Mandhari nzuri zaidi ya mlima kitonga huko mkoani Iringa.
@logathl.costantine40163 жыл бұрын
Nice
@alhaddajmohammed47683 жыл бұрын
SUBHANNALLAH Allahu Akbar. Huo ni uwezo wake Mungu Mola Muumba.
@tanzanian60523 жыл бұрын
jamaa hamna ushirikiano yan anaewazia trip mtu mmoja...wengine sijui ndo mnavyaza???dah..ila nimekubali Idea.....thats great...ila presenter pia hata ungekaa kimya tu tungeelewa...big up guys!!!na mngezihesahabu izo kona ingependesa zaidi...hamjasimama hata sehem ingenoga zaid!!!
@luhanyamipawantobi68883 жыл бұрын
Hivi angekaa kimya ungejuaje km kunasehem maalimu za kuovatake??
@rihannaajie38663 жыл бұрын
Akili nyingi huondoa
@Winstonfying3 жыл бұрын
Hii ngoma ya kikongo, naomba jina lake na Muimbaji
@joelwiliams2783 жыл бұрын
Juma kassim kiroboto nature
@joyceraphael66313 жыл бұрын
Jamani kitonga inatisha nilipita na new fosi apo naire gari irivo ndefu nauko chini parivo mbari Mimi presha
@faustinkebile56983 жыл бұрын
Iringa ina umbijani mzuri sana jaman inapendeza ila huo mlima nauogopa hatar
@neemamwinuka65543 жыл бұрын
Iringa kwetu mungu ibariki iringa
@sejodrury9063 жыл бұрын
Mandhari mazuri yale!
@huseinsalum31753 жыл бұрын
Umetisha umeutoa kama ulivyo huko ndo nyumbani
@alluminiumexperttz.12mview133 ай бұрын
Huu mlima kama huendeshi gari kubwa utauona wa kawaida. Ukitaka kuujua pita na gari kubwa
@mrh28123 жыл бұрын
mlima muze mkoa wa rukwa sumbawanga unaitwa kaburi wazi huo ndo mlima hatar Tanzania maderev wanaipatapat sana
@tobiasangolwisye99623 жыл бұрын
Alie ckia barabara znashindwa kuhimili uzigo wa mizito😀😀😀😀
@sylvestermihale28873 жыл бұрын
Al Saedy inateleza tuu kama nyoka pangonii Shaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhh🔥🔥🔥🔥🔥
@bolingoalbin83793 жыл бұрын
It's amazing!
@MadamFety4 ай бұрын
Jaman nimeikumbuka ilinga
@issaali13213 жыл бұрын
Madereva ni wazembe mno yaani hawafati sheria za barabara na ndio kilasiku watu wanapoteza maisha ni kutokana na uzembe wa madereva.
@ezirakarugwe52433 жыл бұрын
Nyce video nimeipends
@ElishaSamo2 ай бұрын
Polen na changamoto ya mlima kitonga
@esterkimalio884626 күн бұрын
Iringa kuzuri hivi kumbe?? Na kwenye huu mlima kitonga kwani pana mto??
@kassimkr35784 жыл бұрын
Hiyo nitoka morogoro kwenda iringa
@anthonygatimu12583 жыл бұрын
Good traffic terrain update.keep doing it also in google drive.
@salamsabdullah-st9pt5 ай бұрын
Iringa moja hiyo hakuna namna🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@eganbaya81183 ай бұрын
Ntakuja kutembea huko
@bjzee19813 жыл бұрын
We mwenyewe mvunja sheria za barabarani. Mwenzio kapunguza mwendo we una overtake
@MadamFety4 ай бұрын
Amee
@taifastarstv24463 жыл бұрын
Mmmh
@jimmylyimo40883 жыл бұрын
Duuu dereva wa basi ni nyoko sana
@vulfridakessy71483 жыл бұрын
Wala kitonga haitishi kiviileee..pa kawaida sana labda zaman but sahv hapasumbui
@damaslukando8623 жыл бұрын
Ninyi pia munasikia music ya congo
@lawrencegwerino16563 жыл бұрын
Huyo drive anaeendesha Hilo gari inatakiwa ashitakiwa maana kaovertake sehemu isiyoruhusiwa
@magrethbenjamin49693 жыл бұрын
Kaka voice yako km naijua iv ushawah tanga,aza County Fm
@felisterveronica54523 жыл бұрын
Daah n hatri sio kwa kna hizo
@josephomwami73582 жыл бұрын
Siku moja mtuletee zile Kona za nyang'oro tujionee
MIMI MSANII NAITWA MATUNZO CLASSIC TAZAMA VIDEO YANGU KISHA SUBSCRIBE WEKA COMMENT YAKO NAOMBA SUPPORT YAKO
@hekimatinala40573 жыл бұрын
Weka
@ruahatv11003 жыл бұрын
Unaufahamu mlima ndololo kaka mahengee ukooo ni hatar
@salamsabdullah-st9pt5 ай бұрын
Iringa y etu hiyo
@festuskahindiyaa37033 жыл бұрын
Kumbe Iringa kuzuri hivi!!!
@frankchibago32063 жыл бұрын
Sio poa
@iddimngazija19573 жыл бұрын
Unaachaje kununua mahindi ya kuchoma pale mwanzo wa mlima
@homajiji60043 жыл бұрын
Iringa Co Ilingaa
@rashidimwambichi33403 жыл бұрын
Hii video mmerekodi lini
@abdul-bz1cy3 жыл бұрын
ilinga au iringa
@timbukwa97713 жыл бұрын
Ila Al saed kiboko,,ametafuuuuta hajamuona kabisa, hao wazoefu njia hizo
@barakhafidelis243 жыл бұрын
Iringa raha jamani
@3samwel8033 жыл бұрын
appreciate
@godfreymbuya26593 жыл бұрын
Madereva wote wa malori akili zao haziko vizuri,wanapita sehemu za hatari wakifikisha mzigo wanaambulia matusi kutoka kwa mabosi wao,kukatwa pesa zao bila sababu maalumu,kubambikiwa makosa barabarani,na kelele kutoka kwa wake zao.Hivyo ukimwomba njia asipokupa tulia mpaka akili yake ikae sawa.Vinginevyo atakutia kwenye mtaro.
@matata11264 ай бұрын
Kwel kabixa kk
@RamaKusi-v3n3 ай бұрын
Ndo uwezo wako wa kufikilia umeishia hapo
@salamanauthartanzania63013 жыл бұрын
Sio Ilinga ni Iringa
@fledymavikamavika78413 жыл бұрын
Daaa kwetu aise
@scolajackson81193 жыл бұрын
Kwenu kubaya tena kunatisha
@fledymavikamavika78413 жыл бұрын
Saw bwan
@alibell52463 жыл бұрын
Duh kumbe iringa napo kuzur ivi
@luhanyamipawantobi68883 жыл бұрын
Siku nyingine mtuonyeshe nahuko chini kwenye maji kukoje,,,?????
@henryoreo22833 жыл бұрын
frm kenya lakini hamna kitu kama "fuso limedondoka"
@rihannaajie38663 жыл бұрын
Si we unajua hao watanzania vile Wapenda kujisifu
@aishaasumany5613 жыл бұрын
@@rihannaajie3866 Sinanyie mjisifie yawatz yana mihus ?????????
@rihannaajie38663 жыл бұрын
@@aishaasumany561 OSHA kuma ulale kibibi
@aishaasumany5613 жыл бұрын
@@rihannaajie3866 Kaanze kuosha mkuma wamamaako kwanza ndio ubishane na mimi mjusi kafili wwe kweeenda nguchiro wwe
@rihannaajie38663 жыл бұрын
@@aishaasumany561 vyuuuuuuuuuuuu choooniii
@heradius3 жыл бұрын
Jé Wewe ni msanii chipukizi?! Umefungua KZbin account?! Jiepushe na matapeli waanaotoa huduma za kufungulia account kwa pesa kibao... Siri ya KUFUNGUA KZbin ACCOUNT BURE hii hapa kzbin.info/www/bejne/gqbLkHqHeNqVatk Ipo kwa Kiswahili ili kila mmoja aelewe. Usipoelewa Jambo Ingia sehemu ya notification Utaona anuani ya barua Pepe Usiogope kuuliza kitu!
@abuuaisar55453 жыл бұрын
@ uzigo wa mizito
@kenyfrancis29463 жыл бұрын
Iringa...sio Ilinga ...
@Ctenzo-t2x3 жыл бұрын
Matumizi ya L & R
@kenyfrancis29463 жыл бұрын
@@Ctenzo-t2x sawa kabisa
@latenitepiano3 жыл бұрын
Usha wahi ku tokea MOMBO mjini ku elekea milima ya Usambara kule Mtae, Soni, Lushoto, Bumbuli, Magoroto na zaidi? Kama bado, basi jaribu kwenda huko Barabara za milima ya Usambara, kisha chukua videoclip, halafu fananisha kati ya mlima Kitonga na milima ya Usambara, wapi ni hatari na kunako tisha zaidi 😅🏔! Uki fanikiwa uje utu juze tafadhali 🙏🏽
@edithachipondwa88473 жыл бұрын
Nenda kwetu moro mgeta Kama utarudia tena
@latenitepiano3 жыл бұрын
@@edithachipondwa8847 Hebu elezea pakoje? Nipe picha kidogo 😅😃
@letshikuku393 жыл бұрын
@@edithachipondwa8847 nacheka kama mazuri. Napasikia tu ingawa ndio kwetu huko
@muhammadmuhammad50433 жыл бұрын
Ubawa Wake Ni Barabara Ndio Tatizo Haipo ? Na Inachukuwa Mudagani Kushuka Na Kupanda Huu Mlima
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
lisaa limoja
@ziro96533 жыл бұрын
mm na enjoy na juma kasimu kiloboto
@vyuguruzumwangumwereka3 жыл бұрын
Ngoma ya kikongo...safi sana
@binsaidiabdul64973 жыл бұрын
Duu mbona gari nyingi sana
@frida-oi6kw28 күн бұрын
Hii njia ni wanaiita T.O yani ni barabara namba moja kwa mabas mengi kupita
@ponsianasingo53483 жыл бұрын
unatangaza vizuri ila matamshi ya nakushinda, sio balabala ni barabara na sio iyo ni hiyo🤔
@josephinanikwelimdacki33303 жыл бұрын
Wwe umenishinda tabia
@khalfanibobewe42783 жыл бұрын
Kwamba ww hujawahi kukosea au ndo ujuaji
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Tatizo kiswahili kigumu ndomaana tukitembea nchi za watu hatueleweki matamko yetu sio sahihi tunaferi lugha yetu Ila bado Sana kujuwa vizuri.
@tanzanian60523 жыл бұрын
siyo ujuaji....kurekebishana ndo mpango mzima...mtu akosee ukae kimya...NO.....!!!! .nitajifunzaje kama nakosea na watu wa mute!!????
@saranyenza59743 жыл бұрын
huko mwazon mlikoazia ni kona za Iyofi kitonga sijaiona kitonga mlima mkali co hivyo, mm ni mkazi wa iringa najua sana
@elisasemkiwa25313 жыл бұрын
Wewe mkazi wa Iringa ila njia huijui kwakweli..hiyo Ni kitonga maybe kwakuwa mvua zinanyesha vichaka vingi ndio maana
@maulidsaid94483 жыл бұрын
Hiyo kitonga yenyewe mzee baba, mi mwenyewe nimepita hapo kama mala mbili hivyo hiyo sehemu naijua vzr
@gibsonntamamilo4903 жыл бұрын
Hajui mzee kajisaidie ukalale.
@tanzanian60523 жыл бұрын
ningekua nauwezo ningefuta comment yako!.....infact...siyo iyofi,its Iyovi.na unadanganya bwn hapo ni kitonga panajieleza....kwamba jamaa hawajielewi kias hicho??? Iyovi barabara ni smooth sana na ni panaa..na pana kona ndefu kiasi.....
@mandagokigge47423 жыл бұрын
Inakuaje muandishi unashindwa kumenteni lafudhi hivi Tanzania kuna mkoa unaitwa Ilinga, madeleva ndio nini
@krey_music71083 жыл бұрын
boss
@charlespantony33293 жыл бұрын
J
@bjzee19813 жыл бұрын
Fuso imedondoka. R. I. P kiswahili 😂
@maulidsaid94483 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@noofal-zeidi27703 жыл бұрын
@@maulidsaid9448 ha ha ha
@kenyfrancis29463 жыл бұрын
Hivi ni fuse imedondoka?? Au gari aina ya fuso limepata ajali? Au fuso limedondoka..
@dklive68743 жыл бұрын
Maajabu. kzbin.info/www/bejne/l6WrdWyQlNhlb8U
@subiraboi93973 жыл бұрын
Na bbara nyemmba kweli
@blandinamnyinga83183 жыл бұрын
Kwa sisi tunaijua hiyo barabara tangu enzi hizo hapo tunaiona pana maana kabla mlima haujachongwa tena 2009 huko nyuma ilikuwa nyembamba kwelikweli
@hamisimanja50893 жыл бұрын
Bila shaka gari itakuwa inapanda kwa lisaa
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
ndio
@msafirdanga94043 жыл бұрын
Kitonga pakawaida tuuu njoo soni Lushoto
@gibsonntamamilo4903 жыл бұрын
Huolima wa Rushoto ni kilometa ngapi na kuna kona ngapi? Acha ushamba Kitonga ni No. 1 tu madereva wote wanajua hilo.
@msafirdanga94043 жыл бұрын
@@gibsonntamamilo490 ushawah kufka au unalopoka tu Fanya uchunguzi kwanza kitonga ni maatufu kwakua wanapta watu wamikoa mbalmbal lakini njoo hadi mombo alafu unze kupanda mlima ndio utajua tofaut kat ya nyani na ngedele simba na duma mbwa na mbwamwitu/mbweha