Mashekhe zetu tunawapenda sana,ila tafadhalini kama kuna mmoja wenu anakosea ni bora kuwekana shura kuliko hii njia mnayotumia kwa sasa imekuwa hakuna tofauti sasa kati ya mashekhe na watu wengine,allah awaongoze
@NahimanaMoussa-jq4tl25 күн бұрын
Kiukweli Sheikh Nurdin Kishki kakosea,,, ila kwakweli Hujatumia hekima ya hali ya juu kweny kumkosoa,, Lau kama ungemsogelea ukamkosoa akakataa ndio ungetumia njia kama hii,, Allah atustiri sote na atuongoze
@YazidSalum4 ай бұрын
Barakallahu fika nakupenda kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi Akhy abdallah humeidi
@idrisshogobe64242 жыл бұрын
😂😂😂😂 Maskini kishki
@hubamaringo2 ай бұрын
Allah atuongoe kwakweli Kuna mashekh kazi Yao kukosoa wenzie tu kila siku
@user-bp6fb6wo5u2 жыл бұрын
Duh hawa mahizby bwana wanajigonga sanaa... na hili wanalo watu wote wabaatil.
@AsmaaIssa-wz6by4 ай бұрын
Cku zote mtu akisema hakki lzm wapingaji watakuwepo. pasua kaka yangu Allah yupo pamoja na ww ndio kishki haeleweki
@salummbarouk42162 ай бұрын
Mtume Muhammad s.w.a alikuwa dhehebu gani
@idrissamsilagi9978Ай бұрын
Kishk hata Mimi simkubali na wewe huko ndiyo ufikishaji kwanini usifuate inbox
@idrissamsilagi9978Ай бұрын
Mtume kasema hata kama mtu kafanya khatwa kweli lakini kumfikishia hasharani ni kumdhalilisha
@Badrumchekwa19 күн бұрын
Sasa ww shekhe hapo umepata nn kwa kuitoa hyo acha hzo kuzodoana vitu visivyo vya msing
@salmaahmadnguhwe32854 ай бұрын
MASHEKH.. TUMIA MUDA MWINGI KUJIKAGUA WEWE MWENYEWE SIO KUKOSOA WENZAKO TUUU!! KWANI SIKU YA HISABU UTAULIZWA MAMBO YAKO WEWE SIYO FULANI ALINYA NINI. MNATUDUMAZA... HATUMJUI MUNGU WETU IPASAVYO
@alfajahussein90742 жыл бұрын
Du, mashekh nishida
@MsarakaPinja-sv6vg3 ай бұрын
Duh
@immtm49302 жыл бұрын
Mbona waisilamu tuko hivi hatuwekani kitako kujadili mambo yetu kwa pamoja
@mussakatoro80792 жыл бұрын
Mbona unabana pua, we sheikh shogaaaa. Au ndo mamb ya Tangaaa
@HamisiR2 ай бұрын
Yani we unakosoaga wenzako na hatujawahi kukuona
@user-lx2wg4je3t3 ай бұрын
Madhehebu kwani kipindi cha mtume kulikuwa na madhehebu kulikuwa na uislamu tena walikuwa na umoja
@hadijamohamed6232 ай бұрын
Fanya yako bwana weeee kwani mtume Muhammad S.A.W alikuwa shehebu gani bwana weee
@fatmaally72414 ай бұрын
Yani hapa shekh umetaka kushusha tu heshma ya sheikh kishiki .mngekua mnatumia muda kuelimisha jamii na co kushushiana heshima .yani hili ulilo lisema ni jambo ambalo halina maana sasa ndonini!!!
@maalimhemedsalumu2 ай бұрын
Chuki na hasad ndio zilizo kutawala
@MadinaChikumbi4 ай бұрын
Kweli kama kishki utamfutilia Kwa makin utagundua hayuko sawa anajigonga gonga
@user-wj8xg4fr9t3 ай бұрын
Mtume alikuwa madhehebu gani?
@OmariKaya3 ай бұрын
Hata mimi nahitaji kujua mtume alikua dhehebu gani
@msambyaonlinetv39344 ай бұрын
Utopolo. Tu Umekosa kazi Ukaona utafute Views
@user-yb3gg2gt7o2 ай бұрын
ukiwa na elim ya Allah fanya kazi ya Allah usipende kuchunguza watu ulisoma kupeleleza watu washekhe vipi
@user-yj5on8cz3e4 ай бұрын
Hiki kikundi kama jamat, tabligh tuu kwani amsomi maneno ya utheimin kuhusu usalafi wa kweli jamaa wamekuja na usalafi mpya arafu waita watu mahizbi kumbe kwa fatwa za utheimin wao ndo hizzbi
@user-jb6lp1zi9q4 ай бұрын
Arafu ndo nin we ,unasem uthamin km mdg wk hun adabu
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
Dhehebu la mafuta ni wahabiya.
@IssaSimbilla-hw9ev4 ай бұрын
La barahiyani tapeli hizb jahil murakab
@user-fy4op1sw2f10 ай бұрын
Huna jipya humeid kazi kuraddi tu
@Silay10344 ай бұрын
Kama wewe unadhehebu bc dhehebu ni alokuwa nalo mtume s.a.w
@Silay10344 ай бұрын
Masalafy tushawajua hawatusumbui mayahudi tu hawa
@andrewmoi21862 ай бұрын
We auna KAZI nyingine ya kufanya mjinga wewe ata auna akili kiski sio mwenzako
@@IssaSimbilla-hw9ev ww nipehadithi au aya mtumeanasema tuwenamadhehebu tusidanganyane
@mohamedothman57923 ай бұрын
Sasa mbona huyo shekhe wako kishki hana msimamo Mara yeye Salafy mara hana dhehebu. Dalili ya unafiq
@mohamedothman57923 ай бұрын
@@Mapyatvmtume alifuata quran. Matendo yake ni sunnah kwetu. Salafy (ansaar) hufuata Quran na sunnah. Sasa waulize hao wengine wanamfuata nani
@user-ou6ku6kd8b2 жыл бұрын
Na si umfuate na ukamwambie mbona wamkashifu kwa KZbin hiyo daawa yako sio ya swa
@mirajiramadhani81282 ай бұрын
Kishki yuko sahihi mana yuko na elimu kuliko wewe salafi usotaka kusoma
@binnassorabdallah374 ай бұрын
Maalimu,wewe unatafuta umaarufu tu kupitia mgongo wa mtu lkn hutoupata kwa njia hyo fanya daawa tumikia Qur an Allah atakunyanyua lkn kwa njia hyo utakua chini daima Sheikh Othman maalim ni msomi anaejua nin anasema nin anatenda nasi tunampenda sana kwa ajili ya Allah na tunamuombea kher siku zote. Kapewa na Allah nawe muombe atakupa sio kujibana migongoni kwa walio pewa .
@aliyabasi20584 ай бұрын
Hujaelewa
@banihashim53472 жыл бұрын
Nyinyi ni wapuuzi sana, na mna mambo ya kike, usalafi gani huo kukata vipande mawaidha ya msheikh? Hii si khiyana? Na huko si kufwatilia Aibu za Waisalam!! Alafu huyu dilele wenu mbona hakuwahi kumtukana mohamed mafuta kwa kusema kwake MANENO YA SHEIKH RABII NI KAMA WAHYI???
@aliyabasi20584 ай бұрын
Hujaelewa maskin
@banihashim53474 ай бұрын
@@aliyabasi2058 wewe tajiri umeelewaje?
@HassanHamad-rf9tq21 күн бұрын
Hawa jamaaa mahizbi salaf huwa Wanalindana akikosea mwenzao hawamraddi