Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina
@abuhurayrahabibu45459 ай бұрын
Kweli kabisa
@wamburaneema-w7r10 ай бұрын
mungu akusaheme pole na huo ukabila wako
@abuhurayrahabibu45459 ай бұрын
Kweli kabisa
@ShafiiAbuu-jb8hp7 ай бұрын
Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh
@mudhihirIbrahim-hb7ry10 ай бұрын
Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea
@gabrielnduwayo827710 ай бұрын
Nataka munyamwezi ao msuguma jameni
@jumanesaidi763510 ай бұрын
Kwa maneno haya, hakuna Sheikh hapo
@abdulbandari155110 ай бұрын
Very foolish indeed
@abuhurayrahabibu45459 ай бұрын
Kweli kabisa
@fahamimiraji233810 ай бұрын
Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini
@HusnaSalum-p1q10 ай бұрын
Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu
@zvpOnlineTv10 ай бұрын
Mh
@abdulkarimabdallah953610 ай бұрын
Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah
@radhiamalla942810 ай бұрын
Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira
@ZumairaHasani9 ай бұрын
Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah
@abuhurayrahabibu45459 ай бұрын
Kweli
@deusdeditsimba44527 ай бұрын
Tabora Mji wangu Naupeda sana😂😂😂👏👏👏
@SaadKondo3 ай бұрын
Asalam alaykum.Binafsi mimi sijaelewa somo hili shekhe unalolitoa.Japo pia mimi siyo mjinga sana katika uislamu wangu.
@jabirkasunzu684110 ай бұрын
Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤
@zvpOnlineTv10 ай бұрын
Naam
@ZainabKullatein9 ай бұрын
Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏
@jabirkasunzu684110 ай бұрын
Mbora ni mchamungu❤
@SubiraMndeme-yw7mx10 ай бұрын
Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila
@MrishoSamueli10 ай бұрын
Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅
@budodianthony80949 ай бұрын
Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo
@h77-f8m10 ай бұрын
Kweli sheikh wangu
@jasminmohamed614510 ай бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
@SillinusNyanda10 ай бұрын
Unamatusi sana.Hufai kwa kweli
@kimaroabduli10 ай бұрын
Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)
@nassornyanyagi512610 ай бұрын
Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema
@abuibra10 ай бұрын
Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.
@abuhurayrahabibu45459 ай бұрын
Kweli kabisa
@fahmiiidrisa51105 ай бұрын
Wanyaturu warangi wasambaa shehe wngu hap utanisamehe nawapenda sana hawa watu aisee
@houseofbeatytv968210 ай бұрын
Duuuh subhanalah Allah akusamehe na atusamehe sote
@EzraSaid10 ай бұрын
Yani wewe mungu akusamehe
@adammaro78368 ай бұрын
Shekhe mimi nimekuelewa sana
@MfiriFulgensi10 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila
@jabirkasunzu684110 ай бұрын
Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.
@AminaAhmed99910 ай бұрын
kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea
@JamaliAmour-jp9dd10 ай бұрын
Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo
@jumashiyo137810 ай бұрын
kiukweli ndugu upo sahihi
@abuhurayrahabibu45459 ай бұрын
Ndio umesema kwel
@OmaryKaniki-hs5mz9 ай бұрын
Uyu shekh namkubali sana
@abuhurayrahabibu45459 ай бұрын
Weye kasome kwanza kwasababu bado hajajua nani shekh
@mussasenga673210 ай бұрын
Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢 Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!
@lathifaa86010 ай бұрын
Mashallah allah akulinde uko wap tabor❤❤❤❤❤
@NelisonKashaija7 ай бұрын
Shee uko vizuri
@jumakitadu8674Ай бұрын
Huyu sio shekh ni mpumbavu masikini
@FatnaAlly-go7yt9 ай бұрын
Allahu akbsr
@AbdMohamedi10 ай бұрын
Sheikh mche mola
@danielshimora531510 ай бұрын
Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad
@zvpOnlineTv10 ай бұрын
Duh
@juliusmsegu334710 ай бұрын
Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅
@salmaalimusa680910 ай бұрын
@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu
@hamzaahmed6910 ай бұрын
Mashallah umeongea ukweli kabisaaa Allah akulipe
@jumasibanilo291210 ай бұрын
Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea
@chachamturi2599 ай бұрын
Duu weshee bhana noma
@drkalokola586110 ай бұрын
Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya. Huridhiki na kile Allah alichokujalia.
