Ni verse gani imesema David alishirikiana na wafilisti kumuua saul?? David aliposikia saul amekufa alilia sana na akaombolezea saul wakiwa na wafuazi waake but kushilikiana na wafilisti apo ckumbaliani
Jaman msitudanganye hv daud alshirkiana na daud kumuua mfalme sauli tunawategemea sana
@straightlinecenter84294 жыл бұрын
Hii ipo sawa kabisa ulivyo simulià
@petermabura61514 жыл бұрын
Asanteni kwa habari hizi
@SIMULIZIBIBLIA4 жыл бұрын
Ameen
@lufunyoluther10293 жыл бұрын
Hakuna mahali Daudi alishirikiana na wafilist kufanya mpango wa kumuua Sauli!
@venancegaspatv19612 жыл бұрын
hakuna huo mpango
@AnuwarHamis-zg3mg10 ай бұрын
Sikio lako halielewi
@user-ur8ir5qz5zКүн бұрын
Iblis ndiye anae mpinga adam. Sasa mfalme daudi au mtume daudi. Km mtume daudi ni uwngo😂😂😂😂😂 ni fitina ya iblis. Km mfalme daudi 👍 👌 🙆♀️ 🆗️😂😂😂😂😂.
@pandumodric88344 жыл бұрын
Ni hatr xaaaaan
@twahabashiri77584 жыл бұрын
mapenzi hayana mwenyewe
@paulsamuel39764 жыл бұрын
Umemruka Abisalom
@chrislichiey26594 жыл бұрын
,Ni wapi Saudi alifanya mpango na wafilisti kumwua sauli?
@abelmsemo28434 жыл бұрын
Muongo
@paulsamuel39764 жыл бұрын
Siyo kweli maana Sauli alitiwa mara pili mkononi mwa Daudi Akasema siwezi kutia mkono wangu kwa masihi na mpakwa mafuta wa pwana
@ashameyomar23214 жыл бұрын
Kumbe mambo yalianza kitambo
@dottomagembe17804 жыл бұрын
Mmm
@masoudkisodya32214 жыл бұрын
Wewe muongo
@abelmsemo28434 жыл бұрын
Kuna mapungufu mengi saana kwenye hii hadithi
@miirajmohamed63524 жыл бұрын
Jamani habari mnazozisimulia juu ya mtume wa Mungu Daudi zina ukweli...Jamani tazameni msijejitakia matatizo mbele za M/Mungu bora hadithi za kufikirika kuliko kuwasingizia uovu mitume wa Mungu na watu wema...yangu ni hayo tu
@tonyi68074 жыл бұрын
Uongo upi ulioutambua?
@miirajmohamed63524 жыл бұрын
@@tonyi6807 First mtume wa Mungu hawezi kuzini lete andiko wp ktk kitabu cha Mungu Nabii Daud alizini
@@miirajmohamed6352 bro hebu soma Bible bana usibishe ni ukwel kuhus ivo vitu
@sammotv69204 жыл бұрын
Tafuteni na upande wa waislamu ndo utajua kuna tofauti kubwa sana kati yenu na sisi waislamu
@charlesjmaliseli35154 жыл бұрын
Sadam Hemedi mambo hayo ya dini ni magumu sana na ndiyo maana wenzetu weupe ususani wazungu na walaabu wamefanya kutuletea dini na kutujengea chuki muislamu amchukie mkrsto na mkrsto amuchkie mwsilam na tumepandkizwa chuki kwa itikadi zetu
@sammotv69204 жыл бұрын
@@charlesjmaliseli3515 dini zimeletwa lakin si zipo kweli kuleta kwao dini haimaanisha dini hazipo dini zipo na mungu yupo na wenyewe walileta cz ilikua ni njia mojawapo ya kusbaza dini duniani kwa sababu wwnyew tiyar ilikuwa ishawafikia ndo walikua watu wa kwanza kupokea dini ndo mana katk vitabu waislaer na waraabu wao ndo kwanza din ziliwafikia so ilikua ni lazima wasambaze na yesu aliwambia itangazeni injili ulimwenguni..