Dah.....CCM ovyo Sana Muogopeni Allah mnapupa ya Dunia mmesahau mauti mnazani mtaish milele poleni sana
@bukhanmohd4567 күн бұрын
Namshaangaa muislam yeyote anaekubali kusalishwa na imamu ambae ni mshabiki wa CCM Kwa upande wangu haitowahi kutokea maana mimi c mnafiki wala cna chembechembe za unafiki wala cna ushirikiano wa aina yeyote nao rabda nicmjue simshawisi kuniiga ila nachunga uislam wangu CCM naijua A_Z na Sera zao haziendani na maslahi ya akhera yangu...🙏
@ashahamad-mq3iz8 күн бұрын
Dokta Shein ni nani nyinyi nyote munajiona muko safi lakini kumbukeni wangapi walikuwepo sasa wako wapi sasa Nyinyi tumie ubabe na Allah ndiye mwenye uwezo huo jifanyeni muko safi iko siku mutaingia kwenye mikono ya Allah poleni sana kwa Dhuluma munaoifanya
@rashidramadhani92648 күн бұрын
Wizi mtupu. Safar hii musitarajie km mutatoboa. Labda mutuuwe sote.
@Sheba46512 күн бұрын
Msifikie huko.
@Amini-aliAmini8 күн бұрын
Hahahahaha omo chonde usije itikia wito wawo wakutaka utie saini ya kushindwa
@MohammedAlHanaei-f1y8 күн бұрын
Lazima useme hivyo," kura ya mapema ni lazima". Kwa kuwa nyie ni wezi na waauwaji. Sio mwaipenda Zanzibar na raia wake. Lakini In sha Llah, 2025 ndo mwisho wenu wenye laana. Ujinga Ujinga huo basi. Hasbi Llah alaykum waniima al wakil.
@allyhamad43448 күн бұрын
munaijuwa kweli zima au ndio mnazani ndio mutaishi milele hapa duniani
@NoufelSalim7 күн бұрын
Wote woga huo ,😂sasa munaogopa nn? Munapenda dhulma
@baraghash49648 күн бұрын
Hakuna mkate mgumu, mbele ya supu Vita ya supu na boflo tutaiyona uchaguzi huu.
@matukiotvonline63663 күн бұрын
DAAH KUNA WATU HAWAMUOGOPI MUNGU NAONA NI HAWA CCM😮😮😮😮😮
@SoudAli-i5l8 күн бұрын
Tutaona tukijaaliwa
@SuleimanMuhamed-it8bj8 күн бұрын
Hatuitaki kura ya mapema tunakula sahani moja na nyie
@KomboHamad-e3t5 күн бұрын
Wewe sema uwongo iko siku Allah utajibu
@ZaidSeifSuleiman8 күн бұрын
Acheni😂mbinu za wizi hamnauwezo🎉wa kushinda mpaka mupige kura siku mbili
@bukhanmohd4567 күн бұрын
Binafsi ata wake milele hawanikeri maana najua hakika nini kitawapata baada ya kufa kwao🔥🔥🔥 kwani firauni na timuyake waliishi miaka mingapi? na leo wako wapi?
@allyhamad43448 күн бұрын
Ww babu wacha ujina ww ni mwanamme kama unajiami kwanini unataka kura siku mbili au ndio kuimba vizuri kwenu yy ccm
@MakameAly8 күн бұрын
Hapo ni wizi tuu hakuna kura
@ShauriAli-o5y8 күн бұрын
Bofulo mlete mkeo mshenzi ww kushinda hamushindi na watu meawapiga msohaya mabunju ccm
@AbdallahSalim-is3db8 күн бұрын
Kumbe watu wasio weza kujaza hata uwanja wa kijisiwa ndui huwa ni wengi ?
@w40588 күн бұрын
Mshenzi Dimwa wewe ulipata kusikia Binadam wa maana akaitwa dimwa
@yasserahmed94208 күн бұрын
Wagonjwa wa malariaaaa😅😅😅😅😂😂😂😂
@KhamisSalum-wz8cy7 күн бұрын
Jina la mbeto na dimwa wazanzibari mmeyatoa wapi ?
@AbdallahJuma-wb8lq8 күн бұрын
Mkowengi,mnaogopa,nini
@w40588 күн бұрын
Kwenda uko muhuni jambazi wa kura wewe na system yenu nzima ccm Hasbunallah Waniimal Wakiil
@AbdulhaamisSoud7 күн бұрын
DC longido kamaliza maneno ushindi wa CCM ni mpango wa serekali na sio kura za wananchi
@margarethpolepole74386 күн бұрын
msipate tabu Ccm mtashinda kqa kishindo Hussain anachapa kazi vizuri sana ameifanyq Zanzibar iwe kama Dubai
@salehabdallah41148 күн бұрын
Wizi na nusu
@ZANAMBER8 күн бұрын
Nyinyi munatengemea wiz wa kura pumba ww
@Giulnara8 күн бұрын
sasa uko bara hakuna ao wazee,walemavu na vikosi stupid reason
@mangofish90796 күн бұрын
Hawa ya mbayana inawaumbua kwasababu hayo wanayoyasema ni dhahiri na yale wanayo shutumiwa kila siku
@ZANAMBER8 күн бұрын
Achaa uwongo ww paka mweusi
@WakaWaka-eu9ky6 күн бұрын
Acha uongp uwoooo mnafik mkubwa weeee mungu atakulipa hp hp 😊😊😊😊
@AbdulhaamisSoud7 күн бұрын
NENO DIMWA ni nyani laasili linalopatikana ktk misitu ya kongo Brazzaville
@NaglaSaid-jn1xo8 күн бұрын
Kila siku story hio hio , hebu twambie la maana wewe DIMWA
@NaglaSaid-jn1xo8 күн бұрын
Mh yaani mnawapa rushwa hao wazee ili wakaipigie kura CCM , hakuna hata mtu mmoja mnaeweza kumdanganya , mh mnakumbuka 2015 mlivyotia mpira kwapani? Nyie ni wezi, matapeli , majambazi nyooote hakina DIMWA wala DEMA ,
@KhamisSalum-wz8cy7 күн бұрын
Hao hapo nyuma yako asilimia 80 ni wakuja wazanzibari wanataka mamlaka ya nchi yao wewe dimwa kwenu wapi?