@zvpOnlineTv10 ай бұрын
Mh
@msarama540610 ай бұрын
Sheilk zaid makubuli huyu anapenda sana mambo ukabila mnyamwezi huyu afu anavyojionaga anajua sasa
@saidabdalla89969 ай бұрын
Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane
@salummakaveli43669 ай бұрын
We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe
@SeifSalim-x5k9 ай бұрын
Hakuna shekhe hapo
@vicentkibirit96379 ай бұрын
Msamehe bule,,, Njaa mbaya
@fahmiiidrisa51105 ай бұрын
Duh 😂😂😂😂
@habibkuya332710 ай бұрын
Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over Hamna Mungu hapo.
@miye221510 ай бұрын
Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu
@selemanmcharazo10 ай бұрын
Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya
@RamadhaniLukambuzi10 ай бұрын
Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!
@zvpOnlineTv10 ай бұрын
Mh
@athumanikhamisi337710 ай бұрын
ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......@@zvpOnlineTv
@HannahSamira-z5d10 ай бұрын
Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia
@Adinanihamadicr7Juma10 ай бұрын
@@RamadhaniLukambuzi❤❤
@miye221510 ай бұрын
Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila
@muhammadhusain650910 ай бұрын
Sheikh wangu upo sahihi kabisa kabisa wasio na Ilimu ya ndani hawatokuelewa Abadani
@mikidadiyusufu231910 ай бұрын
Umechemka sanaa
@zaidyabed5 ай бұрын
Shekhee zaidy makuburi 😂😂😂😂 mboka repapric
@AbdulshakuurMohammad10 ай бұрын
We si shekh ila we mpenda kula
@sunwizy60810 ай бұрын
we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha
@comfort-rjtv32919 ай бұрын
Mithali 11:14 [14]Pasipo mashauri taifa huanguka; Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.
@JosephuSwai9 ай бұрын
Kweli shee
@bradleykhanei40929 ай бұрын
nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga . Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu. Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa. Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu
@ReubenRaymond-zh4yw2 ай бұрын
Ndoa njema hutoka kwa Mwenyezi Mungu, kila kabila lafaa kwa ndoa. Mafarakano au maelewano ni swala la ninyi mliooana, ni mambo ya kibinadamu. Ndoa ya kweli ikiwa takatifu basi na ss tukiwa ovyo, hakuna ndoa. Tunazidiwa na tamaa wala c vitu avitajavyo huyo sijui shehe sijui maalimu.
@georgesolos3449 ай бұрын
Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema
@SeifSalim-x5k9 ай бұрын
Mungu amsamehe huyu mjinga
@pauloropian236710 ай бұрын
Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.
@omarihassani-qu5ie9 ай бұрын
Sharru khiswari rijaali khairu khiswari nissaai
@kassuqutbi219910 ай бұрын
Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”
@cgbb284810 ай бұрын
Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah
@cgbb284810 ай бұрын
Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊
@paschalsafari974710 ай бұрын
Kakosea sana
@SalmaSeif-yg5wl10 ай бұрын
Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi
@HajiAlly-uz7vp9 ай бұрын
Mm nmuunga na wamwaz shekhe tafuta nyengine
@nadhirunjinjo57908 ай бұрын
Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma
@JosephuSwai9 ай бұрын
Kweli
@MwangaWilliam5 ай бұрын
Muacheni huo ndiyo uwelewa wake,hata umueleweche hatakuelewa😊
@mussasenga673210 ай бұрын
Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO". Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!
@AbrahamanSaidi-uf1dw9 ай бұрын
Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa
@stanleysteven199810 ай бұрын
Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa
Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe
@HamisaIssa-df7yy10 ай бұрын
Allahyakhalam
@rizikiallie326610 ай бұрын
Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu
@muhammadjuma845710 ай бұрын
WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA
@TeresiaNestori-xh9ch9 ай бұрын
Ana hekima ata
@oparetionmaalum903010 ай бұрын
Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai
@fahmiiidrisa51105 ай бұрын
Ila hapa sidhan kam kuna shehe 😂😂😂
@hamzakimaro376410 ай бұрын
haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!! maneno machafu hayo!!
