PART 1 DR SULLE ASHIKWA PABAYA NA MCH : NDACHA ATAJA JINI LINALOMUENDESHA SULLE ANAPINDISHA BIBLIA

  Рет қаралды 24,039

Bongo Touch

Bongo Touch

2 ай бұрын

Пікірлер: 108
@joventjohansenmushwaimi1988
@joventjohansenmushwaimi1988 2 ай бұрын
Binafsi huwa nafurahishwa na mijadala yenu hongera sanaa ,Very Calm
@AproniusMwinuka
@AproniusMwinuka 2 ай бұрын
Ubarikiwe Dr ndacha Mtumishi wa Bwana
@Muhammadnabii1Muhammadnabii2
@Muhammadnabii1Muhammadnabii2 Ай бұрын
Masha Allah sheikh wetu uyo ndacha ata silimu tu INSHALLAH
@DAVIDMAGHANGA
@DAVIDMAGHANGA Ай бұрын
Ndacha hongera
@FarhatIbrahim-zs3qh
@FarhatIbrahim-zs3qh 2 ай бұрын
Doctor sule ansema ki2 kwaushahidi mashallah someni quran mujuwe dini inasemaje
@africacoast6841
@africacoast6841 Ай бұрын
Haya gani
@barackamosi4116
@barackamosi4116 2 ай бұрын
Ndacha mtukubwa sana sule ye nikucheka cheka 2 haelewi kitu
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 Ай бұрын
Ndacha mbabe wake mazinge TU maana mkaidi vibaya
@user-rc2ye4ri6t
@user-rc2ye4ri6t Ай бұрын
Hongera sna dr sule kwa elimu nzuru waeleweshe hao makafiri wasiomjua Allah
@user-jt9sl9ll7p
@user-jt9sl9ll7p Ай бұрын
Sule wako hnakitu
@EsterSabinus
@EsterSabinus 12 күн бұрын
Kikubwa amani
@user-ts1kz1lw9p
@user-ts1kz1lw9p Ай бұрын
Achana na daawa Dr Tule
@SefuAlyy
@SefuAlyy 2 ай бұрын
Shekh Sule Nakukubalii sanaa
@DRSWALEHONLINETV
@DRSWALEHONLINETV 2 ай бұрын
Hatanamipiya namukubal
@ameirfaki9277
@ameirfaki9277 2 ай бұрын
Real battle
@sophiaesmarcharo9775
@sophiaesmarcharo9775 Ай бұрын
❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@davidkamando9630
@davidkamando9630 2 ай бұрын
Sule mbishi tu... Mch ndacha mbona anaeleweka sana tu
@IamLoe
@IamLoe 2 ай бұрын
I think you serve what / whom you use.....
@AhmedAlharithiy-sg5cq
@AhmedAlharithiy-sg5cq 2 ай бұрын
Dr.sule masala Yana khilafu hakuna alie kuwa hai katika manabii wa la mitume allah hakujaalia mtu yoyote kabla ya mtumie kuishi milele
@abdymaalim637
@abdymaalim637 Ай бұрын
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 2 ай бұрын
Part2 tahadhali ni habar nzuri hivi
@tsumamartin6878
@tsumamartin6878 2 ай бұрын
Dr Sule majini yamekupagawa
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r Ай бұрын
Sule amekubali anamajini..... waislam mpo kweli?
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
mkuu wamajini Dr sule
@KhalidJuma-rn6ss
@KhalidJuma-rn6ss 2 ай бұрын
Ndacha upo mbioni kuingia kwenye uislam
@Dafetty
@Dafetty 2 ай бұрын
Inshaallah
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 2 ай бұрын
Pole sana Ndacha yupo sehemu salama hawezi kuwa wa muislam
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w Ай бұрын
Ndacha hataki Majini
@umdtv2749
@umdtv2749 Ай бұрын
Waislamu ni ndugu na majini au shetani 😈
@SwaahibulMakaan
@SwaahibulMakaan Ай бұрын
Dr sule anaongea point uyo pumbu ndacha anaongea pumba
@threebrothers..
