MWANAMKE ALIYELIMA EKA MOJA YA VIAZI NA KUPATA FAIDA MILIONI 8 AHOJIWA, DC NJOMBE AWAPELEKA BBT

  Рет қаралды 24,278

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 98
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 4 ай бұрын
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏ukimtanguliza Mungu atakuinua in the most unexpected way.
@EmmanueliZani-ur9bi
@EmmanueliZani-ur9bi 4 ай бұрын
Hiyo kazi inafaa sana. Asante.
@HillaryMachano
@HillaryMachano 4 ай бұрын
Huyu ndo DC Sasa sio yule tunamuona ktk mbio za mwenge tu👏👏🤝
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb 2 ай бұрын
Hongereni kina mama na vijana kwa juhudi ya mnao zifanya kwa kutafuta hela kwa uhalali najasho kuliko kufuatilia mashetani ya maframason kwa kutafuta. utajiri washetani bila kutoka jasho
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 4 ай бұрын
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 4 ай бұрын
kaeni tu mjini na kupiga mizinga ya MB kufuatilia Umbea mitandaoni, fursa ziko nyingi huku shambani
@deborahlouis8336
@deborahlouis8336 15 күн бұрын
I’m very interested to start please, I need your contact, nataka kujuwa zaid vipi naweza kujihunga na vipi naweza kupata begu hizo please
@millanjunior7356
@millanjunior7356 29 күн бұрын
Watu wengine huwa wapo negative Kila siku kama umepigwa hasara basi hukufuata instructions ndo maana mnafeli fata maelezoya watalaamu na hata Leo hii mkapewa eneo mlime watu wawili lazima hata mavuno yatofautiane Sasa hapa jiulize kwann
@rehemaothuman3764
@rehemaothuman3764 2 ай бұрын
Tunapataje namba za wausika amcosi au madame hapo
@VerdianaJohakim
@VerdianaJohakim 4 ай бұрын
Hyo ni kwelii jamanii ukikifuatilia vemaa inatoa Sana hyoo
@mariamsemwa226
@mariamsemwa226 4 ай бұрын
Hapa tumepigwa nakitu kizito kwa eka moja milion 8 😂🙌nabei zenyewe hazielewekagi
@FatumaMohamedi-t6t
@FatumaMohamedi-t6t 4 ай бұрын
Labda Mungu alitaka tu kumuinua kiumbe wake angalau kidogo kwa hiyo akamuonyesha hiyo neema
@MamodelPark
@MamodelPark 4 ай бұрын
Jaribu kuwa na mawazo chanya. mwenyew kashakwambia faida yake ndo iyo! ww ulokaa nyumbn kwako unataka ubishane nae. Aya endelea kusema wamekupiga
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 3 ай бұрын
Hayo ni mawazo mgando Mtu alie shambani anakwambia uhalisia na unakataa Unataka tukuamini wewe uliekuwa youtube... Hilo ni tatizo Hata ukipata milioni 3 kwa hekari moja kama ukilima hekari 10 tayari una milioni 30 Shida iko wapi?
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 2 ай бұрын
Sijui.hiyo.ekari. imetoa. Gunia.300 labda
@DominicKani-ri9le
@DominicKani-ri9le 4 ай бұрын
Rorya BBT mumefika wajameni wengine tuko tayari.ugumu ni mkuu wetu wa wilaya usani umezidi mama president mbadilishe hakumfai huku mpereke mjini
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 4 ай бұрын
Mkuu wenu wa wilaya ni nani
@sharifamsuri
@sharifamsuri 4 ай бұрын
hicho kiazi kinachukua muda gani kuanzia kupandwa hadi kuvuna?
@AizackKalenge-ro5rc
@AizackKalenge-ro5rc 2 ай бұрын
Dada Utasaidiaje nyumbani kwenu uliko toka -Rungwe,Wewe ni mkuu wa wilaya wa mfano,Kwanini usipate Uwaziri?
@salmabasil385
@salmabasil385 4 ай бұрын
Na hiyo fursa Unaingiaje je lazima uwe ni mkazi wa njombe au?
@Zanga93
@Zanga93 4 ай бұрын
Amna ni wewe tu kuwekeza
@manchalijob9600
@manchalijob9600 4 ай бұрын
Tatizo ra africa hiri uongo mwingii jpm ndio arikuwa ananyooshaa sasa wewe kopa jichanganye ire kwako waone wenyeji utapata ukweli
@ezrakiduko6135
@ezrakiduko6135 2 ай бұрын
Wanaofeli wanakurupuka bila kutumia watalaam
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 ай бұрын
Siyo kweli
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Kwa Hela Moja Nina mashaka
@trueman9641
@trueman9641 4 ай бұрын
Kwanini?
