Daniel Mwankema ,barikiwa sana sana ,ule mkono wa MUNGU wenye nguvu na uwezo wote Ukushikilie na kukujaza siri zaidi na hekima zaidi kwa Jina la YESU KRISTO Alie hai milele.
@pascalvirgilio72084 ай бұрын
Hakuna kama Yesu Kristu ❤
@rashidmohamed19494 ай бұрын
Yupo Mfano mimi na wewe. Sote ni binadamu kama yesu Timotheo wa kwanza 2:5
@pammymoraamoraa67024 ай бұрын
Bwana yesu atazidi kusifiwa Jana Leo na milele, nandio njia tu.tunahitaji mafundisho mengi kama haya.kaka yetu mungu aendelee kukupatia elimu zaidi ya kutuongoza.amen
@SaidiNyanga-ct8zq4 ай бұрын
Yesu Dio kweli kabisa hakuna mwingine kama yeye Mungu Akubarik mtumish
@paulmushi24284 ай бұрын
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 I LOVE JESUS ❤❤❤ THANK GOD I'M CHRISTIAN 🎉🎉🎉🎉❤ HALLELUJAH HALLELUJAH
@FranciscoOresteBernabé4 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumisi daniel nipo moçambique
@omarizanda4 ай бұрын
Ni mafundisho ya kanisa unasoma bila kuulizwa maswali, hamna hata sehemu moja aliposema mimi Mungu.
@trophywilson72114 ай бұрын
Hausomi vizuri
@profs.a54124 ай бұрын
Usiseme hamna sehem aliyo sema Yeye ni Mungu, sema wewe ndio hujuiiii wapi kasema😂
@FridayMwassa4 ай бұрын
Kasome ufunuo 1:8
@michaelrweyemamu10684 ай бұрын
Kwani wapi Allah amesema yeye ni Mungu Mtakatifu?
@songolomeshake62063 ай бұрын
ubarikiwe mwl Daniel
@DAVIDMAGHANGA4 ай бұрын
Asante saaana MUNGU wa MUNGU alie juu saana umetuelimisha zaidi
@davidkizito69004 ай бұрын
Amen, sifa Kwa bwana na mwokozi wa maisha yetu Jesus Christ.
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl4 ай бұрын
Safi sana mwalim tililika tilika sema sema baba sema mungu yup pamoja nawe
@majaliwamsigwa62064 ай бұрын
Amen Mtumishi,ukweli ndo huo,Yesu ndiye ya kweli na uzima
@HASSANBAKARI-q9c4 ай бұрын
uyo mchungaji mbishi uyo😊
@jannffer4 ай бұрын
He new the truth
@elishaddaipeter65214 ай бұрын
Yesu kristo akubariki sana mtumishi mungu,
@Anonymous-w9v-i1p4 ай бұрын
Barikiwa sana mwl. Daniel
@jumamukoko66624 ай бұрын
Makosa mengi na tofauti zilizomo ndani ya hiyo bibilia
@FridayMwassa4 ай бұрын
Ila kwenye koran yako ambayo hajulikana nani aliandika ndiyo hakuna makosa?.kasome Quran 5:52 na 9:29
@AllyPawaga4 ай бұрын
Hata haeleweki huyu mtu
@stephanosospeter17094 ай бұрын
Utaelewa tu, kaa kwa kutulia kwanza
@magrethdaniel84414 ай бұрын
Utaelewa siku ukiwa katika malango ya kristo siku ukimkuta ndyo jaji wa matendo yako
@stephanosospeter17094 ай бұрын
Ameen
@jannffer4 ай бұрын
Amen
@jumafaki74734 ай бұрын
mwalimu ,Adam alitubu , akashushwa duniani , siku ya mwisho haijafika , siku ya hukumu ndio maana alishushwa duniani , bibilia inakataa yesu sio mungu ,wayahudi walimuona alipo zalisa ,ndugu Yao sio mungu wakinga wafipa wanafanya mungu huko kupoteza , Paulo hakumuona yesu ,
@FridayMwassa4 ай бұрын
Unamaanisha Yohana,petro, Paul na mathayo walikuwa wakinga na wafipa
@SalygerOmmy-tr9wk4 ай бұрын
Mkubwa kabisa lakin anaongea maneno hayana mantik
@FridayMwassa4 ай бұрын
Ebu ongea wewe
@mussaabobakar75374 ай бұрын
Unaongea sana umeambiwa useme wapi yesu kasema kwenye icho kitabu yeye mungu bas acha naneno Meg mzeee
@michaelrweyemamu10684 ай бұрын
Kwani wapi Allah amesema yeye ni Mungu Mtakatifu?
