YAJUE MAKABILA YANAYOFA KUOA NA YASIO FAA KUOA"HAPA NDIO TUMEANGUKA WANAUME WENGI"-SHK.ZAID MAKUBULI

  Рет қаралды 98,282

ZVP ONLINE TV

ZVP ONLINE TV

Күн бұрын

#ShZaidMakubuli #ZvpOnlineTv #Tabora

Пікірлер: 408
@wiliampaulo5556
@wiliampaulo5556 10 ай бұрын
Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 9 ай бұрын
Kweli kabisa
@wamburaneema-w7r
@wamburaneema-w7r 10 ай бұрын
mungu akusaheme pole na huo ukabila wako
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 9 ай бұрын
Kweli kabisa
@ShafiiAbuu-jb8hp
@ShafiiAbuu-jb8hp 7 ай бұрын
Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh
@mudhihirIbrahim-hb7ry
@mudhihirIbrahim-hb7ry 10 ай бұрын
Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea
@gabrielnduwayo8277
@gabrielnduwayo8277 10 ай бұрын
Nataka munyamwezi ao msuguma jameni
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 10 ай бұрын
Kwa maneno haya, hakuna Sheikh hapo
@abdulbandari1551
@abdulbandari1551 10 ай бұрын
Very foolish indeed
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 9 ай бұрын
Kweli kabisa
@fahamimiraji2338
@fahamimiraji2338 10 ай бұрын
Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini
@HusnaSalum-p1q
@HusnaSalum-p1q 10 ай бұрын
Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 10 ай бұрын
Mh
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 10 ай бұрын
Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah
@radhiamalla9428
@radhiamalla9428 10 ай бұрын
Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira
@ZumairaHasani
@ZumairaHasani 9 ай бұрын
Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 9 ай бұрын
Kweli
@deusdeditsimba4452
@deusdeditsimba4452 7 ай бұрын
Tabora Mji wangu Naupeda sana😂😂😂👏👏👏
@SaadKondo
@SaadKondo 3 ай бұрын
Asalam alaykum.Binafsi mimi sijaelewa somo hili shekhe unalolitoa.Japo pia mimi siyo mjinga sana katika uislamu wangu.
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 10 ай бұрын
Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 10 ай бұрын
Naam
@ZainabKullatein
@ZainabKullatein 9 ай бұрын
Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 10 ай бұрын
Mbora ni mchamungu❤
@SubiraMndeme-yw7mx
@SubiraMndeme-yw7mx 10 ай бұрын
Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila
@MrishoSamueli
@MrishoSamueli 10 ай бұрын
Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅
@budodianthony8094
@budodianthony8094 9 ай бұрын
Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo
@h77-f8m
@h77-f8m 10 ай бұрын
Kweli sheikh wangu
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 10 ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
@SillinusNyanda
@SillinusNyanda 10 ай бұрын
Unamatusi sana.Hufai kwa kweli
@kimaroabduli
@kimaroabduli 10 ай бұрын
Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)
@nassornyanyagi5126
@nassornyanyagi5126 10 ай бұрын
Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema
@abuibra
@abuibra 10 ай бұрын
Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 9 ай бұрын
Kweli kabisa
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 5 ай бұрын
Wanyaturu warangi wasambaa shehe wngu hap utanisamehe nawapenda sana hawa watu aisee
@houseofbeatytv9682
@houseofbeatytv9682 10 ай бұрын
Duuuh subhanalah Allah akusamehe na atusamehe sote
@EzraSaid
@EzraSaid 10 ай бұрын
Yani wewe mungu akusamehe
@adammaro7836
@adammaro7836 8 ай бұрын
Shekhe mimi nimekuelewa sana
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 10 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 10 ай бұрын
Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.
@AminaAhmed999
@AminaAhmed999 10 ай бұрын
kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea
@JamaliAmour-jp9dd
@JamaliAmour-jp9dd 10 ай бұрын
Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo
@jumashiyo1378
@jumashiyo1378 10 ай бұрын
kiukweli ndugu upo sahihi
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 9 ай бұрын
Ndio umesema kwel
@OmaryKaniki-hs5mz
@OmaryKaniki-hs5mz 9 ай бұрын
Uyu shekh namkubali sana
@abuhurayrahabibu4545
@abuhurayrahabibu4545 9 ай бұрын
Weye kasome kwanza kwasababu bado hajajua nani shekh
@mussasenga6732
@mussasenga6732 10 ай бұрын
Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢 Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!