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 3 ай бұрын
Watu wanafanya wanafanikiwa nyie mmekaa mnapiga porojo hapa Ndiomaana watanzania na waafrika wengi ni masikini haswaa
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 2 ай бұрын
​@@OchoaHomeDecor_Kuna kaka yangu amenishawishi na kilimo hiki kwa maelezo yake ukifuata utaratibu mzuri na Mwenyezi Mungu akikufanyia wepesi mafanikio yapo
@johson575
@johson575 4 ай бұрын
😊😊😊
@Chuma-vk4jg
@Chuma-vk4jg 4 ай бұрын
@flaviankiria8251
@flaviankiria8251 2 ай бұрын
Nnaeneolangu hekamoja hapa kisarawe pwani mnaweza kunisaidiaje kulima hivyo viazi?
@AishaBethod
@AishaBethod 4 ай бұрын
Mm hilo nimeliona nikweli
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 4 ай бұрын
Viazi vyenyewe ni vitamu, vina unga???
@VerdianaJohakim
@VerdianaJohakim 4 ай бұрын
Sio porojo au uongoo ni UKWELIII,, nipo niombee hapa
@omanoman2044
@omanoman2044 4 ай бұрын
Mungu wangu nipe namba tutafutane huko njombe tulime wallah
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
​@@omanoman2044unadanganywa kwa heka moja yaani mita sabini kwa sabini hapana
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 4 ай бұрын
Unalima??
@maishabakari2919
@maishabakari2919 4 ай бұрын
Naomba namba yako ya simu
@MagrethNjavike-hy2en
@MagrethNjavike-hy2en 4 ай бұрын
Inawezekana sangita inazaa sana
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 4 ай бұрын
Nipo mkoa wa Njombe mimi ni ngumu saana kuamini
@kelvinliheta9769
@kelvinliheta9769 4 ай бұрын
Uwamini nn sasa
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 4 ай бұрын
Usieamini ni mvivu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Kwa sisi tunaolima ni ngumu kuamini
@lakasid3860
@lakasid3860 4 ай бұрын
​@@MiriamAbdallahkwaiyo wewe unalima ila hupati faida sio
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 4 ай бұрын
Inawezekana ama isiwezekane kupata faida ya million nane,ikiwa bei ikawa juu elfu hamsni ni kweli ila ikiwa elfu 30.ni faida kidogo.ikiwa elfu 20 kipeto umepigwa.
@veromwanji
@veromwanji 4 ай бұрын
Niulizeni Mimi
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 4 ай бұрын
@@veromwanji haya nakuuliza nambie ndugu
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 4 ай бұрын
@@veromwanji Au nipe namba unielezee vizuri
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 2 ай бұрын
Hat kama.bei 50 labda angesema matzo jumla.m8.ila sio.faida.
@RenaldaMunishi509
@RenaldaMunishi509 2 ай бұрын
​@@MwanjiNzala-mo5nimbona hata huyo mama kasema faida mil 8 hadi9? Kwahyo na yeye anatudanganya?
@KisendiNyanda93
@KisendiNyanda93 4 ай бұрын
Millard nawe umefikia huku???
@alextercisio
@alextercisio 4 ай бұрын
Hii viazi Kenya ndio tunalima na uwa na pesa sana uku huitwa shagi ..but hiyo bei yenu eti sijui millioni ngapi sijui pesa ya Tz iko aje labda niabiwe .. Kenya hii ngunia moja ni 4000ksh ~35dollars
@Soon815
@Soon815 4 ай бұрын
Huku ni 20 dollars
@lakasid3860
@lakasid3860 4 ай бұрын
Sasa nyie huko kwenu bei ndio ipo juu huku gunia moja ni 15 mpaka 20 dollars
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 4 ай бұрын
Hata hivyo kwa mkuu wa wilaya umepata hasara, aliye nacho huongezewa.
@joyceKingu
@joyceKingu 4 ай бұрын
Dada umefanya la maana kufanya hiyo project.
@JumaMigezo
@JumaMigezo 3 ай бұрын
DC kasema heka 1 inatoa gunia 180 adi 200 uyu mama ambae ni mkulima anasema heka 1 inatoa gunia 120 mpaka 130 😂😂
@aminiajabiri2949
@aminiajabiri2949 4 ай бұрын
Na mimi nataka naomba namba ya sim
@hekimaluvanda5337
@hekimaluvanda5337 4 ай бұрын
Kumekucha 🎉🎉🎉🎉
@justice607
@justice607 4 ай бұрын
Ingia shambani huitengeneze hiyo mill. 8😅😅
@omarymkwizu9366
@omarymkwizu9366 4 ай бұрын
Hii kitu imekua na upendeleo Sana wengi tumeachwa.
@jacobmichael1896
@jacobmichael1896 4 ай бұрын
Mbengu inapatikana wapi?
