DOGO MTANZANIA ATENGENEZA KITUO CHA RADIO KIGOMA, KINASIKIKA LIVE MTAANI "TCRA MNISAMEHE KWA HILI"

  Рет қаралды 481,285

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 1 100
@joysoka3575
@joysoka3575 2 жыл бұрын
Dah kuna watu wamejaliwa vipawa nimetafakari adi kichwa kimechoka duh utundu wote uwo na wala ajatumia umeme yan duh mungu mkumbuke uyu kijana afike mbali awe faida kwa watanzania na kwa familia yake amen
@MRST_1662
@MRST_1662 2 жыл бұрын
Wowww that amazing! That crazy amazing, he’s a Genius. I hope someone will see him one day, and amshike mkono na hopeful atakamilisha ndoto zake. Coz we need people like him. Coz the have lots potential in life and nation, Africa, world as whole! Ndo Wakina Tesla wajao hao kama wakiwezeshwa. All the best buddy!👏🏿🙌🏿👍🏿🇹🇿🇨🇦
@Kiluviadreadlocs
@Kiluviadreadlocs 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/rGPCqaqkpbp7ZpI
@imeldasamwel539
@imeldasamwel539 2 жыл бұрын
Jaman jaman mpaka nimelia mm 😭😭😭😭🙏🙏🙏dar huyo dogo wachukue haraka iwevyekanavyo sna mengi Zaid ya hongera sana
@bakariathumani8105
@bakariathumani8105 2 жыл бұрын
Yani wanaweza kumpeleka pasipojulikana
@alexmmary1741
@alexmmary1741 2 жыл бұрын
Ni kama nn nimelia sana MACHOZI yananitoka pia
@michaelbenedict1200
@michaelbenedict1200 2 жыл бұрын
Nimelia pia kiukweli kiubinadamu amenigusa🥲🥲
@sumayananabintimusa6321
@sumayananabintimusa6321 2 жыл бұрын
@@bakariathumani8105 😀😂😂😂😂
@amosikaminyoge8550
@amosikaminyoge8550 2 жыл бұрын
Dar
@farajafaraja3494
@farajafaraja3494 2 жыл бұрын
Huyu dogo ni tajiri, tajiri wa akili nyingi, mungu akuongoze na kukusimamiA
@captenndunga6745
@captenndunga6745 2 жыл бұрын
Sina hata cha kuongea niseme tuu hongera mdogo wangu pambana ipo siku tanzania itakujua wee ni nani kama sio dunia kwa ujumla... Hongera sana sana sana sana tena saaaaaanaa.
@denisjr11media21
@denisjr11media21 2 жыл бұрын
Kanifurahisha sanah uyoo yani tayarii anamilikii kituocha radio alafuu tayarii ameshajiajiri ni mtangazaji wa kituo chakee .. talent ya kiwango cha juu sanah
@KibweOnlineTv
@KibweOnlineTv 2 жыл бұрын
Hongera sana Broo Hakika Naipenda sana nchi yangu TANZANIA,, kikubwa tunakuombea serikali ikufikie Ili ufikie malengo yako inshaallah 🙏✍️
@Zurushylab
@Zurushylab 2 жыл бұрын
Serekali ya nn tena jaman sema matajir wanyooshe mikono kwa huyu ndugu yetu aiseee hapa tumuombe maboss wetu wamdhamin huyu ndugu yetu ikiwemo Bakhiressa , diamond na Mooo pamoja na matajiri wote Tanzania.. (Ukisubilia kiatu kikuvae wakati ujaamua hutoweza kukivaa yani hakitoonekana kabisa)
@nuuringoogle4104
@nuuringoogle4104 2 жыл бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🥰🥰🥰
@cosmasmbugi8570
@cosmasmbugi8570 2 жыл бұрын
.sanaa
@kingelishathomasonline4842
@kingelishathomasonline4842 2 жыл бұрын
@@Zurushylab Kabisa
@roselinemoshi5008
@roselinemoshi5008 2 жыл бұрын
Mwenye Enzi Mungu akubariki sana na usiachie hapo sky is not a limit you can go beyond!👍
@sometimes5621
@sometimes5621 2 жыл бұрын
Tatizo litakuja Kwa TCRA watampiga marufuku hadi wampe masafa na wampige faini! Habari za hivi punde NI kuwa Mkuu wa Wilaya ametembelea Studio yake Leo 27-06-2022 na Waziri wa Habari na Mawasiliano ameagiza TCRA wa waende na kuona NI jinsi gani wanaweza kumsaidia!
@Commentsplus
@Commentsplus 2 жыл бұрын
Hajafanya ubunifu katumia FM car transmitter acheni kuhemukwa
@GloriousRestorationTV
@GloriousRestorationTV 2 жыл бұрын
@@Commentsplus Wewe unaweza??? Au unadhani ubunifu ni nini??? Wivu tu unakusumbua, na nyie ndio mnakuwaga wachawi, ww umefanya nn....
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 2 жыл бұрын
@@Commentsplus fm car transmita inakuaje emb elezea
@magafootball6569
@magafootball6569 2 жыл бұрын
@@Commentsplus wabongoo wivuuu sanaaa kumamayeeee
@abdalahsambala6667
@abdalahsambala6667 2 жыл бұрын
@@Commentsplus matako we fm car transmete r gan inafika meter 150
@Ashelymhangazo
@Ashelymhangazo 2 жыл бұрын
HAKUNA KIPAJI KAMA HIKI TANZANIA, VIONGOZI MPO WAPI MUANGALIENI KWA JICHO LA 3 ,SIO WA KUMUACHA AMEONYESHA UWEZO WAKE TANGU ZAMANI, naumia sana kumuona bado yupo katika mazingira hayo bila msaada wowote wa juu😰😪😪
@songamberetv2219
@songamberetv2219 2 жыл бұрын
Africa Africa Africa amuka amuka 😭😭 nasikitika kuona huyu kijana hajasaidiwa na serekari na vipaji alivyonesha tangu zamani
@KATOPE1
@KATOPE1 2 жыл бұрын
Kweli kabisa ni miaka sasa na anakipaji sana
@abdulabdallah9688
@abdulabdallah9688 2 жыл бұрын
Waambie kuongea umbea tu
@nurathkhamiss5925
@nurathkhamiss5925 2 жыл бұрын
Ndo apo sasa
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Wale wa kukariri maandishi hawahusiki hapa. Dogo sio mtu mzuri!
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 жыл бұрын
Naapo kaishia darasa la sita tu
@dianashautiel7099
@dianashautiel7099 2 жыл бұрын
Eee Mungu ifunulie macho serikali imuone huyu Mtoto katika viwango vya juu! Anazidi tuliomaliza madgree na madgree, Mtoto wa la sita wa Maskini.🙏
@mdentertainmenttz124
@mdentertainmenttz124 2 жыл бұрын
Serikali imeshamuona Mungu Ni mwema
@uzungupoint
@uzungupoint 2 жыл бұрын
Daaah! Yaani katengeneza jiko la kutumia umeme wa jua, angekuwa anatoka familia yenye mali au Taifa lenye kujali vipaji vyake tungesahau kabisa matumizi ya gesi na mitungi kuripuka kila wakati na kuua watu daaaah! Oooh MUNGU wa AFRIKA tusamehe sisi wanao ndiyo maana hatujali vya kwetu.
@khalfanseiph491
@khalfanseiph491 2 жыл бұрын
Tatizo kumuendeleza mtu kama huyu ni changamoto sana inabidi tumuombe mungu sana
@fatumasirakwi3700
@fatumasirakwi3700 2 жыл бұрын
@@khalfanseiph491 Changamoto kivip
@alimondbenson1751
@alimondbenson1751 2 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa Kigoma,najivunia kuzaliwa TANZANIA, mungu ibarika Tanzania
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 жыл бұрын
Iwachu Raha Sana kigoma Ina talents za kutosha
@ahmadisaidi3952
@ahmadisaidi3952 2 жыл бұрын
Tupo pmj
@winterkasela9033
@winterkasela9033 2 жыл бұрын
Daaa! Hawa watu wa kigoma ni watu hatari kwa akiri nimewakubali
@mohammediddi5385
@mohammediddi5385 2 жыл бұрын
He’s talented boy 1/technology 2/presenters 3/journalists Tanzania 🇹🇿 got talent
@omaradan3442
@omaradan3442 2 жыл бұрын
Kizungu Mingi Ukasau Namba (3) 😂😂Chizi tu weweee ?
@mohammediddi5385
@mohammediddi5385 2 жыл бұрын
@@omaradan3442 😳😳
@omaradan3442
@omaradan3442 2 жыл бұрын
You Fokin edited 😂😂😂😂stop capping Nigga
@jsamtz4460
@jsamtz4460 2 жыл бұрын
Umeamua uongee cha st......
@mohammediddi5385
@mohammediddi5385 2 жыл бұрын
@@jsamtz4460 nothing
@wycliffeaoro9865
@wycliffeaoro9865 2 жыл бұрын
This young boy is genius, any relevant authority in his region to give him special approach as one way of building his skills to the next level, big up boy from mombasa 🇰🇪
@hoseamgabo4886
@hoseamgabo4886 2 жыл бұрын
😂From Mombasa tena
@mosseskanini255
@mosseskanini255 2 жыл бұрын
Wakenya ni machoko kwel nyie na vipaj wap na wap🤣🤣
@ghatilucas7709
@ghatilucas7709 2 жыл бұрын
Wakenya mna shobo mbaya mnakera eti a boy from mombasa🙄Mombasa ya nyokwe☠️
@gracejulius3966
@gracejulius3966 2 жыл бұрын
Hamjamuelewa Wycliffe Aoro, hajasema huyu kijana mbunifu anatoka Mombasa Kenya bali yeye Wayclif ndo anampa big up akitokea Mombasa.