@lathifaa860
@lathifaa860 10 ай бұрын
Mashallah allah akulinde uko wap tabor❤❤❤❤❤
@NelisonKashaija
@NelisonKashaija 7 ай бұрын
Shee uko vizuri
@jumakitadu8674
@jumakitadu8674 Ай бұрын
Huyu sio shekh ni mpumbavu masikini
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 9 ай бұрын
Allahu akbsr
@AbdMohamedi
@AbdMohamedi 10 ай бұрын
Sheikh mche mola
@danielshimora5315
@danielshimora5315 10 ай бұрын
Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 10 ай бұрын
Duh
@juliusmsegu3347
@juliusmsegu3347 10 ай бұрын
Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 10 ай бұрын
​@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu
@hamzaahmed69
@hamzaahmed69 10 ай бұрын
Mashallah umeongea ukweli kabisaaa Allah akulipe
@jumasibanilo2912
@jumasibanilo2912 10 ай бұрын
Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea
@chachamturi259
@chachamturi259 9 ай бұрын
Duu weshee bhana noma
@drkalokola5861
@drkalokola5861 10 ай бұрын
Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya. Huridhiki na kile Allah alichokujalia.
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 10 ай бұрын
Mh
@msarama5406
@msarama5406 10 ай бұрын
Sheilk zaid makubuli huyu anapenda sana mambo ukabila mnyamwezi huyu afu anavyojionaga anajua sasa
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 9 ай бұрын
Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane
@salummakaveli4366
@salummakaveli4366 9 ай бұрын
We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe
@SeifSalim-x5k
@SeifSalim-x5k 9 ай бұрын
Hakuna shekhe hapo
@vicentkibirit9637
@vicentkibirit9637 9 ай бұрын
Msamehe bule,,, Njaa mbaya
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 5 ай бұрын
Duh 😂😂😂😂
@habibkuya3327
@habibkuya3327 10 ай бұрын
Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over Hamna Mungu hapo.
@miye2215
@miye2215 10 ай бұрын
Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo 10 ай бұрын
Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 10 ай бұрын
Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!
@zvpOnlineTv
@zvpOnlineTv 10 ай бұрын
Mh
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 10 ай бұрын
ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......​@@zvpOnlineTv
@HannahSamira-z5d
@HannahSamira-z5d 10 ай бұрын
Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia
@Adinanihamadicr7Juma
@Adinanihamadicr7Juma 10 ай бұрын
​@@RamadhaniLukambuzi❤❤
@miye2215
@miye2215 10 ай бұрын
Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila
@muhammadhusain6509
@muhammadhusain6509 10 ай бұрын
Sheikh wangu upo sahihi kabisa kabisa wasio na Ilimu ya ndani hawatokuelewa Abadani
@mikidadiyusufu2319
@mikidadiyusufu2319 10 ай бұрын
Umechemka sanaa
@zaidyabed
@zaidyabed 5 ай бұрын
Shekhee zaidy makuburi 😂😂😂😂 mboka repapric
@AbdulshakuurMohammad
@AbdulshakuurMohammad 10 ай бұрын
We si shekh ila we mpenda kula
@sunwizy608
@sunwizy608 10 ай бұрын
we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha
@comfort-rjtv3291
@comfort-rjtv3291 9 ай бұрын
Mithali 11:14 [14]Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.
@JosephuSwai
@JosephuSwai 9 ай бұрын
Kweli shee
@bradleykhanei4092
@bradleykhanei4092 9 ай бұрын
nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga . Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu. Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa. Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu
@ReubenRaymond-zh4yw
@ReubenRaymond-zh4yw 2 ай бұрын
Ndoa njema hutoka kwa Mwenyezi Mungu, kila kabila lafaa kwa ndoa. Mafarakano au maelewano ni swala la ninyi mliooana, ni mambo ya kibinadamu. Ndoa ya kweli ikiwa takatifu basi na ss tukiwa ovyo, hakuna ndoa. Tunazidiwa na tamaa wala c vitu avitajavyo huyo sijui shehe sijui maalimu.
