No video

Kitabu: Hukmu ya Kuwatumia Majini Wema katika Ruqyah

  Рет қаралды 8,319

Ahmad Mohamed Kassa

Ahmad Mohamed Kassa

7 жыл бұрын

Uzinduzi wa Kitabu: Hukmu ya Kuwatumia Majini wema katika Ruqyah.
Katika kitabu hiki kimeweka wazi mjadala kuhusu wanaotibu kwa kusoma Ruqyah kutumia Qur’ani peke yake na wanaotumia Qur’ani na kutegemea pia msaada wa majini.
Kitabu kinajibu suala: Je! inajuzu kuwatumia majini(wema) katika Ruqyah ? Je! inajuzu mwislamu kukubali kuishi na majini?

Пікірлер: 46
@ahmadzubeir9113
@ahmadzubeir9113 5 жыл бұрын
Unajua knowlage ni muhimu sana sana saaaana
@rizikirukaya3474
@rizikirukaya3474 6 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@ahmadzubeir9113
@ahmadzubeir9113 5 жыл бұрын
Hata mimi kwa kutomtumia Jinni simuingi mkono shekhe maaana kumtuma Jinni inafaa sana katika mambo mazuri
@ahmadzubeir9113
@ahmadzubeir9113 5 жыл бұрын
Nabii Sukeimna alimuomba Mungu kua asimpe yoyote,hainamaana kua ndio nabii Suleimna ndio alimuwekea Allah sharti,hapana! Allaah anampa amtakae na anamnyima amtakae. Soma baba somaaaa,kuna mambo wamepewa Mitume balai hata wanaadamu wa kawaida. Bado sijakufahamu babaaa
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 2 ай бұрын
Muhammadi hajawahi kuwatumi majini ....na alikataza wanaopingana na mafundisho ya mtume ndo hao wanatumia majini
@bxgdhydydh6505
@bxgdhydydh6505 5 жыл бұрын
Jini n adui wa mwadamu haiwezekani umshirikishe katika tiba.hakika Allah anatosha.
@ukhutyfiillah2857
@ukhutyfiillah2857 4 жыл бұрын
Huyu mshirikina tu
@athumanally8493
@athumanally8493 3 жыл бұрын
Jinni sio adui wa binadamu ila shetwani ndio adui na katika hao mashetwani wapo majini na binadamu
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 2 ай бұрын
Mambo mazuri gani pesa au ? ZA chuma ulete Huwezi kumtmia jini ispokuwa mtu mchawi l
@ahmadzubeir9113
@ahmadzubeir9113 5 жыл бұрын
Subhaanallaah!! Mboni hiyo aya hajaitafsiri vizuri,aya imesema walikua wakiwaabudu na sio wakishirikiana na majini. Kushirikiana na majini katika mambo ya kheri hakuna kosa lolote sheikh wangu
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 2 ай бұрын
Achana na dhana hiyo, no hasara kuwatumia majini kwa jambo lolote, utakuja sujudu motoni. Shirki hiyo, na shirki Ina ramba amali zako fasta unabaki mweupe. Hakuna majini wema. Masheikh wanapoteza na kupotea wenyewe.
@firo0ozdawah378
@firo0ozdawah378 2 жыл бұрын
Kama majini wanajuzu basi wangemsaidia mtume na maswahaba lakini tunachojifunza ni kwamba SHIDA zote matatizo yote waliyopata walimtegemea ALLAH peke , Sasa kwani walishindwa kuwatumia hao majini ???... Skieni nyie munaotumia majini haijalishi hata kama unatumia Kwa AJILI yakuleta manufaa Bado haijuzu na Wala hakuna MAFUNDISHO sahihi ni maamuzi TU ya mtu lakini dini haijaruhusu
@mussaswai8872
@mussaswai8872 2 жыл бұрын
Wee Ahmed Zuberi haijuzu kutumia majini,na kama unasema inajuzu,,je unawasiliana nao vipi
@firstwritter5901
@firstwritter5901 6 жыл бұрын
Bahati kuja hapa
@rizikirukaya3474
@rizikirukaya3474 6 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@allyhussein7276
@allyhussein7276 2 жыл бұрын
