No video

MLIMA KITONGA: MADEREVA WAPAZA SAUTI/ TUNATEKWA, KUKABWA, AJALI/ WIZI WA MAFUTA!/ HAKUNA DORIA?

  Рет қаралды 154,001

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

Пікірлер: 100
@beatricekipela9100
@beatricekipela9100 2 жыл бұрын
Mtangazaji unauliza maswali ya muhimu sana Asante sana 🙏🏼
@linussaid9612
@linussaid9612 2 жыл бұрын
Safi sana mdogo wangu unajua kujieleza comfidence.
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 жыл бұрын
Dar 24 tv yenu inakua kubwa sana. Watangaji wenu wapo sawa sana. Ongereni kwenu. Ila serekali apa inabidi pawekwe kituo cha police.
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 2 жыл бұрын
Ndugu ntangazaji nimejiskia DARAJA sana kutuwakilisha..mungu akubariki.kazi nzuri
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 жыл бұрын
Subhannahllah poleni sana Allah azidi kuwasimamia
@sadikibaruti4733
@sadikibaruti4733 Жыл бұрын
Mimi naitwa sadiki musa. Ningeomba selikali itafte kipimo chausingi kitakacho Jua Kama dereva ana usingizi. Kiwepo kwenye vituo. Maana ajalinyingi pia usingizi na uchomvu wa madereva.
@sharifurashidi3666
@sharifurashidi3666 2 жыл бұрын
Mabasi ya abiria apo ndo yanayovunja Sheria yanaovateki nimabasi yote yanayopita njia iyo yanaovateki kinoma Tena balaa yanachomoa sn
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 жыл бұрын
Eti hawawezi kulinda gari lenye mahindi! Kwani hilo gari mwenye nalo halipi kodi halijulikani? 🤔
@bakarykijazi293
@bakarykijazi293 2 жыл бұрын
Askari wanakaa hapo kwajili ya kutafuta pesa,wasongeshe maisha yao lakin sio kwajili ya kumlinda raia
@khalfanibobewe4278
@khalfanibobewe4278 2 жыл бұрын
Kwel
@athumankambi483
@athumankambi483 2 жыл бұрын
Good job Dar24
@ghuhenjasper8666
@ghuhenjasper8666 2 жыл бұрын
Kwa mawazo yangu'' barbara hiyo ya kitonga ipanuliwe zaidi ya hapo
@MichaelElimaza
@MichaelElimaza 9 күн бұрын
Poleni madereva
@johnmurira5288
@johnmurira5288 2 жыл бұрын
Very true,,,, there is a lot of challenge in that mountain kitonga,,, once i came there from Kenya it was so challenged me but i learned more. Love Tz
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 7 ай бұрын
Mkiwa mtaani mnadharau polisi
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 2 жыл бұрын
Asante
@prettyh7509
@prettyh7509 2 жыл бұрын
😪watu wa maroli Kwa kweli Mungu awalinde nimefanya Sana KAZI mizani najua changamoto zenu
@paulmatofali5734
@paulmatofali5734 2 жыл бұрын
"Well done dar mpya mnafanya kazi nzuri"
@mohdmohd2550
@mohdmohd2550 2 жыл бұрын
Duh, kweli ndugu ule mlima wa Chiweta hatari huu wa Kitonga una afadhali, Ila safari zinafurahisha unasoma mengi Cha msingi umakini na kuzingatia malengo
@MrCyprian1589
@MrCyprian1589 2 жыл бұрын
Safi
@user-gg4kw6le3b
@user-gg4kw6le3b 8 күн бұрын
Kama ni hivyo mbeya mtanisikia kwenye redio tu🙌😂😂😂
@gmziwandanation555
@gmziwandanation555 4 ай бұрын
Home sweet home
@john50-uo5ix
@john50-uo5ix 2 ай бұрын
binafsi naishauri serikali iweke bajeti ya kutanua Barbara ya kitonga maana ikitanuliwa itaepusha ajali zinazosababishwa na wasiokuwa na nidhamu wanapokuwa kwenye maeneo kama hayo.kitonga no mlima wa kawaida kwa mtu menye nidhamu,sasa kama watu wanashindwa kuuheshimu huu he wakienda kwenye milima ya ziwa rukwa so balaa .kina milima ndg ukiangalia machozi yanataka kutoka.madereva tuwe na nidhamu tuheshimu milima na magari sio baiskeli useme utateremsha mguu breki zikifeli japo hata baiki nayo inaua.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Barabara ya Kitonga NI balaa Ishugurikiwe
