Hawana aibu Wala woga hapo Mh Waziri Mkuu asinge washushua ingekuwa imepita hiyooo.
@user-df5mj2ft4wАй бұрын
Kulipa kodi kunauma ukisikia taarifa iz
@gasperaroni5751Ай бұрын
Hapo waziri mkuu umenigusa piga kazi wezi wakubwa hao yanashiba bila jasho mungu akubariki
@christophermbuga9623Ай бұрын
Hiyo imepita hiyooooo!! Ukirudi ulikotoka maisha yataendelea kama kawa
@RobertMachenga-tz3reАй бұрын
Hizo kazi Mh. waziri mkuu ni za ndugu na hao wasimamizi haziwezi kuwa sawa.
@simonsadala2386Ай бұрын
Mmmmmmmmmh nchi ngumu sanaaaa hiiii hakuna mwenye uchungu na mali za umma
@elysetv1107Ай бұрын
Madawati ya mlingoti hayo 😊😊
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Wameshapiga hao utafungaje dirisha bioa fiber? Kisheria ni lazma kufunga wavu mbu
@MagrethKatondo-qs9ozАй бұрын
Mmmhhh hapo sasa.
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Watengeneze ya mninga ndo yatadumu
@lovenessvisent9408Ай бұрын
Alafu inawezekana raisi anakuwa na malengo mazuuri kabisa ila watendaj wake Sasa kipengele alaf kiiila kitu wao hupewa buuure buure kabisa lakin ndio hao hao wezi duu naumia sana moyoni alaf jela imejaa wezi wa kuku na tv na redio
@kashindisimon5265Ай бұрын
Aliyetangulia mbele ya haki atajiteteaje?? Wanamwangushia nyumba mbovu marehem
@anastazialushikaАй бұрын
Mpaka afike waziri agundue kunamapungufu kwa hakuna watendaji walio chini yake? Hivi ndio Tanzania
@hawaelymaricca7602Ай бұрын
Viti vyenyewe vinachanika mbao mlingoti hiyo
@mayrfrimi4759Ай бұрын
Yani tukiangalia na kuyasikia haya sisi wananchi tunazid kuchoka , na tunaelewa ni namna gani hela zetu zinapigwa na watumishi na chaajabu hawachukuliwi hatua, mama kasema atakuwa chura, inauma sana.
@hakimundabila794028 күн бұрын
Madirisha ya madarasa design yake nadhani wiremesh hazitakuwi kwa sababu za usarama wa wanafunzi pindi majanga yatokeapo
@rendiman2878Ай бұрын
uchaguzi umeanza eeeh, mliliwa wapi siku zote hela zinaliwa. Hizi sengeli hazitakoma huku Tanzania bila ya kuwaondoa hawa watawala kwenye madaraka na kuweka timu mpya
@SebastianNgimbaАй бұрын
majariwa na mshana lazima mlishagongana kona,maana haiwezekani miaka yote mnamfilisi na majanga kibao
@florencemeza6540Ай бұрын
Limenenepeana hadi linaongea kwa shida
@msowamhokole7714Ай бұрын
Awa ndio shabib mbunge anasemaga wanamsifia mamaanaupiga mwingi kumbe wao ndio wanaupiga mwingi
@drp3721Ай бұрын
Viongozi ngazi ya Wilaya hawasimamii ipasavyo wanaogopa muhali kukosoana.
@user-sw7tf1ob1bАй бұрын
Hao wezi kwanini hawafungwi mtu akina kuku police mageleza wamejaza masikini tu tumewachagua mulinde wezi?
@dastankalinga442Ай бұрын
Njoo na huku wsziri mkuuu
@ankoanko-zz7itАй бұрын
Naitaji kuja hukum yao
@msowamhokole7714Ай бұрын
Anatamani kumpiga hata vibao
@alexmwesiga3603Ай бұрын
PM unasumbuka na mafundi RC Yuko hapo, we angaika na RC, kazi yake ni nini, kusoma risala?
@HemedyLukindo-y9hАй бұрын
Hayo yote mkuu wa mkoa hakuyaona hadi waziri mkuu alipofika,Mh Rais inabidi wakuu wa mikoa na wilaya wawe wanatuma maombi ya kuomba kazi pamoja na wakurugenzi wa halmashauri haiwezekani P.M ndio akaguwe kazi ya viongoz wa chini anamaana asingeenda ilikuwa imeisha hivo hivo .
@jumamingwenya2659Ай бұрын
Ni rais ajae!
@mwigambachristopher1976Ай бұрын
Daah poleni sana ,hapa kutakuwa na shida ya Mfumo.
@user-tg7vq3ty8pАй бұрын
Huo ni msala
@oskakayombo9335Ай бұрын
rais ntarajiwa
@hajihassan5433Ай бұрын
Serikali za Africa bila kufanya maamuzi ya kuwanyonga hadharani Mafisadi kama ilivyofanya China mtatufanyia usanii tu. Wizi ni mkubwa mno mnamsifia mama anaupiga mwingi.
@robe661Ай бұрын
Nimetoa machozi,
@flaviankiria8251Ай бұрын
Wanatuibia mnoooo
@lovenessvisent9408Ай бұрын
Pia wanashiria wa jamhuri wachunguzwe maana wao hushundwa kesi