MZEE ABUNI UMEME WAKE “HAUKATIKI, SIJASOMA, NILITENGENEZA HELIKOPTA WAZUNGU WAKACHUKUA"

  Рет қаралды 164,406

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Kutana na Rojas Mathayo Msuya mkazi wa Kawe Dar es Salaam, abuni mtambo wa kuzalisha umeme ndani ya siku 9, waanza kufanya kazi ndani ya nyumba yake.

Пікірлер: 993
@sadickrichard7849
@sadickrichard7849 3 жыл бұрын
alomuona bwana injinia kafanana na senga gonga like
@hoseasteven6241
@hoseasteven6241 3 жыл бұрын
hhhhhhhhhaaaaahhhha umetisha bro niyeye kabisaa
@efkavi77
@efkavi77 3 жыл бұрын
ni ajabu sana kwamba katika video yote ndo umeona hilo bro
@zuhurazuh516
@zuhurazuh516 3 жыл бұрын
Yaan mm kila Nikimuangalia Nasema mbn Huyu Mzee na Mfananisha na Msaniii daah Kumbe ndio Sengaaa Uwiiii Nimeelewa
@patrickrobison7091
@patrickrobison7091 3 жыл бұрын
Huyu Jamaa kaka yake Senga nini?
@mtuisofa3259
@mtuisofa3259 3 жыл бұрын
Sanaaaa
@wasmebahati1224
@wasmebahati1224 3 жыл бұрын
Mafundi wote 🤝.Twende pamoja , 🇹🇿 AFRICA UNITED TO THE WORLD
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 3 жыл бұрын
Serikali yetu Tz tunaomba huyu baba kwa uwezo aliokua nao apewe nafasi ktk vyuo vya VETA ili hii elimu alio kua nayo akawafundishe wanafunzi kweli huyu baba ana madini hata km hakusoma elimu ya darasan lkn anauwezo wa hali ya juu tusiiache hii hazina ipotee bure tunaomba watoto wetu wakajifunze ufundi alionao kupitia yeyw huko veta na ukizingatia tuko katk kipindi cha serikali ya viwanda atatufaa sana.
@comicvisual8661
@comicvisual8661 3 жыл бұрын
Uko sahihi Kabisa mkuu
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 3 жыл бұрын
Tupe contact zako
@gracekapinga4356
@gracekapinga4356 3 жыл бұрын
Naomba no ya Mr Msuya nahitaji anitenhenezee huo umeme
@chiefmjukuutm6666
@chiefmjukuutm6666 Жыл бұрын
Kabisa
@stephenking3602
@stephenking3602 Жыл бұрын
Wee ndg yangu, tatizo viongozi wetu bado wana mfumo wa magharibi, yaan kujipatia pesa kwa kutumia matatizo ya wanyonge, sasa wawafundishe tena!? Maana wanajua ujinga Ndio utakaowafanikisha wao yako wapi!!!!?
@tronadc7
@tronadc7 3 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 tunavipaji vingi tumpe support mzee wetu
@paskalmasake3342
@paskalmasake3342 3 жыл бұрын
Mjitahidi kubuni kabla hamjazeeka muwe hazina
@japharynduko6139
@japharynduko6139 3 жыл бұрын
Yani kama ingewezekana mitaala ya elimu ikatolewa kwa mfumo wa self reliance yan elim ya kujitegemea maendeleo ya Tanzania yangekua kwa kasi sana izo ndio elimu tunazotakiwa tupewe darasan
@mussamati5216
@mussamati5216 3 жыл бұрын
Kweli ndugu ila wanatupa ujinga tunamaliza hatuna lolote
@msamgunda7684
@msamgunda7684 3 жыл бұрын
Ww unataka upewe elimu gan.masomo unavyosomeshwa ndio hayo hayo wanayoyasoma wao. Shida hufundishwi kujifunza na kutatua changamoto zinazoikabil jamii yako. Unafundishwa kufaulu mitian yako.
@christianemma9556
@christianemma9556 3 жыл бұрын
Hii Elimu inatolewa darasani , secondary Form 3
@efkavi77
@efkavi77 3 жыл бұрын
@@msamgunda7684 msikilize jamaa hapo, angesoma hadi chuo kikuu hangeweza kufanya hata nusu ya anayofanya. hapo anakuambia kasoma hadi sekondari kidogo tuu
@hassansalumu210
@hassansalumu210 3 жыл бұрын
@@msamgunda7684 ndio maana mdau kashauli mitaala ya elimu ibadilishwe kwa sababu uliyoitoa wewe
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 3 жыл бұрын
Sasa Huyu anatakiwa aitwe professor Sasa kwanini tusimtumie Huyu msomi
@starlightofficial5214
@starlightofficial5214 3 жыл бұрын
Yes Professor
@credosajila8008
@credosajila8008 3 жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu
@dedanowino7852
@dedanowino7852 3 жыл бұрын
Ako juu ya ma engineer wote africa mashariki walio timu kwa taalaumu ya umeme.
@ahamadinachuli6273
@ahamadinachuli6273 3 жыл бұрын
Kweli kabisaa tunamaprofesa makaratasi hawana faida yoyote hawajaweza kubuni hata sindano
@ahamadinachuli6273
@ahamadinachuli6273 3 жыл бұрын
Wakoloni wangemkata mikono hawa wa sasa wanakukata mikono kwa kukupotezea
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 3 жыл бұрын
TRA msitumie task force kumnyanyasa mzee ,asikilizwe si kila kitu tuagize China mafundi wenye vipaji vya kuzaliwa navyo wapo Africa .Big up faza kwa kipaji chako.
@JosephKapanga
@JosephKapanga 4 күн бұрын
Hongera sana Mzee unastahili kupewatuzo Kwa ugunduzi huu.viongozi wa serikali wa tz acheni wivu mnatazama TU nakuondoka.Hafu hiyo elikopta usingepeleka uingereza wazungu ni wezi TU.
@masundelwa
@masundelwa 3 жыл бұрын
Mfumo wa ELIMU hizi za kikoloni ndio zinarudisha nyuma maendeleo ya taifa letu.... Gonga like twende Sawa.
@nicodemmabala1904
@nicodemmabala1904 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mbunifu sana na ana skills kubwa sana kwa kweli serikali imuwezeshe na ikiwezekana apewe mtaji wa kujenga chuo ili aanze kufundisha vijana hii taaluma ili tuwe na hazina kubwa ya vijana wenye utaalamu kama huu.
@kimwilliard8933
@kimwilliard8933 3 жыл бұрын
shida inakuja serikali imeisha spend trillions of money kwenye mega projects za umeme. sasa wakimsupport huyu inamaana hayo mabillion ni kama wametupa kwenye shimo. cha maana nibkumchukua huyu jamaa na kumfadhili awaonyeshe utaalamu wake waingie nae mkataba ambao jaamaa atafaidika kwa taaluma yake. then wapange mipango ya baadae jinsi gani watatumia huo utaalamu kuzalisha umeme in huge scale.
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 3 жыл бұрын
Afrika fitina atupeani sapoti angekua mzungu apo angetangazwa sanaaa
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 жыл бұрын
Kwa wazungu huyu ni akina Bill Gates , akini kwetu hatumjali wala hapati msaada wowote ili kumuendeleza kwa manufaa makubwa ya taifa
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 жыл бұрын
Halafu tunalia ajira , ni watu kama hawa wazungu huwapa mitaji na sehemu za kufanya utafiti , matokeo kunzisha viwanda vya kutengeneza vitu kama hivi , na kuajiri maelfu ya watu . Huyu atakufa tutashindwa kumtumia kwa maslahi mapana ya taifa .
@victormushi6641
@victormushi6641 3 жыл бұрын
NGOZI NYEUSI NA ROHO NI NYEUSI HIVYO HIVYO
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 3 жыл бұрын
Ni kweli lakini hilo linachangiwa na mengi sana ndugu. Huyu bwana binafsi namtafuta nikimpata ndani ya isiyozidi miaka miwili niulize hapa ama utasikia japo kwa ufupi kupitia vyombo vya habari.
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 3 жыл бұрын
@@victormushi6641 Tusijifikirie hivyo mkuu. Bado tunaweza licha ya kupotezewa mwelekeo na watu weupe waliokuja kama marafiki kwa mababu zetu kumbe ndio maadui wakubwa!
@jmytz983
@jmytz983 3 жыл бұрын
For sure he is blessed and is more talent.we just support him now is time to believe in our self African we can.
@tanzaniafxlab
@tanzaniafxlab 3 жыл бұрын
Asante Ayo TV kwa kuibua hiki kipaji, kwa kusema kweli kampuni ya Tesla ingeona hiyo teknolonolojia, huyo Bwana wangemnunua, Kwa sababu wazungu wanastruggle kupata umeme wa magari, lakin huyu jamaa amekuja na namna ya kuleta hiyo nishati bila external source Hii ni tunu, wahusika wajitahidi kuzingatia
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 3 жыл бұрын
Jamani shule(elimu ya magharibi ndiyo inayotulemaza akili zetu)
@samuelkima2135
@samuelkima2135 3 жыл бұрын
Joo unitengenezee
@justinebahati4704
@justinebahati4704 3 жыл бұрын
kama huitumii vizuri utabaki kulaumu hivohivo lakini huyu mzee hajafanya kitu kipya na hata kwa hapa nchi COSTECH wanaweza kutusaidia tatizo hatuna data base ko mtu akifanya jambo anaweza kuhisi yeye ndo wakwanza asipopata mtu wa kumpa changamoto
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
@@justinebahati4704 Fanya yako moja tuone
@justinebahati4704
@justinebahati4704 3 жыл бұрын
@@onesmojustice2348 U kno wat sometimes proving yourself is an insult
@bwokemwa2299
@bwokemwa2299 3 жыл бұрын
O lord, protect this man. I'm coming to find you, I need this for me❤️.
