Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina
@abuhurayrahabibu45452 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-dq1lm2be2u3 ай бұрын
Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu
@zvpOnlineTv3 ай бұрын
Mh
@abdulkarimabdallah95362 ай бұрын
Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah
@radhiamalla94282 ай бұрын
Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira
@user-vy7zv1xx7u2 ай бұрын
Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah
@abuhurayrahabibu45452 ай бұрын
Kweli
@mudhihirIbrahim-hb7ry3 ай бұрын
Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea
@gabrielnduwayo82773 ай бұрын
Nataka munyamwezi ao msuguma jameni
@jumanesaidi76353 ай бұрын
Kwa maneno haya, hakuna Sheikh hapo
@abdulbandari15513 ай бұрын
Very foolish indeed
@abuhurayrahabibu45452 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-wi8og3sv4j3 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.
@AminaAhmed9993 ай бұрын
kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea
@JamaliAmour-jp9dd2 ай бұрын
Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo
@jumashiyo13782 ай бұрын
kiukweli ndugu upo sahihi
@abuhurayrahabibu45452 ай бұрын
Ndio umesema kwel
@abuibra3 ай бұрын
Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.
@abuhurayrahabibu45452 ай бұрын
Kweli kabisa
@fahamimiraji23382 ай бұрын
Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini
@user-zw6xz3lq1x2 ай бұрын
Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏
@selemanmcharazo3 ай бұрын
Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya
@RamadhaniLukambuzi3 ай бұрын
Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!
@zvpOnlineTv3 ай бұрын
Mh
@athumanikhamisi33773 ай бұрын
ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......@@zvpOnlineTv
@user-xo5lq7mw3n3 ай бұрын
Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia
@user-hi6mb4so8w3 ай бұрын
@@RamadhaniLukambuzi❤❤
@bradleykhanei40922 ай бұрын
nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga . Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu. Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa. Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Mbora ni mchamungu❤
@kimaroabduli3 ай бұрын
Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤
@zvpOnlineTv3 ай бұрын
Naam
@user-dr1su7pf7w2 ай бұрын
mungu akusaheme pole na huo ukabila wako
@abuhurayrahabibu45452 ай бұрын
Kweli kabisa
@ShafiiAbuu-jb8hp4 күн бұрын
Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh
@sunwizy6083 ай бұрын
we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha
@SubiraMndeme-yw7mx3 ай бұрын
Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila
@jasminmohamed61453 ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
@nassornyanyagi51263 ай бұрын
Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema
@habibkuya33273 ай бұрын
Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over Hamna Mungu hapo.
@miye22153 ай бұрын
Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu
@pauloropian23673 ай бұрын
Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.
@kassuqutbi21993 ай бұрын
Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”
@cgbb28483 ай бұрын
Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah
@cgbb28483 ай бұрын
Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊
@paschalsafari97473 ай бұрын
Kakosea sana
@SalmaSeif-yg5wl3 ай бұрын
Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi
@drkalokola58613 ай бұрын
Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya. Huridhiki na kile Allah alichokujalia.
@zvpOnlineTv3 ай бұрын
Mh
@hasaabdi71992 ай бұрын
Kweli sheikh wangu
@danielshimora53153 ай бұрын
Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad
@zvpOnlineTv3 ай бұрын
Duh
@juliusmsegu33473 ай бұрын
Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅
@salmaalimusa68092 ай бұрын
@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu
@jumasibanilo29123 ай бұрын
Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea
@fundibombazanzbar57172 ай бұрын
Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran…. Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum.. YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU… Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila
@user-ps6wm2qm4f3 ай бұрын
Unamatusi sana.Hufai kwa kweli
@user-ow2jv4vn8b2 ай бұрын
Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅
@saidabdalla89962 ай бұрын
Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane
@salummakaveli43662 ай бұрын
We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe
@user-ez1ky4ls7cАй бұрын
Hakuna shekhe hapo
@vicentkibirit9637Ай бұрын
Msamehe bule,,, Njaa mbaya
@stanleysteven19982 ай бұрын
Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa
@comfort-rjtv32912 ай бұрын
Mithali 11:14 [14]Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.
@user-xw1dv3gr8s3 ай бұрын
Sheikh mche mola
@miye22153 ай бұрын
Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila
@fathimamct2323 ай бұрын
Kwa ALLAH Hakuna Kabila Acha kutia ubinafsi Kwa kuingia kwenue Dini Sasa wasielewe Kwa kuwa hawastahiki Au vipi Kabila zimekwtwa na Binaadam ila Kwa Mungu Kuna Binaadam na SI mdharamo Wala mchanga WW oama bakhili kalaga baho na ubozi wako
@mwanakupona3 ай бұрын
Hajui hata kusoma matamshi ya quran
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Allahu akbsr
@EzraSaid2 ай бұрын
Yani wewe mungu akusamehe
@muhammadjuma84573 ай бұрын
WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA
@user-dy8yc5ml1p3 ай бұрын
Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.
@OmaryKaniki-hs5mz2 ай бұрын
Uyu shekh namkubali sana
@abuhurayrahabibu45452 ай бұрын
Weye kasome kwanza kwasababu bado hajajua nani shekh
@nadhirunjinjo5790Ай бұрын
Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma
@mussasenga67322 ай бұрын
Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO". Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!
@1961nungwi3 ай бұрын
Nyerere alifanya kazi kubwa kuunganisha Taifa hili. Makabila yaliyokuwa na nguvu na Machifu kama Wasukuma na Wachaga akawapiga marifuku. Uchifu akaua! Leo mnaanza kuongea mambo ya hovyo!! Hamna mambo ya msingi kuongea, kama kupeleka watoto shule?!
