"TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI

  Рет қаралды 220,655

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

"TAKUKURU MCHUNGUZENI HUYU" - WAZIRI MKUU KWA HASIRA AANIKA MADUDU YA AFISA ARDHI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 337
@pastorb.alaurent1006
@pastorb.alaurent1006 Жыл бұрын
@ Mungu akubaliki kwa kazi nzur kama umefrahia mamzi ya waziri mkuu like hapo chin
@tonypaul426
@tonypaul426 Жыл бұрын
NamkubaL huyu mwamba .....MUNGU akulinde FATHER✊✊
@jacksonjamesndyabawe495
@jacksonjamesndyabawe495 Жыл бұрын
Mungu Akupe uraisi WA inchi
@HenryCastuli-jz3cx
@HenryCastuli-jz3cx 3 ай бұрын
Anafaa kuwa rais wa tanzania
@khalidkhalfan1556
@khalidkhalfan1556 Жыл бұрын
Kawaida ya watu wazuli kama awa uwa awadumu wabaya ndio wanadum baba nakuombea dua allah akupe uongozi mkubwa yani mimi nataka uwe Rise. Wa Tanzania
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 Жыл бұрын
Tuwaombee watu kama hao Mwenyeezimungu Baba awarehemu na azidi kuwatunza
@eliasbadyana
@eliasbadyana Жыл бұрын
Huyu baba ni roho ya JPM.Ila manyang'au hawatomwacha Salama maana wanahofia anaweza kujakuwa rais wahii nchi mwisho wasiku akawafirimba.
@awadhally1052
@awadhally1052 Жыл бұрын
Amiin
@arafaahmed3567
@arafaahmed3567 Жыл бұрын
Hiyo ndio kazi yao wezi wakubwa has baba njoo Tanga uwone wezi wengi hukuhasa has wa halmashauri wanauza kama vyao
@calvinloveambroce842
@calvinloveambroce842 Жыл бұрын
Uje na morogoro jaman kuna shida kubwa ya ardhi
@absalomnamoyo7176
@absalomnamoyo7176 Жыл бұрын
Safi sana waziri mkuu Mungu akulinde sana
@munaahmed8499
@munaahmed8499 11 ай бұрын
Mtoto wa Rais Magufuli ndio huyu masha Allaah kwa watu wenye akili tunaeleea na tunaomba dua aje kuwa Rais wetu
@pascalngalawapascalngalawa5714
@pascalngalawapascalngalawa5714 Жыл бұрын
Wazir siku zote uko sawa sana kaka kiukweli umekua hazina yetu kaka mungu Azidi kuku weka
@kenosman4780
@kenosman4780 Жыл бұрын
Aliekuteua aliona ktu ndan Yako mheshiniw. Ni vile TU katiba lkn ungevaa vizur sana viatu vya hayati mpendwa wetu. Naamin weng wetu tunataman utie Nia
@mohamseyf6243
@mohamseyf6243 Жыл бұрын
Mimi hii njemba nilikua naiona 2025 kama raisi,ila mungu ndo mpangaji wa Kila kitu.
@witnessmmari9902
@witnessmmari9902 9 ай бұрын
katiba hairuhusu, Lazma agombee mama,
@rajabushabani6962
@rajabushabani6962 Жыл бұрын
Nakukubari sana sana Mh: Waziri Mkuu Allah akujaarie na moyo huwo howo Amiina!
@khalidkhalfan1556
@khalidkhalfan1556 Жыл бұрын
Nawewe baba allah kama ndio anakupa nafasi hiii nnaimani hii nchi mafanilio yetu yatakuwa Kama Korea China urusi Japani yani itakuwa nchi ya juu japo nchi za kiafrika lakini itakuwa nchi yenye uwezo mkubwa big up baba Allah akupe moyo uwouwo
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Mweshimiwa huyo achunguzwe na takukuru kwanza mengine ya fate
@arafaahmed3567
@arafaahmed3567 Жыл бұрын
Njooni tanga mheshimiwa waziristan mkuu njooooooo
@omarihaji9264
@omarihaji9264 9 ай бұрын
Majaliwa wewe ni muhimu sasa na ktk hii nch
@omarihaji9264
@omarihaji9264 9 ай бұрын
W mkuu kashakua na uhakika uchunguzi wann
@adamsondishon
@adamsondishon Жыл бұрын
i wish you to be president 2025 you real deserve
@joshuakigola6823
@joshuakigola6823 Жыл бұрын
He deserves to be a president so kwa kuimbiwa mapambio ni kwa kazi yake
@abedomar5183
@abedomar5183 Жыл бұрын
RIP John Magufuli, Majaliwa wewe ndo tegemeo letu katika nchi hii my Allah protect you Insh'Allah
@yapukahassan
@yapukahassan 9 ай бұрын
Huyu muongo 2 na nimnafiki
@ELEONORARUBANZA
@ELEONORARUBANZA Ай бұрын
Genius Kasim Majaliwa sema daaaaah juu wana kukazia HUJAWAH ONEA MTUU NA HUTO ONEA MTUU Ishii sanaa jembe
@user-eq9lw9ju1l
@user-eq9lw9ju1l 9 ай бұрын
Hongera sana mh. Waziri mkuu tunahitaji utumishi uliotukuka na kujali wananchi wanyonge. Utabarikiwa zaidi.
@HusseinRj
@HusseinRj Жыл бұрын
Allah akujaalie afya imara na Maisha marefu
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
Safi sana MH.Majaliwa,mungu akubariki sana
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 Жыл бұрын
Hongera sn Waziri Mkuu, Magu alikulea kutumikia wananchi. Big up.
@mgungachannel9280
@mgungachannel9280 Жыл бұрын
Naomba jamani naitwa Ali Mwamgunga kutoka Kenya. Naomba habar yngu ombi langu limfikie naomba kufika Tanzania au aje kuniona napenda kazi yake pia naipenda Tanzania.
@user-hs3er9ed6l
@user-hs3er9ed6l 3 ай бұрын
Mungu akulinde baba mimi iko nafasi nakuombea kwa MUNGU iko siku nitakukumbusha ikiwa mungu atakuwa ameniweka uko cku za mbele
@esthersissamo1120
@esthersissamo1120 Жыл бұрын
Mungu akulinde mkuu uwe na afya njema Mungu ibariki Tanzania na wananchi wake
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 4 ай бұрын
Kaka uko vizuri 🙏🙏 Mwenyezi Mungu akuongezee umri 🙏🙏 msaidie mama yetu 🙏 gurudumu la maendeleo ya taifa letu 🙏🙏
@waziriramadhani1186
@waziriramadhani1186 5 күн бұрын
Asante kiongozi,mungu Akupe umri mrefu,Tunateseka watu wa hali ya chini
@user-oj3fq4pi2u
@user-oj3fq4pi2u 9 ай бұрын
Hongera Waziri Mkuu Majaliwa, ndiye Mkombozi katika Wachache tunawategemea...Uchaguzi ujao hebu Omba nafasi ya Urais tunakihitaji Mzee baba!!!!!