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Жыл бұрын
I can also make this electrical equipment but I can't afford to buy it
@ivaniavianarodrigo7201
@ivaniavianarodrigo7201 3 жыл бұрын
taifa la tz limijaaliwa, vitu vingi ila viongozi ndo tatizo
@simonlurai7033
@simonlurai7033 3 жыл бұрын
haswa vingozi wakiwawezesha tutaiyona Tanzania mpya
@seventcentlothy105
@seventcentlothy105 3 жыл бұрын
Hongera sana mzee wangu natamani nifike kwako nami nijifunze kitu
@Chapesatv
@Chapesatv 3 жыл бұрын
Dahhh sasa Tanzania ya viwanda sihawa watu wenye vipaji vyao wa kuajiriwa dahhh God bless you more.
@wicklif1
@wicklif1 Жыл бұрын
I lack words to tell this innovator. Keep it up, you will go far. Naomba number ya huyu Mzee
@wilfredkuyonza675
@wilfredkuyonza675 3 жыл бұрын
Tunaomba mawasiliano yake tafadhali maana tunaishiaga kuona hv vipaji kwenye mitandao lakini namna ya kuwapata hawa watu ili tuwasapoti kwakutumia kazi zao inakua ngumu
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mkali kuliko hata Isack Newton.
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 жыл бұрын
Kabisa kabisa, ndugu yangu.
@abdlhaleem8380
@abdlhaleem8380 3 жыл бұрын
Yaan isack Newton, Galileo, pascal.. Wote wakasome kwa huyu jamaa...
@isaachassan43
@isaachassan43 3 жыл бұрын
Ni kweli
@gregorynjama6493
@gregorynjama6493 3 ай бұрын
Mimi nakukubali Bwana Rojars ila naomba namba yake ya simu
@katyetyegosper218
@katyetyegosper218 3 жыл бұрын
Tesla alikua mvumbuzi walimzingua Mzee una kipaji sana Nahitaji Namba yako Nataka nahitaji Mtambo wa 2 million. Nilikua naangalia Uvumbuz wa prof mmoja kuhusu Magnetic river ambayo inafanya kitu kizunguke chenyewe na ni rahis kupata umeme lakini wewe mzee umetumia nguvu ya kukwepana Kwa sumaku ukavuna umeme You have done awesome work 👏👏👏
@dennismenace5174
@dennismenace5174 3 жыл бұрын
Ukipata nipe pia
@francismhoja8151
@francismhoja8151 2 жыл бұрын
Naomba namba yake huyo mzee
@andrewmabeba5826
@andrewmabeba5826 Жыл бұрын
Mzee namba ndio amesahau kutaja
@afreyghp34
@afreyghp34 3 жыл бұрын
Hongera Sana mzee upo vizuri Sana,. Siyokwamba wameshindwa kuku support, nkwamba wanaogopa kuuwa sokolao la umeme wa luku,. That why wanakaa kimya.
@stefanogizzler
@stefanogizzler 3 жыл бұрын
Free energy I think, si atuonyeshe vile ameweka hizo magnets, atupee contact!! Watching from the UK Midlands
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Жыл бұрын
I can make this electricity, but give me financial strength so that I can do better, but he is not there
@innocentmafuwe4686
@innocentmafuwe4686 3 жыл бұрын
Mzee chunga hhi tanzania bhna ina mambo mengi ao viongozi co kwamba hawajui umuhim wa huu mtambo ila ni kwamba wanalimda maslai ya tanesco
@peterlyaruu7464
@peterlyaruu7464 3 жыл бұрын
Mzee yuko vizuri! Naomba namba yake tafadhali! Asante!
@shahayamrema481
@shahayamrema481 2 жыл бұрын
Ulipata no yake
@simons9693
@simons9693 3 жыл бұрын
This are the ideas we are looking for in 21st centuary. I believe you can do great things. Kuddos Matayo
@MosesNyota
@MosesNyota 3 жыл бұрын
Great talent... Love from Nairobi.
@fredchaki6712
@fredchaki6712 3 жыл бұрын
Namba ya engineer tunaomba muhimu
@samsonistephano3327
@samsonistephano3327 3 жыл бұрын
Mshikaji kichwa sana serikali imuunge mkono anaweza kuifanya tz kuwa ya mfano
@harmonize9766
@harmonize9766 3 жыл бұрын
Tafathali milard ayo naomba kuwasiliana na mzee huyu 🙏🙏nipo tayari kulipa gharama yoyote .......BRAVO FROM KENYA.....