@wycliffeaoro9865
@wycliffeaoro9865 2 жыл бұрын
Grace julius, thanks for the interpretation
@malikijuma2759
@malikijuma2759 2 жыл бұрын
genius ni mtu mwenye matumizi mazuri ya akili,hivyo huyo ni genius sio wale wanangu wa degree holder .
@del-mohaa7527
@del-mohaa7527 2 жыл бұрын
Alafu mabeberu wanatuita sisi hatuna akili watu weusi huyu ni engineer mkubwa sanaaa ningekua na uwezo ningekusupport kwa uwezo wangu wote ila mm pia uwezo wangu bado upo chini natokea kenya 🇰🇪
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Yan tanzania tupo vzr jaman Tukiwezeshwa hatuna umasikin hata Mungu ibarik 🇹🇿 yangu Inshallah Utafika mbali kijana
@castobenjamin4074
@castobenjamin4074 2 жыл бұрын
Wazungu wakimjua huyo dogo watamuiba wampeleke kwaoo😂😂🤗🤗
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 жыл бұрын
Ndio kabisa lakini kwa sisi tcra watamkamata kwa kufungua redio kinyume Cha sheria
@hashimrweabula9
@hashimrweabula9 2 жыл бұрын
Umeonaaeee tz vipaji vipoo ilaa ndohvyoo kuenderezwa zsid ndohvyoo
@hanirashuwesu4239
@hanirashuwesu4239 2 жыл бұрын
Wamchukue tu😂
@janethpallangyo2633
@janethpallangyo2633 2 жыл бұрын
Wamchukuwe
@abdulrazakhassanor498
@abdulrazakhassanor498 2 жыл бұрын
@@hanirashuwesu4239 hahahhaah!!!watu wamekata tamaa
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 2 жыл бұрын
Dah!!Kipaji kinapotea tu bure,ungekuwa ulaya wewe kijana kipaji kingeendelezwa.Ila nakutakia kila la kheri,njia za mafanikio zifunguke kwako!!!
@muzihiljabili340
@muzihiljabili340 2 жыл бұрын
Ewe ya rabi tujalie vipaji vyetu viwe vya kheri na vyenye kusaidia jamii 🙏🙏🙏
@uzungupoint
@uzungupoint 2 жыл бұрын
Amina sana 🙏
@piusmdoe8094
@piusmdoe8094 2 жыл бұрын
Hakika na iwe hivyo
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
Amiin
@jonathantvonline4517
@jonathantvonline4517 2 жыл бұрын
Hongera sana kijana pambania ndoto zako
@ariseinspiration
@ariseinspiration 2 жыл бұрын
Kutoka hapa Kenya hongera sana Kijana kwa ubunifu wako. Sisi wa bara la africa twatakiwa kuendeleza ubunifu wa aina hii na kuufanikisha
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 2 жыл бұрын
Duuuu huyu wala haihitajiki kumfungia,kama inawezekana tuwekee namba tuanze kukuchangia ujenge kituo cha kueleweka.
@faza4023
@faza4023 2 жыл бұрын
Sasa Pikipiki veta muda wote inafanya nini huko? Wanataka waseme walitengeneza wao au, dogo kwani kasema alikwama? Wanashindwa kutengeneza za kwao na dogo atengeneze za kwake? Mpk mtangazaji anasema imechukua muda means huko veta wanaduaa tu au ndiyo figisu watu washaingilia. Boxer na mchina hawatauza tena? Kwann hawakuacha dogo amalizie mwenyewe na Kwa maelezo yake sio kwamba alikwama, si watengeneze za kwao basi
@africangoldenmusic8061
@africangoldenmusic8061 2 жыл бұрын
Kurudi kwake kijijini ndo bahati yake.Asingerudi,asingefikiria kuhusu ubunifu huu.....big up bro
@denicegabriel6616
@denicegabriel6616 2 жыл бұрын
Ulaya uyo dogo angeshatoboa maisha na wenda ikawa exposure Ila hapa bongo daah😢
@rebecashao798
@rebecashao798 2 жыл бұрын
Kwel kabisa. .serikali ya bongo sijui wanakwamwa wap kuinvest kwa vijana kama hawa
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
@@rebecashao798 yaani hata mimi na shangaa kwakweli
@estakapufi7582
@estakapufi7582 2 жыл бұрын
Hajakosea kabisa ila kaonyesha uwezo wake cha msingi ni kumuelewesha zaidi
@experiusmrefu1003
@experiusmrefu1003 2 жыл бұрын
Nakubali sana, Dogo zidi kupambania Ndoto zako...Never give up.
