KIMENUKA;KIBOKO YA DR SULLE AMLIPUA KWA KUTUMIA VIFUNGO VYA BIBLIA HAKUNA UTAJIRI AINA HIYO DANIEL

  Рет қаралды 12,274

Maks Media

Maks Media

Күн бұрын

Пікірлер: 144
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 4 ай бұрын
Daniel Mwankema ,barikiwa sana sana ,ule mkono wa MUNGU wenye nguvu na uwezo wote Ukushikilie na kukujaza siri zaidi na hekima zaidi kwa Jina la YESU KRISTO Alie hai milele.
@pascalvirgilio7208
@pascalvirgilio7208 4 ай бұрын
Hakuna kama Yesu Kristu ❤
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 4 ай бұрын
Yupo Mfano mimi na wewe. Sote ni binadamu kama yesu Timotheo wa kwanza 2:5
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 4 ай бұрын
Bwana yesu atazidi kusifiwa Jana Leo na milele, nandio njia tu.tunahitaji mafundisho mengi kama haya.kaka yetu mungu aendelee kukupatia elimu zaidi ya kutuongoza.amen
@SaidiNyanga-ct8zq
@SaidiNyanga-ct8zq 4 ай бұрын
Yesu Dio kweli kabisa hakuna mwingine kama yeye Mungu Akubarik mtumish
@paulmushi2428
@paulmushi2428 4 ай бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 I LOVE JESUS ❤❤❤ THANK GOD I'M CHRISTIAN 🎉🎉🎉🎉❤ HALLELUJAH HALLELUJAH
@FranciscoOresteBernabé
@FranciscoOresteBernabé 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumisi daniel nipo moçambique
@omarizanda
@omarizanda 4 ай бұрын
Ni mafundisho ya kanisa unasoma bila kuulizwa maswali, hamna hata sehemu moja aliposema mimi Mungu.
@trophywilson7211
@trophywilson7211 4 ай бұрын
Hausomi vizuri
@profs.a5412
@profs.a5412 4 ай бұрын
Usiseme hamna sehem aliyo sema Yeye ni Mungu, sema wewe ndio hujuiiii wapi kasema😂
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Kasome ufunuo 1:8
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 4 ай бұрын
Kwani wapi Allah amesema yeye ni Mungu Mtakatifu?
@songolomeshake6206
@songolomeshake6206 3 ай бұрын
ubarikiwe mwl Daniel
@DAVIDMAGHANGA
@DAVIDMAGHANGA 4 ай бұрын
Asante saaana MUNGU wa MUNGU alie juu saana umetuelimisha zaidi
@davidkizito6900
@davidkizito6900 4 ай бұрын
Amen, sifa Kwa bwana na mwokozi wa maisha yetu Jesus Christ.
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 4 ай бұрын
Safi sana mwalim tililika tilika sema sema baba sema mungu yup pamoja nawe
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 4 ай бұрын
Amen Mtumishi,ukweli ndo huo,Yesu ndiye ya kweli na uzima
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 4 ай бұрын
uyo mchungaji mbishi uyo😊
@jannffer
@jannffer 4 ай бұрын
He new the truth
@elishaddaipeter6521
@elishaddaipeter6521 4 ай бұрын
Yesu kristo akubariki sana mtumishi mungu,
@Anonymous-w9v-i1p
@Anonymous-w9v-i1p 4 ай бұрын
Barikiwa sana mwl. Daniel
@jumamukoko6662
@jumamukoko6662 4 ай бұрын
Makosa mengi na tofauti zilizomo ndani ya hiyo bibilia
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Ila kwenye koran yako ambayo hajulikana nani aliandika ndiyo hakuna makosa?.kasome Quran 5:52 na 9:29
@AllyPawaga
@AllyPawaga 4 ай бұрын
Hata haeleweki huyu mtu
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 4 ай бұрын
Utaelewa tu, kaa kwa kutulia kwanza
@magrethdaniel8441
@magrethdaniel8441 4 ай бұрын
Utaelewa siku ukiwa katika malango ya kristo siku ukimkuta ndyo jaji wa matendo yako
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 4 ай бұрын
Ameen
@jannffer
@jannffer 4 ай бұрын
Amen
@jumafaki7473
@jumafaki7473 4 ай бұрын
mwalimu ,Adam alitubu , akashushwa duniani , siku ya mwisho haijafika , siku ya hukumu ndio maana alishushwa duniani , bibilia inakataa yesu sio mungu ,wayahudi walimuona alipo zalisa ,ndugu Yao sio mungu wakinga wafipa wanafanya mungu huko kupoteza , Paulo hakumuona yesu ,
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Unamaanisha Yohana,petro, Paul na mathayo walikuwa wakinga na wafipa
@SalygerOmmy-tr9wk
@SalygerOmmy-tr9wk 4 ай бұрын
Mkubwa kabisa lakin anaongea maneno hayana mantik
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Ebu ongea wewe
@mussaabobakar7537
@mussaabobakar7537 4 ай бұрын
Unaongea sana umeambiwa useme wapi yesu kasema kwenye icho kitabu yeye mungu bas acha naneno Meg mzeee
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 4 ай бұрын
Kwani wapi Allah amesema yeye ni Mungu Mtakatifu?
@pozzevevo
@pozzevevo 5 ай бұрын
Nice 🔥
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 4 ай бұрын
Shalom ❤
@FredrickNyangweso
@FredrickNyangweso 4 ай бұрын
Napenda sana mafundisho na mada zako mwalimu Daniel mwakemwa, lakini kuna mada moja au mbili hivi nilitofautiana nawe ili ya kwamba sabato ilibadilishwa lakini nanani hiyo ya kwanza la pili ni ile ya nambari 666 ya ufunuo 13:18.
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 4 ай бұрын
Kama unachosema ni sahihi hebu jibu hili swali. Kitabu Cha Zaburi alipewa Daudi, kitabu Cha Torati alipewa Musa, kitabu Cha Injili alipewa Issa (Yesu) na kitabu Cha Queani alipewa Muhamad SAW. Je, kitabu Cha bibilia alipewa Nani?
@YusufSwaibu
@YusufSwaibu 4 ай бұрын
Umechemka
@jannffer
@jannffer 4 ай бұрын
Cha muhimu ni kuamini kile ambacho muhamed amefuza ambazo nichamuhimu
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Muhammad hakufundulidho chochoote zaidi ya kuleta chuki soma Quran 5:51,9:29,unamwamini mfu badala Yesu aliye hai
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 4 ай бұрын
Uislamu ni nyumba ya udongo iliyo nakshiwa kwa vioo but sio imara kwa kila kitu
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 4 ай бұрын
Wewe Mchungaji husidanganye watu Bibilia sio Injili,Bibilia sio Torati,Bibilia sio Zaburi,waambie ukweli kwamba Bibilia ni kabati iliyobebeshwa mzigo wa vitabu na watu kwa matakwa yao,Soma LUKA 1:1-2
@paulmushi2428
@paulmushi2428 4 ай бұрын
🎉😂😂😂😂 Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah I LOVE JESUS ❤❤❤❤❤❤❤❤ THANK GOD I'M CHRISTIAN!! Lukumbuziiiiiiii utateseka sana YESU JANA LEO NA HATA MILELE!!
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 4 ай бұрын
@@paulmushi2428 Nateseka sana kuona Wachungaji wanaojihita wasomi wanatete Bibilia bila kujibu hoja zilizotolewa na Dr Sulle alitoa hoja kwa kusema hayo maneno kwenye Bibilia hayamo na kwenye Quran yamo ambayo hayo maneno ndiyo maisha ya sisi mwanadamu ya kila siku,Inakuwaje Bibilia munayohita kwamba ni Kitabu cha Mungu inakuwa na mapengo?Huyu Mchunguji alitakiwa atwambie labda Dr Sulle kakosea maandiko au yapo ni ayah hapa!
@Nim68182
@Nim68182 4 ай бұрын
Kuna kitabu kililiwa na mnyama😂😂😂😂😂😂 unkijua????
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 4 ай бұрын
@@Nim68182 Hata leo ukiamua kukusanya Quran zote duniani ukazificha au ukafanya unavyoweza bado Waislamu tunamehifadhi Quran kwenye vichwa vyetu na ukileta yako ya uhongo ni rahisi kukugundua;sasa sijui unacheka nini?
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 4 ай бұрын
@@Nim68182 Quran sio Bibilia ambayo kila ibada zinabebwa makwapani kwenu kuelelea kanisani na kila siku lakini yaliyomo bado hamuyaelewi;Bibilia zikiliwa na mbuzi zote itakuwaje?
