Ambao hatujui hata baba zetu wako wapi ila bado tuna fight wenyewe.. gonga like mayatima tujuane.
@ndayisengafrorence84615 жыл бұрын
Tupooo
@officer12085 жыл бұрын
@@ndayisengafrorence8461 daah pamoja sana mkuu! Bado tuna pambana na hatutochoka kupambana.
@alexlingwendu67804 жыл бұрын
Kweli tuupo .Na tunapigana kwelikweli .Japo Mimi baba yuupo Ila mpka naanza kujitambua baba Angu hakua na chochote .
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Don't make me cry
@yusufally68534 жыл бұрын
Alhamdulilah yote yana mungu.tumshukuru mungu kwa kila jambo
@brysonuronu58625 жыл бұрын
Hapa ndio utakapojua maana ubora wa Elimu naaarifa yanayopatikana.Investment yote haikua inamuandaa mtoto kusubiri au kuwaza kuajiriwa ..waliangalia zaidi kuanza jambo lao kuemdeleza na kuwa wabunifu .Hongera sana .
@40kstore5 жыл бұрын
millard tunaomba hizi interview za watu kama hawa ziongezeke kaka,please...zinatupa sana moyo wa kupambana,hoji watu wengi waliofanikiwa,ili tuweze kupata vitu
@maryammaram26125 жыл бұрын
✌
@estherpetza52365 жыл бұрын
true
@mandyfitnesstv67385 жыл бұрын
Kweli bro. Zinatujenga sana.
@simbawateranga70205 жыл бұрын
Point kbs mkuu
@eenpaard39155 жыл бұрын
kweli
@blackmamba75535 жыл бұрын
Had leo sijui ofisi ya Baba iko wap 😢😢😢
@mgasathedon15795 жыл бұрын
Uwe unatupa hizo story znatupa moyo sio udaku news
@emmakalou59205 жыл бұрын
😂😂😂
@richardrobert10325 жыл бұрын
Black Mamba 😂
@officialgakankara5 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@jacksonchimomo5545 жыл бұрын
Black Mamba kakuona huna Akili
@louisngaiza5 жыл бұрын
Hizi ndo contents tunapenda kuona Be Millard una focus.
@aminaibrahim41483 жыл бұрын
Safi sana mungu awa zidie mapenzi na imani
@simbawateranga70205 жыл бұрын
Mi nahc miaka mi'5 mbele MirlladAyo atakua kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa sana..
@justinemaganga41395 жыл бұрын
hii ndo interview bora kwangu ndani ya mwaka huu umefanya Millard hayo
@seifkulwa33465 жыл бұрын
Miaka 5 ijayo tutashindana sokoni na jambo company, Mimi nikiwa Geita I'm serious!
@stevegill27995 жыл бұрын
Tutafutane kaka na Mimi nipo geita
@proevolutionsoccer37795 жыл бұрын
GOD BLESS YOU
@fatmafeisal43285 жыл бұрын
mungu akubariki
@seifdisail30074 жыл бұрын
MUNGU akujaalie baraka
@martinmichael60574 жыл бұрын
sawa
@ericernest20995 жыл бұрын
Niwapongeze kwa kuwekeza kwenye mkoa wao. Wengine wangekimbilia Dar au Mwanza
@ibrahimallyweunaijuahiyoco86086 ай бұрын
juisi zao ni nzuri sana
@edsonsibuti69145 жыл бұрын
Sitokei katika familia tajiri lakini familia tajiri lazma itoke kwangu
@zalhatamakange26273 жыл бұрын
Nimependa hii
@kaburashindika56173 жыл бұрын
💪
@zurfashafii95313 жыл бұрын
Mungu akujaaliye
@kazungujonathan90005 жыл бұрын
Millard nakuelewa sana kwa kazi yako , kutoka maganzo kwa jamaa wa almasi ukasogea jambo, jambo ndo nilipoanzia kazi baada ya kutoka SUA 2014 kama field officer. Ndo palinifungulia mlango, kwasasa nafanya kazi na taasisi ya utafiti wa kilimo tananzania kama mtafiti wa kilimo.