@matipashankanawaaooo1199
@matipashankanawaaooo1199 2 жыл бұрын
Hii nch yan jamani huyu dogo angeitwa ikulu
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 жыл бұрын
Kigoma ndo mkoa wakwanza wenye vipaji vyakila aina najivunia kuwa mwana kigoma mwisho wa reli🔥🔥
@sadatamal3655
@sadatamal3655 2 жыл бұрын
Kwakweli acha tujivunie kigoma yetu
@sinarahaissa7927
@sinarahaissa7927 2 жыл бұрын
Ofcourse hujakosea
@neemaneema9969
@neemaneema9969 2 жыл бұрын
Kabisaa
@kassioothemiracle1688
@kassioothemiracle1688 2 жыл бұрын
Kabisa
@selemanihussein7873
@selemanihussein7873 2 жыл бұрын
Nikweli
@welcometoeat165
@welcometoeat165 2 жыл бұрын
Serikal yetu wako na kina bongo zozo ndo wanawaona wa maana wanaacha kupambania vjana kama hawa wadogo wakomboz wa taifa la kesho 😢
@Commentsplus
@Commentsplus 2 жыл бұрын
Sasa hapo kipaji kipo wapi yani watanzania mnahemukwaa
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 2 жыл бұрын
Acha chuki ndugu,Mambo ya Bongo zozo na kipaji cha huyu dogo vinaingiaje?
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 жыл бұрын
@@Commentsplus we unaweza
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
@@Commentsplus kafie mbele uko na roho mbaya yako mxxx😏
@veronicanditeze425
@veronicanditeze425 2 жыл бұрын
Kazi anayofanya bongo zozo sio ya kubeza
@hamidusibye5241
@hamidusibye5241 2 жыл бұрын
SIJAJUTIA KUTUMIA MB ZANGU KUANGALIA HII VIDEO,,,,,,,MAASHAALLAH
@faza4023
@faza4023 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie ufike mbali sanaaaa mdogo wangu, uwe unasali pia wanaobana ni wengi ila kamwe usikate tamaa,Kwa uwezo wako ilitakia uwe umefanya makubwa zaidi. Sio mara ya Kwanza kusikia mtanzania anakipaji alafu badae hakiendelei wala hatuoni faida yake, mzungu pia hapendi. Dogo mwamini MUNGU Tu, hakuna anaeweza kukuzima.
@hassanamran3637
@hassanamran3637 2 жыл бұрын
Tukubali tukatae wa2 wakigoma 2navipaji vingiiii👏👏👏👏
@gapablessgadison6863
@gapablessgadison6863 2 жыл бұрын
Nilisemaga Sana KIGOMA 🇹🇿 NI kisiwa Cha vipaji""Serikali ituangalie kwakweli,,na kijana awezeshwe ikiwezekana apewe redio kabisa daaa"homeboy nakubarii sana usijari MUNGU atakuwezesha tu maana studio ako niyakimataifa kwani hujawezeshwa ni upeo uliopewa na MUNGU,BE BLESSED BRO
@northfixtz
@northfixtz 2 жыл бұрын
Bravo,,nimependa sana confidence yako katika ubunifu,,Mungu akubariki zaidi ufikie malengo yako..
@bongoreview1738
@bongoreview1738 2 жыл бұрын
Dogo yupo vizuri Huku dar Vijana wapo bize na ubishoo kidimbwi , madada wa telegram na kuangalia porn
@ahmadyusuphu3033
@ahmadyusuphu3033 2 жыл бұрын
Tanzania y viwanda ndio hii sasa so kwanin mnashindw kuwashik mkono hawa kw kuwasomesh.. mko tial pesa za umma ziliwe tu na mafisad badala y kuwasomesh hawa watoto wa kitanzania
@kingelishathomasonline4842
@kingelishathomasonline4842 2 жыл бұрын
So amaizing talented boy,tunaomba serikal imsupport kijana mwenzetu 💥💪
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 жыл бұрын
Nimemkubali Sana Huyu Kijana Mungu Aliempa Hichi Kipawa Akamfanyie Wepesi Katika Hili Lengo Lake Litimie Na Akafanikiwe Kwa Jina La Yesu Kristo Amen
@KATOPE1
@KATOPE1 2 жыл бұрын
Kwani yesu ni mungu😫.Kama lipo andiko kwenye biblia naomba
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 жыл бұрын
@@KATOPE1 hiyo sio Kaz yangu pambana na imani yako mpendwa
@KATOPE1
@KATOPE1 2 жыл бұрын
@@listerlujiso6009 hujui imani yangu ndio nataka nijue je yesu ni mungu kwani ukinifahamisha siutapa baraka kwa roho safi tu
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 жыл бұрын
@@KATOPE1 hatupo kwenye mjadala wewe ulivyoelewa ndo hvyo na mm ninavyoelewa ndo hvyo ukitaka kuelewa zaidi mtafute mchungaji akueleweshe vzr
@muhammadsalim1301
@muhammadsalim1301 2 жыл бұрын
kwa jina la mungu sio yesu,yesu mwenyewe Ana mungu wake,pale aliposema mungu wangu,munguwangu mbona unaniacha.