@pozzevevo5 ай бұрын
Nice 🔥
@ramadhanmahongole92934 ай бұрын
Shalom ❤
@FredrickNyangweso4 ай бұрын
Napenda sana mafundisho na mada zako mwalimu Daniel mwakemwa, lakini kuna mada moja au mbili hivi nilitofautiana nawe ili ya kwamba sabato ilibadilishwa lakini nanani hiyo ya kwanza la pili ni ile ya nambari 666 ya ufunuo 13:18.
@wazirisaid83264 ай бұрын
Kama unachosema ni sahihi hebu jibu hili swali. Kitabu Cha Zaburi alipewa Daudi, kitabu Cha Torati alipewa Musa, kitabu Cha Injili alipewa Issa (Yesu) na kitabu Cha Queani alipewa Muhamad SAW. Je, kitabu Cha bibilia alipewa Nani?
@YusufSwaibu4 ай бұрын
Umechemka
@jannffer4 ай бұрын
Cha muhimu ni kuamini kile ambacho muhamed amefuza ambazo nichamuhimu
@FridayMwassa4 ай бұрын
Muhammad hakufundulidho chochoote zaidi ya kuleta chuki soma Quran 5:51,9:29,unamwamini mfu badala Yesu aliye hai
@michaelrweyemamu10684 ай бұрын
Uislamu ni nyumba ya udongo iliyo nakshiwa kwa vioo but sio imara kwa kila kitu
@RamadhaniLukambuzi4 ай бұрын
Wewe Mchungaji husidanganye watu Bibilia sio Injili,Bibilia sio Torati,Bibilia sio Zaburi,waambie ukweli kwamba Bibilia ni kabati iliyobebeshwa mzigo wa vitabu na watu kwa matakwa yao,Soma LUKA 1:1-2
@paulmushi24284 ай бұрын
🎉😂😂😂😂 Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah I LOVE JESUS ❤❤❤❤❤❤❤❤ THANK GOD I'M CHRISTIAN!! Lukumbuziiiiiiii utateseka sana YESU JANA LEO NA HATA MILELE!!
@RamadhaniLukambuzi4 ай бұрын
@@paulmushi2428 Nateseka sana kuona Wachungaji wanaojihita wasomi wanatete Bibilia bila kujibu hoja zilizotolewa na Dr Sulle alitoa hoja kwa kusema hayo maneno kwenye Bibilia hayamo na kwenye Quran yamo ambayo hayo maneno ndiyo maisha ya sisi mwanadamu ya kila siku,Inakuwaje Bibilia munayohita kwamba ni Kitabu cha Mungu inakuwa na mapengo?Huyu Mchunguji alitakiwa atwambie labda Dr Sulle kakosea maandiko au yapo ni ayah hapa!
@Nim681824 ай бұрын
Kuna kitabu kililiwa na mnyama😂😂😂😂😂😂 unkijua????
@RamadhaniLukambuzi4 ай бұрын
@@Nim68182 Hata leo ukiamua kukusanya Quran zote duniani ukazificha au ukafanya unavyoweza bado Waislamu tunamehifadhi Quran kwenye vichwa vyetu na ukileta yako ya uhongo ni rahisi kukugundua;sasa sijui unacheka nini?
@RamadhaniLukambuzi4 ай бұрын
@@Nim68182 Quran sio Bibilia ambayo kila ibada zinabebwa makwapani kwenu kuelelea kanisani na kila siku lakini yaliyomo bado hamuyaelewi;Bibilia zikiliwa na mbuzi zote itakuwaje?