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 4 ай бұрын
Daaah umewapiga spanaaa za ukweli
@adelinibrahim9283
@adelinibrahim9283 4 ай бұрын
Pipa na mfuniko wanaulizana maswali
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Ulitaka waongee uongo ili ufurahi
@amirihamisi6913
@amirihamisi6913 4 ай бұрын
Lugha mbona nyepesi sn tunakushangaa ww unahoji nn ?
@amirihamisi6913
@amirihamisi6913 4 ай бұрын
Wapi yesu kasema mm ndimi niliekuja na kitabu cha biblia ? Wapi ? Na maandiko yanasema nn juu ya yesu alikuja na nn ? Tupeni jibu biblia ni kitabu kilicholetwa na mtume yupi ? @@FridayMwassa
@jumamukoko6662
@jumamukoko6662 4 ай бұрын
Quran imekuja kusahihisha yalio potoshwa ndani ya vitabu vinajulikana kama Tarantino injili, nazaburi
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Koran ilikuja kupotosha yaliyo andikwa kabla mf.bibilia inasema Yesu alikufa lakini koran inayakataa hayo,Isaka alitolewa sadaka na baba yake Ibrahim lakini koran inayakataa hayo, biblia inasema Yesu atakuja kuhukumu ulimwengu lakini koran inasema atakuja kuoa, biblia inasema mpende adui yako lakini koran inasema wauweni wote wasiyo Amini, Quran 5:51,9:29
@azizaalbreki3330
@azizaalbreki3330 4 ай бұрын
Danieli weye ni mtu wa motoni tu Dini ya kiisilam ndio dini ya kweli Weye ni katika wele makafiri wakubwa Weye ni masihi dijal mdogo mkubwa bado hajafika
@HamadMbark
@HamadMbark 4 ай бұрын
injili ndio ilikuja mwanzo ya Quran lkn bible ilikuwa baada ya Quran
@saidgumbo2529
@saidgumbo2529 4 ай бұрын
Wacha kudanganya watu vitabu vilivyo letwa ni 4 zaburi ,taurati, injili,na Quran ,mitume waliopewa vitabu hivyo ni musa,daud,issa,na Mohammad,kama kweli bibilia ni kitabu Cha mungu katika Kimeandikwa wp na kapewa mitume nani?
@Benfilimon
@Benfilimon 4 ай бұрын
Wewe hujui chochote ila umekalili
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 4 ай бұрын
Wacha uongo, Qur'an 3:99 imewataja watu wa kitabu sio Wakristo, Qur'an 5:82 imewataja mayahudi na washirikina, Qur'an 5:51 imewakataza walioamini kuwa marafiki na mayahudi na Wakristo kwakua wanadhulumu, Qur'an 2:62 wametajwa walioamin, mayahudi, Wakristo na wasabai kua wakimuamini Mungu watapata malipo yao. Sasa ukisema Wakristo wametajwa useme wametajwa kwa namna gani? Kwa wema kwa ubaya?
@sunrishmussan6958
@sunrishmussan6958 4 ай бұрын
HUYU MPUUZI HAJUI KITU ETI MAANA YA DINI NI MALIPO!!! KIISLAM MAANA YA DINI NI 'NJIA YA KWELI'
@allykidundo4508
@allykidundo4508 4 ай бұрын
kiukweri nimemsikiliza mwanzo mwisho ata sijamuerewa nini anachokusudia au ametetea nini apo mbona atoi ushaidi juu ya yare alioongea sure..???
@amirihamisi6913
@amirihamisi6913 4 ай бұрын
YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU
@amirihamisi6913
@amirihamisi6913 4 ай бұрын
Hatoupata leo mpk kiama.
