Рет қаралды 1,308
Mradi wa ujezi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Ifakara unaojengwa kwa fedha za serikali ya Tanzania pamoja na Jumuiya ya Ulaya kwa gharama ya shilingi bilioni 23 kwasasa umefikia asilimia 60 ya ujenzi wake ambapo unatarajiwa kukamilika mwezi Novemba mwaka huu.