👉Kilimo cha maharage aina ya Soya kina faida kubwa. Fuatilia somo hili kwa mtaji wa Tsh. 667, 000 upate faifa ya 3, 083, 000 ndani ya miezi 4/5 katika heka 1.
Пікірлер: 137
@MajutoAbdul14 күн бұрын
HABARI,Nimefurahishwa sana kwa elimu ya kilimo biashara cha MAARAGWE...GOOD JOB...THANKS AND GOD BLESS YOU....Asante.
@AGALUSTV14 күн бұрын
Amen 🙏🏿 Same too
@MagenLucas5 ай бұрын
Njinsiya upandaji nzuri WA maharage
@AGALUSTV5 ай бұрын
Fuatilila video za upandaji wa maharage
@erickclaudio2978 Жыл бұрын
Ahsante ndg kwa post zako za faida,naomba kujua hayo maharage ya soya yanafananaje.
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ya njano
@majabangili1779 Жыл бұрын
Axant xan kwa kutuelimisha kuhux kilimo
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@user-br3sc8bm4t3 жыл бұрын
Asante sana ubarikiwe ila nungependa kujua kilimo hiki kinategemea mvua au umwagiliaji maana nimeona Kama shamba liko ktk mwinuko kidogo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kote kote kina kubali umwagiliaji na mvua pia🙏
@jumakibe5032 Жыл бұрын
Makala nzuri lakn natoaushauri kupunguza kengere zenu. Mnamtoa mtu kwenye mood.
@AGALUSTV Жыл бұрын
Asante ndugu✍️🤝
@rinaamour1796 Жыл бұрын
Yani mi nimeacha kuangalia sababu ya hio kengere it’s annoying
@AGALUSTV Жыл бұрын
Very sorry ndugu. Tutajihidi kurekebisha Hilo tatzo na tuna haidi kwa video zingine halitatokea🙏🏿🤝✍️
@Shaksi4345 ай бұрын
Wanaboa Sanna
@AGALUSTV5 ай бұрын
Samahani ndugu 🙏🏿 ✍️ 🤝
@janethsevin3336 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri nime be inspired kwa kweli 🙏
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu ndugu
@julianaboniphace73519 ай бұрын
0 Ip
@AGALUSTV9 ай бұрын
Nini ndugu
@rechoshop4094Ай бұрын
Nashukuru
@AGALUSTVАй бұрын
Tupo pamoja ndugu
@AGALUSTVАй бұрын
Tupo PAMOJA NDUGU
@OmarkhamisOmar-cj2qz Жыл бұрын
🎉kpindi gani cha kilimo hichi bwanna shamba naona umesahau kutuambiy
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mvua zinapo isha TU tunapanda maharage yaani unyevu nyevu uwepo shamba
@morrismwita88682 жыл бұрын
Kilimo cha maharage aina ya Soya kina faida kubwa. Fuatilia somo hili kwa mtaji wa Tsh. 667, 000 upate faifa ya 3, 083, 000 ndani ya miezi 4/5 katika heka 1. ---------------------------------------------------------- ___ hesabu hiyo hapo juu unaifikiaje ?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Umejieleza kwa vdeo
@adamjumbe43903 жыл бұрын
Je mbolea ya supergro Haifai kwa maharage!nakamainafaa nipe faida yake tafadhali
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Sorry. Naomba ukamwone mtaalam au wakala wa izo mbolea anaweza akawa na mengi. Ya kukwambia🙏🙏🙏 kwa zaidi nichek 0786097274
@deogratiusyudatadei56586 ай бұрын
Kilimo cha daftari 😂😂😂😂 hicho ingia shambani ndiyo utajua kuwa kilimo kinasemaje
@AGALUSTV6 ай бұрын
Ok
@user13375 Жыл бұрын
Kengere inakeraaaaaaaaa,kuweni wasomi
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sory mkuu tujajitahidi
@RamadhanNgereza-md2sq10 ай бұрын
habar ;naomb nijue faida ya kufungasha na kuyaweka store maharage ipoje
@AGALUSTV10 ай бұрын
Ni pale utakapo kua unasubiri soko la maharage Lipande
Upate tu picha japo zitatofautiana kat y eneo 1 na lingine japo kidogo sana
@magrethmkoga73404 ай бұрын
Mbolea gani inafa kwa maharage
@AGALUSTV4 ай бұрын
Ya kupandia, kukuzia AU matunda. Maana zote ni muhimu so unahitaji kujua kwa ajiri y Kaz gani apo
@user-ny7bu6ur4p5 ай бұрын
Jee! Kila shimo Moja unapanda mbegu ngapi?
