MashaAllah 🙏🙏🙏🙏ukimtanguliza Mungu atakuinua in the most unexpected way.
@EmmanueliZani-ur9bi4 ай бұрын
Hiyo kazi inafaa sana. Asante.
@HillaryMachano4 ай бұрын
Huyu ndo DC Sasa sio yule tunamuona ktk mbio za mwenge tu👏👏🤝
@MoinaminaAmina-qh1jb2 ай бұрын
Hongereni kina mama na vijana kwa juhudi ya mnao zifanya kwa kutafuta hela kwa uhalali najasho kuliko kufuatilia mashetani ya maframason kwa kutafuta. utajiri washetani bila kutoka jasho
@japhetlinus38914 ай бұрын
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@ndukulusudikucho_4 ай бұрын
kaeni tu mjini na kupiga mizinga ya MB kufuatilia Umbea mitandaoni, fursa ziko nyingi huku shambani
@deborahlouis833615 күн бұрын
I’m very interested to start please, I need your contact, nataka kujuwa zaid vipi naweza kujihunga na vipi naweza kupata begu hizo please
@millanjunior735629 күн бұрын
Watu wengine huwa wapo negative Kila siku kama umepigwa hasara basi hukufuata instructions ndo maana mnafeli fata maelezoya watalaamu na hata Leo hii mkapewa eneo mlime watu wawili lazima hata mavuno yatofautiane Sasa hapa jiulize kwann
@rehemaothuman37642 ай бұрын
Tunapataje namba za wausika amcosi au madame hapo
@VerdianaJohakim4 ай бұрын
Hyo ni kwelii jamanii ukikifuatilia vemaa inatoa Sana hyoo
@mariamsemwa2264 ай бұрын
Hapa tumepigwa nakitu kizito kwa eka moja milion 8 😂🙌nabei zenyewe hazielewekagi
@FatumaMohamedi-t6t4 ай бұрын
Labda Mungu alitaka tu kumuinua kiumbe wake angalau kidogo kwa hiyo akamuonyesha hiyo neema
@MamodelPark4 ай бұрын
Jaribu kuwa na mawazo chanya. mwenyew kashakwambia faida yake ndo iyo! ww ulokaa nyumbn kwako unataka ubishane nae. Aya endelea kusema wamekupiga
@OchoaHomeDecor_3 ай бұрын
Hayo ni mawazo mgando Mtu alie shambani anakwambia uhalisia na unakataa Unataka tukuamini wewe uliekuwa youtube... Hilo ni tatizo Hata ukipata milioni 3 kwa hekari moja kama ukilima hekari 10 tayari una milioni 30 Shida iko wapi?
@MwanjiNzala-mo5ni2 ай бұрын
Sijui.hiyo.ekari. imetoa. Gunia.300 labda
@DominicKani-ri9le4 ай бұрын
Rorya BBT mumefika wajameni wengine tuko tayari.ugumu ni mkuu wetu wa wilaya usani umezidi mama president mbadilishe hakumfai huku mpereke mjini
@sir_ENOCKMACHA4 ай бұрын
Mkuu wenu wa wilaya ni nani
@sharifamsuri4 ай бұрын
hicho kiazi kinachukua muda gani kuanzia kupandwa hadi kuvuna?
@AizackKalenge-ro5rc2 ай бұрын
Dada Utasaidiaje nyumbani kwenu uliko toka -Rungwe,Wewe ni mkuu wa wilaya wa mfano,Kwanini usipate Uwaziri?
@salmabasil3854 ай бұрын
Na hiyo fursa Unaingiaje je lazima uwe ni mkazi wa njombe au?
@Zanga934 ай бұрын
Amna ni wewe tu kuwekeza
@manchalijob96004 ай бұрын
Tatizo ra africa hiri uongo mwingii jpm ndio arikuwa ananyooshaa sasa wewe kopa jichanganye ire kwako waone wenyeji utapata ukweli
@ezrakiduko61352 ай бұрын
Wanaofeli wanakurupuka bila kutumia watalaam
@RenaldaZeramula4 ай бұрын
Siyo kweli
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Kwa Hela Moja Nina mashaka
@trueman96414 ай бұрын
Kwanini?