@axmedcumar61964 ай бұрын
Daaah umewapiga spanaaa za ukweli
@adelinibrahim92834 ай бұрын
Pipa na mfuniko wanaulizana maswali
@FridayMwassa4 ай бұрын
Ulitaka waongee uongo ili ufurahi
@amirihamisi69134 ай бұрын
Lugha mbona nyepesi sn tunakushangaa ww unahoji nn ?
@amirihamisi69134 ай бұрын
Wapi yesu kasema mm ndimi niliekuja na kitabu cha biblia ? Wapi ? Na maandiko yanasema nn juu ya yesu alikuja na nn ? Tupeni jibu biblia ni kitabu kilicholetwa na mtume yupi ? @@FridayMwassa
@jumamukoko66624 ай бұрын
Quran imekuja kusahihisha yalio potoshwa ndani ya vitabu vinajulikana kama Tarantino injili, nazaburi
@FridayMwassa4 ай бұрын
Koran ilikuja kupotosha yaliyo andikwa kabla mf.bibilia inasema Yesu alikufa lakini koran inayakataa hayo,Isaka alitolewa sadaka na baba yake Ibrahim lakini koran inayakataa hayo, biblia inasema Yesu atakuja kuhukumu ulimwengu lakini koran inasema atakuja kuoa, biblia inasema mpende adui yako lakini koran inasema wauweni wote wasiyo Amini, Quran 5:51,9:29
@azizaalbreki33304 ай бұрын
Danieli weye ni mtu wa motoni tu Dini ya kiisilam ndio dini ya kweli Weye ni katika wele makafiri wakubwa Weye ni masihi dijal mdogo mkubwa bado hajafika
@HamadMbark4 ай бұрын
injili ndio ilikuja mwanzo ya Quran lkn bible ilikuwa baada ya Quran
@saidgumbo25294 ай бұрын
Wacha kudanganya watu vitabu vilivyo letwa ni 4 zaburi ,taurati, injili,na Quran ,mitume waliopewa vitabu hivyo ni musa,daud,issa,na Mohammad,kama kweli bibilia ni kitabu Cha mungu katika Kimeandikwa wp na kapewa mitume nani?
@Benfilimon4 ай бұрын
Wewe hujui chochote ila umekalili
@wazirisaid83264 ай бұрын
Wacha uongo, Qur'an 3:99 imewataja watu wa kitabu sio Wakristo, Qur'an 5:82 imewataja mayahudi na washirikina, Qur'an 5:51 imewakataza walioamini kuwa marafiki na mayahudi na Wakristo kwakua wanadhulumu, Qur'an 2:62 wametajwa walioamin, mayahudi, Wakristo na wasabai kua wakimuamini Mungu watapata malipo yao. Sasa ukisema Wakristo wametajwa useme wametajwa kwa namna gani? Kwa wema kwa ubaya?
@sunrishmussan69584 ай бұрын
HUYU MPUUZI HAJUI KITU ETI MAANA YA DINI NI MALIPO!!! KIISLAM MAANA YA DINI NI 'NJIA YA KWELI'
@allykidundo45084 ай бұрын
kiukweri nimemsikiliza mwanzo mwisho ata sijamuerewa nini anachokusudia au ametetea nini apo mbona atoi ushaidi juu ya yare alioongea sure..???
@amirihamisi69134 ай бұрын
YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU
@amirihamisi69134 ай бұрын
Hatoupata leo mpk kiama.
