Nakubali spirit yako unajiamini sana Zuberi "lazima ndege itapaa"
@lovvy8544 жыл бұрын
Mashallah mashallah Allahubariq na akupe uwezo wa kufikia ndoto zako bwamdogo uko na kipaji
@johnmbogo37083 жыл бұрын
Creative, innovative, inventive, talented +critical thinker! Kuna jamaa anabisha kwenye comments tumeona! Kijana sifa zote anazo, la sivyo asingeweza! Wanaomvunja moyo wanafikri kila mtu anaweza! 💪💪🤙🏿hongera saaana, usirudi nyuma hata kidogo, tena ONGEZA!✍️✍️
@mariamnimbo83943 жыл бұрын
True! Go ahead young man!
@wasingyakirivwa46814 жыл бұрын
Je suis congolais, vraiment je suis très fière de votre créativité. Que Dieu t'offre les désirs de ton coeur.
@SalumSaid-jx9pm10 ай бұрын
Saf sana mungu akubariki na utimize ndoto zako mashaallah nice
@stevenobunde9345 Жыл бұрын
Hapo kwenye ndege nakushauri nenda Shule kasome
@user-jk5ir4ke3z3 жыл бұрын
Ata hivyo vitoi mdogo wangu unawexa ukatengeneza ukauza
@asantejonson73234 жыл бұрын
Hongera sana dogo
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Serkal msaidie uyu kijana.wazungu wakija kumchukua wala msijute iki ni kipaji na azina ktk nchi yetu.msaidieni jamani🙏🙏🙏🙏
@annakisiga8894 жыл бұрын
Ulaya ungesomeshwa na ungetengeneza vitu vikibwa Sana tatizo nchi hii siasa Sana
@aliyussuf91262 жыл бұрын
Natamani hta kulia kwa sauti kubwa ila hakuna wakusikia kweli tanzania uchumi tumeukalia hlafu eti tuko uchumi wa kati kweli wakati wenye uwezo wakazi wamekaa nyumbani
@abelimembe69909 ай бұрын
Safii Sana kijana
@juliusakili17573 жыл бұрын
Hongera saana zuberi. Natamani siku moja nikuone umeunda kitukikubwa na kumuuzia hata yule anaekuvunja moyo
@abdukadiliissa80764 жыл бұрын
More creative Broe
@cmantz88374 жыл бұрын
Fata utaratibu ili utengeneze mabom tuache kutegemea wazungu na wachina asikutishe mtu kuwa hiyo ni mbaya
@yuvencepatrice792 Жыл бұрын
Kwan mchina anatutisha kipi badal ya kuwalaumu wamarecan unawalaum wattez😥😥🤔🤔
@yuvencepatrice792 Жыл бұрын
Kazi nzuri unazofanya lkn watu wasio Gus watakuponda sana et mana niona kwangu
@abdukadiliissa80764 жыл бұрын
Tuwape ujuzi zaidi wenda tukatengeza vitu vingi hapa nchini Serikali wapi???
@ashaa48964 жыл бұрын
👍
@MelkisedekiSamson-kd7gw5 ай бұрын
Serikali iangalie kwa jicho la tatu hawa vijana,huyu angekuwa kwa wenzetu huko ulaya asingekuwa hivyo alivyo
@gibsonntamamilo4903 жыл бұрын
Huyu dogo noma sana.
@user-ws5hq2xt7d10 ай бұрын
Bg
@user-ws5hq2xt7d10 ай бұрын
Nitafute nikuelekeze itapaa
@shrefa123moosa72 жыл бұрын
hikikipaji serikali ingezingatia bc ingeleta faida hp nchin
@ambroceharouna1612 Жыл бұрын
Tukuze vipaji ivi
@ibrahimmgimba68563 жыл бұрын
Naomba nmba ya uyo dogo
@joshuapaschal55413 жыл бұрын
Level to level en highway
@allybilali92122 жыл бұрын
Huyu dogo n nouma sana
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
Duuuu
@alexbenedict53782 жыл бұрын
Duh
@godfreywebiro40584 жыл бұрын
Tengeneza basi ulete watoto wetu wachezee
@neylicious_mollel51944 жыл бұрын
Hhhhhhhhaaaaa 🙌🏻
@akidajulius83972 жыл бұрын
DOGO ungana na Masoudi Kipanya,
@Cheffhood4 жыл бұрын
Anahitaji gia kuzungusha propela kwa ukali zaidi ili iweze kuruka
@muuminimcha33873 жыл бұрын
Yakwako ikowapi
@Cheffhood3 жыл бұрын
Ipo mkunduni mwako
@firdausqutty20672 жыл бұрын
@@Cheffhood huna hata haya
@issaibrahim53193 жыл бұрын
Jamaa mbona unakomaa na vitu vya kitoto
@yusuphkassimu2272 жыл бұрын
Kila alie juu razima mwanzo alionekana chizi naomba acha dharau
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Iki ni kipaji usikichezee.
@firdausqutty20672 жыл бұрын
Vyako vyakikubwa vipo wapi
@canibalgazaboy83252 жыл бұрын
ni mjinga tu anaweza kukomenti huu upuuzi yani wew unahisi hapo anafanya vitu vya kitoto huoni kuwa anakitu kikubwa cha kusaidiwa afike kutengeneza magari na pikipiki kwa haidia hizo alizonazo anaweza kutransiform na kuwa vitu vikubwa
@rockcitynative99852 жыл бұрын
Yaani hata ingepaa basi!
@ahmadrashid2166 Жыл бұрын
this man should be taken to military baracks so that he should make out own bombs and mizails
@muhammadj19984 жыл бұрын
Kama haijapaa umefeli kjna
@canibalgazaboy83252 жыл бұрын
ndo maana anakwambia bado na anauwakika itapaa mbona upo kama jinga wew alafu majina ya kina mwamedi mnamatatizo gani
@mudriqhamidu60313 жыл бұрын
Dogo hao wanaosema hvyo wajinga cz,ww umeweza, hiko kidogo , je wao wauize waliwahi kuvifanya hata hvyo vitu vidogo❓