No video

KUA MAKINI NA URAFIKI WA WATANZANIA ULAYA |KILA NIKIPATA MZUNGU ANANIKIMBIA KUMBE RAFIKI ANAHARIBU

  Рет қаралды 78,089

Official Dating Assistance

Official Dating Assistance

Күн бұрын

Lucy ambae ni mkongwe wa Sanaa ametufungukia mengi kuhusu maisha ya Ulaya nchini Denmark na pia kuhusu kuendeleza kazi yake ya Sanaa.
Malezi ya watoto, utamaduni wa wadanish, na changamoto za kujipata ukiwa nchi za watu.
Ameeleza changamoto za watanzania wanapokutana Ughaibuni, Habari za kizushi na mengine mengi.
Thank you Lucy for allowing this to be online
www.oda.international

Пікірлер: 371
@paulabelleghe451
@paulabelleghe451 5 ай бұрын
Nampenda Sana Dear Lucy nimpole anaongea kwa unyenyekevu tangu yupo kwenye tasnia ya uigizaji,much respect to you Beautiful Lady💞💞💞😘
@polloz77
@polloz77 4 ай бұрын
Nimempenda ssn she’s beautiful inside and out yupo real no fake Humesema ni muhigizaji wapi ? Tanzania or Denmark? Mara ya kwanza kumsikia Tanzania kuna wadada wazuri sana na warlewa vizuri sana
@theclanyoni4438
@theclanyoni4438 2 ай бұрын
Dada Lucy alikuwa na pacha mwenzake kama sikosei kwenye mchezo mmoja sijui ni kweli
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 5 ай бұрын
Interview nzuri sana nmefurahi kumuona dada Lucy moja ya waigiza bora Mungu ambariki sana yuko na roho safi
@eliwajajacob8569
@eliwajajacob8569 3 ай бұрын
Nicce
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 ай бұрын
Asante sanaa, na siyo Marafiki wa KiTanzania tuu , mama , Waafrica wote tuu kwa ujumla.
@rosestigeneriksson8387
@rosestigeneriksson8387 5 ай бұрын
Huyu ndio mtanzania wa kwanza kusema ukweli kuhusu maisha ya Skandinavien
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Ай бұрын
Hongera Lucy Komba, nakukumbusha ule msemo wetu enzi zile "Kazi ya Maji" tumetoka mbali, najua utacheka sana. Wishing u best of luck!!
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 5 ай бұрын
Hongera sana Lucy kwa kutimiza maisha ya Ndoto zako! Bado madeko yako yapo pale pale! Nilimisi sana Uigizaji wako!
@Marthamkilema
@Marthamkilema 5 ай бұрын
Hongera sana sana Lucy msanii wetu wa Kgss. Nimefurahi mno kukuona na kukusikia tena ukiwa na furaha tele...All the best dear by MAPISHA
@baeyanka5264
@baeyanka5264 4 ай бұрын
Korogwe girls for life
@nevychacha6754
@nevychacha6754 3 ай бұрын
Kamaliza mwaka gan..?
@hildajoel5
@hildajoel5 5 ай бұрын
Jamani mm sina rafiki wa rohoni kabisaaa. Sijawahi kumwamini mtu kindakindaki wallah. Hakuna watu nawaogopa kama wale wanaoitana mabff😂😂
@Serenawilson11
@Serenawilson11 5 ай бұрын
Kama mm sina kabsaa niponipo tuu
@QueenNgai
@QueenNgai 5 ай бұрын
Mashallaah ❤️ kipenzi changu nakupenda Sana allaah akuzidishie inshallaah 🤲
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 ай бұрын
Asante sana Lucy mpole sana na anaongea kwa kunyenyekevu aswaaa mie kama mtanzania siwez kukalibisha mtanzania nyumban kwangu nawajua vizul. Acha nipambane na hali yangu
@user-mr7gl5ox6u
@user-mr7gl5ox6u 5 ай бұрын
Asant da shena na Mungu akubarik🙏🙏 kwa hivi vipindi maana napata kujua experience ya maisha ya nje hata nikifika huko meng takua nishayajua maana nipo kweny kusubir visa ya marriage
@rosemery3017
@rosemery3017 5 ай бұрын
Shena mtafute lulu kamanga nae tunataka kusikia history yake nawapenda sana wadada wa kingoni wanahekma sana na niwapambanaji mno❤🙏
@idrisssaissa4322
@idrisssaissa4322 5 ай бұрын
Jamani hata Mimi natamani ya Lulu nampenda sana huyo mdada
@homeandaway2811
@homeandaway2811 5 ай бұрын
Wabongo Ughaibuni ni wa kuogopa kama ugonjwa wa ukoma. Mwenye masikio na asikie.
