KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''...

  Рет қаралды 150,361

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 211
@globaltv_online
@globaltv_online 8 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@Nagmah-gf4lp
@Nagmah-gf4lp 8 ай бұрын
Makonda hongera kwa bidii na kazi njema
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 8 ай бұрын
Mimi nashangaa sana,, hayo ndio matatizo yaliopo ndani ya serikaliyetu,haikuonekana mkiyatatua muda wote!! Saizi Kuna Nini?? Tulishajizoelea siye..hizi mbwembwe zakujifanya mmekuwa wema saizi,nikutupumbaza2 watanzania nabaada yahapo kunakitu nyuma ya pazia...acheni kufanya viinimacho.mnayakujibu Kwa mungu.
@Misheckkazilist-cv2hb
@Misheckkazilist-cv2hb 8 ай бұрын
Kweli😢
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 8 ай бұрын
Mama yangu ametumika miaka 30 ya enzi ya nyerere hadi mwinyi, aliambulia m3, na amekufa kwa depression alisumbuliwa na ofs zote kuanzia elimu, waziri mkuu hakuna kitu
@estellemwai5402
@estellemwai5402 8 ай бұрын
Makonda katika ubora wake 💯❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@RobbyMukonjero-rp5gt
@RobbyMukonjero-rp5gt 8 ай бұрын
Magufuli anerudi,that is very good
@IsayaPaul-qq2li
@IsayaPaul-qq2li 8 ай бұрын
Makonda piga kazi baba mungu akubariki
@joycekalago532
@joycekalago532 8 ай бұрын
Makokonda anajibu amina kwakweli anabarikiwa sana
@jumakubili1512
@jumakubili1512 8 ай бұрын
Tanzania tuweke wizala ya malalamiko na wazili wake awe makonda maana wataanza wanaonewa sana na sehemu ya kupeleka malalamiko Yao akuna, alikuwa mwenda zake na Sasa ni makonda.
@clrarasekuza
@clrarasekuza 3 ай бұрын
Mungu akutunze kwa dumu ya Yesu
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 8 ай бұрын
Yesu wa Ekaristi aendelee kukuongoza Sema kweli daima fitina kwako mwiko
@AndulileNdasalama
@AndulileNdasalama 8 ай бұрын
O 5:11o 6:32ko
@AndulileNdasalama
@AndulileNdasalama 8 ай бұрын
Pm
@AndulileNdasalama
@AndulileNdasalama 8 ай бұрын
Ol P Okk😅 op L😅
@ReginaldAplonary
@ReginaldAplonary 8 ай бұрын
Nakuona ukifika mbali sana mkuu
@godwimmkolomi8988
@godwimmkolomi8988 7 ай бұрын
Uyu mwamba apangiwe utalatibu mzuri zaidi ili awafikie watu wengi anaweza kulinda nakutafuta kura nyingi kwa wakati mmoja na peke yake uyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja ni mbunifu anakipa heshima chama aongezewe uwezo na mbinu zaidi huu ni ubunifu zaidi
@neemanziku5403
@neemanziku5403 8 ай бұрын
Mama Samia huyu makonda ni mtu muhimu ktk Tanzania tunataka viongoz bora kama Makonda
@israelmhada7285
@israelmhada7285 8 ай бұрын
Yupó poa xana
@MwanaishaSiri572
@MwanaishaSiri572 4 ай бұрын
Kabisaa
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv 8 ай бұрын
Barikiwaa mkuuu
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 8 ай бұрын
Halafu unakuta mpumbavu mmoja anasema makonda asiendelee kusikiliza watu. Safi sana Makondaaaa
@mayaally2512
@mayaally2512 8 ай бұрын
Analiwa yule mama na mapaka
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿​@@mayaally2512
@aminielabraham
@aminielabraham 8 ай бұрын
Makonda angalia mbele usiangalie pembeni kwanza Mtangulize Mungu, na umalize na Mungu hatakuacha 3:28
@DicksonIgnas-pq1rj
@DicksonIgnas-pq1rj 8 ай бұрын
Yule mama namashakanae kama anafasi yoyote selekalini wamuondoe hafai kutumikia wana nchi mfungo nao wawe paka
@onelovetz7935
@onelovetz7935 8 ай бұрын
Tuko pamoja apamdanie wananchi makonda oyee
@TegemeaSanga-d6r
@TegemeaSanga-d6r 8 ай бұрын
Hapo kazi tuu mtu wa Mungu.