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Жыл бұрын
I can also make this electrical equipment but I can't afford to buy it let's get together let's do it in kenya maybe it can be beneficial for you Tanzania doesn't care about innovation
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Жыл бұрын
Nitafutie mdhamini nije kwa huko kenya tuuvumbue Tz huku unapotezwa kama vile wanaona utatajirika kuwazidi wao
@lucasalphonce8804
@lucasalphonce8804 8 ай бұрын
​@@renaldbusanya361weka mawasiliano yako
@yasinrasheed5743
@yasinrasheed5743 3 жыл бұрын
This man could solve energy crisis and make us supper power in Africa and world ,this is brilliant mind.
@mannabu9333
@mannabu9333 3 жыл бұрын
Ungetenza mwing tu uwaazie watu maaana Tanesco wanazingua sana kukata kata umeme kila siku bila sababu
@KINYASI
@KINYASI 2 жыл бұрын
Daa, watu wetu wanaangamia na marifa. Tanzania tunakua tegemezi na huku wataalamu wa asili na ni kipawa. Jamani huyu mtu yuko wapi ???
@kajolo1288
@kajolo1288 3 жыл бұрын
Jamani😰 watu wanavipaji vyao, kwann bado tunateseka na umeme sasa. Robo ya gharama za mitaji mikubwa na ukazalisha umeme mkubwa zaidi. Clean energy tena na hakuna hata kelele
@mrmago4870
@mrmago4870 3 жыл бұрын
Huyu mzee awezeshwe afungue kiwanda kwaajili ya uzalishaji na mafunzo... nafikiria tu kama mashine zitafungwa mitambo ya umeme kama hiii... basi biashara ya mafuta itakufa!
@alfanm.8221
@alfanm.8221 3 жыл бұрын
Pengine atengeneze iwe kama generator lkini kiwanda hapo nayo utakuwa umejidanganya maana serikali itokubali ama kuumpa kibali.
@mrmago4870
@mrmago4870 3 жыл бұрын
@@alfanm.8221 ndiyo manake... atengeneze iwe kama backup.... hata hivi ilivyo, serikali ikimpa kibali awe anaengeneza kwa oda; najuwa watu watahitaji kwaajili ya backup kwenye nyumba zao pale tanesco inapokata!
@dralhajijbmatatala4580
@dralhajijbmatatala4580 2 жыл бұрын
Kweli Kabisa. NTAPARAJE NO YAKE?
@sindayiheburacesar6733
@sindayiheburacesar6733 2 жыл бұрын
Please can we get the contact for this technician. If there is possibility please I need it. He deserves support.
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Жыл бұрын
I can make this electricity, but give me financial strength so that I can do better, but he is not there
@mishaelmusiba305
@mishaelmusiba305 3 жыл бұрын
Hawa ni watu wamuhimu saaaana, Tanzania tuwatumie ili tuwe huru kiteknolojia.
@nansal55
@nansal55 2 жыл бұрын
Labda kama kuna kitu anaficha..... ila Hicho anachokieleza sio kweli. Hiyo sumaku ya kati haiwezi ku-move kama hizo sumaku za pembeni ni PERMANENT magnets.. ita move tu kama hizo magnets zitakuwa ELECTROMAGNETS na si vinginevyo
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 2 күн бұрын
Kasome Vizuri Physics
@salimbilali5174
@salimbilali5174 3 жыл бұрын
Huyu mzee ako na kipaji sana laiti serikal ingefaham wangemuwezesha kuzidi kupanua icho kifani chake ili kifahamike hadi nchi zingine afrika tuko sawa bigup Kenya bigup tz
@godloveelikana4241
@godloveelikana4241 3 жыл бұрын
Hawa vindoki nchi nyingine wanakumbatiwa kama kifaranga.Kama itakuwa ni kweli baada ya kuhakikiwa basi huyu tunaiomba Serekali imtazame kwa jicho la kipekee sana.Tuache mazoea ya kujidharau kuwa watu weusi hatuwezi.Mtambo kwa sasa unaonekana umefunikwa hatujaona ndani bado. Huyu mbunifu si wa kumpuuza hata kidogo.Wagunduzi wa umeme/nishati kwa vyanzo mbalimbali hapa duniani hawajafikia bado hatua hii.Elimu na maarifa hayapatikani darasani tu na elimu za makaratasi wakati kiuhalisia unakuta wengine hawashabihiani hata kidogo na kile kinachoonekana kwenye vyeti japo sidharau elimu naomba nisinukuliwe vibaya.Kuna baadhi ya watu duniani huzaliwa na vipaji na uwezo wa ziada kuliko wengine na hiyo ni tunu waliyopewa na Mungu muweza wa yote.Hakika huu ugunduzi ukifanikiwa utakuwa ni rafiki kwa mazingira sana na nafuu sana.Endelea kutupa yanayojiri Ayo Tv.