@CiscaRecaps2015
@CiscaRecaps2015 5 ай бұрын
Bora wabongo,wakenya ndio hatari zaid
@joejoshua7791
@joejoshua7791 5 ай бұрын
​@CiscaRecaps2015 west African nao sio watu wazuri
@homeandaway2811
@homeandaway2811 5 ай бұрын
Nadhani ni kila mtu na taifa alilotoka mana hata waFilipino nao wanalalamika watu wa kwao noma ughaibuni ​@@CiscaRecaps2015
@homeandaway2811
@homeandaway2811 5 ай бұрын
​​@@joejoshua7791hao waWest Africa na uchawi wanabeba kuleta nje 😂😂😂😂 full unafiki
@vailethmbulule8339
@vailethmbulule8339 5 ай бұрын
Basi nikajua wanaushirikiano
@user-sg1sx8yl2k
@user-sg1sx8yl2k 5 ай бұрын
Da Lucy alikuwa anaigiza vizuri sana
@foodbasiccourt2028
@foodbasiccourt2028 5 ай бұрын
Mumw wangu ni mwafrica. Wote tunatoka tz ila ni half half hadi huwa nawaza tukirudi bongo wwnaweza hisi nimempa limbwata kumbe ni maisha ya huku yametufikisha hapa
@angelmashauri6961
@angelmashauri6961 5 ай бұрын
Ahsante sana Lucy kwa mazungumzo mazuuri sana yenye manufaa kwetu waafrica🙏🏻
@salomemkilima5732
@salomemkilima5732 Ай бұрын
sikujuaga huyu ndugu yangu wa kunyumba kumbe yupo majuu hongera sana.
@user-vw7kg8pf4d
@user-vw7kg8pf4d 5 ай бұрын
Tunashukuru Dada kwa kuwafungua macho vijana,kwenda nje ujipange na waTanzania tujenge umoja wa kitaifa aliyotuachia mwalimu Nyerere.
@t.jsaidia2047
@t.jsaidia2047 5 ай бұрын
Dada Lucy pole sana Kwanza. Mimi Naishi Holland ivi sasa sitamani Rafiki WA TZ NI Wachawi sana.hapa Holland kuna wachawi wengi mno.kwa kweli eur himeharibika. Naitwa Tunzamali
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 5 ай бұрын
Duuh poleni
@ngendachubwa3457
@ngendachubwa3457 5 ай бұрын
Habari ndiyo hiyo. Na huo ni ukweli. Wawake tujikubali tulvyo.Asante sa LUCY. ❤
@user-st4rb5oj2c
@user-st4rb5oj2c 5 ай бұрын
Lucy I miss you, msanii wangu pendwa ulipotea. Nimefurahi Shena nimemuona Lucy wangu. 💪
@user-sg1sx8yl2k
@user-sg1sx8yl2k 5 ай бұрын
Da Lucy komba alikuwa anaigiza vizur sana
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 5 ай бұрын
Kitu kimoja nimejifunza hawa ladies wake za wazungu wana determination
@annamussa185
@annamussa185 5 ай бұрын
Ahsante Lucy niliwahi kumwambia shena wadada wasijichubue Yani plz wadada
@salmabasil385
@salmabasil385 5 ай бұрын
Kuhusu kujichubua bhana hata wazungu kibao wako na mademu walio jichubua yani kama bongo tu kuna wanaume hawapendi mwanamke alie jichubua na kuna ambao hawana shida na hilo sisi tunao fanya kazi mahoteli ya kitalii Zanzibar tunaelewa mzungu akikupenda kakupenda uwe umejibua au laa
@annamussa185
@annamussa185 5 ай бұрын
@@salmabasil385 sawa endeleeni kujicgubua wewe unafanya kazi hotel unakutana na hao wa hotel ndo unawajuwa wewe,siye tunaishi na hao wazungu so tunaelewa zaidi ya wewe unayewaona hotelni
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 5 ай бұрын
@@salmabasil385 unatetea wanaojichubua sababu nawewe umejichubua. Kifupi mzungu hawezi kujua kama unajichubua. Na akijua atakuuliza why are you doing that? Then atakuona unanyenyeekea ngozi nyeupe mwisho wa siku atakuona mtumwa. So stop bleaching yaselvs ok!