@seifyangawakosawakombo66053 ай бұрын
Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini
@MullarCmk2 ай бұрын
Hana akili chizi
@mussasenga67322 ай бұрын
Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢 Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!
@budodianthony80942 ай бұрын
Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo
@adammaro7836Ай бұрын
Shekhe mimi nimekuelewa sana
@JamaliAmour-jp9dd2 ай бұрын
Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?
@HamisaIssa-df7yy3 ай бұрын
Allahyakhalam
@hassanmzandy14213 ай бұрын
Dah Qur'an yenyew Hujui unatamka kama mlevi Mshenzi
@rizikiallie32663 ай бұрын
Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu
@muhammadjuma84573 ай бұрын
TABIA NDIO ZINO MFANYA MTU USIFUNGE NDOA NAE NA SIO KABILA
@GeofreyWilliam-ev7qd2 ай бұрын
Hana maarifa huyu,tabia ni ya mtu sio kabila
@user-ed1cf9nq5w3 ай бұрын
Huyu ana ujahiliyah
@JosephuSwai2 ай бұрын
Kweli
@user-sw1ol9jb6z2 ай бұрын
We si shekh ila we mpenda kula
@mwanakupona3 ай бұрын
Mbwa huyu mhuni si sheikh
@oman1oman1792 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@oparetionmaalum90303 ай бұрын
Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai
@hamzakimaro37643 ай бұрын
haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!! maneno machafu hayo!!
@mikidadiyusufu23192 ай бұрын
Umechemka sanaa
@jumashiyo13782 ай бұрын
sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa
@captenndunga67453 ай бұрын
Acha uongo msenge na watu wamekaa kabisa wanakusikiliza unavoongopa kwa maelezo yako unataka kuwaaminisha watu kwamba kwenye hayo makabila hakuna watu wenye kuijua dini ni wazi huyu shehe anavuta bangi
@JosephuSwai2 ай бұрын
Kweli shee
@kadijahajali39183 ай бұрын
Hii
@yusuphmussa5542 ай бұрын
*Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila
@chachamturi2592 ай бұрын
Duu weshee bhana noma
@abubakarothman35323 ай бұрын
Soma Aya za qur'an vizuri,wavunja vunja Aya
@hilalmasoud65143 ай бұрын
SHEIKH wacha upumbavu ukabila ni uvundo mcha mola ndio mbora wenu
@HusseinKarumna2 ай бұрын
Shekhe Mbona unapotosha jamii ya Kiislam hata Qur-aan Unakisea kusoma Allaah akuongoze
Jazba weken mbali yeye hajaleta ukabila jambo lakuowa nilazma upete mke alie na swifa kwshiyo ikiwemo kabila kama na mengineyo kwahiyo kama kabila lako limetajwa vumiliya tuu ukweli nikusemwa
@cath-ef7wd3 ай бұрын
Huyu jamaa wala sio shekhe ni muhuni tu....anapotosha uislam hauna mambo hayo
@georgesolos3442 ай бұрын
Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema
@user-ez1ky4ls7cАй бұрын
Mungu amsamehe huyu mjinga
@user-wj4dv1pv3r3 ай бұрын
Ukweli unauma jamani
@fahamimiraji23382 ай бұрын
Allah ameumba mataifa namakabira ili mpate kujuana
@andrewmagwila16023 ай бұрын
Mimi ninachoamini kwenye kila kabila kuna watu wazuri na watu wabaya
@HajiHarumbo2 ай бұрын
Sheikhe hapo umechupa mipaka kwa hii nchi makabila tote yameshakengeuka kinachotakiwa make awa mcha mungu
@AbrahamanSaidi-uf1dw2 ай бұрын
Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa
@user-sd5zf6fz4v2 ай бұрын
Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww
@user-ez1ky4ls7cАй бұрын
Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine
@husseinmohamed84932 ай бұрын
Sheikh mimi nakuona mshamba tu na mpotoshaji chunga sana Kisha sheikh zipe dawa za kufanya meno yako yakawa kma ya watu wengine
@emmanuelahmedbyona23532 ай бұрын
Uislamu unaanza tena ku promote ukabila?
@TeresiaNestori-xh9ch2 ай бұрын
Ana hekima ata
@saidshukeri49863 ай бұрын
Unasikitisha Sana
@user-dm8vq6yo1e2 ай бұрын
Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe
@aediayumgo85462 ай бұрын
Miyeyusho Tu,🤯
@Sajdayusuf2 ай бұрын
Hapa hakuna shekh hapa 😢
@MarwaKatety2 ай бұрын
Huyu katumwa nashetan kutuvuruga sis watanzania hatuna upumbavu huo
@user-vd4og8md3v3 ай бұрын
Hamna shekhe apo
@oparetionmaalum90303 ай бұрын
Sisi sote ni watanzania hatuna kabila sisi kabila letu ni watanzania tuu Hakuna jengine
@user-zg6hx6xi3x2 ай бұрын
Ukweli Huwa unauma siku zote
@user-dj7bs7si1v2 ай бұрын
إنه امرؤ فيه الجاهلية
@habibasalim30922 ай бұрын
Huo ni ubaguzi na hauko katika qurani wala hadithi mashehena ,ndio maana unaambia someni kuliko kusikiliza watu
@AbdallahNgoge2 ай бұрын
Daaa aisee kama viongozi wote wa dini wangekuwa wanatoa mahudiri au nasaha hizi sijui tungekuwa wapi ,