Asante kamada Mnyika kwa kuhamasisha wananchi kuondoa hofu. Umeongea vizuri na naamini wengi wamekuelewa. Mungu akjaze nguvu zaidi na zaidi . Ubarikiwe sana! T uko pamoja!
@JosephMollel-xe2iv4 күн бұрын
L😊
@user-jt4lo1og8w7 күн бұрын
Tunaendaje kwenye uchaguZi Kwa Hali kama hii,wafute vyama vingi, wabaki wao❤❤❤
@HamisiSamweli9 күн бұрын
Nyuma yenu tuko ❤
@KuzenzaSangija9 күн бұрын
Sahihi kaka
@cyprianpetetmbonde63748 күн бұрын
Watekaji wanaona safi tu, lakini wasichokijua ni kwamba wananadi ubaya wa taifa kwenye jumuia za ki mataifa na inaweza kutisha watalii, wawekezaji, wageni nk.
@EmiliKigoma9 күн бұрын
Tanzania yetu ccm mnaipeleka wapi?
@Bonifaskagoma8 күн бұрын
Hapo sawa nakubali lissu ni mtu sahihi kusimamia hiyo kesi
@gililwise9 күн бұрын
Ee Mungu kwa nini wasimama mbali na watu wako?kwa nini watu wamekosa hofu ya Mungu?ee Mungu shuka ukomboe watu wanaoonewa.
@user-rn9og1rk3l8 күн бұрын
Mungu anasimama baada ya kuona jitihada zetu siyo kwa maiombi tuu
@emanuelmagai97277 күн бұрын
Kwani wezi au majambazi huwa wanatumia bunduki za aina gani. Kwenye bus za siku hizi Kuna camera je bus hili halikuwa na camera???
@williammbuzimai57447 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@lukomanomaliki54429 күн бұрын
Inaumiza sana.Mtu hata kama ana kosa lolote kuna utaratibu wake wa kumkamata.Hakuna aliyekuwa juu ya sheria.
@iddyekanda64569 күн бұрын
Sahizi kilichobakia ukifuatwa na watu kama hao afadhari ukatae wakuuwe hapohapo kuliko kupotezwa na wa kwenu wasikupate,
@Noelkitoi7 күн бұрын
Pamoja kaka
@ulomirabiel69807 күн бұрын
Uchunguzi kama dola inataka ni rahisi. Safari hii uchunguzi usipofanyika ukweli wa nani anahusika jibu litakuwa limejulikana .
@josephmkinga95099 күн бұрын
Duuuh! Aseee hatareeee
@HajiMwangama7 күн бұрын
Mbona kila uchagz nikilio chade
@MasudSalum-o4o9 күн бұрын
Kwenye gari nyingi kuna camera watoe tu fortage hizo
@AbdallaMwagora-sm1rj9 күн бұрын
Tashrifu inahitajika ikaandikishe taarifa na itoe kauli babu aly chibao ajulikane alipo.
@FabriceChizere8 күн бұрын
Rooomaaaa yuuuukoooo wapiiiiiii, aliamua kukimbia, Tanzania bhanaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JPO2R698 күн бұрын
Kwa nini Bass hilo halikuwenda kuhakikisha usalama wa Abiria.
@najimsuleiman36909 күн бұрын
Hali ni mbaya sana jamanii😭😭😭
@JosiaMsechu9 күн бұрын
Tunasikitika
@deuskamugisha36278 күн бұрын
Hapa Sasa naanza kuamini taratibu
@RaphaelMbughi-n1g7 күн бұрын
Tuludie Sensa ya watu na Makazi tujue Chama tawala niwangapi na upinzani ni wangapi wanaopungua sana ni chama gani?
@Thevineyard98898 күн бұрын
Na kwanini wanapiga watu wanaowakamata wakati wanakuwa hawa - resist kukamatwa kwao? Hili ni kundi gani linafanya hivi?
@Mathayo1Athuman9 күн бұрын
Hivi huyo ametekwa au amekamatwa? Maana zoezi hilo lilifanyika publically
@pueblo1489 күн бұрын
Katekwa.unapomshikilia mtu bila utaratibu hata mkubwa bar mbele za watu ni utekaji.hata akiwa kanisani au msikitini au hotelini ni utekaji
@albetomfuse4449 күн бұрын
Sasa wako wapi kama police hawapo basi wametekwa
@thomaskiponda60799 күн бұрын
SASA WEWE HUELEWI NINI MTU HAYUKO POLISI WALA LUPANGO MPAKA UAMBIWE MWAMBA AMETEKWA? POLE SANA.😊😊
@muhsinikoki40608 күн бұрын
huyu ni msigwa ana watumia kijanja
@JoelMwakaliku9 күн бұрын
Watanzania tuamke tujitetee
@emanuelmagai97277 күн бұрын
Kwani wezi au majambazi huwa wanatumia bunduki za aina gani. Kwenye bus za siku hizi Kuna camera je bus hili halikuwa na camera???