@azizabuyonde8368
@azizabuyonde8368 4 ай бұрын
Utaijuwa kweli na kweli itakuwa huru, acha wangngane na Mohammed, wabishi sana na hawataki kuambiwa ukweli, na wengine hawajuwi nini ika kwa Quran ni kubishanana tu, Mungu akutanguliye nguvu watushi wake
@jannffer
@jannffer 4 ай бұрын
Wakristo tunaongozwo na roho mtakatifu
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 5 ай бұрын
Bible hiyo sio ya Kweli ni feki
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 4 ай бұрын
Ya kwako original iko wapi
@Nim68182
@Nim68182 4 ай бұрын
Ukumbk kuw Korani ililiwa na mnyama, kati yahio ulokuw nayo na illiyoliw na mbuzi cjui ipi ilikuwa kwel😂😂😂😂😂😂😂😂
@alimohd3
@alimohd3 4 ай бұрын
Hakukua na kitabu Cha biblia wakati WA yesu
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Unaelewa nini maana ya biblia
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd 4 ай бұрын
Hili kafiri kichwa maji😁😁😁
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 4 ай бұрын
Sawa na hayawani
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Kafiri mama yako
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
​@rashidmohamed Nyie mbumbumbu hamna elimu mnamfuata mtume mbumbumbu asiyejua kusoma wala kuandika
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi 4 ай бұрын
Umepiga pua hapo
@mohamedally121
@mohamedally121 4 ай бұрын
Jamaa ana mwembwe njingi sana,af kuarabu hujui, kasome lugha ikae ulimini na akilini kisha ndo uusome uislam,bila hivyo ni porojo tu
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv 4 ай бұрын
mpumbavu kuandika kwenyewe hujui kaeni na uislam wenu wa majini, mtaani vijibabu vya kiislamu utakuta vinauza genge malimao ksma 7 hivi chumvi pakita 4 na miiko ya kupikia kama 5 hiyo ndiyo biashara yake kubwa analisha familia ni chuma ulete tupu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 waislamu bwana 😂😂😂😂😂
@ELIMUYAUTAMBUZITV
@ELIMUYAUTAMBUZITV 4 ай бұрын
Hatujafundishwa kuamini hivyo kuhusu vitabu kasome tena
@jihan992000
@jihan992000 4 ай бұрын
Huwelewi Quran Daniel
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 4 ай бұрын
Ifundishe wewe kama mimi sijui
@karimmveyange2558
@karimmveyange2558 3 ай бұрын
IKIWA NDIO UPEO WAKIELIMU YA DINI NDIO HUU? BASI NIKITUKO NA KICHEKESHO KTK USO WA HII ARDHI.YANI NI -VE
@mohamseyf6243
@mohamseyf6243 4 ай бұрын
Khalifa wa kiislamu alitangaza mtume alipokufa yakuwa,walio kua wakimuabudu Muhammad basi yeye amesha kufa,na waliokua wakimuabudu Allah basi ALLAH yuhai,na huyo ndio muanzilishi wa uislamu.
@joycedimoso8648
@joycedimoso8648 4 ай бұрын
Allah ameanzisha uislam lini na wapi waweza nipa andiko?
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 4 ай бұрын
Mie ni mwanafunzi wa Shafii tutakutana katika mdahalo
@amirihamisi6913
@amirihamisi6913 4 ай бұрын
YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU
@joycedimoso8648
@joycedimoso8648 4 ай бұрын
Unajua maana ya neno biblia?
@WadySaidi
@WadySaidi 4 ай бұрын
Kiboko au mpumbavu tu uyo mlevi
@jaaffarabuu6750
@jaaffarabuu6750 4 ай бұрын
Bibilia sio injili acha kupotoa watu
@joycedimoso8648
@joycedimoso8648 4 ай бұрын
Biblia nineno lakigiriki lenye maana ya mkusanyiko wa vitabu ndani ya huo mkusanyiko Kuna vitabu vya Injiri na vitabu vya torat
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 4 ай бұрын
@@joycedimoso8648 je wakati wayesu biblia ilkuwepo
@sunrishmussan6958
@sunrishmussan6958 4 ай бұрын
😂😂😂 HUYU MI SIJAMUELEWA KABISA ALICHOJIBU ANAZUNGUKA TU, ALAFU ELIMU YAKE NDOGO SANA HUWEZI MLINGANISHA NA SULE 😂😂
@0badiaMwasongwe-rt1wr
@0badiaMwasongwe-rt1wr 4 ай бұрын
Sule huyhuy mfuga majini na mgangaa wa kienyejii au mwingine 😂😂
@gilbertmgabriel9158
@gilbertmgabriel9158 4 ай бұрын
Huwezi kumuelewa kama hutaki ukweli
@jumawaziri8501
@jumawaziri8501 4 ай бұрын
huyu jamaa anaongea hajui anazumza nn
@IsmailHabimana-ct9hv
@IsmailHabimana-ct9hv 4 ай бұрын
Hhhhhh. Apo umeangukia pua koroani ndo kitambo ça 1 duniani
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 ай бұрын
Kama Quran ilitelemshwa wakati wa Muhammad iweje useme ya kitambo
@saiddgsmg
@saiddgsmg 4 ай бұрын
Ondea kwa kutoa aya sio kwa utashi wako.