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 2 жыл бұрын
Familia za kimaskini ni mtihani sana kwani siku zote wenye hela ndio wanapata nafasi kila sehemu kwani wanasoma katika mazingira mazuri na shule za bei ghali tu na kivyovyote wanafaulu sana kwa force hiyo...But unfortunaley maskini wanaishia kufeli na kufa na vipaji vyao....Kiukweli inauma sana sana sana...Mda mwengine maskini analazimika kusoma asichokipenda kutoka na kutopata nafasi ya kuendelea na fani anayoitaka....Duh huyu dogo asaidiwe
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 2 жыл бұрын
Mtihani Serikali sio maskini ngoja TRA waende kumbeba koo. Loo kuzaliwa TZ mtihani Bora tungezaliwa Faru Johni
@alexwailod5589
@alexwailod5589 2 жыл бұрын
Huku Mbeya umalila Kuna jamaa alitengeneza cha ajabu diwani akaenda kumfokea afunge mara moja daaa!!!
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 2 жыл бұрын
Na Mara nyingi utakuta walokua hawana uwezo Ata Ada inawashinda ndo wanakuaga na akili sana but wa nashindwa kosoma ama kufanya maendeleo ya vipaji kutokana na kukosa ela lakini uyu dogo nina Imani Atafika mbali in Sha'Allah maana tayari diwani keshamtembelea na wamemuahidi kumsaidia asome ili aweza kuimarisha kipaji chake
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 2 жыл бұрын
Nchi zetu zakikolon unaweza tupwandani ukapewa kesi ya uhujumu uchumi watu Wana rohombaya sana nchii
@reubenjohn7111
@reubenjohn7111 2 жыл бұрын
nisaidieni nambayahuyo kijana nwezagu kunakitunataka niogee nae
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 жыл бұрын
Watu kama hawa serikal haiwapi thaman wakina babalevo ndio wanapata ela
@KalilavKinyentam
@KalilavKinyentam 4 ай бұрын
Mungu asaidie sana. Ila Asante kwa kuzaliwa kigoma
@djgthehotstepper
@djgthehotstepper 2 жыл бұрын
genius 👏🏽👏🏽😢😢😢😢 Mungu amfungulie milango insha'Allah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@KalilavKinyentam
@KalilavKinyentam 4 ай бұрын
Asante Mungu. Kwa kuzaliwa kigoma
@majaliwa_tz5004
@majaliwa_tz5004 2 жыл бұрын
Jamani Serikali Yetu Ya Tanzania Mko Wapi Vipaji Kama Hivi Hamuvioni Huyu Kijana Nawengine Wa Namna Hii Siyo Wakuishia Kusomeswa.Tu Inabidi Waendelezwe Kimasomo Na Kuwezeswa Mikopo Ya Hela Nyingi Ili Tanzania 🇹🇿 Tuwe Mifano Ya Mataifa Mengine🙏
@uwimanacitegetse9926
@uwimanacitegetse9926 2 жыл бұрын
Angeendelea kusoma nakujifunzavingipia kwenye ubunifuwake angemalizakusoma malengoyake yangefanikiwazaidi👌🏿birakusomahapo du mngutu wenye masomoyawo watamwonakwamba hafai angeomba wamsaidie aludishule nimaoniyangutu But it’s good Anyway
@kaittheleast
@kaittheleast 2 жыл бұрын
Kigoma,, nyumba ya vipaji👊👊
@yahayamaulana1561
@yahayamaulana1561 2 жыл бұрын
Kigoma au Tanzania? Rekebisha kauli
@issayajackson360
@issayajackson360 2 жыл бұрын
Hahaha mwenewachu
@kaittheleast
@kaittheleast 2 жыл бұрын
@@issayajackson360 kipaji chako ni kipi mwenewachu 😂😂
@kaittheleast
@kaittheleast 2 жыл бұрын
@@yahayamaulana1561 kigoma sirekebishi kauli 😂😂
@issayajackson360
@issayajackson360 2 жыл бұрын
@@kaittheleast mwenewachu hata sina kipaji wee acha tu
@antonydangote5879
@antonydangote5879 2 жыл бұрын
Kumkamata hawawez ila watampa onyo Kali...kuna mashart ya kumiliki vituo vya radio .....Ila Hata serikali yetu ni sijui ipoje haina habari na vipaji
@jsamtz4460
@jsamtz4460 2 жыл бұрын
Hiyo ni 87.5 Kigoma Fm. Hongera sana Zuberi
@WILSONJOELTUNZE
@WILSONJOELTUNZE 2 жыл бұрын
Mziki kigoma Wanasiasa kigoma Makamu raisi kigoma Uchawi kigoma Vituko vya ajabu ajabu kigoma Kwani kigoma Kuna Nini?
