Naomba maelekezo ya kozi ya udereva na garama zake
@aminaramadhan3268 Жыл бұрын
Jaman hiki chuo kipo far sehem gan
@SanuraTaibanАй бұрын
Munapqtikana wap
@llahlonix17602 жыл бұрын
Kozi y umeme wa magari inaitwaje
@faudhiathabiti2682 жыл бұрын
Nimeipenda hongereni
@faudhiathabiti2682 жыл бұрын
Naomba kuona ufundi cherehani
@ramadhanirassi96163 жыл бұрын
Habari, Mimi nataka kujiunga , ila nataka kujifunza mapishi je ada bei gani.
@teacherd3 жыл бұрын
Pesa ndogo... Kama unaweza tembelea chuo kilichokaribu yako upate maelezo mengi mazuri zaidi...lkn Ni pesa ndogo sana
@ramadhanirassi96163 жыл бұрын
@@teacherd sawa nimekuelewa
@AbdulyShakuru Жыл бұрын
Naita mnitumie namba mnazo tumia
@monicaleopard Жыл бұрын
Kozi ya ususi na urembo inapatikana kwa ambao hawajui kusuka pia
@angelinagerevassimba5004 Жыл бұрын
Jaman natak kujiung na veta katik course udereva
@alexjonas71242 жыл бұрын
Samahani,chuo chenu kipo mkoa gan?
@teacherd2 жыл бұрын
Vyuo viko Tanzania nzima
@mohammedkombo38222 жыл бұрын
Naombeni namba kuna vitu natak kuuliza
@winifridermasegese57472 жыл бұрын
Naomba namba
@lilianievaristo59223 жыл бұрын
Habali mwalimu ,Mimi natakakusomea Udereva magari makubwa, inachukua muda gani mpaka kumaliza.
@teacherd3 жыл бұрын
Kozi ya magari makubwa inategemeana Kama tauri unajua magari madogo aikuchukui muda mrefu...lkn Kama ndo unaanza kuanzia miezi 6 kuendelea maelezo mazuri tembelea chuo chochote Cha veta kilichoko mkoani/karibu yako..
@babystellah50582 жыл бұрын
Naomben namb za chuo
@rehemakighobi91233 жыл бұрын
Nataka kujiunga veta np dar es salaam sijui utalatibu wake
@teacherd3 жыл бұрын
Taharifa nzuri Ni kutembea chuo Cha veta kilicho karibu yako utapata issues zote...
@rehemakighobi91233 жыл бұрын
@@teacherd shukuran
@swaumushirima7806 Жыл бұрын
Naitaj namb ya simu
@swaumushirima7806 Жыл бұрын
Naomb namb kwajil y maelez zaid naitaj kujiunga
@ayurvedarpeter35622 жыл бұрын
Jaman mwenye mawasilian kihonda veta msaaada maaan mm mkoan kwang fan nayohitaj haipo
@banabtvchannel32072 жыл бұрын
Chuo kiko wapi?
@aishwiihbeauty37313 жыл бұрын
Jaman naitaji kujifunza ushonaji
@teacherd3 жыл бұрын
Gharama Ni ndogo saana maana Ada peke yake Ni elfu 60 tu...vitu vingine havizidi laki 2.5 Maelezo zaidi tembelea chuo kilicho karibu na wewe kwa maelezo zaidi.🔴♦️
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Ahsante sana bro tutafika
@domanipauli34603 жыл бұрын
Naomba namba zachuo
@makenelukanima82893 жыл бұрын
Daaaa hatarii
@dainajeckonia1982 жыл бұрын
Naomb unitumie namba za chuo
@joharissa2020 Жыл бұрын
Kaka naomba nambar please nataka mwaka huu nijifunze
@HamisaAbdallah-ub1ee6 ай бұрын
Unatakiwa uwe za vigezo gani
@teacherd6 ай бұрын
Kuanzia elimu ya darasa la saba na kuendelea
@marryferix622 жыл бұрын
Ada shingapi kwenye maswala ya cheleani
@teacherd2 жыл бұрын
Boarding au day?
@rihannabakary56582 жыл бұрын
@@teacherd kwa day ni shi ngapi?
@petrowilliam17972 жыл бұрын
Ada ya hicho chuo ni shilingi ngapi kwa miezi 6.