@joycedimoso8648
@joycedimoso8648 4 ай бұрын
Hata akitoa Aya mnazipinga tunawajua nyie
@daawaonlinetv4486
@daawaonlinetv4486 5 ай бұрын
Biblia haikutaja umeme kama umeme Daniel Mwankemwa anawapoteza watu. Max Media nakusubiri kesho pale Ilala kwa Doctor Sully nitamjibu huyo Daniel By Sheikh Suleiman Mbogo
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 4 ай бұрын
Atakapokuja usisahau kumsomea kitabu cha Halal na Haram katika Uislam.
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 4 ай бұрын
Mbogho umeanza ubishi Kama kawaida yako ,wewe tunakuitaga (Mzee wa kukanusha ukweli.) Biblia imetabiri mambo yalioko na yaliopita na yajayo ,,mf.ukisoma habari za safina ya Nuhu utaona aliipaka lami ndani na nje Sasa utapingaje kua sio lami ya Sasa???
@Benjathekingofficialtv
@Benjathekingofficialtv 4 ай бұрын
Wewe mtoto mdogo mbogo tulia hakuna uislam bila uongo alafu juin 1 , jiandaeni pale alikeni majini yenu na muddy awepo mumfufue kisha na alaalah awepo tuone kama mnaweza kushindana na ndacha 😂 dawa imekuingia unaanza kubwabwaja 😂 ndacha atawauwa nyie
@paulmushi2428
@paulmushi2428 4 ай бұрын
Mbogo acha kutapatapa tulia Kwa Sule ulithishwe mikoba ya unganga wa majini yenye kuwaletea mali😅😅
@mohamseyf6243
@mohamseyf6243 4 ай бұрын
Adam wa kwanza na adamu wa mwisho😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tupe andiko mungu anamwita yesu adamu,alafu kama yesu kachua dhambi zenu mbona mwanadamu anakula kwa jasho😂😂😂😂😂jamaa maneno matupu bila ya ushahidi kiuhakika.
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 4 ай бұрын
Dhambi na kula kwa jasho vina uhusiano Gani? Wakati mwingine muwe mnasomaga Neno la Mungu wa kweli,Mungu alipoumba mwanadamu ,hata kabla hajatenda dhambi alipewa kazi na kazi Yenyewe ni kuilima na kuitunza bustani kwahiyo jasho lilianza ,usilete kuanguka kwa mwanadamu na kufanya kazi ,ujue kwanza mwanzilishi wa kazi ni Mungu hata yeye alifanya kazi na hata kupumzika
@mohamseyf6243
@mohamseyf6243 4 ай бұрын
@@nicksonlyimo1562 kasome mwanzo3:17-19 Kisha ujue kuwa hakuna ukombozi wa Dhambi isipokua Toba,mchungajiwako kasema kama adamu alitubia mbona hakurudishwa bustanini,nasisi tuna waambia kama yesu alikomboa watu na kutoka kwenye dhambi ya adamu mbona adhabu ya kula kwa jasho haijaondoka, alipatanisha Nini Sasa?kasome kwanza ndo ukomenti mambo ya dini.
@bstv1434
@bstv1434 4 ай бұрын
Embu Fanya uwakutanishe hawa
@MakubiSigira
@MakubiSigira 4 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu,Yesu Kiristo ndiye mfalme,endelea kufundisha!
@jihan992000
@jihan992000 4 ай бұрын
Wewe ukifa muchungaji unafata nani....????????
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 4 ай бұрын
Nafuata Yesu
@seifsaid9905
@seifsaid9905 5 ай бұрын
Ona anvyolopoka lopoka hoja hewa kabsa
@Benjathekingofficialtv
@Benjathekingofficialtv 4 ай бұрын
Dawa iyo tulia bruh iingie taratibu ukitikisika sindani unabaki mwilini😂
@paulmushi2428
@paulmushi2428 4 ай бұрын
Tulia dawa inywee😂😂
@eslonblack8096
@eslonblack8096 4 ай бұрын
Ma Ant Christ ya kiislam mumefyata
@RastaSuma
@RastaSuma 4 ай бұрын
Biblia ni kitabu cha nabii gani?
