Рет қаралды 73
Kilio cha diaspora kupata hadhi maalumu pamoja na kumiliki ardhi bila kikwazo, kimesikilizwa baada ya Serikali kuja na mapendekezo ya mabadiliko ya sheria za uhamiaji pamoja na sheria ya ardhi ambayo yatawasilishwa katika bunge lijalo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi