Dah kuna watu wamejaliwa vipawa nimetafakari adi kichwa kimechoka duh utundu wote uwo na wala ajatumia umeme yan duh mungu mkumbuke uyu kijana afike mbali awe faida kwa watanzania na kwa familia yake amen
@MRST_16622 жыл бұрын
Wowww that amazing! That crazy amazing, he’s a Genius. I hope someone will see him one day, and amshike mkono na hopeful atakamilisha ndoto zake. Coz we need people like him. Coz the have lots potential in life and nation, Africa, world as whole! Ndo Wakina Tesla wajao hao kama wakiwezeshwa. All the best buddy!👏🏿🙌🏿👍🏿🇹🇿🇨🇦
@Kiluviadreadlocs2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rGPCqaqkpbp7ZpI
@imeldasamwel5392 жыл бұрын
Jaman jaman mpaka nimelia mm 😭😭😭😭🙏🙏🙏dar huyo dogo wachukue haraka iwevyekanavyo sna mengi Zaid ya hongera sana
@bakariathumani81052 жыл бұрын
Yani wanaweza kumpeleka pasipojulikana
@alexmmary17412 жыл бұрын
Ni kama nn nimelia sana MACHOZI yananitoka pia
@michaelbenedict12002 жыл бұрын
Nimelia pia kiukweli kiubinadamu amenigusa🥲🥲
@sumayananabintimusa63212 жыл бұрын
@@bakariathumani8105 😀😂😂😂😂
@amosikaminyoge85502 жыл бұрын
Dar
@farajafaraja34942 жыл бұрын
Huyu dogo ni tajiri, tajiri wa akili nyingi, mungu akuongoze na kukusimamiA
@captenndunga67452 жыл бұрын
Sina hata cha kuongea niseme tuu hongera mdogo wangu pambana ipo siku tanzania itakujua wee ni nani kama sio dunia kwa ujumla... Hongera sana sana sana sana tena saaaaaanaa.
@denisjr11media212 жыл бұрын
Kanifurahisha sanah uyoo yani tayarii anamilikii kituocha radio alafuu tayarii ameshajiajiri ni mtangazaji wa kituo chakee .. talent ya kiwango cha juu sanah
@KibweOnlineTv2 жыл бұрын
Hongera sana Broo Hakika Naipenda sana nchi yangu TANZANIA,, kikubwa tunakuombea serikali ikufikie Ili ufikie malengo yako inshaallah 🙏✍️
@Zurushylab2 жыл бұрын
Serekali ya nn tena jaman sema matajir wanyooshe mikono kwa huyu ndugu yetu aiseee hapa tumuombe maboss wetu wamdhamin huyu ndugu yetu ikiwemo Bakhiressa , diamond na Mooo pamoja na matajiri wote Tanzania.. (Ukisubilia kiatu kikuvae wakati ujaamua hutoweza kukivaa yani hakitoonekana kabisa)
@nuuringoogle41042 жыл бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🥰🥰🥰
@cosmasmbugi85702 жыл бұрын
.sanaa
@kingelishathomasonline48422 жыл бұрын
@@Zurushylab Kabisa
@roselinemoshi50082 жыл бұрын
Mwenye Enzi Mungu akubariki sana na usiachie hapo sky is not a limit you can go beyond!👍
@sometimes56212 жыл бұрын
Tatizo litakuja Kwa TCRA watampiga marufuku hadi wampe masafa na wampige faini! Habari za hivi punde NI kuwa Mkuu wa Wilaya ametembelea Studio yake Leo 27-06-2022 na Waziri wa Habari na Mawasiliano ameagiza TCRA wa waende na kuona NI jinsi gani wanaweza kumsaidia!
@Commentsplus2 жыл бұрын
Hajafanya ubunifu katumia FM car transmitter acheni kuhemukwa
@GloriousRestorationTV2 жыл бұрын
@@Commentsplus Wewe unaweza??? Au unadhani ubunifu ni nini??? Wivu tu unakusumbua, na nyie ndio mnakuwaga wachawi, ww umefanya nn....
@Shokolokobango93852 жыл бұрын
@@Commentsplus fm car transmita inakuaje emb elezea
@magafootball65692 жыл бұрын
@@Commentsplus wabongoo wivuuu sanaaa kumamayeeee
@abdalahsambala66672 жыл бұрын
@@Commentsplus matako we fm car transmete r gan inafika meter 150
@Ashelymhangazo2 жыл бұрын
HAKUNA KIPAJI KAMA HIKI TANZANIA, VIONGOZI MPO WAPI MUANGALIENI KWA JICHO LA 3 ,SIO WA KUMUACHA AMEONYESHA UWEZO WAKE TANGU ZAMANI, naumia sana kumuona bado yupo katika mazingira hayo bila msaada wowote wa juu😰😪😪
@songamberetv22192 жыл бұрын
Africa Africa Africa amuka amuka 😭😭 nasikitika kuona huyu kijana hajasaidiwa na serekari na vipaji alivyonesha tangu zamani
@KATOPE12 жыл бұрын
Kweli kabisa ni miaka sasa na anakipaji sana
@abdulabdallah96882 жыл бұрын
Waambie kuongea umbea tu
@nurathkhamiss59252 жыл бұрын
Ndo apo sasa
@TamuzaKale2 жыл бұрын
Wale wa kukariri maandishi hawahusiki hapa. Dogo sio mtu mzuri!
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Naapo kaishia darasa la sita tu
@dianashautiel70992 жыл бұрын
Eee Mungu ifunulie macho serikali imuone huyu Mtoto katika viwango vya juu! Anazidi tuliomaliza madgree na madgree, Mtoto wa la sita wa Maskini.🙏
@mdentertainmenttz1242 жыл бұрын
Serikali imeshamuona Mungu Ni mwema
@uzungupoint2 жыл бұрын
Daaah! Yaani katengeneza jiko la kutumia umeme wa jua, angekuwa anatoka familia yenye mali au Taifa lenye kujali vipaji vyake tungesahau kabisa matumizi ya gesi na mitungi kuripuka kila wakati na kuua watu daaaah! Oooh MUNGU wa AFRIKA tusamehe sisi wanao ndiyo maana hatujali vya kwetu.
@khalfanseiph4912 жыл бұрын
Tatizo kumuendeleza mtu kama huyu ni changamoto sana inabidi tumuombe mungu sana
@fatumasirakwi37002 жыл бұрын
@@khalfanseiph491 Changamoto kivip
@alimondbenson17512 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa Kigoma,najivunia kuzaliwa TANZANIA, mungu ibarika Tanzania
@audaxbizimana80842 жыл бұрын
Iwachu Raha Sana kigoma Ina talents za kutosha
@ahmadisaidi39522 жыл бұрын
Tupo pmj
@winterkasela90332 жыл бұрын
Daaa! Hawa watu wa kigoma ni watu hatari kwa akiri nimewakubali
@mohammediddi53852 жыл бұрын
He’s talented boy 1/technology 2/presenters 3/journalists Tanzania 🇹🇿 got talent
@omaradan34422 жыл бұрын
Kizungu Mingi Ukasau Namba (3) 😂😂Chizi tu weweee ?
@mohammediddi53852 жыл бұрын
@@omaradan3442 😳😳
@omaradan34422 жыл бұрын
You Fokin edited 😂😂😂😂stop capping Nigga
@jsamtz44602 жыл бұрын
Umeamua uongee cha st......
@mohammediddi53852 жыл бұрын
@@jsamtz4460 nothing
@wycliffeaoro98652 жыл бұрын
This young boy is genius, any relevant authority in his region to give him special approach as one way of building his skills to the next level, big up boy from mombasa 🇰🇪
@hoseamgabo48862 жыл бұрын
😂From Mombasa tena
@mosseskanini2552 жыл бұрын
Wakenya ni machoko kwel nyie na vipaj wap na wap🤣🤣
@ghatilucas77092 жыл бұрын
Wakenya mna shobo mbaya mnakera eti a boy from mombasa🙄Mombasa ya nyokwe☠️
@gracejulius39662 жыл бұрын
Hamjamuelewa Wycliffe Aoro, hajasema huyu kijana mbunifu anatoka Mombasa Kenya bali yeye Wayclif ndo anampa big up akitokea Mombasa.
@wycliffeaoro98652 жыл бұрын
Grace julius, thanks for the interpretation
@malikijuma27592 жыл бұрын
genius ni mtu mwenye matumizi mazuri ya akili,hivyo huyo ni genius sio wale wanangu wa degree holder .
