Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 50
@AgripinaTesha-ys7nv2 ай бұрын
Nimetokeaa kukupendaa sanaa nyie mnao comments amjasikilizaa mpakaa mwishoo ndiomaana mna comments ujingaa aliwaambiaa amemkataa mtt au yeye alichotarajiaa sicho 🎉love g
@mamakayla66973 ай бұрын
Fanya toba ya kumkataa mtoto,asije akawa na roho ya kukataliwa,wakati kumbe huyu mtoto ni nabii wa Mungu amebeba ahadi ya Mungu na tumbo lako limepigwa muhuri na Mungu kwa ajili ya kusudi la Mungu alilobeba mwanao.❤
@efrahfarahahmed89603 ай бұрын
Pole gland ukijitoa sana kwa watu nawe wasipo jitolea kwako unaumia sana
@Teddy_jones2 ай бұрын
Mno🥹🥹🥲
@AzaAzamhmod2 ай бұрын
Hyu ndo mumeo mtarajiwa mashalah
@belyseirakoze53713 ай бұрын
Hongera mama kija❤❤❤❤❤❤ Mungu awe pamoja nawe na ujifungue slm❤❤❤❤❤❤
@aminammbaga77363 ай бұрын
Kashajifungua sikunyingi lakn
@adelnabukuku71442 ай бұрын
Yaani nimefurahi kusikia kwamba ulimuomba msamaha mtoto
@Teddy_jones2 ай бұрын
Wow Glad am happy for you,ila kuna watu washamba umu sjuw wa Tz tuna shida gan😅😅 achen ushamba kwaiyo mtu afiche tumbo ili iweje s lake lets people enjoy the moments if you can’t afford it drink water and pray a lot
@zenasalum22312 ай бұрын
Unamtetea kukaa uchi siku ya hukumu utamsadia kujibu
@StevenGiven3 ай бұрын
Usijali mama K mtoto ni baraka
@hamidabarraball31623 ай бұрын
Mtoto ni mtoto huwezi kuchagua mungu alichokujalia
@rukiaiddyyahaya95063 ай бұрын
Ilikua mimba jaman
@AdelphineUWIMANA-f3z6 күн бұрын
Mbona mnava uchi na mkona watoto tumboni?
@evakessy32823 ай бұрын
Kwani mbona nikama mnamgombania Nandi😅😅😅😅
@samiramasudi74933 ай бұрын
Hao washakua marafiki sio kama wanamhombea nandi ila urafiki wetu waschana tofaut na wanaume
@ashaali71543 ай бұрын
Zamaradi anajua kuwadhalilisha wanawake wa bongo kwa kweli na hawa wanaoitwa wasanii au celebrities ndio hawana akili kabisa utadhani hawana ubongo kwenye vichwa vyao.
@nuruabraham37692 ай бұрын
ushetani unawasumbua, mavazi gani sasa hayo.
@AzaAzamhmod2 ай бұрын
Kibibi nivp jaman mwezio kajua utaenda Wanawake sisi😂
@Malaikakisseto3 ай бұрын
Tuache kuiga ujinga kwann mnaonyesha matumbo yenu
@elizabethmwafongo78292 ай бұрын
Mimi hua sipendi kua rafiki wa rafiki yangu kabisa
@johanjoha52623 ай бұрын
Kujifunya wazungu saaana ovyo
@Teddy_jones2 ай бұрын
Em lala na wewe utafikir wew hutak kufanya hv em uko 😒😒
@nesymichael42863 ай бұрын
Nmemwona mzee shayo
@AzaAzamhmod2 ай бұрын
Hapo no ndoa,tumbo linaonyeshwaaa ka sjui nn Ila watanzania ni watumwa wa wazungu jaman KWA KUIGAA KHA UZUNGU MWINGI ULIMBUKENI TU😂😂😂😂😂😂
@nsiamasawe45782 ай бұрын
4 sure
@johanjoha52623 ай бұрын
Bya zamani
@ireneimbuhira77593 ай бұрын
Why music is like that?
@wemaMichael-fr4th3 ай бұрын
unalaana wewe ngoja mungu amchukue ndo utajua majivuno sio mazuri
@mwasitihashimu85933 ай бұрын
Mmh wewe hayo maneno vp we pia binadamu ujue...sio vzr
@jacklinechuga25693 ай бұрын
We ndo mwenye laana umeshindwa kutoka kwenye maisha ya shida unakuja kutoa laana kwenye maisha ya watu
@Teddy_jones2 ай бұрын
Huoni aibu ww dada eh shame on you msyuuuuu yan watu Maskin wana makasiriko loooh em jipepee
@MeckitilidaTushabe-or9hu2 ай бұрын
Tabia mbaya wew
@rahabumshani8671Ай бұрын
Laana iyoo utapata wewe
@Careencriss3 ай бұрын
😊❤
@salhawaziri16682 ай бұрын
Punguza kingereza maana unakichapia sana Tujifaharishe na kiswahil chetu
@vero573 ай бұрын
Sasa huyu dada ana mume kweli????? Sasa wewe mwanaume unaruhusu hii tumbo ya mwezio nje hivyo???? Wala haipendezi kabisa, !!!! 😮😮😮😮
@tiffahdangote75483 ай бұрын
Sasa ww glad ulikua unataka mtt wa kike wakati mstari tu unauona umeenda mpaka kwenye kifua jaman, au kutuektia....eti meliaaaaa 😂😂😂😂😂😂ila mi nakupenda tu
@fatmazullu49333 ай бұрын
Sasa yuko wapi huyo baba moto kama si huyo!
@stellaMwakatulie3 ай бұрын
Piri unajeuli ujui kuongea uwezi mwita mtu kama Ami bibi😢