@Ahmarhassan-lk3ms7 күн бұрын
😮
@haroubhbm57286 күн бұрын
Kura ya mapema😅😅
@saidkhamis13568 күн бұрын
Mbona bara hawapigi kura ya mapema wizi mtupu
@user-nt3my1jf9t8 күн бұрын
Yaan huyu hata kuongea hajui aongee nin maskin dah Dunia ni mapito sana ipo siku utakuja kujuta dimwa ndgu yangu Tena ukiwa hapa hapa dunian mana Kuna wenzako weng sana Sasa hv wanajuta
@user-lb8gz5pt3u6 күн бұрын
Zanzibar hamna kura ya siku mbili
@haroubhbm57286 күн бұрын
Hamna kitu hapa sio kweli hapo mwanzo kulikuwa hamna ulinzi sio kweli
@MasnamussaPp4 күн бұрын
Vijitu vyenyewe vichache🎉eti kura ya mapema😂china yenye mamilion ya watu kura one day,znz vijitu laq6kura ya mpm echeni wizi nyie ipo siku mutakufa na mutaulizwa
@user-lb8gz5pt3u6 күн бұрын
Kura ya mara moja haiwezekan
@MaulidSharif7 күн бұрын
Nyie hamna lenu hasa ww dimwa huna lolote la kuwaambia wazanzibar babuu
@MmangaKombo8 күн бұрын
Unamdanganya nani wewe tumechoka na utawala wa ccm hamna jipya
@fahmysaid-zw4np8 күн бұрын
dimwa unaongea pumba izo izo kila sikuu wee vip
@user-lb8gz5pt3u6 күн бұрын
Ccm hamna watu
@user-lb8gz5pt3u6 күн бұрын
Kura moja tu sio siku mbili
@Grataaaaa8 күн бұрын
ilo domo lake kama finiko la choo
@ramzsule76787 күн бұрын
Baba angalia mbele IPO siku utaitwa marehemu
@MaulidSharif7 күн бұрын
Hamja shinda kipindi mna nguvu mshinde saivi watu washashtuka tena
@Idoman4936 күн бұрын
Hanisi La Wapi Hili?
@saidal-hind53384 күн бұрын
Mkundu
@margarethpolepole74386 күн бұрын
Hamuiwezi kamwe Ccm mtabakia na ruzuku tu kuleni
@KhamisMakame-o8b8 күн бұрын
Hujapendekeza vutulako lipigwe mapema
@nassorhassan72888 күн бұрын
😅😅😅
@Hassanali-sq2dm7 күн бұрын
Yani apigwe Tena ndo amani hiyo wanatangaza amani huku wameficha mapanga
@delasdiego65377 күн бұрын
Mnazima kwer hasa sio uongo na mnawasha na ujani Jidanganyeni tu sisi kama wazanzibar tunasubiria hizo boflo kenge ww
@aliomar97637 күн бұрын
Ww huna mapenzi na zanzibar una mapenzi na tumbo kwa kauli zako
@RamadhaniMussa-xs5uk7 күн бұрын
Wao vikosi wanaotaka wapige ya mapema cku ya pili hatwendi kupiga kura ya jamhuri ya muungano
@WakaWaka-eu9ky6 күн бұрын
Onesheni watu waliohudhuria bas mnaficha nn ushalaaniwa ww lanatu wwahi dimwa umeka uwakilishi mpendae huna moja ulilolifannyaaa
@saidsaid5485 күн бұрын
SAW TUIONDOE KURA YA MAPEMA ILI TUSHINDI MCHANA KWEUPE CCM NI CHAMA CHA WATU.
@salehbakar-e3x7 күн бұрын
Kwn uyo sheni ni nan
@SaidHassan-ot3un7 күн бұрын
Sisi tumeshaiandaa supu tunasubiria hizo boflo tuzitafune.Hata kujibu haujui
@Manyotasuleiman7 күн бұрын
Kura ya haki dimwa huna uwezo wa kushinda
@OmerSuley-gl7go8 күн бұрын
Wazanzibari wote wamekukataa wewe Dimwa na chama chako CCM hamna jipya fanyeni musepe
@salyali78078 күн бұрын
Laanatullah
@AbdallahJuma-wb8lq8 күн бұрын
Znz,kura,siku,mboli,wizi,mtupu
@KhamisSeif-t3d7 күн бұрын
Wee Mjinga kuwa na akili siasa za kutukanana zimepitwa na wakati