Sheikh tatizo sikaili ya wanawadhuoni tatizo mnalikataza jambo kwa kauli ya wanawadhuoni wala sikauli ya Allah na mtume wake
@allyhussein7276
@allyhussein7276 2 жыл бұрын
Iyi elimu hamna hilo ndio tatizo
@allyhussein7276
@allyhussein7276 2 жыл бұрын
Hakuna aya hatamoja ndani ya kitabu cha Allah inayoharamisha ku mtumiya jini kwa amali yoyote ya kheri.
@allyhussein7276
@allyhussein7276 2 жыл бұрын
Mmewabudu wanawadhioni wenu kuliko muumba wenu.
@ahmadzubeir9113
@ahmadzubeir9113 5 жыл бұрын
Na wala hapana kosa kumshirikisha Jinni katika Dua kosa ni kumuabudu Jinni. Lakini kumtumia Jinni hakuna shida yoyote.
@saadallah6287
@saadallah6287 4 ай бұрын
Mm unaweza leta dalili ya kitabu na sunna kwa kauli zako hizi?
@shafimussa6321
@shafimussa6321 3 жыл бұрын
Haram,haram,Tena haram Katina sharia ya Dini ya kiIslam kutumiya jini yeyote Sheikkh huyu asipeleke watu kwnye shhirk Katika sharia ya majini wema awaruhusiwi kuw karibu na binaaddam Jini wote mwana adam anajiusisha naye ni masheitani nayatawapelekeni motoni
@ramadhaniomary9241
@ramadhaniomary9241 2 ай бұрын
Wee Wacha ujinga hoja imetajwa na Ibn utheimin na ibn taimiya pia unaipinga
@firstwritter5901
@firstwritter5901 6 жыл бұрын
Haha wewe ustathi una Sema ukweli
@Laizer3
@Laizer3 2 ай бұрын
Sasa mnatupa uwoga tulioslimu maana siamini majini
@ramadhaniomary9241
@ramadhaniomary9241 2 ай бұрын
Kama huamini majini unapinga sura ya kitabu Cha mwenyezi mungu na hiyo ni hatari sana
@Laizer3
@Laizer3 2 ай бұрын
@@ramadhaniomary9241 ushirkina ni bora nirejeee tu ukristo maana majin wanaharibu watuuu
@IsmailIsmail-ix1yd
@IsmailIsmail-ix1yd 2 ай бұрын
​@@Laizer3ukifanya hivyo kama kweli ulisilimu basi haujakuwa ni mwenye kuamini Allah kiukweli. Allah (SW) ameainisha suratul Jinni nzima kuufamisha umma kuhusu viumbe hawa, je vipi uwe na mashaka na Allah kuhusu uwepo wao!!!! Ila sura imeeleza kuwa miongoni mwao wapo wema waliosilimu na wapo waliomkataa Allah (SW), kama ilivyo kwa wanadamu. Kama dalili zilivyooneshwa kwenye khutba ya mwenye kitabu, ila inaonekana bado watu wachimbe mbali sana katika kuwasoma majini, na sio jambo la ajabu! Si Mlimsikia Ust. Mmoja akiwaelezea mdudu nyuki, ng'ombe, tandabui, mduduchungu nk sambamba na kusoma kuhusu mirathi, swayaam, ndoa, utawala, umoja na uadilifu vyote vinapatikana ndani ya Quran basi pia majini ni topic moja wapo usomwe kwa undani sana ili alau kiza cha macho na masikio tulichonacho wengi wetu kitutoke, sio thambi kuisoma na kuwasoma na kuwaelewa. Hivyo nakusihi hakuna sababu yakurejea kwenye ukafiri ati tu kwababu ya topic ya majini no! Dini tusizichukulie kama timu za mipira no! Kuwa mvumilivu na Allah atuongoe na atupatie utambuzi ili atupokee kwenye mikono yake tukiwa salama. Kuwa na subra
@ahmadzubeir9113
@ahmadzubeir9113 5 жыл бұрын
Ungesoma kwanza vizuuri baba,baba soma weeeee,kutunga kitabu tuu cha kiswahili ndio ushamaliza? Neno kutegemea! Namna gani? Maana hata huyo Jinni anamtegemea Mungu. Sasa kuna kumtegemea Jinni na kumshirikisha Jinni katika Duaa. Mimi binafsi nawashirikisha majini katika Dua zangu. Na wanakuja tunapiga Dua na wagonjwa wanapona tuu Alhamdulillaah
@abadybalochy2481