@AGALUSTV5 ай бұрын
2
@masoudismsil48022 жыл бұрын
Mm natakaa kujuaa mbolea yamatundaa nitumiee mboleaa ganii
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Mbolea zipo nyingi ndugu tuzitaja Majina apa Ata sehem haitatosha ila kwa ushaur muone mtaalam w kilimo aliyekaribu nawe atakwambia eneo unalolima ni mbolea gani itafaa🙏kama utaitaji msaada zaidi tuzid kuwasiliana
@vannjunior_tz99032 жыл бұрын
Namba ya simu
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Okay
@peterndella9536 Жыл бұрын
Nimejifunza kitu mbarikiwe sana
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pamoja ndugu 🙏🏿🤝✍️
@user-vb3rt3ln9cАй бұрын
Kigoma vijijin hasa wilaya ya uvinza watu wakilima heka akipata sana ni gunia tatu tu
@AGALUSTVАй бұрын
Poleni Sana ndugu. Anza kulima kilimo bora
@chalaboys1752 жыл бұрын
Upandaji cm ngp mche hd mche?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Sm13/15 kwa sm 50/70
@bettysetty45679 ай бұрын
Mkoa wa mara kilimo hichi kinakubali?maana ni ardhi ya mchanga
@AGALUSTV9 ай бұрын
Inakubali vzur tu
@gracebenjamin6564 Жыл бұрын
Tunaomba majina ya mbolea za viwandani
@AGALUSTV Жыл бұрын
ZA kupandia au
@rosesesala9131 Жыл бұрын
Nimelima heka 2 ngoja niangalie faida Kama itakuwa nzurii
@AGALUSTV Жыл бұрын
Baraka za Mungu ziwe ktk Kaz yako🙏🏿✍️🔥
@isaimlongesanga62032 жыл бұрын
Vipimo vya upandaji shimo hadi shimo ni cm ngapi?na mstari hadi mstari ni cm ngapi?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Sm 10 hadi 15 shimo kwa shimo na sm30hadi 45 mstari kwa mstari
@joycenchimbi98922 жыл бұрын
Je kilimo cha soya tunatumia mbolea?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ndyo Zina tumika ndugu
@user-je3ye8vk7m8 ай бұрын
Blaza inakuaje man. Ivi kwa Tanzania wapi panafaa zaidi kwa mtu anaeanza kilomo Cha maaalage. Yani no mkoa gani kuliko wote wenye lutuba. Afu mini Tena ujue kilimo nimekikubali japo naishi town man. Niambie bloo nianze mishe
@AGALUSTV8 ай бұрын
Maharage ya nakubali tu sehemu kubwa nchini ni wewe tu hesabu zako piga
@PatrickGatabazi-oi1po Жыл бұрын
Ooooo
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu
@bennojoely3433 Жыл бұрын
vipi mbolea ya kumwagilia aka booster..
@AGALUSTV Жыл бұрын
Nzuri Sana izo
@mohdswahili72192 жыл бұрын
Naomba no ya sim
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ok
@mohdswahili72192 жыл бұрын
@@AGALUSTV nahitaji harage sio makavu yani mabichi yanatikana guniya kwa bei gani
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Tuwasiliane +255765467484 wasap na. Telegram pekee
@feychipa30543 жыл бұрын
Naomba namba zenu za simu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ok 🙏
@user-hy3qk9em3e5 ай бұрын
bolea unawekaje kwenye maharage kama ya meota
@AGALUSTV5 ай бұрын
Fuatilila video hii y upandaji w maharage kzbin.info/www/bejne/epWXdnanrqmLgZY
@salehabdallah2737 Жыл бұрын
Sawa lakin hiki kilimo kinafaa sana wap dodoma morogoro au singida au mkoa upi
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mikoa yote Kilimo hiki kinafaa
@user-mq5ly7kr8x2 ай бұрын
@@AGALUSTVNi mwezi gan unafaa kulima Maharage
@AGALUSTV2 ай бұрын
Mvua zinapo enda kuishia
@nasibubiyaka7275 Жыл бұрын
maharage yanachukua mda gani kukomaa?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Miez 3/4
@bznznbznjznz11473 жыл бұрын
Hayo mahage yanastawi zaidi sehem gani(mkoa gani)???
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Mikoa ya nyanda za juu kusini
@laurentdau7533 жыл бұрын
@@AGALUSTV napenda saana kuanziasha kilimo Cha maharage , napenda kuuliza kwamba maharage ya msimu na Yale ya kumwagilia yapi Yana faaa zaidi katika kuvuna mavuno mengi?
@laurentdau7533 жыл бұрын
@@AGALUSTV napenda saana kuanziasha kilimo Cha maharage , napenda kuuliza kwamba maharage ya msimu na Yale ya kumwagilia yapi Yana faaa zaidi katika kuvuna mavuno mengi?