@salem9874
@salem9874 Жыл бұрын
Big up Majaliwa
@hildapenina815
@hildapenina815 Жыл бұрын
Yan majaliw ungekuwa raisi ww da Tanzania tungekuwa uchumi wa Kat da mungu kwa nn akukuchaguwa kuwa raisi wa nchi hii mungu akupe maisha marefu baba
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 Жыл бұрын
Big up waziri mkuu kipenzi Cha wa Tanzania
@tonypaul426
@tonypaul426 Жыл бұрын
2025 tunakuhitaj FATHER✊✊
@salimusalim3610
@salimusalim3610 Жыл бұрын
Waziri mkuu anaendana nakasi anayotaka rais samia MUNGU awape nguvu ktk uongozi wao na viongozi wengine
@nadirdoody7955
@nadirdoody7955 3 ай бұрын
Amen amen waziri mkuuu amen mungu akulinde amen
@jamesmayala5491
@jamesmayala5491 Жыл бұрын
The next big thing
@daud405
@daud405 Жыл бұрын
Majaliwa,Allah akulinde... product of mpendwa wetu Magu. ninaimani anaongoza malaika mbiguni
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 Жыл бұрын
Jifunze namna Bora na sahihi ya KUFIKIRI. Then uwe na mipaka ya KUFIKIRI
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 Жыл бұрын
Akuna mtu anaweza kuongoza malaika brother soma dini yako vizuri
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 Жыл бұрын
@@hajjiomary2383 mpe elimu huyo kavuka mipaka kbs
@mudighurayra
@mudighurayra Жыл бұрын
Labda anakula msoto
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 Жыл бұрын
@@mudighurayra akili imegoma kufanya kazi labda akaishia kuwaza ivyo
@majaliwaharuna4064
@majaliwaharuna4064 Жыл бұрын
Menyezimungu akupe umri mrefu wenye baraka mh waziri mkuu,tunakufuatilia kwa umakini Sana, kiukweli wewe umeonesha kuijali hii nchi na wananchi wake,siku moja utaiongoza nchi hii inshaallah
@amosmbangala9079
@amosmbangala9079 Жыл бұрын
Tunakuomba uje njombe kunamatatizo mazito nakaimu mkuu wa idara ya aridhi anahujumu aridhi kwamasikini nakuwapa matajili kulipa fidia hewa nyingi
@patriciamuganda4498
@patriciamuganda4498 9 ай бұрын
Msimfuatilie tu na nyingi unganeni nae kukemea ufisadi na dhuluma. Jukumu la kudhibiti ufisadi si la Waziri Mkuu tu. Ni la Wananchi wote wa Tanzania. Penye wengine Pana nguvu.
@user-gx2do8ls8z
@user-gx2do8ls8z 9 ай бұрын
Wengine mungu awapumzishe tena inatosha hawana faida kwa mungu hata kwa binadamu pia
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Allah atulindie kwauwezo wake huyu kiongozi wetu mpendwa. Kipenzi cha wapenda haki wa Tz.. Amyn🤲endeleakutenda haki usifemoyokwa maneno yawatu wabaya Allah atakulipa heri maana cheoni zamana. Kwa Allah zidikutendahaki tunakuombea wazilimkuu. Wetu
@user-dx9gf7vx1r
@user-dx9gf7vx1r 4 ай бұрын
Mhe/ Waziri Mkuu hongera kwa utatuzi wa mgogoro. Mhe peteni mikoani kujionea uhallisia wa watumishi wa Ardhi. Wanajiita watoto wa wakubwa
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Mungu akusaidie kaka yangu majaliwa mungu akulinde washuhulikie madhalimu mungu atasima na wewe mungu akulinde ntakuja kukusalimia njumbani kwako ruwangwa napajua usiwaonee aibu mungu tusaidie tanzania
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu 8 ай бұрын
Mzee MAGU alionambali na alikufaamuvyema unastaili mungu akupe maisha marefu na ninakuombea kwa mungu ili sikumoja ujekuwa raisi.
@simas.a1003
@simas.a1003 Жыл бұрын
YANI HILI NDO JEMBE(MAN AT WORK), asante Babangu.
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 Жыл бұрын
majaliwa kama majaliwa ungekua karibu ningekupa zawadi ya muindi wa kuchoma na maji baridiiii
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Жыл бұрын
ili awe Raisi maana wengi wala mahindi wengi wamekuwa maraisi
@hamisidale2704
@hamisidale2704 Жыл бұрын
Magufuli anaishi ndani ya Majaliwa" siku yako itafika utaturudisha,alipoachia bulldozer, chapa kazi Mkuu
@KelvinMtavangu-ow8yo
@KelvinMtavangu-ow8yo 9 ай бұрын
HONGERA SANA Mh. WAZIRI. KUPO VIZURI. KAMA SISI WANYALU. NYEUPE NI NYEUP NA NYEUSI NI NYEUSI. MUNGU AKUONGOZE Mh. WAZIRI MKUU. ASANTE.