@barakawalter66302 жыл бұрын
Minaitaji kujifunza weldar
@yusuphabdallah84722 жыл бұрын
Mnapatikana wapa
@lawrenciamkolwe7962 жыл бұрын
Nahitaji kumleta mwanzangu je mpo wapi nipo njombe
@teacherd2 жыл бұрын
Vyuo vya veta kila mkoa kipo.. jaribu kufatilia hapo mkoa wa njombe kinapatikana wapi
@malandufaustina18182 жыл бұрын
Hivi kujiunga na icho chuo c mpaka umalize form 4 au ht grd7 anaruhusiwa
@teacherd2 жыл бұрын
Darasa la Saba pia
@malandufaustina18182 жыл бұрын
Sawa sante
@danielphilipomajengo35963 жыл бұрын
Natafut chuo cha veta kinachotoa mafunzo ya udereva wa magar makubw
@teacherd3 жыл бұрын
VYUO vingi vinatoa hizi kozi...tembelea chuo kilichokaribu yako upate maelezo zaidi
@gemmacley37163 жыл бұрын
Mimi naomba ushaur nikitaka kusomea cause y operator wa yale makatapira natakiwa nianze na hatua ipi ya kwanza maana hapa najua kuendesha baiskel tu ,nipo iringa
@teacherd3 жыл бұрын
Unaeda kituo Cha veta/chuo kilichokaribu yako upate maelezo mengi mazuri.. lkn lazima uanze hatua za mwanzo za kujifunza UDEREVA Kisha utajispecalze kwenye hayo magari makubwaa
@gemmacley37163 жыл бұрын
@@teacherd ubarikiwe teacher 🙏🙏
@yusuphabdallah84722 жыл бұрын
Mawasilialo
@hashiysaid61993 жыл бұрын
Hujawahi danganya
@teacherd3 жыл бұрын
Matokeo VIP ndugu yangu
@rehemaalfonse16372 жыл бұрын
Mbona Kuna kufanya mtiani
@teacherd2 жыл бұрын
Mtihani ni lazima ukiwa ushasoma
@rehemaalfonse1637 Жыл бұрын
@@teacherd wanasema Kuna mtiani wa kujiunga ni mtiani upi Tena nakati bado ata kusoma
@tvstation6472 Жыл бұрын
Tena wa taifa haswaa. Ndo uwe qualified
@paskalmasere91142 жыл бұрын
Hivi Bado wanapokea watu maana selekali imesema tukasome bule chuo Cha veta kiricho Malibu yangu
@marthaphinias6233 жыл бұрын
Kusomea cartificate in computer mantaince and REPAIRMENT gharama ni shingap
@teacherd3 жыл бұрын
Sijajua Kama veta wanatoa hii course...lkn kwa vyuo vya kawaida unaweza japo sijajua Bei Ni gani... Nitalifanyia kazi nitakuja na MAJIBU🔴
@chichasam90323 жыл бұрын
Nataka kuwa fundi skimming and painting majumbani hiyo koz ipo apo
@teacherd3 жыл бұрын
Vizuri saaana...
@chichasam90323 жыл бұрын
@@teacherd hiyo koz ipo veta ya izo fan
@teacherd3 жыл бұрын
@@chichasam9032 ipo ndiyooo
@chichasam90323 жыл бұрын
@@teacherd inaitwaje je inapatikaana dar veta gharama zake zikoje na kwa mda gani
@fredialex33033 жыл бұрын
Nahitaji
@amossngasa27373 жыл бұрын
Napataje mawasiliano yenu kwa mazumzo zaidi
@hamisiibrahim4873 жыл бұрын
Serikali imetoa nafasi za kujiunga na mafunzo bure vi nieleweshe kuhusiana na hili
@teacherd3 жыл бұрын
Yaaah...Ni kwel, unachotakiwa kufanaya nikwenda chuo Cha veta kilichoko mkoani kwako..au sehemu unapoishi, pale Kuna maelekezo yote ikiwa Ni kusoma kozi yoyote unayoitaka gharama zote Ni juu ya serikalini (Ada)...Wai mapema maaana watu Ni wengi wanataka hizo nafasi
@marthaphinias6233 жыл бұрын
@@teacherd samahan teacher kusomea cartificate in computer mantaince and REPAIRMENT gharama ni shingap
@boniphacemachage4063 жыл бұрын
@@teacherd mimi nataka kuja arusha kusomea udereva wa magar makubwa je fomu naipataje ?
@teacherd3 жыл бұрын
@@boniphacemachage406 fomu inapatikana kwenye chuo unachotaka kuchukua mafunzo...tembelea chuo upate utaratibu mzuri
@deniserick61153 жыл бұрын
Kwa wanaume tunanyoa kama shule
@teacherd3 жыл бұрын
Yes...Kama shule, maana unavaa uniform
@rehemaomary3493 Жыл бұрын
@@teacherd huna mdomo wa kujibu wewe maana una weka link tu maana yake nini
@teacherd Жыл бұрын
@@rehemaomary3493 sijakujibu Nini ndugu?
@gangaasagal86603 жыл бұрын
Iyo coz ya computer ni mwaka mingap
@teacherd3 жыл бұрын
Inategemea Kuna kozi muda murefu na za muda mfupi na Ada zinatofautiana..mfano Kuna Miezi 3 pia Kuna kozi za mpka mwaka 1 adi 2... Ni wewe tu
@janethmarco33113 жыл бұрын
NAHITAJI kujifunza ususi napataje mawasiliano mpo dodoma sehemu gani