@FaustinaNkwasya-zs2xq
@FaustinaNkwasya-zs2xq Жыл бұрын
Ni kwer broo
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 2 жыл бұрын
Nliwahi kupandisha Kitonga saa 2 asubuhi nlikutana na roli za kutosha aisee bonge moja la foleni, nipo na crown athlete nikawa naangalia kona na taa za dereva wa roli kuna sehemu kona ikikata kushoto unaona upande wote wa kulia, kama kupo kweupe nlikua natoa nawapunguza kufika Ilula nikapigwa mkono, traffic wanakomaa nimeovertake Kitonga, kila nikijitetea kwamba nlikua naovertake kwa tahadhari zote wapi, ikabid niwaambie tu hiyo fain hailingani na umuhimu wa maisha yangu na nikiowabeba, andikeni cheti tu. Kuna afande mmoja akaniita chemba akasema we tembea pale kitonga kwa gari yako sio kwa kufata foleni, nimeskiliza maelezo yako upo sahihi, ila niache! Basi kibingwa nikakunjua roho nikaamsha
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj Жыл бұрын
umeeleweka, kukaa nyuma ya roli ni hatari kuliko kuovertake
@frankjohn8706
@frankjohn8706 2 жыл бұрын
YAKO maenea ktk barabara zetu Kuna mistari mirefu Sana ya kukataza kuovertake na njia inaonekana vizuri kwa uwazi kama mdaula na maeneo kutokea dar karibu na chalinze na kwingine sasa hayo ndio ya Hela Kwa wale wa barabarani pesa mstari, mistari kama hii iangaliwe, zipo alama haziko sawa, mf bumps lkn hamna alama, au alama ya tuta lkn hakuna, ukitokea iguguno singida kuja mizani Kuna SEHEMU alama ya mteremko mkali lkn hakuna huo mteremko. Pia huwa Kuna SEHEMU hakuna vibao vya 50 LKN wanakamta speed, Kwa smart phone
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 жыл бұрын
Huo mlima uchimbwe barabara iwe chini,bora gharama nyingi kuokoa maisha ya watu
@ezekielloylepayon5042
@ezekielloylepayon5042 2 жыл бұрын
Good dar24
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 4 ай бұрын
Jamani ni hatari sana. Hawa madereva wa mabasi wapimwe akili kwa kweli. Hiyo new force jamani Angeua watu
@seifkibaden6297
@seifkibaden6297 2 жыл бұрын
Kona 72!!!! Duuh haya mwenyeji wetu asante kwa taarifa
@claudiangowi9628
@claudiangowi9628 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@simonjohn-xm9bq
@simonjohn-xm9bq 3 ай бұрын
Ninawazo hapo kwa kuakunautekaji naomba serikari iweke urinzi wakutosha au kama inawezekana wange weka hata Kambi ya jeshi
@kdloon2030
@kdloon2030 2 жыл бұрын
Baadhi ya nchi zilizo endelea huezi kuendesha truck zaidi ya masaa 11,na lazma uwe na kifaa kwenye gari kinacho monitor mida huo,na endapo itazidisha muda itakua ni kosa la jinai,na ticket yake ni hela ndefu.Na njiani kuna mzani(scale)weight area lazma upite,truck ipimwe imebeba uzito kiasi gani.So huko kwetu mambo twayafanya sivyo.Kwanza car inspection hazifanyiki
@prettyh7509
@prettyh7509 2 жыл бұрын
🤣🤣nimefanya Sana KAZI mizani ni rushwa Tu
@kdloon2030
@kdloon2030 2 жыл бұрын
@@prettyh7509 Mizani ninayo ongelea ni mizani ile ambayo hata anae kupimia mzigo humuoni,ila utamuona kukiwa kuna hitilafu yoyote na ni mzani ambao upo connected straight na computer,halafu sio eneo moja pekee yaani ni kila baada ya miles/km kadhaa lazma utakuta sehem nyingine tena na ni lazma upime.Na usipo pima wewe kama dereva utapewa ticket na kampuni yako pia itapewa ticket.So ni lazma upime maana hata boss wako hatofurahia kampuni yake iwe na record mbaya.Africa mambo ya rushwa ni miongoni mwa vitu vinavyo halibut maaendeleo ya nchi coz haki haitendeki na ndiyo maana matatizo hayato kwisha
@prettyh7509
@prettyh7509 2 жыл бұрын