@vedastokeya3344
@vedastokeya3344 3 жыл бұрын
Huyu ndie anatakiwa kuitwa profesa haswaa tz huyu tayari bilionea ni mda tu
@ernestniyo8475
@ernestniyo8475 3 жыл бұрын
Mimi sio mtanzania ila huu jamaa namkubali sana kama fundi wa halii ya juu kabisa yani watanzania mumusapoti kwa hali zot atatufaa africa nzima big up mzee
@donga3094
@donga3094 3 жыл бұрын
African genius. Hongera kwake. Fanya hima atafutiwe ufadhili kwanza apate hati timilifu ili asaidike.
@someaafrika.3379
@someaafrika.3379 3 жыл бұрын
1:56 alipotamka tu "Jua kali Nairobi" aise mzee huyu ni zaidi ya msomi.
@jacksonmodaha1590
@jacksonmodaha1590 3 жыл бұрын
Naomba tupeni namba ya Mawasiliano ya huyo mzee Wa Umeme
@derrikdesertman4564
@derrikdesertman4564 3 жыл бұрын
Ooiii hapo Jua kali kuna nini mpaka uone ni msomi?
@claudekeverenge4404
@claudekeverenge4404 3 жыл бұрын
Jua kali Kenya Wana wa akituma kinyama daily kusaka unga kutumia vifaa kadhaa kama vyuma bovu. Kaza njoo nipo Nairobi
@georgeikinya2779
@georgeikinya2779 3 жыл бұрын
A senior official from the ministry of energy visited him and witnessed his capabilities and everything stopped there. This why Africa take off to industrialization stagnates. No willingness and deliberate efforts to tap and nurture our talents that die out before our very eyes as we scamper for and glorifies cheap Chinese products.
@kitundaemmanuel6811
@kitundaemmanuel6811 3 жыл бұрын
Serikali yetu ikipitisha mfumo wa mtaala ya kujifunza kwa kufanya, watanzania tungeepuka kutegemea bidhaa na huduma nyingi kutoka nje. Hakika serikali inahitaji kodi kujenga uchumi wa nchi yetu lakini umeme usio wa kulipia ungesaidia sana kuendeleza uchumi wa viwanda na kupitia shughuli mbalibali za umeme kununua mara moja uchumi wa watanzania ungekuwa kwa kasi sana. Naipenda Tanzania, ahsante mwenyezi MUNGU kwa vipaji hivi.
@greggmarshall4869
@greggmarshall4869 2 жыл бұрын
Ndugu huyu Amebarikiwa, Mungu mulinde sanaa na pia fungua milango aweze kuwa mchango mkubwa kwa watanzania wote,, kwa raia wenye uchumi mdogo tayari watakuwa wamesaidiwa na hata uchumi wao utaongezeka na nchi itazidi kujitangaza si kwa utalii tu bali na kwa ubunifu huu Alindwe na Maombi yake yote yasikilizwe na sikuminywa tukuweee
@paulalphonce5848
@paulalphonce5848 3 жыл бұрын
@Millardayo, naomba kuunganishwa na jamaa kwa ajili ya kununua mtambo kwa matumizi ya ofisi.
@martinredisony4694
@martinredisony4694 2 жыл бұрын
Vp umepata mawacliano ya huyu mzee nahitaji mtambo
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 3 жыл бұрын
Oyaaa boss mie nakushauli nenda machimbon kwenye migod ya zahabu wachimbaji wadogo ukafunge huo mambo wako harfu unawasambazia umeme utapiga pesa sana mzeee
@MichaelCNtaho
@MichaelCNtaho 3 жыл бұрын
Ni wazo zuri ila nahisi tanesco hawata muacha salama...
@hosenimwelekwa5367
@hosenimwelekwa5367 2 жыл бұрын
Duh!! We have talent in our country, government must support him
@johnkona1581
@johnkona1581 3 жыл бұрын
Safii Sana ndugu naamini kwa serikali hii utaitangaza tz kimataifa hongera sana
@paulhhari8861
@paulhhari8861 3 жыл бұрын
Kwa serikali ipi? Wewe huoni wanajifanya hawamwoni maana wanajua wakimruhusu tu kutengeneza mitambo ya kuzalisha umeme Tanesco itakufa, maana watakosa mapato yatokanayo na LUKU🤣🤣🤣🤣
@johnyty498
@johnyty498 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni shida, 5000W inatosha sana kwa matumizi ya nyumbani ila bado cjaelewa anatumia motor inayota izo 233V au anatumia motor ya low voltage eg. 12V halafu ana invert to 233V? All in all akinitafuta mm huo umeme tungeufanya uwe level nyingine kabisa
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 3 жыл бұрын
Sasa we kwanini usimtafute sasa unasema angekutafuta unalengo au unatuzingua tu kwa maneno matupu?
