Can't wait to travel with electric train from Dar to mwanza
@h.alshidhani89714 ай бұрын
Why ?😂 it seems you will not be alive by next year 😂
@HeradiusG3 ай бұрын
@Bertin... I am eager to get there too! Thanks for your channel which help us tonget up dates...! Pamoja!😂
@exaverysimon10644 ай бұрын
SAF SANA N KWEL MAPUNGUFU HAYAKOS ILA MNAJITAHID GOD BLESS
@fidelfidel-jz4iw4 ай бұрын
Hakuna kusifia kwani snalipwa pesa defu haya ya kusifia ndio wanasababisha kuharibu KAZI nchi za wenzitu wanasema amefanya nyanayostahili hizi za blabla sio Kazi hao wachina wanafanya KAZI hawana maneno maneno
@kambamazig020244 ай бұрын
Siyo kama Waturuki, Dr-Morogoro mpaka sasa kila siku tunaambiwa mara asilimia 90 mara 98 mara 96 sasa tunashindwa kelewa ni nini maana yake ama ndiyo fuzzy maths?
@noelngowitechnicalsolutionАй бұрын
Hongereni sana kwa kazi nzuri
@kambamazig020244 ай бұрын
Wangepewa mradi mzima hawa jamaa, maana Waturuki imebakia ni bla bla tuu. Dar-Moro imekuwa ni kizungumkuti!
@h.alshidhani89714 ай бұрын
Noti mushkila
@DICKSONDickson-ru8yx4 ай бұрын
Lot3...😂😢
@starjay30524 ай бұрын
mchina arembagi kazi kaka
@birianination70974 ай бұрын
Hii nikubwa sana
@modestwenceslaus94 ай бұрын
Kazi nzuri katika kipande hiki kina chonachojengwa na Wachina lakini kwa kipande no 3 na no4 vinavyojengwa na Waturuki kazi siyo nzuri kabisa na Serikali inabidi ifuatilie kwa karibu sana.
@michaelrweyemamu10684 ай бұрын
Lot 3&4 maokoto ya kulipa shida
@h.alshidhani89714 ай бұрын
Mnachuki na waturuki... tunajua sababu
@255kwetu84 ай бұрын
Mturuki kampuni yake mwenyewe inashindwa kujiendesha baada ya mmiliki kuaga Dunia(Kuna mgogoro)Ila serikali inatoa fedha kama inavyofanya kwa CCECC
@255kwetu84 ай бұрын
Na habari njema ni kuwa hicho kipande Cha 4 kipo mbioni kupewa mchina
@donaldmartin-ps2ig3 ай бұрын
Sait kwangu kabisa hapo
@salvatorybakilana23784 ай бұрын
Hiii reli inaisha lini mazee
@karimmkejina9804 ай бұрын
Miradi mikubwa hiyo huwa aishi mapema kwa sababu kila siku inaanza tena
@Nedjadist4 күн бұрын
Mapungufu ya JPM sijui alikuwa na beef gani na Wachina! Angewapa mradi huu mzima Wachina, kwanza gharama ingekuwa ndogo, ubora maradufu na ungeifungulia Tanzania kuwa preferred state kwa China. Hata bwawa la Nyerere. Wachina wamewapita Wazungu mbali sana katika uhandisi. Taabu ya elimu ya Tanzania haitoi upeo wa dunia, maana hilo linataka kujua lugha.
@lucasmhagama81663 ай бұрын
Hawa Wachina wako fasta sana aisee
@msafirisaimoni95614 ай бұрын
Watz wasomi wajifunze kupitia mradi huu
@zawadix95744 ай бұрын
Hiyo treni miakia 4 Sasa kipande Cha Moro dar teyari mbona hatu pandi
@h.alshidhani89714 ай бұрын
Sehemu ni fupi mpaka pakamilike Dodoma 😂
@user-yr3yi2yr6i4 ай бұрын
Wachina wako fasta kuliko hao waturuki
@elinamilyatuu73372 ай бұрын
Hao waturuki kutoka moro kwenda makutopora wamejenga haraka kuliko kutoka dar kwenda moro
@magorymara551513 күн бұрын
Ni kweli kule Moro ni milima kuchonga miamba kazi ilikuwa kubwa@@elinamilyatuu7337
@omarybakunda25544 ай бұрын
Huyu mkandarasi ana uwezo apewe reli yote
@donaldmartin-ps2ig3 ай бұрын
Ameshamwaga wino tabora kigoma
@profAKILI4 ай бұрын
Tuwache kuzungumza bila vitendo.... Hii reli bado haibebi abiria...kujeni kenya muone reli ya kisasa
@mkutamajuto15494 ай бұрын
Ili itusaidie Nini? Nyinyi bakini na reli yenu na sisi hii ndy yetu
@miltonjohn97794 ай бұрын
Reli yenu ya diesel au! Pereka ushubwada wako huko
@abuubilal26464 ай бұрын
Hatuna cha kujifunza kwenye hiyo treni yenu ya zilipendwa😂
@marcominja88504 ай бұрын
Sasa si bado ipo kwenye ujenzi, wanaanzaje kubeba abiria?
@harounzuberi81794 ай бұрын
Nyie na hiyo SGR au Gari moshi halafu kumbuka urefu wa hii SGR ya Tz ni ndefu mara tano ya hicho kimstari chenu kisichotumia umeme weeee Kenge Mkenya
@h.alshidhani89714 ай бұрын
MBONA ISAKA HAIPITI TENA RELI HII YA SGR????? WACHINA WAMEKATAA KUPITIA ISAKA KWA AJILI MKUNJO WA NJIA YA ISAKA.