@abadybalochy2481 3 жыл бұрын
Salamu ndugu
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 2 ай бұрын
Wewe n mganga na ni mshirikina
@mussaswai8872
@mussaswai8872 2 жыл бұрын
Embu wewe unaEsema inafaa kumtumia jinni .embu tuambie unamtumiaje
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Uislamu upo karibu na Shetani kuliko dini yoyote ile,Inasikitisha kuona wanahamasishwa kushirikiana na mapepo,mtu anayewatetea pepo eti kuna wazuri amelaanika,mnaleta stori za Uongo na kweli eti Suleiman alikuwa anawatumikisha kweli inaingia akilini mtu alikuwa na wake alfu na wtoto mamia alikufa na hakuna aliyejua eti mpaka mchwa walikula.fimbo yake🤣🤣🤣🤣🤣
@abdulazizmwipi9295
@abdulazizmwipi9295 2 жыл бұрын
Nyinyi dini yenu ndy ipo karbu na shetan maana mnaabudu kiumbe cha pili mnashrikiana na majini hko mnakodai kunenq kilugha cjui nimeoteshwa
@msafiriduwiya953
@msafiriduwiya953 Жыл бұрын
Wewe hujui hata hiyo dini yako bila shetani kumuingia Petro Ili yule unaedai mkombozi apandishwe msalabani bila shetani kuifanya mipango ILE wewe leo usingejiona umekombolewa kwa hiyo shetani ni kiungo muhimu sana ktk dini yako bila yeye kumuingia Petro wewe usingekombolewa
@sudizamzam9737
@sudizamzam9737 9 ай бұрын
ukisema dini ya kiislamu iko karibu na mashetani sio kweli ukweli ni kwamba majini na binadamu waliumbiwa ibada na kutoka kwa jini ndio kulitokea shetani na shetani alitoka kwa jinn lakini sio jinn alitoka kwa shetani shetani alilaniwa na jini haja laniwa mpaka afanye makosa
@sudizamzam9737
@sudizamzam9737 9 ай бұрын
mwalimu naomba unitafute
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 2 ай бұрын
Hakuna majini wazuri. Mung u alisha walaani wote hukumu yao motoni. Ndani ya Qur'an hamna kutumia majini Ila waanao yatumia ni washirikina tu.
@Abuu_Asfiya-Salafy
@Abuu_Asfiya-Salafy Жыл бұрын
huyu sheikh ni mshirikina bila shaka .. khuraafi hawa wanapotosha watu
@sudizamzam9737
@sudizamzam9737 9 ай бұрын
ww unae sema kutumia jinn ni haramu hebu wafafanulie uharamu wake una kujaje
@Abuu_Asfiya-Salafy
@Abuu_Asfiya-Salafy 9 ай бұрын
@@sudizamzam9737 kwanza kabla kuzungumzia uharamu wake. je, ni nani katika alsalaffiy (as'haabiiy rasuul au tabi'in au at'bau tabi'in ) katika tarikh ya kiislamu amewahi kufanya kisomo cha namna hiyo kama sio masufi wa zama hizi (khurafiiyuun), the grave worshippers.
@Abuu_Asfiya-Salafy
@Abuu_Asfiya-Salafy 9 ай бұрын
@@sudizamzam9737 kisomo cha ruqya kimefundishwa katika sunna ya mtume swallallahunalayhi wassalaam kua kinafanyika vipi? nasaha juu ya ikhwa acheni uzushi katika visomo kama hivyo ambavyo vimeshalekezwa namna gani ya kuvifanya
kisomo cha kuangamiza majini na uchawi (yaasin mubiyn)
19:08
AN-NAJM TV
Рет қаралды 1 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 17 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 28 МЛН
RUHAANI NI MAJINI AU MALAIKA
20:34
SHALBA OnlineTV
Рет қаралды 8 М.
JEE YAFAA KUWATUMIA MAJINI
5:24
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 38 М.
KISA CHA ABUU JEHEL NA SHEIKH MSELEM BIN ALI
1:17:58
J TV ZNZ
Рет қаралды 10 М.
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 17 МЛН