@renaldbusanya361
@renaldbusanya361 Жыл бұрын
Mimi pia huu umeme naweza utengeneza tena na nilishajaribu kutengeneza mpango wa kubuni pikipiki ya umeme ambao haushi na kwa hali ilivyo sasa ya mafuta bei juu ni pesa ya nje nje boda boda wengi wangepeta huu mpango wangu lakin vifaa sasa navyovihitaji 😔😔 ndo gharama ningepata mdhamini mbona ni moto💥💥
@nativeinfotv9620
@nativeinfotv9620 3 жыл бұрын
Nimependa sana
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 жыл бұрын
Ukuu wa Mwafrika utadumu enzi hata enzi haijalishi mbinu za mabeberu chini ya baadhi ya vibaraka wazawa kuuangamiza.🗻🇹🇿
@jeanmariendikuriyo4174
@jeanmariendikuriyo4174 3 жыл бұрын
Hongera saaana mzee mngu akulinde
@emmanueltesha6737
@emmanueltesha6737 3 жыл бұрын
Naiyomba serikali,,isaport,,aweze kuwa na kiwanda cha kutengeneza mashine hzo zakutosha,,watu Kama hawa ni azina ya nchi
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 жыл бұрын
Wati kama ndio wanao watumia wenzetu wazungu, kupewa mitaji , na sehemu kubwa kufanya ufafiti wao na kuanzisha vitu kama simu ya mkononi , washing machine etc . Matokeo huanzisha maelfu ya ajira
@philipsijenyi8841
@philipsijenyi8841 3 жыл бұрын
Plz I ineed mawasiliano ya huyu jamaa
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 жыл бұрын
@@philipsijenyi8841 sikiliza uzuri katika hiyo video nafiri kuna sehemu anasema vp unaweza wasilina nao
@olaycereuben419
@olaycereuben419 3 жыл бұрын
So amegundua free energy machine
@nikky4757
@nikky4757 3 жыл бұрын
Hakuna kitu kama hicho jamaaa ni mdadisi mzuri ila kitaalamu hiyo mashine itarun kwa muda fulani then itazima so ni mwendo wa kuwasha .uwezi create energy hata siku moja ila unaweza change one form of energy to another
@ramexkhamis7682
@ramexkhamis7682 3 жыл бұрын
@@nikky4757 naomba unipe fact kama itazma na itazma kwann
@nikky4757
@nikky4757 3 жыл бұрын
@@ramexkhamis7682 huwezi create energy also kama anatumia dynamo kama sijamsikia vizuri means ni papertual mashine ukiweka factor kama frictional force means efficiency itakuwa inashuka kadri muda unavyozidi kwenda Also.huoni kama haingii akilini kwamba ana mtambo wa kufua free anergy lakini anakwambia anautumia pale umeme unapokatika why utumie umeme wa kulipia na unaweza fua wa bure,sikatishi tamaa hata mm enzi nipo diploma last year nilipropose project ya mechanism kama hiyo madoctor walikataa nilikuwa mbishi pia ila wakanielewesha na mm nilipofuatilia kwa karibu kwa kusoma nikaona ningefeli .niliishia kufanya nyingine ya kutengeneza umeme kwa kutumia radio wave ambayo mwisho wa siku ilinifanya nijutie coz nayo nilikurupuka kufuata utundu ila chuo unatakiwa uwe na explanation ya theory uliyotumia kwa maelezo na mahesabu
@ramexkhamis7682
@ramexkhamis7682 3 жыл бұрын
@@nikky4757 Nimekuelewa mzee iyo kweli ni perpetual machine. Na perpetual machine ni really theoretical tu kama walivyoeleza kwenye kitabu cha "Physics for entertainment" by Y.E Perelman 1913, na apo itakua inawaka kwa mda na kuzima haiwezi kuwaka milele. Maana ikiwaka milele itakua imeviolet law of thermodynamics
@awesafari
@awesafari Ай бұрын
Na appreciate sana kazi ya huyo mzee naomba namba yake nataka hyo system pia please
@mohamedsung4891
@mohamedsung4891 2 жыл бұрын
Safi sana mjomba Usiseme sjasoma kipaji ulicho nacho ni zaidi ya elimu Ulichokosa wewe ni cheti tu ila elimu unayo Watanzania tujifunze kupenda,kuthamini na kujali vya kwetu, huyu mjomba akipewa saport atafika mbali sana
@fredyfile623
@fredyfile623 3 жыл бұрын
Safiiiii sanaaa tatizo la nchi yetu watu waliona wakikuvumbua mifereji yao ya hela itakatika
@alexmatt9504
@alexmatt9504 Жыл бұрын
Umesema kweli,ni ubinafsi na roho mbaya.Kuna wakati marehemu Magufuli aliligusia hili kwamba hapa Tanzania mtu akiwa inventor badala ya kumpa support wanampiga vita.