@ifirooidinga-ms6ql Жыл бұрын
Nimkoa gani
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu mikoa yote zao hili linakubali
@salehabdallah2737 Жыл бұрын
Hamna namba za WhatsApp kwa maswali na masomo zaid
@AGALUSTV Жыл бұрын
Kwa sasa haipo ila soon itakuwepo 🙏🏿✍️Endelea kubak na AGALUS online TV
@goodlucksokoni19152 жыл бұрын
Naitaji namba yako mm ni mkulima
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Wasap +255765467484
@feychipa30543 жыл бұрын
Mashamba yanapatikana wapi
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Upo wapi
@gilbertmwitula28752 жыл бұрын
Kwa mkoa wa manyara au singida maharage Yale ya njano hukaa muda gan?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ngoja tufuatilie hali y hewa kw uko ipoje
@monysulloo5904 Жыл бұрын
@@AGALUSTV samahani mpendwa hivi nikipanda maharage Yale ya njano mwezi huu wa kumi na moja katikati yataweza kustawi vizuri na kuiva vizuri,? Asante nipo mkoani Arusha
@AGALUSTV Жыл бұрын
Inawezekana kabisa ila mvua sisichelewe au utakua unamwagilia?
@davidayungashukuru7870 Жыл бұрын
Aina gani mzuri ya maharage?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Maharage yote ni mazuri ndugu cjui eneo lako yapi ni mazuri zaidi
@davidayungashukuru7870 Жыл бұрын
@@AGALUSTV kuna yale ya rangi ya njano ndo yanaitwaje kitahalamu?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Ivyo ivyo maharage ya njano
@user-dy3gq3qf4h6 ай бұрын
Kulima ni,kuanzia,mwezi gani?
@AGALUSTV6 ай бұрын
Kila eneo utofautiana ila pale mvua zinapo enda kukatika tu
@user-dy3gq3qf4h6 ай бұрын
@@AGALUSTV eno TABORA,nililima,Karanga,nategemea,nikizitoa,niweke,maharage,niombe,mungu,Mandal,mwez,wa,3
@AGALUSTV6 ай бұрын
BARIKIWA SANA NDUGU
@user-dy3gq3qf4h6 ай бұрын
@@AGALUSTV Amiina Kwa sote,no, yako ya, WhatsAp, Kama nitaanza nntakutafuta unipe maelekezo zaid inshallah
@AGALUSTV6 ай бұрын
Sawa ntakutumia ndugu
@jumamseti82173 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1
@muhsinhamis1913 жыл бұрын
sawa
@obethmdeka42223 жыл бұрын
@@AGALUSTV thjt
@marianachristophory523910 ай бұрын
hii imeakaaje mbona Mimi nikilima napata gunia 5 kwa heka 1
@AGALUSTV10 ай бұрын
Pole sana ndugu mavuno hutegemea mambo mengi Sana. Rutuba shambani, mbegu uzaaji, Hali ya hewa n. K
@ShamteKisoma8 ай бұрын
Mambo
@AGALUSTV8 ай бұрын
Poa poa ndugu 🙏🏿
@rehemahramadhani34282 жыл бұрын
kaka naomba mamba zenu nakufatilia kila zao
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Tunashukuru sana Na ubarikiwe sana🙏
@rehemahramadhani34282 жыл бұрын
@@AGALUSTV kak nahitaj shamb nitapata. huk
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Mengi tena mazur sana
@asaakaim73592 жыл бұрын
Mm naomba nipatieni namba zenu Ili niweze kuuliza maswali elimu nzuri sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
+255765467484 wasp tu
@azilathabdul15578 ай бұрын
Mimi niko kagera napenda sana kilimo na mungu akipenda mwaka ujao nataka nijaribu na mm maharage na mahindi kwenye shamba moja itawezekana? Na je una group la WhatsApp
@AGALUSTV8 ай бұрын
Karibu Sana ktk kilimo. Kwa kilimo chenye tija si vizuri kupanda ayo Mazao mawili ktk shamba 1 maana maharage ya nahitaji Sana Mwanga w jua so itakua ngumu. Pia mahindi ya nahitaji Sana rutuba. Labda uhakikishe shamba lako Lina rutuba y kutosha. Ila kwa kulima kwa lengo la kupata ugali na mboga tu waweza fanya hivyo. Group hatuna bado tunatafuta njia nzuri ya kuliendesha group. Ukiwa na shida waweza ku comment tu AU ukitingwa Sana ntakutumia namba y wasap
@azilathabdul15578 ай бұрын
Ahsante sana. Kwa mm ninaeanza ni vzr ninunue shamba au nikodishe kwanza? Nipo Bukoba Ila nataka kutafuta shamba karagwe kama unapafaham au unamtu unamjua unaweza kuniunganisha nae
Kuna maharage yakumwagilia nakunamaharage yanayotegemea mvua Sasa unasemahayahitaji mvua nyingi Sana ndo nauliza mfano sehemu mvua zinaanza mwezi WA 12 zinakata kuanzia wanne hadi watano Sasa hapa inabidi nipande mwezi wangapi ili kuepukamvua nyingi