JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@Nagmah-gf4lp8 ай бұрын
Makonda hongera kwa bidii na kazi njema
@JeremiahMwakanyamale8 ай бұрын
Mimi nashangaa sana,, hayo ndio matatizo yaliopo ndani ya serikaliyetu,haikuonekana mkiyatatua muda wote!! Saizi Kuna Nini?? Tulishajizoelea siye..hizi mbwembwe zakujifanya mmekuwa wema saizi,nikutupumbaza2 watanzania nabaada yahapo kunakitu nyuma ya pazia...acheni kufanya viinimacho.mnayakujibu Kwa mungu.
@Misheckkazilist-cv2hb8 ай бұрын
Kweli😢
@angelanaftael79658 ай бұрын
Mama yangu ametumika miaka 30 ya enzi ya nyerere hadi mwinyi, aliambulia m3, na amekufa kwa depression alisumbuliwa na ofs zote kuanzia elimu, waziri mkuu hakuna kitu
@estellemwai54028 ай бұрын
Makonda katika ubora wake 💯❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@RobbyMukonjero-rp5gt8 ай бұрын
Magufuli anerudi,that is very good
@IsayaPaul-qq2li8 ай бұрын
Makonda piga kazi baba mungu akubariki
@joycekalago5328 ай бұрын
Makokonda anajibu amina kwakweli anabarikiwa sana
@jumakubili15128 ай бұрын
Tanzania tuweke wizala ya malalamiko na wazili wake awe makonda maana wataanza wanaonewa sana na sehemu ya kupeleka malalamiko Yao akuna, alikuwa mwenda zake na Sasa ni makonda.
@clrarasekuza3 ай бұрын
Mungu akutunze kwa dumu ya Yesu
@mungholomakalanga89588 ай бұрын
Yesu wa Ekaristi aendelee kukuongoza Sema kweli daima fitina kwako mwiko
@AndulileNdasalama8 ай бұрын
O 5:11o 6:32ko
@AndulileNdasalama8 ай бұрын
Pm
@AndulileNdasalama8 ай бұрын
Ol P Okk😅 op L😅
@ReginaldAplonary8 ай бұрын
Nakuona ukifika mbali sana mkuu
@godwimmkolomi89887 ай бұрын
Uyu mwamba apangiwe utalatibu mzuri zaidi ili awafikie watu wengi anaweza kulinda nakutafuta kura nyingi kwa wakati mmoja na peke yake uyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja ni mbunifu anakipa heshima chama aongezewe uwezo na mbinu zaidi huu ni ubunifu zaidi
@neemanziku54038 ай бұрын
Mama Samia huyu makonda ni mtu muhimu ktk Tanzania tunataka viongoz bora kama Makonda
@israelmhada72858 ай бұрын
Yupó poa xana
@MwanaishaSiri5724 ай бұрын
Kabisaa
@astrinomgesi-np5xv8 ай бұрын
Barikiwaa mkuuu
@edisonpeter38948 ай бұрын
Halafu unakuta mpumbavu mmoja anasema makonda asiendelee kusikiliza watu. Safi sana Makondaaaa
@mayaally25128 ай бұрын
Analiwa yule mama na mapaka
@ruqaiamohammed3458 ай бұрын
🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿@@mayaally2512
@aminielabraham8 ай бұрын
Makonda angalia mbele usiangalie pembeni kwanza Mtangulize Mungu, na umalize na Mungu hatakuacha 3:28
@DicksonIgnas-pq1rj8 ай бұрын
Yule mama namashakanae kama anafasi yoyote selekalini wamuondoe hafai kutumikia wana nchi mfungo nao wawe paka
@onelovetz79358 ай бұрын
Tuko pamoja apamdanie wananchi makonda oyee
@TegemeaSanga-d6r8 ай бұрын
Hapo kazi tuu mtu wa Mungu.
@FadhilaMwidini5 ай бұрын
Ila Makonda unawasikiliza watu san hogera kaka
@liverpoolfootballclub99854 ай бұрын
Mwenyekiti wa CCM uko vizuri
@IsaiahWanjala-wg5tv7 күн бұрын
I shoder how u u can cut down maize food but anyway congratulation makonda for what your doing god bless u
@aminielenock20508 ай бұрын
Nakuombea kwa mwenyezi MUNGU akulinde sana mkuu ❤
@MatridaBenny8 ай бұрын
Mungu akusaidie mkuu utafika mbali. Upo kama magufuri mungu fundi kwakwer
@FadhilaMwidini5 ай бұрын
Fundi kweli kweli anatoa analeta Allah akutunze
@robertnkaragano2988 ай бұрын
FANYA KAZI comrade MAKONDA!! Aisee nakutabiria mbali sana
@nashonkibayayu37768 ай бұрын
Nakushukuru mheshimiwa mwenezi C.P. makonda.maelezo Yako no darasa Bora.
@mwanamwendy92658 ай бұрын
Safi sana baba
@allymmahmudhassan4 ай бұрын
😊zero
@lucaschipanga44668 ай бұрын
Kaka makonda juwa watanzani Wana kuamini wasaidie wanyonge mungu atakuripa kwakira njambo
@SophiaSenkoro8 ай бұрын
Hongera makonda Kwa kazi nzuri unayoyafanya na mama
@fuhuruffelix56827 ай бұрын
Kiongozi bora sana
@IbrahStaneliy-g7s8 ай бұрын
Safi sana
@ruzindazajonas85068 ай бұрын
Hivi? Kama kiongozi anakataa kulipa watu pesa yao na ni mali ya sarekali sio ya mfuko wake, anakua na lengo gani kama sio rushwa.
@LilyMwalugajaАй бұрын
Serikari. Mngelitazama hili. Hao watendaji. Hawana kazi. Yoyote. Ila mwenye kiti wa mtaa ndio anathamani. Kubwa sana na. Anastahiri. Kupewa mshahara.
@atugonzalugemalila51427 ай бұрын
Ninachokiona mnazunguka mbuyu lkn kinachotutesa ni katiba leo hii chama kinafanya kazi ya serikali
@ElizaMolle6 ай бұрын
Makonda mungu akuzidishiye miyaka uzidi tu kuwateteya wanyonge
@NemerikaIekoko4 ай бұрын
Pole makonda utakiwa upewe mkoa wa tanzani
@StellaGurusya8 ай бұрын
Naomben jaman namba za makonda Mimi pia nimsitaaf
@nishaabdula50158 ай бұрын
Mwenyekiti ni mtu mzur mana ni mkweli tena wnafyeka adi nyumba
@SaidHassan-wz1px8 ай бұрын
Unafaa Kua Waziri Mkuu amini Kaka mm nakuombea San
@zainabumohamedy69883 ай бұрын
Safi Sana makonda.
@philemornmutta15978 ай бұрын
Mnawapangia watu walime nini kwani mnawajua mahitaji ya familia zao kweli hii siyo sawa.mnahisi kama angepandisha Mori km Masai kingetokea nini?
@syliveriuszaverius23474 ай бұрын
MUNGU akutunze mkuu 👏👏
@MkayulaDavid8 ай бұрын
Makonda weye noma aisee
@petermarco86568 ай бұрын
Ukitaka kuamini hana uwezo,Mh Bashe ameshawataja viongozi wa juu wanaoweza kuingilia issue ya sukari yaani bei elekezi, ama kumshauri,hayupo
@RobertKatende-l6w8 ай бұрын
Daaaah Makonda hana tofaut na Hatati maguful
@belafontesteven51448 ай бұрын
Daaah!
@ashuramhandoashuramhando67988 ай бұрын
Hii Tanzania watu wanaumia sana kwa kuonewa sijui itaisha lini naona dawa ni Makonda Mungu akulinde Baba
@JeremiahMwakanyamale8 ай бұрын
Subili uchaguzi upite,kama utayaona hayo. Mwamba alikuwa magu2 wengine wanatuonesha viinimacho,wajisafishie njia,kuweni na macho jamani watanzania!
@DanielSamatembo-ks3vl6 ай бұрын
Viongoz hawana akli ao
@IsiraeliMolly-o3z7 ай бұрын
Hello 🤩❤❤❤❤❤❤
@EmmanuelGabriel-xq5ym5 ай бұрын
Makonda nimekukubali.nmekutabiria mbali sana unasaidia wana nchi
@petermarco86568 ай бұрын
Ccm ni wasanii sn wameona waanze na hili la makonda kujifanya anatatua matatizo binafsi kama vile magufuli lkn hana uwezo,ni kurudisha japo matumaini yaliyopotea lkn hamna lolote
@machilafaustin94738 ай бұрын
Kwa upande wako unaona hao watu hawasaidiwi
@mussakeston57684 ай бұрын
Ukiona huwez kutoa coment acha
@franktibwita2288 ай бұрын
Makonda piga kazi binafsi nakupenda mwambie rais nampenda sana ila kama unaweza naomba mtaji million 5 nifanye biashara naitwa frank tibwita Frome mwanza
@rashidisaidi85358 ай бұрын
Njaa izo
@dorahmushi-we6ts8 ай бұрын
Makonda 🙏🙏
@AminaRamadhani-gx8yr8 ай бұрын
Asante mkurugezi wewe ni kiongozi wawanachi
@geraldmakalala60918 ай бұрын
Makonda anafaa kuwa Rais kabisa
@petermbuma90568 ай бұрын
makonda umelalamikiwa sana na wananchi je hizo kero mnazitatua???au mnafanya mambo kisiasa???
@JeremiahMwakanyamale8 ай бұрын
Mkuu viinimachooo!!2
@AminaRamadhani-gx8yr8 ай бұрын
Awajato hongo awaviongozi bana dah
@KafugeFrancis-be8qp8 ай бұрын
Piga kazi mwenezi
@awetumtengera11478 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@GraceMhoja-zc7yg8 ай бұрын
Mungu mlinde makonda
@MurulaAhmadi3 ай бұрын
NARUDIA TENA MHESHIMIWA MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPEMAISHAMAREF
@salumjumaruhaga25138 ай бұрын
Makonda juuuu zaidi
@GilbertGombeye8 ай бұрын
Tatizo ni serikali inataka kutawala chama tatizo ni serikali
@ShedrackDamiani8 ай бұрын
🎉🎉
@salumjumaruhaga25138 ай бұрын
Zambi kubwa sana kuharbu chakula hiyo ni laana
@monicamwita78658 ай бұрын
Tunaomba namba ya Makonda
@liverpoolfootballclub99854 ай бұрын
Mkuu wa wilaya ana sauti ya mahaba
@petermboje58398 ай бұрын
Makonda twanga kazi
@riazshaikh85775 ай бұрын
Sasa makonda malizia basi sh ngapi hiyo fidia, maana huo ni mgogoro mwengine
@madam-florensialutego8 ай бұрын
Namuona Rais wa mwaka elfu 2031
@lizybabymgaywa80358 ай бұрын
Yaani hii nchi jamani Sasa hivi watu wanafanya kampeni, lkn sisi hatujui
@JeremiahMwakanyamale8 ай бұрын
Kampeni zinapigwa,na hakaka stile kakusikiliza shida za watu wamefaulu maana watanzania wengi ufahamu mdogo sana,,,shida wamezitengeneza wenyewe alafu wanakuja eti kusikiliza..du! Siamini kamawatu wanaweza shabikia haya yanayoendelea.
@jakobongwara30388 ай бұрын
Sasa kunausiana Nini? Nakufyeka mazao mnaingiza siasa uonijinga
Ndg Watumishi na watalaam hawaheshimu viongozi wa chama .
@VeronickaAdam-jn4rn8 ай бұрын
Makonda pambana na hao watu mafisad jaman
@geophureysamsoni50335 ай бұрын
Mkuu wa mkoa mzima kaongea uongo kazi yake huyo rushwa tuu
@ChezamPilla-z6t8 ай бұрын
Ccm Ina madudu sana piga kazi makonda
@PacifiqueKwanza6 ай бұрын
Baba yangu na mimi nafitaji numéro zako za sim watumishi huko Tanzanie wa natunyanyasa kihasi na hatujuwe kisho kitakao tokeya huko!!!
@TengoElias2 ай бұрын
🎉😢😢❤
@ExplasiaNgasoma7 ай бұрын
Uje na mkoa wa DSM tunateseka
@estarmara1738 ай бұрын
Tunaomba huyuuu miaka kumi ijayoo
@gefreymtalo56138 ай бұрын
Kama eneo ni la mtu alipwe hilo eneo Lao ili liwe la manispa kwa ujenzi Wa huo mji
@meshack32668 ай бұрын
Kweli makonda unatisha mpaka wanakuita mwechimiwa mwenyeshiii
@edisonpeter38948 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AlHamra-k4u8 ай бұрын
Wallah watu wanatetemeka hadi kutaja maneno wanajitafuna vikngozi. Makonda oyeeee 🤛🤛🤛🤛
@alphoncekagezi49508 ай бұрын
Uchunguzi ufanyike wakati team ya wahusika wakikaa pembeni na wasiwe ofisini kwa vyeo vyao viwekwe pembeni.Walichotenda ni unyama na sheria ya makosa ya jinai ifuate mkondo wake.
@salomepastory-kn1kh8 ай бұрын
Hayo mahindi ata Mimi yaliniuma aisee
@DanyNgailo8 ай бұрын
Hiyo hatar san sijuw kam mtendaji anaakir
@OmanOman-dn6dj5 ай бұрын
Baada ya Arusha nimerejea kufatilia yote hadi dar makonda nimeona utakuwa rais baadae
@zainabumohamedy69883 ай бұрын
Una akili nyingi
@salumjumaruhaga25138 ай бұрын
Sasa maeneo ya mashamba mnalazimisha iwe mjini
@MfiriFulgensi8 ай бұрын
Sheria inasema ufyeke chakula ambacho koshalimwa?
@mungholomakalanga89588 ай бұрын
Nsimbo ni tatizo
@rehemanziku49628 ай бұрын
MUNGU akutunze baba makonda uishi miaka mingi
@MsafiriNyebunga7 ай бұрын
Viongozi wenzangu tunajichanganya kweli unafyeka mahindi kweli halafu we umefikia hapo Kwa kula nn?
@nasrahassan73468 ай бұрын
hapo sasa mfyeke ya wat baazi wengine muache uonevu
@HemedRajab-v3i8 ай бұрын
Ajali ya korogwe ambulance
@kgmbara31098 ай бұрын
Kama namwona rais makonda
@MussaSongo8 ай бұрын
Huyu mwenyekiti amenyooka kana rula
@davidsibejo49168 ай бұрын
tabia imejaa sana mkao wakatavi watu wengi wana porwa mashamba wana pigwa kifupi mkoa huo umejaa maovu mengi