@@kdloon2030 ndo hyo hyo unayosema derava anapitia sehem ya mzani halaf tunarekodi uzito wa tani alizobeba baada ya hapo anapew risit
@prettyh7509
@prettyh7509 2 жыл бұрын
@@kdloon2030 uko sahihi kabisa tunaendekeza Sana rushwa
@kdloon2030
@kdloon2030 2 жыл бұрын
@@prettyh7509 Huku nilipo ni tofauti sana na huko,huku wasimama kwenye mzani kama mzigo wako uko poa hupewi risiti,green light itawaka then utaondoka,ikiwa bado ipo kwenye red light huruhusiwi kuondoka.Na endapo utakua umezidisha uzito truck yawekwa pembeni na huto ruhusiwa kuondoka. Na kuna kampuni nyengine zina card maalum kabisa,so hizo hua hazipiti kunako mzani.Na endapo ukajifanya muerevu na kupita tuu High way bila kupita kwenye mzani Police atakae kukamata umepita na amekuona waeza kupewa ticket kama 3,moja ya kukiuka sheria,then ya pili ya kwako dereva ambae umekubali kuendesha truck ipo overload na ya 3 ni ya kampuni
@mejammoleli2325
@mejammoleli2325 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa mama
@vedastusejengi1169
@vedastusejengi1169 2 жыл бұрын
Huyo dereva ana staili pongezi anazingatia kanuni za udereva nashauri madereva wenzake wamuige
@NasraMichael-cm9sl
@NasraMichael-cm9sl Жыл бұрын
Mungu awaxaidie
@haryanyawu640
@haryanyawu640 2 жыл бұрын
Waweke ile bango la barabarani linaloonesha kliomita kadhaaa gari linalotoka mbele ili aweze kuovertake maana basi laa abiria kuvumilia folen ni ngumu ndo ukute kama klm 20 mbele imejaaa malory na mda wakupanda yanakuwa slow kwajili ya kilima serikali ingejiichanga na maana me naamini magar ya mizigo wanalipa ushuru mkubwa tu pia gar likipita njia iyo la mzigo anatoa 10000 mbona hela ya mabango itatosha tu
@faustinluambano2958
@faustinluambano2958 7 ай бұрын
Kitonga unaendesha km 60 kweli?. Hiyo barabara ni ya zaidi ya miaka 60
@msafiriomary893
@msafiriomary893 7 ай бұрын
Mrishaaa ambiwa na viongozi. Msimzungumzie dereva maana dereva hana umhimu kwenye inchi hiiiiii
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
Mungu2 atusaidie maderevaaa
@vincentayua9435
@vincentayua9435 2 жыл бұрын
Ni jukumu la serikali kupanua barabara ili kuwe na wepesi wa kuendesha magari sehemu hiyo
@josephgomalo41
@josephgomalo41 2 жыл бұрын
Eneo la kitonga, Sekenke na mengineyo ni lazima yaundiwe vikosi maalum vya usalama barabarani vitakavyofanya ukaguzi wa magari yatumiayo mapito hayo, mizani za kupima mizigo husika, ratiba za mapito kwa magari ya mizigo au abiria na hata mafunzo ya utalaamu wa kuendesha magai makubwa na madogo katika maeneo hayo kwa madereva wote. Kampuni zipewe jukumu la kulipia kiwango fulani kwa huduma hizo.
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 7 ай бұрын
Mkiwa mitaani mnasema polisi hawatulindi
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 2 жыл бұрын
Najipongeza nilipita hapo kitonga na kipasso changu najipongeza kwa kweli mwanamke wa shoka!
@alexramadhani6660
@alexramadhani6660 2 жыл бұрын
mmh!!😁😁😁
@fredrickmwegole7841
@fredrickmwegole7841 2 жыл бұрын
Hadi 2025 mtasikilizwa asaiv yuko bize
@elizabethdonat1344
@elizabethdonat1344 2 жыл бұрын
wee acha tu ndugu yangu
@user-pe4ep6ui3j
@user-pe4ep6ui3j 2 жыл бұрын
Anaranda tuu raisi wetu. 😂
@chimbokiswaga8662
@chimbokiswaga8662 2 жыл бұрын
Yupo bize ana uza senema yake alio cheza
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 2 жыл бұрын
Jamani ni atari wapatiwe ulinzi
@sadikibaruti4733
@sadikibaruti4733 Жыл бұрын
Nashauri hapo kitonga pajengwe parking kubwa mbili mwanzo wamlima na mwisho wamlima.