@chifupromise9575
@chifupromise9575 3 жыл бұрын
lazima wakuzime wanaogopa utauwa biashara zao. lakin usikate tamaa ipo siku watakubali tu
@54plus41
@54plus41 2 жыл бұрын
To Ayo tv, Tafadhali nipee namba ama email ya msuya.naona nikwa mda lakini ningetaka kununua mtambo.
@paulaluba8372
@paulaluba8372 3 жыл бұрын
Tutumiye namba sisitukokijijini mashambani tunasumbuka na tatizo la umeme natunaweza kugalamiya garama zote za vifaa vyaufundi pamoja na malipoyote ya ufundi kamaalivyotaja apo tafazali tunaomba mtutumiye nambazake iliatusaidie asante sana
@kaimbe
@kaimbe 3 жыл бұрын
The First Law of Thermodynamics (Conservation) states that energy is always conserved, it cannot be created or destroyed. In essence, energy can be converted from one form into another.
@simbawakwale2347
@simbawakwale2347 3 жыл бұрын
tafsiri kwa kiswahili hahahah
@geraldboto2645
@geraldboto2645 3 жыл бұрын
Ina maana hiyo umeme haiwezi dumu zaidi ya maisha ya smaku. Kila wakati umeme ikiwaka smaku inapoteza mvuto. Kwa hiyo ukihepa kulipa stima bado Utanunua smaku ya kiasi cha ghalama ya stima ambaya angelipia.
@mercynnko4835
@mercynnko4835 3 жыл бұрын
@@geraldboto2645 Jamaa uko vizuri sana, kwako Physics iko sawasawa kabisa. Ninakuelewa sana. Big big up!
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 2 жыл бұрын
@@geraldboto2645 acha upumbavu
@geraldboto2645
@geraldboto2645 2 жыл бұрын
@@Ndu-wa.uroony2 nimeacha
@tanzaniafxlab
@tanzaniafxlab 3 жыл бұрын
Jamani, wazungu wanahangaika kuhifadhi umeme kwenye betry, huyu jamaa kaizidi hata kampuni ya Tesla, selikali ione namna ya kuunda kikosi kazi cha kushirikiana na huyo Bwana kuja na product zitakazoleta independence Tanzania Na kuserve hata majirani wengine Pia huyo jamaa asiseme namna hiyo engine inavyofanya kazi maana wajanja wengi, ili teknolojia yake iendelezwe
@IbrahimMohamed-yy2il
@IbrahimMohamed-yy2il 3 жыл бұрын
Alindwa haswa huyu jamaa na TANESCO waangalie wapi pa kupatia Kodi from this technology maana Tena UTUMIZI WA KUFUA UMEME KWA MAJI NDO MWISHO HUU TUKIWA SERIOUS. HAPA UCHUMI UTAKUWA HADI RAISI MAGUFULI ATASHANGAA IMAGINE TRENI YA UMEME HUU, VIWANDA, MATUMIZI MAJUMBANI. TENA HAUIISHI.
@danielavelin2161
@danielavelin2161 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni shida asee bravoo
@ernestmbwana6282
@ernestmbwana6282 3 жыл бұрын
Mzee Msuya Hongera sana ambiere.. kwalugha yetu mzima evava Shida hapo mijitu ya Ewura,Tpdc na Tanesco inakuangalia huku ikisema whata fwqk hatutaiba hela tena .binafsi natarajia kununua kwako mtambo huo Wa 2million
@dralhajijbmatatala4580
@dralhajijbmatatala4580 2 жыл бұрын
ULipata Namba yake??? Namhitaji huyu mzee
@irakozejclaude7869
@irakozejclaude7869 3 жыл бұрын
Huu ndio utajiri wakutupwa na umaskini wa kunuka vinavyopatikana Africa kwetu.jama angekua China saa hizi angekuwa ni bonge la tajiri
@matwenyalila277
@matwenyalila277 3 жыл бұрын
Naomba no ninunue mtambo Ayo
@user-bn6dq5ov9v
@user-bn6dq5ov9v 5 ай бұрын
BABA TOA NAMBAWADAUTUPOOOOOOO
@twiserchaki6029
@twiserchaki6029 2 ай бұрын
Bravo...put this invention writing for the future use..
@johnrongu1983
@johnrongu1983 3 жыл бұрын
Heko kwa huyu mzee much love from #kenya
@zachariamduma3411
@zachariamduma3411 3 жыл бұрын
Wazungu wanakua matajiri kwasababu ya technology,lkn sis tntaka madini na yanaisha
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 3 жыл бұрын
Jamani huyu jamaa alindwe wazungu wasimuue
@jeremiahzacharia7655
@jeremiahzacharia7655 3 жыл бұрын
Hawawez kumuua ila watamchukua
@justinebahati4704
@justinebahati4704 3 жыл бұрын
hawana huo muda wao walishatoka huko kitambo kzbin.info/www/bejne/sInHp5Jql6mGqas
@huseinaly5163
@huseinaly5163 3 жыл бұрын
Wewee kelele bhana...cc tunawajali watu wenye vipaji Kama piere likwidi...ana kipaji Cha kulewa Hadi kulia jovyo?...Hadi bungeni tunawaita
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 жыл бұрын
Mwisho wa siku wampe kesi ya uhujumu uchumi maana hii serikali 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@andreamndeme1539
@andreamndeme1539 3 жыл бұрын
Mbona kuna adinani lisu aliyempgia kelele kipindi alipowekwa gerezani alishawahi tengeneza helcopta
@mcgoodluckeventz2175
@mcgoodluckeventz2175 3 жыл бұрын
Naiomba namba yake
@kenethraphael3604
@kenethraphael3604 3 жыл бұрын
Hakika
@zizuzidu9803
@zizuzidu9803 Жыл бұрын
Huyu jamaa hypomania (overtaking, flight of ideas which is organized), hiyo state ya hypomania ndo chimbuko la ubunifu na genius. Ukiwasoma wakina Newton, Albert Einstein walikua na hiyo hypomania state... From Psychology Doctor. Serikali iweke wizara ambayo itakua ina support watu kama hawa wabunifu waje wafanye mageuzi ya technology Tanzania
@zenassylvester125
@zenassylvester125 3 жыл бұрын
Tuna vipaji na mainjinia tatizo viongozi wanaangalia vyeti kuliko wabunifu...
@zefamange7281
@zefamange7281 3 жыл бұрын
UZA KAMA JENERETA WEWE MZEE? UTAKUFA BILA KUFAIDI KAZ YAKO
@mbokachawe9657
@mbokachawe9657 3 жыл бұрын
Yaaniiii
@mbokachawe9657
@mbokachawe9657 3 жыл бұрын
Anifundishe mimi
@novakauki5560
@novakauki5560 3 жыл бұрын
Nilijua no senga
@kibeginiblue7188
@kibeginiblue7188 3 жыл бұрын
Scientist ♥️♥️♥️🙏🙏🙏 Serikali aichelewi kupiga marufuku
@farismkwayu1828
@farismkwayu1828 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni tajiri baba tengeneza mitambo mingi tusaidiane maisha
@leonardleonard6164
@leonardleonard6164 3 жыл бұрын
Mawasiliano yake kama inawezekana,yote kwa yote hongera sana ndugu
@jonickmbwilo3404
@jonickmbwilo3404 Жыл бұрын
Hongera sana mzee, naomba mawasiliano yake nimpe pongezi zaidi
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 3 жыл бұрын
Mzee una kitu kizuri sana kichwan kwako 😂😂😂😂😂😂😂 bonge la idea nakusapot
@umarbakar1694
@umarbakar1694 3 жыл бұрын
My profesa.
@lightmashauri1725
@lightmashauri1725 3 жыл бұрын
Hongera mzee
@gibishinchambi1971
@gibishinchambi1971 3 жыл бұрын
MBNA simu hajataza? Ataje simu tumtafute atutengenezee vitu
@jahhloveyou4462
@jahhloveyou4462 3 жыл бұрын
Wanapanga kukuibia baba ,kama unarafiki wapya wanakununulia vitu hao waangalie sana.... Da kaka contact ni vizuri ingewekwa
@alikadotz9592
@alikadotz9592 3 жыл бұрын
😍🔥🔥🔥🔥
@mmangajuma5642
@mmangajuma5642 3 жыл бұрын
jaman mpeni ajira baba kazi nzuri
@ivaniavianarodrigo7201
@ivaniavianarodrigo7201 3 жыл бұрын
duu saluti
@SophiaTafuna
@SophiaTafuna 3 жыл бұрын
Magufuli kweli hajamuona huyu?
@benmichael8563
@benmichael8563 3 жыл бұрын
Huyu jamaa n another level
@constantinemanyanda6667
@constantinemanyanda6667 3 жыл бұрын
Mungu ambarik na kipaji chake
@machinefannatic99
@machinefannatic99 3 жыл бұрын
Namba yake iko wapi?
@malha999
@malha999 3 ай бұрын
Umezipata?
@machinefannatic99
@machinefannatic99 3 ай бұрын
@@malha999 hatoi number
@oscarkajigili2240
@oscarkajigili2240 3 жыл бұрын
Serikal imuangalie huyu mzee
@mutegimati7256
@mutegimati7256 3 жыл бұрын
Kazi nzuri kabisa,wekeni namba ya simu ya mzee
@frankmnepo
@frankmnepo 3 жыл бұрын
Genius 👊
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 3,2 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 35 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 42 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 38 МЛН
Mbunifu wa chanzo kipya cha nishati awaduwaza TANESCO/Umeme wa sumaku
6:02
Daily News Digital
Рет қаралды 29 М.
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 11 М.
HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR
10:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 818 М.
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 3,2 МЛН