@paulmushi2428
@paulmushi2428 4 ай бұрын
Swali zuli! Maana ya Neno Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya Manabii ila hakimtambui Muhammad na Qur'an yake kama asivyojulikana Kwa MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI
@RastaSuma
@RastaSuma 4 ай бұрын
@@paulmushi2428 Mwenyenzi Mungu hutambua viumbe vyote kwani yeye ndiye alewaumba wewe ndiye usietambua. Biblia ni kitabu kilichoandikwa na mikono ya waandishi waongo wa kirumi na ziko biblia zaidi ya 8 na zote zinatofauti kubwa pia kuna biblia mpya ya mashoga iliyochapishwa mwaka 2000 kwa luga ya kiingereza hivyo biblia sii maneno ya Mungu. vitabu vya Mungu ni torati nabii Musa , Injili nabii Issa ( Yesu ). Zaburi nabii Daud Frukani au Quran kateem Nabii Muhammad Peace be Upon them. Je biblia ni kitabu cha nabii hupi?
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 4 ай бұрын
orginal Bible old testament scriptures ndio inakubalika na waislamu sio new testament fake
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 4 ай бұрын
That's why you always dodge the debate. Stay quite!
@amirihamisi6913
@amirihamisi6913 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 4 ай бұрын
Elimu ya Dr Sulley ktk maandiko yuko juu mno zaid yko Daniel ulimshindwa kwnye midahalo utamuweza sasa, acha kuwadanganya makafiri wenzio
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 4 ай бұрын
The majority of Christiaans are not true because They running christianty their way , but not God way.
@BAYYINATDMTV
@BAYYINATDMTV 4 ай бұрын
To proclaim that Jesus is the judge of the last day is to run Christianity the wrong way? Are you sober? Who will return again Jesus or Muhammad?
@FelixMurishi
@FelixMurishi 4 ай бұрын
Waislam ni sikio lakufa halisikii dawa/ni msiba mkubwa😂😂😂😂😂😂
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 4 ай бұрын
Kaa hapo ubweteke eti yesu kafa kwa ajili ya dhambi zenu makafiri. Kila mtu na abebe msalaba wake. Soma Ezekiel 18:20 Galatia 6.5
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 4 ай бұрын
Kumbu kumbu 24:16 Marko 8:33
@JamesJastin-bg1rx
@JamesJastin-bg1rx 4 ай бұрын
Upuuzi
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 4 ай бұрын
Bibilia imeitangulia Quran ni kweli lakini kutangulia kwa Bibilia sio kuwa sahihi kwa Mbele za Mwenyezi Mungu,Kama ni kutangulia ndiyo usahihi?Mbona Sheitani alitutangulia kuwepo hapa Duniani;Je Sheitani yuko sahihi?
@paulmushi2428
@paulmushi2428 4 ай бұрын
Basi Tupe Aya ndani ya Qur'an inayosema Biblia ni kitabu kisicho sahihi!! Hatuhitaji porojo zisizo mashiko wala uthibitisho wa Maandiko!!
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 4 ай бұрын
@@paulmushi2428 Sio porojo ndiyo maana nakutaka ayah ya Bibilia isemayo ni Kitabu sahihi kwa watu wote wa ulimwengu huu!
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 4 ай бұрын
@@paulmushi2428 Ninataka ukweli wa Bibilia yenyewe make hatuwezi kuutafuta ukweli wa Quran bila kuanza na Quran Yenyewe kwanza ijipambanue Yenyewe kisha ndiyo tuiangalie Upande mwingine,Toa ayah ya Bibilia inayoithibitisha yenyewe ili watu wasiwe na mashaka kuifuata!
@yasiniselemani8672
@yasiniselemani8672 4 ай бұрын
yesu yupo hai vipi nawakati hayupo pamoja na sisi toa uthibitisho wa kimaandiko
@yasiniselemani8672
@yasiniselemani8672 4 ай бұрын
yesu atarudi lini mzee
@jumahenriquesgeraldo9837
@jumahenriquesgeraldo9837 4 ай бұрын
Mjinga tuu. Yeye hajui kutofauticha injili na bibilia. Hana hoja uyo
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 35 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 79 МЛН
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 131 МЛН
#LIVE DR.SULLE  NA MCH.NDACHA/JE, YESU ALIKUFA NA KUFUFUKA MSALABANI? (DAY TWO)
1:57:06
MAMBO MUHIMU UNAYOHITAJI KUJUA  WAKATI WA KUUZA NA KUNUNUA HISA
16:56
BizTV Tanzania
Рет қаралды 10 М.
MCH DANIEL MGOGO - JIFUNZE KUTUBU (OFFICIAL VIDEO)
1:02:27
Chapeo La Wokovu
Рет қаралды 1,3 МЛН
DR SULLE AFUNUA TOFAUTI YA UTAJIRI WA NYOKA NA UTAJIRI WA PETE
24:53
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 35 МЛН