Kiswahili zaidi Jamaa ni mkweli sanananana Bibi alikua muuza gongo na yote yanayohusu Barikiwa sana mkuu
@fullvictorytz45972 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤y
@khadejakhadeja97132 ай бұрын
Mbona. Sasa .husaidii.shule za Tanga .mjini. GARANOSI.na.MASIWANI..inaanguka..wasaidie. muheshimiwa.
@PhilkevinFelix6 ай бұрын
Kaanza kazi na miaka 20? Rudi nyuma JKT mwaka mmoja, kidato cha tano na sita miaka miwili, kidato cha kwanza hadi cha nne miaka minne, miaka saba ya shule ya msingi jumla miaka minne. Tufanye alianza darasa la kwanza na miaka sita na hakukariri darasa. Kama alianza 1981 ina maana alianza na miaka 7 kuna gap ya mwaka mmoja. Tuwe waangalifu kwa sababu hii ni kumbukumbu na haitoweza kuwa altered kote inakopita hasa kwa mtu mwenye matazamio.
@theodorychristopher47955 жыл бұрын
Wewe ulisoma kitajiri sisi tulisoma bila viatu, lubisi gongo pombe zilitusomesha.
@zenamshana68525 жыл бұрын
Aisee umetoka mbali kaka usikatae tamaa zote zinazotokea ktk maisha nichangamoto ila mm naamini utafika mbali sana sababu unafaham maisha halisi ya mtanzania
@ROBERTMAXIMILIAN2 ай бұрын
Inspirational interview
@aloycemwakatala26346 жыл бұрын
OK brother nimekusoma
@deograsiamgeni57165 жыл бұрын
Sure God will reward you for that service to the old religious monks
@IDRISMKWlNDA5 ай бұрын
Kwa namna yoyote baada ya Mama wetu kipenzi Dr Samia Suluhu Hassan kumaliza muda wake wewe gombea urais tutakupa
@AmoniMiyami2 ай бұрын
Huna lolote mwizi kichefuchefu tu washirikina wenzio ndio wanao kupaisha tu ile awamu ya mapigo takatifu kaeni sasa na baba ako wa kambo mle jasho la wanyonge.
@enocksumbamhuli11255 жыл бұрын
Hongera kwa ufafanuzi mzuri bro ,hata ule utata wa jina Bashite ulikuwa unatakiwa uwe wa wazi kama huu.
@JeremiahMwalukosya-eh5nfАй бұрын
Ulikuwa unatutesa na umeme kumbe unayajua maisha ya kawaida ya mtanzania ila mwafrica nimwafrica tu akili nindogo sana anawaza uwizi tu ndo anachojua kwenye uongozi
@AlphonceMbassah2 ай бұрын
Province ya makamba Kuna wilaya ya mabanda,nyanzarake unapitia kumugina
@mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын
Now nimeelewa kwa nn unabehave ulivyo,daa Kuna kitu umekibeba Broo One day utakuja kuwa mtu mkubwa zaidi ya hapo
@Jean-fruit-t6nАй бұрын
Hey..... napenda saaaana . NGO gani ulitumikia ??
@elifurahastanley21646 жыл бұрын
MUNGU NI MWEMA, JANUARI MAKAMBA AMEUZA GONGO NA BIBI YAKE, LEO HII NI WAZIRI. DAAH, MUNGU NI MWEMA
@TheSalma19996 жыл бұрын
Elifuraha Stanley duh we have something in common hata sisi tulipelekwa kwa bibi kilosa kweli Mungu ni mwema
@MajaBalole2 ай бұрын
Tatizo comments za babake wazuri hawafi je baba yk na make hwajafakm wamekufa walikuwa wake wabaya au wazuri makamba Yusuf ulikosea cha kusikitiisha hukuomba msamaha
@ابوأزهدالليثي5 жыл бұрын
Ok ... Bila ya hizi interview unaweza kumdharau mtu SALUTE TO U ...