@azizabuyonde83684 ай бұрын
Utaijuwa kweli na kweli itakuwa huru, acha wangngane na Mohammed, wabishi sana na hawataki kuambiwa ukweli, na wengine hawajuwi nini ika kwa Quran ni kubishanana tu, Mungu akutanguliye nguvu watushi wake
@jannffer4 ай бұрын
Wakristo tunaongozwo na roho mtakatifu
@mbukumagiubukumagu4065 ай бұрын
Bible hiyo sio ya Kweli ni feki
@odilomwemeziernest6464 ай бұрын
Ya kwako original iko wapi
@Nim681824 ай бұрын
Ukumbk kuw Korani ililiwa na mnyama, kati yahio ulokuw nayo na illiyoliw na mbuzi cjui ipi ilikuwa kwel😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamaa ana mwembwe njingi sana,af kuarabu hujui, kasome lugha ikae ulimini na akilini kisha ndo uusome uislam,bila hivyo ni porojo tu
@MeenaHassan-fd9vv4 ай бұрын
mpumbavu kuandika kwenyewe hujui kaeni na uislam wenu wa majini, mtaani vijibabu vya kiislamu utakuta vinauza genge malimao ksma 7 hivi chumvi pakita 4 na miiko ya kupikia kama 5 hiyo ndiyo biashara yake kubwa analisha familia ni chuma ulete tupu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 waislamu bwana 😂😂😂😂😂
@ELIMUYAUTAMBUZITV4 ай бұрын
Hatujafundishwa kuamini hivyo kuhusu vitabu kasome tena
@jihan9920004 ай бұрын
Huwelewi Quran Daniel
@BAYYINATDMTV4 ай бұрын
Ifundishe wewe kama mimi sijui
@karimmveyange25583 ай бұрын
IKIWA NDIO UPEO WAKIELIMU YA DINI NDIO HUU? BASI NIKITUKO NA KICHEKESHO KTK USO WA HII ARDHI.YANI NI -VE
@mohamseyf62434 ай бұрын
Khalifa wa kiislamu alitangaza mtume alipokufa yakuwa,walio kua wakimuabudu Muhammad basi yeye amesha kufa,na waliokua wakimuabudu Allah basi ALLAH yuhai,na huyo ndio muanzilishi wa uislamu.
@joycedimoso86484 ай бұрын
Allah ameanzisha uislam lini na wapi waweza nipa andiko?
@mbukumagiubukumagu4064 ай бұрын
Mie ni mwanafunzi wa Shafii tutakutana katika mdahalo
@amirihamisi69134 ай бұрын
YANI ULIONA WAPI KITABU CHA HESABU NDANI KISIJIZUNGUMZIE CHENYEWE BADALA YAKE KIZUNGUMZIE VITABU VINGINE MAANA HESABU INATAKIWA NDANI YAKE IZUNGUMZIWE HESABU TU NA SI NDANI YAKE KUWE NA SAYANSI, JOGRAFIA, MAARIFA YA JAMII, KISWAILI KUMBE BIBLIA NI JINA TU ILA KITABU CHA BIBLIA HAKUNA ( HAKIPO ). IZO NI KELELE TU
@joycedimoso86484 ай бұрын
Unajua maana ya neno biblia?
@WadySaidi4 ай бұрын
Kiboko au mpumbavu tu uyo mlevi
@jaaffarabuu67504 ай бұрын
Bibilia sio injili acha kupotoa watu
@joycedimoso86484 ай бұрын
Biblia nineno lakigiriki lenye maana ya mkusanyiko wa vitabu ndani ya huo mkusanyiko Kuna vitabu vya Injiri na vitabu vya torat
@thekingdragon83584 ай бұрын
@@joycedimoso8648 je wakati wayesu biblia ilkuwepo
@sunrishmussan69584 ай бұрын
😂😂😂 HUYU MI SIJAMUELEWA KABISA ALICHOJIBU ANAZUNGUKA TU, ALAFU ELIMU YAKE NDOGO SANA HUWEZI MLINGANISHA NA SULE 😂😂
@0badiaMwasongwe-rt1wr4 ай бұрын
Sule huyhuy mfuga majini na mgangaa wa kienyejii au mwingine 😂😂
@gilbertmgabriel91584 ай бұрын
Huwezi kumuelewa kama hutaki ukweli
@jumawaziri85014 ай бұрын
huyu jamaa anaongea hajui anazumza nn
@IsmailHabimana-ct9hv4 ай бұрын
Hhhhhh. Apo umeangukia pua koroani ndo kitambo ça 1 duniani
@FridayMwassa4 ай бұрын
Kama Quran ilitelemshwa wakati wa Muhammad iweje useme ya kitambo
@saiddgsmg4 ай бұрын
Ondea kwa kutoa aya sio kwa utashi wako.
