KAZI IMEPAMBA MOTO SGR MWANZA - ISAKA, RELI YAPITISHA KIBERENGE SHINYANGA - SIMIYU

  Рет қаралды 24,942

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 47
@explorewithbertin
@explorewithbertin 4 ай бұрын
Can't wait to travel with electric train from Dar to mwanza
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 4 ай бұрын
Why ?😂 it seems you will not be alive by next year 😂
@HeradiusG
@HeradiusG 3 ай бұрын
@Bertin... I am eager to get there too! Thanks for your channel which help us tonget up dates...! Pamoja!😂
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 4 ай бұрын
SAF SANA N KWEL MAPUNGUFU HAYAKOS ILA MNAJITAHID GOD BLESS
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 4 ай бұрын
Hakuna kusifia kwani snalipwa pesa defu haya ya kusifia ndio wanasababisha kuharibu KAZI nchi za wenzitu wanasema amefanya nyanayostahili hizi za blabla sio Kazi hao wachina wanafanya KAZI hawana maneno maneno
@kambamazig02024
@kambamazig02024 4 ай бұрын
Siyo kama Waturuki, Dr-Morogoro mpaka sasa kila siku tunaambiwa mara asilimia 90 mara 98 mara 96 sasa tunashindwa kelewa ni nini maana yake ama ndiyo fuzzy maths?
@noelngowitechnicalsolution
@noelngowitechnicalsolution Ай бұрын
Hongereni sana kwa kazi nzuri
@kambamazig02024
@kambamazig02024 4 ай бұрын
Wangepewa mradi mzima hawa jamaa, maana Waturuki imebakia ni bla bla tuu. Dar-Moro imekuwa ni kizungumkuti!
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 4 ай бұрын
Noti mushkila
@DICKSONDickson-ru8yx
@DICKSONDickson-ru8yx 4 ай бұрын
Lot3...😂😢
@starjay3052
@starjay3052 4 ай бұрын
mchina arembagi kazi kaka
@birianination7097
@birianination7097 4 ай бұрын
Hii nikubwa sana
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 4 ай бұрын
Kazi nzuri katika kipande hiki kina chonachojengwa na Wachina lakini kwa kipande no 3 na no4 vinavyojengwa na Waturuki kazi siyo nzuri kabisa na Serikali inabidi ifuatilie kwa karibu sana.
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 4 ай бұрын
Lot 3&4 maokoto ya kulipa shida
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 4 ай бұрын
Mnachuki na waturuki... tunajua sababu
@255kwetu8
@255kwetu8 4 ай бұрын
Mturuki kampuni yake mwenyewe inashindwa kujiendesha baada ya mmiliki kuaga Dunia(Kuna mgogoro)Ila serikali inatoa fedha kama inavyofanya kwa CCECC
@255kwetu8
@255kwetu8 4 ай бұрын
Na habari njema ni kuwa hicho kipande Cha 4 kipo mbioni kupewa mchina
@donaldmartin-ps2ig
@donaldmartin-ps2ig 3 ай бұрын
Sait kwangu kabisa hapo
@salvatorybakilana2378
@salvatorybakilana2378 4 ай бұрын
Hiii reli inaisha lini mazee
@karimmkejina980
@karimmkejina980 4 ай бұрын
Miradi mikubwa hiyo huwa aishi mapema kwa sababu kila siku inaanza tena
@Nedjadist
@Nedjadist 4 күн бұрын
Mapungufu ya JPM sijui alikuwa na beef gani na Wachina! Angewapa mradi huu mzima Wachina, kwanza gharama ingekuwa ndogo, ubora maradufu na ungeifungulia Tanzania kuwa preferred state kwa China. Hata bwawa la Nyerere. Wachina wamewapita Wazungu mbali sana katika uhandisi. Taabu ya elimu ya Tanzania haitoi upeo wa dunia, maana hilo linataka kujua lugha.
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 ай бұрын
Hawa Wachina wako fasta sana aisee
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 4 ай бұрын
Watz wasomi wajifunze kupitia mradi huu
@zawadix9574
@zawadix9574 4 ай бұрын
Hiyo treni miakia 4 Sasa kipande Cha Moro dar teyari mbona hatu pandi
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 4 ай бұрын
Sehemu ni fupi mpaka pakamilike Dodoma 😂
@user-yr3yi2yr6i
@user-yr3yi2yr6i 4 ай бұрын
Wachina wako fasta kuliko hao waturuki
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 ай бұрын
Hao waturuki kutoka moro kwenda makutopora wamejenga haraka kuliko kutoka dar kwenda moro
@magorymara5515
@magorymara5515 13 күн бұрын
Ni kweli kule Moro ni milima kuchonga miamba kazi ilikuwa kubwa​@@elinamilyatuu7337
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 4 ай бұрын
Huyu mkandarasi ana uwezo apewe reli yote
@donaldmartin-ps2ig
@donaldmartin-ps2ig 3 ай бұрын
Ameshamwaga wino tabora kigoma
@profAKILI
@profAKILI 4 ай бұрын
Tuwache kuzungumza bila vitendo.... Hii reli bado haibebi abiria...kujeni kenya muone reli ya kisasa
@mkutamajuto1549
@mkutamajuto1549 4 ай бұрын
Ili itusaidie Nini? Nyinyi bakini na reli yenu na sisi hii ndy yetu
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 4 ай бұрын
Reli yenu ya diesel au! Pereka ushubwada wako huko
@abuubilal2646
@abuubilal2646 4 ай бұрын
Hatuna cha kujifunza kwenye hiyo treni yenu ya zilipendwa😂
@marcominja8850
@marcominja8850 4 ай бұрын
Sasa si bado ipo kwenye ujenzi, wanaanzaje kubeba abiria?
@harounzuberi8179
@harounzuberi8179 4 ай бұрын
Nyie na hiyo SGR au Gari moshi halafu kumbuka urefu wa hii SGR ya Tz ni ndefu mara tano ya hicho kimstari chenu kisichotumia umeme weeee Kenge Mkenya
@h.alshidhani8971
@h.alshidhani8971 4 ай бұрын
MBONA ISAKA HAIPITI TENA RELI HII YA SGR????? WACHINA WAMEKATAA KUPITIA ISAKA KWA AJILI MKUNJO WA NJIA YA ISAKA.
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 7 күн бұрын
Kwa hyo wanapita wap
@dickchambilo9138
@dickchambilo9138 4 ай бұрын
Majaribio hoeeee🤣🤣
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
TRC RELI TV
Рет қаралды 20 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 16 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 25 МЛН
MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA DART AWAMU YA TATU
5:49
DART TV
Рет қаралды 4,4 М.
Takeoff and Landing with Voice Dar es Salaam - Dodoma Dash8 Q400
8:48
Adventures with Brian
Рет қаралды 37 М.
BMG TV: Kazi Inaendelea ujenzi wa Flyover (SGR) Mwanza
2:51
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 12 М.
TAZAMA NDANI NA NJE YA “MCHONGOKO” WA SGR
1:49
TRC RELI TV
Рет қаралды 41 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 16 МЛН