@aishathabit37325 ай бұрын
#mh! Mwaka 2000 babako amesha kuwa mkuu wa mkoa halafu unatuambia hakuna uliye kuwa unamjua serikalini?
@meriannamorris86235 жыл бұрын
January kumbe maisha unayajua sana.aise mtu asiyekujua hawezi amini.Umeishi maisha yote,hongera sana mh.Tuna cha kujifunza toka kwako.
@GeorgeSagumo2 ай бұрын
Chama kimewatoa mbali nasasa unapigania uprzdaa
@mamachris68115 жыл бұрын
Singida ina historia ndefu kwa viongozi na watu wengi maarufu.
@OscarAsukenie2 ай бұрын
Mko na muheshiwa halafu umeme unakatika?🤣🤣🤣
@ramadhanibakar6 ай бұрын
Huna mpango jimbo la mbumbuli limekushinda
@noelnoel49162 ай бұрын
Nimependa life history yake
@fintaniferx95355 жыл бұрын
Umeni toa machozi maisha yako kama yangu ila mi si kupata bahat ya kusoma ata dalasa moja mama alikufa nikiwa mtoto sana baba nae akuwa na ela ata mia kwaiyo sikupelekawa shule kabisa bwana mungu uwalisha ndege wakati awalimi wala awana gala lakini uwalisha kwetu kamachum bukoba kagera sija wai kumwombea MTU kitu na asikifanikiwe ivo kaka j kuna2 mungu ata kitenda kizuli sana tuwe pamoja katika maombi ukija kulala shukulu na ukiamka omba maombi mafupi
@abdikoroa55275 жыл бұрын
January hongera. hata mtoto uliemzaa sikumoja anaweza akakukataa baba yake. kwaiyo hongera kwa ukomavu wa siasa. hii ndio demokursia ya nchi yetu
@bernardnyoni39275 жыл бұрын
January,you life story is very interesting. But keep quite now.
@carlosmdemu48406 жыл бұрын
HAYA MAJIBIZANO NI HAMASA YA KIPEKEE KWA VIJANA, MH JANUARY MAKAMBA NI MFANO WA KUIGWA NA KILA MMOJA WETU. HAKIKA NI HAZINA KUBWA YA UONGOZI KWA TAIFA LETU. MUNGU AKUSIMAMIE KATIKA SAFARI HII.
@IDRISMKWlNDA5 ай бұрын
Ndiyo maana wapumbavu wanakuchukia
@Crownvalz5 жыл бұрын
This is my next President 2025 Sifuti comment ili ikifika mpate ushahidi....
@japhetmalahuleokilangi98725 жыл бұрын
Thubutuuu!!! Akiwa Prezda Ntakunya Mavi Mafungu Mafungu Kuanzia Dar Mpaka Moro
@muzamiluabdallah95113 жыл бұрын
Big up mzee makamba katuretea msomi bumbuli mahezanguru oyeeee
Dah inasisimua sana lkn imekujenga kuwa kiongoz mwenye nidhamu..!!! Pia Mkapa Mungu amjalie afya njema
@petermaonga61235 жыл бұрын
Karibu mbelei wananchi wanakusubiri
@chrispinechristian2385 жыл бұрын
nimeipenda historia yako broo
@allyabdallah29655 жыл бұрын
Daymondi
@gilbertsamuel21443 жыл бұрын
Mshahara wake wakuanza umesemwa hapa 13:08. Gonga like
@ismailamran24772 жыл бұрын
Historia ya Maisha yako inafundisha ,Hamasisha,Leta funzo ... Leo nimekufutilia wewe na baba yako na Mzee wetu mzee Makamba. Kwa hakika nimejifunza Mengi Sana.