@del-mohaa75272 жыл бұрын
Alafu mabeberu wanatuita sisi hatuna akili watu weusi huyu ni engineer mkubwa sanaaa ningekua na uwezo ningekusupport kwa uwezo wangu wote ila mm pia uwezo wangu bado upo chini natokea kenya 🇰🇪
@baimarrajahbuayan62372 жыл бұрын
Yan tanzania tupo vzr jaman Tukiwezeshwa hatuna umasikin hata Mungu ibarik 🇹🇿 yangu Inshallah Utafika mbali kijana
Sasa Pikipiki veta muda wote inafanya nini huko? Wanataka waseme walitengeneza wao au, dogo kwani kasema alikwama? Wanashindwa kutengeneza za kwao na dogo atengeneze za kwake? Mpk mtangazaji anasema imechukua muda means huko veta wanaduaa tu au ndiyo figisu watu washaingilia. Boxer na mchina hawatauza tena? Kwann hawakuacha dogo amalizie mwenyewe na Kwa maelezo yake sio kwamba alikwama, si watengeneze za kwao basi
@africangoldenmusic80612 жыл бұрын
Kurudi kwake kijijini ndo bahati yake.Asingerudi,asingefikiria kuhusu ubunifu huu.....big up bro
@denicegabriel66162 жыл бұрын
Ulaya uyo dogo angeshatoboa maisha na wenda ikawa exposure Ila hapa bongo daah😢
@rebecashao7982 жыл бұрын
Kwel kabisa. .serikali ya bongo sijui wanakwamwa wap kuinvest kwa vijana kama hawa
@rahmaabdulla49492 жыл бұрын
@@rebecashao798 yaani hata mimi na shangaa kwakweli
@estakapufi75822 жыл бұрын
Hajakosea kabisa ila kaonyesha uwezo wake cha msingi ni kumuelewesha zaidi
@experiusmrefu10032 жыл бұрын
Nakubali sana, Dogo zidi kupambania Ndoto zako...Never give up.
@matipashankanawaaooo11992 жыл бұрын
Hii nch yan jamani huyu dogo angeitwa ikulu
@hamidayanga82242 жыл бұрын
Kigoma ndo mkoa wakwanza wenye vipaji vyakila aina najivunia kuwa mwana kigoma mwisho wa reli🔥🔥
@sadatamal36552 жыл бұрын
Kwakweli acha tujivunie kigoma yetu
@sinarahaissa79272 жыл бұрын
Ofcourse hujakosea
@neemaneema99692 жыл бұрын
Kabisaa
@kassioothemiracle16882 жыл бұрын
Kabisa
@selemanihussein78732 жыл бұрын
Nikweli
@welcometoeat1652 жыл бұрын
Serikal yetu wako na kina bongo zozo ndo wanawaona wa maana wanaacha kupambania vjana kama hawa wadogo wakomboz wa taifa la kesho 😢
@Commentsplus2 жыл бұрын
Sasa hapo kipaji kipo wapi yani watanzania mnahemukwaa
@abdulnaseermrisho43422 жыл бұрын
Acha chuki ndugu,Mambo ya Bongo zozo na kipaji cha huyu dogo vinaingiaje?
@maloomaalmnsj51112 жыл бұрын
@@Commentsplus we unaweza
@rahmaabdulla49492 жыл бұрын
@@Commentsplus kafie mbele uko na roho mbaya yako mxxx😏
@veronicanditeze4252 жыл бұрын
Kazi anayofanya bongo zozo sio ya kubeza
@hamidusibye52412 жыл бұрын
SIJAJUTIA KUTUMIA MB ZANGU KUANGALIA HII VIDEO,,,,,,,MAASHAALLAH
@faza40232 жыл бұрын
Mungu akusaidie ufike mbali sanaaaa mdogo wangu, uwe unasali pia wanaobana ni wengi ila kamwe usikate tamaa,Kwa uwezo wako ilitakia uwe umefanya makubwa zaidi. Sio mara ya Kwanza kusikia mtanzania anakipaji alafu badae hakiendelei wala hatuoni faida yake, mzungu pia hapendi. Dogo mwamini MUNGU Tu, hakuna anaeweza kukuzima.
