JEE YAFAA KUWATUMIA MAJINI

  Рет қаралды 38,939

Izudin Alwy Ahmed

Izudin Alwy Ahmed

Күн бұрын

Пікірлер: 63
@feisalgale1252
@feisalgale1252 3 күн бұрын
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا (6
@muniramohamed8887
@muniramohamed8887 6 жыл бұрын
Mashallah Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin
@firo0ozdawah378
@firo0ozdawah378 3 жыл бұрын
Kwa kweli nimeskitika sana kusikia shekhe anahamasisha majini watumike katika baadhi ya kazi nzuri , ABADAN , huwezi ukapata aya wala hadithi kuonyeaha dalili ya anachokisema si mtume mashaba wala tabiina tabi tabiina waliwatumia katika izo kazi nzuri alizozielezea hakuna katika uislam mafundisho hayo ya kuwatumia majini , shekhe amevuka mipaka WALLAHI ... Allah akusameh bado nakupenda na kazi unayofanya in kubwa ila binadamu hakosi mapungufu kwa hilo hauko sawa ...
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 3 жыл бұрын
Shukran sana kwa nsaha yako mzuri lakini mm sijawahimiza mm nimesema kisharia yafaa kumtuma jini bt sijawambia watu watafte majini wawatume .
@musaolemollel4756
@musaolemollel4756 3 жыл бұрын
Majini ni haramu ni uongo wewe.ogopa.m mungu
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 ай бұрын
​@@musaolemollel4756Niharamu kivipi wakati ni waislam wenzenu
@ramadhanwilbard8196
@ramadhanwilbard8196 2 ай бұрын
Shida hata wanaokataa elimu hamna ndiyo shida hiyo,Huyu Sheikh anayo Elimu zaidi ndiyo maana anaongea, kwa mfano katika Quran yetu kwa sisi tusio kuwa na elimu tukiisoma hatuwezi kuona vitu tunavyovitumia hivi sasa ambavyo Mitume wa Allah hawakuvitumia kwa mfano,Wapi pameandikwa kwamba Mtume aliyatumia magari ya Chuma tunayoyatumia Sisi hivi leo?Wapi Mtume alikula chips na tomato sosi?Wapi Mtume alivaa suti?Wapi Mtume alitumia Tv,simu,firiji za umeme,train,ndege sa chuma,magorofa,rami na wapi Mtume alisoma digirii za elimu mbalimbali kama ilivyo hivi sasa?wapi Mtume alikula makuku wa kizungu munayokula hivi leo?Wapi Mtume alitumia Maroboti?Wapi Mtume alikula Ice cream?Wapi Mtume alicheza mipira?Kwahiyo elimu ya kutumikiwa na viumbe wasio onekana sio kila mtu anaweza kuwa na elimu hiyo ndiyo maana Wanazuoni wengi wanakataa kwa sababu watu wenye Ikhlas na Elimu za kuweza kutumia hao viumbe watu hawana na tatizo linaoweza kutokea kwa watu hawa wanaweza kuacha kumuabudu Allah kwa sababu watu wengi tunapenda dunia sana,Sasa kama ataona anawatumia majini wanamletea madini ya thamani kubwa na kuuza na kupata matilioni mengi imani za watu kwa Allah zinaweza kushuka mfano mzuri ni hao ndugu zetu Wazungu wanawatumia majini katika tekonojia mbalimbali ndiyo maana imani zao katika kumjua Mwenyezi Mungu mmoja zinayumba!
@FridayMwassa
@FridayMwassa 27 күн бұрын
Wewe Endelea kuwatumia hao ni ndugu zenu
@sheikh.abuusamuhath
@sheikh.abuusamuhath 3 жыл бұрын
Asalam alaikum.. sheikh. Hapo kidogo kuna ikhtilafu,, kwa sababu wengi katika wanazuoni, hawasupport hayo mambo... ila hata aliyesema yafaa kulingana na masharti aliyotoa... ust. Hapo kidogo umekosea, naomba ujirudi katika maelezo yako toa clip kurekebisha hayo makosa, afuan lakini.. maana hata mimi ni mwalimu wa ruqya, kutoka hapahapa Kenya
@ramadigidigi1988
@ramadigidigi1988 4 жыл бұрын
mashaallah mungu akupe mwisho mwema
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 3 жыл бұрын
Aamiin yaa Rabbi
@AmirOmar-vl9vc
@AmirOmar-vl9vc 4 ай бұрын
Umezungumza bila Dalili tafadhali shekhe
@mlawaalliy
@mlawaalliy 3 ай бұрын
😢Hata angesema haifai pengine dalili vile vile isiwepo.wewe unayo dalili?tupe faida.
@khamismaulidi4562
@khamismaulidi4562 5 жыл бұрын
MashaAlhaa
@neemaabdul9553
@neemaabdul9553 6 жыл бұрын
Yanini kujitia shubhaa buree! Kuishi na viumbe kama majini shetani ni rahisi kuwa karibu sana na wewe ninavyoona mimi!
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 ай бұрын
Shetani alisha silimu siku nyingi kasome vitabu
@mesalimrashid6312
@mesalimrashid6312 5 жыл бұрын
Mbona usifanye kazi ya kuvua samaki kuliko kutumia jini utampa nn . Ndio nyinyi mnaotusumbua mitaani.Mabati huvuja tu kwakugongwa.
@shabanisaidi8827
@shabanisaidi8827 6 жыл бұрын
Mashaalh
@mohammedmhina3973