@FadhilaMwidini
@FadhilaMwidini 5 ай бұрын
Ila Makonda unawasikiliza watu san hogera kaka
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 ай бұрын
Mwenyekiti wa CCM uko vizuri
@IsaiahWanjala-wg5tv
@IsaiahWanjala-wg5tv 7 күн бұрын
I shoder how u u can cut down maize food but anyway congratulation makonda for what your doing god bless u
@aminielenock2050
@aminielenock2050 8 ай бұрын
Nakuombea kwa mwenyezi MUNGU akulinde sana mkuu ❤
@MatridaBenny
@MatridaBenny 8 ай бұрын
Mungu akusaidie mkuu utafika mbali. Upo kama magufuri mungu fundi kwakwer
@FadhilaMwidini
@FadhilaMwidini 5 ай бұрын
Fundi kweli kweli anatoa analeta Allah akutunze
@robertnkaragano298
@robertnkaragano298 8 ай бұрын
FANYA KAZI comrade MAKONDA!! Aisee nakutabiria mbali sana
@nashonkibayayu3776
@nashonkibayayu3776 8 ай бұрын
Nakushukuru mheshimiwa mwenezi C.P. makonda.maelezo Yako no darasa Bora.
@mwanamwendy9265
@mwanamwendy9265 8 ай бұрын
Safi sana baba
@allymmahmudhassan
@allymmahmudhassan 4 ай бұрын
😊zero
@lucaschipanga4466
@lucaschipanga4466 8 ай бұрын
Kaka makonda juwa watanzani Wana kuamini wasaidie wanyonge mungu atakuripa kwakira njambo
@SophiaSenkoro
@SophiaSenkoro 8 ай бұрын
Hongera makonda Kwa kazi nzuri unayoyafanya na mama
@fuhuruffelix5682
@fuhuruffelix5682 7 ай бұрын
Kiongozi bora sana
@IbrahStaneliy-g7s
@IbrahStaneliy-g7s 8 ай бұрын
Safi sana
@ruzindazajonas8506
@ruzindazajonas8506 8 ай бұрын
Hivi? Kama kiongozi anakataa kulipa watu pesa yao na ni mali ya sarekali sio ya mfuko wake, anakua na lengo gani kama sio rushwa.
@LilyMwalugaja
@LilyMwalugaja Ай бұрын
Serikari. Mngelitazama hili. Hao watendaji. Hawana kazi. Yoyote. Ila mwenye kiti wa mtaa ndio anathamani. Kubwa sana na. Anastahiri. Kupewa mshahara.
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 7 ай бұрын
Ninachokiona mnazunguka mbuyu lkn kinachotutesa ni katiba leo hii chama kinafanya kazi ya serikali
@ElizaMolle
@ElizaMolle 6 ай бұрын
Makonda mungu akuzidishiye miyaka uzidi tu kuwateteya wanyonge
@NemerikaIekoko
@NemerikaIekoko 4 ай бұрын
Pole makonda utakiwa upewe mkoa wa tanzani
@StellaGurusya
@StellaGurusya 8 ай бұрын
Naomben jaman namba za makonda Mimi pia nimsitaaf
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 8 ай бұрын
Mwenyekiti ni mtu mzur mana ni mkweli tena wnafyeka adi nyumba
@SaidHassan-wz1px
@SaidHassan-wz1px 8 ай бұрын
Unafaa Kua Waziri Mkuu amini Kaka mm nakuombea San
@zainabumohamedy6988
@zainabumohamedy6988 3 ай бұрын
Safi Sana makonda.
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 8 ай бұрын
Mnawapangia watu walime nini kwani mnawajua mahitaji ya familia zao kweli hii siyo sawa.mnahisi kama angepandisha Mori km Masai kingetokea nini?
@syliveriuszaverius2347
@syliveriuszaverius2347 4 ай бұрын
MUNGU akutunze mkuu 👏👏
@MkayulaDavid
@MkayulaDavid 8 ай бұрын
Makonda weye noma aisee
@petermarco8656
@petermarco8656 8 ай бұрын
Ukitaka kuamini hana uwezo,Mh Bashe ameshawataja viongozi wa juu wanaoweza kuingilia issue ya sukari yaani bei elekezi, ama kumshauri,hayupo
@RobertKatende-l6w
@RobertKatende-l6w 8 ай бұрын
Daaaah Makonda hana tofaut na Hatati maguful
@belafontesteven5144
@belafontesteven5144 8 ай бұрын
Daaah!