@khamiskiandiko2965
@khamiskiandiko2965 2 жыл бұрын
Mimi niwashauri usalama barabarani wekeni utaratibu kwamfano masaa mawili mruhusu magari ya kupanda tu ili yaweze kuovateki na lisaa limoja kushuka tu mnazuia mengine huo nimfano mnaweza kufanya nusu saa kushuka na lisaa kupanda ili barabara itumike kama double rod
@Fundi12345
@Fundi12345 9 ай бұрын
Barabar ya kitonga ndogo san unapo toka chin gar inakuwa inanguvu inabidi yenye nguvu iende mimi nataka baraba mbili za kupanda hapo kidogo nafuuu tarfik kazi yake hapo iwe kutoa huduma za kusaidi watu waenda fast kwa ukamimlif siyo kucheki spid
@faustinluambano2958
@faustinluambano2958 7 ай бұрын
Wizi mlima Kitonga ni NADRA.USIKU malori yanaenda wapi
@petermanala6138
@petermanala6138 3 ай бұрын
Na walisha katazwa kupita usiku mahali hapo ila ving'ang'a🤔🤔🤔🤔
@noeljosee8384
@noeljosee8384 Жыл бұрын
Kamanda anakosea sana kusema hawajibiki kumlinda mtu mmoja mmoja. Kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zake, swala la ujumla halijaongelewa kwenye hiyo sheria. Huyo mtu mmoja unaye kataa kumlinda ndio huenda analipa mshahara wako. Polisi ya Tanzania inasahau wajibu wake.
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 10 ай бұрын
Hapo kila kona inatakiwa kisheria pawe na kiyoo kile kinachoonyesha pande zote 2, waambieni viongoz wa mitaa waviweke
@hamisikisiwa721
@hamisikisiwa721 Жыл бұрын
Ushauri wangu kitonga .serikali jamani panueni barabarani hapo ziwe hata four ways tu mtaona mabdiliko .
@neemamathew7465
@neemamathew7465 2 жыл бұрын
Tatzo apo balabalan ni nyembamba sana,,,ingeongezwa upana,,,,iyo ni kaz ya serikali sasa ,,,,Mungu atusaidie sana
@dismasmsanganzila95
@dismasmsanganzila95 2 жыл бұрын
Nduguyetu alitekwagahapo kafungwa galiikabebwa ikakutwadumila imetelekezwa mzigoumeshushwa
@ezekiellunyilija2740
@ezekiellunyilija2740 2 жыл бұрын
Unyam san
@noelikilave7874
@noelikilave7874 2 жыл бұрын
Ushauli wangu naitwa noeli kitonga iwekwe utalatibu gar ziluusiwe Kimi kumi kwenye kushuka na kupanda ajali zitapungua
@allywaziri7913
@allywaziri7913 2 жыл бұрын
Ata iyo foleni inakua kubwa kutokana na uzaif wa Gali baazi Ili liangaliwe upya kwanba Gali zisizo kua nanguvu zikiona foleni kubwa askali wazipumzishe pembeni na zile zenye uwezo zipit
@hilaliabousalim2715
@hilaliabousalim2715 2 жыл бұрын
Eti hawawezi kulinda 🌽 wakati ni bidhaa muhimu sana
@aminaomaryaliy3226
@aminaomaryaliy3226 2 жыл бұрын
Nimemuelewa mama
@dastanboda3472
@dastanboda3472 Жыл бұрын
Tipa fuso kwenye yadi
@bahiyalumelezy3016
@bahiyalumelezy3016 2 жыл бұрын
Zijengwe kambi ndogo za jeshi maneno hayo
@yusuphmohamed2304
@yusuphmohamed2304 2 жыл бұрын
Supported
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 2 жыл бұрын
Mwakindole unaniangusha kwenye majibu" Wewe kama mhandisi ilitakiwa ubuni kama iwe Barabara iwe ni two-way au haiwezekani.
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
Wezi ni hao hao wanakijiji wa hapo.
@imanmodern
@imanmodern 2 жыл бұрын
Ameitaja Chiweta Malawi waoh nimewahi kufika huko ni balaa
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 2 жыл бұрын
Hapafai hapo kuovateki wafungeni wote wanaopita kimbelembele
@MeshackGta-zo7be
@MeshackGta-zo7be Жыл бұрын
Bongo jau 🤔🤔🤔✍️✍️✍️⛽⛽⛽⛽
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 2 жыл бұрын
Mimi ndo mayunga
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 жыл бұрын
Kwa nini serikali isiweke cctv camera maeneo yote nyeti?
@yusuphmohamed2304
@yusuphmohamed2304 2 жыл бұрын
zaibiwa zote
@kusagaonlinetv3983
@kusagaonlinetv3983 2 жыл бұрын
Hapo hata wakiweka cctv ni bure cha msingi serikali ilichukulie serious suala hili iweke ulinzi wa kutosha na barabara ipanuliwe ndio suluhisho pekee na hizo changamoto zitapungua hatimae kuisha kabisa
@khamiskiandiko2965
@khamiskiandiko2965 2 жыл бұрын
Au ijengwe barabara nyingine upande wa pili yani ng'ambo ya pili ya mlima ili magari yakupanda yawe upande mwingine na yanayoshuka upande mwingine
@paschaljohnmwaisumo6180
@paschaljohnmwaisumo6180 2 жыл бұрын
Mtangazaji umejipanga yani unauriza maswali ambayo yanapoiti kubwa sana kifupi unakipaji sana yani nakupa ofa kuna kitimoto nusu na peps kwamangi uje ukure nitaripa mimi
@eastzuuzuu7050
@eastzuuzuu7050 2 жыл бұрын
Uchongwe upunguzwe kona kwani serekali ndio inashindwa na hilo?
@mrematvbabakoku8336
@mrematvbabakoku8336 2 жыл бұрын
Jomba wewe ni dini gani huna imani Biblia inasema uzima na umauti upo kinywani mwako. Unaaza kukiri kuwa sijapatwa majanga labda wiki2 zijazo. Hapo tiyari umeshakubali Shetani nae yupokazini. Kasome ayubu 1-6 utaelewa
@smwansasu8605
@smwansasu8605 2 жыл бұрын
WAACHE KUSAFIRI USIKU LA SIVYO WATAPATA SHIDA. iLE SHERIA YA KUTOSAFIRI USIKU WAO HAIWAHUSU?
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 2 жыл бұрын
Hilokweli dogo inabidi barabara itanuliwe namtandao uwe unashika hapo haishiki
@prettyh7509
@prettyh7509 2 жыл бұрын
ila watu wa mabasi tuhurumieni mwe
@stanastana3199
@stanastana3199 2 жыл бұрын
Madereva wanafaa wale mirungi
@elmiaxmed6870
@elmiaxmed6870 2 жыл бұрын
Uko sawa baba
@annakassege7134
@annakassege7134 2 жыл бұрын
Serikali itenge bajeti kwa ajili ya kutanua barabara na ukuta upande wa poromoko au shimo la zaid ya mita 2.
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 жыл бұрын
Ukifika kitonga masikio pia yanaziba
@petermanala6138
@petermanala6138 3 ай бұрын
😂😂😂we kama mimi
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 2 жыл бұрын
Police 🚔 wasianfalie madawa waje porini
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 2 жыл бұрын
Uwiii
@noeljosee8384
@noeljosee8384 Жыл бұрын
Kamanda anakosea sana kusema hawajibiki kumlinda mtu mmoja mmoja. Kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zake, swala la ujumla halijaongelewa kwenye hiyo sheria. Huyo mtu mmoja unaye kataa kumlinda ndio huenda analipa mshahara wako. Polisi ya Tanzania inasahau wajibu wake.
Dit lees je tussen de regels door in het nieuwe akkoord
21:28
Nieuwsuur
Рет қаралды 152 М.
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 6 МЛН
BIBI ALIETUMIA 'MAAJABU' KUZUIA BASI ARUSHA AHOJIWA
10:53
Millard Ayo
Рет қаралды 767 М.
Madereva wa malori ya masafa marefu wasitisha mgomo
5:04
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,6 М.
Manufacturing of a truck brake drums // How to Produce brake drum in local factory
24:41
MADARAJA YA LESENI ZA UDEREVA
9:24
LatraTV
Рет қаралды 89 М.
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 6 МЛН