@threebrothers.. 2 ай бұрын
Dr sulle is a funny happy islam,atabatizwa na ndacha na ataingia choir
@joycekaphevemba7215
@joycekaphevemba7215 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Mkojani2024
@Mkojani2024 2 ай бұрын
Hii kauli : "Maombi peke yake hayawezi kumaliza matatizo ya wanadamu" Aliyeielewa vizuri anifahamishe na mimi
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 2 ай бұрын
dr sule allah kampa elimu sana
@Dafetty
@Dafetty 2 ай бұрын
😂😂😂😂 Allah ndacha ana muita araa subhannallah
@KASSIMFUNDSIMU
@KASSIMFUNDSIMU 2 ай бұрын
SULE JITAHIDI KUTUMIA SHEREHE ZA QURAN AYA ZINAPINDISHWA BORA UACHE MJADALA KULIKO AYA ZIPONDWE PONDWE
@user-kz1bo2zu3c
@user-kz1bo2zu3c 2 ай бұрын
Mchungaji usibishane na watu wamataifa kama huyo dr sule mtu mbaya sana shetani
@SefuAlyy
@SefuAlyy 2 ай бұрын
Dokta Sole no mapepo
@user-ml6wl6xi7n
@user-ml6wl6xi7n 2 ай бұрын
Kikubwa Imani, Tuamini Kuwa MUNGU Ni Mmoja Na Tufanye Yaliyo Mema.
@chapchap-oz1ou
@chapchap-oz1ou 2 ай бұрын
Kweli kikubwa ni imani...lakini imani ya mkristo na muislamu ni tofauti....MUNGU wao Si Mmoja kulingana na madai yako.
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w Ай бұрын
Mungu sio Mmoja miungu wapo wengi lakini Mungu wa kweli ni mmoja Mungu mwenye Mungu Mungu wa Biblia Takatifu
@SurprisedApron-uq7kg
@SurprisedApron-uq7kg Ай бұрын
W Wacha uongo kama ww sio mu Islam huwezi kukuwa Namungu Moja kukuwa Namungu Moja razima usirim
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
Kumbuka hata Buddha na wahindu wanaamini Mungu mmoja kama wewe
@donaldfrancissassa8360
@donaldfrancissassa8360 2 ай бұрын
Mtangazaji unatukosea heshima , "biingereza vya ninini?'
@stephen-S7n
@stephen-S7n 2 ай бұрын
Dr. Sulle majini
@SurprisedApron-uq7kg
@SurprisedApron-uq7kg Ай бұрын
Ndacha kafiri mjinga ngoja kaburi ndio utatamani kurudishwa duniani namda wako unauhaributu
@salumhamed5074
@salumhamed5074 Ай бұрын
Nice
@bbnthia2055
@bbnthia2055 2 ай бұрын
Dacha...kemea hizo majini Dr Sulle anazitumia uone akiokoka.
@RamadanPaul
@RamadanPaul 2 ай бұрын
Huyu mtangazaji anajifanya anajua kingereza, mara " speak about:" Kwa nini usitumie kiswahili lugha yetu.
@Shomariamuri1
@Shomariamuri1 2 ай бұрын
Dr Sule unaanza kuelenewa kabla ya mada yenyewe. Majini yakusaidie 😂
@mariamwanjiku3866
@mariamwanjiku3866 2 ай бұрын
Mimi kama muislamu , haifai kutumia majini kutafuta mali
@kijitamfyomi5598
@kijitamfyomi5598 2 ай бұрын
Dr Sule anajichanganya Anasema Allah alipomwambia mtume Muhammad kua atakufa ni future lakini baadae mtume Muhammad alikufa sasa kuna tofauti gani na Mtume Issa na aliambiwa nitakufisha hii pia ni future kwa hiyo baadae na Alikufa hawezekani mtu aishi milele ni ibilisi pekee aliepewa ofa ya kuishi hadi siku ya mwisho
@HemedSerious
@HemedSerious 2 ай бұрын
Ni ww hujaelew
@KASSIMFUNDSIMU
@KASSIMFUNDSIMU 2 ай бұрын
Kijan ndacha anachekesha kwel
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 ай бұрын
Ndacha anaongea fact sio tatizo
@user-kz1bo2zu3c
@user-kz1bo2zu3c 2 ай бұрын
Mandondocha wanamfuata dr sule kwenye comment wamesharogwa
@ngwalesma3681
@ngwalesma3681 2 ай бұрын
Wewe mtangazaji achana na neno "speaking about"
@africacoast6841
@africacoast6841 Ай бұрын
Sule unapoteza watu.. Yohana 6:70 [70]Yesu akawajibu, Je! Mimi sikuwachagua ninyi Thenashara, na mmoja wenu ni shetani?
@SwaahibulMakaan
@SwaahibulMakaan Ай бұрын
Sule tumekuelewa ndacha ajui kiswaili
@user-jt9sl9ll7p
@user-jt9sl9ll7p Ай бұрын
Sule kwanza namushauli kufanya mazowezi anakitambi kibaya sana
@piusnkwale
@piusnkwale 2 ай бұрын
Jitaidi unapoulizwa maswali acha kutamka"speak about"unarudia sana hadi inaboa
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 ай бұрын
Mwandishi unaonesha upande hiyo ni tatizo
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 2 ай бұрын
kwa kweli wewe ni mtaalamu wanajini yamekuharibu
@judithminja770
@judithminja770 Ай бұрын
Ndg mtangazaji hilo neno la speak about umejifunza jipya?😢😢kha
@joycekaphevemba7215
@joycekaphevemba7215 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Ай бұрын
Nimemuona pastor kanyali kenya Anawaomba waumini katika tiktok huyo ni sawa ?????
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 2 ай бұрын
Sule mchawi.ajificha chini ya uislamu
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 Ай бұрын
Sasa kwani unamwonea huyo kwamba awe mwisilamu sababu ya kutokujua kiswahili basi ongea kingereza tuone.
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 Ай бұрын
Kwani waislamu hamuendi hospitalini ninyi, acha uongo mzee mtu mzima!
@user-cy5zv5fb9l
@user-cy5zv5fb9l Ай бұрын
Haka kamsemo ka watu wa upande wa pili et Kuna majini wema na mabaya huwa sielewi
@yusuframadhan8927
@yusuframadhan8927 2 ай бұрын
Useless media with poor knowlegde of framing your headline
@user-rq3vu1zy6c
@user-rq3vu1zy6c 2 ай бұрын
wote makafiri
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 2 ай бұрын
😂😂😂😂wote kafiri
@KhamisOmar-kt4kz
@KhamisOmar-kt4kz 2 ай бұрын
Mpaka wakiristo wanakudhihaki kwa tamaa zako
@jeanninemunezero6469
@jeanninemunezero6469 2 ай бұрын
Sule na majini ndugu kabisa 😂😂😂😂😂
@peterAmiable7
@peterAmiable7 2 ай бұрын
Eti sule anatoa andiko Yohana 6:70 eti mapepo yaliwatii wanafunzi wa Yesu. Huyu anabahatishaga tu maandiko
@SaidWaKonde
@SaidWaKonde 2 ай бұрын
Ndacha mara hii utasilimu tu ukirudi kenya 🇰🇪 uwailumishe wafuasi wako
@shakila3982
@shakila3982 2 ай бұрын
Imagine naisi Mwenyezi Mungu ndio usukuma ndacha kujua haki, hata mimi nilikuwa naupiga uislamu lakini ckuacha kudiscuse uislamu
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 ай бұрын
Hakuna mwislm wa kusimama na ndacha hapo
@annymacher3829
@annymacher3829 Ай бұрын
😂😂😂ndacha hawez kua muislam jishikilie😅
@user-ys2gn1nd4q
@user-ys2gn1nd4q 2 ай бұрын
Labda kwamajin so maandiko nyiwenyew mwamngoja yesu sasa atabadili kwalip nyoo
@ahmedimakope
@ahmedimakope 2 ай бұрын
We Kuma nn mkundu wa bibi Yako kipapa wew
@awatifsubeit4007
@awatifsubeit4007 2 ай бұрын
@@ahmedimakope sasa matusi ya nini jamani tumuogope Allah zungunmza maneno yalio sawa au unyamaze kimya kwa mujibu wa mafundisho ya Mtume wetu
@SefuAlyy
@SefuAlyy 2 ай бұрын
Mafuta ya nazii
@FarhatIbrahim-zs3qh
@FarhatIbrahim-zs3qh 2 ай бұрын
Acheni ubishi dini yakiislam nd dini yahaki achen ushamba
@user-qy7he6cl8w
@user-qy7he6cl8w Ай бұрын
Unataka tufuge majini🥺🥺🥺🥺😊
@muriithijames2225
@muriithijames2225 2 ай бұрын
Mbona waislamu lazima watumie lugha ta kiarabu kwa saala zao kwani allah haelewi lugha ingine isipokuwa kiarabu
@mariamwanjiku3866
@mariamwanjiku3866 2 ай бұрын
Kuomba dua unaeza omba na lugha yoyote lakini kwenye swala tunaswali namna alivosali mtume Muhammad saw
@paschaljuma3312
@paschaljuma3312 2 ай бұрын
