Binafsi huwa nafurahishwa na mijadala yenu hongera sanaa ,Very Calm
@AproniusMwinuka2 ай бұрын
Ubarikiwe Dr ndacha Mtumishi wa Bwana
@Muhammadnabii1Muhammadnabii2Ай бұрын
Masha Allah sheikh wetu uyo ndacha ata silimu tu INSHALLAH
@DAVIDMAGHANGAАй бұрын
Ndacha hongera
@FarhatIbrahim-zs3qh2 ай бұрын
Doctor sule ansema ki2 kwaushahidi mashallah someni quran mujuwe dini inasemaje
@africacoast6841Ай бұрын
Haya gani
@barackamosi41162 ай бұрын
Ndacha mtukubwa sana sule ye nikucheka cheka 2 haelewi kitu
@ashuramuhammed3257Ай бұрын
Ndacha mbabe wake mazinge TU maana mkaidi vibaya
@user-rc2ye4ri6tАй бұрын
Hongera sna dr sule kwa elimu nzuru waeleweshe hao makafiri wasiomjua Allah
@user-jt9sl9ll7pАй бұрын
Sule wako hnakitu
@EsterSabinus12 күн бұрын
Kikubwa amani
@user-ts1kz1lw9pАй бұрын
Achana na daawa Dr Tule
@SefuAlyy2 ай бұрын
Shekh Sule Nakukubalii sanaa
@DRSWALEHONLINETV2 ай бұрын
Hatanamipiya namukubal
@ameirfaki92772 ай бұрын
Real battle
@sophiaesmarcharo9775Ай бұрын
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@davidkamando96302 ай бұрын
Sule mbishi tu... Mch ndacha mbona anaeleweka sana tu
@IamLoe2 ай бұрын
I think you serve what / whom you use.....
@AhmedAlharithiy-sg5cq2 ай бұрын
Dr.sule masala Yana khilafu hakuna alie kuwa hai katika manabii wa la mitume allah hakujaalia mtu yoyote kabla ya mtumie kuishi milele
@abdymaalim637Ай бұрын
❤
@jacksonngusi41222 ай бұрын
Part2 tahadhali ni habar nzuri hivi
@tsumamartin68782 ай бұрын
Dr Sule majini yamekupagawa
@user-hy5zd5rn6rАй бұрын
Sule amekubali anamajini..... waislam mpo kweli?
@user-tz8zu2gt6u2 ай бұрын
mkuu wamajini Dr sule
@KhalidJuma-rn6ss2 ай бұрын
Ndacha upo mbioni kuingia kwenye uislam
@Dafetty2 ай бұрын
Inshaallah
@lulanjamd38862 ай бұрын
Pole sana Ndacha yupo sehemu salama hawezi kuwa wa muislam
@user-qy7he6cl8wАй бұрын
Ndacha hataki Majini
@umdtv2749Ай бұрын
Waislamu ni ndugu na majini au shetani 😈
@SwaahibulMakaanАй бұрын
Dr sule anaongea point uyo pumbu ndacha anaongea pumba
@threebrothers..2 ай бұрын
Dr sulle is a funny happy islam,atabatizwa na ndacha na ataingia choir
@joycekaphevemba7215Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Mkojani20242 ай бұрын
Hii kauli : "Maombi peke yake hayawezi kumaliza matatizo ya wanadamu" Aliyeielewa vizuri anifahamishe na mimi
@saidrakwe87272 ай бұрын
dr sule allah kampa elimu sana
@Dafetty2 ай бұрын
😂😂😂😂 Allah ndacha ana muita araa subhannallah
@KASSIMFUNDSIMU2 ай бұрын
SULE JITAHIDI KUTUMIA SHEREHE ZA QURAN AYA ZINAPINDISHWA BORA UACHE MJADALA KULIKO AYA ZIPONDWE PONDWE
@user-kz1bo2zu3c2 ай бұрын
Mchungaji usibishane na watu wamataifa kama huyo dr sule mtu mbaya sana shetani
@SefuAlyy2 ай бұрын
Dokta Sole no mapepo
@user-ml6wl6xi7n2 ай бұрын
Kikubwa Imani, Tuamini Kuwa MUNGU Ni Mmoja Na Tufanye Yaliyo Mema.
@chapchap-oz1ou2 ай бұрын
Kweli kikubwa ni imani...lakini imani ya mkristo na muislamu ni tofauti....MUNGU wao Si Mmoja kulingana na madai yako.
@user-qy7he6cl8wАй бұрын
Mungu sio Mmoja miungu wapo wengi lakini Mungu wa kweli ni mmoja Mungu mwenye Mungu Mungu wa Biblia Takatifu
@SurprisedApron-uq7kgАй бұрын
W Wacha uongo kama ww sio mu Islam huwezi kukuwa Namungu Moja kukuwa Namungu Moja razima usirim
@FridayMwassaАй бұрын
Kumbuka hata Buddha na wahindu wanaamini Mungu mmoja kama wewe
@donaldfrancissassa83602 ай бұрын
Mtangazaji unatukosea heshima , "biingereza vya ninini?'
@stephen-S7n2 ай бұрын
Dr. Sulle majini
@SurprisedApron-uq7kgАй бұрын
Ndacha kafiri mjinga ngoja kaburi ndio utatamani kurudishwa duniani namda wako unauhaributu
@salumhamed5074Ай бұрын
Nice
@bbnthia20552 ай бұрын
Dacha...kemea hizo majini Dr Sulle anazitumia uone akiokoka.
@RamadanPaul2 ай бұрын
Huyu mtangazaji anajifanya anajua kingereza, mara " speak about:" Kwa nini usitumie kiswahili lugha yetu.
@Shomariamuri12 ай бұрын
Dr Sule unaanza kuelenewa kabla ya mada yenyewe. Majini yakusaidie 😂
@mariamwanjiku38662 ай бұрын
Mimi kama muislamu , haifai kutumia majini kutafuta mali
@kijitamfyomi55982 ай бұрын
Dr Sule anajichanganya Anasema Allah alipomwambia mtume Muhammad kua atakufa ni future lakini baadae mtume Muhammad alikufa sasa kuna tofauti gani na Mtume Issa na aliambiwa nitakufisha hii pia ni future kwa hiyo baadae na Alikufa hawezekani mtu aishi milele ni ibilisi pekee aliepewa ofa ya kuishi hadi siku ya mwisho
@HemedSerious2 ай бұрын
Ni ww hujaelew
@KASSIMFUNDSIMU2 ай бұрын
Kijan ndacha anachekesha kwel
@michaelthobias99672 ай бұрын
Ndacha anaongea fact sio tatizo
@user-kz1bo2zu3c2 ай бұрын
Mandondocha wanamfuata dr sule kwenye comment wamesharogwa
@ngwalesma36812 ай бұрын
Wewe mtangazaji achana na neno "speaking about"
@africacoast6841Ай бұрын
Sule unapoteza watu.. Yohana 6:70 [70]Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?
@SwaahibulMakaanАй бұрын
Sule tumekuelewa ndacha ajui kiswaili
@user-jt9sl9ll7pАй бұрын
Sule kwanza namushauli kufanya mazowezi anakitambi kibaya sana
@piusnkwale2 ай бұрын
Jitaidi unapoulizwa maswali acha kutamka"speak about"unarudia sana hadi inaboa
@michaelthobias99672 ай бұрын
Mwandishi unaonesha upande hiyo ni tatizo
@user-tz8zu2gt6u2 ай бұрын
kwa kweli wewe ni mtaalamu wanajini yamekuharibu
@judithminja770Ай бұрын
Ndg mtangazaji hilo neno la speak about umejifunza jipya?😢😢kha
@joycekaphevemba7215Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
Nimemuona pastor kanyali kenya Anawaomba waumini katika tiktok huyo ni sawa ?????
@lordenoughforme44172 ай бұрын
Sule mchawi.ajificha chini ya uislamu
@helenarhobi1250Ай бұрын
Sasa kwani unamwonea huyo kwamba awe mwisilamu sababu ya kutokujua kiswahili basi ongea kingereza tuone.
@helenarhobi1250Ай бұрын
Kwani waislamu hamuendi hospitalini ninyi, acha uongo mzee mtu mzima!
@user-cy5zv5fb9lАй бұрын
Haka kamsemo ka watu wa upande wa pili et Kuna majini wema na mabaya huwa sielewi
@yusuframadhan89272 ай бұрын
Useless media with poor knowlegde of framing your headline
@user-rq3vu1zy6c2 ай бұрын
wote makafiri
@ramadhanyusuf24012 ай бұрын
😂😂😂😂wote kafiri
@KhamisOmar-kt4kz2 ай бұрын
Mpaka wakiristo wanakudhihaki kwa tamaa zako
@jeanninemunezero64692 ай бұрын
Sule na majini ndugu kabisa 😂😂😂😂😂
@peterAmiable72 ай бұрын
Eti sule anatoa andiko Yohana 6:70 eti mapepo yaliwatii wanafunzi wa Yesu. Huyu anabahatishaga tu maandiko
@SaidWaKonde2 ай бұрын
Ndacha mara hii utasilimu tu ukirudi kenya 🇰🇪 uwailumishe wafuasi wako
@shakila39822 ай бұрын
Imagine naisi Mwenyezi Mungu ndio usukuma ndacha kujua haki, hata mimi nilikuwa naupiga uislamu lakini ckuacha kudiscuse uislamu
@michaelthobias99672 ай бұрын
Hakuna mwislm wa kusimama na ndacha hapo
@annymacher3829Ай бұрын
😂😂😂ndacha hawez kua muislam jishikilie😅
@user-ys2gn1nd4q2 ай бұрын
Labda kwamajin so maandiko nyiwenyew mwamngoja yesu sasa atabadili kwalip nyoo
@ahmedimakope2 ай бұрын
We Kuma nn mkundu wa bibi Yako kipapa wew
@awatifsubeit40072 ай бұрын
@@ahmedimakope sasa matusi ya nini jamani tumuogope Allah zungunmza maneno yalio sawa au unyamaze kimya kwa mujibu wa mafundisho ya Mtume wetu
@SefuAlyy2 ай бұрын
Mafuta ya nazii
@FarhatIbrahim-zs3qh2 ай бұрын
Acheni ubishi dini yakiislam nd dini yahaki achen ushamba
@user-qy7he6cl8wАй бұрын
Unataka tufuge majini🥺🥺🥺🥺😊
@muriithijames22252 ай бұрын
Mbona waislamu lazima watumie lugha ta kiarabu kwa saala zao kwani allah haelewi lugha ingine isipokuwa kiarabu
@mariamwanjiku38662 ай бұрын
Kuomba dua unaeza omba na lugha yoyote lakini kwenye swala tunaswali namna alivosali mtume Muhammad saw
@paschaljuma33122 ай бұрын
Ukifikiria hivyo ni uchache wa akili yako ndo unakutuma kufikiria hivyo, kama yeye mwenyew Mwenyezi mungu anasema, " Tumekumbeni mataifa na makabila mbali mbali ili mpate kutambuana" akili yako inakutuma kuwa kuna kikomo katika lugha, mwentezi mungu anaamua kitu hiki nataka kiwe hivi, mtu anayo machaguo mawili kufuata au kukaidi ni chaguo lako. Wala haipunguzi kitu kwa mwenyezi mungu, kwaiyo suala la kusali kwa lugha ya kiarabu moja ya sababu ni namna sala inavyofanyika na jinsi quran inavyotakikana kusomwa. Hii ni dini ambayo kila kitu kiko katika utaratibu wake wa kukamilika acha kufananisha na yenu ambayo kila mtu afanta anavyojua maana hamna muongozo nyie
@arafatali27962 ай бұрын
ndoa lugha yetu sote hata wew utake usitake hujiuliz kwanin adhana iwe yakiarabu sio lugha nyengn qur an kiarabu nyinyi hamuon tabu biblia kuwa lugha tofaut tofaut ukienda kwenye nci yawatu jee itafanyaje
@ramadhanyusuf24012 ай бұрын
Hii ni ishara ya umoja Mungu anapenda umoja
@wazirikipanga3252 ай бұрын
Ndivyo ilivyo swala imefundishwa kwa kiarab hata mtume amefundisha hvo so hairuhusiwi kutia maneno yyt isipokuw kiarab hata ukitaka kuomba dua ndn ya swala ni kiarab ukitia lugha yyt pasi na kiarab ndan ya swala!! Swala hyo ni baaatwil haipokelewi.
@FahmyHassan-uf6hf2 ай бұрын
Mwezimungu ameishusha kurani kwamaneno ya kurani ndio tukatumia
@programminglanguagestutori9118Ай бұрын
Nani kaiwka kwa maadishi maana muhamad hakujua kusoma na kuandika?
@annymacher3829Ай бұрын
Kwanin Allah alisema" tukamuumba "kwan wangapi waliumba?
@user-id1gz3ng3k2 ай бұрын
Sule wepeke sio muisilam ww ni mswaili, ww unatumia majini kwenye matatizo yako 😂😂😂, ndacha na yeye wote niwamoja
@ZoroSharifu2 ай бұрын
Hakika ndacha ingia wi islamu mbio❤
@kiulajoseph91942 ай бұрын
Hawa wa jamaa mbona Kama ni marafiki poa tu ilamitandao ndio inaongea vitu vingi
@user-pg2tw8yt4l2 ай бұрын
😂😂😂
@mbukumagiubukumagu4062 ай бұрын
Mie ninachompendea Ndacha ikiwa wakiristo wamekosea anasema kama mzee upako wakiristo wengi hawasomi Bible lakini kuna mwengine anapinga tu hata kwenye ukweli Mfano kama Mw Daniël mkatoliki
@ramadhanimtetu3656Ай бұрын
Wajinga Huyu Anaeutwa Mganga Sule Hakusoma Uislam Na Huyu ndacha Namshauri Akasome Kwanza Uislam kwa kujifunza lugha ya asili iliyobeba kitabu cha imani ya Waislam Quran kisha aje kufanya Mijadala
@MussaHaji-zu4en2 ай бұрын
Gufu 😂 au nguvu?
@thelonewolf44292 ай бұрын
Sio adi atamke kama wewe ya muhimu nikumwelewa. Ata kingereza watu wanatamka tofauti sasa usijifanye yakwako ndio sahihi.