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 8 ай бұрын
Hii Tanzania watu wanaumia sana kwa kuonewa sijui itaisha lini naona dawa ni Makonda Mungu akulinde Baba
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 8 ай бұрын
Subili uchaguzi upite,kama utayaona hayo. Mwamba alikuwa magu2 wengine wanatuonesha viinimacho,wajisafishie njia,kuweni na macho jamani watanzania!
@DanielSamatembo-ks3vl
@DanielSamatembo-ks3vl 6 ай бұрын
Viongoz hawana akli ao
@IsiraeliMolly-o3z
@IsiraeliMolly-o3z 7 ай бұрын
Hello 🤩❤❤❤❤❤❤
@EmmanuelGabriel-xq5ym
@EmmanuelGabriel-xq5ym 5 ай бұрын
Makonda nimekukubali.nmekutabiria mbali sana unasaidia wana nchi
@petermarco8656
@petermarco8656 8 ай бұрын
Ccm ni wasanii sn wameona waanze na hili la makonda kujifanya anatatua matatizo binafsi kama vile magufuli lkn hana uwezo,ni kurudisha japo matumaini yaliyopotea lkn hamna lolote
@machilafaustin9473
@machilafaustin9473 8 ай бұрын
Kwa upande wako unaona hao watu hawasaidiwi
@mussakeston5768
@mussakeston5768 4 ай бұрын
Ukiona huwez kutoa coment acha
@franktibwita228
@franktibwita228 8 ай бұрын
Makonda piga kazi binafsi nakupenda mwambie rais nampenda sana ila kama unaweza naomba mtaji million 5 nifanye biashara naitwa frank tibwita Frome mwanza
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 8 ай бұрын
Njaa izo
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 8 ай бұрын
Makonda 🙏🙏
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 8 ай бұрын
Asante mkurugezi wewe ni kiongozi wawanachi
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 8 ай бұрын
Makonda anafaa kuwa Rais kabisa
@petermbuma9056
@petermbuma9056 8 ай бұрын
makonda umelalamikiwa sana na wananchi je hizo kero mnazitatua???au mnafanya mambo kisiasa???
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 8 ай бұрын
Mkuu viinimachooo!!2
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 8 ай бұрын
Awajato hongo awaviongozi bana dah
@KafugeFrancis-be8qp
@KafugeFrancis-be8qp 8 ай бұрын
Piga kazi mwenezi
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 8 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@GraceMhoja-zc7yg
@GraceMhoja-zc7yg 8 ай бұрын
Mungu mlinde makonda
@MurulaAhmadi
@MurulaAhmadi 3 ай бұрын
NARUDIA TENA MHESHIMIWA MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPEMAISHAMAREF
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 ай бұрын
Makonda juuuu zaidi
@GilbertGombeye
@GilbertGombeye 8 ай бұрын
Tatizo ni serikali inataka kutawala chama tatizo ni serikali
@ShedrackDamiani
@ShedrackDamiani 8 ай бұрын
🎉🎉
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 ай бұрын
Zambi kubwa sana kuharbu chakula hiyo ni laana
@monicamwita7865
@monicamwita7865 8 ай бұрын
Tunaomba namba ya Makonda
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 ай бұрын
Mkuu wa wilaya ana sauti ya mahaba
@petermboje5839
@petermboje5839 8 ай бұрын
Makonda twanga kazi
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 5 ай бұрын
Sasa makonda malizia basi sh ngapi hiyo fidia, maana huo ni mgogoro mwengine
@madam-florensialutego
@madam-florensialutego 8 ай бұрын
Namuona Rais wa mwaka elfu 2031
@lizybabymgaywa8035
@lizybabymgaywa8035 8 ай бұрын
Yaani hii nchi jamani Sasa hivi watu wanafanya kampeni, lkn sisi hatujui
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 8 ай бұрын
Kampeni zinapigwa,na hakaka stile kakusikiliza shida za watu wamefaulu maana watanzania wengi ufahamu mdogo sana,,,shida wamezitengeneza wenyewe alafu wanakuja eti kusikiliza..du! Siamini kamawatu wanaweza shabikia haya yanayoendelea.
