ALLAH akuweke pema peponi Bi Shakila Said, nilikuwa nasikiliza taarabu hii at 70s and 80s kweli old its gold, ni sauti isiyo badilika, 22/08/20 nasikiliza nikiwa kazini Adelaide South Australia
@mwanakomborashid70532 жыл бұрын
Allahummah aamin,nahizi ndo nyimbo kwa kweliii
@mwgaadam72613 жыл бұрын
Imotionaal song Mungu msamehe dhambi zake huyu
@johnkuma686711 ай бұрын
Sauti hi siya binadamu. Hakika hi sauti ni ya malaika wa mungu,Shakila mungu akurehu. Unanitoa chozi
@sakinaabdallah7713 Жыл бұрын
Mungu amrehem huô ndio wakati wenu lakini hizo karnet zetu kufa kwa mtu ndio ujinga wa mwisho😏😏😏😏😏
@demaiteperron67258 жыл бұрын
Mungu airehemu roho ya bi Shakila Said, huyu ndiye mwimbaji bora wa muziki wa taarab nchini tanzania wa wakati wote katika tasnia ya muziki wa mwambao nchini na Africa nzima kwa ujumla
@alymwala94716 жыл бұрын
Safi sana
@batetaaida44184 жыл бұрын
Nafurahi sana tunamuomba ALLAH awalaze mahala pema YARABBI
@HafidhOmar-rs4ty9 ай бұрын
Shakla nimuimbaji mzuri sna ila hio nitathmn yko2
@kimwerihamza41526 ай бұрын
Umekwenda bibi na sauti yako,m/mungu aendelee kuipunzisha roho yako milele peponi,tumebaki na nyimbo za matusi hadharani bibi yangu
@mudrckrommey69382 жыл бұрын
Daaah huu wimbo
@jamaldinabubakary95076 жыл бұрын
والله حلاوه...صوتها روووع ربنا ارحمها
@allyahmed46579 жыл бұрын
Mashaallah!! shukran sana!natoa machozi tu hapa..
@mathiasmihambo60356 жыл бұрын
Mh!!! Aiseeee saut nzur mpka inagonga moyon.. nakuombea kwa MUNGU bi shakila upumzike kwa aman
@ashamasudi3097 жыл бұрын
Wimbo Mashaallah bi Shakira Said
@fuadmohanna108910 жыл бұрын
nyimbo nzur sana,nakumbusha zamani,.mimi naomba, Mke wa awali
@asmasoud64988 жыл бұрын
Fuad Mohanna +
@jonaskwigeza19907 жыл бұрын
Saudi bora ya taarabu kwa wakati wote .mpaka Leo 2017 akipanda jukwaani sauti ni hiyo hiyo. Mama amejaliwa sana wimbo huo niliusikia miaka ya mwanzo ya 1971 pale Kigoma tens nikamsikia 2014 akihojiwa na jenerali on Monday. Hana mfano kwenye melody . binge lingepitisha kwamba Hutu ni mwimbaji bora wa taarabu SikU.MUNGU atampumzisha maana huko hai hadi Leo 2017 .Sasa wanaosema MUNGU amrehemu ,sielewi kwa MTU ukiwa hadi. Tungeiga Marekani waliosema Michael Jackson ni greatest entertainer of all time Sikh ikifika shakia aitwe Msanii bora wa taarabu wakati wote .Ni kumuenzi tu.
@mussashabani33457 жыл бұрын
mashaaallaha tanga laha bwana
@mwanakomborashid70532 жыл бұрын
Allah akusamehe ulipokesa
@fatumahamisi47742 жыл бұрын
Mungu akupe kauli uliko
@wardasuleiman68252 жыл бұрын
Oo
@hassanmpwepwe38265 жыл бұрын
mungu akupe kauri thabit twa kukumba Sana mama bi Shakira
@zenarajabu92416 жыл бұрын
Ntajiuwa kweli napenda hii taarabu sanaa
@shafiiamani85796 жыл бұрын
Wimbo unatia majonzi mno mpangilio mzima... Oooh nalia mie kifo cha mahabha
@hamisikijangwa72724 жыл бұрын
Wimbo unatia maji
@richardgatungu37592 жыл бұрын
Mungu amsamehe makosa yake yote
@shakilamtira40357 жыл бұрын
wajina Wang mungu akupe kheri.
@mamumiyaskitchenvlogs58585 жыл бұрын
hatatokea kama mama Shakila.MUNGU Akuwie radhi kwa yote ya kidunia akupokee kwa wema mama
@dadamaisha44704 жыл бұрын
Ameen. ❤️
@ibrahimaboker90863 жыл бұрын
Kazaliwa Pangani tumesoma chuoni pamoja ni nwana wetu wa Pangani bwana wake wa kwanza mzee Hatibu pia ni mwana Pangani.
@kimwerihamza41526 ай бұрын
Tuendelee kumuombea bibi shakila roho yake iendelee kupunzishwa panapostahili
@fuadmohanna108911 жыл бұрын
true old is gold.
@user-cm8yz3sb6t6 жыл бұрын
ukweli alitunga wimbo safi huchoshi mtam sana
@richardmaseke68582 жыл бұрын
pumzika kW aman
@richardmaseke68582 жыл бұрын
kiukwe huy mam anaimba
@omarysauti42735 жыл бұрын
Dah bi shakla mungu awe nawe huko uliko
@preetyroshylne14756 жыл бұрын
Mashallah
@boinaassane64593 жыл бұрын
Mgu namrehemu
@ShabaniMwinyikheri4 сағат бұрын
Miaka hiyo nipo mdogo shangazi yangu mwanajumbe akiwa anaimba taarab black star Tanga Barbara ya 11
@muddyrashidi88082 жыл бұрын
mnyiramba orijinal
@ahmedkhan1449 жыл бұрын
shukran. nyimbo zatukumbusha mbali.
@nassiralwardi18646 жыл бұрын
Mashaallah shakila said
@nassiralwardi45506 жыл бұрын
Mashaallah
@mohamedally69922 жыл бұрын
MANSHALAH
@allymusira21533 жыл бұрын
Mashairi yametulia tungo haina matusi
@MrMohamed29 жыл бұрын
mashairi mazuri sana
@eltajir2 жыл бұрын
bin seif nahitaji ile MOVIE ya love story ya pemba na unguja unayo?
@annasamwel14632 жыл бұрын
Sasa hii ndio taarab
@hassanrashid2246 жыл бұрын
Allah akupe kaul thabit
@abubakaricholo40266 жыл бұрын
good
@johariabdul48637 жыл бұрын
shakira weeeeeee
@saidmasoud45506 жыл бұрын
Allah amrehem
@mubahamed84444 жыл бұрын
Bi shakira said 😭2021
@marodemadero65909 жыл бұрын
ali salim wimbo nzuri mashallah
@mukrimpanga34326 жыл бұрын
Mungu akulaze mahal pema peponi amin
@saidmasoud45506 жыл бұрын
Maneno kuntu unakuja kujiuliza tayari imeshapita
@salimakuluwa20636 жыл бұрын
Asante bi shakila
@mohamedalaraimi68135 жыл бұрын
Wewe ndo umelitaja Jina vizuri Shakila sio kama wengine wameandika shakira
@talltall567412 жыл бұрын
Shakira
@allychilinga19587 жыл бұрын
😭😭😭
@chikuramadhani7246 жыл бұрын
R.i.p bishakira
@rahmahaji75706 жыл бұрын
hata mimi.alikuwa.ananitowa mawazo
@ibraibrahim46286 жыл бұрын
9/9/2018
@kingchorasports47546 жыл бұрын
10/9/2018
@charlesbilla92286 жыл бұрын
Pambesanaa
@masoudmchau51454 жыл бұрын
25/7/2020
@simenyasikhulu13 жыл бұрын
Ni nani kaimba huno wimbo? Shakila ama Shamila? Wimbo murua mno.
@nassiralwardi18647 жыл бұрын
Good songs
@joycekisaye29637 жыл бұрын
r.i.p
@atrashjr32307 жыл бұрын
Good
@safinabakari91406 жыл бұрын
John Namwamba Ni bi.shakila Allah amsamehe makosa yake