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 2 жыл бұрын
Kwa Jinsi alivyo busy hata mapenzi huenda ikawa hataki kusikia sir newton hahaha 😂🤣😂🤣
@roshariosemwija2373
@roshariosemwija2373 2 жыл бұрын
Anaonekana tuu
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
Mapenzi nihisia na hisia haziji bila kuwaza icho kitu, sasa yeye mda wa kuwaza mapenzi anautoa wapi?
@BBrown_vevo
@BBrown_vevo 2 жыл бұрын
😹😹🙌sir newton
@mussatete2618
@mussatete2618 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 2 жыл бұрын
Huyu dogo akiwezeshwa anaweza kuisaidia hii kwa asilimia kubwa sana naamini watu wa Dizaini wapo wengi sana hapa tz
@justinegerald5095
@justinegerald5095 2 жыл бұрын
Nimecheka sana kwa furaha sana,dogo nimekuvulia kofia, hongera sana kwa ubunifu
@muuhtube1206
@muuhtube1206 2 жыл бұрын
Unawaambia nn watanzania kwa unachokiana hapa redion 😁😁
@tousihhhh6765
@tousihhhh6765 2 жыл бұрын
allah kareem azid kumpa nuru daima
@mukaipeter2186
@mukaipeter2186 2 жыл бұрын
Hogera kakagu kazi nzuri sana ❤️ mbarikiwa
@issamanyota
@issamanyota 2 жыл бұрын
Dah hongera sana Dogo kigoma fm ...watu kama hawa ni genius blessed from GOD ... watu kama hawa wapewe support sana 👐🇹🇿🇹🇿
@AyubuKamendu-w4o
@AyubuKamendu-w4o 2 ай бұрын
Amefika darasa la sita, amebuni studio ya redio, sis tuliosoma madarasa tujitahidi pia kuwa wabunifu
@asherybigurube6140
@asherybigurube6140 2 жыл бұрын
Lete namba dogo
@yousirsports7482
@yousirsports7482 2 жыл бұрын
mbona namba imeoneshwa hapo mwisho wa mazungumzo
@jamiiredio91.0turkana
@jamiiredio91.0turkana 2 жыл бұрын
Hongera kaka inchinia M wenzangu. Mimi nilitengeneza 7km Lakini sapoti sijapata. Kweli Tanzania kwema.
@onexofficial95
@onexofficial95 2 жыл бұрын
Anifanye niwe mtangazaji wa radio yake Tuanze na ubunifu wa vipindi😂😂😂😂😂
@khadijaali4657
@khadijaali4657 2 жыл бұрын
Mashallah hongera sana kijana mzuri Allah akuzidishie inshallah from (Kenya)
@cvanoedward3093
@cvanoedward3093 2 жыл бұрын
Serikali hapo ni kuunga mkono tu kazi iendelee
@DirectorPhilosopher_OG
@DirectorPhilosopher_OG 2 жыл бұрын
Aisee nimekubali sana huyu kijana, kwa kweli alivyosema atasikika kwa nchi za mbali ni kweli, nipo Nairobi na nimepata vizuri sana, anafaa kupata support ya kutosha ana ubunifu wa hali ya juu, yani huyu ni full house, nakumbuka nikisoma historia ya kina Microsoft walikuwa hadi wanalala ili waote jinsi ya kuunda kumpyuta hadi wengine wakienda India kuwatembelea Bhuda ndo wapate ufahamu ila huyu IQ yake ipo juu sana, TCRA Imupe vibali bila masharti. He need unlimited and condition-less freedom.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Exactly my dear friend
@paschaljoh5729
@paschaljoh5729 2 жыл бұрын
kwa Tanzania yetu hasa TCRA ndo wakwanza kuuwa vipaj kama hiv badara ya kuvikuza, lakn nafikir ni kwasababu ya kuona wataaibika wanao jiita Ma engineering na Mawazir lakn hawaja buni kitu chochote so wataona dogo anazingua Mashart yatakuwa mengi Mwisho wa siku dogo atapotea hii ndo Tz hii ndo Africa....
