KUMEKUCHA-KUMEKUCHA DIMWA AMTAJA OMO KWA JINA KURA YA MAPEMA"UKIJA NA MGUU SUPU TUNAKUJA NA BOFLO

  Рет қаралды 5,319

Tifu Tv

Tifu Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 71
@OmarJuma-og4kd
@OmarJuma-og4kd 8 күн бұрын
Dah.....CCM ovyo Sana Muogopeni Allah mnapupa ya Dunia mmesahau mauti mnazani mtaish milele poleni sana
@bukhanmohd456
@bukhanmohd456 7 күн бұрын
Namshaangaa muislam yeyote anaekubali kusalishwa na imamu ambae ni mshabiki wa CCM Kwa upande wangu haitowahi kutokea maana mimi c mnafiki wala cna chembechembe za unafiki wala cna ushirikiano wa aina yeyote nao rabda nicmjue simshawisi kuniiga ila nachunga uislam wangu CCM naijua A_Z na Sera zao haziendani na maslahi ya akhera yangu...🙏
@ashahamad-mq3iz
@ashahamad-mq3iz 8 күн бұрын
Dokta Shein ni nani nyinyi nyote munajiona muko safi lakini kumbukeni wangapi walikuwepo sasa wako wapi sasa Nyinyi tumie ubabe na Allah ndiye mwenye uwezo huo jifanyeni muko safi iko siku mutaingia kwenye mikono ya Allah poleni sana kwa Dhuluma munaoifanya
@rashidramadhani9264
@rashidramadhani9264 8 күн бұрын
Wizi mtupu. Safar hii musitarajie km mutatoboa. Labda mutuuwe sote.
@Sheba4651
@Sheba4651 2 күн бұрын
Msifikie huko.
@Amini-aliAmini
@Amini-aliAmini 8 күн бұрын
Hahahahaha omo chonde usije itikia wito wawo wakutaka utie saini ya kushindwa
@MohammedAlHanaei-f1y
@MohammedAlHanaei-f1y 8 күн бұрын
Lazima useme hivyo," kura ya mapema ni lazima". Kwa kuwa nyie ni wezi na waauwaji. Sio mwaipenda Zanzibar na raia wake. Lakini In sha Llah, 2025 ndo mwisho wenu wenye laana. Ujinga Ujinga huo basi. Hasbi Llah alaykum waniima al wakil.
@allyhamad4344
@allyhamad4344 8 күн бұрын
munaijuwa kweli zima au ndio mnazani ndio mutaishi milele hapa duniani
@NoufelSalim
@NoufelSalim 7 күн бұрын
Wote woga huo ,😂sasa munaogopa nn? Munapenda dhulma
@baraghash4964
@baraghash4964 8 күн бұрын
Hakuna mkate mgumu, mbele ya supu Vita ya supu na boflo tutaiyona uchaguzi huu.
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 3 күн бұрын
DAAH KUNA WATU HAWAMUOGOPI MUNGU NAONA NI HAWA CCM😮😮😮😮😮
@SoudAli-i5l
@SoudAli-i5l 8 күн бұрын
Tutaona tukijaaliwa
@SuleimanMuhamed-it8bj
@SuleimanMuhamed-it8bj 8 күн бұрын
Hatuitaki kura ya mapema tunakula sahani moja na nyie
@KomboHamad-e3t
@KomboHamad-e3t 5 күн бұрын
Wewe sema uwongo iko siku Allah utajibu
@ZaidSeifSuleiman
@ZaidSeifSuleiman 8 күн бұрын
Acheni😂mbinu za wizi hamnauwezo🎉wa kushinda mpaka mupige kura siku mbili
@bukhanmohd456
@bukhanmohd456 7 күн бұрын
Binafsi ata wake milele hawanikeri maana najua hakika nini kitawapata baada ya kufa kwao🔥🔥🔥 kwani firauni na timuyake waliishi miaka mingapi? na leo wako wapi?
@allyhamad4344
@allyhamad4344 8 күн бұрын
Ww babu wacha ujina ww ni mwanamme kama unajiami kwanini unataka kura siku mbili au ndio kuimba vizuri kwenu yy ccm
@MakameAly
@MakameAly 8 күн бұрын
Hapo ni wizi tuu hakuna kura
@ShauriAli-o5y
@ShauriAli-o5y 8 күн бұрын
Bofulo mlete mkeo mshenzi ww kushinda hamushindi na watu meawapiga msohaya mabunju ccm
@AbdallahSalim-is3db
@AbdallahSalim-is3db 8 күн бұрын
Kumbe watu wasio weza kujaza hata uwanja wa kijisiwa ndui huwa ni wengi ?