@mohammedmhina3973 3 жыл бұрын
UNAPOTOSHA USTADH MAJINI HATUTAKIW KUSHIRIKI NAYO KIVYOVYOTE NDO MAAN WAO WANAULIMWENGU WAO N SISI N WETU ALAFU NYIE NDO MANCHAFUA DINI YETU MNAENZA PROPAGANDA MPK WSIO WAISLAMU WANAAAMN DINI ETTU Y MAJINI
@JannatTahmid
@JannatTahmid Жыл бұрын
Kweli tusishirikiane nao lkn kvp?
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 ай бұрын
Ulimwengu wao ni upi? Wakati vitabu vya kiislamu vinasema hawana mtume isipokuwa Muhammad na hawana kitabu isipokuwa koran
@Namanda425
@Namanda425 2 жыл бұрын
Tatizo wale hawafanyi kazi bure. Ushirikina unaingia wakati wa kuwalipa.
@adamududu1260
@adamududu1260 4 ай бұрын
hapo Sasa Sasa NDIO kwenye utataaa
@abuubadru2403
@abuubadru2403 6 жыл бұрын
Hyeeeh
@allyrashid8738
@allyrashid8738 6 жыл бұрын
MashaAllah👏
@antv5590
@antv5590 2 жыл бұрын
na je kuoa jini yafaa.assalam aleykum Sheikh
@AbdulRahmanAliy-sr7gw
@AbdulRahmanAliy-sr7gw 4 ай бұрын
Haifai ndugu
@abdalashah3292
@abdalashah3292 4 жыл бұрын
ndio maana haifai kushirikiana nao
@joyceandrew5682
@joyceandrew5682 5 жыл бұрын
Sheikh serious Mimi nina jini ananisumbuwa mwili mwangu sina raha mume sipati wara fedha hazikayi nisaidiye miye
@sikitu8957
@sikitu8957 5 жыл бұрын
wewe auna jini ni tabia zako tu
@joyceandrew5682
@joyceandrew5682 5 жыл бұрын
@@sikitu8957 hayaja kufika yakikufika utasema
@joyceandrew5682
@joyceandrew5682 5 жыл бұрын
@@sikitu8957 naniko inje ya Tanzania kikazi sasa izo tabiya sijui umenifunza wewe ndugu yangu duuuuu binadam tupo kukosowana na sikupeyana moyo daaaaa ila safi tu
@namayeali6096
@namayeali6096 5 жыл бұрын
Fwatilia abalqaasim online TV, Iko na kisa kingine kizuri, chajiita "ukipendwa na jini, jiandae na haya " Huenda kikakusaidia
@mutomubaya
@mutomubaya 5 жыл бұрын
@@joyceandrew5682 nadhani usisikize ya watu kwa kuwa baadhi ya majibu sio.sahihi na huenda yakawa ni maudhi bali utafute ushauri kwa huyu Sheikh usikie nasaha ile aliyonayo.
@farhasalim9824
@farhasalim9824 6 жыл бұрын
Muetee...hahaha!!!!kutukua tukua watu
@sophiasharif9183
@sophiasharif9183 3 жыл бұрын
Tupe huo uradi wa kutoa jini
@abdimwalim3505
@abdimwalim3505 5 жыл бұрын
Shekh nisaidie kuupata uwo uradi wa ibnu nnawawi
@medy7814
@medy7814 4 жыл бұрын
Download youtube ipo
@SameerMdumbemalongo
@SameerMdumbemalongo 2 жыл бұрын
Huyu jamaaa ni mushrik
@AhmadAlikhamis-ri3nb
@AhmadAlikhamis-ri3nb 9 ай бұрын
Je nihakki kuomuoa jini akawa mkeo
@FridayMwassa
@FridayMwassa 27 күн бұрын
Kwanini isiwe haki wakati ni mwislam mwenzako
@umikram6755
@umikram6755 5 жыл бұрын
Mim bdo cjakuelewa kabisa majb yko. Majin hawana urafik nawanadam. Wao namishwar yao na wanadam yakwao. Dk wanageuka Et hamna shida kuwatumia jamani khaaa Allah atuhid
@nawwarsultwaan6404
@nawwarsultwaan6404 3 жыл бұрын
Shekhe ebu kasome Tena kwanza usibishane na vitu vya kusoma hivi nivitu vyaelimu na kuwatuma majini si dhambi shekhe sawa
@ibrahimsudi5967
@ibrahimsudi5967 3 жыл бұрын
Um ikram jitahidi kusikiliza kwa makini darsa au majibu ya sheikh utaelewa tu.
@FridayMwassa
@FridayMwassa 27 күн бұрын
Eti majini hawana unafiki na wanadamu wakati mtume wako aliwasimisha,na kitabu chao ni hiyo hiyo koran yenu
JE YAFAA KUMROGA ANAE KUHARIBIA NYUMBA YAKO
16:34
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 149 М.
VIPI UTAFUGA MAJINI
8:09
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 10 М.
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 67 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 77 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
JE MWANAMKE HUTOKWA NA MANII
10:26
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 152 М.
HUKMU YA KUVAA PETE
8:58
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 87 М.
JEE MAMA AKIKUKATAZA KUMUOA MWANAMKE YALAZIMU KUMSIKILIZA
11:46
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 83 М.
NDOA YASIRI JEE YAFAAA
25:22
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 2,2 М.
JE WEWE WAMPENDA MKE WAKO
53:55
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 120 М.
JE MUISLAMU AWEZA KUTUMIA PESA ZA RIBA
16:14
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 14 М.