@joycedimoso86484 ай бұрын
Hata akitoa Aya mnazipinga tunawajua nyie
@daawaonlinetv44865 ай бұрын
Biblia haikutaja umeme kama umeme Daniel Mwankemwa anawapoteza watu. Max Media nakusubiri kesho pale Ilala kwa Doctor Sully nitamjibu huyo Daniel By Sheikh Suleiman Mbogo
@BAYYINATDMTV4 ай бұрын
Atakapokuja usisahau kumsomea kitabu cha Halal na Haram katika Uislam.
@nicksonlyimo15624 ай бұрын
Mbogho umeanza ubishi Kama kawaida yako ,wewe tunakuitaga (Mzee wa kukanusha ukweli.) Biblia imetabiri mambo yalioko na yaliopita na yajayo ,,mf.ukisoma habari za safina ya Nuhu utaona aliipaka lami ndani na nje Sasa utapingaje kua sio lami ya Sasa???
@Benjathekingofficialtv4 ай бұрын
Wewe mtoto mdogo mbogo tulia hakuna uislam bila uongo alafu juin 1 , jiandaeni pale alikeni majini yenu na muddy awepo mumfufue kisha na alaalah awepo tuone kama mnaweza kushindana na ndacha 😂 dawa imekuingia unaanza kubwabwaja 😂 ndacha atawauwa nyie
@paulmushi24284 ай бұрын
Mbogo acha kutapatapa tulia Kwa Sule ulithishwe mikoba ya unganga wa majini yenye kuwaletea mali😅😅
@mohamseyf62434 ай бұрын
Adam wa kwanza na adamu wa mwisho😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tupe andiko mungu anamwita yesu adamu,alafu kama yesu kachua dhambi zenu mbona mwanadamu anakula kwa jasho😂😂😂😂😂jamaa maneno matupu bila ya ushahidi kiuhakika.
@nicksonlyimo15624 ай бұрын
Dhambi na kula kwa jasho vina uhusiano Gani? Wakati mwingine muwe mnasomaga Neno la Mungu wa kweli,Mungu alipoumba mwanadamu ,hata kabla hajatenda dhambi alipewa kazi na kazi Yenyewe ni kuilima na kuitunza bustani kwahiyo jasho lilianza ,usilete kuanguka kwa mwanadamu na kufanya kazi ,ujue kwanza mwanzilishi wa kazi ni Mungu hata yeye alifanya kazi na hata kupumzika
@mohamseyf62434 ай бұрын
@@nicksonlyimo1562 kasome mwanzo3:17-19 Kisha ujue kuwa hakuna ukombozi wa Dhambi isipokua Toba,mchungajiwako kasema kama adamu alitubia mbona hakurudishwa bustanini,nasisi tuna waambia kama yesu alikomboa watu na kutoka kwenye dhambi ya adamu mbona adhabu ya kula kwa jasho haijaondoka, alipatanisha Nini Sasa?kasome kwanza ndo ukomenti mambo ya dini.
@bstv14344 ай бұрын
Embu Fanya uwakutanishe hawa
@MakubiSigira4 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu,Yesu Kiristo ndiye mfalme,endelea kufundisha!
@jihan9920004 ай бұрын
Wewe ukifa muchungaji unafata nani....????????
@BAYYINATDMTV4 ай бұрын
Nafuata Yesu
@seifsaid99055 ай бұрын
Ona anvyolopoka lopoka hoja hewa kabsa
@Benjathekingofficialtv4 ай бұрын
Dawa iyo tulia bruh iingie taratibu ukitikisika sindani unabaki mwilini😂
@paulmushi24284 ай бұрын
Tulia dawa inywee😂😂
@eslonblack80964 ай бұрын
Ma Ant Christ ya kiislam mumefyata
@RastaSuma4 ай бұрын
Biblia ni kitabu cha nabii gani?