@adiaygo854610 ай бұрын
Miyeyusho Tu,🤯
@chachamturi2599 ай бұрын
Duuh waislam kwakulopoka bhana
@Sajdayusuf10 ай бұрын
Hapa hakuna shekh hapa 😢
@MarwaKatety9 ай бұрын
Huyu katumwa nashetan kutuvuruga sis watanzania hatuna upumbavu huo
@SamsunGalaxy-e5k9 ай бұрын
Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww
@SeifSalim-x5k9 ай бұрын
Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine
@seifyangawakosawakombo660510 ай бұрын
Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini
@MullarCmk10 ай бұрын
Hana akili chizi
@Thabitilubunani4 ай бұрын
Huyi ana ujinga mkbwa SNA Mula amuongoze maaan hata anachokieleza haikielewki
@TatuRashid-d6t5 ай бұрын
Kuna mambo hayakuoaswa kusikia ktk hadhira hii,khutuba ya maneno ya Allah isifanane na porojo za kidunia,sawa unapohutubia pia kuvuta usikivu kupo lkn shekh mengine su saw kuyasema ktk hadhira kama hiyo,samahani una Ilimu ya dini basi rekebisha namna ya maneno ya kusema ,zama ktk kitabu Cha Allah na hadithi za Mtume mtukufu
@stanleyjuma437710 ай бұрын
Mafunzo mazuri sana Sheikh Zaid, hapa kenya pia ni hivo, waeza oa mke kutoka kabila fulani aishie hata kukuua juu ya mali.
@fahadfaraj647410 ай бұрын
Tz ishu ya kuoa na kuangalia kabila ni kama haiko sana sana siku hizi mtu anaoa yeyote.
@mwanakupona10 ай бұрын
Mbwa huyu mhuni si sheikh
@oman1oman1799 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@fahamimiraji233810 ай бұрын
Allah ameumba mataifa namakabira ili mpate kujuana
@fundibombazanzbar57179 ай бұрын
Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran…. Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum.. YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU… Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila
@jumashiyo137810 ай бұрын
sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa
@GeofreyWilliam-ev7qd9 ай бұрын
Hamna sheikh hapo
@JoyceLuhasha10 ай бұрын
Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.
@HajiHarumbo10 ай бұрын
Sheikhe hapo umechupa mipaka kwa hii nchi makabila tote yameshakengeuka kinachotakiwa make awa mcha mungu
@JamaliAmour-jp9dd10 ай бұрын
Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?
@aishajumanne41812 ай бұрын
Pumbuvu unafundisha Nini ubaguzi tu
@LivelLonger9 ай бұрын
Ukweli Huwa unauma siku zote
@muhammadjuma845710 ай бұрын
TABIA NDIO ZINO MFANYA MTU USIFUNGE NDOA NAE NA SIO KABILA
@GeofreyWilliam-ev7qd9 ай бұрын
Hana maarifa huyu,tabia ni ya mtu sio kabila
@usrahismail31965 ай бұрын
Mi nikashaona anaejiita Sheykh hana ndevu,hapo najua elimu hamna
@yusuphmussa5549 ай бұрын
*Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila
@MrishoSamueli10 ай бұрын
Chagolaga nyanaweeeee😅😅😅😅
@mohamedomary57866 ай бұрын
Sheikh nimekuelewa kwenye zaka, andaa kipindi cha zaka na kutoa
@kutailass667110 ай бұрын
😂😂😂😂😂nicheke mie
@cgbb284810 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@mashaainsuranceagency59259 ай бұрын
KWA KWELI INASIKITISHA KUSIKIA MTU MZIMA KAMA HUYU ANAKASHFU MAKABILA KIBAYA ZAIDI ANIJIITA SHEKH HAWA NDIO WANAO HARIBU SIFA YA DINI YETU NZURI YA UISLAM