@rezegerezege691
@rezegerezege691 2 жыл бұрын
Nipo Oman nimesikia Nchi yangu Tz Hongera sana Bro.
@admushionlinetv5669
@admushionlinetv5669 2 жыл бұрын
@@saumusalimuhassan2499swaumu
@chagaboy768
@chagaboy768 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Badoo tunaa naishi kwenye Slave Hivyoo hatuna jins yakuishi kwa aman sikuzote Tunavipaji tuna Ubunifuu tunaweza nani hahika tunawezaa sisi sio wakuishi masikin kias hikii sisi siio wakutegemea vya wenzetuuu Why Tanzania why 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 2 жыл бұрын
Huyu dogo angekua nchi za wenzetu angekua bonge moja la mtu aisee yani huyu ni zaidi ya prof
@Ntomolapagu255
@Ntomolapagu255 2 жыл бұрын
m.kzbin.info/www/bejne/d4umdHWvnLetppI noma sana☝️💞😁😋😋
@edwriter
@edwriter 2 жыл бұрын
Uyu jamaa ni Genius🙌
@babilonkiller1161
@babilonkiller1161 2 жыл бұрын
Tisha mbaya
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Mashallah, hongera sana kijana Wetu wa kitanzania
@sudymgeni701
@sudymgeni701 2 жыл бұрын
Yani dogo hongera sana sana.ila jitetee mwenyewe usimuweke mavunde.uko vizuri sana sana pambana watakusaidia mtafute nape yuko vizuri atakusaidia
@djhajiztz
@djhajiztz 2 жыл бұрын
unaweza mwqnangu
@nth3512
@nth3512 2 жыл бұрын
Sasa huu ndo ubunifu, hapa nakubali MASHA ALLAH BAARAKALLAH FYH
@elizabethpeter915
@elizabethpeter915 2 жыл бұрын
Daraa la 6 tu xo amazing lakin wapo maprofesa ambao wameshindwa kubuni hata charger ya simu this is tz hahaaaaaaa!!
@dottodennis7669
@dottodennis7669 2 жыл бұрын
Hahahaahaaah
@haskao77
@haskao77 2 жыл бұрын
Hizi ndio talent, sio wale wanaokariri majina ya watu
@0656033716
@0656033716 2 жыл бұрын
Hahahahaha
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 2 жыл бұрын
😂Kweliii aloo
@tanzanian8847
@tanzanian8847 2 жыл бұрын
😂😂😂
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 жыл бұрын
😅😅😅daaa nimecheka mbele za Watu aisee
@elikanasamwel
@elikanasamwel 2 жыл бұрын
serikali ikusaidie kwani umeonesha uwezo wako.tena nilikuwa naomba waruhusu kila mtu aomeshe uwezo wake kwani kila mtu anauwez{ lakini tunaogopa kufanya ja/bo lolote tukihofia kukamatwa,
@frankbinadola5816
@frankbinadola5816 2 жыл бұрын
More talent,more creativity Allah bless self effort 🙏🙏🙏
@machalilajulius688
@machalilajulius688 2 жыл бұрын
Kwamba cmart 4n huwez okota jalalani hahah daah talented boy good idea
@fadhilimzigua2299
@fadhilimzigua2299 2 жыл бұрын
Hongeraa broo ila kwa upande wa Kilimanjaro moshi kuna redio pia inaitwa KL FM RADIO 87.5 je kama ina fika huko huon inaweza kukukosti ila pia mbali na hivo usikate tamaana broo
@jacksonmakariusmac8846
@jacksonmakariusmac8846 2 жыл бұрын
God be with you.... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ur blessed ...keep moving keep shinning
@magdalenajasson1187
@magdalenajasson1187 2 жыл бұрын
Tanzania tuna watu wenye vipaji waendelezwe jamani. Huyu kijana awezeshwe
@estakapufi7582
@estakapufi7582 2 жыл бұрын
Daa huyu akiendelezwa ni mtu mwingine sana mungu amfungulie milango
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 2 жыл бұрын
Shida viongozi wetu hawangalii wao wanawaza siasa vipaji kama hivi wanapuuzia
@charlesrongo3615
@charlesrongo3615 2 жыл бұрын
TANZANIA GOT TALENTS ... KUNA WATU WENGI WENYE VIPAJI VYA HALI YA JUU.
