpm alifanya kazi kipindi cha uhai wake
@magambojuma53852 ай бұрын
Uhakika mzee magufur mungu amlaze mahali mema peponi
@agustinopaulo7981 Жыл бұрын
Ya kwanza stendi ya magufuli Terminal bus Ya pili Nyamhongolo Terminal bus mwanza hizo ndo stend kali kwangu
@khadijayusuph26343 ай бұрын
Mungu awalaani woote wlohusika na kifo xha jembe letu" Tanzania yetu ingekuwa ulaya!"woote wafe kifo xga aibu
@thomasbutingo17 Жыл бұрын
ukwel Mwanza imependelewa sana Ina stend mbili nzr balaa
@geraldwagumba1947 Жыл бұрын
AmakweliTanzania imepigahatua hongerajohnpombe
@aloycehongoa6284 Жыл бұрын
Kazi ya Mungu itukuke kwa mtumishi wake JPM.
@omanlovemirbat7572 Жыл бұрын
ndyo ivo mungu kampenda zaidi
@thomasbutingo17 Жыл бұрын
1. Stend ya maguful mbezi 2.Nyamhongolo Mwanza 3.Dodoma stend 4.Nyegez stend Mwanza 5. Msamvu stend Morogoro 6.Stend ya katavi.
@aidancherehani9431 Жыл бұрын
Stendi ya Katavi haiifikii stendi ya Sumbawangai
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
Zote kazi za JPM na vitu vizuri Tanzania ya mavi kunuka mtaviona nchi jirani bibi tozo hamna kitu hapo
@thomasbutingo17 Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 Kwan alotoa Hela zake mfukon Hela zlikua za watanzania huo ulikua wajibu wake kama kikwete alivojenga shule za kata Nchi nzma xo usiwe na ushabiki na kiongozi Fulani viongozi wote walopita wamefany meng Mazur
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
@@thomasbutingo17 hamna chochote fisadi Kikwete na zero brain huyu bibi tozo, JPM amefanya makubwa sana na kazi zake ziko kila sehemu hamuwezi kupoteza legacy yake! Yule mwanamapinduzi aligusa kila sehemu alijenga kila sehemu , ona uongozi wa ovyo wa muimba taarabu hamna chochote cha maana na hamna mradi wowote wa maana atakao uacha kama legacy yake
@thomasbutingo17 Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 Swali je hzo pesa alitoa mfukon mwake? Huo ni wajibu kama Rais lazm afanye ivo
@MUSSMABULA6 күн бұрын
Magufuri atakumbukwa daima🎉
@kelvinzegega2242 Жыл бұрын
Zote kali bt msamvu top tukiacha masiaara
@frankngoloka2589 Жыл бұрын
Tatizo msamvu ni ndogo
@assachole2248 Жыл бұрын
Magufuli terminal
@ommyboy8869 Жыл бұрын
Mhhhh wa.moro tunajulikana tu
@saliminyusuph6122 Жыл бұрын
Moro ndo home.
@MabamboMabambo2 ай бұрын
Mungu Mkubwa amlinde sana magufuli nawazazi wangu wote
@J4UPro Жыл бұрын
Sitamsahau mwamba
@PauloMbojeАй бұрын
Magufuli stendi ndo funga kazi siyo tanzania tu mpa nje ya nchi iko kwenye 10 bora mwanba magu alipambana kwa mengi sana
@msemasungura5651 Жыл бұрын
Zote nzuri
@magigesabai8674 Жыл бұрын
1.mbezi 2.nyegezi mwanza 3.Nyamohongoro mwanza
@thomasbutingo17 Жыл бұрын
Hpn nyamhongolo ni nzr zaid ya nyegez mara mbili
@bonnymakuke3153 Жыл бұрын
@@thomasbutingo17 nyegezi ilikua bado haijaisha vizuri Ila niatari wewe!
@ziadamtebwa3712 Жыл бұрын
Kwa kweli mungu ampe nguvu Mweshimiwa mama samia kazi ni kubwa miji lnapendeza.
