Kikwete akumbushia ukaribu wake na Manji, akumbushia misukosuko iliwahi kumkuta Manji

  Рет қаралды 49,057

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

“Baba yake Mehbub Manji ndiye alikuwa rafiki yangu” maneno ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete akisimulia ukaribu wake na aliyekuwa Mfadhili na Mwenyekiti wa zamani wa Yanga SC, marehemu Yusuf Manji.
Kikwete anasema Yusuf Manji alikuwa ni kama mwanae kutokana na ukaribu aliokuwa nao yeye na baba yake Mehbub Manji.
Rais huyo mstaafu wa Tanzania amesimulia pia namna Yusuf Manji alivyokuwa akimshirikisha nyakti za misukosuko na yeye alikuwa akimtuliza.
Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
#Dua #MaishaYaManji #YusufManji

Пікірлер: 46
@nuhuallyzsung
@nuhuallyzsung 7 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa hakika wew ni muungwana sana! Sijui chalamila anajiskiaje na kauli yake ila anatukumbusha tukipewa dhamana tusijisahau tukatoa Siri za serikali au watu wengine
@lindatogether
@lindatogether 7 ай бұрын
Very humble man. Live long Jakaya
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 7 ай бұрын
Tunakutakia maisha marefu baba yetu Dr jakaya kikwete Rais mstaafu Umejaa hekima busara itoshe kusema asante baba
@RajabJr-r6y
@RajabJr-r6y 7 ай бұрын
Congratution former president kikwete always I do apreciate him long live mr ,you live with all people friendly .
@stn4873
@stn4873 7 ай бұрын
Miraji Mrisho Kikwete sio mtu wa camera ni mtu wa juu kwa juu yani😂😂😂
@Coffted
@Coffted 7 ай бұрын
Chakaram sana
@stn4873
@stn4873 7 ай бұрын
@@Coffted Since wayback.
@RamadhaniAyubu-nv5qz
@RamadhaniAyubu-nv5qz 7 ай бұрын
Mzee hongera sana umelea wengi
@OmariZayo
@OmariZayo 7 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu jakaya
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv 7 ай бұрын
Duuu dunia inamengi sana
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 7 ай бұрын
Hongera sana
@shabanrufumbo3701
@shabanrufumbo3701 7 ай бұрын
daaah mzeee yupo real sana muungwana sana
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 7 ай бұрын
hana uungwana wowote so called mwanae amekaa jela mwaka mzima hakwenda kumuona hata siku moja
@AndrewMtweve-pm7gl
@AndrewMtweve-pm7gl 7 ай бұрын
Stori nzuri japo ya kuskitishaaaa
@RahimhalmasRahimhalmas
@RahimhalmasRahimhalmas 7 ай бұрын
Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr
@samgaya
@samgaya 7 ай бұрын
Jk yuko humble sana
@lindatogether
@lindatogether 7 ай бұрын
Sana
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 7 ай бұрын
Kumbe alikuwa anauwa vijana na madawa kwakuwa alikabidhiwa ngao kumbe!tushukuru kwakuwa mwazi
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 7 ай бұрын
Poleni sana familia
@hassanimlacha8479
@hassanimlacha8479 7 ай бұрын
Wakaloleni Moshi tz aksante jambo Tanzania nimeamka nanyi niipe pole familia iliyopoteza Yusuphu manji kwakweli poleni mno aksante jambo tz
@DM_15
@DM_15 6 ай бұрын
Ooh kumbe alikua bado kojana kbsa
@ZulekhaBaksh-ii4fk
@ZulekhaBaksh-ii4fk 7 ай бұрын
Innalillah wainna ilayhi Rajuun
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 7 ай бұрын
Allah amsamehe makosa yake aliyofanya kwa siri na dhahiri amfanye wepesi ktk safari ammyn yaraby
@ShaniaKing-o5d
@ShaniaKing-o5d 7 ай бұрын
Amiiin
@IbrahimElly-p5c
@IbrahimElly-p5c 6 ай бұрын
Pesa hziokoi maisha
@FatumaSaid-t4r
@FatumaSaid-t4r 7 ай бұрын
Allahumma Ameen
@raphaelondego7703
@raphaelondego7703 7 ай бұрын
Mbona hakujimwambafy!!, wakati ule, siku kujenga ikulu, sg, mwendo kasi, msukosuko wa manji, pia hata cocoa beach😂
@leokamil6284
@leokamil6284 7 ай бұрын
Kufa usifiwe ndugu, aliteseka sana bila sababu Mungu ampumzishe kwa Amani
@RamadhaniAyubu-nv5qz
@RamadhaniAyubu-nv5qz 7 ай бұрын
Makubwaaa
@abednego3876
@abednego3876 7 ай бұрын
Raisi wa matajiri bwn.
@georgesolos344
@georgesolos344 7 ай бұрын
Pesa zako umeficha sana upande huo, business zake wewe ulikuwa nyuma yake. Pesa alizokopà kwenye mabenki na kukimbilia Marekani, mpaka Samia alilalamika sana.
@edithamboya5016
@edithamboya5016 7 ай бұрын
We ungekataa? Punguza makasiriko !!
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 ай бұрын
​@@edithamboya5016 Kikwete no baba yako au kujipendekeza
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 7 ай бұрын
Pumzika kwa amani mtani wetu wa jadi.
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 7 ай бұрын
😢😢
@denismasele4130
@denismasele4130 7 ай бұрын
Kuna comment naitafta siioni😢
@maylusasi1239
@maylusasi1239 7 ай бұрын
Chakaramu sana 😂😂😂
@hilarymark7583
@hilarymark7583 7 ай бұрын
Mehbub wewe utaweza kuvaa vizuri viatu vya mzee wako. Inaonekana kijana Muungwana kabisa
@IbrahimElly-p5c
@IbrahimElly-p5c 6 ай бұрын
Wote cc tunaend huk hko magu alikoenda hajlish una pesa kiasi gn
@njemamehuna9821
@njemamehuna9821 7 ай бұрын
Hapo ndo utaelewa kwa nini Manji alikuwa mfadhili wa Yanga na sasa hiyo kazi anafanya GSM
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 7 ай бұрын
Mbona ya madawa husemi?
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 ай бұрын
👍✌️🙏
@gaspermatovu2899
@gaspermatovu2899 7 ай бұрын
Yusufu rafiki wa MIRAJI!!!!! Yusufu papa wa hadaway ya ...... Ndege wa ranging moja hutembea pamoja. Za mbayuwayu changing na zako.
@ShabaniSudi-d1x
@ShabaniSudi-d1x 7 ай бұрын
Kwenye utawala wako ufisadi ulizidi nchini ccm ilikaribia kufa mikononi mwako, wagonjwa walilazwa chini hospitalini lakini wewe ni kupanda ndege kila wakati. Halafu marafiki zako mbona ni wapigaji kama rostam aziz.
@JoshuaSabu-r2p
@JoshuaSabu-r2p 7 ай бұрын
Unaushahid ndg
@RahimhalmasRahimhalmas
@RahimhalmasRahimhalmas 7 ай бұрын
Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr
Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga
9:02
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
ON AIR: Mshahara wa kwanza wa Waziri January Makamba mwaka 94
26:39
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН