Рет қаралды 232,907
Kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga amefanya mkutano wa saa mbili na nusu na rais mstaafu Mwai Kibaki nyumbani kwake huko Muthaiga. Japo madhumuni ya mkutano huo hayajatangazwa, kuwepo kwa gavana wa Nairobi Mike Sonko kwenye msafara wa Odinga kunazua maswali zaidi ya kisiasa kuhusiana na mustakabli wa Odinga. Duncan Khaemba anaarifu.
SUBSCRIBE to our KZbin channel for more great videos: / ktnclassics
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
std.co.ke/apps/...
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.