Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.
@Abuubacary4 ай бұрын
Allah akuhifadhi shekhe wetu
@saidimpako51869 ай бұрын
MUNATANGAZA SANA MADHEHEBU KULIKO UISILAMU WAISILAMU TUMESHA NASA KWENYE MTEGO WA MAYAHUDI
@apocalypsematrix92525 ай бұрын
UMENENA POA SAFI SANA 👊🏼👍 HAMNA CHA SALAFI WASHENZI KAZI YAO NI YA FITINA NA KUOMBEYA KAMA WASHENZI
@Naghib-Islam5 ай бұрын
Wallahi hizi hoja zinawapa nguvu sana makafiri badala tuungane waislamu tunatenganishwa na migogoro isiomaana. Allah Atusamehe inshallah.
@user-uo8xw9kr4b4 ай бұрын
Tatizo kila mtu anataka awe juu ya mwenzake.
@animalchannel2965 ай бұрын
mashee wanamuonea sana wivu kishki
@UkhtyAsiyaah4 ай бұрын
Wanamuonea wivu sana Sheikh wetu kwa neema zake na anavyoo fanya vzr wao hatuoni harakati zao ni kupigana vita tu Allah akuhifadhi na amlinde Sheikh wetu kishki na hasadi za ma sheikh
@NahiAbdallah5 ай бұрын
Huyu shekh kaz yake ni kudiscuss watu tu
@mzeemwinyihassan977413 күн бұрын
Wewe mbaguziiii sana sheheee
@rukaka_jr4514 Жыл бұрын
Sheikh kishk sio salafi ni muislam, afu hakuna cha salafi wala wahab wala answar mbora mbele ya Allah ni mchamungu tu, acheni kujifanya nyie masalafi hamna tofauti na mashia, muogopen Allah
@thedon84675 ай бұрын
Kwani Kuna SALAFI mkiristo ?
@omarsakawa20705 ай бұрын
@@thedon8467hakuna salafiy muislamu wala mkristo katika zama hizi,soote ni khalafiy acheni kujipa.
@SolomomAdams-pf5zy5 ай бұрын
Hahahahahaha sikutegemea kucheka leo mapema hii haha
@user-ok8se1ok3d5 ай бұрын
Mbwa hujui dini kaa kimya kima wee
@habibasalim30925 ай бұрын
Eti shiia wewe hapo muogope Allaah, Salafi Salih ndio uislamu, na shiia sio muislamu, fatilia vizuri kuhusu salafi, unaweza pia search kwa hii yutube, ama nakuambia soma vitabu the fundamentals of the salafi,,ama kama wewe mtu wa mitandao kuna hawa watu watafute kwa yutube, Sheikh Al fawzan hafeedhahullaah, Al bani Rahimahullaah ,ndo utajua mtume alisema nini kuhusu hili neno Salafi
@user-xh9gj2wd6o5 ай бұрын
Mti wenye matunda ndio wenye kutupiwa mawe namuomba Allaah amuhifadhi Sheikh wetu na sisi pia
@SolomomAdams-pf5zy5 ай бұрын
Amiiyn
@fatmasuleyman24984 ай бұрын
Amiin ya rabb
@salimakida955 ай бұрын
Kumbe walijua hilo..vipi ulimvyokua ukimtukanana na kumuhukumu kigogo shekh Mohamed bin shekh Ayoub
@mariamharoon184011 ай бұрын
Hamuna kanzi ombeeni taifa tunaangalia 😢😢😢
@salehal-oufy5380 Жыл бұрын
Je nyny mnaowatuhumu na kukafirisha nyny ni wanazuoni?
@user-ow6vh6mz8u5 ай бұрын
Umadhehebu ni usafiri wa hali ya juu Waislam wamekua mazezeta hawajalitambua hilo
@salumally663 Жыл бұрын
Wakati mwingine jaribuni muwe kigezo kwa umma wa kiislamu na kukua kia akili...inaonekana tumefikisika kimuono kukaa na kuanza kuchunguzana kuongea AKIDA YA Sheikh fulani ..hebu waislamu tuache huu ujinga na kukua kiakili...tujadili mambo yanayoweza kuwasaidia UMmaa
@SolomomAdams-pf5zy5 ай бұрын
Naam
@user-mr8fd8nd8i5 ай бұрын
Tujaribu kuheshimu jitihada za Mashekh wetu jamani tuwaache warekebishane wenyewe ni hatari sana kurushia Mashekh maneno mabaya
@MaalimYussuf-qy9ic5 ай бұрын
Yaani hawa watu wanaojiita masalafi kazi nikutangaza imaniyao2 ya kisalafi na sio kutanganga dini sas sijui ndio wanasomeshwa hivyo 2 au ndio elemu yao ipeishiya kwenye usalafi 2
@MudiMagwila5 ай бұрын
Sheikh baraiyan sema ukweli nyinyi muna dumu kwenye bidaa sana acheni kuwazuga watu
@fatmasuleyman24984 ай бұрын
Kunyamaza kwa mtu mjinga ndio jibu lake
@mohamedabdallahkilimo19755 ай бұрын
Hakuna anaeweza kumuhukumu mtu kwasababu kazi ya kuhukum ni majukumu yake ALLAHU subhanau wataala sisi tufanye aliyotuamrisha allah ni kheir na ni bora kwetu tusigombanishwe waislam tuamke maana ni kila siku yanazuka majambo tunawekwa busy na malumbano ili tusifanye ibada kwa utulivu,tuacheni hayo mambo turudi katika umoja wetu
@mohamedabdallahkilimo19755 ай бұрын
Nasikitika tenda nda ya ramadhan tumefunga huku mnakosoana huyu salafy huyu badaaa jamani nani anajiona amekamilika mpaka kuhukumiana ina maana tayari wako waliojibashiria pepo wallah tutakuja kuulizwa haya mambo ninachokiamini mtu unaweza ukasoma ila ukawa hujaelewa allah ametukamilishia dini yetu ya kiislaam ila hao mashekh ndo wanaitia doa kwa huko kusoma kwao kila mmoja ni mjuzi tafuteni namna ya kurudisha umoja waumini wengi wao wanashangaa hawajui washike wapi wallah mtaulizwa
@user-yv1gj2zn4z5 ай бұрын
Uyo sheikh nikupoteza time yaku msikilizi
@user-rt9qr3ie9g5 ай бұрын
Masuala.ya kuwazungumzia waislam na kuwakosoa ni ujinga hemu waelezeeni wafalme waovu wanao Wacha miji ya ndugu zao kumwagwa damu mfano Mohamed binsulemani m.mungu amlaani
@CalvinVenance5 ай бұрын
mashekhe walikua zamani sasa hivi kuna mashekhena.
@osos9073 Жыл бұрын
Reference zote ni maulamaa sioni ikitamkwa qur ani
@salehal-oufy5380 Жыл бұрын
Jamani kiakili tu huyu si mtu wa kumfuata
@amaxyz1385 ай бұрын
subhanallah mbona munakufurisha watu mwatoa watu katika dini nyinyi ni nani wa kuhukumu watu
@shabanponera28955 ай бұрын
Hivi umemsikiliza sheikh jibu lake au? Kasema yeye hawezi kuhukumu
@banihashim5347 Жыл бұрын
Leo umeongea sheikh letu
@muhammedaloufy40867 ай бұрын
Hawa wote hawapo kidini wanapigania miradi ya wasaudi!
@AbdallahSadiki-z4bАй бұрын
Hivi ile million 200 Ulishaeleza ilipoenda ??
@adamjutto584913 күн бұрын
Hilo sio swali la kielimu,ni mambo binafsi,wewe hujawahi kudhulumu maishani mwako
@abu-ff8ws4 ай бұрын
Shekhe kishki ni msomali ?
@MUHSINSALUM-cc4tg4 ай бұрын
Kumbe Answari wamejaza MUHAFIDHIINA. LA MUHTADIINA
@ABUUJAAFAR92 Жыл бұрын
Sasa Kishki atakuwaje salafy na hali alisema majina hayo hayako ,,yeye anajua jina uislamu tu ,,,
@SolomomAdams-pf5zy5 ай бұрын
Tusubiri atutangazie na mwezi hahahahaha
@aminaosman33154 ай бұрын
,taasisi yako ni zulma kwa yatima mjene waislam haki zao unafaidika wewe familia yako na waarabu wenzio
@ramygichero10169 ай бұрын
Mawahabi hawataki kusoma shule
@fatmasuleyman24984 ай бұрын
Tuekesawa mawahab unajua asili ya neno hilo huyo jina la ni sheikh muhammad bin abdul wahab رحمه الله na mwalimu wa sheikh ibn baaz رحمه الله
Wee mpumbavu kama kasimu wako jadidah tulieni huko
@abbaspaziaog2188 Жыл бұрын
Majadida sijui wapoje
@abubakarmuqaddam9845 Жыл бұрын
Mpumbavu ni ww uko usietambu fadhila za Wasomi waliofaidika
@mwanakombopopo51175 ай бұрын
Hana kazi zakufanya hamuilimshi jamii tapotea kazi nikujali Mashelk tu wenye na mambo yao muhimu
@user-wy7om5ln7l11 ай бұрын
mnafik mkubwa we munachaguana wenyewe kama sio wahabi hupewi nafasi kutoa mawaidha miskitini kwenu tafauti nahao munaowaita watu wabidaa na maibadhi
@ayubswaleh60445 ай бұрын
Ila nyie mna mamlak ya kuhukum watu
@mpondamedia2416 Жыл бұрын
😂😂😂 eti ambao si twawaita masalafi uchwara Ahaha barahiyani mgomvii!! Ahaha
@SaalimMlawa Жыл бұрын
Na ktk bidaayenu ni kujiita salafi hivi mnazoakilikweli nyie mnawezaje kuijiita salafi ebu nanyi wacheni hii bidaa mana huu nao niuzushi Unawakosoa wenzio wakati wewe mwenyewe pia unayako Ebu tuondoleeni upuuziwenu wa ikhtilafu Na tushike hiliولاتموتن إلا وأنتم مسلمون. لاسلف ولاووو
@RajabuomariMachemba Жыл бұрын
We jaahili اقرء
@abubakarmuqaddam9845 Жыл бұрын
Ww pia Waongea hhh ndo nini sasa ata wachekesha nduguyangu
@user-wy7om5ln7l11 ай бұрын
kwaiyo wanazuoni waliobaki ninyie mawahabi tu
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Kasim mafuta alihadaika na ukubwa alitaka shekh salim awe chini yake Ksim mafuta anapenda uluwa
@khamisali59786 ай бұрын
Anafanyiwa raddi km kakosea au afahamishwa?
@abdulahmadimkabakuli634211 ай бұрын
Mbona jazba mzeee
@UkhtyAsiyaah4 ай бұрын
😅😅😅😅
@user-pe9nq3wu4p5 ай бұрын
Weweni pumbavu
@muhammedaloufy40867 ай бұрын
Wewe unayomamlaka ya kuwaita watu watu bid’a?
@Mabahdl Жыл бұрын
Wewe mzee siulumuita kuwa kishik ameanza kupotea asiingie kwenye misikiti yako iweje ileo wamtetea? Alafu swali limeulizwa kwa mgonjwa
@user-yv1gj2zn4z5 ай бұрын
Hayo mambo yako Ni Africa tu
@omarsakawa20705 ай бұрын
Mwajifanya wa peponi sana, nyie,
@muhammedaloufy40867 ай бұрын
Yaani hukumu wanatoa maulamaa? Hii ni Kali!
@user-rt1bz7lk4s Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hawa masheikh wanatuchanganya akili zetu kwanzaa wewe mzeee mawahabi wenziwe hawakutambuiii yaani hawa mawahabi wallah wanavituko kweli wallah
@user-wy7om5ln7l11 ай бұрын
kwaiyo alipomtuka mtume hakua kafir lakini mwenye kuwapinga nyie nikafir
@mussaissa6796 Жыл бұрын
HUYU YEYE NI MTU MZUSHI KISHA ANALAUMU UZUSHI NA WAZUSHI WAKATI NI YEYE NDIO MZUSHI MWENYEWE!
@fatmasuleyman24984 ай бұрын
Jambo usilolijua kama usiku wa gizaa totoro 'iyaadham billah
@fatmasuleyman24984 ай бұрын
Uislam umejengwa juu ya nasaha فسؤلو اهل الذكر انكنتم الا تعلمون aya usihukumu allah atuongoze amiin
@hodariahmad5116 Жыл бұрын
Eti kijimwanafunzi😂
@rajabuathumani57755 ай бұрын
NYINYI NYOTE NI MAWAHABI NA MAWAHABI NI MAKAFIRI MAANA DHEHEBU LAO LIMEASISIWA NA MAYAHUDI
@fatmasuleyman24984 ай бұрын
Akh ombi maghfira kwa ulilolisema subhana llah subhana llah akh wewe ni kama mimi lkn hapo skufich nakutakia kher
@rajabuathumani57754 ай бұрын
@@fatmasuleyman2498bdo hujanielewa ndugu yangu nakuomba fuatilia history vizur utaelewa
@ibnayub2374 Жыл бұрын
Ukiona maharange yanaruka ruka kwenye sufuria jikoni ujue YANAENDA kuiva, mzee mm nlikua sifaham msimamo wako kiukweli lakn kwa maneno yako mwenyew hakika nimepata utuliv kuwa wew inapodondokea shilling ndio utapatikana hapo wacha kuwa hadaa watu.
@saidsalim2561 Жыл бұрын
Acha taasub na fikra ya kunyweshwa hapo kuna kosa gani la kielimu alilokosea ktk jawabu lake.
@ibnayub2374 Жыл бұрын
@@saidsalim2561 mm namskiliza katika kauli nying anazo zungumza sio hii tu, akitajiwa Kasim mafuta anapayukwa tu wala hana Majibu ya kueleweka, na unaniambia nna ta'asub hivi unadhan mdiruu Ana nini cha kufanya nimpende, maana taasisi yake n bora kuliko DINI ya Allah ila kwakua nyie n wafata upepo na kufungamana na mdiruu mnaona Sisi tuna ta'asub na Qasim mafuta na haya ndio maradh yenu vijana wa mdiruu hamjui hata ta'asub ni kitu gani. NA ukitaka kuamini hili sikiliza Majibu ya Qasim mafuta kwa barahian, halaf fananisha na majib ya barahian kwa Qasim mafuta UTAELEWA nn namaanisha.
@abbaspaziaog2188 Жыл бұрын
Majadida ni watu wavurugu tu
@abbaspaziaog2188 Жыл бұрын
Nyiee majadida ni waongo waongo tu
@hamynas Жыл бұрын
barahiyani kuna majibu yako huku kuhusu mashia kzbin.info/www/bejne/m6XYkJSugbOHpKc
@HasanatKhamis5 ай бұрын
Allah awape tawfiiq Mukae chini masheikh wote muondoe khitilafu zenu. Ili Uislam uzidi kusonga mbele. Ahlu sunnah lengo lake ni kuwaeka waislam pamoja.