@OchoaHomeDecor_3 ай бұрын
Watu wanafanya wanafanikiwa nyie mmekaa mnapiga porojo hapa Ndiomaana watanzania na waafrika wengi ni masikini haswaa
@hadijamandanje61892 ай бұрын
@@OchoaHomeDecor_Kuna kaka yangu amenishawishi na kilimo hiki kwa maelezo yake ukifuata utaratibu mzuri na Mwenyezi Mungu akikufanyia wepesi mafanikio yapo
@johson5754 ай бұрын
😊😊😊
@Chuma-vk4jg4 ай бұрын
❤
@flaviankiria82512 ай бұрын
Nnaeneolangu hekamoja hapa kisarawe pwani mnaweza kunisaidiaje kulima hivyo viazi?
@AishaBethod4 ай бұрын
Mm hilo nimeliona nikweli
@edsonnelson44644 ай бұрын
Viazi vyenyewe ni vitamu, vina unga???
@VerdianaJohakim4 ай бұрын
Sio porojo au uongoo ni UKWELIII,, nipo niombee hapa
@omanoman20444 ай бұрын
Mungu wangu nipe namba tutafutane huko njombe tulime wallah
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@omanoman2044unadanganywa kwa heka moja yaani mita sabini kwa sabini hapana
@saidimwanyiro51474 ай бұрын
Unalima??
@maishabakari29194 ай бұрын
Naomba namba yako ya simu
@MagrethNjavike-hy2en4 ай бұрын
Inawezekana sangita inazaa sana
@braystuskibassa38424 ай бұрын
Nipo mkoa wa Njombe mimi ni ngumu saana kuamini
@kelvinliheta97694 ай бұрын
Uwamini nn sasa
@hawaelymaricca76024 ай бұрын
Usieamini ni mvivu
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Kwa sisi tunaolima ni ngumu kuamini
@lakasid38604 ай бұрын
@@MiriamAbdallahkwaiyo wewe unalima ila hupati faida sio
@ivomhagama97964 ай бұрын
Inawezekana ama isiwezekane kupata faida ya million nane,ikiwa bei ikawa juu elfu hamsni ni kweli ila ikiwa elfu 30.ni faida kidogo.ikiwa elfu 20 kipeto umepigwa.
@veromwanji4 ай бұрын
Niulizeni Mimi
@ivomhagama97964 ай бұрын
@@veromwanji haya nakuuliza nambie ndugu
@ivomhagama97964 ай бұрын
@@veromwanji Au nipe namba unielezee vizuri
@MwanjiNzala-mo5ni2 ай бұрын
Hat kama.bei 50 labda angesema matzo jumla.m8.ila sio.faida.
@RenaldaMunishi5092 ай бұрын
@@MwanjiNzala-mo5nimbona hata huyo mama kasema faida mil 8 hadi9? Kwahyo na yeye anatudanganya?
@KisendiNyanda934 ай бұрын
Millard nawe umefikia huku???
@alextercisio4 ай бұрын
Hii viazi Kenya ndio tunalima na uwa na pesa sana uku huitwa shagi ..but hiyo bei yenu eti sijui millioni ngapi sijui pesa ya Tz iko aje labda niabiwe .. Kenya hii ngunia moja ni 4000ksh ~35dollars
@Soon8154 ай бұрын
Huku ni 20 dollars
@lakasid38604 ай бұрын
Sasa nyie huko kwenu bei ndio ipo juu huku gunia moja ni 15 mpaka 20 dollars
@celestinermantenga24634 ай бұрын
Hata hivyo kwa mkuu wa wilaya umepata hasara, aliye nacho huongezewa.
@joyceKingu4 ай бұрын
Dada umefanya la maana kufanya hiyo project.