Nilisemaga Sana KIGOMA 🇹🇿 NI kisiwa Cha vipaji""Serikali ituangalie kwakweli,,na kijana awezeshwe ikiwezekana apewe redio kabisa daaa"homeboy nakubarii sana usijari MUNGU atakuwezesha tu maana studio ako niyakimataifa kwani hujawezeshwa ni upeo uliopewa na MUNGU,BE BLESSED BRO
@northfixtz2 жыл бұрын
Bravo,,nimependa sana confidence yako katika ubunifu,,Mungu akubariki zaidi ufikie malengo yako..
@bongoreview17382 жыл бұрын
Dogo yupo vizuri Huku dar Vijana wapo bize na ubishoo kidimbwi , madada wa telegram na kuangalia porn
@ahmadyusuphu30332 жыл бұрын
Tanzania y viwanda ndio hii sasa so kwanin mnashindw kuwashik mkono hawa kw kuwasomesh.. mko tial pesa za umma ziliwe tu na mafisad badala y kuwasomesh hawa watoto wa kitanzania
@kingelishathomasonline48422 жыл бұрын
So amaizing talented boy,tunaomba serikal imsupport kijana mwenzetu 💥💪
@listerlujiso60092 жыл бұрын
Nimemkubali Sana Huyu Kijana Mungu Aliempa Hichi Kipawa Akamfanyie Wepesi Katika Hili Lengo Lake Litimie Na Akafanikiwe Kwa Jina La Yesu Kristo Amen
@KATOPE12 жыл бұрын
Kwani yesu ni mungu😫.Kama lipo andiko kwenye biblia naomba
@listerlujiso60092 жыл бұрын
@@KATOPE1 hiyo sio Kaz yangu pambana na imani yako mpendwa
@KATOPE12 жыл бұрын
@@listerlujiso6009 hujui imani yangu ndio nataka nijue je yesu ni mungu kwani ukinifahamisha siutapa baraka kwa roho safi tu
@listerlujiso60092 жыл бұрын
@@KATOPE1 hatupo kwenye mjadala wewe ulivyoelewa ndo hvyo na mm ninavyoelewa ndo hvyo ukitaka kuelewa zaidi mtafute mchungaji akueleweshe vzr
@muhammadsalim13012 жыл бұрын
kwa jina la mungu sio yesu,yesu mwenyewe Ana mungu wake,pale aliposema mungu wangu,munguwangu mbona unaniacha.
@hamadsuleiman51772 жыл бұрын
Familia za kimaskini ni mtihani sana kwani siku zote wenye hela ndio wanapata nafasi kila sehemu kwani wanasoma katika mazingira mazuri na shule za bei ghali tu na kivyovyote wanafaulu sana kwa force hiyo...But unfortunaley maskini wanaishia kufeli na kufa na vipaji vyao....Kiukweli inauma sana sana sana...Mda mwengine maskini analazimika kusoma asichokipenda kutoka na kutopata nafasi ya kuendelea na fani anayoitaka....Duh huyu dogo asaidiwe
@mwanaishazain79852 жыл бұрын
Mtihani Serikali sio maskini ngoja TRA waende kumbeba koo. Loo kuzaliwa TZ mtihani Bora tungezaliwa Faru Johni
@alexwailod55892 жыл бұрын
Huku Mbeya umalila Kuna jamaa alitengeneza cha ajabu diwani akaenda kumfokea afunge mara moja daaa!!!