@elipidtesha54663 жыл бұрын
Very good inspiring story never give up.men and women life is about fighting infact.ever one of us do meet the same life .Now mr makamva should prepare himself for .a ledership.position of high position in the next coming years ahead as he know the real day yo day life of common citizen
@nathanpangjanda27346 ай бұрын
Mwizi tu huyu ndio hanautaka huraisi
@thebmcblackmiccatcher39495 ай бұрын
Father alikuwa na kipato lkn hujataja mahala alipofadhili chochote kitu ukiwa chuo, siasa nzuri sana
@margarethsolomon98235 жыл бұрын
Oooh! Mamako nimesoma naye masomo.ya juu ya uuguzi afya jamii huko Tanga Korogwe. Namfahamu vizuri sana.
@castonkya36485 жыл бұрын
Kijanaaaa VP
@abdallahjuma89685 жыл бұрын
Margareth Solomon Hata mimi nakufahamu😂
@localguidetanzania17495 ай бұрын
Lubisi vp mheshimiwa ni tamu
@pastorstevenmdoe51435 жыл бұрын
Dah story nzr sana mkuu, hakika unastahili pongezi
@emmanuelkasoga32515 жыл бұрын
Nilifikiri amekulia pizza na baga kumbe ni mtu aliekulia maisha ya kawaida big up brother Makamba
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Emmanuel huyo mbona hajasema kama kasomea morogoro pia muulize musiba atakupa data zake zote
@florianhenry71983 жыл бұрын
Kwa elim yako na ukawa WAZIRI WA NISHATI JAMEN ......... KWA ELIM YAKO HUJUI HATA UMEME UNAZALOSHWAJE DUNIA HII TUPO MBADALA KABISA
@samuelmmassa72135 жыл бұрын
hongera sana mh january makamba kumbe ulitugawia chakula kambini safi sana wakati huo nilikua na miaka 8
@naomifrank34115 жыл бұрын
Samuel M'mass
@mashakakasanga21753 жыл бұрын
Nimeamini mwenye nacho huongezewa yaani ulilipwa DOLLAR 2000 ×Tsh.2300=4,600,000/= nahapo ilikuwa mwaka 1996 :""Nakuzi umetoka kuteuliwa kuwa waziri wa NISHATI
@abdulkuluwia65255 жыл бұрын
Babaako kakuponza
@MegaMtanzania6 жыл бұрын
Unatisha sana Brother Makamba!Sala za Makasisi uliowatizama miaka miwili zitakulinda Daima milele na milele.Amina
@nanubob19696 ай бұрын
Ana roho kama ya paka? Licha ya kudhihirika kwa uwazi kabisa kuwa hapendwi na watu bado anajing'ang'aniza ku-aspire kuwa kiongozi mkuu? No please!!!
@martonsemuguruka12765 ай бұрын
Umetusaidia kumjua kwa sehemu Mhesh January. Endelea kutujuza. Mwishowe umuulize kuhusu kichwa kukosa nywele.
@aronjoseph47395 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 akafanta
@omaryirro92855 ай бұрын
Waliozaliwa Singida wewe Makamba Ridhiwani Nape Mwigulu Mo Diweji Ongezea viongozi wengine
@janegeogre32345 жыл бұрын
Hongera sana king'ang'anizi!... hata biblia inatufundisha kung'ang'ania! tazama Yakobo alimganda malaika kulipokaribia kukucha hadi akambariki! SURE NEVER GIVE UP!!!..
@alhabibhamis35995 жыл бұрын
daaaah kumb ulisoma HGE nakubali sanaaa NIPE LIKE ZAKO UTAYEISOMA COMMENT HII
@heraldloshi18645 жыл бұрын
GOD is great.Cha muhimu maishani,ni mtu asikate tamaa haraka maishani.Moral lesson,it pays to be stubborn/pushy in life.Asante sana for sharing this inspiring story.
@elishajeremiah8240 Жыл бұрын
ndio mheshimiwe... nina imanı kwa hayo uliopitia... utawatumikia wananchi vizuri..
@jamalomalisaid7150Ай бұрын
JAMALI OMARI
@hassanhassan11845 жыл бұрын
Maduka ya ushirikaa January na malorry ya Nmc nakumbuka Sanaa nikiwa Korogwe
@johnmkenga43405 жыл бұрын
Hassan Hassan duuuu
@colemanandrew90626 жыл бұрын
Voice ya kitangazaji broo
@kiluviasamia63285 жыл бұрын
Masha Allah historia yako inasktsha sana na inavutia .Allah atakuongoza
@janegeogre32345 жыл бұрын
ubarikiwe sana kwa kuwatunza wazee Mungu akubariki jmm January! uwe na maisha marefu sana kaka!
@EdwardJohn-ri2gk6 ай бұрын
Safi sana,Kwa kweli unastahili kuwa zaidi na vivyo ulivyo saidiwa nawe saidia wahitaji waloko shule/vyuo wasio na uhakika wa Ada na meals
@ludovickshiganga8133Ай бұрын
Brother naongea maisha ya kweli ya villager nakumbusha mabali sana vitu vingi ongera sana brother
@margarethbilinga61675 жыл бұрын
Historia nzuri sana yenye mafunzo
@fikirmabula96656 жыл бұрын
dah.. safi sana broo nimeipenda history yako
@pascarmwatosya58555 жыл бұрын
Safi uko vizuri
@mariammtiniko21775 жыл бұрын
kama umesikia eeeeee nyingi like
@juliusjohn94535 жыл бұрын
Quite interesting. Mungu akuimarishe, akuongoze katika Njia yako
@edenezekiel57155 жыл бұрын
Hapo Makamba....??? baba yako alikuwa mtumishi .kada mzoefu wa chama ndio maana umekwenda kihivyo. angekuwa mvuja jasho.......asingeyaweza hayo....acha tuu mshukuru Mungu...si vibaya ukaa kimya. nafikiri wakati huu ni wakati sasa mwingine .zamu ya wengine kwa hawamu hii.
@andrewbaluhya40895 жыл бұрын
Historia nzuri ya maisha yako kiongozi wetu,haina kona kona kabisa.Unastahili kabisa kuwa kiongozi ktk nchi yetu. I SALUTE TO YOU.
Kupiga upande mbona ndo maisha tumeishi???? Bora we ulikuwa na viatu. Sie wengine tulipiga umande bila viatu. Yaani wewe unajua maisha haswaaa. Hadi rubisi uaijua😁😁😁
@japhetmombia5 жыл бұрын
Nimependa sana historia yako Mr.Hon
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Japheti hata kama umeipenda historia yake kachukua pesa za nssf arudishe wastaafu wanakosa haki zao
@majirdmasare22366 жыл бұрын
safi sana stori hii imenikumbusha mbali sana
@pungopungo4113 жыл бұрын
Yote hayo ya nini broo mkitujulisha mishahara yenu itatusaidia nini sisi walala hoi au tunafundiswa nini hatuhitaji kujua mnachopata tunachohitaji kazi iendelee .ili tuweze kwenda kutafuta hilo bamia kwa amani tunawaombea mapolisi wetu wanaohakikisha tunalala kwa amani
@JohnsonBagambi2 ай бұрын
Ankoooo👍👍👍👍
@mohammednassor30812 жыл бұрын
Mashaallah una historia ya ujasiri mkubwa na mimi nlikuwa nasikia makamba lakini nitafauti nlivokuwa nafikiria kwani nilijua ni mzee lakini mashaallah kijana nasaha yangu ningekushauri ubadilishe dini toka ukristo kwenda uislam nakuhakikishia utaipamba vizuri zaidi historia yako
@ezekieljacob57956 ай бұрын
Acha ukabila wewe ndiye ubadili
@MtuSafi5 ай бұрын
kwani ni mkristo huyu si Islamic?