@JumaMigezo3 ай бұрын
DC kasema heka 1 inatoa gunia 180 adi 200 uyu mama ambae ni mkulima anasema heka 1 inatoa gunia 120 mpaka 130 😂😂
@aminiajabiri29494 ай бұрын
Na mimi nataka naomba namba ya sim
@hekimaluvanda53374 ай бұрын
Kumekucha 🎉🎉🎉🎉
@justice6074 ай бұрын
Ingia shambani huitengeneze hiyo mill. 8😅😅
@omarymkwizu93664 ай бұрын
Hii kitu imekua na upendeleo Sana wengi tumeachwa.
@jacobmichael18964 ай бұрын
Mbengu inapatikana wapi?
@charlesolomi95144 ай бұрын
Wakilima wote ivo gunia itafika 50,000
@ZawadiKazungu-qp8uw3 ай бұрын
Na Kenya Je
@gabriellaizer99254 ай бұрын
Acha uongo Mheshimiwa tafadhali
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Mita sabini kwa sabini jamani au zaidi hii si kweli
@tatujamadary80284 ай бұрын
Je nilitaka mbegu nitaipataje
@CasmirKiwale4 ай бұрын
Watu walime
@WilbertChambilo-yl1kc4 ай бұрын
Acheni porojo hizo jmn kaah
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Kwa heka moja faida milioni 8 hapana tumepigwa na nondo kichwani
@anoldjose77934 ай бұрын
@@MiriamAbdallah umeona ee😂😂
@ayoubmwangonji23574 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 matapeli
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
@@anoldjose7793 kwa mimi mkulima haingii akilini, kwa heka moja yaani mita sabini Kwa sabini sio kweli
@devothakassimu82894 ай бұрын
Tunaomba mtufikie mkoa wa songwe, wilaya ya ileje, umalila
@walinaziontime73004 ай бұрын
Hizo Bei ni nyundoo 🤣🤣🤣🤣 mnajitangazia biashara
@ayoubmwangonji23574 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@KeisiMwasanyika4 ай бұрын
Tuhungeni na sisi tupo njombe msanyo uku lugalawa
@EddahBure-te7ft4 ай бұрын
Mm nlichogundua hapa ni kua huyo mkuu hiyo ml 8 hivyo viazi hakuuzia hapa Tz ameenda kuuza nje na ndio mana wakulima wenyeji wanakataa kama sio kweli kwasbb wao wanauzi hapa hapa ✍️
@gogozitodumelannzi54 ай бұрын
huyu mama napafahamu kwake nitamuuliza
@DANYMHEMA-zo3cq4 ай бұрын
Kipimo vp au
@shyfettymtunda46194 ай бұрын
Hivyo viazi ndani ni vya njano au vyeupe???
@EddahBure-te7ft4 ай бұрын
Vyeupe
@shyfettymtunda46194 ай бұрын
@@EddahBure-te7ft Hivyo wala chipsi hawavipendi sana.Wanapenda viazi vya njano ndani.
@EddahBure-te7ft4 ай бұрын
@@shyfettymtunda4619 eti eeh bas mm bora kiazi nione kikubwa tu ndo napenda sijui kama vina njano au laa ngoja ntaanza kuchunguza
@EliauMtishbi-os5ky4 ай бұрын
Wapeni Vijana mikopo ya kuanzia
@godfreymushi69664 ай бұрын
Hhaaaa haya 😂😂😂
@muniraahmed6244 ай бұрын
Naijua hii😂😂😂
@Ibrahim-ne3in4 ай бұрын
Panya kweli nyie
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Huu ni uhuni
@dorcaskidoti2494 ай бұрын
🥴🥴🥴🥴🥴🤐🤐😷😷
@japhetlinus38914 ай бұрын
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@Madam2554 ай бұрын
Kupata hasara haimanishi kwamba hautafanikiwa kwa. Mara nyingine
@japhetlinus38914 ай бұрын
@@Madam255 . Shida iliyopo hapo Ni kwamb huyo aliehojiwa kahojiwa wakat Bei ya kiaz imepanda,naakat mwez uliopita tumeuza viaz 35 had 30 ..unasemaje Kuna faid na kuwashaur klwatu wawekeze kwa wing na wakat unajua chakul kikiwa king lazima kishuke Bei..
@celestinermantenga24634 ай бұрын
8mil. Inapendeza sana.
@japhetlinus38914 ай бұрын
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar