KIFO CHA MANDOJO JESHI LA POLISI LIMETOA TAARIFA RASMI/ MTU MMOJA ANASHILIWA

  Рет қаралды 24,364

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 50
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 28 күн бұрын
Huyu polisi anasoma kama amelewa hata haelewi Nonsens 😢 Anasoma kama mtoto wa darasa la kwanza😢
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 28 күн бұрын
Ulimpeleka shule wewe au anavyosoma haeleweki mbona nyie ngedele mnatusumbua sana baada ya kuongea cha maana unaponda ripoti
@shabanikimeru8409
@shabanikimeru8409 28 күн бұрын
Yeye kaandaliwa ripot aisome sio Kaz yake uyo Camishna kuwa na adabu usilopoke ovyo
@FintanFelix-z6c
@FintanFelix-z6c 28 күн бұрын
Ndo tz lakini ikikutwa taili yagari kipala au Aina bima utakiona chamtema kuni
@FintanFelix-z6c
@FintanFelix-z6c 28 күн бұрын
Sasa Maelezo gani hata ayaeleweki
@shabanikimeru8409
@shabanikimeru8409 28 күн бұрын
Uchunguzi gani Tena wakat inajulikana kafa kwa kupigwa
@mtz5582
@mtz5582 2 күн бұрын
Embu komaa kidogo kiupeo.Mambo ya polisi hayaendi hivyo
@TonyMasterog
@TonyMasterog 28 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 28 күн бұрын
Hapa kupatiwa mafunzo ya utangazaji ni muhimu.
@VitalisMmassi-oh4jb
@VitalisMmassi-oh4jb 28 күн бұрын
Asome mwingine aleweki
@christinaalexander1213
@christinaalexander1213 28 күн бұрын
Walimdhibiti ,ameiba?
@jeremiahmbena4644
@jeremiahmbena4644 28 күн бұрын
Mbona nyinyi polici mnawakamata watu amuogopi munga?
@PrimsSilayo
@PrimsSilayo 26 күн бұрын
Kwakweli inauma sana😢😢😢
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 28 күн бұрын
Duuuh! Ni mimi sijaelewa au afande ajaeleweka😂
@GodfreyMwendawila-ff7on
@GodfreyMwendawila-ff7on 28 күн бұрын
Sio kwamba hujaelewa ndo ilivo Kuna jambo ndani yake, baada ya kumkuta ni nini kilifuata slipigwa au ilikuwaje ndo utajua selikali na dini zetu ni biashara tu ndo inamata
@leokamil6284
@leokamil6284 28 күн бұрын
​@@GodfreyMwendawila-ff7oninasemekana yule huchanganyikiwa kwa hivyo inaelekea alipigwa sana na hatujui aliyempiga ni nani ?
@simonbundala6382
@simonbundala6382 27 күн бұрын
Taarifa hii hata sijaielewa kabisa.
@user-lm3lt7xx6l
@user-lm3lt7xx6l 26 күн бұрын
Ok kafa kanisan kuna hatua gani.
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 28 күн бұрын
Unga
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 27 күн бұрын
Haki itendeke kwa hote wario usika kumpga mbaka kufa
@JosephMokunda
@JosephMokunda 26 күн бұрын
Cjaelewa kitu
@user-zf3rj9bu4t
@user-zf3rj9bu4t 27 күн бұрын
Kama alijifungia kwny banda la Mbwa kanisani sheria sizipo Jaman hao waumini kwanini kujichukulia sheria za kumuua Mtu kanisani Wnyw ndo Wahukumu wa haki! Ole Wao Maana Muhukumu wa haki yupo asinzii wala halali
@JULIANAMAGANGA-g4j
@JULIANAMAGANGA-g4j 28 күн бұрын
Hapana😊
@anoldkayombo2541
@anoldkayombo2541 28 күн бұрын
Uwo ni wongo bana
@sabatojoshwa6684
@sabatojoshwa6684 10 күн бұрын
Mpumbavu
@user-cv4jb1bm6i
@user-cv4jb1bm6i 28 күн бұрын
Daaaaah asa kama unamuhisi mtu si ita polisi mnapoteza ndugu zetu kifara sana
@leokamil6284
@leokamil6284 28 күн бұрын
Hata wao wakiitwa unadhani ni wema ?ndio kwanza wengine wanampokea mtu kwa mateke na kipigo ili aseme hawatambui hata mwenye matatizo ya akili au chochote ni kipigo tu busara kwao ziro.Kuna siku nilikuwa kituo fulani cha Polisi akapita kijana na baiskeli bila kujua walikua wanashusha bendera mda huo .Mungu tu nilikuwa hapo nikamzomea huyo Polisi alimuita huyo kijana alimpiga kofi moja mpaka chini akaanguka akamleta kituoni akilia na kuomba msamaha akavuta droo yule Askari akatoa bangi akataka kumsingizia yule kijana. Nikasema kwa hasira mimi nitatoka hadharani kusema ukweli usimuonee ndio akaachiwa. Ninashangaa sana wakisema na kuwasifia hawa jamaa
@Upendogospelchoir
@Upendogospelchoir 27 күн бұрын
Huyu ni polisi kweli ?
@ericamkwena7736
@ericamkwena7736 26 күн бұрын
Alienda kuimba vyombo vya mziki kanisani
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e 27 күн бұрын
Vp mumshikirie mrinzi tu moja hao waumin wakowap wakamatwe wote wario muhuwa tz watu wamezoeya kuchukua sheria mkonon hii si sawa
@Victor-rb8yc
@Victor-rb8yc 28 күн бұрын
UKUMA
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n 28 күн бұрын
Sasa mlinzi alishirikiana na waumini kumdhibiti mbona ameshikiliwa mlinzi pekee..
@MagrethCharles-t5i
@MagrethCharles-t5i 28 күн бұрын
Asome mwingine Hilo karatasi
@user-il5pk2dr5n
@user-il5pk2dr5n 28 күн бұрын
Kwani alikuwa mteja au?
@asteriashios1852
@asteriashios1852 28 күн бұрын
Police hapana mmekuwa tishio nchini badala ya kulinda mnaua
@rahjah5882
@rahjah5882 28 күн бұрын
Mandojo hakuwa mwizi
@leokamil6284
@leokamil6284 28 күн бұрын
Wanasema huwa akinywa anapatwa na matatizo ya kichwa kuchanganyikiwa R.I.P Mandojo .Wao walipomuona kwa nini wasiite Polisi?ati kanisani imekuwa tena sehemu ya mauaji
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 28 күн бұрын
Jamani kwenye banda la mbwa hata wewe ukimkuta mtu kwenye banda la mbwa utamuelewa kweli!
@user-ym5ko9ov2o
@user-ym5ko9ov2o 26 күн бұрын
😅😅😅
@SAIDIMUKSIN-iy2op
@SAIDIMUKSIN-iy2op 28 күн бұрын
Uyu afande ata kuwa mwiraq
@MBESANATURALPRODUCTS-s5y
@MBESANATURALPRODUCTS-s5y 28 күн бұрын
Incomplete information
@user-fx6zr6ij5y
@user-fx6zr6ij5y 28 күн бұрын
Hukiona NCHI mtu anaiba kuku alafu anachomwa moto na watu wanafurahia na police wanaona sawa hiyo NCHI kimbia haraka sana
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 28 күн бұрын
Wewe unasubiri nini panya wewe na hata kiswahili usitumie hupunguzi wala huongezi kitu ukiwepo Tanzania na kama upo kuja amisha ukoo wako wote uende unapoona panakufaa.
@KhairatBundala
@KhairatBundala 26 күн бұрын
Huyu kazi yake ni mwizi wa kuku kwann asapoti wasichomwe moto
@SaimoniKamwaki
@SaimoniKamwaki 27 күн бұрын
Afande Hana kosa. Waliomuua ndio akili hawana. Mtu kajifungia kwenye Banda angethitiwa Kwanza, muda huo akiojiwa. Ila ukimkumbuka mwenyezi baada ya kuwa umetenda dhambi zako! Mfano kulewa,kuvuta bangi ni hatari zaidi kuliko ukiwa hajaunamia vilevi. MUNGU amuweke salama man dojo hakuwa na skendo kabisaaaa. Basi tena ndio yashamfikia bado wewe na mm.
@MagrethCharles-t5i
@MagrethCharles-t5i 28 күн бұрын
Maelezo yako hayajitosheleza
@samsonhaule3647
@samsonhaule3647 28 күн бұрын
Sasa nayeye mandojo kwanini kwanini Ajifungie kwenye chumba au Alikuwa Amelewa?
@user-ym5ko9ov2o
@user-ym5ko9ov2o 26 күн бұрын
Mi ata sielewi kwa kweli si pombe
@Nodrikeys
@Nodrikeys 26 күн бұрын
inawezekana aliiba huyoo..
@MagrethCharles-t5i
@MagrethCharles-t5i 28 күн бұрын
Asome mwingine Hilo karatisi
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 26 МЛН
At the end of the video, deadpool did this #harleyquinn #deadpool3 #wolverin #shorts
00:15
Anastasyia Prichinina. Actress. Cosplayer.
Рет қаралды 17 МЛН
Секрет фокусника! #shorts
00:15
Роман Magic
Рет қаралды 76 МЛН
Nabii Kiboko ya Wachawi afunguka alivyotimuliwa Tanzania ndani ya saa 24
8:03
A-Z MAZISHI YA MANDOJO
5:13
Daily News Digital
Рет қаралды 3,1 М.
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 26 МЛН