@w4058
@w4058 8 күн бұрын
Mshenzi Dimwa wewe ulipata kusikia Binadam wa maana akaitwa dimwa
@yasserahmed9420
@yasserahmed9420 8 күн бұрын
Wagonjwa wa malariaaaa😅😅😅😅😂😂😂😂
@KhamisSalum-wz8cy
@KhamisSalum-wz8cy 7 күн бұрын
Jina la mbeto na dimwa wazanzibari mmeyatoa wapi ?
@AbdallahJuma-wb8lq
@AbdallahJuma-wb8lq 8 күн бұрын
Mkowengi,mnaogopa,nini
@w4058
@w4058 8 күн бұрын
Kwenda uko muhuni jambazi wa kura wewe na system yenu nzima ccm Hasbunallah Waniimal Wakiil
@AbdulhaamisSoud
@AbdulhaamisSoud 7 күн бұрын
DC longido kamaliza maneno ushindi wa CCM ni mpango wa serekali na sio kura za wananchi
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 күн бұрын
msipate tabu Ccm mtashinda kqa kishindo Hussain anachapa kazi vizuri sana ameifanyq Zanzibar iwe kama Dubai
@salehabdallah4114
@salehabdallah4114 8 күн бұрын
Wizi na nusu
@ZANAMBER
@ZANAMBER 8 күн бұрын
Nyinyi munatengemea wiz wa kura pumba ww
@Giulnara
@Giulnara 8 күн бұрын
sasa uko bara hakuna ao wazee,walemavu na vikosi stupid reason
@mangofish9079
@mangofish9079 6 күн бұрын
Hawa ya mbayana inawaumbua kwasababu hayo wanayoyasema ni dhahiri na yale wanayo shutumiwa kila siku
@ZANAMBER
@ZANAMBER 8 күн бұрын
Achaa uwongo ww paka mweusi
@WakaWaka-eu9ky
@WakaWaka-eu9ky 6 күн бұрын
Acha uongp uwoooo mnafik mkubwa weeee mungu atakulipa hp hp 😊😊😊😊
@AbdulhaamisSoud
@AbdulhaamisSoud 7 күн бұрын
NENO DIMWA ni nyani laasili linalopatikana ktk misitu ya kongo Brazzaville
@NaglaSaid-jn1xo
@NaglaSaid-jn1xo 8 күн бұрын
Kila siku story hio hio , hebu twambie la maana wewe DIMWA
@NaglaSaid-jn1xo
@NaglaSaid-jn1xo 8 күн бұрын
Mh yaani mnawapa rushwa hao wazee ili wakaipigie kura CCM , hakuna hata mtu mmoja mnaeweza kumdanganya , mh mnakumbuka 2015 mlivyotia mpira kwapani? Nyie ni wezi, matapeli , majambazi nyooote hakina DIMWA wala DEMA ,
@KhamisSalum-wz8cy
@KhamisSalum-wz8cy 7 күн бұрын
Hao hapo nyuma yako asilimia 80 ni wakuja wazanzibari wanataka mamlaka ya nchi yao wewe dimwa kwenu wapi?
