Siku zote msema kweli watu wanamchukia shekhe kasema ukweli lakini kuna wengine wanasema anajifanya kakamilika hakuna mwanadamu alokamilika sawa lakini kwa hili kaongea ukweli shukran shekhe wangu waislam wanajisahau sana
@mohammedmussa73784 күн бұрын
Khaswah ushirikina umekithiri sana
@mohammedmussa73784 күн бұрын
Khaswah ushirikina umekithiri sana
@mohammedmussa73784 күн бұрын
Khaswah ushirikina umekithiri sana
@mussakantumba99144 күн бұрын
❤Na kuna wajinga wengi wanawaamini wapuuzi hao
@RahmaTamla3 күн бұрын
Shukraan kwa ujumbe
@rashadmurshid5 күн бұрын
Tuko pamoja na wewe kung'oa mizizi ya ushirikina na ushenzi Allah akuhifadhi sana sheikh
@kadijaa7771Күн бұрын
Amiin
@MaryanDavid-jo2fs14 сағат бұрын
Kabisa shekh kishk anasema ukwel wallah watu wameingia ushirikina sana
@mohammedhamad93922 күн бұрын
Mashallah sijaona comment hata moja ilio kupinga sheykh wangu sheykh wetu.Baaraq llahu fee
@KindnessMaleko4 күн бұрын
Mm ni mkristo ìla napenda sana masòmo yaķo yaanì uko vizuri ni.ķweli mùngu akubaŕiki sana utapeli ùmezìdi
@AsyaMbarouk-tk2gl3 күн бұрын
MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUJAALIE UINGIE UISLAM AAMIN
@ShakiraSaleh3 күн бұрын
mwenyezi mungu akuongoze uweze kusilim inshaallah
@J4UPro2 күн бұрын
Mashaallah
@AsiaMsenga2 күн бұрын
Habari,upo wap ndugu yetu
@fredrickgitonga1972Күн бұрын
😅😅@@AsyaMbarouk-tk2gl
@AlkafaaMarket5 күн бұрын
Mashallah sheikh Allah akupe umri mrefu wenye kheri jiji la wajanja limepata sheikh alhamdulilah waodanganya wezao leteni hoja mezani mungu akubaik kishki
@AlkafaaMarket5 күн бұрын
Shukran
@hanifa91533 күн бұрын
P😢
@hanifa91533 күн бұрын
P😢
@RayOmar-vk2nnКүн бұрын
Mashallah unatusaidia sana sisi tulioslim ukubwani Allah akuweke shekhe kwa ajil yetu na kizazi kijacho
@thomaspeter2540Күн бұрын
Mashaallah allah akufanyie wepesi
@JfourKiluwa5 күн бұрын
Allah akupe kila la kheri shekh wetu na uwe na umri mrefu amin
@JahidaRashid5 күн бұрын
Mashallha shekhe mwenyezimungu akupe umli mrefu ❤
@nurdinmahmud91115 күн бұрын
Allah azidi kukutia nguvu sheikh wangu
@RaufaAlly3 күн бұрын
mashallah shekhe kishki mwenyezi mungu akupe umri mrefu ila mimi nilikuwa naombi moja siku moja shekhe nakuomba utembelee mkoa wa tanga wilaya ya kilindi ukawatolee dawa walau watu tupate kuitambua dini zaidi
@Raissaabdoul5 күн бұрын
Siku zote msema kweli watu wanamchukia sheikh kasema ukweli Allah akulinde na kila baya aamiin
@Fear_Allah3945 күн бұрын
Allah atuepushe na Shari na fitna za iblis, mayahudi, manaswara, wanafik na washirikina, amiin
@mussakantumba99144 күн бұрын
Maadui wa Uislamu ni Sita nao ni: Ibliis, Mayahudi, Wakristo, Washirikina, Wanaafiqi, Watu wa Bid,aah(Wazushi ambao leo ni wengi mnoo).