Ukifikiria hivyo ni uchache wa akili yako ndo unakutuma kufikiria hivyo, kama yeye mwenyew Mwenyezi mungu anasema, " Tumekumbeni mataifa na makabila mbali mbali ili mpate kutambuana" akili yako inakutuma kuwa kuna kikomo katika lugha, mwentezi mungu anaamua kitu hiki nataka kiwe hivi, mtu anayo machaguo mawili kufuata au kukaidi ni chaguo lako. Wala haipunguzi kitu kwa mwenyezi mungu, kwaiyo suala la kusali kwa lugha ya kiarabu moja ya sababu ni namna sala inavyofanyika na jinsi quran inavyotakikana kusomwa. Hii ni dini ambayo kila kitu kiko katika utaratibu wake wa kukamilika acha kufananisha na yenu ambayo kila mtu afanta anavyojua maana hamna muongozo nyie
@arafatali2796
@arafatali2796 2 ай бұрын
ndoa lugha yetu sote hata wew utake usitake hujiuliz kwanin adhana iwe yakiarabu sio lugha nyengn qur an kiarabu nyinyi hamuon tabu biblia kuwa lugha tofaut tofaut ukienda kwenye nci yawatu jee itafanyaje
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 2 ай бұрын
Hii ni ishara ya umoja Mungu anapenda umoja
@wazirikipanga325
@wazirikipanga325 2 ай бұрын
Ndivyo ilivyo swala imefundishwa kwa kiarab hata mtume amefundisha hvo so hairuhusiwi kutia maneno yyt isipokuw kiarab hata ukitaka kuomba dua ndn ya swala ni kiarab ukitia lugha yyt pasi na kiarab ndan ya swala!! Swala hyo ni baaatwil haipokelewi.
@FahmyHassan-uf6hf
@FahmyHassan-uf6hf 2 ай бұрын
Mwezimungu ameishusha kurani kwamaneno ya kurani ndio tukatumia
@programminglanguagestutori9118
@programminglanguagestutori9118 Ай бұрын
Nani kaiwka kwa maadishi maana muhamad hakujua kusoma na kuandika?
@annymacher3829
@annymacher3829 Ай бұрын
Kwanin Allah alisema" tukamuumba "kwan wangapi waliumba?
@user-id1gz3ng3k
@user-id1gz3ng3k 2 ай бұрын
Sule wepeke sio muisilam ww ni mswaili, ww unatumia majini kwenye matatizo yako 😂😂😂, ndacha na yeye wote niwamoja
@ZoroSharifu
@ZoroSharifu 2 ай бұрын
Hakika ndacha ingia wi islamu mbio❤
@kiulajoseph9194
@kiulajoseph9194 2 ай бұрын
Hawa wa jamaa mbona Kama ni marafiki poa tu ilamitandao ndio inaongea vitu vingi
@user-pg2tw8yt4l
@user-pg2tw8yt4l 2 ай бұрын
😂😂😂
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 2 ай бұрын
Mie ninachompendea Ndacha ikiwa wakiristo wamekosea anasema kama mzee upako wakiristo wengi hawasomi Bible lakini kuna mwengine anapinga tu hata kwenye ukweli Mfano kama Mw Daniël mkatoliki
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 Ай бұрын
Wajinga Huyu Anaeutwa Mganga Sule Hakusoma Uislam Na Huyu ndacha Namshauri Akasome Kwanza Uislam kwa kujifunza lugha ya asili iliyobeba kitabu cha imani ya Waislam Quran kisha aje kufanya Mijadala
@MussaHaji-zu4en
@MussaHaji-zu4en 2 ай бұрын
Gufu 😂 au nguvu?
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 2 ай бұрын
Sio adi atamke kama wewe ya muhimu nikumwelewa. Ata kingereza watu wanatamka tofauti sasa usijifanye yakwako ndio sahihi.
@AproniusMwinuka
@AproniusMwinuka 2 ай бұрын
Ubarikiwe Dr ndacha Mtumishi wa Bwana
БИМ БАМ БУМ💥
00:14
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 4,5 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 24 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 23 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
FULL: Kamala Harris speech at Atlanta rally | FOX 5 News
20:31
FOX 5 Atlanta
Рет қаралды 718 М.
MUNGU MMOJA NI NANI KULINGANA NA BIBLIA
40:46
BIBLIA NURU YA DUNIA
Рет қаралды 7 М.
MCH: NDACHA :ETI? MUHAMMED SI MTUME WA MUNGU!
19:52
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 13 М.
ONA MAHABA YA DK SULLE KWA WAKE ZAKE WANNE, NAWAPENDA WOTE
13:54
БИМ БАМ БУМ💥
00:14
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 4,5 МЛН