@amanijm746
@amanijm746 Жыл бұрын
Majaliwa tunamuombea MUNGU amtunze. Ila kwa mfumo wa chama cha mbuzi, atapigwa chini mda sio mrefu. Next round harudi.
@eliasbadyana
@eliasbadyana Жыл бұрын
Cyokupgwa chin tu yanaweza yakamkuta yaliyomkuta jpm.maana huyu akiwa rais wanch anaweza kuzuia watu wasilambe asali.
@athumanmfangavu7320
@athumanmfangavu7320 5 ай бұрын
Hongera mama Samia na watendaji wako kwani mnakazi kubwa Sana yakuletea maendeleo❤
@jamalhamisi5559
@jamalhamisi5559 4 ай бұрын
Alla akulinde muheshimiwa waziri mkuu
@raiszongo4136
@raiszongo4136 Жыл бұрын
Nakupenda sana majaliwa wewe ni zaidi ya alama kubwa ktk TAIFA letu Mungu akulinde
@mohammednassor8167
@mohammednassor8167 Жыл бұрын
Ahsante sana mh waziri mkuu kwa kusimamia haki mungu atakuvusha aaameen
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
Nakuombea kwa mungu akupe uhai mrefu afya njema waziri mkuu wetu ili uje kuwa raisi wetu wa baadae.
@zuberyshabaniiddy
@zuberyshabaniiddy Жыл бұрын
Mungu akulinde
@mwandisimfukwe326
@mwandisimfukwe326 Жыл бұрын
Ila nawaza tu ungekuwa mr prezidaa da nimemis hali hii🔥
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 Жыл бұрын
Nasikiliza hiki kitu namkumbuka magufuli machozi yanataka kunitoka kabisa.
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Pole yani katuachia jembe kama yeye
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Жыл бұрын
BABA majaliwa Mungu akupe umri mrefu
@user-se4vm2lt9e
@user-se4vm2lt9e 11 ай бұрын
Mungu akubariki sanaa
@hamidahamis4537
@hamidahamis4537 Жыл бұрын
Hakika Mungu Anamakusudi Kukuleta hapa Duniani waziri wetu Mkuu Mungu akubariki wa zazi wako. Wewe Ni baba wa wanyonge
@pasuabozi-df9wy
@pasuabozi-df9wy Жыл бұрын
Nakuombea kwa mungu uje kuwa ulaisi wa jamuhuli ya muungano wa tanzania tia nia mzeee inshalhaa
@user-xc4gr6by1y
@user-xc4gr6by1y 9 ай бұрын
Waziri wetu njoo nakasulu baba utusaidie tunadhurumiwa njoo njoo na mungu., Akubariki sana
@adamufundikira7878
@adamufundikira7878 Жыл бұрын
Duh asante Mungu kwa mtu kama majaliwa
@nassibuduma7162
@nassibuduma7162 Жыл бұрын
Ubarikiwe waziri kwa utumishi
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 9 ай бұрын
Asante waziri mkuu kwa maamuzi yako maduri,Jpm alipokutèua alijua unafaa katika nafasi hiyo! tatizo ni pale ulipoungana na mfumo wa ccm iliyopo madarakani na kumsaliti mpendwa wetu jpm! nakumbuka wewe ndiye uliyesimama na kuwadanganya wananchi kwamba jpm ni mzima na anaendelea na majukumu yake ya ndani kumbe ameshakufa! baada ya siku chache mkatangaza kwamba alikuwa anaumwa na amefariki! hayo yote tunayakumbuka! Mgogoro wa Ngorongoro ulisimama Bungeni na kutangaza hakuna tatizo Ngorongoro wakati kuna vurugu kati ya askari na Wananchi na askari akachomwa mshale na kufa! Hivyo endelea kupambana mkuu ila Mungu ndiye atakaeamua kiongozi ajaye! Maana kuna damu inawalilia pamoja na Wananchi wanaodhurumiwa kila siku ardhi zao na haki zao katika Taifa hili! Na serikali ipo na viongozi mpo mnawaza kujinufaisha wenyewe na vizazi nyenu! Kila kona ya Nchi ni dhuruma kwa Wananchi! Wizara ya ardhi imejaa dhuruma Nchi nzima ndiyo inayoongoza kwa migogoro ya ardhi na dhuruma! chunguza kila mkoa, kila wilaya, kila kata, kila kijiji, mtabaini dhuruma hizo!