@wilsonmikate861
@wilsonmikate861 2 жыл бұрын
Kigoma nihabari nyingine
@saidyomary1671
@saidyomary1671 2 жыл бұрын
Angekua nchi za wenzetu huyu ni mtu mkubwa sana duniani ila kwa Tanzania 🇹🇿 yetu utapongezwa tu picha inaisha
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 2 жыл бұрын
Huyu dogo wa muboreshee elimu ni hazina kubwa sana katika taifa selikar imusaidie sana
@africanproudly4004
@africanproudly4004 2 жыл бұрын
Si kila kitu kina huitaji uende darasani tumeumbwa na maarifa ndani yetu yeye kajua kuyatumia yale maarifa tulopewa
@sultansaid992
@sultansaid992 2 жыл бұрын
Allah mjalie mama samia afikirie hivindivyo vipaji vinavyo itajika kusaidiwa
@MECK_DADDY
@MECK_DADDY 2 жыл бұрын
dah uyu dogo asaidiwe tu jaman
@shanisshow1864
@shanisshow1864 2 жыл бұрын
Yani engekuwa kama kina baba nani sijui mwijaka..... kwa nchi hii unafanikiwa poa tuuu kwa mtu mwenye kipaji kama huyuu..... ....... nchi Nguni sana
@bakarimohammed9851
@bakarimohammed9851 2 жыл бұрын
Dogo wew ni Zaid ya talent 🙌🙌🙌🙌
@highcalling3012
@highcalling3012 2 жыл бұрын
TCRA ikiwezekana , Ingemchukua huyu kijana,..wakiwekeza kwake atawasaidia sana
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Wanaga muda kaxiyao kuwaweka wazee wasoakili
@youngchyna744
@youngchyna744 2 жыл бұрын
Hizi ndo habari za kutuletea sio za kina gig money
@nurumwenkale3387
@nurumwenkale3387 2 жыл бұрын
Dah! Magu angekuwepo Leo hii ungesha kua mbali r I p magu hakika vijana tutakukumbuka
@mrambabashim3571
@mrambabashim3571 2 жыл бұрын
sasa apa magu anakujaje
@nurumwenkale3387
@nurumwenkale3387 2 жыл бұрын
@@mrambabashim3571 angeona na huenda angeitwa ikulu kma wale waliobuni umeme njombe
@richardlucas2275
@richardlucas2275 2 жыл бұрын
Pikipiki amegundua enzi zake. Vip hapo?
@fahamujames8003
@fahamujames8003 2 жыл бұрын
Mbona kipindi anatengeneza pikipiki magu alikuwepo
@TUnech7
@TUnech7 2 жыл бұрын
@@fahamujames8003 na ndio kipindi alienda veta @magu ni kiongozi aliopendwa na wengi
@kalokazakibadeni2938
@kalokazakibadeni2938 2 жыл бұрын
Unyama Mzee kigoma vipaji ni noma
@georgekimaro8455
@georgekimaro8455 2 жыл бұрын
Zanzibar kuna Mzee anakaa makunduchi nae kaunda station yake hivyo hivyo fanya mpango mirlad ayo mumtembelee
@AliMohammed-lx7ys
@AliMohammed-lx7ys 2 жыл бұрын
Mzanibar mwenzangu ww nilikuwa nasuburi kuona coment kama hiyo nilishawahi kusikia hiyo sikupingi kk ni kweli
@achieversKENYA2
@achieversKENYA2 2 жыл бұрын
I appricaite my question is where did you get the frequency.........(?)
@janethjackson7704
@janethjackson7704 2 жыл бұрын
"I converted the radio instead of receiving the frequency it send the frequency" he said. This is totally true you can try this,take any mp3 player and play the music then take FM radio switch it on and search the frequency put it near the mp3 player,the music of mp3 Plyer it will play in your FM radio at a certain frequencey,nahic utakuwa umeelew bos
@aloyceooga
@aloyceooga 2 жыл бұрын
Ata kenya tumekupata sana brother keep up bro never give up
@rosemaryjanuary7146
@rosemaryjanuary7146 2 жыл бұрын
Nimeipenda hii jamani hongera sana kijana Mungu aendelee kukufanya ukue zaidi ya hapo
@necromanger272
@necromanger272 2 жыл бұрын
Wooooow magnicent brain 🧠 and talent , this young boy really need the government support to go further, tanzania 🇹🇿 government please support this wonderful talent, stay bless young man
@adbashtv6701
@adbashtv6701 2 жыл бұрын
AISEE HAPA KUNA AKILI KUBWA
From Small To Giant Pop Corn #katebrush #funny #shorts
00:17
Kate Brush
Рет қаралды 71 МЛН
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 19 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 38 МЛН
KUTANA NA KIJANA WA DARASA LA SABA ALIYEUNDA HELIKOPTA
8:38
Mwananchi Digital
Рет қаралды 384 М.
HUKUMU YA MUZIKI
19:37
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 130 М.
FM Audio Transmitter | Make Your Own Radio Station Using BC547
4:53
HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR
10:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 821 М.
From Small To Giant Pop Corn #katebrush #funny #shorts
00:17
Kate Brush
Рет қаралды 71 МЛН