@rehemaabdullah7606 Жыл бұрын
Mpuuz nn stend kajenga Bibi yenu hiyo? Au unataka cheo lkulu🙄🙄🙄kamalizia Kaz hiyo
@seraphinalameck1731 Жыл бұрын
@@rehemaabdullah7606 msamehe alikuwa amesinzia katoka usingizin na kucoment bila kuelewa anachocomment
@lelemabuyagu1457 Жыл бұрын
Mwamba jpm
@kellyngogo3319 Жыл бұрын
Yeees, 👍
@flova7022 Жыл бұрын
Kweli si Kila pombe ni kileo..pombe zingine ni nguzo za nchi
@martharenati1660 Жыл бұрын
Hakika tuendelee kumuenzi Baba Magufuli amefanya mengi Kama mwanadamu wengine hatuwezi
@jaydenbedas5729 Жыл бұрын
Humu ndo alimokua anapeleka pesa magu pesa ulifanyabkazi na hatumdai chench
@jeremiahmakoye6340 Жыл бұрын
RIP Hon.Dr.JPM
@niyonkurusalim2186Ай бұрын
Magufuri mungu ampe pepo kbsa
@FlorajonasHauleАй бұрын
Magufuli terminal is the best one❤❤❤❤
@dankedaudimwangombe3962 Жыл бұрын
Kali ya dare s salaam
@estherjackson6038 Жыл бұрын
Hata ya SINGIDA mkeka wa hatariii!
@agnesslucas4744 Жыл бұрын
magufuri ulifanya kazi kweri
@yohanabundala9162 Жыл бұрын
Mwanza wanabahati sana Terminal stand mbili zote zipo ndani ya Jiji
@Josamjosam8 Жыл бұрын
Ndo maana likaitwa jiji la miamba the rock city
@peterpatrice91083 ай бұрын
si kwenu lakini
@peterkapel53322 ай бұрын
Kwanini Nyamhongolo na Nyegezi uziunganishe wakati ni Stendi mbili zinafakanya kazi tofauti
@FredsonHytham-dx4xk Жыл бұрын
The best President in Tanzania
@user-bt2tz4re2p2 ай бұрын
Hakika mimi ndiye aliyenifanya nipige kura kwa mara ya kwanza magu bado tunakuenzi ilisema tutakukumbuka kweli yametimia
@FadhiliJohnFadhilijohnkiteo6 күн бұрын
Magufuli baba kama mahala pema daimaa
@HafsaHabibu-hi2lg2 ай бұрын
Salute kw anko magu
@godfreyanthony4386 Жыл бұрын
Magufuli Bus Terminal yakiume💚💚💚💚
@KelvinAmos-ow7pf2 ай бұрын
Magufuli Tanzania alikua ameiiinua haki ya mungu amulide apumuzike kwa amani
@user-bp3kp4on2r2 ай бұрын
daaah ama kwer bb wa afric
@SamwelMollely-h8l11 күн бұрын
Site Sitendi ya dar es salaam
@rehemahassan7685 Жыл бұрын
Stand ya Ramadi hamjaiweka hapo no nzuri sana
@sammimbuta4561Ай бұрын
Magufuli ulionesha uzalendo angekuwepo Hadi sasa Tzania ingekuwa Ulaya ndogo
@luganomwaipaja-bj6qz Жыл бұрын
Maboresho ya mazingira tafadhali kwenye stendi tunaomba, kama vitalu vya maua na miti kama ilivyo kwenye viwanja vya ndege
@antonyjacksony5542Ай бұрын
kwani mbeya na songwe tuliwakosea nn
@StivinMpesa2 ай бұрын
Kizuri hakidum hakika
@jonasntikangishwa3791 Жыл бұрын
Respect JPM
@AmaniThomas-xk1be Жыл бұрын
Ahsante 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
@umsoud3306 Жыл бұрын
Stend ya Singida Ni nzuri Sana , Lakini hapa haijawekwa
@mamachris6811 Жыл бұрын
Tatizo haina jengo la abiria
@aidancherehani9431 Жыл бұрын
Kile nikituo cha mabasi nasio stendi..... Stendi ndo hizo ulizotajiwa hapo