KUMEKUCHA HAMAD MASOUD UYO SASA KURA YA MAPEMA KAULI NZITO NI WIZI MKUBWA HATULITAKI HATA KUSIKIA
Пікірлер: 57
@AbdallahHemed-j7k24 күн бұрын
Angalau umesema kweli duh
@harithmohd631824 күн бұрын
Umeongea kwli kaka mashaallah Allah atakulipa kwa ukwli wako ccm niwizi t hawana lakufanya wemehemewa na simba OMO rais wetu 2025 inshaallah wanamuogop nasisi hatukubali ushaguz wa siku mbli tutapigana sisi kwa sisi ujinga ujinga sasa basi
@rajabsalimalqushairiyyu702324 күн бұрын
Hotuba nzuri kabisaaaaaa
@KhadijaHussein-qn2ge24 күн бұрын
Ukisema kweli utasifiwa ww umeongea hongera kweli haki sawa kwawote
@saidmohd724024 күн бұрын
Hongera Hamad Massoud Umeanza kuiona haki! M/Mungu akusaidie urudi waliko wengi kuidai haki ya Nchi hii
@IbrahimKassim-j8o24 күн бұрын
Correct father it's true
@khamisjuma761623 күн бұрын
nashallah mungu atakuongoza utakua sawa na utashirikiana na wenzako kudai hakii
@kagetaabdallah371223 күн бұрын
Safi sana kaka uchaguzi siku moja tu masheikh wa zanzibar wapo kimya
@user-lb8gz5pt3u24 күн бұрын
Hongra sana mungu atakulipa kher
@NoufelSalim24 күн бұрын
Hapo umeongea nakukubali,ukiongea ukweli tunakupenda.❤
@fahmysaid-zw4np24 күн бұрын
leo mmekupendaaa bure
@JumaOmar-kp8rx24 күн бұрын
Safi sana
@dullahsaleh850724 күн бұрын
Saa mbovu kuna muda inasema ukweli
@yassermohamed397022 күн бұрын
😅😅😂
@lusakaone778224 күн бұрын
hongera
@ZanzibarTrltrusttours24 күн бұрын
Na hawo Wana wanaletwa kwa wingi Zanzibar hivi sasa kwa kidungizio Cha kujakufanya kazi kumbe wote wabaingizwa wajewanchague mwinyi 2025 kwasababu Wazibar halisi hasa hawamtaji mwinyi hapa.
@sulaymanmohammed644823 күн бұрын
Sema kweli japo ina uma ukweli utabakia ukweli tu la haki lisemwe bila kutafuna maneno
@OmerSuley-gl7go23 күн бұрын
Hatutaki kura ya mapema sisi na wakileta machafuko kwa kulazimisha wao kukaa madarakani basi nguvu ya Mahakama ya wananchi tutawapindua inshaallah na huku tukiwa na nguvu ya Mungu
@ZanzibarTrltrusttours24 күн бұрын
Hapo umeiona haki hamadi Masoud Allah bado hajakuacha mkono Tena akuendeleze kwa msimamo wako huo.
@SuleimanMuhammed-g7q24 күн бұрын
Baba mm ni ACT lakin umeongea point
@eddiqota17 күн бұрын
uchaguzi wa siku 2 ni aina nyengine ya wizi wa wazi wa haki ya maoni
@Khatib-xp6fp23 күн бұрын
Washenz wapo kimaslah ya madarak sio maisha ya watu kila kitu bei wao wanashiba fresh tu
@user-nt3my1jf9t24 күн бұрын
Washenz wanatafuta kuiba tu hawana Nia njma hao washenz
@HassanMchoro24 күн бұрын
Kweli kk wanatak kutuwa t bas sisi wazanzibar wanatufanya muhanga WA kutuwa
@khamismussa109724 күн бұрын
Jamani chonde chonde hatari mwataka kuleta mauwaji tena Rais hili jukumu ni lako kesho mbele ya mola utaenda kujibu nn
@AbdulhaamidSoud23 күн бұрын
CCM Yale malalamiko ya misingi yaliyokuwa yakililiwa na upizana pamoja na wakaguzi wa chaguzi wa ndani na nje hawakuyaona wameona la uchaguzi wa mapema tu kwasababu ya maslahi yao
@ahmedalkiyum759224 күн бұрын
Wanafanya kwa yao hayoo zanzibar kupiga kura kwa siku 2 wakat bara hamna ivo
@MakameAly24 күн бұрын
Ama kweli mtu si mbwa
@Grataaaaa24 күн бұрын