@georgesolos344
@georgesolos344 9 ай бұрын
Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema
@SeifSalim-x5k
@SeifSalim-x5k 9 ай бұрын
Mungu amsamehe huyu mjinga
@pauloropian2367
@pauloropian2367 10 ай бұрын
Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.
@omarihassani-qu5ie
@omarihassani-qu5ie 9 ай бұрын
Sharru khiswari rijaali khairu khiswari nissaai
@kassuqutbi2199
@kassuqutbi2199 10 ай бұрын
Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”
@cgbb2848
@cgbb2848 10 ай бұрын
Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah
@cgbb2848
@cgbb2848 10 ай бұрын
Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 10 ай бұрын
Kakosea sana
@SalmaSeif-yg5wl
@SalmaSeif-yg5wl 10 ай бұрын
Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi
@HajiAlly-uz7vp
@HajiAlly-uz7vp 9 ай бұрын
Mm nmuunga na wamwaz shekhe tafuta nyengine
@nadhirunjinjo5790
@nadhirunjinjo5790 8 ай бұрын
Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma
@JosephuSwai
@JosephuSwai 9 ай бұрын
Kweli
@MwangaWilliam
@MwangaWilliam 5 ай бұрын
Muacheni huo ndiyo uwelewa wake,hata umueleweche hatakuelewa😊
@mussasenga6732
@mussasenga6732 10 ай бұрын
Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO". Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!
@AbrahamanSaidi-uf1dw
@AbrahamanSaidi-uf1dw 9 ай бұрын
Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa
@stanleysteven1998
@stanleysteven1998 10 ай бұрын
Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa
@KhatibuSwalehe-o9i
@KhatibuSwalehe-o9i 10 ай бұрын
Hamna shekhe apo
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 10 ай бұрын
Huyu ana ujahiliyah
@mwanakupona
@mwanakupona 10 ай бұрын
Hajui hata kusoma matamshi ya quran
@marymamarau24
@marymamarau24 10 ай бұрын
Wanyamwezi oyeeee tupo vizur atujuwi kuachika sisi😂😂
@zaunamoody7311
@zaunamoody7311 10 ай бұрын
ila ndio kasema hamfai kuolewa
@مبغضالبدع-ع9ص
@مبغضالبدع-ع9ص 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu jamaa ni mwehu sanaaa 😅😅😅😅 nafkiri atoka kuvuta bangi huyu 😂😂😂😂😂
@AbdulshakuurMohammad
@AbdulshakuurMohammad 10 ай бұрын
We mbaguzi tabora si watu bora wote
@VedastusJuma-w9l
@VedastusJuma-w9l 9 ай бұрын
Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe
@HamisaIssa-df7yy
@HamisaIssa-df7yy 10 ай бұрын
Allahyakhalam
@rizikiallie3266
@rizikiallie3266 10 ай бұрын
Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu
@muhammadjuma8457
@muhammadjuma8457 10 ай бұрын
WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA
@TeresiaNestori-xh9ch
@TeresiaNestori-xh9ch 9 ай бұрын
Ana hekima ata
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 10 ай бұрын
Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 5 ай бұрын
Ila hapa sidhan kam kuna shehe 😂😂😂
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 10 ай бұрын
haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!! maneno machafu hayo!!
@adiaygo8546
@adiaygo8546 10 ай бұрын
Miyeyusho Tu,🤯
@chachamturi259
@chachamturi259 9 ай бұрын
Duuh waislam kwakulopoka bhana
@Sajdayusuf
@Sajdayusuf 10 ай бұрын
Hapa hakuna shekh hapa 😢
@MarwaKatety
@MarwaKatety 9 ай бұрын
Huyu katumwa nashetan kutuvuruga sis watanzania hatuna upumbavu huo
@SamsunGalaxy-e5k
@SamsunGalaxy-e5k 9 ай бұрын
Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww
@SeifSalim-x5k
@SeifSalim-x5k 9 ай бұрын
Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine
@seifyangawakosawakombo6605
@seifyangawakosawakombo6605 10 ай бұрын
Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini
@MullarCmk
@MullarCmk 10 ай бұрын
Hana akili chizi
@Thabitilubunani
@Thabitilubunani 4 ай бұрын
Huyi ana ujinga mkbwa SNA Mula amuongoze maaan hata anachokieleza haikielewki
@TatuRashid-d6t
@TatuRashid-d6t 5 ай бұрын
Kuna mambo hayakuoaswa kusikia ktk hadhira hii,khutuba ya maneno ya Allah isifanane na porojo za kidunia,sawa unapohutubia pia kuvuta usikivu kupo lkn shekh mengine su saw kuyasema ktk hadhira kama hiyo,samahani una Ilimu ya dini basi rekebisha namna ya maneno ya kusema ,zama ktk kitabu Cha Allah na hadithi za Mtume mtukufu
@stanleyjuma4377
@stanleyjuma4377 10 ай бұрын
Mafunzo mazuri sana Sheikh Zaid, hapa kenya pia ni hivo, waeza oa mke kutoka kabila fulani aishie hata kukuua juu ya mali.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 10 ай бұрын
Tz ishu ya kuoa na kuangalia kabila ni kama haiko sana sana siku hizi mtu anaoa yeyote.