@OKiduma5 жыл бұрын
kazungu jonathan bro kazungu tuwasiliane bas
@maijopardon22742 жыл бұрын
Namba za company p Ries
@shamimushittindi14185 жыл бұрын
Sasa ni kipindi cha kurudi nyumbani maana tunayoyaona huku kwenye dunia ya kwanza ndio yanayoendelea nyumbani big up boss mtoto
@Pedeshee015 жыл бұрын
Shamimu Shittindi tutarudi pamoja upo pande zipi
@Witnessvlog5 жыл бұрын
Familia za jamii ya watu weupe zimefanikiwa sana kuliko sis wabongo, tunawazaga tu kuuana
@Bigboy-nx3nc5 жыл бұрын
UKWELI
@khadijak30655 жыл бұрын
Tatizo kubwa sisi watu weusi hatufikirii kuona mbali na rohoo mbaya ndio maana hatuwi na maendeleo MTU na mtoto wake anamfanyia rokho mbaya .Sasa wakiona intavyoo kama hizi ndio maswali mengi yanazuka kwanini biyashara kubwa zinashikwa na watu kwanza hawa watu wana hofu ya mungu pili wanaalikili yani ukiwa karibu na MTU mweupe kama unaakili hukosi kuishi maana utapata umajimaji Wa kutafuta kwa bidiii .Lakini sisi Tanzania uwena uwezo wakumiliki bajaji basi utawapanga kwa safu wanawake na kijisifu .lakini hakumbuki hata kuna watoto wakupeleka shule wakiona kamaivyo baba kajikaza kumsomesha kajima mengi na kukuza miradi Ingikuwa gozi nyusi majigambo. Mengi mahojiano hapo ungesikia NO : koment Tujitume Wa baba na Wa mama Wa KITANZANIA tusipende kubweteka
@dasilvajacmwax74365 жыл бұрын
Kabisa
@mohamedimohamedi78815 жыл бұрын
@@dasilvajacmwax7436 sio kweli kuna watu weusi wamefanikiwa sana
@dasilvajacmwax74365 жыл бұрын
@@mohamedimohamedi7881 kaka mkubwa, hawa ndugu zetu kiukweli wako tofauti, sio Kama sisi blacks
@kaulimbiu1815 жыл бұрын
Kijana kafanana na yule mapengo sapota wa Liverpool wa Dar. Sema huyu Hamisi hana upuzi kama yule mlaji ugoro anaedai amwagiwe ndoo ya mavi Liverpool ikishindwa 🤣🤣🤣
@yusufali2904 жыл бұрын
Hahaha ati amwagiwe mavi ya ndoo
@kaburashindika56173 жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@blacknature76375 жыл бұрын
Huyu kijana Millard huwa anajuwa mambo ya kutuletea kwa kweli hanaga upuuzi
@johnmwandry43095 жыл бұрын
gonga like kwa mzee aliona mbali kuwekeza elimu kwa watoto
@khadijak30655 жыл бұрын
Hakika amefanya kitu cha maana lio hii angeajiri MTU baki lakini hela ya mshahara imerudi nyumbani hongera baba
@salamakombo32574 жыл бұрын
Goood
@onlinemovie85805 жыл бұрын
Tisha sana millado bonge moja la interview
@flackomasterbaddest41553 жыл бұрын
Sad truth ni only these arab tanzanians na indian tanzanians wenye guts hizi investments ...black tanzanians tumebak kuuza nguo tu 🤦🏽♂️
@abrahamsingano53725 жыл бұрын
Hongera Ayo kwa kutuletea interview hii. Endelea kutuletea nyingine za wengine waliofanikiwa. Interview kama hizi zitatusaidia kushirikiana na vijana wetu ktk kuendesha miradi kwa mafanikio
@heavenlypatric48225 жыл бұрын
Duuh wengine tulikuwa tukitoka shule ni uwanjan moja kw moja
@dottojamali65155 жыл бұрын
Heavenly Patric araf hat hatujawa wachezaji 😂😂😂😂😂
@orgeneslema94645 жыл бұрын
Ayo next time uliza kuhusu kiasi cha investment. Benki zilizoshiriki kutoa mikopo na riba. Na masharti ya ulipaji. Hayo mengine ni ya kawaida sana kwenye biashara
@shamsimagesa45205 жыл бұрын
Yes.!!
@meshackabdul9285 жыл бұрын
Orgenes Lema hizo ni siri za biashara ndugu
@Wanja.Kelvin5 жыл бұрын
H
@ambakisyemwakinunu20025 жыл бұрын
Huwezi ambiwa kila kitu, pia benki washirika(mikopo yenye ribs nafuu wakutafuta ni we mwenyewe pindi uanzishapo biashara yako
@abdulrazakgwotta55615 жыл бұрын
Uambiwe ili iweje sasa?????
@mohamedhamdan49565 жыл бұрын
MashaAllah huyu kijana anakosa kubwa sana ambalo ni hatari kutoka wewe tangu uanze kulizungumzia kuhusu viwanda viwanda mbona hatujawahi kusikia ukishukuru Mungu ukisema ALHAMDULILAH HAPO UMEMASI ALLAH MAANA KAMA SI ALLAH NI NANI MWENGINE NI MWEZA??? Lazima utafakari maalim umemasi Mungu
Mashaallah.Hongereni Sana na mtangulizeni Mwenyezi Mungu katika Kila kitu.Msisahau kutoa zaka mwisho wa mwaka na kuwapa maskini
@malikzafarani1722 жыл бұрын
Woow aisee imeniamasisha saana hii Millard saluti
@lawfang23115 жыл бұрын
He been the hardest worker man!!!! Happy for you bro keep going
@danielshunda44105 жыл бұрын
Kanyoeee.nyweleeee.miraddd
@alexmichael87355 жыл бұрын
mahojiano kama haya ndo muhimu nyakati hizi keep it up millard
@robtv96345 жыл бұрын
Lemme tell you guys u have good governorship. And a great President #FromSomalia
@santodelove43515 жыл бұрын
Come and take him
@robtv96345 жыл бұрын
@@santodelove4351 wish i can
@cbegram61612 жыл бұрын
Miaka miwili baada ya hii comment, he is no longer with us😥😥
@lukombesoemmanuel72715 жыл бұрын
Nice interview...vinajana tunapenda kusikia hays
@williamkipondamali19365 жыл бұрын
Weupe ni asili yao kuendelea
@zuheorsalim77595 жыл бұрын
Mi nipo tanga nipeni uwakala niwauzie bidhaa zenu
@deboramatpapaztv5 жыл бұрын
Kweli mwenye nacho huongezewa.hao wajerumani mliwapa hela zote au wanawadai maana mhhhhh
@frankforeheads97965 жыл бұрын
sometime familia inachangia katika watoto kufanya vizur angalia huyu jamaa kasomeshwa mpaka nje ndio maana mpaka Leo kafika hapo alipo ,Lakini ninaacho Mimi mafanikio ya mtu yako katika mikono yake mwenyewe
@edinakyaruzi9226 Жыл бұрын
Ndio kunakusomeshwa nje mtoto akaja waovyo kweli mafanikio yapo mkonono mwetu
@aminamassari64805 жыл бұрын
Yaana hapa angeongea mtoto wa ilala tandale mngeambulia kusikia jambo tu mwanzo mwisho n kinge tu Lkn kijana wala hana mambo ya yes no cjui of course
@jacksonmathayo65105 жыл бұрын
Kabisaaaa Dadae
@lilyrose40665 жыл бұрын
Umeona eeh?Ni ushamba unatusumbua tunashindwa kuthamini lugha yetu.
@goodteam78904 жыл бұрын
Sana yani halafu mara nyingi tunaoshobokeaga kingereza ni sie ngozi nyeusi
@firdausnassor11055 жыл бұрын
Mungu awalinde hii familia , ni vema sana ndugu kukaa pamoja na kupendana
@moussabmohamedsaid60665 жыл бұрын
Millard tunahitaji more Interviews Kama hizi zinatu motivate vijana kama sisi ambao tupo vyuoni trying to get our Educations
@amm24media652 жыл бұрын
Automation killed many jobs no matter how you like it job!!!
@papayatnzania10054 жыл бұрын
Poleni mnao kunywa sumu toka viwandani nitabaki kunywa maji yangu asilia toka mirimani huko Morogoro chunguzeni kwa kina hao wenyewe hawatumii hivyo vitu kwa sababu wanajua fika vina chemical za kufa watu
@najma32685 жыл бұрын
Hakika yaha ndo madini tunayoyataka kwenye jamii kwakweli
@issaally41255 жыл бұрын
Kumbe inawezekana biashara na familia ukiwa makini unatoka lakini kibongo bongo familia zetu hiz ukizishilikisha wao ndio wakwanza kufisadi Mali wakitegemea mzee yupo tu
@nurualamoody43053 жыл бұрын
inawezekana muhimu nidhamu ya kazi
@Shirimatunda5 жыл бұрын
Naona mnatumia mashine za krohnes hope mtakua na bidhaa bora
@kingslleyhaidar26495 жыл бұрын
Very impressed, very young Tanzania to run a big company like this owesome....
@agnesshonga75702 жыл бұрын
Mwenyewe anaongea kwa adabu anapesa na akili
@samuelmulumba18925 жыл бұрын
Hongera sana wana Shinyanga wenzangu. No efforts without impacts.
@ahmedadam65685 жыл бұрын
Baba alikuwa akimpeleka kwenye ofisi ya biashara sio ofisi ya serikali,watu weupe wana uvumilivu na wananyanyuana sana lakn watu weusi tuna unyimi na malengo ya mida mfupi,ukaichana na tatzo la mtaji wa pesa bado mtaji wa mawazo ni duni,elimu itakufanya kuwa na mawazo mapana na zaidi ukisoma nje unapata fursa ya kujionea mambo mengi mazur na ya kisada,hongereni sana
@darmillionaire5 жыл бұрын
Jiongelee mwenyewe. Hili sio jambo la weusi au weupe. Ni jambo la mtu na mtu. Kama hujawahi kusikia basi enzi za Kikwete kuna mweusi mmoja mmiliki wa hoteli ya Peacock pale Mnazi Mmoja aliwahigi na yeye kuhojiwa na kueleza jinsi alivyosota kutoka kuuza duka Iringa hadi kujenga hoteli Mnazi Mmoja kwa elimu ya darasa la saba, halafu jinsi alivyomrithisha mwanae mikoba. Ila ujue pia kuna wengine wanaofanya hivyo ambao hawaongei. Sasa usijishushe na kukweza rangi ya mtu au kudharau rangi ya mtu kwa sababu ya matatizo ya watu binafsi. Hata watu wenye ngozi unazosifia ni wengi tu huko kwao ambao wana mambo ya ovyo ovyo kabisa. Usiangalie wachache unaowasikia wanavuma ukajua basi wote wako hivyo.
@crershawmafia10095 жыл бұрын
Ubinafsi ndio unatuponza sie weusi. Tunapenda kusujudiwa sana hasa tukipata mafanikio kidogo tu. Unataka walioko chini wabakie huko huko hata kama una nafasi ya kuwainua ila unawakazia makusudi ama kwa roho mbaya tu. Hatutakaa tusogee
@goodteam78904 жыл бұрын
@@darmillionaire weuc wenye maendeleo makubwa ni wachache sio kama wenzetu weupe
@mariamkaaya2145 жыл бұрын
shkamoo wajerumani,technology imekua,inatengenezwa wakiwa ujerumani,technology ni nzuri mno
@edwingwesso1295 жыл бұрын
Kazin kwangu hapa
@jumannechapembe82805 жыл бұрын
Nafarijika Sana kwa unachokifanya ayo tv. Natamani na Mimi kufanya innovation baada ya miaka kazaa niwe Kama Jamaaa hpo. Big up Ayo TV
@sebaskibiki48363 жыл бұрын
Waarabu na wahindi wako vizuri lakini weusi ngozi ya yako nyoko Sana! Litahonga vimada mpaka mfilisike
@maluhismadila9593 Жыл бұрын
Naiomba no yenu ya sim mko sawa
@newforcejv97215 жыл бұрын
Ayo kazi zako hazipitwi na wakati
@tumainingowi63735 жыл бұрын
Ongezeni muda mukiwahoji watu kama hawa millard
@abuyunusmohamed69615 жыл бұрын
muda unatosha sana chamsingi ni pointi tu.chakwanza ni elimu na pili ni ari na juhudi ya kufanya kazi na tatu ni msingi wa kuanzia biashara.
@jacksonjohn98845 жыл бұрын
millard tunaomba hizi interview za watu kama hawa ziongezeke
@zwainazwaina98083 жыл бұрын
Mashllh
@asiliyakechuma43193 жыл бұрын
Dah weupe asili yao kuendelea mm baba yangu alifungua duka akaniweka mm na baba mdogo dukan nduo tukawa wauzaji mpaka leo hii nashindwa kuelewa duka lilikufaje kufaje maana tunadaiwa mpaka kodi ya pango
@dflexmashairi88244 жыл бұрын
Waliidhamini Stand United lakn kwa bahati mbaya ikashuka daraja.Rest in peace Chama La Wana
@maryammaram26125 жыл бұрын
Insha Allah wanaosema weusi hawez ati kufanya watoto wao kuwa kama huyu mi nasema wangu naanza kumjenga saiv atakuja kuwa zaidi ya hawa.. tuwajenge watoto wetu kuanzia chini siku 1 watakuja kuwa kama hawa akina jambo..✌
@saumuhassan63655 жыл бұрын
True my dear
@rashidhemed12125 жыл бұрын
Dada mum upo
@maryammaram26125 жыл бұрын
@@saumuhassan6365 yeah✌
@maryammaram26125 жыл бұрын
@@saumuhassan6365 yeah✌
@maryammaram26125 жыл бұрын
@@rashidhemed1212 nipo mdogo wangu hujambo
@abrahamjoseph25895 жыл бұрын
Sisi waafrika weusi kwanza mifumo yetu ya maisha ni mibovu na hatuna utamaduni wa kuwatayarisha watoto toka wadogo tofauti na wenzetu wenye akili ya kihindi na waarabu ndio maana unakuta mtu ana mali ila akifariki tu na mali zinakwisha
@msetyntorah8045 жыл бұрын
Ata wewe ni mwanaume Bro kama umelijua tatizo fanya wewe ili uwe tofauti.
@abdulkareemshaban14765 жыл бұрын
Mfano huu upo Tanga kwa shehoza company watoto wake pia ni wasomi kwa ajili ya kampuni yao
@abrahamjoseph25895 жыл бұрын
@@msetyntorah804 yeah that's not problem ndio maana nimesema ni mfumo wetu wa maisha ndio tatizo
@ndukulusudikucho_3 жыл бұрын
Nilichojifunza hapa elimu ya ujasiliamari inayofundishwa na Ma professor wanatudanganya saaana maana wengi wao hawana hata kibanda cha Tigo pesa, kuna elimu tunaikosa sisi ngozi nyeusi, napenda nchi iwe na watu wa mataifa mengi na tujifunze kutoka kwao, maana ukitaja matajiri kumi unapata watanzania 2 tu, wahindi wako 400,000 tu lakini matajiri wote ktk top ten zaidi 60%ni wao, kuna jambo la kujifunza kutoka kwao na hatuwezi pata hiyo elimu chuoni, mataifa yako mengi lakini Walebanini, Wahindi, Waarabu, Wachina, Wasomali ni wafanya biashara wazuri mno, popote ukimpeleka Duniani hata uwapeleke Kijijini watatoboa
@hassanisadiki8245 жыл бұрын
Millard ongeza sn juhudi kuwahoji watu walio fanikiwa huwa tunpt Elim kubwa sn kupitia kwa hawo watu walio fanikiwa
@TheBestPhone79183 жыл бұрын
Hakika Interview imebamba, kwa Sisi ambao Baba zetu wamefariki Bila kutuachia nyenzo na Sasa tunahaso tujuane.
@abelshinyanga26833 жыл бұрын
wale wote wa shy nyumbn ngola like twende sawa
@ismailabbas26753 жыл бұрын
Majengo moja iyo💪
@ashakarim52973 жыл бұрын
Waarabu wanatabia ya kushea hata kiwanja moja tu
@kapituomary23445 жыл бұрын
Tuvitu tudogo tudogo
@Rashidmhedhery5 жыл бұрын
Well done young boy, initiatives, eduction, commitments , mitigation and excursion is the key of successes
@mutalemwagabriel22775 жыл бұрын
😁😁
@InnohubGroup8 ай бұрын
Sasa mbona ujiaibishe mbele ya Dunia wakati unaweza kukitumia kiswahili. Kiingereza sio kipimo Cha masomo au ujanja! Next time try to find out the meaning of the vocabulary you would like to use and the correct/proper spelling. STOP 🛑 worshipping the English language. Be proud of our Swahili language.
@marthaleonard24443 жыл бұрын
Hii ndio tunataka kuona sio umbea !Au maisha ya watu!
@khamisrashidy13485 жыл бұрын
Millard karibu shay jamukaya
@abednego38765 жыл бұрын
Interview ya maana kama hii ni dkk 12..Ila interview ya Zari ni endles Series... Naskia harufu ya umauti na umasikini huku bongo
@babaharunakipindula38955 жыл бұрын
Hahahahaa na kweli wabongo wengi wanapenda umbea
@arthurjustus18115 жыл бұрын
Tatizo hujui, watu kama hawa wako busy Sana hauwezi kuchukua muda mwingi akikuelezea juhudi zake ndio maana amemuhoji dakika chache... Zari anamuda mwingi wa kuongea hana vitu vya kufanya ndio maana ni series😂😂😂
@abednego38765 жыл бұрын
@@arthurjustus1811 Sio kweli... Tafuta watu huko duniani kina Buffet,Trump,The late Jobs wanafanya interview za ata masaa mawili...
@barakabahati66003 жыл бұрын
Computer yako inaandika vitu tofauti na maneno yanayo zungumuzwa
@petersonshaezra11355 жыл бұрын
ongezeni mda kweny interview nzur km hzi zinazo inspire watu kujifunza na kuelewa @Millardayo
@immah__deo70145 жыл бұрын
Iv kwa nn Biashara kubw zote Bongo Zpo Chn ya Ngoz Nyeupe??
@jacksonmathayo65105 жыл бұрын
Kwa sababu ngoz nyeusi ina fikra ndogo mno kiubunifu na kiakili pia maana wengi wao wana soma ili waajiriwe sio kuji ajiri brother
@johnsonmarick455 жыл бұрын
Background kama wazazi weusi wanawaza siasa tu na ngoma kuoa tu tutabaki hvyo hvyo badilika ili tubadili vizazi vyetu
@edsonteri44895 жыл бұрын
Kwasbabu hata ngozi nyeusi waliofanikiwa na wakawa na madaraka huiba na kuficha kwa ngozi nyeupe mfano wanasiasa wana pesa lukuki wameficha kwa weupe huko ulaya wengine wamefukua makampuni na kuweka wahindi ili wasijulikane wameiba
@crershawmafia10095 жыл бұрын
Ngozi nyeupe hawana ubinafsi kama sie blacks, mtu mweusi akifanikiwa hataki na wenzake wapitie kwenye mafanikio yake kujiendeleza. Anataka waanze kuhaso upya kama yeye alivyofanya. Ingekuwa baba wa huyu mtoto ni mbinafsi angetaka mtoto aanze kutanga tanga juani hadi apate ajira.
@vicentmaganga36875 жыл бұрын
Ni watu wanaojituma sana ktk kazi, pia wanasaidiana sana wao kwa wao. Wanajitahidi sana kuwafundisha watoto wao biashara tangu wakiwa wadogo. Mfano mzr ni Manji, Mo na wengine kibao wanaendesha biashara ambazo zilianzishwa na babu zao. Watu weusi tunafeli sana ktk hilo
@misschagga80425 жыл бұрын
Sijatosheka na hii video jamani tuongezee nyingine ndefuuuu mtuwekee vitu kama hivi tunapenda kuliko umbea wa kina zari na kina uwoya mabiriani😂
@davidobonyo75585 жыл бұрын
Nimependa sana uzalishaji wa bidhaa za Jambo yaani very hygienic keep it up Jambo
@kalebphilip34262 ай бұрын
Milad ayo nitafute na mm ninabonge la uwekezaji,mm ndo mkurugenz,meneja,kuli, na mfagiaji,nimenunua Sana mafuta ya pamba ya Jambo kwa Hawa jamaa,sele ni shahd
@tztanzania22625 жыл бұрын
Mashaa allah nataman utajir in shaa allah nitapambana sana kutafuta halaal
@najimshaib93065 жыл бұрын
Taman uchamung
@maigajohn5828 Жыл бұрын
Hongera sana mzee amesimama vyema sana na kijana anajitambua sana ni vijina wachache sana
@munnawwaryaqoob34145 жыл бұрын
Safi sana kwa Elimu kweli nampa big up sana Salum wtt wote wamesoma
@1994-l1m5 жыл бұрын
Mashaa Allah
@blacknature76375 жыл бұрын
Masha Allah mungu awasimamie
@rayesrayyan24285 жыл бұрын
MashaAllah very proud of you khamis your doing so well. May Allah bless you all and keep up with high quality products.
@amosipetermiraji8059Ай бұрын
Faneni utala tibu tuweze kupata na energy drink kama Azam energy kwahapa Congo👏👏
@sarmyclever43403 жыл бұрын
Watoto wa huyu mzee wa roho nzuri mno 2008 nlikuwa meatu pale ndo kwao haswa, nlipokuwa nafanya biashara ilikuwa karibu na kwao kipindo hicho walikuwa sheli nyingi ko walikuwa marafiki zangu ila hamis simkumbuki kaka ake mkubwa alikuwa rafiki angu.
@mussamsindo20295 жыл бұрын
Safiiiii Ila muda mchache sn nimependa sn Hamis anavyojieleza kwa kujiamin big up
@philbertmwanakusya8050 Жыл бұрын
inspired much
@ismailmohammed84183 жыл бұрын
Ninawajua sana hiyo familia! Mashallah agkhan
@excessethane4545 жыл бұрын
Hizi bidhaa ziko Kenya 🇰🇪 kweli,
@husseinloyy19125 жыл бұрын
Milady ago ...we ni Mbunifu na maono
@Laizer34 ай бұрын
Hapo ingekuta ni mtoto wa tajiri wa kibongo angeanza kueka heshima maclub bar na kununulia watu bia kwa sifa ila ona wahindi huku hata senti haipotei😮
@juicesodascience4 жыл бұрын
hizi ngozi nyeupe asee akili yao iko mbali sana ila weusi ndugu tu wanakuloga 😡
@hajiabdalla57725 жыл бұрын
Umaskini na njaa ndio watoto wengi hushindwa na masomo
@leonardkisia19294 жыл бұрын
Kwa nini tukifikiria viwanda lazima tufikirie wahindi, waarabu ama wazungu? kwa nini hakuna waafrika wengi kwenye hiyo sector?
@nurualamoody43053 жыл бұрын
sisi waafrica tukipata vinakuwa vyetu binafsi sio vya familia sasa muanzilishaji akifa mambo yote yanakufa
@manenolugendo63965 жыл бұрын
Safi sana jamaa wanaandaliwa mapema sana
@yasiniludabaza11385 жыл бұрын
Bro kuna nafac hapo job?
@benjaminchagu42363 жыл бұрын
Ipo
@chrismwanjalika98925 жыл бұрын
Mtangazaji tafadhari hakuna neno "UTITIRI WA BINADAMU"
@shamsahabibu68623 жыл бұрын
Nakuona Kaka mkubwa nimm apa mfanyakazi wako shamsa jaman tunapambana Sana karbuni
@mohamedabdallah83215 жыл бұрын
Dah hadi raha yani kwanza ni tam balaa anauza sana kanda ya ziwa
@swalehfarid54663 жыл бұрын
ALLAH Azidi Kuwatilia Barka Muzidi Kupanua Company
@MusaNgao5 жыл бұрын
Nimeipenda hii, safi sn Millard!
@eliasaphbussa93325 жыл бұрын
Naona Mkurugenzi mwnyw umeingia kazn kutuletea info za moto xn
@petermwantole94335 жыл бұрын
kweli maji ya jambo yana test nzuri sana ukiacha ya kilimanjaro