KISA CHA MFALME SULEIMAN NA WAKE ZAKE 700 NA MAKAHABA 300

  Рет қаралды 101,509

Simulizi za Biblia

Simulizi za Biblia

4 жыл бұрын

Пікірлер: 67
@kwayaviwawaparokiayabashne9281
@kwayaviwawaparokiayabashne9281 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwawale wanao fanya kazi yake Mungu
@barakambise181
@barakambise181 10 ай бұрын
Amina
@charlesmashaur4487
@charlesmashaur4487 4 жыл бұрын
Anaesema uoungo labda kuna suleimani wawili tofauti!!!!
@geraldswai5492
@geraldswai5492 4 жыл бұрын
Amin
@madamanney
@madamanney 4 жыл бұрын
Amen
@shokajr9714
@shokajr9714 4 жыл бұрын
Nimependa ulivyopangilia hadith na beat. 👏🏽👏🏽
@ashiraf997
@ashiraf997 Жыл бұрын
saf
@arnoldvictor8763
@arnoldvictor8763 3 жыл бұрын
Concubine refers to a woman who lives with a man to whom she is not married. Although a concubine serves the functions of a legal wife, she does not enjoy any rights in a family or any spiritual comforts. ... A concubine is denied certain legal protections.
@manenoneno8243
@manenoneno8243 4 жыл бұрын
Amin unachoamini
@johnshedrackjansohn8984
@johnshedrackjansohn8984 2 жыл бұрын
Unatafta masilahi hii kazi haikufai faida utapata
@pascalkabombe1194
@pascalkabombe1194 4 жыл бұрын
Biblia imemtaja kahaba kwa jina la kahaba, lakini hakuna sehemu wale masuria wametafsiriwa kama makahaba
@abubakarmpole4000
@abubakarmpole4000 3 жыл бұрын
Mal uun mkubwa, Suleiman n mcha Mungu, c mzinifu
@petrojohn8250
@petrojohn8250 4 жыл бұрын
Sijawahi kulipenda Jina Daudi
@ismailkaita8183
@ismailkaita8183 3 жыл бұрын
Kama unamkusudia mfalme nabii Suleiman na kumsingizia uzinifu subiri hukumu yako
@sawdaasawdaa7903
@sawdaasawdaa7903 3 жыл бұрын
Nafata simulizi ambazo zimesibitishwa na adisi za mutume muhamadi naadisi zake sahihi mangine yote uongo mutupu MUTUME MUHAMADI S.A.W ndio anajuwa kweli wote wa historia za manabi
@arnoldvictor8763
@arnoldvictor8763 3 жыл бұрын
Ni KOSA, KOSA KUBWA kusema Sulemani alikuwa na "makahaba"! Walikuwa maauria (concubines) na sio harlots. Kahaba ni mwanamke anayelala na yeyote anayetokea, mara nyingi kwa ujira. Lakini suria ni mke asiye rasmi. Ndio maana hao 300 walijulikana. Haikuwa siri kwamba mwanaume wao alikuwa Suleimani.
@twilumbakabelege3426
@twilumbakabelege3426 3 жыл бұрын
Mmmh unamzungumzia suleimani yupiii???
@abuuasma3616
@abuuasma3616 3 жыл бұрын
Ndugu staili nyingine za kutafutia kiki msiwachafue manabii kwakuwaita wazinifu hiv ww mpagani nn shik adab unapo wataja mnabii
@arnoldvictor8763
@arnoldvictor8763 3 жыл бұрын
Nilimaanisha "MASURIA"
@salujuma6873
@salujuma6873 4 жыл бұрын
Hakuna nabii alie kua na kahaba wala hakuna nabii alie zini msidanganye watu
@muslihmazruitogether807
@muslihmazruitogether807 4 жыл бұрын
Kweli
@kindolek9257
@kindolek9257 4 жыл бұрын
Pole
@amanmwelange6754
@amanmwelange6754 4 жыл бұрын
Umesoma biblia lakini au mnajiongelea2
@mariammalilo7125
@mariammalilo7125 3 жыл бұрын
Kuweni wa islamu
@jaffarujudi3440
@jaffarujudi3440 3 жыл бұрын
Acha uhuni
@casmirialfred6135
@casmirialfred6135 2 жыл бұрын
Watoto wa mfalme suleiman
@casmirialfred6135
@casmirialfred6135 2 жыл бұрын
Wangapi
@sawdaasawdaa7903
@sawdaasawdaa7903 3 жыл бұрын
Apo uongo tu wawaeungu ata bibilia sio kitabo ca mungu bali kunabahazi ya maneno yamungu ambayo hayajacafulia mengi watuwameandika watakavyo nasikweli subirini Allah atawahukumu stori za ongo wake kama mufalme hakuwaeulumu kunashida gani wewe muongo
@mtuwawatuhoyee6549
@mtuwawatuhoyee6549 4 жыл бұрын
Mosque na makanisa ya zamani ni illuminate.
@hanifaali9526
@hanifaali9526 4 жыл бұрын
A devil worshiper like you thinks negative about the he almighty God.
@mtuwawatuhoyee6549