@annamussa185
@annamussa185 5 ай бұрын
@@salmabasil385 wewe unafanyanao kazi siye tunaishi nao huwajuwi vzr wazungu sasa endelea kujichubua na uendelee kushairi wenzako pia wajichubue kazana kabisa kwa nguvu zote na Akili zote
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 5 ай бұрын
Hongera sana Lucy kwa kukumbuka Tasnia yako! Keep it up! Naisubiri kwa hamu sana! Kupambana ni mhimu sana!
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 5 ай бұрын
DADA ANAYEHOJIWA ANA KIPAJI CHA KUIGIZA,,JINA LIMENITOKA...MALEGEND MTANIELEWA,,,AMEIGIZA SANA NA YULE JAMAA MNAESEMA KILA MOVI ANAENDA ULAYA😊
@rahmaidd8818
@rahmaidd8818 5 ай бұрын
Shija
@ginagigigg7
@ginagigigg7 5 ай бұрын
Lucy komba huyo
@user-sz7ir4sj5d
@user-sz7ir4sj5d 4 ай бұрын
Maofisa na roy pia wa kwenye huba
@loulumony8519
@loulumony8519 4 ай бұрын
Lucy kitambo kwli nikuaga Napendag gisi ulikua unajua kuigiz san👌👌🥰🥰🇴🇲🇧🇮
@NasraSaid-qc5hf
@NasraSaid-qc5hf 4 ай бұрын
Mimi nilizaniamefarikijamanii heee nimefurahisana
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 4 ай бұрын
Hongera da Lucy mngon from Songea.Tunaoishi Songea tujuane hapa
@Alice-Gyunda
@Alice-Gyunda 5 ай бұрын
So sweet jamani. Roho nzuri inakipa jaamani tupendane tu😂😂😂😂❤❤❤
@user-tg2sx3fo7t
@user-tg2sx3fo7t 5 ай бұрын
Miaka 9 naanaongea kawaida kiswaili waooooh! Nakupendasana Lucy ,wengine wakienda mwezi tu akija Tanzania anajifanya ajuikiswaili
@hassankhamis344
@hassankhamis344 5 ай бұрын
Duu habari dada hiyo kweli nakubaliyana na wewe sisi watanzaniyani tuishiyao nje hatupendani kumi kwa mmoja mimi nimeliona hilo kwasababu nipo ulaya miaka mingi sana kama 29
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 5 ай бұрын
Siyo watanzania tu watu wote wa Ulaya
@ladymacollection
@ladymacollection 5 ай бұрын
🔥🔥🔥 kwakweli maisha ya ulaya yapo tofauti mno ni ku hustle uku
@TheTickingAges
@TheTickingAges 5 ай бұрын
baadhi ya waafrika wengi wakija ulaya wanakua wabaya kuliko wazungu wenyewe.
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 5 ай бұрын
Kivip
@user-we5zc7xk8x
@user-we5zc7xk8x 4 ай бұрын
Nikweli
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 5 ай бұрын
Da Lucy shikamoo Huzeeki ❤nakukumbuka tulikutana ndege mmoja 😊
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 5 ай бұрын
Pole sana Lucy. Wewe siyo takataka, ni Malkina wetu (wangu) wa Nguvu.
@everosemausa1436
@everosemausa1436 5 ай бұрын
Asante sana dd anaye kuleta uko nikutulia nakusaidiana majukumu
@user-jz7td8kb6n
@user-jz7td8kb6n 5 ай бұрын
Da Lucy mrembo sana jaman
@janethngowi1058
@janethngowi1058 5 ай бұрын
Una roho nzuri lucy toka Kitambo marangu sec
@kevinmary7129
@kevinmary7129 5 ай бұрын
Lucy Komba mtoto wa Iringa huko sio mchanga
@janethngowi1058
@janethngowi1058 5 ай бұрын
@@kevinmary7129 c mchaga nilisoma naye marangu secondary enzi hizoo
@veronicasarita8422
@veronicasarita8422 5 ай бұрын
​@@kevinmary7129alisoma Marangu sec
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 5 ай бұрын
@@kevinmary7129shule aliyosoma kamanisha
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 5 ай бұрын
​@@kevinmary7129kwani mtu wa Iringa hawezi soma Moshi😂😂😂😂😂aiseee mbona sisi tulienda Machame girls
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 5 ай бұрын
Jamni da luc nilimpenda sana kwnye muvi zake at nkawa najiuliza kwa ni alienda wapi ama❤❤❤ nampenda
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 5 ай бұрын
Tuwe makini na marafiki sana sio kila jambo unamwambia wengine hawapendi maendeleo ya wengine
@nicedavid8536
@nicedavid8536 5 ай бұрын
Kweli kabisa, kuna mtu alikuja kwenye maisha yangu bc anakuja kwa njia ya kukwambia matatizo yake, unampa ushauli fanya hiv, bc unamwambia mipango ysko, unashangaa mambo hayaendi, nikamshitukia nikamkatia raini,baada ya kukata kila kitu kikawa kinaenda.
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 5 ай бұрын
@@nicedavid8536 aisee ulifanya vizur sana laa angeendelea kukuharibia kabisa
@user-cl1qr4zv2x
@user-cl1qr4zv2x 4 ай бұрын
Nilimpenda sana huyu mwanamke uingizaji wake
@olympiamtenga8761
@olympiamtenga8761 5 ай бұрын
❤❤ the actress nilikuwa na mpenda..Ansanteni kwa Interview nzuri sana
@judithawadhi3510
@judithawadhi3510 5 ай бұрын
Ahsante sana kwa elimu,kuomba omba ni hapa Tanzania
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 5 ай бұрын
Pole sana dda kwa changamoto iyo, hata uku Oman hakuna urafiki my ivyo ivyo kuaribiana na kuchukuriana wanaume usirogwe ukamwambia rafki yako aisee atakuaribia unajua umepaata ndgu kumbe ni shetani na kutangaziana vibaya,na kila kitu kinasababu mpez usijal ssi watz wivu unatusum
@Devota_life
@Devota_life 5 ай бұрын
Wow jamani nimejufunzaa asante dada Shena kwa hii channel inamafundisho saanaaa duu❤❤❤ big love
@jasminmdimi6059
@jasminmdimi6059 5 ай бұрын
Jamani Lucy mi nampendaga uyu❤❤❤
@ReginaErnest-cf6ji
@ReginaErnest-cf6ji 5 ай бұрын
Da Lucy chaupole jmn tumkumiss kweny move
@pendojeremia7068
@pendojeremia7068 4 ай бұрын
Jimejifunzaa mengi sanaa kwenu asante sana❤❤❤❤🎉❤🎉❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 5 ай бұрын
Interview nzuri sn, Napata kujifunza Kwakweli, Asante ❤🙏.
@naomipetro6325
@naomipetro6325 3 ай бұрын
nimeipenda sana ...jamni tumeelewa sio wale wanatoa story juujuu
@EmJesho
@EmJesho 5 ай бұрын
Dada Lucy kitambo sana ni kweli jamani watanzania wengi tunajua nchi za inje wanajua English lakini kumbe sio kweli
@ladyjoomahegga9407
@ladyjoomahegga9407 5 ай бұрын
Kiswahili yako bado iko vizuri kabisa ila kuna watu wakienda wiki mbili tu ht kiswahili hawajui tena
@chimamilion
@chimamilion 5 ай бұрын
Kuna mov yake iyo inaitwa heli ya ujinga kuliko fedhea htr sana iyo
@mankaminja683
@mankaminja683 5 ай бұрын
Huyu dada aliwahi kuigiza kam mapacha..it was lovely move
@surusuru1994
@surusuru1994 5 ай бұрын
Masha Allah jamn kumbe umevuka boda
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 5 ай бұрын
Wow nakupenda sana dada lucy
@dayana5513story
@dayana5513story 5 ай бұрын
Lucy I can't wait your new project,ubarikiwe sana na family yako
@claudiajames2003
@claudiajames2003 5 ай бұрын
Nilihudhuria Harusi ya huyu dada together with my late Japanese husband jamani,hongera happy for her.
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 5 ай бұрын
Just a husband is enough to say the least.
@neemathomas2008
@neemathomas2008 5 ай бұрын
😂😂😂😂​@@clementhiddi1486
@vailethmbulule8339
@vailethmbulule8339 5 ай бұрын
Waooo hongereni sana
@user-dh7yg6dl5e
@user-dh7yg6dl5e 5 ай бұрын
Ahaha Leo umeniweza uniletea mngoni wangu bs umenikamata ata video ya masaa kumi nitaitazama😅 Wacha nijikaze
@mamuvandermerwe485
@mamuvandermerwe485 5 ай бұрын
Wow this so true huyu dada ni kweli tena kweli 1000% Lucy alivyo ongea hiyo dada ndoo alikua rafiki yangu ameniaribia sana n me nilikua namchulilia hyo hyo dada rafiki yng huyu dada anaitwa fatuma aliniahindwa kwa kumwambia mwanaume akaanza kuroga kuroga…ukipata hyu demu ana kuaribia yaan huyu Lucy simjui but she speak very true
@sesilianjala3306
@sesilianjala3306 5 ай бұрын
Noma sana uyo dada. Lucy yuko true. Ila mwenye bahati ni mwenye bahati tu. aibu yake sasaivi uko aliko😅
@mamuvandermerwe485
@mamuvandermerwe485 5 ай бұрын
Kweli kabisa MUNGU akihuandikia akuna w kupinga ata waroge uchi…
@sadihashimu4664
@sadihashimu4664 5 ай бұрын
Huyu mdada hanaga Mambo ya ajabu ajabu anajiheshimu Sana maashaallah ❤
@user-gh9oh6mt5o
@user-gh9oh6mt5o 5 ай бұрын
Asante kwa elimu
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 5 ай бұрын
Waooo leo umejua kutuletea kipenzi chetu aise❤❤
@user-pw2bl4qd8w
@user-pw2bl4qd8w 4 ай бұрын
Nmemiss move zako mamy hasa ile ya patric na anjelo
@stellajoseph6212
@stellajoseph6212 5 ай бұрын
Nakupenda sana❤❤❤❤
@user-fs2zh6hc5o
@user-fs2zh6hc5o 5 ай бұрын
Nafurahi sana hata mm nindoto yangu ila bado haijafika mkipata mniambie ❤
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 4 ай бұрын
Lucy hujapoteza sauti yako ya upole...
@alicemuro4805
@alicemuro4805 5 ай бұрын
Sina hamu na wabongo wenzangu sijui wivu na roho mbaya zinatokaga wapi jamani
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 5 ай бұрын
Marafiki ni nyoko, namshukuru Mungu sijawahi kuwa na marafiki
@dayana5513story
@dayana5513story 5 ай бұрын
Nami pia
@ThaniaYahya-zd5xy
@ThaniaYahya-zd5xy 4 ай бұрын
​❤
@user-jz2su4co4d
@user-jz2su4co4d 5 ай бұрын
Nakupenda sana kipenzi chetu kwenye filam
@fatmaismail7683
@fatmaismail7683 5 ай бұрын
Jmn natamani nipate mzungu Mungu nibariki siku moja nipate mume mzungu
@MtuSafi
@MtuSafi 5 ай бұрын
😂😂😂
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 4 ай бұрын
Nakupendaga sana da Lucy❤️
@user-wc3hn4kt1x
@user-wc3hn4kt1x 4 ай бұрын
Aisee huyo mtangazaji anatabasamu vizuri sana aisee. Unavutia sana
@consolataconsolata1250
@consolataconsolata1250 5 ай бұрын
Great interview
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 5 ай бұрын
Huyu dada ana roho nzuri❤
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 5 ай бұрын
Urafiki wa kiafrika nchi za nje will be your downfall
@jonasmpita2206
@jonasmpita2206 5 ай бұрын
Huyu nakumbuka alikuwa mwigizaji nilikuwa nampenda sauti yake na rangi yake❤
@OlyUpowerfuljesus
@OlyUpowerfuljesus 5 ай бұрын
Jina la movie zake
@Zimwilishe
@Zimwilishe 5 ай бұрын
Asanteni sana dada zangu, tunaomba basi mtupe iyo dating site.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
www.bantu.dating
@Zimwilishe
@Zimwilishe 5 ай бұрын
Shukrani dadangu
@kapeljjkapeljj5407
@kapeljjkapeljj5407 5 ай бұрын
Ndomana sitaki mashoga mnaishia kua maadui what for.marafka ulaya big no
@zeranchimbi2808
@zeranchimbi2808 5 ай бұрын
hongera Shena kwa kupambana❤❤❤
@kasimunyangasa88
@kasimunyangasa88 4 ай бұрын
Nataka interview ya mange kimambi😂😂
@pulikisia7963
@pulikisia7963 5 ай бұрын
Umemwaga moto kwenye petroli 😂😂
@lucymsigwa443
@lucymsigwa443 5 ай бұрын
Jamna na mimi lucy natamani kuolewa na mzungu ila sijui kingereza
@Kiddohsanga-fw7jh
@Kiddohsanga-fw7jh 5 ай бұрын
Haaaaaa tupo pamoja
@MM-bu4ir
@MM-bu4ir 5 ай бұрын
Eeh Lucy Umenichekesha sana. it was a good interview
@queenofireland898
@queenofireland898 5 ай бұрын
mie wazungu nawapendea hpo kusaidiana kazi na wana jua kupenda haswa dah hyo hichi ni mthn hukuhusu hyo mambo ya ushoga yani mpk picha wanabandika na kukisiana ni mthn kwa wtt wetu mungu awasaidie hyo series utuekee youtube tupate tuone
@mamadida6100
@mamadida6100 5 ай бұрын
My daughter god bless you
@user-we5zc7xk8x
@user-we5zc7xk8x 4 ай бұрын
Nimependa bure ❤
@abuubakary4848
@abuubakary4848 5 ай бұрын
jamani huyu lusi alikua muigizaji kitambo sana alikua na malehemu kanumba
@neemashuma5595
@neemashuma5595 5 ай бұрын
Ooh such a humble lady
@user-py2ik3dp5v
@user-py2ik3dp5v 4 ай бұрын
Lucy ushawai kutongoza mzungu mtandaoni
@husa8849
@husa8849 5 ай бұрын
Napenda ukweliwako dada
@annamussa185
@annamussa185 5 ай бұрын
Yani watu weusi nje hakuna undugu Wala urafiki ni wanafki sana sasa kila mtu akaye na mwenzake kwa akiri huo ndo ukweli
@mariamsaidi1681
@mariamsaidi1681 5 ай бұрын
Ni kweli kabisa 🎉
@user-et2mi4uc9n
@user-et2mi4uc9n 5 ай бұрын
Kabisa
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 5 ай бұрын
Lucy wangu wa mideko❤❤❤❤❤❤
@happynelson1136
@happynelson1136 5 ай бұрын
Mimi mwenyewe huku Ulaya siongei na watanzania walitaka kunihatibia maisha yangu kushirikiana na mama yangu mpaka walimtuma jirani aniwekee kipaza sauti nyumbani bahati nzuri niligundua mapema tangu hapo sijaongea na mama yangu na watanzania sasa imepita miaka tisa, huku watanzania ni watu wabaya sana ukiumwa wanakucheka na wanataka kukupangia maisha nimejifunza huku ukiwa unaishi peke yako ukae mbali na waafrica leo hii huku siongei na mwafrica yeyote
@sesilianjala3306
@sesilianjala3306 5 ай бұрын
Aiseee, uyo mama kawa adui yako pia
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 ай бұрын
Mashallah nakukumbuka ulikuwa bongo movie uliect watt pacha kumbe upo nje
@irineadisa7289
@irineadisa7289 5 ай бұрын
Tz mko tofauti,sisi kenya mgeni akija iwe masaa ya kula au sio masaa ya kula lazima umpee kitu cha kula au umpikie,kama hakuna chakula basi umpee hata chai pekee.
@emmanuelchiza7733
@emmanuelchiza7733 5 ай бұрын
Acha uongo wewe kenya ni wachoyo no 1 africa
@irineadisa7289
@irineadisa7289 5 ай бұрын
@@emmanuelchiza7733 ok
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 5 ай бұрын
@@emmanuelchiza7733sio kama wazanzibari weeee
@zakiakondo2849
@zakiakondo2849 5 ай бұрын
Wewe sisi Tanzania tena tunakula hata kibarazani na mtu hata humjui unakaribishwa usiseme uongo
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 5 ай бұрын
Tanzania Pia same
@BurtonSon
@BurtonSon 5 ай бұрын
Baadhi ya watu weusi hasa ukanda wa Africa wanatumia dating site kufanya biashara ya ngono ,ukingia kutafuta rafiki baadhi wataanza kusema una bei gani!!!! which there not using it in good way that's why watu wenye staha wanaogopa kuingia katika dating site hasa upan de wa africa
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 5 ай бұрын
Ndiomana nipo hapa kutoa mafunzo ya namna sahihi ya kutumia dating site na kuelimisha jamii yetu
@BurtonSon
@BurtonSon 5 ай бұрын
ITAPENDEZA ZAIDI@@OfficialDatingAssistance
@AnithaMwapongo
@AnithaMwapongo 5 ай бұрын
​@@OfficialDatingAssistancemashaliti ya kujiunga yapoje? 28:03
@jtheophil5499
@jtheophil5499 5 ай бұрын
Nimefurai sana kumuona Lucy.
@Xzzy_edits
@Xzzy_edits 5 ай бұрын
Sio huko tu ninji za wazungu zote nisheria ya nchi yao huwez kumtongoza mtu atakuliza ulinijua lin?
@souksoukeventsandmarketing653
@souksoukeventsandmarketing653 5 ай бұрын
Lucy You are very beautiful what I like about you. When I saw your parent and siblings came to visit you
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,3 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 43 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 40 МЛН
JAMES AELEZEA NANNA ALIVYOPATA VISA YA CANADA
34:06
SHIJA tv
Рет қаралды 4,3 М.
NDOA NYINGI ZA INTERRACIAL ZINAVUNJIKA |NIMESOMA SHERIA MAREKANI | UTAMADUNI NI CHANGAMOTO
1:45:16
SAFARI YA KUELEKEA MAONO YAKO |PR.DAVID MMBAGA| #live
1:03:20
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 37 М.
NILIJIFANYA MSOMALI | NILITUMIKA NA WAZUNGU HATARI | SHULE ILINIOKOA
1:30:38
Official Dating Assistance
Рет қаралды 19 М.
NILINYIMWA VISA NA NDOA YANGU MKONONI | CHANGAMOTO NILIZOPITIA NA NAMNA NILIVYOZIKABILI
1:04:45
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,3 МЛН