@Ahmarhassan-lk3ms
@Ahmarhassan-lk3ms 7 күн бұрын
😮
@haroubhbm5728
@haroubhbm5728 6 күн бұрын
Kura ya mapema😅😅
@saidkhamis1356
@saidkhamis1356 8 күн бұрын
Mbona bara hawapigi kura ya mapema wizi mtupu
@user-nt3my1jf9t
@user-nt3my1jf9t 8 күн бұрын
Yaan huyu hata kuongea hajui aongee nin maskin dah Dunia ni mapito sana ipo siku utakuja kujuta dimwa ndgu yangu Tena ukiwa hapa hapa dunian mana Kuna wenzako weng sana Sasa hv wanajuta
@user-lb8gz5pt3u
@user-lb8gz5pt3u 6 күн бұрын
Zanzibar hamna kura ya siku mbili
@haroubhbm5728
@haroubhbm5728 6 күн бұрын
Hamna kitu hapa sio kweli hapo mwanzo kulikuwa hamna ulinzi sio kweli
@MasnamussaPp
@MasnamussaPp 4 күн бұрын
Vijitu vyenyewe vichache🎉eti kura ya mapema😂china yenye mamilion ya watu kura one day,znz vijitu laq6kura ya mpm echeni wizi nyie ipo siku mutakufa na mutaulizwa
@user-lb8gz5pt3u
@user-lb8gz5pt3u 6 күн бұрын
Kura ya mara moja haiwezekan
@MaulidSharif
@MaulidSharif 7 күн бұрын
Nyie hamna lenu hasa ww dimwa huna lolote la kuwaambia wazanzibar babuu
@MmangaKombo
@MmangaKombo 8 күн бұрын
Unamdanganya nani wewe tumechoka na utawala wa ccm hamna jipya
@fahmysaid-zw4np
@fahmysaid-zw4np 8 күн бұрын
dimwa unaongea pumba izo izo kila sikuu wee vip
@user-lb8gz5pt3u
@user-lb8gz5pt3u 6 күн бұрын
Ccm hamna watu
@user-lb8gz5pt3u
@user-lb8gz5pt3u 6 күн бұрын
Kura moja tu sio siku mbili
@Grataaaaa
@Grataaaaa 8 күн бұрын
ilo domo lake kama finiko la choo
@ramzsule7678
@ramzsule7678 7 күн бұрын
Baba angalia mbele IPO siku utaitwa marehemu
@MaulidSharif
@MaulidSharif 7 күн бұрын
Hamja shinda kipindi mna nguvu mshinde saivi watu washashtuka tena
@Idoman493
@Idoman493 6 күн бұрын
Hanisi La Wapi Hili?
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 4 күн бұрын
Mkundu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 күн бұрын
Hamuiwezi kamwe Ccm mtabakia na ruzuku tu kuleni
@KhamisMakame-o8b
@KhamisMakame-o8b 8 күн бұрын
Hujapendekeza vutulako lipigwe mapema
@nassorhassan7288
@nassorhassan7288 8 күн бұрын
😅😅😅
@Hassanali-sq2dm
@Hassanali-sq2dm 7 күн бұрын
Yani apigwe Tena ndo amani hiyo wanatangaza amani huku wameficha mapanga
@delasdiego6537
@delasdiego6537 7 күн бұрын
Mnazima kwer hasa sio uongo na mnawasha na ujani Jidanganyeni tu sisi kama wazanzibar tunasubiria hizo boflo kenge ww
@aliomar9763
@aliomar9763 7 күн бұрын
Ww huna mapenzi na zanzibar una mapenzi na tumbo kwa kauli zako
@RamadhaniMussa-xs5uk
@RamadhaniMussa-xs5uk 7 күн бұрын
Wao vikosi wanaotaka wapige ya mapema cku ya pili hatwendi kupiga kura ya jamhuri ya muungano
@WakaWaka-eu9ky
@WakaWaka-eu9ky 6 күн бұрын
Onesheni watu waliohudhuria bas mnaficha nn ushalaaniwa ww lanatu wwahi dimwa umeka uwakilishi mpendae huna moja ulilolifannyaaa
@saidsaid548
@saidsaid548 5 күн бұрын
SAW TUIONDOE KURA YA MAPEMA ILI TUSHINDI MCHANA KWEUPE CCM NI CHAMA CHA WATU.
@salehbakar-e3x
@salehbakar-e3x 7 күн бұрын
Kwn uyo sheni ni nan
@SaidHassan-ot3un
@SaidHassan-ot3un 7 күн бұрын
Sisi tumeshaiandaa supu tunasubiria hizo boflo tuzitafune.Hata kujibu haujui
@Manyotasuleiman
@Manyotasuleiman 7 күн бұрын
Kura ya haki dimwa huna uwezo wa kushinda
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 8 күн бұрын
Wazanzibari wote wamekukataa wewe Dimwa na chama chako CCM hamna jipya fanyeni musepe
@salyali7807
@salyali7807 8 күн бұрын
Laanatullah
@AbdallahJuma-wb8lq
@AbdallahJuma-wb8lq 8 күн бұрын
Znz,kura,siku,mboli,wizi,mtupu
@KhamisSeif-t3d
@KhamisSeif-t3d 7 күн бұрын
Wee Mjinga kuwa na akili siasa za kutukanana zimepitwa na wakati
MKUU WA MKOA PEMBA ATOA HUTBA YA AJABU
6:36
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 14 М.
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 29 МЛН
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 39 МЛН
MFAHAMU MSANII WA PEMBA MWINYI MPEKU NA SAFARI YAKE YA CHINA
44:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 10 М.
DR SLAA AFUNGUKA A-Z UTEKWAJI WA ALLY MOHAMMED KIBAO
15:08
Chadema Media TV
Рет қаралды 57 М.
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15