"KISIASA MAGUFULI ALINITANGULIA, NI MKALI SANA/ HANA KIGUGUMIZI"

  Рет қаралды 28,995

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

"KISIASA MAGUFULI ALINITANGULIA, NI MKALI SANA/ HANA KIGUGUMIZI" (PART TWO)
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Peter Pinda amekiri kufurahishwa na uongozi wa Rais Magufuli kutokana na kuwa na msimamo katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo ikiwa ni muendeleo wa hulka yake ya kiuongozi tangu alipokuwa waziri wa Viwanda.
Mstaafu Pinda ameyasema hayo alipofanya mahajiano maalum na Global Tv Nyumbani Kwake Dodoma na kuongeza kuwa katika kipindi ambacho amekuwa katika siasa alifanikiwa kufanya mambo mbalimbali yakimaendelea ambayo yalichangia kuteuliwa kuwa waziri mkuu mwaka 2008 baada ya aliyekuwa waziri mkuu kipindi hicho Edward Lowasa kujiuzuli
#MizengoPinda
kzbin.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 21
@abelsundi6105
@abelsundi6105 4 жыл бұрын
I Love speech from hon.MIZENGO PINDA.
@bwikizobilly5220
@bwikizobilly5220 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Pinda wewe nakupongeza sana uko makini ni mstaafu wa kuigwa siyo jamaa wengine bado wana choko choko na kuzengea urais.
@rachelkibaya8537
@rachelkibaya8537 4 жыл бұрын
Asante sana Muheshimiwa Pinda na kukubaligi sana kwenye mambo ya kuonyesha mfano mzuri wa kilimo na kuliongoza Taifa letu pazuri,pia nakushukuru sana kwa kusema ukweli kuhusu muheshimiwa Dr.Magufuli......HAPA KAZI TUU asivyopenda rushwa na anavyopiga kazi. Asante
@yusufrajabu8425
@yusufrajabu8425 4 жыл бұрын
Ukweli Anko magu daaaah!!!, Kula yangu sikuunguza ilikwenda mahala pake, nilitaka nispige Kula mwaka 2015 ila nilipoona jina la mweshimiwa nikadondosha moja kwa moja, toka wizala ya ujenzi nilimkubali Mbaya. Ongeza bidii Anko magu ukiisha ondoka madala kani ndio watajua umuimu wako, samani ya mzazi pindi akiwa hayupo.
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 4 жыл бұрын
Mzee pinda upo vizuri. Nakukubali muheshimiwa. Mungu akulinde wewe na familia yako.
@queenandrea3891
@queenandrea3891 4 жыл бұрын
Safi sana
@bathromeobalisimula7166
@bathromeobalisimula7166 4 жыл бұрын
Waliong'ang'ania ndege yetu WAPIGWE TU..hamna namna.
@francecemamba3748
@francecemamba3748 4 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂😂😂😂😂😂unaenda nasketi fupi kwenye nyuki
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 4 жыл бұрын
Asikwambie mtu waziri Sokiine, Mrema, akifatia Majaliwa hawa hasa ndio viongozi watwoacha alama na muhedhimiwa JPM ja Baba wa taufa mr Kambarage👌
@josephmabula9658
@josephmabula9658 4 жыл бұрын
magufuli hajawahi kuwa waziri wa viwanda,rekebisha hapo
@mamymamiza2924
@mamymamiza2924 4 жыл бұрын
Nimekua wa 5 leo nigongee kweli tumepata rais jembee🇹🇿
@ababuumwana5102
@ababuumwana5102 4 жыл бұрын
Safiii Mzee wetu unajituma Sana'a Tanzania mbeleee JPM Nambari 1
@nasrialoysi6897
@nasrialoysi6897 4 жыл бұрын
Mungu akuongoze wa nyumbani kabisa mfipa mwenzangu baba yangu
@manenoalex7453
@manenoalex7453 4 жыл бұрын
Nasri Aloysi mpimbwe usimpe kabira ambalo cio lake kibaoni kwao tipimbwe
@benjaminfataki6898
@benjaminfataki6898 4 жыл бұрын
wee dada mtangazaji nakupendaga kinoma
@erodeshayo8672
@erodeshayo8672 4 жыл бұрын
Karen kahabi Nakupendaga Sana na sauti yako tu Jmn
@dariusmutalemwa1491
@dariusmutalemwa1491 4 жыл бұрын
Safi sana Mzee wetu ulikuwa vizuri Mungu akubariki Mungu ibariki Tanzania yetu
@aaroneu07
@aaroneu07 4 жыл бұрын
Pinda is ni mtoto wa mkulima kwelikweli. Mtanzania wa kweli.
@mwamengele
@mwamengele 4 жыл бұрын
Wasiompenda JPM wapigwe tu, eeeh! tumechoka sasa, maana hakuna namna nyingine! VIVA Magu!
@manenoalex7453
@manenoalex7453 4 жыл бұрын
imeme hukuweka majimoto mpaka xxa barabara kibaoni mamba hadi ilemba mbovu hadi leo
@tootumsifu6926
@tootumsifu6926 4 жыл бұрын
kumrudisha mpenzi siku 3:peteya bahati:0658535229
JPM: "Mizengo Pinda hazungumzi chochote, hapigi kelele yoyote"
2:16
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 9 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 24 МЛН
WALINZI WA HARMONIZE🔥😱 #afrobeats #shortsvideo
1:01
Global TV Online
Рет қаралды 38
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 328 М.
Тайны жён Кадырова
13:21
Proekt_media
Рет қаралды 3,2 МЛН
Is this Rahul Gandhi 2.0? Ft: Rahul Shrivastava  | Jist
8:44