@mtuwawatuhoyee6549 4 жыл бұрын
@@hanifaali9526 so sorry to be one of them.
@hanifaali9526
@hanifaali9526 4 жыл бұрын
@@mtuwawatuhoyee6549 go to where you belong, and deceive those who will agree to fall in your stupid acts.
@mtuwawatuhoyee6549
@mtuwawatuhoyee6549 4 жыл бұрын
@@hanifaali9526 truth pain but be a man.
@paulkichele8165
@paulkichele8165 3 жыл бұрын
Suleiman alizaliwa na nan?
@dayasonkibawa274
@dayasonkibawa274 3 жыл бұрын
Daud
@mabrukjuma3878
@mabrukjuma3878 2 жыл бұрын
Wewe zungumzia vyongozu waupuzi walioko duniani hawa BT sio manabii unakosa adabu kwamungu kila nabii mungu ndio humfungisha ndoa
@ldyialemah5244
@ldyialemah5244 4 жыл бұрын
Makahaba ndivy ilivyoandikwa kwenye biblia???
@hanifaali9526
@hanifaali9526 4 жыл бұрын
Bibilia inakasoro nyingi.
@kindolek9257
@kindolek9257 4 жыл бұрын
Kahaba, suria Kwa lugha tulioziea "hawala"
@mabrukjuma3878
@mabrukjuma3878 2 жыл бұрын
Tubu wewe kwaupuzi huu hakuna mtume wamungu aweza kuoa kahaba manabii wote niwasafi ,fata wachambuzi wamasomo yadini wakuelimishe lasivyo utajuta
@hamisjangala6759
@hamisjangala6759 4 жыл бұрын
Wakristo n waongo
@macksokaempire5233
@macksokaempire5233 4 жыл бұрын
Unakosea kila mmoja na imani yake na njia yake pia
@hamisjangala6759
@hamisjangala6759 4 жыл бұрын
Hayo umeyatoa wap kama s uongo
@manenoagrey1090
@manenoagrey1090 4 жыл бұрын
@@hamisjangala6759 Biblia takatifu
@mbcgrams5415
@mbcgrams5415 4 жыл бұрын
@@hamisjangala6759 yote yameandikwa kwenye Biblia
@Mrdigital.
@Mrdigital. 4 жыл бұрын
Don't judge the religion cause those you judge trust God
@ameali1251
@ameali1251 4 жыл бұрын
Lanatullah uongo mtupu . Suleman hakukufuru tena ni mcha Mungu .
@maspro6294
@maspro6294 3 жыл бұрын
Hizi hadthi zako za biblia ni kutunga tuu uongo mtupu
@manenochales6954
@manenochales6954 4 жыл бұрын
Huyu anaongea uongo
@georgekinyanjuinjeri9996
@georgekinyanjuinjeri9996 4 жыл бұрын
This nothing new it all written in the Bible
@mussasimbanilo1674
@mussasimbanilo1674 3 жыл бұрын
Someni bibilia Kama hamuamin basi
@fadhilisaidi685
@fadhilisaidi685 4 жыл бұрын
Acha uwongo unapotosha watu
@paschalkadama7327
@paschalkadama7327 3 жыл бұрын
Acha kuchafua biblia hakuna sehemu iliyoandikwa ni dhambi kuwa na mke zaidi ya mmoja
@ilkayexquisite7592
@ilkayexquisite7592 3 жыл бұрын
@@paschalkadama7327 Tafadhali kama hujui usiseme hamna soma biblia yako. Kumbukumbu la Torati 17:17 na 1 Timotheo 3:2
@charleswarioba4071
@charleswarioba4071 4 жыл бұрын
Unaongea Kama unagundii mdomoni
@thamanihamisi4584
@thamanihamisi4584 4 жыл бұрын
😂 wataka aongeeje
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 3 жыл бұрын
Amen
KISA CHA MFALME DAUDI KUMPOKONYA MKE MWANAJESHI WAKE,NA KUMUOA YEYE.
10:09
Simulizi za Biblia
Рет қаралды 50 М.
Kisa cha YAKOBO kufanya kazi MIAKA 7,kisha akapewa MKE ASIYEMPENDA.
8:22
Simulizi za Biblia
Рет қаралды 28 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 35 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 42 МЛН
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
Kisa cha Yoshua KUSIMAMISHA JUA na MVUA YA MAWE kutoka MBINGUNI
10:13
Simulizi za Biblia
Рет қаралды 59 М.
KISA CHA NABII SULEIMAN NA WANAWAKE WAWILI SHEIKH OTHMAN MAALIM
17:17
arkas online tv
Рет қаралды 22 М.
Kisa cha SAMWELI kijana mdogo aliesikia SAUTI YA MUNGU.
10:40
Simulizi za Biblia
Рет қаралды 82 М.
Kisa cha MALKIA ESTA kuwaokoa WAYAHUDI wasiangamizwe na HAMANI
13:48
Simulizi za Biblia
Рет қаралды 15 М.
Kisa cha PUNDA wa Balaam ALIEONGEA kama BINADAMU.
10:33
Simulizi za Biblia
Рет қаралды 103 М.
kisa cha NABII ELIA kushusha MOTO TOKA MBINGUNI.
12:50
Simulizi za Biblia
Рет қаралды 170 М.