@HassanJaphari-rx7jy3 күн бұрын
Ameen
@hanifa91533 күн бұрын
Amiin yarrab
@hanifa91533 күн бұрын
@@mussakantumba9914😢😢😢
@fredrickgitonga1972Күн бұрын
Leta ushahidi wakristo ni maadui wa waislam
@khadijabuberwa33622 күн бұрын
Mwenyezi mungu akutunze shekhe kishiki
@Zulpha-i5d2 күн бұрын
Salam Alekum Mashaallah asante sheikh wetu na Allah akulinde uendele kutuelimisha
@rehemaseif17852 күн бұрын
Jazakallahu khair. Allah s.w akulipe kher zaidi shekh wetu. Umesema ukweli mtupu. Enyi ndugu zangu tumuogopeni M.mungu na tuogopeni siku tutakayorudishwa kwake. Tutende mema na Allah s.w atatujaalia maisha mazur duniani na akhera.
@SalumMusafiri5 күн бұрын
Shukran sheikh dini inahitajiya watu kama nyinyi .
@Herson-yw6cn5 күн бұрын
Safi sana Shekhe Kishki Allah akuhifadhi. Mashekhe jitahidini kusimamia dini msikubali dini yetu kuchezewa
Maashaallah, Allah akuhifadhi na azidi kukuinua, Na sema kwel Allah yuko pamoja nawe, Shekh Uko sahihi kemea, hakuna wakukemea,.... wengi wanahitaji maslah ya pesa, tunawaona sana na tunashangaza na ushekhe wao, wanaangalia dunia zao hali ya kuwa umma unaangamia wako kimy na kurushiana maneno ya dharau kwa wasema Kweli mfano wako.
@Veronicahcharles61comAsia11 сағат бұрын
Mola mlezi akuongoze inshaAllah akupe umri mrefu ili utufunze zaidi Ameen
@ShamilaAbdul-n8b3 сағат бұрын
Mashaallah shekhe langu. Tupe mawaidha shekhe. Allah atuweke mbali na shirki jamani😢
@SmilingBoardGames-jm4sj14 сағат бұрын
Mola Akuifazi sheikh wetu akupe maisha bora duniani akukinge na vijico❤
@ZulfaAbdallah-p9f7 сағат бұрын
Allah akulipe shekh wangu Kwa kupinga huu ujinga na uzalilishaji wa dini yetu,,
@chandeyusufu95709 сағат бұрын
Shekher wangu nakukubali sana inshaallah mungu akufanyie wepes katika kila jambo lako na uzidi kutuelimisha maa amuuma
@PapaabdouAli5 күн бұрын
Sheikh Nurudini Kishiki , Nahapa visiwa vya KOMORO Tunakufwatiliya Vizuri , Allah Akubariki Innshaallah . Ali Adam. Visiwa vya KOMORO.
@FakhiChapozo21 сағат бұрын
Safiii maalim wangu
@NaimaUssi4 сағат бұрын
mashallah sheikh wetu allah akubarik atupe mwsho mwema
@MwanaHamis-y4e2 күн бұрын
Allah azidi kukuifadhi shekh Nirdiin dunia ya sasa kira mja anaangalia jinsi gani atajiingizia kipato najifunza mengi kupitia hotuba zako japo sina elimu ya kidini ila naiifunza na Allah aniongoze ktk kuzingatia swala dunia ni Mapito
@KhadijaTwalbu2 күн бұрын
Qut
@AhmedHImran5 күн бұрын
Masha Allah jazaka Allahu kheiran hili jipu lilikua limeiva wewe ukaja kulipasua na kulikamua atapona sasa na wenzie ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MariamHaroon-pu3lx5 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢shehe wetu tunakupeda sana 😢 🙏 huu ni musimba kweri😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@AsiyahNory4 күн бұрын
Masha Allah tabarakah rahman Sheikh wetu Allah akupe siha njema na umri mrefu wenye khery dunian hadi akhera shukran sana wallah kuelimisha umma wa kiislam Allah akulipe pepo ya juu insha Allah
@zuleikhaabdhallah-bu1sg5 күн бұрын
Umezungumza mambo muhimu sanaa jazakallah shekh wetu
@AsiaAroun2 күн бұрын
Amiin InshaaAllah mwambie ukweli Dunia imeisha watu watafute UTAPELI tu
Shekhe umeeleweka ewaaaa Allah akulipe kheri nyingi fidunia wal-akhera
@Fatima-v9k6fКүн бұрын
From 🇧🇮 mashaallah ❤
@mickdad83097 сағат бұрын
Mungu akupe umri shekee wangu nurdeen
@davidruhasha96706 күн бұрын
Mungu akulinde sheikh kishki, njaa za maamuma wetu zimefika pabaya
@zuleikhaabdhallah-bu1sg5 күн бұрын
Allah akulinde naakuzidishie ili uendelee kuelimisha ummah
@MbarakSoud2 күн бұрын
