Kanisa la wapi hilo? Kanisa linaongozwa na wanyenyekevu na watakatifu wa Mungu! Wataka bifu hatuwataki kabisaaaaa!
@sebonikegobi62442 жыл бұрын
Jamani watumishi mbona mnaenda kwa akili zenu?eee Mungu naomba uingilie Kati jambo hili kanisa lako linazidi kujichafua jamani ni aibu
@queenshilelema6672 Жыл бұрын
Mungu awakumbuke ktk kufifiisha Imani za kondoo wa Mungu
@tunsumejohntunsumejohn22102 жыл бұрын
Huyu nae nimchungaj 🤣🤣hawa vijana wa ovyo sana tamaa mbaya hiv wale wachaw wakanisa walishaisha maana zaman watu kama hawa kanisan wanatolewa kimya
@jifunzekuhusuwewe74752 жыл бұрын
Hahaaaa vijana ,Mmelishwa matangopoli
@esternaftari82862 жыл бұрын
Mengine huwa ni mashambuliz wengi huwa hatuelew swala ni kufunga na kuomba achen Mungu mwenyew atoe majibu ya maswali yenu
@zabronijoseph7282 жыл бұрын
Eti kujiweka sawa!! Sii mmesha jitoa kkkt meamiaa KANISA lingine.
@annamasoko18932 жыл бұрын
Hiyo Ni kazi ya mungu kwanini mnagombana shamban mwa bwana
@nyaganyaga38762 жыл бұрын
Kwa Mungu mbali Sana...
@annamasoko18932 жыл бұрын
Jaman mungu atusaidie
@nikodemmwahangila33342 жыл бұрын
Ila mmetuabisha wakristo wote acheni majengo ya kkkt serikali ipo sawa itaamua hatakama kanisa ulijenga hati inasoma nini jina nani nani mmiliki mbona nikama wachungaji wamewaachia washilika hawawaelimishi kkkt ni taasisi kubwa najua mali zote viwanja makanisa hata yanapojengwa kuna vibali vilitolewa kwa jina gani ni ngumu sana mali ya taasisi kupotea ilikua vema wao watoke wakajenge kanisa waenderee na huo mwamvuli
@maandaliobandmbeyatz23452 жыл бұрын
Kwanini tusijaribu kumuogopa Mungu kwanini hekima ya Mungu istumike kelele hizi ni upagani mkubwa ni uchafu mkubwa MBELE za Mungu na ht MBELE za WANADAMU kwann kila MTU astulie sehem yake na kuendelea na iman ya kile anachokiamin NDUGU ZANGU HII DHAMBI NI ZAID YA DHAMBI
@nurumbilinyi532 жыл бұрын
Ila kweli mmejisahaulisha jamani poleni sana
@zabronijoseph7282 жыл бұрын
Alafu nnyie washikaji wote na wafahamuu waimbaji wa mewakifuna acheni ujinga melishwa nini? Kwenye diivai mbona hamjielewi!!!
@ilovejesus6662 жыл бұрын
Biashara hii makafiri mtaisoma namba 😜🤣😜😂😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣😂😂
@yusuphsanga35432 жыл бұрын
Katiba ndo kila kitu na c vinginevyo
@pescopenterprises27282 жыл бұрын
Kuna uwezekano mkubwa washilika wa kawaida kabisa wakaiona mbingu lakini sio viongozi wa dini huu ni mtizamo wangu maana viongozi wa dini baadhi yao wapo kwa kwa ajili ya mali tu washilika wamechanga fedha wamejenga jengo la kukutania kufanya ibada siku mkipishana mtazamo unata jengo fyuuuuuuu roho za hao watu hunahabali nazo
@agnesshonga75702 жыл бұрын
Hela hizi zitatufikisha pabaya.....kuna siri inayoendelea hapo sisi tunalishwa matangopori wafunguke tuuh.mnatudharirisha na tabia zenu mbaya
@florencengwavi69392 жыл бұрын
Mnatuaibisha kabisa na kudhalilisha KKKT, Mungu atashughulika na nyinyi, tuache kuganga njaa zetu kwa mgongo wa kanisa, kanisa lina muongozo wake, kaanzisheni kanisa lenu muweke sheria zenu
@nurumbilinyi532 жыл бұрын
Tuachieni majengo na Mali za K.K.K.T anzisheni kanisa lenu shida Iko wapiii