@swaumdodoma75912 жыл бұрын
Na Mara nyingi utakuta walokua hawana uwezo Ata Ada inawashinda ndo wanakuaga na akili sana but wa nashindwa kosoma ama kufanya maendeleo ya vipaji kutokana na kukosa ela lakini uyu dogo nina Imani Atafika mbali in Sha'Allah maana tayari diwani keshamtembelea na wamemuahidi kumsaidia asome ili aweza kuimarisha kipaji chake
@michaelsamson96632 жыл бұрын
Nchi zetu zakikolon unaweza tupwandani ukapewa kesi ya uhujumu uchumi watu Wana rohombaya sana nchii
Watu kama hawa serikal haiwapi thaman wakina babalevo ndio wanapata ela
@KalilavKinyentam4 ай бұрын
Mungu asaidie sana. Ila Asante kwa kuzaliwa kigoma
@djgthehotstepper2 жыл бұрын
genius 👏🏽👏🏽😢😢😢😢 Mungu amfungulie milango insha'Allah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@KalilavKinyentam4 ай бұрын
Asante Mungu. Kwa kuzaliwa kigoma
@majaliwa_tz50042 жыл бұрын
Jamani Serikali Yetu Ya Tanzania Mko Wapi Vipaji Kama Hivi Hamuvioni Huyu Kijana Nawengine Wa Namna Hii Siyo Wakuishia Kusomeswa.Tu Inabidi Waendelezwe Kimasomo Na Kuwezeswa Mikopo Ya Hela Nyingi Ili Tanzania 🇹🇿 Tuwe Mifano Ya Mataifa Mengine🙏
@uwimanacitegetse99262 жыл бұрын
Angeendelea kusoma nakujifunzavingipia kwenye ubunifuwake angemalizakusoma malengoyake yangefanikiwazaidi👌🏿birakusomahapo du mngutu wenye masomoyawo watamwonakwamba hafai angeomba wamsaidie aludishule nimaoniyangutu But it’s good Anyway
@kaittheleast2 жыл бұрын
Kigoma,, nyumba ya vipaji👊👊
@yahayamaulana15612 жыл бұрын
Kigoma au Tanzania? Rekebisha kauli
@issayajackson3602 жыл бұрын
Hahaha mwenewachu
@kaittheleast2 жыл бұрын
@@issayajackson360 kipaji chako ni kipi mwenewachu 😂😂
@kaittheleast2 жыл бұрын
@@yahayamaulana1561 kigoma sirekebishi kauli 😂😂
@issayajackson3602 жыл бұрын
@@kaittheleast mwenewachu hata sina kipaji wee acha tu
@antonydangote58792 жыл бұрын
Kumkamata hawawez ila watampa onyo Kali...kuna mashart ya kumiliki vituo vya radio .....Ila Hata serikali yetu ni sijui ipoje haina habari na vipaji
@jsamtz44602 жыл бұрын
Hiyo ni 87.5 Kigoma Fm. Hongera sana Zuberi
@WILSONJOELTUNZE2 жыл бұрын
Mziki kigoma Wanasiasa kigoma Makamu raisi kigoma Uchawi kigoma Vituko vya ajabu ajabu kigoma Kwani kigoma Kuna Nini?
@twentyacresfarms34642 жыл бұрын
Kwa Jinsi alivyo busy hata mapenzi huenda ikawa hataki kusikia sir newton hahaha 😂🤣😂🤣
@roshariosemwija23732 жыл бұрын
Anaonekana tuu
@dorcaskidoti2492 жыл бұрын
Mapenzi nihisia na hisia haziji bila kuwaza icho kitu, sasa yeye mda wa kuwaza mapenzi anautoa wapi?
@BBrown_vevo2 жыл бұрын
😹😹🙌sir newton
@mussatete26182 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jamesobedy39402 жыл бұрын
😂😂😂😂
@stevenlugojeremia23232 жыл бұрын
Huyu dogo akiwezeshwa anaweza kuisaidia hii kwa asilimia kubwa sana naamini watu wa Dizaini wapo wengi sana hapa tz
@justinegerald50952 жыл бұрын
Nimecheka sana kwa furaha sana,dogo nimekuvulia kofia, hongera sana kwa ubunifu
@muuhtube12062 жыл бұрын
Unawaambia nn watanzania kwa unachokiana hapa redion 😁😁
@tousihhhh67652 жыл бұрын
allah kareem azid kumpa nuru daima
@mukaipeter21862 жыл бұрын
Hogera kakagu kazi nzuri sana ❤️ mbarikiwa
@issamanyota2 жыл бұрын
Dah hongera sana Dogo kigoma fm ...watu kama hawa ni genius blessed from GOD ... watu kama hawa wapewe support sana 👐🇹🇿🇹🇿
@AyubuKamendu-w4o2 ай бұрын
Amefika darasa la sita, amebuni studio ya redio, sis tuliosoma madarasa tujitahidi pia kuwa wabunifu
@asherybigurube61402 жыл бұрын
Lete namba dogo
@yousirsports74822 жыл бұрын
mbona namba imeoneshwa hapo mwisho wa mazungumzo
@jamiiredio91.0turkana2 жыл бұрын
Hongera kaka inchinia M wenzangu. Mimi nilitengeneza 7km Lakini sapoti sijapata. Kweli Tanzania kwema.