Bismilaahi rahmani raahim namshukuru mungu tena sana alhaamdulilaah na yeye ni mfalme hakuna mwingine zaidi YAKE AMIN AMIN AMIN yaarab AMIN alhaamdulilaah namshukuru mungu tena sana kua mwislam dini iliyoo nyookaa na isiokua na shaka juu yake alhaamdulilaah uislam raahaa sana alhaamdulilaah uislam ni njiaa iliyoo nyookaa alhaamdulilaah ukweli unaaumaa waaambie ukweli waislam wako Sasa matapeli sana shida maslahiiii yaooo yaooo ya duniani huooo ni msibaa mkubwa inaaa lilaahiii wainaaa ilaahi raaajuhn alhaamdulilaah alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar takbir alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar takbir alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar takbir alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu wape ukweli wape ukweli haaaoooo wanafki
@BintAlly-k5r2 күн бұрын
Asant Nimekuelewa sana Allah atuongoze inshaalla
@AbdullKareem-o6d3 күн бұрын
Allah akup uhai sheikh kishkh kl tanzania wew ndo kiboko yao allah hajakosea kukupa ilmu
@TwahirBurhanКүн бұрын
BARAAKA LLAAHU FIIK SHKH,ALLAH AKUJAALIE AFYA NJEMA UZIDI KUWAUMBUA HAO MATAPELI WA DINI
@AminaAli-w3s5 күн бұрын
Allah akupe umri mrefu sheikh bora utesemee jaman
@MogiAbdallahКүн бұрын
Ahsante sana Shekhe wangu watu wengi sahv wana act kujiingizia kipato ikiwa hawajali wanapotosha Dini yetu Tukufu 😢 Allah akujaalie Shekhe🤲🏽Nakumbuka ulikuja Madrasa yetu pale Bbt ukatufundisha Dua moja hv mpk leo nimeihifadhi ❤
@5amediaonline3355 күн бұрын
❤❤❤❤ SHEKH KISHKI MASHALLAH ALLAH AKULIPE JANNA Inshallah
@ScopionScopion-zj9cd23 сағат бұрын
Nakupa hongera bora uchukiwe kuliko kuulizwa siku ya kiama kwamba ulichukua hatua gani
@omarymbwana97982 күн бұрын
Shekh Namuomba Allah akulipe wallah Allah nishahid juu ya unayo fanya ktk dini yke nimetokea kukupenda kwaajili ya Allah na Allah atukutanishe peponi Amiina
@Veronicahcharles61comAsia11 сағат бұрын
Asalam aleikum sheikh yaani bado,bado,hawakaribii ataa kidogo yenye mimi najue mteule wa Allah hana kinywa,ukakasi,hatusi,wala kujipiga kifua ati naweza hakuna
@Muiana-p5b2 күн бұрын
Mwenyezi Mungu akuepushe na husda na maradhi ustadhi uzidi kutuelemishi
@hajihabibumaguno29825 күн бұрын
Katika mashehe wanaosema maovu wewe mashaallah
@saloomidd10842 күн бұрын
Anajitahidi kusema haki
@FatmaSaid-cz4nz5 күн бұрын
Nakubali sheikh for kenya
@zuleikhaabdhallah-bu1sg5 күн бұрын
Allah akufurahishe duniani na sheria
@abdulkarimisihaka21456 сағат бұрын
Asante shekhe kwakukemea uovu huu
@astamohamed9717Күн бұрын
Upo sahihi sana shekhe
@MariumYusufu10 сағат бұрын
Allah akuifadhi shehe
@mwajohari43855 күн бұрын
Naaam Naam uislam dini ya haqi,,, shukran saana sana
@HassanMsongola5 күн бұрын
Allah akupe heli dunian & ahela kw kua mkweli
@rehemashebani37115 күн бұрын
Asante sheikh kishki mijtapeli kweli kweli afadhali umewaanika wajitafakari wa muogope Allah
@MohammedMatimbwa-p5m12 сағат бұрын
Hakika ALLHA ana watu wake nao ndio watakao ipigania dini yke mashaallah shekhe wetu
@ShamsudeenOmary5 күн бұрын
Wachape kisawasawa hao Shaykh, wamejisahau sana. Allah akujaze kheri habeeb
@d153555 күн бұрын
Amchape nani wahabi huyu hajielewi,angekuwa na nasaba ya mtume huyu asi ngekuwa wahabi wala asingepinga mawlid vitus vinavyompinga mtume nine mashaka kwenye nasabu yake
@d153555 күн бұрын
Tuna mashaka na nasaba yako kishki sababu zamani watu wengi sana walijisingizia wao ni nasaba ya mtume walikuwa wanawadanganya watu mfano mtu anatomy Yemen huko antenna Somalia wasipomjua nae anajiita sharifu au Sayyid ,na watu wanamwita hivyo sababu hawamjui alipotoka ndio unakuta kuanzia yeye na wanae wote washakuwa masharifu baada ya hapo,sasa sidi Tuna maxhaka na wewe kama ungekuwa sharifu wewe usingepinga mawlid hakunaga sharifu wa ukweli anaepinga mawlid wewe unamushkel jichunguze ,mtume alimkataa sharif Hussein wa makkah kuwa sio all bayt wake unalijua hili au unataka kujisifu tu?