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 8 ай бұрын
Sasa kunausiana Nini? Nakufyeka mazao mnaingiza siasa uonijinga
@athanassimbila2603
@athanassimbila2603 8 ай бұрын
MATENDA AKITENDEWA HUONA KAONEWA .ANGALIENI SANA....
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv 6 ай бұрын
Mwamba sana
@peninashungu6633
@peninashungu6633 8 ай бұрын
Mpaka nyumbani kwake
@StellaGurusya
@StellaGurusya 8 ай бұрын
Jamn nisaidie namba za makonda
@GraceMaro-wz4bu
@GraceMaro-wz4bu 4 ай бұрын
Mtetezi wa wanyonge
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 8 ай бұрын
Ndg Watumishi na watalaam hawaheshimu viongozi wa chama .
@VeronickaAdam-jn4rn
@VeronickaAdam-jn4rn 8 ай бұрын
Makonda pambana na hao watu mafisad jaman
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 5 ай бұрын
Mkuu wa mkoa mzima kaongea uongo kazi yake huyo rushwa tuu
@ChezamPilla-z6t
@ChezamPilla-z6t 8 ай бұрын
Ccm Ina madudu sana piga kazi makonda
@PacifiqueKwanza
@PacifiqueKwanza 6 ай бұрын
Baba yangu na mimi nafitaji numéro zako za sim watumishi huko Tanzanie wa natunyanyasa kihasi na hatujuwe kisho kitakao tokeya huko!!!
@TengoElias
@TengoElias 2 ай бұрын
🎉😢😢❤
@ExplasiaNgasoma
@ExplasiaNgasoma 7 ай бұрын
Uje na mkoa wa DSM tunateseka
@estarmara173
@estarmara173 8 ай бұрын
Tunaomba huyuuu miaka kumi ijayoo
@gefreymtalo5613
@gefreymtalo5613 8 ай бұрын
Kama eneo ni la mtu alipwe hilo eneo Lao ili liwe la manispa kwa ujenzi Wa huo mji
@meshack3266
@meshack3266 8 ай бұрын
Kweli makonda unatisha mpaka wanakuita mwechimiwa mwenyeshiii
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 8 ай бұрын
Wallah watu wanatetemeka hadi kutaja maneno wanajitafuna vikngozi. Makonda oyeeee 🤛🤛🤛🤛
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 8 ай бұрын
Uchunguzi ufanyike wakati team ya wahusika wakikaa pembeni na wasiwe ofisini kwa vyeo vyao viwekwe pembeni.Walichotenda ni unyama na sheria ya makosa ya jinai ifuate mkondo wake.
@salomepastory-kn1kh
@salomepastory-kn1kh 8 ай бұрын
Hayo mahindi ata Mimi yaliniuma aisee
@DanyNgailo
@DanyNgailo 8 ай бұрын
Hiyo hatar san sijuw kam mtendaji anaakir
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Baada ya Arusha nimerejea kufatilia yote hadi dar makonda nimeona utakuwa rais baadae
@zainabumohamedy6988
@zainabumohamedy6988 3 ай бұрын
Una akili nyingi
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 ай бұрын
Sasa maeneo ya mashamba mnalazimisha iwe mjini
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 8 ай бұрын
Sheria inasema ufyeke chakula ambacho koshalimwa?
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 8 ай бұрын
Nsimbo ni tatizo
@rehemanziku4962
@rehemanziku4962 8 ай бұрын
MUNGU akutunze baba makonda uishi miaka mingi
@MsafiriNyebunga
@MsafiriNyebunga 7 ай бұрын
Viongozi wenzangu tunajichanganya kweli unafyeka mahindi kweli halafu we umefikia hapo Kwa kula nn?
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 8 ай бұрын
hapo sasa mfyeke ya wat baazi wengine muache uonevu
@HemedRajab-v3i
@HemedRajab-v3i 8 ай бұрын
Ajali ya korogwe ambulance
@kgmbara3109
@kgmbara3109 8 ай бұрын
Kama namwona rais makonda
@MussaSongo
@MussaSongo 8 ай бұрын
Huyu mwenyekiti amenyooka kana rula
@davidsibejo4916
@davidsibejo4916 8 ай бұрын
tabia imejaa sana mkao wakatavi watu wengi wana porwa mashamba wana pigwa kifupi mkoa huo umejaa maovu mengi
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,5 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2 МЛН
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,8 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,5 МЛН