@mwanakupona
@mwanakupona 10 ай бұрын
Mbwa huyu mhuni si sheikh
@oman1oman179
@oman1oman179 9 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@fahamimiraji2338
@fahamimiraji2338 10 ай бұрын
Allah ameumba mataifa namakabira ili mpate kujuana
@fundibombazanzbar5717
@fundibombazanzbar5717 9 ай бұрын
Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran…. Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum.. YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU… Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila
@jumashiyo1378
@jumashiyo1378 10 ай бұрын
sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa
@GeofreyWilliam-ev7qd
@GeofreyWilliam-ev7qd 9 ай бұрын
Hamna sheikh hapo
@JoyceLuhasha
@JoyceLuhasha 10 ай бұрын
Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.
@HajiHarumbo
@HajiHarumbo 10 ай бұрын
Sheikhe hapo umechupa mipaka kwa hii nchi makabila tote yameshakengeuka kinachotakiwa make awa mcha mungu
@JamaliAmour-jp9dd
@JamaliAmour-jp9dd 10 ай бұрын
Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?
@aishajumanne4181
@aishajumanne4181 2 ай бұрын
Pumbuvu unafundisha Nini ubaguzi tu
@LivelLonger
@LivelLonger 9 ай бұрын
Ukweli Huwa unauma siku zote
@muhammadjuma8457
@muhammadjuma8457 10 ай бұрын
TABIA NDIO ZINO MFANYA MTU USIFUNGE NDOA NAE NA SIO KABILA
@GeofreyWilliam-ev7qd
@GeofreyWilliam-ev7qd 9 ай бұрын
Hana maarifa huyu,tabia ni ya mtu sio kabila
@usrahismail3196
@usrahismail3196 5 ай бұрын
Mi nikashaona anaejiita Sheykh hana ndevu,hapo najua elimu hamna
@yusuphmussa554
@yusuphmussa554 9 ай бұрын
*Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila
@MrishoSamueli
@MrishoSamueli 10 ай бұрын
Chagolaga nyanaweeeee😅😅😅😅
@mohamedomary5786
@mohamedomary5786 6 ай бұрын
Sheikh nimekuelewa kwenye zaka, andaa kipindi cha zaka na kutoa
@kutailass6671
@kutailass6671 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂nicheke mie
@cgbb2848
@cgbb2848 10 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@mashaainsuranceagency5925
@mashaainsuranceagency5925 9 ай бұрын
KWA KWELI INASIKITISHA KUSIKIA MTU MZIMA KAMA HUYU ANAKASHFU MAKABILA KIBAYA ZAIDI ANIJIITA SHEKH HAWA NDIO WANAO HARIBU SIFA YA DINI YETU NZURI YA UISLAM
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
MFAHAMU MCHAWI KWA SIFA HIZI | SHEIKH MSABAHA (UISILAMU KWA HOJA)
16:09
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 11 М.
Epuka sana NZI kama wataka Ndoa yako idumu - Sheikh Izudin
18:01
DUNIA IMEISHA SHEIKH KUTANGAZA UCHAWI MSIKITINI
23:29
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 18 М.
BACHU AMVAA SHEIKH OTHMAN MAALIM TUHUMA ZA UZUSHI VIGAWANYO VYA TAWHID
26:32
Murottal Anak Juz 29 - Riko The Series (Qur'an Recitation for Kids)
1:23:07
Riko The Series
Рет қаралды 5 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.