@maselejacob83705 жыл бұрын
Tunaomba iendelee part 2
@SalimuMakono5 ай бұрын
Salimu makono
@costantineernest7454 жыл бұрын
Nakupenda makamba
@benedictmuhiri4 ай бұрын
🎉
@valentinemtei29276 жыл бұрын
kumbe kuanzishia nursening hom ya kibongo tumechelewa tu, Ni dharau?
@fredyleonardmaths25466 жыл бұрын
watu kama hawa ndo wa kupewa nchi sasa
@suzanakoroti10986 жыл бұрын
Mh hongera sana nimekukubali, mimi nilienda shule bila viatu nilisoma kwa kilimo cha tumbaku
@peterantony58905 ай бұрын
Mwaka 1995 baba yako alikuwa mkuu wa mkoa wa Kigoma,nadhani ndiye aliyekuunganisha kufanya kazi katika kambi ya wakimbizi.
@drkalokola58616 ай бұрын
Uongo. Galonos aligushi mitihani ya form IV akafutiwa majibu ya mtihani ya form IV.
@Mumewangu6 ай бұрын
Wewe usie foji umefika wap
@tabuselemani68695 жыл бұрын
huyu kaka mstarabu sana yani hata ongea yake ni nzuri sana mungu akulinde kila pande broo
@luluamri3705 жыл бұрын
Huyu gaidi🙄
@josephmkodo85382 жыл бұрын
Safi muheshimiwa lkn hii inatuonesha kua nidhahiri gongo imewalea wengi
@hamamtv465 жыл бұрын
Good story mkuu
@abdallahjarufu56382 ай бұрын
EQ re
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Umelipa pesa za nssf ulizochukua za wastaafu wanakosa haki zao hujui hatutaki longo longo zako
@longinokamuntu14315 жыл бұрын
Umejifunza maisha ya Bk kweli nimecheka sana sana
@martinkigua86272 жыл бұрын
Nonsense
@msangazimsangazipapaandomb87615 жыл бұрын
Duh, Masiwani Tanga karibu na Nyinda Bar.
@shadiamaharoq7065 жыл бұрын
Mashallah hongera januwari umetoka mbali
@festohisaya39635 жыл бұрын
Makaba nimekukubari siwegine abao wamejaa matusi viywanimwao natamani kuoba naww karibu bukoba nikuguse nipoke kama iyo ekima.
@samkanju24675 жыл бұрын
BG up kwake bt alikua na hope coz njia ilkua imefyekwa tayali. Wengine wamekwama coz hakuna wa kuwasafishia njia....!!
Aisee Comrade January, umenikumbusha mbali sana maisha ya miaka 80, kusubiri mgao wa sukari na chumvi, kuuza pombe , kuchunga etc. Very interesting history. Muhimu umefanikiwa kumwenzi baba yako Mzee Yusufu Makamba.
@formelakanyika2336 ай бұрын
P
@DadialiDadi6 ай бұрын
😂😂😂😂 gongo na ulanz navikumbukaa sanaa mpwpwaaaa😅😅😅
@charlesmihuwa62873 жыл бұрын
Big up Muheshimiwa unafaa kuongoza kwangu sababu kubwa unaijuwa nchi yako vizuri na unajuwa matatizo yetu Watanzania vizuri. All the best
@SamwelSimon-tf6oo2 ай бұрын
Hana lolote
@nzigecharles52796 ай бұрын
MAKAMBA HA HAJAZUNGUMZIA MAISHA BABA YAKE AKIWA MKUU WA WILAYA KASULU, NA KULE DODOMA MAKAO MAKUU MPAKA KUWA MKUU WA MKOA KGM TENA
@kiramaanyonya68863 жыл бұрын
HONGERA SANA MH HISTORIA YA KUSISIMUA MUNGU AZIDI KUTUBARIKI NIMEJIFUNZA VINGI HAPO .MILARD AYO HONGERA
@bhokemwita85853 жыл бұрын
Kumbe umehaso maisha bro, Mungu akusaidie wewe ni mpambanaji