amina sana mchungalji ubarikiwe sana una karamu nzito ya kiroho pasi na shaka inayotubariki sana
@maseaJoe86763 ай бұрын
Mungu wetu aliyekupa huu upako na akubariki na kukuneemesha zaidi na zaidi mtumishi....wengi wetu tunapata faraja sana kupitia masomo yako
@MahubiriPrMmbaga3 ай бұрын
Amen
@CatherineMassau-ju4og3 ай бұрын
Hakika kwakweli ata mimi huwa nakosa raha najiona mdhambi sana ila nkisikiaga mahubiri ya uyu pastor napata faraja sana
@ElizabethJacob-dh6gq2 ай бұрын
WE BABA MUNGU AKUBARIKI SANA huwezijua MUNGU anakutumia kunifariji kiasi gani UBARIKIWE KWAKWELI
@priscaayo38782 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga😊
@rebaccaewoi8882Ай бұрын
Mimi usikiza kila asubuhi🥰🥰🥰
@matukioyasikuzamwisho76533 ай бұрын
Mama yangu anaumwa miguu, naomba neno lako moja tu ,naimani atapona na utukufu utarudi kwa Mungu
@IsayaNgoiva3 ай бұрын
Barikiwa
@MATHAYOPETROGARYA3 ай бұрын
Mungu ni mwemaa sana
@MaheriGati20 күн бұрын
Hakika nilisikia mahubiri 2019 kwenye yutobe ulikuwa ukihubiri 2020 nikaamua kubatizwa kwa wasabato ila nikawaambia marafi zangu walikuwa wasabato wakaniambia hauwezi wewe ni mlevi nilijibu hivi hamjanishuhudia nakwenda kumpokea yesu
@faustermtavangu82123 ай бұрын
Namshukuru Mungu amejibu maombi yangu .niliyoomba kupitia kwako Mungu akubariki sana.mchungaji wetu unatubariki sana.
@RehemaElinazАй бұрын
Pastor mwaka jana kwenye makambi ya kwere mkoa manyara nilikua na maombi ambyo tulikua tuna omba asubh kwamba wazazi wangu waungane tena leo nafurahi kusema kua mungu ametenda nina mambo mengi mchunguji natamn siku nije kwenye mkutano wako nitoe shuhuda nyingi ambazo bwana amenitumizia yapo mengi san
@MahubiriPrMmbagaАй бұрын
Wow! Mungu wa ajabuuu
@RehemaElinazАй бұрын
Samahani naomba umuambie mchungujaji anapo omba anisaidie kumuombea baba yangu kwani babdo ana changamoto nyingi pia natamn sana sku Moja kukutan na mchungujaji ili kuomba nae Kwa pamoja
Amina mchungaji somo lunatic moyo kuna mafarakano kwa watoto wangu niombee upendo utawale ktk familia
@lynetteondieki5652 ай бұрын
Mchungaji ubarikiwe siku zote, ombea kijana wangu yeye kila wakati ako korokoroni namtoa na pesa nyingi na pia hutumia bangi.nimeomba Hadi sasa nimewacha
@ndakamasabini80713 ай бұрын
Mungu wetu mwingi wa Rehema na upendo azidi kukubariki na watu wengi wapate Nuru kupitia WWE na Mungu ainuliwe
@ObadiaMangera2 ай бұрын
Umenipa ujasiri wa kusonga mbele! MUNGU qkuinue zaidi.
@emmanuelmbwambo65713 ай бұрын
SAWA mchungaji (akhsante).🙏.
@makabwakabichi23212 ай бұрын
Pastor me nahitaji msaada wa ushauri wa kiroho please ukisoma ujumbe wangu please nijibu ntakupataje kwa mawasiliano
@petromasunga3715Ай бұрын
Nafarijika sana ninaposikia mahubili haya Mungu nitie Nguvu Bariki kazi za mukono yangu, Baraka ninazo
@benardchacha559018 күн бұрын
Pastor niombee ndoto zangu zikatimie ndan ya miaka hii miwili 2024 na 2025 ninaamin
@gladysmwende75003 ай бұрын
I thank God for you Pastor, He never fails to use you in a powerful way. Blessings to you, your Family and the entire Mahubiri Tv Team. Praying for you guys. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@godfreywilliam75333 ай бұрын
Thank you Lord for your deliverence for me,,,,no word I can explain this but it's miracle
@happyjohn51532 ай бұрын
Pastor nahitaji kukuona sanaaa nina shida sana sana sana
@barakabenjamini22843 ай бұрын
Je sadaka ukitaka kutoa mchungaji unatoa kwa njia ipi
@HappinessAhia-ey1lq8 күн бұрын
Umeokoa nafsi yangu mchungaji.
@LenaAuko-tj1io3 ай бұрын
Naomba uniombee sana maana ni mimi tu kwenye familia yangu ninie mpokea yesu.mimi ni watatu ,lakini tuko saba .niombee familia yangu impokee Yesu
@EstherMwenze-dx6qj3 ай бұрын
Pastor mtu anaweza kujua aje kipawa chake?
@purity1343 ай бұрын
Amen.Asante pastor kwa somo nzuri ila mie ikifika mambo ndoto nikiota kitu ikijirudia mara matatu iwe ni hiyo kazi ninayo ifanya naachana nayo,kama rafiki yngu hiyo ni onyo tunachana tu I take dreams serious
@matukioyasikuzamwisho76533 ай бұрын
Amen
@annasylvester39882 ай бұрын
Very true, tusidharauliane
@esthernkwabi16753 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi NAOMBA NGUVU yamaombi kutoka kwako
@ronaldkimengich89583 ай бұрын
Very nice teachings
@LeonomaeMose-ze3og2 ай бұрын
Amen , Mungu azidi kukuongoza
@agnessshole3 ай бұрын
Mm pia mchungaji nimenenewa hayo maneno na yananipunguzia nguvu ya kumalizia Degree yangu bado mwezi mmoja tu😰😰
@TaisoniYadunia5 күн бұрын
Niombee pasta nimalize safari salama
@julitacharles20263 ай бұрын
MUNGU azidi kukuinua.Natoka Kenya
@matukioyasikuzamwisho76533 ай бұрын
Somo zuri, Pastor mkumbuke mama yangu anaumwa miguu ,Neno la Bwana litende kazi ,Amen
@geraldmaro65742 ай бұрын
Paster mi nionyeshwa ndoto mara 2 ya mtoto wangu wa kwanza ila mara ya 3 pst niliota nimeenda kjn na zawad za mwanangu kufika naona kaburi km la wiki moja nikaona na.uuliza m mkwe kwani mwanangu yupo wapi pst nililetewa mtoto asie wa kwangu sauti ni ya mwanangu pst baada ya hiyo ndoto my first born wangu alitoboka jicho kwa .azingira ambayo ni mazito nikipata muda nina shuhuda ndefu saana
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
Ohhhh! Pole sana! Omba sana
@PendoJoseph-jv8cm3 ай бұрын
Asante sana pastor MUNGU akubariki sana nilihitaji kusikia hii sana Leo nimepata nguvu mpya ndani yangu
@IsayaNgoiva3 ай бұрын
Baekiwa
@JacklineMoti3 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙌
@stellaemanuel447426 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@negwamwaipopo64672 ай бұрын
Asante sana Pastor
@RubaR-nr5wz3 ай бұрын
Amen mtumishi ubarikiwe sana kwa ujumbe huu
@JoshuaMangare23 күн бұрын
Mungu akubariki
@EstherFrederick-jc5mt3 ай бұрын
Amen
@ChristineSavai2 ай бұрын
Amen
@raymondernest17983 ай бұрын
Nabarkiwa sana...stay blessed pastor
@HappinessAhia-ey1lq8 күн бұрын
Asante pastor
@leahwainaina43963 ай бұрын
Amen
@KalabaKlb3 ай бұрын
Habari muchungaji nahitaji kitabu cha kusikiya sauti ya mungu
@KalabaKlb3 ай бұрын
Nita kipata namna gani ? Niko Congo RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@MahubiriPrMmbaga3 ай бұрын
Piga +255 69 342 8152
@KalabaKlb3 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga pia nahitaji maombi yako muchungaji napitia wakati mugumu nisaidiye kiroho.
@reginaburetta23043 ай бұрын
Naomba msaada wa kuingiq kwenye app kwangu playstore siioni
@MapenziMatamu3 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@joyikaya74293 ай бұрын
AMINA PR. ZIDI KUBARIKIWA.
@KauzibiegaKimanukafaustin3 ай бұрын
Tunakufwata tukiwa Congo! Ubarikiwe sana!
@eliudbeyanga85753 ай бұрын
Nakukubali sana pastor..Asante sana
@mshigilakarume44253 ай бұрын
Barikiwa sana pasta
@julitacharles20263 ай бұрын
Je ukitaka kubstizwa utabatizwa wapi?
@MahubiriPrMmbaga3 ай бұрын
Uko wapi
@MolibaKabemba3 ай бұрын
Amen amen amen pasta
@JulianaKinanga-v9p3 ай бұрын
Be blessed Servant of God, I have been blessed by the words of encouragement, kindly pray for me to finish studies am in fourth year school of law in Kenya,
@shukurumlechi41393 ай бұрын
Hallelujah ❤❤
@godfreywilliam75333 ай бұрын
Thank u Lord
@JuliaLumande-r4p3 ай бұрын
Amina 🙏😍
@perisbosibori22493 ай бұрын
AMEN AND AMEN! I've been elevated so much with this wonderful message. May GOD uplift and bless you abundantly as you continue working tirelessly on His Vineyard 🙏🙏🙌🙌.
@RehemaKihoko-jz9od3 ай бұрын
Najifunza mengi sana na hua nasikia kupona rohoni nikisikiliza mafundisho yako Naomba MUNGU wa mbinguni azidi kukubariki ufikeke mbali kihuduma uzidi kusaidia watu wengi na ntamani nipate mawasiliano yako mchungaji
@SageMeshak3 ай бұрын
MUNGU AKubariki pasta ni MESHACK MATAMBIRO toka Congo Bukavu amen.
@MnadaMayonga3 ай бұрын
Pastor naamini kama tukikusikiliza vzr Waadventista wasabato tutashinda majaribu yote ya shetani
But to him that worketh not, but believeth on him that justifieth the ungodly, his faith is counted for righteousness.Eeeeh mungu wangu nahitaji neema yako Kwa jina la Yesu Kristo 🙏🙌👏
@MahubiriPrMmbaga3 ай бұрын
Powerful statement
@HanifaChalresy3 ай бұрын
Barikiwa sana mafundisho mazuri binafsi najifunza na yananibadilisha Sana mungu wangu naomba ujazo WA roho mtakatifu
@hamudshabani78013 ай бұрын
Ni kweli PR mmbaga kila mtu ameumbwa kwa kusudi mahususi lakn namna ya kutambua uwezo wa ndani.
@reignmajor24642 ай бұрын
I was addicted Kwa mihadarati but kufuatilia naona change
@elizabethgodfreytondo30523 ай бұрын
Amen,Mwenyezi Mungu aendelee kukutumia ktk kazi yako ya utume kwani mahubiri yako yanagusa maisha yetu!
@RebeccaMulako2 ай бұрын
Ameen mtumishi wa Mungu naomba maombi ya amani na kufunguliwa katika ndoa yangu
@NdwaniyeElias3 ай бұрын
Minaitwa Erias N ,joseph nikiwa Rwanda kigari
@ShukraniMtani3 ай бұрын
Mchungaji ubarikiwe saana Mungu azidi kukutumia zaidi na zaidi