@onexofficial952 жыл бұрын
Anifanye niwe mtangazaji wa radio yake Tuanze na ubunifu wa vipindi😂😂😂😂😂
@khadijaali46572 жыл бұрын
Mashallah hongera sana kijana mzuri Allah akuzidishie inshallah from (Kenya)
@cvanoedward30932 жыл бұрын
Serikali hapo ni kuunga mkono tu kazi iendelee
@DirectorPhilosopher_OG2 жыл бұрын
Aisee nimekubali sana huyu kijana, kwa kweli alivyosema atasikika kwa nchi za mbali ni kweli, nipo Nairobi na nimepata vizuri sana, anafaa kupata support ya kutosha ana ubunifu wa hali ya juu, yani huyu ni full house, nakumbuka nikisoma historia ya kina Microsoft walikuwa hadi wanalala ili waote jinsi ya kuunda kumpyuta hadi wengine wakienda India kuwatembelea Bhuda ndo wapate ufahamu ila huyu IQ yake ipo juu sana, TCRA Imupe vibali bila masharti. He need unlimited and condition-less freedom.
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Exactly my dear friend
@paschaljoh57292 жыл бұрын
kwa Tanzania yetu hasa TCRA ndo wakwanza kuuwa vipaj kama hiv badara ya kuvikuza, lakn nafikir ni kwasababu ya kuona wataaibika wanao jiita Ma engineering na Mawazir lakn hawaja buni kitu chochote so wataona dogo anazingua Mashart yatakuwa mengi Mwisho wa siku dogo atapotea hii ndo Tz hii ndo Africa....
@rezegerezege6912 жыл бұрын
Nipo Oman nimesikia Nchi yangu Tz Hongera sana Bro.
@admushionlinetv56692 жыл бұрын
@@saumusalimuhassan2499swaumu
@chagaboy7682 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Badoo tunaa naishi kwenye Slave Hivyoo hatuna jins yakuishi kwa aman sikuzote Tunavipaji tuna Ubunifuu tunaweza nani hahika tunawezaa sisi sio wakuishi masikin kias hikii sisi siio wakutegemea vya wenzetuuu Why Tanzania why 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@christiannyamamba90892 жыл бұрын
Huyu dogo angekua nchi za wenzetu angekua bonge moja la mtu aisee yani huyu ni zaidi ya prof
Yani dogo hongera sana sana.ila jitetee mwenyewe usimuweke mavunde.uko vizuri sana sana pambana watakusaidia mtafute nape yuko vizuri atakusaidia
@djhajiztz2 жыл бұрын
unaweza mwqnangu
@nth35122 жыл бұрын
Sasa huu ndo ubunifu, hapa nakubali MASHA ALLAH BAARAKALLAH FYH
@elizabethpeter9152 жыл бұрын
Daraa la 6 tu xo amazing lakin wapo maprofesa ambao wameshindwa kubuni hata charger ya simu this is tz hahaaaaaaa!!
@dottodennis76692 жыл бұрын
Hahahaahaaah
@haskao772 жыл бұрын
Hizi ndio talent, sio wale wanaokariri majina ya watu
@06560337162 жыл бұрын
Hahahahaha
@subrynerysegerow13232 жыл бұрын
😂Kweliii aloo
@tanzanian88472 жыл бұрын
😂😂😂
@ramsikhamis70832 жыл бұрын
😅😅😅daaa nimecheka mbele za Watu aisee
@elikanasamwel2 жыл бұрын
serikali ikusaidie kwani umeonesha uwezo wako.tena nilikuwa naomba waruhusu kila mtu aomeshe uwezo wake kwani kila mtu anauwez{ lakini tunaogopa kufanya ja/bo lolote tukihofia kukamatwa,
@frankbinadola58162 жыл бұрын
More talent,more creativity Allah bless self effort 🙏🙏🙏
@machalilajulius6882 жыл бұрын
Kwamba cmart 4n huwez okota jalalani hahah daah talented boy good idea
@fadhilimzigua22992 жыл бұрын
Hongeraa broo ila kwa upande wa Kilimanjaro moshi kuna redio pia inaitwa KL FM RADIO 87.5 je kama ina fika huko huon inaweza kukukosti ila pia mbali na hivo usikate tamaana broo
@jacksonmakariusmac88462 жыл бұрын
God be with you.... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ur blessed ...keep moving keep shinning
@magdalenajasson11872 жыл бұрын
Tanzania tuna watu wenye vipaji waendelezwe jamani. Huyu kijana awezeshwe
@estakapufi75822 жыл бұрын
Daa huyu akiendelezwa ni mtu mwingine sana mungu amfungulie milango
@mnyongeiddi24542 жыл бұрын
Shida viongozi wetu hawangalii wao wanawaza siasa vipaji kama hivi wanapuuzia
@charlesrongo36152 жыл бұрын
TANZANIA GOT TALENTS ... KUNA WATU WENGI WENYE VIPAJI VYA HALI YA JUU.