@paulmushi24284 ай бұрын
Swali zuli! Maana ya Neno Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya Manabii ila hakimtambui Muhammad na Qur'an yake kama asivyojulikana Kwa MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI
@RastaSuma4 ай бұрын
@@paulmushi2428 Mwenyenzi Mungu hutambua viumbe vyote kwani yeye ndiye alewaumba wewe ndiye usietambua. Biblia ni kitabu kilichoandikwa na mikono ya waandishi waongo wa kirumi na ziko biblia zaidi ya 8 na zote zinatofauti kubwa pia kuna biblia mpya ya mashoga iliyochapishwa mwaka 2000 kwa luga ya kiingereza hivyo biblia sii maneno ya Mungu. vitabu vya Mungu ni torati nabii Musa , Injili nabii Issa ( Yesu ). Zaburi nabii Daud Frukani au Quran kateem Nabii Muhammad Peace be Upon them. Je biblia ni kitabu cha nabii hupi?
@mbukumagiubukumagu4064 ай бұрын
orginal Bible old testament scriptures ndio inakubalika na waislamu sio new testament fake
@BAYYINATDMTV4 ай бұрын
That's why you always dodge the debate. Stay quite!
@amirihamisi69134 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@halidimgonza59454 ай бұрын
Elimu ya Dr Sulley ktk maandiko yuko juu mno zaid yko Daniel ulimshindwa kwnye midahalo utamuweza sasa, acha kuwadanganya makafiri wenzio
@mbukumagiubukumagu4064 ай бұрын
The majority of Christiaans are not true because They running christianty their way , but not God way.
@BAYYINATDMTV4 ай бұрын
To proclaim that Jesus is the judge of the last day is to run Christianity the wrong way? Are you sober? Who will return again Jesus or Muhammad?
@FelixMurishi4 ай бұрын
Waislam ni sikio lakufa halisikii dawa/ni msiba mkubwa😂😂😂😂😂😂
@rashidmohamed19494 ай бұрын
Kaa hapo ubweteke eti yesu kafa kwa ajili ya dhambi zenu makafiri. Kila mtu na abebe msalaba wake. Soma Ezekiel 18:20 Galatia 6.5
@rashidmohamed19494 ай бұрын
Kumbu kumbu 24:16 Marko 8:33
@JamesJastin-bg1rx4 ай бұрын
Upuuzi
@RamadhaniLukambuzi4 ай бұрын
Bibilia imeitangulia Quran ni kweli lakini kutangulia kwa Bibilia sio kuwa sahihi kwa Mbele za Mwenyezi Mungu,Kama ni kutangulia ndiyo usahihi?Mbona Sheitani alitutangulia kuwepo hapa Duniani;Je Sheitani yuko sahihi?
@paulmushi24284 ай бұрын
Basi Tupe Aya ndani ya Qur'an inayosema Biblia ni kitabu kisicho sahihi!! Hatuhitaji porojo zisizo mashiko wala uthibitisho wa Maandiko!!
@RamadhaniLukambuzi4 ай бұрын
@@paulmushi2428 Sio porojo ndiyo maana nakutaka ayah ya Bibilia isemayo ni Kitabu sahihi kwa watu wote wa ulimwengu huu!
@RamadhaniLukambuzi4 ай бұрын
@@paulmushi2428 Ninataka ukweli wa Bibilia yenyewe make hatuwezi kuutafuta ukweli wa Quran bila kuanza na Quran Yenyewe kwanza ijipambanue Yenyewe kisha ndiyo tuiangalie Upande mwingine,Toa ayah ya Bibilia inayoithibitisha yenyewe ili watu wasiwe na mashaka kuifuata!
@yasiniselemani86724 ай бұрын
yesu yupo hai vipi nawakati hayupo pamoja na sisi toa uthibitisho wa kimaandiko
@yasiniselemani86724 ай бұрын
yesu atarudi lini mzee
@jumahenriquesgeraldo98374 ай бұрын
Mjinga tuu. Yeye hajui kutofauticha injili na bibilia. Hana hoja uyo