Ccm wanachekesha kwa kweli
@LutenTz24 күн бұрын
Apo nikupe maua yko hamad masod Ningepeda sn muheshimiwa ungane na viongozi wa act kwa ajili zanzibar nawe umo kwenye istoria ya ukombozi wa znz
@nassorsharifu983720 күн бұрын
Kwa CCM kuuwa watu ili kulinda madaraka kwao sio shida kwani maisha ya watu kwao hayana thamani
@SaidHassan-ot3un23 күн бұрын
Milipokua na magufuli hamukuisemea sababu na nyny mulipata ulaji humohumo kwenye kura ya mapema lkn safar hii mumeshutuka kuwa hamna chenu ndio umeujuwa ukweli,yangu ni maneno tu wala sina jengine
@user-un3hr5kh6z23 күн бұрын
Wilaya ya ilala ina watu wengi kushinda Zanzibar ila huku tuko wengi siku ya uchaguzi
@SalumRwambo22 күн бұрын
Kauli zenu ndiyo zinazo sababisha yote haya
@husseinkonz519224 күн бұрын
Bao la mkono halitakiwi mara hii
@saidal-hind533824 күн бұрын
ASANTE NITAKUPA KURA YANGU
@issakhamis958123 күн бұрын
Upo saw mkuu
@TalibMsham23 күн бұрын
Kiongoz anapoona kuna ktu kinaweza kuhatarisha amani ni kukiondoa tu yanini kulazimisha hicho kitu ilihali watu wengi hawataki pia.. Au hao wanaokataa kura ya mapema wao si raia? Hekma tu zinakosekana unalazimisha jambo ambalo mnajua linaleta madhara ilimradi muwe madarakani
@AbdulhaamidSoud23 күн бұрын
Naona umezinduka juu yahili akilin imerud
@ISSAJR-fo5nt24 күн бұрын
Mzuri akiwa hayupo yule mbaya anakua mwema😅
@omarsaid67324 күн бұрын
Hana lake huyu
@AbdallahJuma-wb8lq23 күн бұрын
Ccm,wezi,sema,popote
@harithwhite58923 күн бұрын
Kumbe chama chako bado kipo hai
@labunaabouna612224 күн бұрын
Bara wanaogopa wapinzani watakinukisha wakileta hio mapema
@Rukaiya-lt3hm23 күн бұрын
Balahau huna chama ingawa maccm ni madhalim
@Is-hakaRuweikh-k9s17 күн бұрын
Hawa ccm ni mbwa!!
@ShehaHassan-ev7st18 күн бұрын
Kumbe cuf ipo!?
@hajiabdalla577223 күн бұрын
Bora pemba kuwe na raisi wao na unguja kuwe na raisi wao.ili porojo litaisha mana hutuna nchi wala bendera wala paspoti vyote ni vya Tanzania..
Hii ya kueka uchaguzi siku 2 znzbar ni mbinu za CCM kufnya unyang'au wao mbona Bara hawafnyi ivyo wakati kuna idadi kubwa mno ya wabiga kura lkn uchaguz ck moja au huku hakuna jeshi au huku huku hakuna wafnyakaz wa serekali !!? au ndio kw sababu jeshi lote hua wamelihamishia huko maana mzanzbar 1 kila ikifika kindindi cha uchaguz hua analindwa na askar 10 huku bara mitaani hua kweupe wallah askar unawaona mmoja mmoja tu hujui wameenda wapi kumbe wako huko maana wabara huku hawaaminiki mtu anatoka kwenda kituoni kumpigia kura mgombea wa cha upinzani lkn akifika kituoni tu anabadili maamuzi anapia kura CCM hakiya Mungu na serekali ya jamuhuri ya Muungano inalijua hilo na ndio ata hawana wasiwasi nao .
@AshuraVuai21 күн бұрын
Tangia uasi njo kwza uzungumze km mtu
@omarmohammed515723 күн бұрын
😂😂😂😂😂 siasa bwana usituchezee akili wewe sema ukweli lakin wewe ni ccm hata kinana alisema kuhusu ubaya wa uchaguzi wa 2020 lakin baado ni ccm kwaio tunakujuwa mzee
@MohdIkra-d7s23 күн бұрын
We domo kayaa hata icho unachokisema hujiamini unaogopa ogopa sikwakua unasema hakki hapana bali umetumwa tuu uonekane kama hutumiki huko uupande fulani