@wilsonmikate8612 жыл бұрын
Kigoma nihabari nyingine
@saidyomary16712 жыл бұрын
Angekua nchi za wenzetu huyu ni mtu mkubwa sana duniani ila kwa Tanzania 🇹🇿 yetu utapongezwa tu picha inaisha
@mnyongeiddi24542 жыл бұрын
Huyu dogo wa muboreshee elimu ni hazina kubwa sana katika taifa selikar imusaidie sana
@africanproudly40042 жыл бұрын
Si kila kitu kina huitaji uende darasani tumeumbwa na maarifa ndani yetu yeye kajua kuyatumia yale maarifa tulopewa
@sultansaid9922 жыл бұрын
Allah mjalie mama samia afikirie hivindivyo vipaji vinavyo itajika kusaidiwa
@MECK_DADDY2 жыл бұрын
dah uyu dogo asaidiwe tu jaman
@shanisshow18642 жыл бұрын
Yani engekuwa kama kina baba nani sijui mwijaka..... kwa nchi hii unafanikiwa poa tuuu kwa mtu mwenye kipaji kama huyuu..... ....... nchi Nguni sana
@bakarimohammed98512 жыл бұрын
Dogo wew ni Zaid ya talent 🙌🙌🙌🙌
@highcalling30122 жыл бұрын
TCRA ikiwezekana , Ingemchukua huyu kijana,..wakiwekeza kwake atawasaidia sana
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Wanaga muda kaxiyao kuwaweka wazee wasoakili
@youngchyna7442 жыл бұрын
Hizi ndo habari za kutuletea sio za kina gig money
@nurumwenkale33872 жыл бұрын
Dah! Magu angekuwepo Leo hii ungesha kua mbali r I p magu hakika vijana tutakukumbuka
Mbona kipindi anatengeneza pikipiki magu alikuwepo
@TUnech72 жыл бұрын
@@fahamujames8003 na ndio kipindi alienda veta @magu ni kiongozi aliopendwa na wengi
@kalokazakibadeni29382 жыл бұрын
Unyama Mzee kigoma vipaji ni noma
@georgekimaro84552 жыл бұрын
Zanzibar kuna Mzee anakaa makunduchi nae kaunda station yake hivyo hivyo fanya mpango mirlad ayo mumtembelee
@AliMohammed-lx7ys2 жыл бұрын
Mzanibar mwenzangu ww nilikuwa nasuburi kuona coment kama hiyo nilishawahi kusikia hiyo sikupingi kk ni kweli
@achieversKENYA22 жыл бұрын
I appricaite my question is where did you get the frequency.........(?)
@janethjackson77042 жыл бұрын
"I converted the radio instead of receiving the frequency it send the frequency" he said. This is totally true you can try this,take any mp3 player and play the music then take FM radio switch it on and search the frequency put it near the mp3 player,the music of mp3 Plyer it will play in your FM radio at a certain frequencey,nahic utakuwa umeelew bos
@aloyceooga2 жыл бұрын
Ata kenya tumekupata sana brother keep up bro never give up
@rosemaryjanuary71462 жыл бұрын
Nimeipenda hii jamani hongera sana kijana Mungu aendelee kukufanya ukue zaidi ya hapo
@necromanger2722 жыл бұрын
Wooooow magnicent brain 🧠 and talent , this young boy really need the government support to go further, tanzania 🇹🇿 government please support this wonderful talent, stay bless young man