@ShamsudeenOmary5 күн бұрын
@@d15355 Nawe unaona umeongea ??
@d153555 күн бұрын
@@ShamsudeenOmary mimi si mfuasi wa mawahabi na wapinga mawlid kama ulivyo wewe
@ShamsudeenOmary5 күн бұрын
@@d15355 Hilo halinihusu ila umeongea maneno ya dhulma
@fatmaLubuva2 күн бұрын
Maashallaah molla azidi kutumilikisha wasema kweli .sema ukweli hata kama unauma.kulhaq
@Sharrif0123 сағат бұрын
Sheikh Nurudi Kishki spoke the truth. Alhamdulillah tuko maju na tuna mtambua kama Sheikh Nurudin Kishki. Allahu Mabarik
Mungu akutangulie yalinikuta hoyo yakwenda kwa sharif yaliyonikuta mungu ndio ajuae sijaenda tena zaidi yakumuelekea Allah nashukuru
@bahatihamissi116114 сағат бұрын
Shekhe Kishik ALLAH akulipe kheri kwa kuzidi kuwaelimisha waislamu wote ulimwenguni
@Omanzikra-ft5crКүн бұрын
Masha allaha sheikh wangu kishki ndomana nawapendaga nyinyi masheikh wa kisunna mnapoona jambo baya linaingizwa katka dini yetu dakika2 mnalipinga kwa dalili zote takizo nihawa masheikh zetu nasasa hivi haovijana wakitakakujitokeza wanapitia kwanza kwa masheikh zetu alafu wanawapa hela ili wawapitie mbele kwasababu hawa masheikh wanawatu wengi kamavile mtu leo anamuona sheikh mazinge yumondani yao tena katikati anamtangaza yule kijana lazima mtu mwenyeimani dhaifu ataamin dah sheikh mazinge anamsadiki yule kijana muongo na anampamba imeniuma sana
@khalidaomar32322 күн бұрын
Mashallah
@ummykilongoКүн бұрын
Alihamdulilahi namshukru allah kila ninapoangalia video zako najifunza kitu asante kwa kutuongoza kwa yaliyo ya kweli shekh kishiki
@issasuleiman299519 сағат бұрын
ما شاء الله
@KhalifaAlnabhaniКүн бұрын
Alllah akuhifadhi shekhe kishiki nakupenda san san ❤
@tahyiatahyia7925 күн бұрын
Hongera xn sheikh kuwafahamisha waislam kwa kile kinachoendelea wallah msiba tena cha kustisha wanawake ndio wengi tunaopumbazwa na ujinga wa huyu kijana asieyejielewa wanawake wenzangu turudin kwa Allah tusiwe vipofu kias hicho
@mussakantumba99144 күн бұрын
Wanawake wengi wenu ni mashetani na mtakuwa motoni wengi
@mudighurayra2 күн бұрын
@@mussakantumba9914asta ghafirullah utaitaje wenzio mashetani wewe waombee kwa Mungu awaongoe kusema kuenda motoni wewe pia huja jijua unako elekea pia
@LATIFAJOSEPH-h5qКүн бұрын
Alhamdullillah
@IssaIddi-b6s15 сағат бұрын
Alhamdulilalah ALLAH atuongoze
@Ommywhity7Күн бұрын
Asante Sana shekhe nurdin kishq Allah akifadhi na akupe umri na afya uzidi kuitangaza Dini yake na kuilinda Dini yake
@sadakheri17955 күн бұрын
Mashaallah tabarakallah allah sheikh kish tabarakallah allah akulinde sasa maneno yako saiv imefikia yote
@aishahazary4097Күн бұрын
Maasha Allah... Jazzakallah khayra shehe Kishki
@OmaryBakariOmary-ts3mf4 күн бұрын
Allah ampe umri mrefu kwa kusimamia ukwel
@nassoromwakuchengwa68174 күн бұрын
Ukweli huo ila ukweli unauma Asante xna sheikh kw kutufungua vichwa ( wameipata iyo)
@abdulabdu3235Күн бұрын
Munguakuhifadhi shehe wetuamin
@TamoniKambanga22 сағат бұрын
Alla akulipe inshaalla
@istambulahmed66645 күн бұрын
شكرا وجزاك الله خيرا وبارك الله فيك قد استفدنا جدا جدا..