@charlesolomi9514
@charlesolomi9514 4 ай бұрын
Wakilima wote ivo gunia itafika 50,000
@ZawadiKazungu-qp8uw
@ZawadiKazungu-qp8uw 3 ай бұрын
Na Kenya Je
@gabriellaizer9925
@gabriellaizer9925 4 ай бұрын
Acha uongo Mheshimiwa tafadhali
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Mita sabini kwa sabini jamani au zaidi hii si kweli
@tatujamadary8028
@tatujamadary8028 4 ай бұрын
Je nilitaka mbegu nitaipataje
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale 4 ай бұрын
Watu walime
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 4 ай бұрын
Acheni porojo hizo jmn kaah
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Kwa heka moja faida milioni 8 hapana tumepigwa na nondo kichwani
@anoldjose7793
@anoldjose7793 4 ай бұрын
@@MiriamAbdallah umeona ee😂😂
@ayoubmwangonji2357
@ayoubmwangonji2357 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 matapeli
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
@@anoldjose7793 kwa mimi mkulima haingii akilini, kwa heka moja yaani mita sabini Kwa sabini sio kweli
@devothakassimu8289
@devothakassimu8289 4 ай бұрын
Tunaomba mtufikie mkoa wa songwe, wilaya ya ileje, umalila
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 4 ай бұрын
Hizo Bei ni nyundoo 🤣🤣🤣🤣 mnajitangazia biashara
@ayoubmwangonji2357
@ayoubmwangonji2357 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@KeisiMwasanyika
@KeisiMwasanyika 4 ай бұрын
Tuhungeni na sisi tupo njombe msanyo uku lugalawa
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 4 ай бұрын
Mm nlichogundua hapa ni kua huyo mkuu hiyo ml 8 hivyo viazi hakuuzia hapa Tz ameenda kuuza nje na ndio mana wakulima wenyeji wanakataa kama sio kweli kwasbb wao wanauzi hapa hapa ✍️
@gogozitodumelannzi5
@gogozitodumelannzi5 4 ай бұрын
huyu mama napafahamu kwake nitamuuliza
@DANYMHEMA-zo3cq
@DANYMHEMA-zo3cq 4 ай бұрын
Kipimo vp au
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 4 ай бұрын
Hivyo viazi ndani ni vya njano au vyeupe???
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 4 ай бұрын
Vyeupe
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 4 ай бұрын
@@EddahBure-te7ft Hivyo wala chipsi hawavipendi sana.Wanapenda viazi vya njano ndani.
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 4 ай бұрын
@@shyfettymtunda4619 eti eeh bas mm bora kiazi nione kikubwa tu ndo napenda sijui kama vina njano au laa ngoja ntaanza kuchunguza
@EliauMtishbi-os5ky
@EliauMtishbi-os5ky 4 ай бұрын
Wapeni Vijana mikopo ya kuanzia
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 4 ай бұрын
Hhaaaa haya 😂😂😂
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 ай бұрын
Naijua hii😂😂😂
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 4 ай бұрын
Panya kweli nyie
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Huu ni uhuni
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 ай бұрын
🥴🥴🥴🥴🥴🤐🤐😷😷
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 4 ай бұрын
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@Madam255
@Madam255 4 ай бұрын
Kupata hasara haimanishi kwamba hautafanikiwa kwa. Mara nyingine
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 4 ай бұрын
@@Madam255 . Shida iliyopo hapo Ni kwamb huyo aliehojiwa kahojiwa wakat Bei ya kiaz imepanda,naakat mwez uliopita tumeuza viaz 35 had 30 ..unasemaje Kuna faid na kuwashaur klwatu wawekeze kwa wing na wakat unajua chakul kikiwa king lazima kishuke Bei..
@celestinermantenga2463
@celestinermantenga2463 4 ай бұрын
8mil. Inapendeza sana.
@japhetlinus3891
@japhetlinus3891 4 ай бұрын
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale 4 ай бұрын
Ilikuaje bro..niandikie mawasiliano yako
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale 4 ай бұрын
Ilikuaje kaka.. niandikie mawasiliano yako
@CasmirKiwale
@CasmirKiwale 4 ай бұрын
Niandikie mawasiliano yako
KILIMO CHA VIAZI MVIRINGO
24:45
Kilimo Biashara
Рет қаралды 28 М.
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 7 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Funny superhero siblings
Рет қаралды 10 МЛН
Ekari moja yaweza kukupa magunia 150 ya viazi mviringo
11:17
Mosses Anney
Рет қаралды 6 М.
kilimo cha viazi mviringo/viazi ulaya
10:05
KILIMO PESA
Рет қаралды 23 М.
HATIME WANAWAKE WAFUPI MMEFIKIWA
6:51
Wasafi Media
Рет қаралды 4,3 М.
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН