BABA KAFUFUKA MZIMU UMERUDI AMA KWELI ALIKUPIKA UKAPIKIKA🙌🙌🙌
@user-lv1ki7nn7t
Good job mhe Paul makonda ❤❤❤❤❤
@isackmachiyanshoka6754
Kaza kamba makonda ❤ tupo wote! Tupo nyuma Yako🙏🤝
@ericmtalemwa3573
Wow❤ hongera Sana kizazi OG.
@demask3423
Huyu kizazi og angekuwa anajua tu kuongea angekuwa mbali sana. Sema Mungu hakupi vyote. wala hakunyimi vyote😂😂
@zawadimpayo3839
Makonda angegombea urasi asingekuwa nampinzani🤣🤣🤣
@KiongoziMwandamizi
Huyu ndio achukue baada ya Mama Tz tunataka mtu mkali😂😂
@charlesmihuwa6287
Masihala masihala mtake msitake endeleeni kuponda lakini wenye akili wanajuwa hili ni zaidi ya lile goli la wakati ule la Mkono
@Bigger.99
Huyu jamaa atahamia upinzan na atachukua urais saiv anatumia fursa🎉🎉🎉😅😅
@aristideskilawe5024
Mh. Kazi yako ni NJEMA SANA! SISI TUKO NYUMA YAKO NA KAZI NI MOJA KUHAKIKISHA CCM NA MAMA YETU ANASHINDA KWA KISHINDO. LEO NIMEKUANGALIA SIKUWAHI KUWA KARIBU NA WEWE KAMA LEO NIMEJIFUNZA KITU KWAKO. NAKUTAKIA MEMA NDUGU YANGU
@EmanuelLairumbe
Legend ole sabaya!!
@rachelndaki5642
Ila amefanya vizuri kumperek makonda Arusha 👏👏
@user-pn9eb3oo3z
Raisiii ajae ,magufuli ajae Imani kubwa kwako
@kennedylangfell6435
I love this guy
@donnngeta
wallah arushaa imeitikaaaa
@itanzaniaAS
Mankind and ana ushawishi
@Nyukiliabingwa
Kazi nzuri
@mashimbazephania3511
Harafu kuna MTU anasema Maghufuli aliiba kura na huyu na huyu ni makonda hapa wamepoteana sacosi chariii
@Lushinge27
Kenyonyo nilikuwa namuona mkubwa kumbe mtoto hata kuongea hawezi mpaka aambiwe sema hivi😮😮😮😮