@HurumaJobu5 күн бұрын
Sheikh kishki ALLAH akuhifadhi wewe ni mmoja ya watu mlionifanya nisilimu kwa hiyari na mlinifanya niupende uislamu siku ya kwanza kuingia msikitini nilifarijika mnoo hakika dini ya haki mbele ya mwenyezi MUNGU ni uislamu
@prochesernest54394 күн бұрын
Karma uliacha ukristo ukaenda huko kwenye uislamu pole Sana maana Quran inasema hukiwa na jambo linalokuatatanisha waulize wasomao vitabu kabla Yako vya kale ni wakristo na na wayaudi 10:94 Quran
@shamzone3884 күн бұрын
@@prochesernest5439pole ndugu yangu hasara juu yako Mwache achague dini anayoipendA malipo tutayajua huko tuendako
@AsyaMbarouk-tk2gl3 күн бұрын
Hakika umefanya maamuzi bora kabisa kuingia dini ya HAQI
@rehemaabdallah93703 күн бұрын
Masha Allah ndugu yangu katika imani
@HurumaJobu3 күн бұрын
@@prochesernest5439pole ya nini sasa
@AbubakarOttoman5 күн бұрын
Jazakallah khaira
@SaleheSalim-x4u5 күн бұрын
Safi sana sheikh kishik wakatafute kazi za kufanya kuliko kutapeli watu kupitia din
@MariamNkelameКүн бұрын
Masha aallah Allah akulipe Kila la kher
@SuleIstighfar14 сағат бұрын
Kuwa na subra inshallah kwa yote yakupatayo kwa hakika upo katika haki
@HabibuTuruki5 күн бұрын
MashaAllah
@jaffarmohamed6859Күн бұрын
Mashallah we miss u sana
@Rukaka_jrКүн бұрын
Shekh ongea ukweli hata ukiwauma sawa tu wee tafuta radhi za Allah kwa kufikisha, watakuchukia coz umetoa code yao ya upigaj, Allah akuongoze InshaAllah
@itshero9905Күн бұрын
mungu akuhifadhi shekh wetu
@muhidinzuberi8708Күн бұрын
Umesema kweli shekh kishk Hawa nimatapeli sio masharifu
@MariamNkelameКүн бұрын
Allah akuhifadhi
@NoraKedir3 күн бұрын
Kabisa shehe mkatazeni mazinge asirudi kuwa nyuma yauyo sharifu mshirikina😢😢😢😢😢😢mazinge alikuwa anapenda na watu ila mtutamkataaa kbs 😢😢😢😢😢
@abuusaidy15065 күн бұрын
Allah akulipe sheikh wangu kishki endelea kuwazinduwa waja Hawa wa Allah
@nadhirufadhili90745 күн бұрын
Allah akulipe jannah Ameen
@SherallyHussein-tu1nk5 күн бұрын
Baarakallah fiyk yaa Sheikh Nurdeen Shareef Kishki. Wafikishie matapeli Matope hao, kama watakuwa ni wenye mioyo( sio pampu za kusukuma DAMU)