KUMEKUCHA HAMAD MASOUD UYO SASA KURA YA MAPEMA KAULI NZITO NI WIZI MKUBWA HATULITAKI HATA KUSIKIA

  Рет қаралды 12,123

Tifu Tv

Tifu Tv

Күн бұрын

KUMEKUCHA HAMAD MASOUD UYO SASA KURA YA MAPEMA KAULI NZITO NI WIZI MKUBWA HATULITAKI HATA KUSIKIA

Пікірлер: 57
@AbdallahHemed-j7k
@AbdallahHemed-j7k 24 күн бұрын
Angalau umesema kweli duh
@harithmohd6318
@harithmohd6318 24 күн бұрын
Umeongea kwli kaka mashaallah Allah atakulipa kwa ukwli wako ccm niwizi t hawana lakufanya wemehemewa na simba OMO rais wetu 2025 inshaallah wanamuogop nasisi hatukubali ushaguz wa siku mbli tutapigana sisi kwa sisi ujinga ujinga sasa basi
@rajabsalimalqushairiyyu7023
@rajabsalimalqushairiyyu7023 24 күн бұрын
Hotuba nzuri kabisaaaaaa
@KhadijaHussein-qn2ge
@KhadijaHussein-qn2ge 24 күн бұрын
Ukisema kweli utasifiwa ww umeongea hongera kweli haki sawa kwawote
@saidmohd7240
@saidmohd7240 24 күн бұрын
Hongera Hamad Massoud Umeanza kuiona haki! M/Mungu akusaidie urudi waliko wengi kuidai haki ya Nchi hii
@IbrahimKassim-j8o
@IbrahimKassim-j8o 24 күн бұрын
Correct father it's true
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 23 күн бұрын
nashallah mungu atakuongoza utakua sawa na utashirikiana na wenzako kudai hakii
@kagetaabdallah3712
@kagetaabdallah3712 23 күн бұрын
Safi sana kaka uchaguzi siku moja tu masheikh wa zanzibar wapo kimya
@user-lb8gz5pt3u
@user-lb8gz5pt3u 24 күн бұрын
Hongra sana mungu atakulipa kher
@NoufelSalim
@NoufelSalim 24 күн бұрын
Hapo umeongea nakukubali,ukiongea ukweli tunakupenda.❤
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 24 күн бұрын
leo mmekupendaaa bure
@JumaOmar-kp8rx
@JumaOmar-kp8rx 24 күн бұрын
Safi sana
@dullahsaleh8507
@dullahsaleh8507 24 күн бұрын
Saa mbovu kuna muda inasema ukweli
@yassermohamed3970
@yassermohamed3970 22 күн бұрын
😅😅😂
@lusakaone7782
@lusakaone7782 24 күн бұрын
hongera
@ZanzibarTrltrusttours
@ZanzibarTrltrusttours 24 күн бұрын
Na hawo Wana wanaletwa kwa wingi Zanzibar hivi sasa kwa kidungizio Cha kujakufanya kazi kumbe wote wabaingizwa wajewanchague mwinyi 2025 kwasababu Wazibar halisi hasa hawamtaji mwinyi hapa.
@sulaymanmohammed6448
@sulaymanmohammed6448 23 күн бұрын
Sema kweli japo ina uma ukweli utabakia ukweli tu la haki lisemwe bila kutafuna maneno
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 23 күн бұрын
Hatutaki kura ya mapema sisi na wakileta machafuko kwa kulazimisha wao kukaa madarakani basi nguvu ya Mahakama ya wananchi tutawapindua inshaallah na huku tukiwa na nguvu ya Mungu
@ZanzibarTrltrusttours
@ZanzibarTrltrusttours 24 күн бұрын
Hapo umeiona haki hamadi Masoud Allah bado hajakuacha mkono Tena akuendeleze kwa msimamo wako huo.
@SuleimanMuhammed-g7q
@SuleimanMuhammed-g7q 24 күн бұрын
Baba mm ni ACT lakin umeongea point
@eddiqota
@eddiqota 17 күн бұрын
uchaguzi wa siku 2 ni aina nyengine ya wizi wa wazi wa haki ya maoni
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 23 күн бұрын
Washenz wapo kimaslah ya madarak sio maisha ya watu kila kitu bei wao wanashiba fresh tu
@user-nt3my1jf9t
@user-nt3my1jf9t 24 күн бұрын
Washenz wanatafuta kuiba tu hawana Nia njma hao washenz
@HassanMchoro
@HassanMchoro 24 күн бұрын
Kweli kk wanatak kutuwa t bas sisi wazanzibar wanatufanya muhanga WA kutuwa
@khamismussa1097
@khamismussa1097 24 күн бұрын
Jamani chonde chonde hatari mwataka kuleta mauwaji tena Rais hili jukumu ni lako kesho mbele ya mola utaenda kujibu nn
@AbdulhaamidSoud
@AbdulhaamidSoud 23 күн бұрын
CCM Yale malalamiko ya misingi yaliyokuwa yakililiwa na upizana pamoja na wakaguzi wa chaguzi wa ndani na nje hawakuyaona wameona la uchaguzi wa mapema tu kwasababu ya maslahi yao
@ahmedalkiyum7592
@ahmedalkiyum7592 24 күн бұрын
Wanafanya kwa yao hayoo zanzibar kupiga kura kwa siku 2 wakat bara hamna ivo
@MakameAly
@MakameAly 24 күн бұрын
Ama kweli mtu si mbwa
@Grataaaaa
@Grataaaaa 24 күн бұрын
Ccm wanachekesha kwa kweli
@LutenTz
@LutenTz 24 күн бұрын
Apo nikupe maua yko hamad masod Ningepeda sn muheshimiwa ungane na viongozi wa act kwa ajili zanzibar nawe umo kwenye istoria ya ukombozi wa znz
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 20 күн бұрын
Kwa CCM kuuwa watu ili kulinda madaraka kwao sio shida kwani maisha ya watu kwao hayana thamani
@SaidHassan-ot3un
@SaidHassan-ot3un 23 күн бұрын
Milipokua na magufuli hamukuisemea sababu na nyny mulipata ulaji humohumo kwenye kura ya mapema lkn safar hii mumeshutuka kuwa hamna chenu ndio umeujuwa ukweli,yangu ni maneno tu wala sina jengine
@user-un3hr5kh6z
@user-un3hr5kh6z 23 күн бұрын
Wilaya ya ilala ina watu wengi kushinda Zanzibar ila huku tuko wengi siku ya uchaguzi
@SalumRwambo
@SalumRwambo 22 күн бұрын
Kauli zenu ndiyo zinazo sababisha yote haya
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 24 күн бұрын
Bao la mkono halitakiwi mara hii
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 24 күн бұрын
ASANTE NITAKUPA KURA YANGU
@issakhamis9581
@issakhamis9581 23 күн бұрын
Upo saw mkuu
@TalibMsham
@TalibMsham 23 күн бұрын
Kiongoz anapoona kuna ktu kinaweza kuhatarisha amani ni kukiondoa tu yanini kulazimisha hicho kitu ilihali watu wengi hawataki pia.. Au hao wanaokataa kura ya mapema wao si raia? Hekma tu zinakosekana unalazimisha jambo ambalo mnajua linaleta madhara ilimradi muwe madarakani
@AbdulhaamidSoud
@AbdulhaamidSoud 23 күн бұрын
Naona umezinduka juu yahili akilin imerud
@ISSAJR-fo5nt
@ISSAJR-fo5nt 24 күн бұрын
Mzuri akiwa hayupo yule mbaya anakua mwema😅
@omarsaid673
@omarsaid673 24 күн бұрын
Hana lake huyu
@AbdallahJuma-wb8lq
@AbdallahJuma-wb8lq 23 күн бұрын
Ccm,wezi,sema,popote
@harithwhite589
@harithwhite589 23 күн бұрын
Kumbe chama chako bado kipo hai
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 24 күн бұрын
Bara wanaogopa wapinzani watakinukisha wakileta hio mapema
@Rukaiya-lt3hm
@Rukaiya-lt3hm 23 күн бұрын
Balahau huna chama ingawa maccm ni madhalim
@Is-hakaRuweikh-k9s
@Is-hakaRuweikh-k9s 17 күн бұрын
Hawa ccm ni mbwa!!
@ShehaHassan-ev7st
@ShehaHassan-ev7st 18 күн бұрын
Kumbe cuf ipo!?
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 23 күн бұрын
Bora pemba kuwe na raisi wao na unguja kuwe na raisi wao.ili porojo litaisha mana hutuna nchi wala bendera wala paspoti vyote ni vya Tanzania..
@JabirJabir-c9o
@JabirJabir-c9o 23 күн бұрын
Acha ujinga.
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 23 күн бұрын
@@JabirJabir-c9o unatumika Tu
@HappyBabyKittens-wx2mb
@HappyBabyKittens-wx2mb 20 күн бұрын
Acha ukuma ww yule mama samia nim2wabala achen ubakuzi nyie mbeha
@RajabJr-r6y
@RajabJr-r6y 24 күн бұрын
Hii ya kueka uchaguzi siku 2 znzbar ni mbinu za CCM kufnya unyang'au wao mbona Bara hawafnyi ivyo wakati kuna idadi kubwa mno ya wabiga kura lkn uchaguz ck moja au huku hakuna jeshi au huku huku hakuna wafnyakaz wa serekali !!? au ndio kw sababu jeshi lote hua wamelihamishia huko maana mzanzbar 1 kila ikifika kindindi cha uchaguz hua analindwa na askar 10 huku bara mitaani hua kweupe wallah askar unawaona mmoja mmoja tu hujui wameenda wapi kumbe wako huko maana wabara huku hawaaminiki mtu anatoka kwenda kituoni kumpigia kura mgombea wa cha upinzani lkn akifika kituoni tu anabadili maamuzi anapia kura CCM hakiya Mungu na serekali ya jamuhuri ya Muungano inalijua hilo na ndio ata hawana wasiwasi nao .
@AshuraVuai
@AshuraVuai 21 күн бұрын
Tangia uasi njo kwza uzungumze km mtu
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 23 күн бұрын
😂😂😂😂😂 siasa bwana usituchezee akili wewe sema ukweli lakin wewe ni ccm hata kinana alisema kuhusu ubaya wa uchaguzi wa 2020 lakin baado ni ccm kwaio tunakujuwa mzee
@MohdIkra-d7s
@MohdIkra-d7s 23 күн бұрын
We domo kayaa hata icho unachokisema hujiamini unaogopa ogopa sikwakua unasema hakki hapana bali umetumwa tuu uonekane kama hutumiki huko uupande fulani
@hamadyussuf5307
@hamadyussuf5307 24 күн бұрын
Huna lolote wewe kibaraka tu wa ccm
HUYU NDIE NASSOR AHMED MAZRUI
22:40
Marhaba Online TV
Рет қаралды 5 М.
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 16 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 2 Серия
31:45
Inter Production
Рет қаралды 1 МЛН
MWANZO MWISHO: MAALIM SEIF ALIVYOONDOLEWAKATIKA KONGAMANO
3:45
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 82 М.
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 16 МЛН