Nakupenda sana kay unajiamini sana mpambanaji wetu wa kike una baya simba ubaya ubwela❤❤❤❤
@eliakimmelkizedeck2059Ай бұрын
Huku mbeleni huyu ana deserve usemaji wa Simba
@BarakaJacobo-z6s2 ай бұрын
😂😂 dada kanichekesha Sana leo nimecheka kwa uchambuzi wake daah
@IkramMohamedi-z6e2 ай бұрын
Akram u. Mohamedi
@MwajumaNgaruma2 ай бұрын
Nimefurah mno mkwala kufunga ❤❤❤❤❤
@kisumuniog5275Ай бұрын
❤❤❤❤
@omarcarlos45952 ай бұрын
Ila mziwanda nakupenda bure dada.Unyama mwingi kwako tunajivunia uwepo wako hapo kwenye amsha,amsha,
@ZahorAbdallah2 ай бұрын
Ahoa Ana astst 3
@othmanhamad78872 ай бұрын
Kasahau ana mechi 2,assist 3 na goli 1
@OmbeniMkumbwa-yg1vg2 ай бұрын
Unawezeea Hawa wambea Jani wee dada❤❤❤❤❤
@PeterMwamtobe-t2c2 ай бұрын
Saf sana sister
@patrickymkoma35582 ай бұрын
Simba🎉🎉🎉
@othmanhamad78872 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣K umenichekesha sn eti unataka ashinde unaweza kubinjuka?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@JastinNdejeАй бұрын
Anajua
@KautharyYunusa2 ай бұрын
😂😂😂,,, tumuache ashangilie mwenyewe🎉🎉 2
@MgangaShabani2 ай бұрын
Kay oyoooooooooohhhhhhh!!!!!
@PauloAlfayo-qi1gn2 ай бұрын
😮😮😮😮😮 mziwanda umeolewa???
@othmanhamad78872 ай бұрын
Ahoua alipofunga alinyanyua mikono juu kuomba samahani mana anaona bd hajatufanyia mmb hasa tunayoyataka na hapo anaomba samahani ana assist 3 na goli 1 tena ndani ya mechi 2 tu,aisee htr
@NaamanAbubakary2 ай бұрын
Mxiwanda mambo ya Mungu na mpira haviihusiani heshimu dini xa watu
@ashambozu60382 ай бұрын
Yanga nitimu yavikoba
@TitoJeremia-g1t2 ай бұрын
Kweli alikua anatuumiza kwasababu Mkwala anakila kitu uwanjani anakaba vizuri
@chidampiri10122 ай бұрын
Mziwanda nataka nilete posa
@mwlhalimoja.ekingunza18192 ай бұрын
Sisi tuna Hela, tuna Hela mpaka tunaumwa😂😂😂😂😂😂😂
@JumaLulanje2 ай бұрын
Camera hii nomasa picha imeng'aa vibaya hongera sana jembe
@maggiehd12 ай бұрын
😆😆😆😆
@KakeSimbaАй бұрын
Safidadaangu
@janethelly49862 ай бұрын
🤣🤣🤣daaah ngoja nianze kwenda gym mpk nishangilie km streka refuu