@bilo1106
@bilo1106 9 ай бұрын
Tanzanian naipenda sana na huwaza wao mwenyezi mungu hawabariki sana..
@sabratally7688
@sabratally7688 9 ай бұрын
Nakuona mbali sana baba mungu akupe neema ya ajabu
@andersonmutta3807
@andersonmutta3807 Жыл бұрын
M/MUNGU akupe afya njema Hon. PM Kassim Imani yangu siku Moja utakuja kuwa top leader kwenye hii nchi.
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 9 ай бұрын
Waziri mkuu nakupenda sana, huyo ni tapeli, ndio wasiotutakia mema wananchi wa taifa hili.
@venturejackson6357
@venturejackson6357 Жыл бұрын
Kama mwenyezi mungu ansikia maombi yetu tafadhali 2025 atupatie wewe majaliwa yaan dah 😭😭😭
@hassanikanjesikiwallekiwal9826
@hassanikanjesikiwallekiwal9826 Жыл бұрын
Lailah ilalah.muhamadi.rasulilah.mwenyezi.mungu.akulinde.nakukujakia.maisha.marefu.waziri.wetu
@blanikamgaya-hh6ie
@blanikamgaya-hh6ie 9 ай бұрын
Mungu akubaliki majaliwa
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 Жыл бұрын
Nataman wampe dhamana 2025. Yan atapita bila kupingwa huyu mwamba. Watu wa chini hawana kauli kabisa tokea mzee aondoke. We need this man
@mwitasteven8759
@mwitasteven8759 Жыл бұрын
Duh huyu mtu ni hatari sana. Fikiria mtu kama huyu ndiyo awe kiongozi wa taifa atajimilikisha kila siku kitu huyu ni zaidi ya mbinafsi
@bakarikombo6279
@bakarikombo6279 Жыл бұрын
Waziri mkuu kama huyu tumlinde kwa nguvu zetu zote
@JoshuaMartin-qk3ev
@JoshuaMartin-qk3ev Жыл бұрын
Mwaka 2025 ebu jitose kupambania urais, ss ndo tunakuelewa kuliko mwanasiasa yyte
@yassinimahawe7785
@yassinimahawe7785 Жыл бұрын
Hongera sana wazir mkuu soo President
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v 9 ай бұрын
Hongera sana Waziri Mkuu wewe na Rais Samia kazeeni uzi wamezidi kunyanyasa wananchi Asante sana Mungu awalinde na hao mabeberu
@emmanuelmatogolo5869
@emmanuelmatogolo5869 Жыл бұрын
Mh. Waziri Mkuu tuna kuomba sana huu mkoa wa Katavi una madudu mengi sana, na ufisadi mkubwa naomba chunguza kila idara hapa katavi
@cosmasathanas1184
@cosmasathanas1184 Жыл бұрын
Hongera Sana kwakazizur unayofanya muheshimiwa
@gaspamwamlima6942
@gaspamwamlima6942 Жыл бұрын
Nakukubali sana
@robertempire9542
@robertempire9542 Жыл бұрын
Weka ndani huyo
@Athumanibandima-kx4qs
@Athumanibandima-kx4qs 4 ай бұрын
Waziri mku majaliwa mungu akubariki tenda haki mkuu
@zlatanibra4791
@zlatanibra4791 Жыл бұрын
mungu amueke waziri wetu
@enockngande9114
@enockngande9114 Жыл бұрын
Jamani tumia mishahara yenu vizuri tamaa zenu zina waponza kuna watu wanatamani hata hizo nafasi hawazipati
@RamadhaniShembillu
@RamadhaniShembillu 9 ай бұрын
WADAUEEEE HUYU NDIE ANAETUFAA KUA RAISI WA TANZANIAN 🇹🇿, EWEMUNGU .TWAKUOMBA UTUPE MTUHUYU AWE RAISI WETUUU. SEMENI ANIIIN
@tumainikilembe1008
@tumainikilembe1008 Жыл бұрын
Mungu akubariki waziri mkuu
@surusuru1994
@surusuru1994 Жыл бұрын
Waziry 💖💖💖💖👏👏👏huyo tapeli
@wismankamendu6264
@wismankamendu6264 Жыл бұрын
Wazili mkuu yukoo vizuri sana
@marysebelelo
@marysebelelo Жыл бұрын
Safi sana
@prophetzakayomkemwa5154
@prophetzakayomkemwa5154 Жыл бұрын
Safi Sana waziri mkuu majaliwa unaweza
@lightnessreuben9202
@lightnessreuben9202 Жыл бұрын
Hongera Sana kiongoz sahihi
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Жыл бұрын
Harakati ngumu sana Mzee Wacha he sana tena sana Hunter never tired
@kalebiestomihi
@kalebiestomihi 9 ай бұрын
kwa hili.nakupa hongera
@magrethmeela154
@magrethmeela154 Жыл бұрын
Haya niyakweli MH waziri mkuu wapo wengi. Mwingine ni Mwenyekiti Baraza la Ardhi mkoa mza
@user-hj1qz6xs6d
@user-hj1qz6xs6d 4 ай бұрын
0:27 0:27 0:27 0:27 0:27
@AnnaKillo-bo7cx
@AnnaKillo-bo7cx 8 ай бұрын
Huyu baba ni mzuri anafuata nyayo za Magufuli kilichomponza ni kitu kidogo tu. Kujumuika kwenye bandari ila pia ninawasiwasi sidhani kama moyoni mwake ameruhusu bandari zitaifishwe ila kwakuwa hana kauli mwenye kauli ni mama. Sidhani yeye kama yeye amependa
@skylove5146
@skylove5146 Жыл бұрын
Ww ndo ndomzalendo wa kweli
@mikejohn7423
@mikejohn7423 Жыл бұрын
Shughulikia na pesa.zinazopigwa na mawaziri na maofisa wakubwa badala.ya kuwafuatilia hawa wadogo na.kuonyesha ukali.
@josephmkina
@josephmkina Жыл бұрын
Mh Majariwa big up.
@jumakasentsent4464
@jumakasentsent4464 Жыл бұрын
Mwenyezimungu tupe Majaliwa
@marymuna5810
@marymuna5810 Жыл бұрын
Ewe mwenyezi Mungu mlinde mtu huyu wale masta plani wasimone mfunike kwa utukufu wako wasimwone mwana wa Africa
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 Жыл бұрын
Anatokea mjinga mmoja anasema hakuna mwanasiasa km mama, mama huyu, akifa hatuwezi kuwa na rais? Fisadi lile, mtoto wake awe waziri wa ardhi, fisadi asiyeweza kazi kama Lukuvi. Jinga sana.
@pascaltatok8462
@pascaltatok8462 Жыл бұрын
Huyu ndo kiongozi mwenye uzalendo na nchi hii
@rehanijuma1421
@rehanijuma1421 8 ай бұрын
Hatari sana
@jumanamwasa-iw2zn
@jumanamwasa-iw2zn 9 ай бұрын
Mungu awe na wwe mkuu wetu ww ndo kiongoz
@dolomentfrance418
@dolomentfrance418 Жыл бұрын
Mahufuri katuachia mbegu njema
@jamesloshilunye414
@jamesloshilunye414 9 ай бұрын
Mama akupishe 2025
@sadicksanga6034
@sadicksanga6034 9 ай бұрын
Hongera sana waziri mkuu nataman uzunguke mikoa yote mana hayo maroho ya ubinafsi yapo meng sana njoo hata huku iringaa ujionee
@charleslusekelo4069
@charleslusekelo4069 Жыл бұрын
Mungu akutunze pm majaliwa
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,7 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 106 МЛН
That's how money comes into our family
00:14
Mamasoboliha
Рет қаралды 11 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,7 МЛН